Kila alhamisi nitakuwa na Somo la Wana Ndoa na kila Ijumaa litakuwa
somo la Vijana
NENO LA LEO: Yeremia14:14
“Ndipo BWANA akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu
mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni
unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya
mioyo yao”
TAFAKARI:
Leo tunaangalia baadhi ya Sifa za Manabii wa Kweli na Uongo.
Yesu alisema “Mtawatambua kwa matunda yao….” Mathayo 7:16. Mtunda ni
matendo ya Mtu. Kwanza lazima tuelewe sifa za watu wa Mungu au
Watakatifu: Yohana aliambiwa maneno haya: “Hapa ndipo penye subira ya
watakatifu, HAO wazishikao AMRI za Mungu na Imani ya Yesu” Ufunuo
14:12. Na nabii Isaya anasema “Na waende kwa Sheria na Ushuhuda; ikiwa
hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana Asubuhi”
Isaya 8:21. Na Yohana anasema “Yeye asemaye, nimemjua, wala hazishiki
AMRI zake, ni Muongo, wala kweli haimo ndani yake” 1Yohana 2:4. Hata
hivyo kuna Sheria Zilizoishia msalabani ambazo zilikuwa ni kivuli.
Wengi Wasio na ufahamu wa neno, wamechanganya AMRI kumi za Mungu
zinazoonyesha Dhambi, na Sheria zilizolenga Kifo cha Yesu Msalabani.
Manabii na viongozi wa Dini, wanaokataa Kufundisha Amri za Mungu kwa
sababu zozote zile, Mungu anasema kwa Hao Ni GAIZA hapana Asubuhi.
Amri za Mungu zinaonyesha Dhambi, ni kama Kioo. Na NEEMA ya Kristo
kupitia Kifo chake Msalabani – Inatupatia Msamaha bure baada ya TOBA,
Inatusafisha dhambi na kutupatia Haki mbele za Mungu, na Inatupatia
Nguvu ya Kushinda Dhambi kwa njia ya Roho Mtakatifu.
Ukiona Nabii, Mtume, Mchungaji n.k. anafanya kati ya tabia hizi
zifuatazo, hajatumwa na Mungu:- Upendeleo, Chuki, Tamaa ya Ngono,
visasi, ulevi, wivu, anagombea vyeo, muongo, anapenda wenye Pesa, ana
dharau maskini, mwizi, mdanganyifu, hafundishi Amri za Mungu, hakemei
dhambi, mnafiki, mafundisho makuu ni mibaraka, utajiri na Miujiza,
mshirikina, anamkana Yesu. n.k. Huyo hana Roho wa Mungu – Rafiki! Nuru
na Giza Havikai pamoja. Tunashuhudia wengi wanaodai kujazwa Roho
wanafanya mambo ya kukatisha tamaa – Hao ni wafanya BIASHARA tu kwa
mgongo wa Dini. Soma Neno, Omba, Amini na kutii, bila Kujali ITIKADI
ZA DINI AU DHEHEBU. Kweli itatuweka HURU – Muda si mrefu wengi
watagundua kuwa wamedanganywa, wakiwa wamechelewa.
BABA MUNGU AWABARIKI NA KUWAPATIA SIKU NJEMA YENYE AMANI NA MAFANIKIO
TELE
Na: Eliezer Mwangosi
Ni somo linalogusa hali halisi ya siku za leo ambapo kanisa limegubikwa na
michanganyo na 'usanii' mwingi.
Hata hivyo naona umeongea kwa ujumla sana juu ya sifa za nabii wa uongo
kiasi ambacho umeelezea mtenda dhambi. Naomba ufafanue ikiwezekana kila sifa
uliyoitaja kwa undani mf. Upendeleo ..katika maswala yapi, wakati gani, na
ka-mfano kidogo.
Mambo mengine hayana mjadala mtu hawezi kuwa nabii huku akiwa mzinzi au
Mwongo.
La mwisho naomba kuuliza... kujazwa Roho ni vibaya?
Ahsante,
J
-----Original Message-----
From: yourtr...@googlegroups.com [mailto:yourtr...@googlegroups.com]
Sent: September 27, 2011 9:03 AM
To: YourTrueVine
Subject: KUWATAMBUA MANABII WA UONGO
Salaam,
Kila alhamisi nitakuwa na Somo la Wana Ndoa na kila Ijumaa litakuwa
somo la Vijana
NENO LA LEO: Yeremia14:14
"Ndipo BWANA akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu
mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni
unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya
mioyo yao"
TAFAKARI:
Leo tunaangalia baadhi ya Sifa za Manabii wa Kweli na Uongo.
Yesu alisema "Mtawatambua kwa matunda yao.." Mathayo 7:16. Mtunda ni
matendo ya Mtu. Kwanza lazima tuelewe sifa za watu wa Mungu au
Watakatifu: Yohana aliambiwa maneno haya: "Hapa ndipo penye subira ya
watakatifu, HAO wazishikao AMRI za Mungu na Imani ya Yesu" Ufunuo
14:12. Na nabii Isaya anasema "Na waende kwa Sheria na Ushuhuda; ikiwa
hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana Asubuhi"
Isaya 8:21. Na Yohana anasema "Yeye asemaye, nimemjua, wala hazishiki
AMRI zake, ni Muongo, wala kweli haimo ndani yake" 1Yohana 2:4. Hata
hivyo kuna Sheria Zilizoishia msalabani ambazo zilikuwa ni kivuli.
Wengi Wasio na ufahamu wa neno, wamechanganya AMRI kumi za Mungu
zinazoonyesha Dhambi, na Sheria zilizolenga Kifo cha Yesu Msalabani.
Manabii na viongozi wa Dini, wanaokataa Kufundisha Amri za Mungu kwa
sababu zozote zile, Mungu anasema kwa Hao Ni GAIZA hapana Asubuhi.
Amri za Mungu zinaonyesha Dhambi, ni kama Kioo. Na NEEMA ya Kristo
kupitia Kifo chake Msalabani - Inatupatia Msamaha bure baada ya TOBA,
Inatusafisha dhambi na kutupatia Haki mbele za Mungu, na Inatupatia
Nguvu ya Kushinda Dhambi kwa njia ya Roho Mtakatifu.
Ukiona Nabii, Mtume, Mchungaji n.k. anafanya kati ya tabia hizi
zifuatazo, hajatumwa na Mungu:- Upendeleo, Chuki, Tamaa ya Ngono,
visasi, ulevi, wivu, anagombea vyeo, muongo, anapenda wenye Pesa, ana
dharau maskini, mwizi, mdanganyifu, hafundishi Amri za Mungu, hakemei
dhambi, mnafiki, mafundisho makuu ni mibaraka, utajiri na Miujiza,
mshirikina, anamkana Yesu. n.k. Huyo hana Roho wa Mungu - Rafiki! Nuru
na Giza Havikai pamoja. Tunashuhudia wengi wanaodai kujazwa Roho
wanafanya mambo ya kukatisha tamaa - Hao ni wafanya BIASHARA tu kwa
mgongo wa Dini. Soma Neno, Omba, Amini na kutii, bila Kujali ITIKADI
ZA DINI AU DHEHEBU. Kweli itatuweka HURU - Muda si mrefu wengi
watagundua kuwa wamedanganywa, wakiwa wamechelewa.
BABA MUNGU AWABARIKI NA KUWAPATIA SIKU NJEMA YENYE AMANI NA MAFANIKIO
TELE
Na: Eliezer Mwangosi
--
Usikubali kushindwa na ubaya bali ushinde ubaya kwa wema.Waroma12:21
Mtu yeyote hawezi kuitwa Mkristo halisi bila Kujazwa Roho Mtakatifu. Ukristo Halisi ni Kuzaliwa upya - Kuzaliwa Upya ni kupokea UWEZO / NGUVU ya Roho Mtakatifu. Siku hizi kuna nadharia nyingi za Kujazwa Roho hadi imefikia wengi kutoelewa. Ulimwengu wetu wa sasa Umevamiwa na ROHO MBANDIA sio ROHO Mtakatifu, ROHO Chafu zimejigeuza kuwa malaika wa NURU, na kutenda Kazi kwa HILA, wengi kwa kutosoma NENO la MUNGU wamezipokea bila kujua, ni hakika mizizi ya Dhambi haikomi maishani Mwao. Matendo yao ya SIRI ni Maovu hata kama mbele za watu wanaonekana wamepokea Roho Mtakatifu.
Shetani anafanya usanii huu: Yuko "very strategic" anawapandikiza watu MAGONJWA, UTASA, ANAVURUGA BIASHARA, MIKOSI n.k. HALAFU ANAWAANDAA WATUMISHI KWA KUWAJAZA UPAKO WA KUYAONDOA MAGONJWA HAYO. Nguvu ileile aliyotumia kuyaingiza ndiyo anaitumia kuyaondoa, na wengi hawajui kuwa wanatumika na Nguvu bandia, ndio maana hata ukiwaonyesha ukweli hawaukubali, wanaamini hawawezi kufanya miujiza bila Mungu. YESU ALISEMA "ANGALIENI NIMEKWISHA KUWAONYA MBELE"
MIUJIZA YA KWELI IPO NA ITAENDELEA HADI YESU ATAPOKUJA KUCHUKUWA KANISA - LAKINI MIUJIZA BANDIA ITAKUWA MINGI ILI KUHAKIKISHA HATA WALIO WATEULE WAPOTEE.
KAENI MACHO NI NYAKATI ZA HATARI ZAIDI YA WENGI WANAVYOJUA.
HAVE A NICE DAY.
Eliezer
Ahsante,
J
Salaam,
TAFAKARI:
Na: Eliezer Mwangosi
Important Notice:
The National Bank of Commerce Limited is a registered Commercial Bank in the United Republic of Tanzania.
This e-mail and any files transmitted with it are confidential and intended for the use of the individual or entity to whom they are addressed.
Please note that there are terms and conditions and some important restrictions, qualifications and disclaimers ("the Disclaimer") that apply to this email. To read this click on the following address or copy into your Internet browser:
http://www.nbctz.com/disclaimer/email
The Disclaimer forms part of the content of this email.
From: Annajoyce Manyanga <anne...@hotmail.com>
To: yourtr...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, September 27, 2011 10:10 AM
Subject: RE: KUWATAMBUA MANABII WA UONGO