Joachim Mabula posted: Wakati mwingine unapaswa kusahau kilichopita,...

1 view
Skip to first unread message

X (formerly Twitter)

unread,
Nov 22, 2023, 10:30:23 AM11/22/23
to zumbaclass2013
 ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌ ‌
 
Joachim Mabula's avatar
Joachim Mabula
@JoachimMabula
Wakati mwingine unapaswa kusahau kilichopita, kuthamini kilichobaki na kutazamia kwa hamu kinachokuja.
Reply Retweet  8 Like  36
MNYIKA John John's avatar
MNYIKA John John
@jjmnyika
Kati ya mwaka 2010-2015 wakati nikiwa mbunge wa Ubungo kupitia mfuko wa Jimbo (CDCF) tulinunua makontena na kufanya ujenzi kama unavyoonekana kwenye video hapa chini. Lengo la wakati huo lilikuwa ni kujenga kituo kidogo cha polisi katika mtaa wa Sinza E jirani na uwanja wa Tip.…
MNYIKA John John's Video
Reply  8 Retweet  31 Like  180
Joachim Mabula's avatar Joachim Mabula liked
viola julius's avatar
viola julius
@VwalaViola
Nyieee mwisho wa mwaka una mambo mengi , Usikubali kuhairisha mambo yako . chukua mkopo toka @softfinancetz ili mambo yaende vizuri #MpangoPesa
viola julius's Photo
Reply  2 Retweet  4 Like  8
Joachim Mabula's avatar Joachim Mabula liked
Holy's avatar
Holy
@yose_hoza
Mjasiriamali wa viatu vya wanawake kila mara fashion mpya zinatoka
▪︎ Una mtaji mdogo
▪︎ Una wateja wengi
▪︎ Mzunguko wa biashara mzuri

Usipate hofu karibu @softfinancetz ujipatie mkopo uchukue mzigo biashara yako ikomae vigezo ni rahisi sana 📞0679 000 900 #MpangoPesa
Holy's Photo
Reply  2 Retweet  21 Like  31
CHADEMA Tanzania's avatar
CHADEMA Tanzania
@ChademaTz
Tamko la kulaani kusimamishwa kiholela kwa wakili Mpale Mpoki na tishio kwa mawakili wa kujitegemea nchini.
CHADEMA Tanzania's Photo
Reply  7 Retweet  92 Like  420
Jambo TV's avatar
Jambo TV
@Jambotv_
📍 VIDEO :

"Watanzania wamechoka, tunataka katiba mpya ili uchaguzi uwe huru na wa haki na hiyo ndio njia ya kuiondoa CCM madarakani" Hashim Rungwe.
Jambo TV's Video
Reply  18 Retweet  71 Like  390
Help  |  Privacy  |  Reset password  |  Download app
We sent this email to @zumbaclass2013. Unsubscribe
Twitter International Company
One Cumberland Place, Fenian Street
Dublin 2, D02 AX07  IRELAND
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages