Kamsitu kwa bei ya kutupa

13 views
Skip to first unread message

asifiwe malila

unread,
Nov 22, 2012, 11:35:22 PM11/22/12
to kilimo tz, tuitunze misitu, Umoja farm, gala...@googlegroups.com, ihanga group
Dear,

Pale Mwatasi kuna kamsitu ka miti ya pines yenye umri wa miaka miwili, ukubwa wa shamba unakadiriwa kufika eka 30, na eka moja ni laki 4 bei ya kuanzia. Mwatasi panafikika kwa tax toka Iringa mjini, usafiri wa bus kila siku upo.

Kama unahitaji basi tuwasiliane.

   Malila
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages