You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to Universities
Leo zikiwa zimebaki siku 42 kumaliza semister ya pili wanafunzi
hawajapata fedha yao ya kujikimu, kiukweli hali ya maisha hapa UDOM si
nzuri kiuchumi, itambulike kuwa wanafunzi wengi walioko vyuoni ni
watoto wa wakulima ambao kwa asilia 100% wanategemea mkopo kutoka
HESLB ombi langu naimba serikali ya Tanzania kunusulu maisha ya watoto
wa wakulima mungu ibariki UDOM, mungu ibariki Tanzania na wanafunzi wa
UDOM kuwa na moyo wa usitahimilivu Amena.