Hosea 6: 1-3, 6

10 views
Skip to first unread message

Kusirie Senkondo

unread,
Apr 13, 2016, 1:35:36 AM4/13/16
to seniorfri...@googlegroups.com, Muju's Youth Group, couplesday, wanya...@googlegroups.com
1 Njoni, tumrudie Bwana; maana yeye amerarua, na yeye atatuponya; yeye amepiga, na yeye atatufunga jeraha zetu.
 2 Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi tutaishi mbele zake.
 3 Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua Bwana; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujilia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.
 
 6 Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.


--
Kusirie E. Senkondo
Living for Christ
+255 754 476 854


"NO RESPONSIBILITY WITHOUT ACCOUNTABILITY"

milka mkemwa

unread,
Apr 13, 2016, 10:20:25 AM4/13/16
to Kusirie Senkondo, seniorfri...@googlegroups.com, Muju's Youth Group, couplesday, wanya...@googlegroups.com
Asante kwa Neno mtumishi wa Mungu. "Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua Bwana" kweli hatujafika bado kile kiwango. Mungu atusaidie kuwa na kiu ya kutamani kumjua zaidi na zaidi kila wakati. Amen.
 
Ms. Milka John Mkemwa
Documentalist
African Court on Human and Peoples' Rights
TANAPA Building
P.O.Box: 6274
Arusha
TANZANIA
Website: www.african-court.org


--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanyalukolo Arusha" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanyalukolo...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages