kuungamisha nako kazi!

32 views
Skip to first unread message

Lemburis Kivuyo

unread,
Apr 9, 2011, 10:08:47 AM4/9/11
to Rehema Kivuyo, Suvuku Lukumay, Gervas Abel Mweta, swallow.emmanuel, edward mwamila, wazalend...@googlegroups.com
Have a good day

 

 Padri nae Mbiyo

 

 

 

Subject: kuungamisha nako kazi!

Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara

muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya

msalaba akaanza kuungama.

 

"padri naungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana"

 

"endelea"

 

"bosi wangu aliniita nyumbani kwake akaniambia amegundua nimeiba shilingi

milioni 50, akasema nisipotoa maelezo ya kutosha atanipeleka polisi. Sasa

ukweli mimi naogopa kufungwa, nikatazama huku na huku nikagundua tuko

wawili peke yetu, nikachomoa bastola nikamuua. Yesu atanisamehe?"

 

"utasamehewa"

  

 

"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango unafunguliwa, kutazama loh,

mke wa bosi. Akaniuliza nimemfanya nini mume wake. Kutazama huku na huku

nikagundua tuko wawili peke yetu, nikamuua na yeye. Yesu atanisamehe na

hiyo?"

 

"utasamehewa"

 

"nikatoka nje, nikawasha gari niondoke lakini mlinzi akakataa

 kufungua

geti
 akasema amesikia kama kishindo hivi!
 Nikaona

 ananiwekea

 kiwingu.

Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke yetu nikamuua. Yesu

atanisamehe?"

 

"utasamehewa"

 

"nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda nyumbani, wakati napanga kuja

kuungama mtoto wa bosi akabisha hodi nikawaza mambo gani

 tena.

 Akasema

amerudi
 nyumbani na kukuta

 yaloyotokea, lakini akanionyesha diary ya baba

yake inayoonesha kuwa nilikuwa na appointment naye kabla hajafa.

Nikamuuliza nani mwingine anajua, akasema ameanzia kwangu kisha atakwenda

polisi. Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke yetu nikamuua.

Diary

  nikaichoma moto. Yesu atanisamehe na hilo?"

 

-

 kimya........

 

"padri, Yesu atanisamehe kwa hilo?"

 

- kimya.........

 

Jamaa kutazama kwenye kibox padri hayupo. Lakini kwenye kona moja akaona

 

kabati la ngou za mapadri kama linatikisika. Kufungua akamuona padri

kajificha katikati ya
 majoho

 anatetemeka.

 

"sasa
 baba mbona umenikimbia?"

 

padri kwa taabu akajibu

 

"nilitazama huku na huku nikagundua kuwa tuko wawili peke yetu........"

 

 




--
Loishiye Lazaro Teveli
Operations Manager
West Kili Pty Ltd.
P.O.Box 3088 Mwanza-Tanzania
E-loishi...@gmail.com
T-0754-389384,0784-389384
__._,_.___
Recent Activity:
.

__,_._,___



--
Feel free to ask any question

Cordially yours, 

Technical Consultant - InfoCom Center
______________________________________________________________________________

Website and eMarketing Management Consultancy, Business and Community Projects Management Consultancy

Location:  Sokoine Rd, ACU Building, Opposite to Arusha Regional Library
Office Tel/Fax#:  +255 (0) 27 254 5430/ +255 (0) 73 297 8002, Cellphones: +255 654650100/+255 (0) 77 465 0100/+255 (0) 78 766 5050/+255 (0) 75 564 6470/
Website: www.infocomcenter.com, www.webstar5.net

WILDS OF AFRICA TOURS & TRAVELS

unread,
Apr 10, 2011, 12:03:15 PM4/10/11
to wazalend...@googlegroups.com
This is so special

Lemburis Kivuyo wrote:
> Have a good day
>
>
>
> Padri nae Mbiyo
>
>
>
>
>
>
>

> *Subject:* kuungamisha nako kazi!

> sender<loishiy...@gmail.com?subject=Re%3A%20Fwd%3A%20FW%3A%20kuungamisha%20nako%20kazi%21>|
> Reply
> to
> group<TAFESAs...@yahoogroups.com?subject=Re%3A%20Fwd%3A%20FW%3A%20kuungamisha%20nako%20kazi%21>|
> Reply
> via web
> post<http://groups.yahoo.com/group/TAFESAssociates/post;_ylc=X3oDMTJxbWlvZW81BF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzE4MDM5NDgEZ3Jwc3BJZAMxNzA1MDc0NzY4BG1zZ0lkAzI2OTMwBHNlYwNmdHIEc2xrA3JwbHkEc3RpbWUDMTMwMjM0MjAyNQ--?act=reply&messageNum=26930>|
> Start
> a New
> Topic<http://groups.yahoo.com/group/TAFESAssociates/post;_ylc=X3oDMTJlcWplaTlzBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzE4MDM5NDgEZ3Jwc3BJZAMxNzA1MDc0NzY4BHNlYwNmdHIEc2xrA250cGMEc3RpbWUDMTMwMjM0MjAyNQ-->
> Messages in this
> topic<http://groups.yahoo.com/group/TAFESAssociates/message/26930;_ylc=X3oDMTM2cWUxZGpnBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzE4MDM5NDgEZ3Jwc3BJZAMxNzA1MDc0NzY4BG1zZ0lkAzI2OTMwBHNlYwNmdHIEc2xrA3Z0cGMEc3RpbWUDMTMwMjM0MjAyNQR0cGNJZAMyNjkzMA-->(


> 1)
> Recent Activity:
>
>
> Visit Your

> Group<http://groups.yahoo.com/group/TAFESAssociates;_ylc=X3oDMTJlaGlkOTdwBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzE4MDM5NDgEZ3Jwc3BJZAMxNzA1MDc0NzY4BHNlYwN2dGwEc2xrA3ZnaHAEc3RpbWUDMTMwMjM0MjAyNQ-->
> [image: Yahoo!
> Groups]<http://groups.yahoo.com/;_ylc=X3oDMTJkMmx1NnE2BF9TAzk3NDc2NTkwBGdycElkAzE4MDM5NDgEZ3Jwc3BJZAMxNzA1MDc0NzY4BHNlYwNmdHIEc2xrA2dmcARzdGltZQMxMzAyMzQyMDI1>
> Switch to:
> Text-Only<TAFESAssociat...@yahoogroups.com?subject=Change+Delivery+Format:+Traditional>,
> Daily
> Digest<TAFESAssoci...@yahoogroups.com?subject=Email+Delivery:+Digest>�
> Unsubscribe<TAFESAssociat...@yahoogroups.com?subject=Unsubscribe>�
> Terms
> of Use <http://docs.yahoo.com/info/terms/>
> .


>
> __,_._,___
>
>
>
> --
> Feel free to ask any question
>
> Cordially yours,
>
> Technical Consultant - InfoCom Center
> ______________________________________________________________________________
>
> Website and eMarketing Management Consultancy, Business and Community
> Projects Management Consultancy
> Location: Sokoine Rd, ACU Building, Opposite to Arusha Regional Library
> Office Tel/Fax#: +255 (0) 27 254 5430/ +255 (0) 73 297 8002, Cellphones:
> +255 654650100/+255 (0) 77 465 0100/+255 (0) 78 766 5050/+255 (0) 75 564
> 6470/

> Website: www.infocomcenter.com, www.webstar5.net <http://webstar5.net/>
>
> --
> Unapokea taarifa kutoka "Wazalendo Dot Net" Group.
> Tuma mada kwenda wazalend...@googlegroups.com.
> Kujiondoa tuma barua pepe kwenda
> wazalendo-dot-...@googlegroups.com
> Kwa maelezo zaidi tembelea
> http://groups.google.com/group/wazalendo-dot-net?hl=en?hl=en
> AU
> http://wazalendo.net
>


--
--------------------------------------------------
WILDS OF AFRICA TOURS & TRAVEL
Tanzania, East Africa

__________________________________________________
CONTACT DETAILS

P.o. Box 15441, Arusha, Tanzania
E-mail: in...@wildsofafrica.com
URL: www.wildsofafrica.com
Phone: +255(0)754095405


Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages