Dear Malila
Kama inawezekana hizi hesabu uziweke kwenye execl template - ili tuwe tunaona ni kiasi gani kila mtu amechangia halafu na michango yote kwa jumla iliyochangwa hadi sasa ni kiasi gani. Kwa hesabu za haraka hadi sasa tumefikisha Tsh. 14,353,000. Yaani iwapo kila mtu atachangia na kumalizia awamu zote inatakiwa iwe imekusanywa Tsh. 24,640,000.
Itabidi kufanya kazi ya ziada kukamilisha hii michago tu...lakini si kutoa michango tu bali na kuwajibika zaidi ili kuweze kutimiza malengo tu. Fedha bila kuwa na mipango na kujituma hatuwezi kufika kokote.
regards
Daniel