habar

5 views
Skip to first unread message

jackson charles

unread,
Oct 20, 2012, 5:54:07 AM10/20/12
to uga...@googlegroups.com
wana ugani na wasalimu, na ninatumain mnaendelea vizur na majukumu ya
ya kujenga nchi

kazi njema na zenye matumain

Lubatillah Shaban

unread,
Oct 20, 2012, 1:41:32 PM10/20/12
to uga...@googlegroups.com
Haina shida tunashukuru kwa salamu. mungu akubariki sana kwa kutukumbuka.


--- On Sat, 10/20/12, jackson charles <jach...@yahoo.com> wrote:

mary nkwabi

unread,
Oct 21, 2012, 10:05:56 AM10/21/12
to uga...@googlegroups.com
Asante kwa salamu, mimi nipo.
 nakutakia kazi njema, kila la heri

--- On Sat, 10/20/12, Lubatillah Shaban <sluba...@yahoo.com> wrote:

eliabu ndosi

unread,
Oct 22, 2012, 5:33:36 AM10/22/12
to uga...@googlegroups.com
Best regards 4 all, tuendelee kuwa wabunifu wa mtandao dunia sasa ni popote ulipo


From: mary nkwabi <nkw...@yahoo.com>
To: uga...@googlegroups.com
Sent: Sunday, October 21, 2012 5:05 PM
Subject: Re: habar

mary nkwabi

unread,
Oct 23, 2012, 3:09:22 PM10/23/12
to uga...@googlegroups.com
powa, kazi njema

--- On Mon, 10/22/12, eliabu ndosi <elia...@yahoo.com> wrote:

Mandomi Kiwandai

unread,
Oct 25, 2012, 10:07:14 AM10/25/12
to uga...@googlegroups.com
poleni na majukumu mengi mlionayo.naomba mawazo yenu juu ya mfumo wa pembejeo za za kilimo za ruzuku kwa mfumo wa vochazina tija?kazi njema

--- On Tue, 10/23/12, mary nkwabi <nkw...@yahoo.com> wrote:

Rosemary Shao

unread,
Oct 28, 2012, 3:59:07 AM10/28/12
to uga...@googlegroups.com
Mfumo wa pembejeo za ruzuku kwa upande wangu naona hazina tija kwa wakulima. kwanza voucher nyingi zinaishia mikononi mwa wabinafsi wachache. Pili wakulima wengi wadogowadogo hawana hata uwezo wa kutop up kiasi kinachotakiwa



From: Mandomi Kiwandai <happ...@yahoo.com>
To: uga...@googlegroups.com
Sent: Thursday, October 25, 2012 5:10 PM
Subject: Re: habar

----- Forwarded Message -----

poleni na majukumu mengi mlionayo.naomba mawazo yenu juu ya mfumo wa pembejeo za za kilimo za ruzuku kwa mfumo wa vochazina tija?kazi njema

--- On Tue, 10/23/12, mary nkwabi <nkw...@yahoo.com> wrote:

From: mary nkwabi <nkw...@yahoo.com>
Subject: Re: habar
To: uga...@googlegroups.com
Date: Tuesday, October 23, 2012, 7:09 PM

Mohamed Ramadhan

unread,
Oct 28, 2012, 8:29:47 AM10/28/12
to uga...@googlegroups.com
mfumo ni mzuri na ungetegemewa kuwa na manufaa kama kweli viongozi wangekuwa wazaliendo. shida ni ile kuwapatia wakulima aina za pembejeo ambazo huenda sio vipaombele vyao na pili wakulima wanaochaguliwa ni wale wa hali ya chini ambao kiuhalisia wanahangaikia matumbo yao na sio kufikiria kuongeza uzalishaji kwa  uneo. hivyo uwezo wao wa chini ndio unatumiwa na wachache. Mfumo ulitakiwa kutoa aina ya pembejeo inayohitajika kila eneo, na wakulima wachaguliwe wenye uwezo wa kuongezea tofauti ya bei. na iwe ni wale wanaolenga kuongeza uzalishaji sio kukidhi chakula cha kaya.
kazi njema.

From: Rosemary Shao <shaoro...@yahoo.com>
To: "uga...@googlegroups.com" <uga...@googlegroups.com>
Sent: Sunday, 28 October 2012, 10:59
Subject: Re: habar
Mfumo wa pembejeo za ruzuku kwa upande wangu naona hazina tija kwa wakulima. kwanza voucher nyingi zinaishia mikononi mwa wabinafsi wachache. Pili wakulima wengi wadogowadogo hawana hata uwezo wa kutop up kiasi kinachotakiwa


From: Mandomi Kiwandai <happ...@yahoo.com>
To: uga...@googlegroups.com
Sent: Thursday, October 25, 2012 5:10 PM
Subject: Re: habar
----- Forwarded Message -----
poleni na majukumu mengi mlionayo.naomba mawazo yenu juu ya mfumo wa pembejeo za za kilimo za ruzuku kwa mfumo wa vochazina tija?kazi njema

--- On Tue, 10/23/12, mary nkwabi <nkw...@yahoo.com> wrote:

From: mary nkwabi <nkw...@yahoo.com>
Subject: Re: habar
To: uga...@googlegroups.com
Date: Tuesday, October 23, 2012, 7:09 PM

powa, kazi njema

--- On Mon, 10/22/12, eliabu ndosi <elia...@yahoo.com> wrote:

From: eliabu ndosi <elia...@yahoo.com>
Subject: Re: habar
To: "uga...@googlegroups.com" <uga...@googlegroups.com>
Date: Monday, October 22, 2012, 4:33 AM

Best regards 4 all, tuendelee kuwa wabunifu wa mtandao dunia sasa ni popote ulipo
From: mary nkwabi <nkw...@yahoo.com>
To: uga...@googlegroups.com
Sent: Sunday, October 21, 2012 5:05 PM
Subject: Re: habar
Asante kwa salamu, mimi nipo.

freddy fuko

unread,
Nov 4, 2012, 6:15:54 AM11/4/12
to uga...@googlegroups.com
Mambo mengi katika mfumo wa nchi yetu yanaendeshwa kwa kuwa mtu furani kaweka mkono,kwa mantiki hyooo utaona mambo mengi binafsi yanapitishwa katika mkono wa serikali kisa ni asilimia 20%

lilian paschal

unread,
Dec 4, 2012, 1:49:39 PM12/4/12
to uga...@googlegroups.com
Wana ugani nawasalimia sana,habari za maisha?.nawatakia kazi njema na maisha mema pia.
Lilian.

2012/10/28 Mohamed Ramadhan <mecham...@yahoo.co.uk>
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages