budget ya kijana

8 views
Skip to first unread message

asifiwe malila

unread,
Nov 8, 2012, 4:45:44 AM11/8/12
to Umoja farm, Grace Rwegoshora
Hi wote,
 
Kijana wetu Masumbuko anayetunza shamba letu pale Mduzi Shungubweni anatumia wastani wa Tsh 60,000/ kwa mwezi. Nimemwambia awahamishe mbuzi waliobaki toka kwa Shija, naamini wale waliotangulia watakuwa wameshazoea mazingira yale. Pia nimewaomba wenye shamba wavute subira ili tulipe desemba, kiasi kisichopungua 2.75M kwa ajili ya upanuzi wa shamba letu.
 
   Malila

Grace Rwegoshora

unread,
Nov 8, 2012, 4:56:42 AM11/8/12
to asifiwe malila, Umoja farm
Kwakweli ni lazima tuanze kuzalisha, otherwise tusijekuwa tunalipa kijana wakati hatuingizi chochote.
wote tupo busy, ila naamini kama tukiupa huu mradi uzito unaostahili, mda na michango itapatikana tu.
let us move on and prove some people wrong. Tuonyeshe kuwa investments za vikundi zinawezekana.

G

2012/11/8 asifiwe malila <sif...@yahoo.com>

Hi wote,
 
Kijana wetu Masumbuko anayetunza shamba letu pale Mduzi Shungubweni anatumia wastani wa Tsh 60,000/ kwa mwezi. Nimemwambia awahamishe mbuzi waliobaki toka kwa Shija, naamini wale waliotangulia watakuwa wameshazoea mazingira yale. Pia nimewaomba wenye shamba wavute subira ili tulipe desemba, kiasi kisichopungua 2.75M kwa ajili ya upanuzi wa shamba letu.
 
   Malila



--
Grace



asifiwe malila

unread,
Nov 8, 2012, 5:35:07 AM11/8/12
to umoja...@googlegroups.com, Grace Rwegoshora, mboka mwalyaje
Uzoefu unaonyesha kuwa Watz wengi hatujashituka kuwa kasi ya maendeleo ulimwenguni ni kubwa na imetuacha,na kwamba kuunganisha nguvu limebaki kuwa kimbilio la wenye mitaji midogo. Tutafanikiwa. Tumkaribishe Abel Mbaga.
 
   Malila


--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Umoja Farm" group.
To post to this group, send email to umoja...@googlegroups.com.
To unsubscribe from this group, send email to umoja-farm+...@googlegroups.com.
For more options, visit this group at http://groups.google.com/group/umoja-farm?hl=en.


seyd hamood

unread,
Nov 8, 2012, 9:24:29 AM11/8/12
to umoja...@googlegroups.com
Pamoja Mkuu Malila 

--- On Thu, 8/11/12, asifiwe malila <sif...@yahoo.com> wrote:
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages