Ratiba ya msiba wa Mzalendo Sanctus Mtsimbe (RIEP)

9 views
Skip to first unread message

Phares Magesa

unread,
Mar 17, 2024, 12:56:49 AM3/17/24
to wanataaluma TPN Group
Mzalendo mwenzetu Sanctus Mstimbe anazikwa leo Jumapili makaburi ya Kinondoni kwa hiyo kadri tutakavyoweza tujitahidi kuhudhuria saa 9 alasiri, ibada itafanyika kanisa la SDA Tabata Segerea saa 6 mchana na msiba uko nyumbani kwa marehemu Tabata Segerea karibu na njia ya kuelekea Segerea Gerezani.

Rambirambi kwa niaba yetu wana TPN anakusanya Esther Mambali 0716474435.

Ratiba imeambatanishwa.

Phares Magesa
Kny: Wana TPN
0713/0767/0784 618320

RIEP Sanctus Mstimbe
DOC-20240315-WA0013..pdf
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages