MTEGEMEE MUNGU ILI ANYOSHE MAPITO YAKO

2,436 views
Skip to first unread message

Bahati Mashimba

unread,
Mar 7, 2013, 8:33:39 AM3/7/13
to yourtr...@googlegroups.com
Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe.Katika njia zako zote  mkiri yeye naye atayanyosha mapito yako.Mithali 3:5-6
 
Bwana Yesu apewe sifa.
 
Nashukuru Mungu kwa rehema zake, nguvu na utajiri wake kwetu.Neno la Mungu katika mistari hapo juu linatusihi kumtumainia, kumtegemea na kumkiri  yeye katika njia zetu zote.Mpendwa  yawezekana umekuwa ukiishi kwa nguvu na akili zako katika kufanya mambo yako ya kila siku.
 
Ninapenda ufahamu kuna baraka na mafanikio makubwa kwa mkristo anayeishi kwa kumtumainia ,kumtegemea na kumkiri BWANA katika kila jambo analolifanya.
Kumtegemea BWANA nikujishusha chini, kujiona kuwa huwezi  kufanya chochote bila nguvu na msaada wa Mungu.
 
Mpendwa, unapoanza siku yako asubuhi anza kwa maombi kwa kumweleza BWANA yote unayotarajia kuyafanya kwa siku hiyo.Kwa mfano unapoenda  sokoni mwambie  'BWANA wangu mimi ni mtoto wako Saimoni , nakiri ya kwamba nahitaji msaada wako  leo; na sasa ninapoenda sokoni naomba unyoshe mapito yangu na uniwezeshe kununua kile ninachoenda kununua na ukitakase kwa damu ya Yesu Kristo ili niweze kukitumia kwa ajili ya utukufu wa jina lako'.Mpendwa kwa kufanya hivyo Roho wa Mungu atakuwa pamoja nawe na atakuongoza kwa muuzaji anayeuza bidhaa zake bila kutumia dawa za kishirikina.
 
Wapo watu waliofanikiwa katika maisha, uchumi, cheyo, siasa na mambo yote katika jamii na kujiona wao ni wenye akili zaidi ya wengine.Lakini nataka ufahamu kwamba  mafanikio ya kutegemea akili za mtu mwenyewe huwa ni mafupi na mwisho wake huwa ni mchungu.
 
Mpendwa katika Kristo; Mfanikio yetu katika mwili na roho yanategemea  nguvu tunayoweka katika kila jambo kwa kumtumainia na kumkiri Mungu wetu  kwa moyo wote na akili zetu.Je ni mambo mangapi umekuwa ukiyafanya kwa mazoea ya asili na  kwa akili zako bila kumshirikisha Mungu? Mafanikio yako yanategemea nguvu ya mkono wa Mungu.Tunapaswa tumtegemee Mungu kila siku na kila dakika kwa mambo yote. Mpendwa, kama watoto wadogo wanavyowategemea wazazi wao kwa kila kitu  yatupasa na sisi  kuweka matumaini yetu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
 
BWANA abariki neno lake na  pia akubarike sasa na siku zote za maisha yako.
 
 
 
 
 
 
 
 

Mtoka James

unread,
Mar 7, 2013, 3:17:02 PM3/7/13
to yourtr...@googlegroups.com
Asante atukuzwe mungu

2013/3/7 Bahati Mashimba <bahat...@yahoo.com>

--
--
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "YourTrueVine" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to yourtruevine...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Thanks & Regards.
James BC

MaryGlady Heri

unread,
Mar 8, 2013, 12:37:29 AM3/8/13
to yourtr...@googlegroups.com
Amen Amen the message is perfect-be blessed!

2013/3/7 Mtoka James <mtok...@gmail.com>

Bahati Mashimba

unread,
Mar 8, 2013, 6:30:27 AM3/8/13
to yourtr...@googlegroups.com
Amen.Mungu awabariki daima

On 3/8/13, MaryGlady Heri <mgl...@gmail.com> wrote:
> Amen Amen the message is perfect-be blessed!
>
> 2013/3/7 Mtoka James <mtok...@gmail.com>
>
>> Asante atukuzwe mungu
>>
>>
>> 2013/3/7 Bahati Mashimba <bahat...@yahoo.com>
>>
>>> *Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako
>>> mwenyewe.Katika njia zako zote mkiri yeye naye atayanyosha mapito
>>> yako.Mithali 3:5-6*
>>> **
>>> *Bwana Yesu apewe sifa.*
>>> **
>>> Nashukuru Mungu kwa rehema zake, nguvu na utajiri wake kwetu.Neno la
>>> Mungu katika mistari hapo juu linatusihi kumtumainia, kumtegemea na
>>> kumkiri
>>> yeye katika njia zetu zote.Mpendwa yawezekana umekuwa ukiishi kwa
>>> nguvu
>>> na akili zako katika kufanya mambo yako ya kila siku.
>>>
>>> Ninapenda ufahamu kuna baraka na mafanikio makubwa kwa mkristo anayeishi
>>> kwa *kumtumainia ,kumtegemea na kumkiri BWANA* katika kila jambo
>>> analolifanya.
>>> Kumtegemea BWANA nikujishusha chini, kujiona kuwa huwezi kufanya
>>> chochote bila nguvu na msaada wa Mungu.
>>>
>>> Mpendwa, unapoanza siku yako asubuhi anza kwa maombi kwa kumweleza
>>> BWANA yote unayotarajia kuyafanya kwa siku hiyo.Kwa mfano unapoenda
>>> sokoni
>>> mwambie *'BWANA wangu mimi ni mtoto wako Saimoni , nakiri ya kwamba
>>> nahitaji msaada wako leo; na sasa ninapoenda sokoni naomba unyoshe
>>> mapito
>>> yangu na uniwezeshe kununua kile ninachoenda kununua na ukitakase kwa
>>> damu
>>> ya Yesu Kristo ili niweze kukitumia kwa ajili ya utukufu wa jina
>>> lako'.*Mpendwa
>>> kwa kufanya hivyo Roho wa Mungu atakuwa pamoja nawe na atakuongoza kwa
>>> muuzaji anayeuza bidhaa zake bila kutumia dawa za kishirikina.
>>>
>>> Wapo watu waliofanikiwa katika maisha, uchumi, cheyo, siasa na mambo
>>> yote
>>> katika jamii na kujiona wao ni wenye akili zaidi ya wengine.Lakini
>>> nataka
>>> ufahamu kwamba mafanikio ya kutegemea akili za mtu mwenyewe huwa ni
>>> mafupi
>>> na mwisho wake huwa ni mchungu.
>>>
>>> Mpendwa katika Kristo; Mfanikio yetu katika mwili na roho yanategemea
>>> nguvu tunayoweka katika kila jambo kwa kumtumainia na kumkiri Mungu wetu
>>> * kwa moyo wote na akili zetu*.*Je ni mambo mangapi umekuwa ukiyafanya
>>> kwa mazoea ya asili na kwa akili zako bila kumshirikisha Mungu?*
>>> Mafanikio
>>> yako yanategemea nguvu ya mkono wa Mungu.Tunapaswa tumtegemee Mungu kila
>>> siku na kila dakika kwa mambo yote. Mpendwa, kama watoto wadogo
>>> wanavyowategemea wazazi wao kwa kila kitu yatupasa na sisi kuweka
>>> matumaini yetu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
>>>
>>> *BWANA abariki neno lake na pia akubarike sasa na siku zote za maisha
>>> yako.*
>>> **
>>> **
>>> **
>>> **
>>> **
>>> **
>>>
>>>
>>>
>>> --
>>> --
>>> Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni
>>> chochote mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7
>>>
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> Groups
>>> "YourTrueVine" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>>> an
>>> email to yourtruevine...@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>>
>>>
>>
>>
>>
>> --
>> *Thanks & Regards.*
>> *James BC*
>> *+255 784 501 828*
>>
>> --
>> --
>> Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni
>> chochote
>> mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7
>>
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "YourTrueVine" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to yourtruevine...@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
>
> --
> --
> Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni chochote
> mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7
>
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "YourTrueVine" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to yourtruevine...@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>


--
Hata niwapo taabuni napata kitulizo maana ahadi yako yanipa uhai.Zaburi119:50
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages