Dear members,
hati ya kijiji ya eka 30 ninayo mkononi tayari. Ilitakiwa Tsh 2,500,000/ wapewe cash, wakasema wao wanatukabidhi kumalizia jengo lao la ofisi ya mtaa wa Mduzi sawa na fedha ambayo tungetoa.
Nimepokea michango ya 250 kama ilivyo ktk jedwali, kwa sasa yaani leo mafundi wanaendelea na ujenzi kumalizia ofisi ya mtaa pale mduzi. Ofisi ya mtaa wa mduzi ni serikali, lakini hata sisi inatuhusu ( Mimi, Kasopa,Grace tuna mashamba pale mduzi).
Nawaomba ambao hamjachangia, mjitahidi kumalizia viporo ili tuingie hatua ya eka 40. Lengo tuwe na terminal ya eka 100. jamani MoU mmesaini kwa Dan?
Malila
|
Poa nakurushia,
October utakuwa nasi trip ya Ihanga njombe?
Dan 0715354565, ukimkosa hapa basi tena.
|
Bado sijapanga tarehe ya kwenda huko hiyo october.
malila |