Kwa mujibu wa RPC Mkoa wa Mbeya ni kwamba tulikamatwa na kupelekwa polisi ili tupewe barua ya kuzuia maandamano ya amani ya tarehe 9 Nov 2023. Kwa hiyo tumekamatwa ili tupewe barua kwa kuwa OCD hajui tunapopatikana ijapo alikuwepo wakati wa ukamataji wetu.