Upatikanaji wa Kitabu kuhusu Biubwa Amour Zahor kilichoandikwa na Zuhura Yunus

9 views
Skip to first unread message

Chambi Chachage

unread,
Nov 2, 2021, 2:46:03 PM11/2/21
to Chambi Chachage
Salaam Mabibi na Mabwana,

Naamini wengi wenu mtakuwa mmeshasikia taarifa za uzinduzi wa kitabu cha Biubwa Amour Zahor kilichotungwa na Zuhura Yunus. Kitakuwa kinapatikana kwenye maduka mbalimbali jijini Dar es Salaam. Ambao mko mbali mtakipata Amazon.

Kama wewe ni mmiliki - au unafahamiana na wamiliki - wa maduka ya vitabu katika miji ya Mombasa na Nairobi tafadhali tuwasiliane ili tuwaunganishe na mchapishaji awatumie vitabu.

Hivi hapa chini ni viunganishi kuhusu kitabu na mwandishi:



Wasalaam,

Chambi

Martin Goodnews

unread,
Oct 16, 2023, 7:43:16 AM10/16/23
to Wanazuoni
This website is fantastic, and I've found it to be quite helpful. Keep up the great work. The AfOx Catalyst Grants offer initial funding to support the development of collaborative research projects between researchers based at African research institutions and the University of Oxford. These grants are open to all disciplines.  AfOx has awarded over 200 Catalyst Grants in the past five years, facilitating new collaborations between researchers from more than 100 African institutions and over 50 departments at Oxford University. My blog has more details available. For additional information, go there. Don't let this chance slip by.
https://www.makeoverarena.com/afox-catalyst-grants
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages