UMUHIMU WA KUFUNDISHA WATOTO NENO LA MUNGU

4,395 views
Skip to first unread message

Bahati Mashimba

unread,
Apr 20, 2012, 4:04:04 AM4/20/12
to yourtr...@googlegroups.com
Katika Biblia tunasoma mistari mbalimbali inayotuonyesha umuhimu wa kuwafundisha   watoto.
  1. Watoto ni wajumbe wa habari njema, Yoeli 1:3 “Waarifuni watoto wenu habari yake ,Watoto wenu wakawaambie watoto wao, Na watoto wao wakakiambie kizazi kingine”
  2. Bwana anahitaji kuwaokoa, Yohana 3:16 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele ”
  3. Watoto wanaofundishwa  Habari Njema mapema ni rahisi kusikia na kuelewa,  Mithali 22:6 “ Mlee mtoto katika njia impasayo,Naye hataicha hata atakapokuwa mzee ”
  4. Watoto na watu wazima/wazee wana akili tofauti, 1korintho 14:20 “ Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu;lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga,bali katika akili zenu mkawe watu wazima”
  5. Mwanzo wa mafanikio ya maisha yao ni nyumbani, Waefeso 6:1-4 “ Enyi watoto,watiini wazazi wenu katika Bwana,maana hii ndiyo haki.Waheshimu baba yako na mama yako;amri hii ndiyo amri ya kwanza yenyahadi,upate heri,ukae siku nyingi katika dunia.Nanyi,akina baba,msiwachokoze watoto wenu;bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana ”
  6. Watoto ni marafiki wa Mungu, Mathayo 18:14 “ Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee ”
  7. Watoto wataingia mbinguni, Zekaria 8:5 “Na hizo njia za mji zitajaa wavulana, na wasichana, wakicheza katika njia zake ”
 Sababu za kuwafundisha watoto
(a) Ili wafahamu neno la Mungu na Mungu mwenyewe wakiwa wadogo
(b) Ili kuwawezesha kumtii Yesu Kristo na neno lake
(c) Wajue kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli
(d) Watoto  na watu wazima  wanaomjua Kristo wanaweza kubadili Taifa/dunia
(e) Wawe watoto hai  na kuwa  viongozi  wa kesho wanaongoza Kanisa katika njia sahihi
(f) Wawe   viongozi  wa kesho wanaongoza Taifa  katika njia sahihi  na hofu ya Mungu

Wazazi tunahamu  kubwa ya kuona watoto wetu wanabarikiwa  na  kuwekwa  kwa Bwana.Tena  tunategemea kuona wanaendelea   vizuri katika makuzi yao  na wanafanikiwa katika maisha yao.Ni wajibu wa mzazi Mkristo kuwafundisha watoto wakiwa bado na umri mdogo na hata atakapokuwa hataacha njia ya BWANA. 

Mch G.Bundala
AICT


eliminata awet

unread,
Apr 20, 2012, 4:41:02 AM4/20/12
to yourtr...@googlegroups.com
Asante kwa matashi mema

Na kutukumbusha kwamba� ni vema kuwafundisha watoto wangali wadogo� habari� za mungu na kumfahamu mungu ni nani na mungu nawapenda watu wa namna gani.

Katika hilo naungana na wewe

Leo umenikumbusha sana nikiwa mtoto nikiwa�� jioni wakati� tunasubiri� mama amalize kupika chakula Baba alitufundisha� jinsi Mungu alivyoumba ulimwengu na mambo mangine mengi kutoka katekisemo


On 4/20/2012 11:04 AM, Bahati Mashimba wrote:
Katika Biblia tunasoma mistari mbalimbali inayotuonyesha umuhimu wa kuwafundisha � watoto.
  1. Watoto ni wajumbe wa habari njema,�Yoeli 1:3 �Waarifuni watoto wenu habari yake ,Watoto wenu wakawaambie watoto wao, Na watoto wao wakakiambie kizazi kingine�
  2. Bwana anahitaji kuwaokoa,�Yohana 3:16 �Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele �
  3. Watoto wanaofundishwa �Habari Njema mapema ni rahisi kusikia na kuelewa, �Mithali 22:6 � Mlee mtoto katika njia impasayo,Naye hataicha hata atakapokuwa mzee �
  4. Watoto na watu wazima/wazee wana akili tofauti,�1korintho 14:20 � Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu;lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga,bali katika akili zenu mkawe watu wazima�
  5. Mwanzo wa mafanikio ya maisha yao ni nyumbani,�Waefeso 6:1-4 � Enyi watoto,watiini wazazi wenu katika Bwana,maana hii ndiyo haki.Waheshimu baba yako na mama yako;amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye�ahadi,upate heri,ukae siku nyingi katika dunia.Nanyi,akina baba,msiwachokoze watoto wenu;bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana �
  6. Watoto ni marafiki wa Mungu,�Mathayo 18:14 � Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee �
  7. Watoto wataingia mbinguni,�Zekaria 8:5 �Na hizo njia za mji zitajaa wavulana, na wasichana, wakicheza katika njia zake �
�Sababu za kuwafundisha watoto
(a) Ili wafahamu neno la Mungu na Mungu mwenyewe wakiwa wadogo
(b) Ili kuwawezesha kumtii Yesu Kristo na neno lake
(c) Wajue kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli
(d) Watoto �na watu wazima �wanaomjua Kristo wanaweza kubadili Taifa/dunia
(e) Wawe watoto hai �na kuwa �viongozi �wa kesho wanaongoza Kanisa katika njia sahihi
(f) Wawe � viongozi �wa kesho wanaongoza Taifa �katika njia sahihi �na hofu ya Mungu

Wazazi tunahamu �kubwa ya kuona watoto wetu wanabarikiwa �na �kuwekwa �kwa Bwana.Tena �tunategemea kuona wanaendelea � vizuri katika makuzi yao �na wanafanikiwa katika maisha yao.Ni wajibu wa mzazi Mkristo kuwafundisha watoto wakiwa bado na umri mdogo na hata atakapokuwa hataacha njia ya BWANA.�

Mch G.Bundala
AICT


--
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7

Bahati Mashimba

unread,
Apr 20, 2012, 5:19:58 AM4/20/12
to yourtr...@googlegroups.com
Asante.Jina la Bwana lipewe sifa.Siku hizi  tatizo la wazazi wengi wako busy na kutafuta mahitaji na    kazi ya kufundisha neno la Mungu  watoto linabaki siku za ibada  kwenye lesson na sunday schools


On Fri, Apr 20, 2012 at 11:41 AM, eliminata awet <elimina...@haydom.co.tz> wrote:
Asante kwa matashi mema

Na kutukumbusha kwamba  ni vema kuwafundisha watoto wangali wadogo  habari  za mungu na kumfahamu mungu ni nani na mungu nawapenda watu wa namna gani.


Katika hilo naungana na wewe

Leo umenikumbusha sana nikiwa mtoto nikiwa   jioni wakati  tunasubiri  mama amalize kupika chakula Baba alitufundisha  jinsi Mungu alivyoumba ulimwengu na mambo mangine mengi kutoka katekisemo


On 4/20/2012 11:04 AM, Bahati Mashimba wrote:
Katika Biblia tunasoma mistari mbalimbali inayotuonyesha umuhimu wa kuwafundisha   watoto.
  1. Watoto ni wajumbe wa habari njema, Yoeli 1:3 “Waarifuni watoto wenu habari yake ,Watoto wenu wakawaambie watoto wao, Na watoto wao wakakiambie kizazi kingine”
  2. Bwana anahitaji kuwaokoa, Yohana 3:16 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele ”
  3. Watoto wanaofundishwa  Habari Njema mapema ni rahisi kusikia na kuelewa,  Mithali 22:6 “ Mlee mtoto katika njia impasayo,Naye hataicha hata atakapokuwa mzee ”
  4. Watoto na watu wazima/wazee wana akili tofauti, 1korintho 14:20 “ Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu;lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga,bali katika akili zenu mkawe watu wazima”
  5. Mwanzo wa mafanikio ya maisha yao ni nyumbani, Waefeso 6:1-4 “ Enyi watoto,watiini wazazi wenu katika Bwana,maana hii ndiyo haki.Waheshimu baba yako na mama yako;amri hii ndiyo amri ya kwanza yenyahadi,upate heri,ukae siku nyingi katika dunia.Nanyi,akina baba,msiwachokoze watoto wenu;bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana ”
  6. Watoto ni marafiki wa Mungu, Mathayo 18:14 “ Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee ”
  1. Watoto wataingia mbinguni, Zekaria 8:5 “Na hizo njia za mji zitajaa wavulana, na wasichana, wakicheza katika njia zake ”
 Sababu za kuwafundisha watoto
(a) Ili wafahamu neno la Mungu na Mungu mwenyewe wakiwa wadogo
(b) Ili kuwawezesha kumtii Yesu Kristo na neno lake
(c) Wajue kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli
(d) Watoto  na watu wazima  wanaomjua Kristo wanaweza kubadili Taifa/dunia
(e) Wawe watoto hai  na kuwa  viongozi  wa kesho wanaongoza Kanisa katika njia sahihi
(f) Wawe   viongozi  wa kesho wanaongoza Taifa  katika njia sahihi  na hofu ya Mungu

Wazazi tunahamu  kubwa ya kuona watoto wetu wanabarikiwa  na  kuwekwa  kwa Bwana.Tena  tunategemea kuona wanaendelea   vizuri katika makuzi yao  na wanafanikiwa katika maisha yao.Ni wajibu wa mzazi Mkristo kuwafundisha watoto wakiwa bado na umri mdogo na hata atakapokuwa hataacha njia ya BWANA. 

Mch G.Bundala
AICT


--
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7

--
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu basi ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.Yohana15:7



--
Hata niwapo taabuni napata kitulizo maana ahadi yako yanipa uhai.Zaburi119:50


Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages