Joachim Mabula posted: Watu dhaifu kufuata ndoto zao mara nyingi huw...

0 views
Skip to first unread message

X (formerly Twitter)

unread,
Nov 17, 2023, 11:22:16 PM11/17/23
to zumbaclass2013
 ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌
 
Joachim Mabula's avatar
Joachim Mabula
@JoachimMabula
Watu dhaifu kufuata ndoto zao mara nyingi huwa tayari kuzima ndoto zako na kukukatisha tamaa.
Reply  1 Retweet  6 Like  56
Baba Mwita's avatar
Baba Mwita
@BabaMwita
JAJI JM:

Jaji ambaye alihusika KUTENGUA maamuzi mazuri ya mahakama Kuu ya KUZUIA Wakurugenzi (maDED) kutosimamia chaguzi nchini, AKARUHUSU, ndiye aliyehusika pia kumwachia SABAYA leo. Huyu Jaji ndiye Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa sasa. Aliteuliwa na rais SSH…
Reply  27 Retweet  33 Like  130
ikulu_Tanzania's avatar
ikulu_Tanzania
@ikulumawasliano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgeni wake Rais wa Romania Mhe. Klaus Iohannis wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mikataba mbalimbali ya ushirikiano baina ya nchi hizo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini 17 Nov 2023
ikulu_Tanzania's Photo
Reply  3 Retweet  27 Like  68
Yericko Nyerere's avatar
Yericko Nyerere
@YerickoNyerereT
Nimefika salama Lusaka Zambia tayari kwa sherehe maalumu za tuzo za @zikomoawards kesho. Safari ilikuwa nzuri chini ya @airtanzania_atcl ambapo tulipitia Harare Zimbabwe na kisha kufika Lusaka Zambia.

Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia chini ya Balozi Mhe. Lt Gen Mathew Edward…
Yericko Nyerere's Video
Reply  7 Retweet  5 Like  56
Help  |  Privacy  |  Reset password  |  Download app
We sent this email to @zumbaclass2013. Unsubscribe
Twitter International Company
One Cumberland Place, Fenian Street
Dublin 2, D02 AX07  IRELAND
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages