Salaam,
NENO LA LEO: Mathayo 8:23-27
“Akapanda chomboni, wanafunzi wake wakamfuata. Kukawa na msukosuko mkuu baharini, hata chombo kikafunikizwa na mawimbi; naye alikuwa amelala usingizi. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana, tuokoe, tunaangamia. Akawambia mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, KAZIKEMEA PEPO NA BAHARI; KUKAWA SHWARI KUU”
TAFAKARI:
Kama kawaida ya Maisha ya Mwanadamu, katika ulimwengu huu wa dhambi, tunakumbana na dhoruba tusizozitegemea. Tunashuhudia waliokuwa na maisha mazuri hadi wanafikia kubeza wengine, hali zinageuka ghafla bila matarajio, wanakuwa na hali za kukatisha tamaa, hata asubuhi ya leo, kuna watu hawaoni raha ya maisha, na wengine usiku ulikuwa mrefu, hawajapata usingizi. Wapendwa ulimwengu huu hauna hauna mwenyewe, ni Mungu peke yake mwenye mamlaka, ni mara ngapi tunasikia watu wanasombwa na SUNAMI wakiwa kwenye maraha UFUKWENI?
MUNGU ATUPATIE SIKU NJEMA YENYE AMANI ANA BARAKA TELE
Ev: Eliezer Mwangosi.
Ukiona vema, wapelekee wengine ujumbe huu wa matumaini au nitumie E-addrees zao.
Maswali na Ushauri – vinaruhusiwa bila mashariti yoyote.
Salaam,
NENO LA LEO: Mathayo 8:23-27
“Akapanda chomboni, wanafunzi wake wakamfuata. Kukawa na msukosuko mkuu baharini, hata chombo kikafunikizwa na mawimbi; naye alikuwa amelala usingizi. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana, tuokoe, tunaangamia. Akawambia mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, AKAZIKEMEA PEPO NA BAHARI; KUKAWA SHWARI KUU”
TAFAKARI:
Kama kawaida ya Maisha ya Mwanadamu, katika ulimwengu huu wa dhambi, tunakumbana na dhoruba tusizozitegemea. Tunashuhudia waliokuwa na maisha mazuri hadi wanafikia kubeza wengine, ghafla hali zao zinageuka bila matarajio, wanakuwa na hali za kukatisha tamaa, hata asubuhi ya leo, kuna watu hawaoni raha ya maisha, na wengine usiku ulikuwa mrefu, hawajapata usingizi. Wapendwa ulimwengu huu mwenyewe, ni Mungu peke yake mwenye mamlaka, ni mara ngapi tunasikia watu wanasombwa na SUNAMI wakiwa kwenye maraha UFUKWENI?