Joachim Mabula posted: Kwa hizi mvua zinazoendelea, umepewa wazo la ...

0 views
Skip to first unread message

X (formerly Twitter)

unread,
Nov 18, 2023, 5:33:22 PM11/18/23
to zumbaclass2013
 ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌
 
Joachim Mabula's avatar
Joachim Mabula
@JoachimMabula
Kwa hizi mvua zinazoendelea, umepewa wazo la biashara la kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga na hauna pesa ya kutosha kufanikisha, basi usikwame zaidi, wasiliana na @softfinancetz watakupa mkopo wa haraka na ushauri wa kuendeleza wazo lako kwa mafanikio. #MpangoPesa
Joachim Mabula's Photo
Reply  1 Retweet  5 Like  38
MNYIKA John John's avatar MNYIKA John John liked
CHADEMA Kanda Magharibi's avatar
CHADEMA Kanda Magharibi
@Chademawz
Kikao cha Baraza la mashauriano mkoa wa Katavi leo Novemba 18, 2023. Kikiongozwa na mwenyekiti wa mkoa Rhoda Kunchela, kabla ya vikao vya uchaguzi kuanza Mpanda mjini. Amewashukuru viongozi wakiongozwa na Julius Mwita, Gaston Garubindi, Mzee Masanja Katambi na Kangeta Ismail.
CHADEMA Kanda Magharibi's Photo
CHADEMA Kanda Magharibi's Photo
 
CHADEMA Kanda Magharibi's Photo
CHADEMA Kanda Magharibi's Photo
Reply Retweet  3 Like  15
MNYIKA John John's avatar MNYIKA John John liked
Praygod Shoo's avatar
Praygod Shoo
@ShooPraygod
Kwa kweli mimi sasaivi nitakuwa nawasemea tu watu wa mpigi magoe

Watu wanateseka sana asee magar yanaharibika barabara mbovu sana asee

Hatuna waandishi wa habar waje kureport huu uozo huku mpigi

Nauli kutoka mbezi ishafika buku mbili yan
Safari ya dk 20inatukima masaa matat
Reply  3 Retweet  2 Like  9
Liberatus Mwang'ombe's avatar
Liberatus Mwang'ombe
@Liberatus80
Tutakuwa na mikutano ya hadhara leo, Jumamosi, November 18, 2023. Tutakuwa na M’kti wa Kanda, Mh. Peter Msigwa.

Sehemu: Chalisuka, Madibira

Muda: Kuanzia Saa nane mchana

Asubuhi saa Tano tutafanya mkutano Mapogolo- Miyombweni.

Karibuni sana.
Liberatus Mwang'ombe's Photo
Reply  2 Retweet  25 Like  150
CHADEMA Tanzania's avatar
CHADEMA Tanzania
@ChademaTz
Kuna mambo mawili ambayo tunaweza kupitia tukatatua masuala ya kiuchaguzi kikatiba;

1. Kuharakisha mchakato wa #KatibaMpya. Hii pia tumechelewa kama Taifa, kama tunalenga uchaguzi wa 2024 na 2025. Ipelekwe bungeni kwenye Bunge linaloenda kuanza Januari 31, 2024 Mswada wa Sheria…
CHADEMA Tanzania's Video
Reply  15 Retweet  76 Like  290
Help  |  Privacy  |  Reset password  |  Download app
We sent this email to @zumbaclass2013. Unsubscribe
Twitter International Company
One Cumberland Place, Fenian Street
Dublin 2, D02 AX07  IRELAND
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages