Re: KUMBE KUTOMWAMINI MUNGU NI VERY SERIOUS ISSUE MBELE ZAKE!

12 views
Skip to first unread message

stella egidio

unread,
May 24, 2013, 1:37:07 AM5/24/13
to SELELI EDWIN, Roselyne Massam, Sabina Nyoni, Ritha Semizigi, Rose Shirima, Rita Mandara, Sayuni Mariki, Shadrack Mrita, Tina Geleja, stella simkoko, Rose Mkumbo, Salome Magaya, Stella Jambo, shija msikula, Shija Msikula, stella...@yahoo.com, seme kennedy, Tausi Ingabire, samora macrice, smw...@gmail.com, Tecla Dominic, Shogo Mlozi, samb...@yahoo.co.uk, Rkyeli...@gmail.com, Rukia Adam, Straton Kimario, Sarah Seme, Sydney Mkamba, steve...@gmail.com, Rogers Fovo, Salum S. Yusufu, Richard Kerissa, suza...@yahoo.com, swafia....@tigo.co.tz, tengani...@yahoo.co.uk, sos...@hotmail.com, solidarity...@gmail.com, rwandi...@yahoo.com, stanle...@yahoo.com, shidu...@yahoo.com, sweetm...@hotmail.com, smbo...@yahoo.co.uk, suzana...@yahoo.com, smz...@yahoo.com, sse...@yahoo.com, rmnd...@nhctz.com, tito....@total.co.tz, rose seth, Sarah Mwingira, ritchm...@gmail.com, Vero James, veronica James, Zahara Amiri, Vivian Macha, Twitike Mwamundela, Tulibako Ulanga, Vicky Kamata, Tumsifu Elly, tutty mwankusye, Wende Caren Luvinga, yared dondo, vicky david, Tunu Mwiru, Tunu Mwiru, Wanagosheni, Upendo Mfalila, v_m...@yahoo.com, Zablon Mdeka, Tuwaha J. Mkunga, Veneranda N.. Lyimo, Victor Kimaro, Wolfgang E. Salia, Zawadi Nzota, tple...@yahoo.com, vgamb...@yahoo.com, wvi...@yahoo.com, ve...@muvek.co.tz, vivia...@yahoo.com, viv...@yahoo.com, veronica...@yahoo.com, willso...@yahoo.com, tubas...@yahoo.com, zmas...@yahoo.co.uk, yoe...@yahoo.com, vk...@esrf.or.tz, waka...@state.gov, tunu...@yahoo.com, tuli...@yahoo.com, wema....@gmail.com, VS...@nhctz.com, veneran...@tra.go.tz, Veila Shoo
AMen amen amen! Naomba nikazie tu hapo kaka Edwin , kwamba hata Neno la Mungu linasema " Kutokuamini kwetu hakutaubadilisha UAMINIFU wa Mungu". warumi 3: 3,4.
 
So we better decide to believe in Him. Nimeipenda sana hii mada yako mpendwa, yaani kama vile umetumwa specifically kwa ajili yangu mie.
 
Keep it up darling.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
To: stella egidio <nion...@yahoo.co.uk>
Cc: Roselyne Massam <roselyn...@yahoo.com>; Sabina Nyoni <sabbyr...@yahoo.com>; Ritha Semizigi <rith...@yahoo.com>; Rose Shirima <rouzr...@hotmail.com>; Rita Mandara <rita.m...@tz.airtel.com>; Sayuni Mariki <sayuni...@umb.no>; Shadrack Mrita <kic...@yahoo.com>; Tina Geleja <cge...@yahoo.com>; stella simkoko <stella...@yahoo.co.uk>; Rose Mkumbo <rose....@gmail.com>; Salome Magaya <sally...@yahoo.com>; Stella Jambo <stel...@yahoo.com>; shija msikula <smsi...@yahoo.com>; Shija Msikula <smsi...@yahoo.co.uk>; "stella...@yahoo.com" <stella...@yahoo.com>; seme kennedy <seme...@yahoo.co.uk>; Tausi Ingabire <taun...@yahoo.com>; samora macrice <smac...@yahoo.com>; "smw...@gmail.com" <smw...@gmail.com>; Tecla Dominic <domini...@yahoo.com>; Shogo Mlozi <smloz...@yahoo.com>; "samb...@yahoo.co.uk" <samb...@yahoo.co.uk>; "Rkyeli...@gmail.com" <Rkyeli...@gmail.com>; Rukia Adam <ra...@tra.go.tz>; Straton Kimario <SKim...@tra.go.tz>; Sarah Seme <SS...@tra.go.tz>; Sydney Mkamba <smk...@tra.go.tz>; "steve...@gmail.com" <steve...@gmail.com>; Rogers Fovo <rf...@tra.go.tz>; Salum S. Yusufu <syu...@tra.go.tz>; Richard Kerissa <richard...@yahoo.com>; "suza...@yahoo.com" <suza...@yahoo.com>; "swafia....@tigo.co.tz" <swafia....@tigo.co.tz>; "tengani...@yahoo.co.uk" <tengani...@yahoo.co.uk>; "sos...@hotmail.com" <sos...@hotmail.com>; "solidarity...@gmail.com" <solidarity...@gmail.com>; "rwandi...@yahoo.com" <rwandi...@yahoo.com>; "stanle...@yahoo.com" <stanle...@yahoo.com>; "shidu...@yahoo.com" <shidu...@yahoo.com>; "sweetm...@hotmail.com" <sweetm...@hotmail.com>; "smbo...@yahoo.co.uk" <smbo...@yahoo.co.uk>; "suzana...@yahoo.com" <suzana...@yahoo.com>; "smz...@yahoo.com" <smz...@yahoo.com>; "sse...@yahoo.com" <sse...@yahoo.com>; "rmnd...@nhctz.com" <rmnd...@nhctz.com>; "tito....@total.co.tz" <tito....@total.co.tz>; rose seth <ronase...@yahoo.com>; Sarah Mwingira <sarahm...@yahoo.com>; "ritchm...@gmail.com" <ritchm...@gmail.com>; Vero James <veroj...@yahoo.co.uk>; veronica James <veronic...@akhst.org>; Zahara Amiri <zahar...@yahoo.com>; Vivian Macha <macha...@gmail.com>; Twitike Mwamundela <tmwam...@yahoo.com>; Tulibako Ulanga <tulibako...@yahoo.com>; Vicky Kamata <vicky...@hotmail.co.uk>; Tumsifu Elly <tom_t...@yahoo.com>; tutty mwankusye <tmwan...@yahoo.co.uk>; Wende Caren Luvinga <wende...@gmail.com>; yared dondo <dondo...@yahoo.co.uk>; vicky david <vicky_...@yahoo.com>; Tunu Mwiru <TMw...@tra.go.tz>; Tunu Mwiru <tnm...@yahoo.com>; Wanagosheni <wana-...@googlegroups.com>; Upendo Mfalila <umfa...@tra.go.tz>; "v_m...@yahoo.com" <v_m...@yahoo.com>; Zablon Mdeka <ZMd...@tra.go.tz>; Tuwaha J. Mkunga <tmk...@tra.go.tz>; Veneranda N.. Lyimo <vly...@tra.go.tz>; Victor Kimaro <vki...@tra.go.tz>; Wolfgang E. Salia <WSa...@tra.go.tz>; Zawadi Nzota <ZNz...@tra.go.tz>; "tple...@yahoo.com" <tple...@yahoo.com>; "vgamb...@yahoo.com" <vgamb...@yahoo.com>; "wvi...@yahoo.com" <wvi...@yahoo.com>; "ve...@muvek.co.tz" <ve...@muvek.co.tz>; "vivia...@yahoo.com" <vivia...@yahoo.com>; "viv...@yahoo.com" <viv...@yahoo.com>; "veronica...@yahoo.com" <veronica...@yahoo.com>; "willso...@yahoo.com" <willso...@yahoo.com>; "tubas...@yahoo.com" <tubas...@yahoo.com>; "zmas...@yahoo.co.uk" <zmas...@yahoo.co.uk>; "yoe...@yahoo.com" <yoe...@yahoo.com>; "vk...@esrf.or.tz" <vk...@esrf.or.tz>; "waka...@state.gov" <waka...@state.gov>; "tunu...@yahoo.com" <tunu...@yahoo.com>; "tuli...@yahoo.com" <tuli...@yahoo.com>; "wema....@gmail.com" <wema....@gmail.com>; "VS...@nhctz.com" <VS...@nhctz.com>; "veneran...@tra.go.tz" <veneran...@tra.go.tz>; Veila Shoo <veil...@yahoo.com>
Sent: Friday, 24 May 2013, 1:45
Subject: KUMBE KUTOMWAMINI MUNGU NI VERY SERIOUS ISSUE MBELE ZAKE!

Hello everybody, shalom


Ni vyepesi sana tunapoongelea mambo yanayoweza kumkasirisha Mungu vibaya sana, tukataja haraka dhambi kama uzinzi, uuwaji,uchawi, makufuru nk, maovu  ambayo ni kweli Mungu hafurahishwi nayo hata nukta lakini pia kuna Kutomwamini, Kutotii na Manung’uniko.Ni nia ya somo ili kuzumgumzia  Kutomwamini Mungu ilivyo dhambi mbaya kweli kuliko tunavyochukulia au kuzoelea. Nilishangaa kweli Roho Mtakatifu alivyo ninunurishia nikang’amua ivyo katika baadhi ya maandiko nitakayoyatumia.

Kutoamini ni nini kwa mantiki ya kawaida ya maisha haya? Mfano kama Wazazi watamwambia mtoto kua asiwe na wasiwasi watamsomesha tu, au Mume akamwambia Mke kua atamnunulia gari/dressing table birth day party ijayo kisha Mtoto au Mke asiamini maneno ya Wazazi au Mume, maana yake nini? Majibu ya swali hilo yatakupa picha kwa nini Mungu ali-react alivyo-react dhidi ya Wana Israel ndiposa tutaelewa tabia ya Kutomwamini Mungu ni issue kubwa mno mbele za Bwana, tusiichukulie kirahisi hata kidogo. Ikiwa Wazazi kwa kujiamini kabisa wamemwambia mtoto wao kua watamsomesha au Mume kwa confidence zote kamwambia Mkewe atamnunulia gari, perfume halafu wasiaminiwe,itakua na maana ya kutiliwa shaka, kupuuzwa,kutojaliwa,kua na wasiwasi nao, kuwachukulia wao ni ndumila kuwili, waongo-waongo ivi ,hawa aaminiki kwa njia yoyote, ni hatari kuweka tumaini kwao, niku-risk status/personality yako kwa kua any time utavuna aibu maana hawatatimiza ilihali kwa furaha yako umeshawaambia rafiki zako( shuhudia). Pia Kutowaamini ni kujiuliza-uliza maswali negative dhidi ya yao, kisitasita,kuogopa, kutilia shaka mpaka uwezo wa Mzazi na Mume, ni kusema kua hapa nimeahidiwa lakini hamna lolote huyu bwanaa. Kwa upande mwingine wa Mhusika( Wazazi/Mume) watakapokua hawaaminiwa inapelekea kujisikia vibaya, kudharauliwa, kushushwa hadhi, kutoheshimiwa,kujisikia wao ni matapeli, kua hawana kauli thabiti ya kuaminika,watajikia huzuni kwa kweli na wakati mwingine hasira na ghadhabu(Imagine Mke hasiye mwamimi Mume au Wachumba wasio aminiana,Wazee wa Kanisa na Mchungaji Kiongozi wanaotiliana mashaka,Kwaya Master na wenzake)

Kwanini Asiye aminiwa ajisikie vibaya, hasira na ghadhabu? Ni kwa kua  anajua ana uwezo  kufanya alichoahidi, pia ameahidi kwa upendo wa dhati, anajisikia na anajua kua anahusikia kabisa  na maisha ya mtendewaji, ni raha kwakwe kumuona mtendewaji anajisikia kupendwa na kua na amani na kufurahia maisha sasa na uko mbele. Pia atajisikia vibaya sana asipoaminiwa kwa kua ni nyakati nyingi yeye huamua bila kuombwa kutenda mambo kadhaa na kua pale alipomwambia mtendewaji kua atamfanyia jambo fulani, ilikua tu kutoa taarifa ya maamuzi ya furaha ya moyo wake kumtendea jambo. Zaidi sana atajisikia hasira kweli kwa kua upo ushahidi mzito uko nyuma kua alishatenda sana na zaidi ya kutenda yale aliyoahidi mwenywe kwa nafsi yake na hata yale aliyoombwa kutenda na beneficiary. Kwa mantiki izo, kutoaminiwa sharti liwe ni jambo baya sana, lenye maudhi kweli kweli na kutia hasira isiyo na utani hata kidogo.

Ukiangalia andiko hili Hesabu-14:1-39 hasa mistari ya 11 na 22, utashangaa kufahamu jinsi Mungu, asipoaminiwa, uchukizwa kuliko kawaida.. ’’Bwana akamwuliza Musa, Je! Watu hawa watanidharau hata lini? Wasiniamini hata lini? Nijapokuwa nimefanya ishara hizo zote kati yao nakwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu’’’. Unajua  kwa sababu ya kutoamini kwao, Mungu alifanya MAAMUZI MAGUMU…aliapa ingawa alishawaapia watairidhi Nchi, alifuta mpango huo na akahakikisha wanakufa jangwani wote..mistari 22-23. Si ivyo tu, wale wapepelezi 10 walioleta habari mbaya kinyume na kuongea maneno ya Kumwamini Mungu kwa kua alishawaapia kua watairidhi Nchi kwa hakika hata kama kuna upinzani, wakasababisha kundi kulalamika na kumtilia shaka Mungu, walipigwa wakafa mara moja..mistari 36-37.

Katika Kutoka.32 na 33 pia Kumbu.9:11-20, Uko mwanzoni walishamvuruga Mungu na ilikua awafute toka ktk uso wa dunia Wana Israel,Taifa lake Teule kabisa na wala hakua anatania maana waga hatanii,wakapona-pona kwa kua walikua na Mchungaji aina ya Musa ambaye hata kama kundi lilikua linamvuruga sana yeye pia si Mungu tu bado kwa upendo wa kulea kondoo, no matter what mpaka wafike mbinguni, ndio uliomsukuma kuwatetea kwa kujenga hoja nzito sana mbele za Mungu( bila shaka wajua Mungu hupenda watu wamuendee kwa hoja( Isaya.43:26..let us contend together, state your case…). Pamoja na miujiza isiyo ya kupapasa na wala siyo ya kuona kiroho-roho bali live Mungu aliyotenda katikati yao, pamoja na kua ni Mungu mwenyewe kwa mapenzi yake kuamua kuleta ukombozi wao na kuwaahidia ahadi nyingi bila kusukumwa na kutiwa msukosuko na mtu Kutoka.3:1-22, lakini kila walipopata changamoto kama kukosa maji-Hesabu.20:1-5,nyama au walipofuatiliwa na majeshi ya Farao, walinung’unika na kuongea mambo mabaya sana kinyume na Musa na Mungu, matamko yaku-question or ku-query uwezo wa Mola.Walipoteza kabisa imani na Yehova Mkombozi wao na kufikia hatua ya kutengeneza sanamu ya ndama na kuisujudia kisha kuipa sifa na utukufu kua ndiye mungu aliye waookoa toka Misri!!!!! Mungu akashindwa kuvumulia kudharauliwa, kutoaminiwa na kushushwa hadhi kiasi icho akataka kuwafutilia mbali.

Pia Waebrania.11:6, Pasipo Imani Haiwezekani kumpendeza Mungu! ingekua pasipo utakatifu haiwezekani kumpendeza Mungu, hiyo ni mara moja rahisi kuelewa hata bila kujipatia muda wa kutakafari. Hata ivyo wakati ktk kitabu icho icho 12:14 kuhusu utakatifu imeandikwa.. tafuteni….na huo Utakatifu ambao hakuna atakaye muona Bwana bila kua nao, kuhusu Imani imeandikwa  haitawezekana kumpendeza.Ili Mungu apendezwe,ajue kua anaheshimika,ashawishike kua anafahamika na uweza wake usiotia shaka na moyo wake  wa kupenda kuwasaidia beneficiaries, ni lazima aone kwa hakika na dhati kabisa kua anaaminiwa na anajulikana yupo.

Kuhusu Bwana Yesu katika Mathayo.13:58, imeandikwa, hakutenda miujiza mingi huku kwa kutomwamni kwao! Can you imagine that? Yesu Mungu mwenye uweza wote na kwakwe hakuna lisilowezekana yet akaacha kutenda kwa kua hawakumwami yaani nguvu na kuonekana kwa Mungu dhahiri ktk miasha yao kukaathiriwa vibaya kwa kutoaamini kwao. Kwa maneno mengine, kama wangemwamini, leo tungekua na orodha ya miujiza mingine aliyotenda but itoke wapi wakati hawakumwamini?

Kitabu cha Waebrania. 11:7-40 kuna shuhuda za Wapendwa ambao walimwamini Mungu hata kama wengine hawakua watakatifu sana lakini kwa imani yao kwa Mungu, wakahesabiwa haki(God did  qualify( count) them righteous only after they believed). Thus, kama kuamini au kua na imani kwa/na Mungu inamfanya Mungu kum-transfer mtu toka stage ya chini kwenda ya juu/bora/ya baraka ie kuhesabiwa haki basi kumwamini Mungu ni serious thing to miss.

Hatimaye ktk Yohana.14:1-3 Bwana Yesu ilibidi asisitize kwa namna ya pekee Yeye pia kuaminiwa kwa mambo aliyowahi kusema na aliyokua anawaambia wakati anatoa picha ya kuelekea kumaliza kazi aliyotumwa kuifanya na nini destiny ya wanafunzi wake. Aliwachagiza kua kwa kua wanamwamini Mungu basi na wamwamini na Yeye kwa habari ya mahali anapokwenda na kua wasitie shaka kwa kua kwa Baba kuna makao mengi na anaenda kuwaandalia makao,na kwamba kungekua hamna kitu, angekua sincere tu kuwaambia.

Kwakua mategemeo ya Mungu kuaminiwa na madhara ya Yeye kutokuaminiwa na makubwa kiasi icho, basi twapaswa kumwanimi Mungu ktk hali zote mfano: Wakati mambo hayaendi sawia, mambo magumu safarini, ktk majaribu( tests/trials) za aina zote, mambo yamekawia. Kwakua pasipo imani , haitawezekana kumpendeza na kutokumwamini ni sawa sawa na kama alivyosema mwenyewe ktk Hesabu 14:11 kua ni kumdharau au kumkataa, ni heri Tukamwamini, tukaendelea kumwamini na kama tulishuka imani juu yake na mambo yake-(Ahadi ktk Neno lake au lile alilokuambia binafsi moyoni), basin a tuinue/tufanye upya imani yetu kwakwe leo. Kama mwanadamu aweza jisikia vibaya na kukasirika kweli hakidharauliwa, kwa Mungu inaweza kua serious case.

Press on believing in God, trusting in Him fully, no matter what!

Edwin Seleli

 

--




Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages