| member wa ugani na wasalimu naninatumaini wote mlifika makwenu salama.Kondoa tulifika salama na nawatakia kazi njema karibuni kondoa |
dear friends up there.jamani kuna watu wana block namba za simu alafu wanajalibu ATM mobile ili kuchutemple na account zako hili lipo hasa kwa watu wa NMB .ushauri kila baada ya miezi 3 jaribu kubadilisha ur code pia msitumie miaka au mwaka wa kumaliza shule au kuanza. fuko,ludewa dc |
MY OPINION, THERE'S NOTHIN WE CAN DO AT A LOCAL LEVEL TO COMBAT IT, SAWA BAADHI YA VARIETY ZINAZOWITHSTAND ZIMEKUWA NA MAFANIKIO, LAKINI JE HILI NI SULUHISHO LA KUDUMU? MABADILIKO YA HALI YA HEWA YANAENDELEA MWAKA HADI MWAKA, NA PIA KUNA DRIFT EFFECT YA WEATHER TOKA SEHEMU MOJA HADI NYINGINE. LET ME CITE AN EXAMPLE, UKANDA WA TARAFA YA ISIMANI, HATA TUKUSEMA TUPANDE MITI, HAKUNA MVUA YA KUTOSHA KUENDELEZA HIYO MITI, PIA TUNAPAKANA NA DODOMA NA SINGIDA, TUKI ACT AT A DISTRICT LEVEL BADO TUTAATHIRIWA NA DRIFT EFFECT ZA MIKOA YA DODOMA NA SINGIDA. THEORETICALLY IT IS POSSIBLE BUT PRACTICALLY IMPOSSIBLE. WE'D RATHER THINK ON FEASIBILITY RATHER THAN POSSIBILITIES, BECAEUSE EVERYTHING IS POSSIBLE, BUT FEW THINGS ARE FEASIBLE. --- On Wed, 6/6/12, Thadeo Kavishe <kavish...@gmail.com> wrote: |
| kijana upo sahihi kabisa, taarifa hii ni muhimu sana kwetu kwa kuzingatia wakati huu ulivyo. pia kuna watu wanatumia njia mbalimbali kuwalaghai watu kwa kuwadanganya kupandishwa vyeo, au kubadilishwa kitua cha kazi na kuwaambia kutuma kiasi fulani cha fedha ili shughuli hiyo ifanyiwe kazi mapema, ushauri unaendelea kutolewa kuwa wataalam tuwe makini sana kwa kuweka prifile zetu katika mitandao ya kijamii ndimo wanapitia sana. kazi njema jamani. --- On Fri, 6/8/12, freddy fuko <poz...@yahoo.com> wrote: |
| Asante sana ndugu yangu kwa ushauri huo ambao ni muhimu sana, hali si nzuri kabisa na hasa pia kwa wale wanaotumia NMB MOBILE, wawe na umakini mkubwa, pia waalimu waache kutumana msahara kwa kupeana namba za siri za acc. zao na ATM card kwa ajili ya kuletewa mishahara, USHAURI kama ni muhimu sana ni heri kuhamishia kiasi cha fedha kwa huyo unayetegemea kumtuma achukue kwa acc. yake. Thankx all. --- On Sun, 6/10/12, Lubatillah Shaban <sluba...@yahoo.com> wrote: |
| P0le sana Rozi ni mapenzi yake MOLA mungu ailaze mahali pema peponi, sote wagani tupo pamoja nawe katika huo msiba mzito wa kuondokewa na mama yako mzazi, MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMENI --- On Thu, 6/28/12, Rosemary Shao <shaoro...@yahoo.com> wrote: |
|
Pole sana Madam Rose, Mungu awape faraja itokayo kwake.
James Kazoka
|
|
| Rose pole sana, Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe, Mwenyezi Mungu awape nguvu kwa wakati huu mgumu, Tumwombee apumzike kwa amani! Amen |
--- On Thu, 28/6/12, Rosemary Shao <shaoro...@yahoo.com> wrote: |
|
Dear, Mgani Pole sana yote ni kwa mapenzi ya Mungu kwani alishatuambia kuwa mwanadamu siku zake za kuishi duniani si nyingi. Naye ametangulia kwa baba kutuandalia MAKAO.
Bwana ndiye aliyetoa na Bwana ndiye ametwaa na jina lake lihimidiwe.
Hayuma |
|
From: paschalina john <pasch...@yahoo.com>
To: uga...@googlegroups.com
Sent: Thursday, June 28, 2012 8:18 PM
Subject: Re: Habari wagani
Ni nzuri tu. Nasikitika kuwaarifu kifo cha mama yangu mzazi kilichotokea kwa ajali ya gari. Nawaomba tumwombee apumzike kwa amani
From: Edith Kija <edit...@yahoo.com>
To: "uga...@googlegroups.com" <uga...@googlegroups.com>
Sent: Thursday, May 17, 2012 5:54 PM
Subject: Re:Habari wagani
----- Forwarded Message -----
Naona sijajibiwa swali langu juu ya mabadiliko ya hali ya hewa je huko mlipo mwaonaje hali na nini tunashauriana kama viungo makini kati ya researcher na mkulima? Mawazo yenu ni muhimu sana.
From: ayub sengo <seng...@yahoo.co.uk>
To: "uga...@googlegroups.com" <uga...@googlegroups.com>
Sent: Sunday, July 1, 2012 1:22 PM
Subject: Re: Habari wagani
Ni nzuri tu. Nasikitika kuwaarifu kifo cha mama yangu mzazi kilichotokea kwa ajali ya gari. Nawaomba tumwombee apumzike kwa amani
| habari zenu wagani? Unesco watatafuta address zenu wawatumie vyeti vyenu.kwa maelezo zaidi pigeni namba hiyo +25522234292 UNESCO DSM --- On Mon, 7/23/12, August Makyao <august...@gmail.com> wrote: |
|
Date: Monday, July 23, 2012, 8:21 AM |
|
|
|
| habari zenu wagani? Unesco watatafuta address zenu wawatumie vyeti vyenu.kwa maelezo zaidi pigeni namba hiyo +25522234292 UNESCO DSM --- On Mon, 7/23/12, August Makyao <august...@gmail.com> wrote: |
|
|
|
|
Sent: Tuesday, September 11, 2012 10:38 AM
Subject: Re: Habari wagani
Mlilile, Bernard B.
>Pole sana jaribu kuwasiliana na makao makuu,labda kuna makosa madogo katika kusafilisha wamechanganya address na kutuma nakwingine.