Udakuzi Mtandaoni

867 views
Skip to first unread message

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 13, 2016, 12:43:51 AM9/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Shilole: Sitaacha Kutoka na Serengeti boys, Mniache na Maisha yangu

Posted: 11 Sep 2016 06:02 AM PDT

Shilole: Sitaacha Kutoka na Serengeti boys, Mniache na Maisha yangu Mwanamuziki wa Bongo flava asieishiwa vimbwanga mitandao kwa skendo ya kutoka na vijana wadogo walio chini ya umri wake(Serengeti Boys) amefunguka na kusema asipangiwe ni nani wa kuwa naye na ataendelea kutoka na viboi vyake. Akiongea mbele ya

Jinsi ya Kumpata Mpenzi Mwenye Mapenzi ya Kweli...

Posted: 11 Sep 2016 05:17 AM PDT

Jinsi ya Kumpata Mpenzi Mwenye Mapenzi ya Kweli... Habari za jumapili wapendwa, bila shaka sote tu wazima wa afya na wale ambao afya zao zina mushkeli Mungu awatie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu. Kila mmoja wetu anatamani au kupenda kuwa katika mahusiano yenye furaha na amani. Kila mmoja anapenda kuwa

WAZAZI WATAZIMIA WAKIZIONA PICHA HIZI ZA WATOTO WAO WANACHOKIFANYA HUKO BATANI

Posted: 11 Sep 2016 03:17 AM PDT

WAZAZI WATAZIMIA WAKIZIONA PICHA HIZI ZA WATOTO WAO WANACHOKIFANYA HUKO BATANI

Chidi benzi Adaiwa Karudia Matumizi ya Madawa ya Kulevya

Posted: 11 Sep 2016 02:55 AM PDT

Chidi benzi Adaiwa Karudia Matumizi ya Madawa ya Kulevya Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, hatimaye Chidi benzi licha ya kuripoti hapo awali ya kuwa ameachana na madawa ya kulevya na kurudi na ngoma iitwayo chuma na kufanikiwa kupenya na hiyo nyimbo, chidi kaamua kurudia katika matumizi ya dawa za kulevya Mwana

Emma Nyra stuns in new photos

Posted: 11 Sep 2016 02:33 AM PDT

Emma Nyra stuns in new photos  Emma Nyra shared these lovely photos on her page. Another photo after the cut... This post first appeared on Linda Ikeji's Blog. Read the original story here.

SABABU YA WASICHANA WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI HEBU MCHEKI DADA HUYU ALIOVYOWEKA PICHA ZAKE NA VIDEO ALIYOWEKA MTANDAONI

Posted: 11 Sep 2016 01:00 AM PDT

SASABU YA WASICHANA WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI HEBU MCHEKI DADA HUYU ALIOVYOWEKA PICHA ZAKE NA VIDEO ALIYOWEKA MTANDAONI

MTOTO WA MTANGAZAJI WA REDIO TISHIO KWA UREMBO.

Posted: 11 Sep 2016 12:45 AM PDT

MTOTO WA MTANGAZAJI WA REDIO TISHIO KWA UREMBO. Mtoto wa kike  wa mtangazaji  Gardner G Habash anayeitwa Karin ni moto wa kuotea mbali kwa urembo na mwonekano alionao.Ni mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mbeya.

Majay Birthday: Lulu Amwambia Majay ‘I think Sisi ni Perfect Combo’

Posted: 10 Sep 2016 11:38 PM PDT

Majay Birthday: Lulu Amwambia Majay 'I think Sisi ni Perfect Combo' Leo ni siku ya kuzaliwa ya CEO wa EFM, Majay, ambapo wadau mbalimbali pamoja na watu wake wa karibu wanamtakia heri ya mafanikio katika maisha yake. Elizabeth Michael 'Lulu' ambaye anadaiwa kuwa kwenye mahusiano na bosi huyo, amekuwa ni mmoja kati

Nilikunywa Pombe Kutoa Aibu Kwenye Video ya ‘Natafuta kiki’-Shilole

Posted: 10 Sep 2016 11:37 PM PDT

Nilikunywa Pombe Kutoa Aibu Kwenye Video ya 'Natafuta kiki'-Shilole Msanii wa muziki wa bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema ilikuwa ni jambo gumu kwake kufanya video ya 'Natafuta kiki' ya msanii Raymond. Msanii Raymond akiwa na Shilole wakati wa utengenezaji wa video ya 'Natafuta

Sijamuimba Siwema wa Nay wa Mitego – Dogo Janja

Posted: 10 Sep 2016 11:37 PM PDT

Sijamuimba Siwema wa Nay wa Mitego – Dogo Janja Msanii Dogo Janja ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la 'Kidebe' na kuwa gumzo mtaani kutokana na kuwasifia baadhi ya wasanii huku wengine akiwaponda, ambapo ndani yake amemtaja mtu anayeitwa 'Siwema'. Dogo janja ametoa ngoma hiyo wakati wimbo wake wa 'My Life' ukiwa

Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi

Posted: 10 Sep 2016 11:37 PM PDT

Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi Kipindi cha Nyuma Linah sanga aliingia Bifu zito baada ya Kuibiwa Bwana na Wema Sepetu ambapo alilalamika sana kwenye vyombo vya habari hasa Radioni... Hivi karibuni Linah na Mpenzi wa Wema Sepetu Idriss Sultan wanaonekana kuwa na ukaribu usio

Mtangazaji wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya

Posted: 10 Sep 2016 11:34 PM PDT

Mtangazaji wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya Hii sio mara ya kwanza kwa Rais Magufuli kuteua watangazaji kushika nyadhifa mbalimbali kwani alimteua aliyekuwa Mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni. Leo Septemba 10, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa

Mambo 10 Usiyoyafahamu Kuhusu Watu Wanaotumia Mkono wa Kushoto

Posted: 10 Sep 2016 11:34 PM PDT

Mambo 10 Usiyoyafahamu Kuhusu Watu Wanaotumia Mkono wa Kushoto Kila tarehe 13 mwezi Agosti ya kila mwaka ni siku ya watu wanaotumia mkono wa kushoto. Watu wanaoandika na kufanya vitu vingine kwa kutumia mkono wa kushoto si wengi sana dunia. Hivi hapa ni baadhi ya vitu ambavyo huenda huvifahamu kuhusu watu wanaotumia mkono

Ruby amjibu Diva baada ya kudai kuwa hamfahamu

Posted: 10 Sep 2016 11:31 PM PDT

Ruby amjibu Diva baada ya kudai kuwa hamfahamu Muimbaji wa 'Na Yule' Ruby amefunguka baada ya mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva kudai kuwa hamfahamu msanii huyo. Ruby ameiambia Bongo5 kuwa kauli aliyoitoa mtangazaji huyo anaiona ni kama utoto. "Naona ni ujinga, I don't want to talk about it,

MREMBO Lulu Michael Amwagia Mabusu Hadharani Majay

Posted: 10 Sep 2016 11:31 PM PDT

MREMBO Lulu Michael Amwagia Mabusu Hadharani Majay CEO wa EFM, Majay amepokea mabusu yakutosha kutoka kwa mpenzi wake Elizabeth Micheal 'Lulu' katika tafrija ya sherehe ya siku yake ya kuzaliwa. Malkia huyo wa filamu Ijumaa hii alimwandikia ujumbe mzuri wa kumtakia heri ya mafanikio huku ndani kukiwa na ujumbe 'I think sisi ni

Zari Hassan na Huddah Katika Bifu la Kumgombania Diamond Baada ya Zari Kutupa Jiwe Gizani Kwa Manyaku Nyaku

Posted: 10 Sep 2016 11:31 PM PDT

Zari Hassan na Huddah Katika Bifu la Kumgombania Diamond Baada ya Zari Kutupa Jiwe Gizani Kwa Manyaku Nyaku Baada ya Zari Hassan kupost Kwenye Page yake ujumbe tata ambao unawagusa wanawake wanao nyakua nyakua waume za watu kwa siri siri , Ujumbe huo inaonekana umewagusu baadhi ya wadada wa mjini na kuhisi moja kwa moja

Wakenya Wasimama Kidete Kumtetea Huddah Baada ya Kuingia Kwenye Bifu na Zari, Wema Sepetu Atajwa

Posted: 10 Sep 2016 11:30 PM PDT

Wakenya Wasimama Kidete Kumtetea Huddah Baada ya Kuingia Kwenye Bifu na Zari, Wema Sepetu Atajwa Wakenya wamekuja juu baada ya Dongo la Zari Kumpata Huddah Kuwa ni Nyaku Nyaku, Inasemekana Diamond yupo nchini Kenya ambapo ameenda kupiga Show Mombasa, sasa wadaku wa Kenya wanasema hiyo ndio sababu Zari Huko alipo hapakaliki kwani

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

Posted: 10 Sep 2016 11:00 PM PDT

You are subscribed to email updates from Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy.
To stop receiving these emails, you may unsubscribe now.
Email delivery powered by Google
Google Inc., 1600 Amphitheatre Parkway, Mountain View, CA 94043, United States

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 13, 2016, 12:43:51 AM9/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Janet Jackson on doctor-ordered bed rest ahead of baby's birth

Posted: 11 Sep 2016 10:02 PM PDT

Janet Jackson on doctor-ordered bed rest ahead of baby's birth Doctors have ordered 50 year old pregnant Janet Jackson to remain on bedrest due to unkown pregnancy complications. A source told E! News that Janet is now under "doctor's orders to rest" until her baby arrives. "She is doing okay and resting until she is due

VANESSA MDEE AWEKA WAZI MIPANGO YAKE YA KUPATA MTOTO NA JUX

Posted: 11 Sep 2016 09:30 PM PDT

VANESSA MDEE AWEKA WAZI MIPANGO YAKE YA KUPATA MTOTO NA JUX Msanii wa muziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee,amefunguka na kuweka wazi kuwa kwa sasa hana haraka ya kupata mtoto na mpenzi wake Juma Jux na kwamba kwa sasa watoto wapo wengi wa kuwalea. Akiongea kwenye kipindi cha PB ya Eatv Vanessa

SHILOLE ANGOZA LIST YA WASANII WA KIKE WENYE SHAPE KUBWA.

Posted: 11 Sep 2016 09:16 PM PDT

SHILOLE ANGOZA LIST YA WASANII WA KIKE WENYE SHAPE KUBWA.

STAA KIM KARDASHIAN ATEMBEA NUSU UTUPU MTAANI

Posted: 11 Sep 2016 09:12 PM PDT

STAA KIM KARDASHIAN ATEMBEA NUSU UTUPU MTAANI

MADAI YA DIAMOND KUWA NA DHARAU HAYA HAPA

Posted: 11 Sep 2016 09:12 PM PDT

MADAI YA DIAMOND KUWA NA DHARAU HAYA HAPA  Madai! Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' amenyooshewa kidole na baadhi ya watu wake wa karibu tangu kitambo wakidai kuwa, toka kuukwaa umaarufu kupitia sanaa hiyo na kusemekana  akaunti yake  benki inasoma shilingi

ONA GEREZA LINALOONGOZA DUNIANI KWA UNYAMA DUNIANI LIVE!!

Posted: 11 Sep 2016 09:11 PM PDT

ONA GEREZA LINALOONGOZA DUNIANI KWA UNYAMA DUNIANI LIVE!! Majambazi wa nchini El Salvador wakihamishwa kutoka gereza la Izalco kwenda gereza la San Francisco Gotera Uongozi nchini El Salvador wamehamisha wafungwa kutoka kwenye magenge mawili na kuwaingiza kwenye gereza moja

Walichofanyiana Shilole na Nuh Mziwanda walipokutana kwenye basi la Fiesta

Posted: 11 Sep 2016 09:10 PM PDT

Walichofanyiana Shilole na Nuh Mziwanda walipokutana kwenye basi la Fiesta Shilole na Nuh Mziwanda walikutana kwenye basi walipokuwa wanaenda Fiesta, wasanii hawa wamekuwa na bifu na walichuniana walipokutanishwa kwenye kipindi cha tv clouds na wamekuwa wakipigana majungu mitandaoni. Lakini

Msanii wa Bongofleva Rayvanny Avurugwa na Shepu ya Snura Kitandani Wakati wa Ku-Shoot Video

Posted: 11 Sep 2016 09:10 PM PDT

Msanii wa Bongofleva Rayvanny Avurugwa na Shepu ya Snura Kitandani Wakati wa Ku-Shoot Video Baada ya kutoka video ya "Natafuta Kiki" pamekuwa na zengwe, kwa kile kilichoonekana kuwa ni mahaba juu ya Snura na Rayvanny kwa lile denda zito lililopigwa kitandani. Akipiga stori na eNewz Rayvanny amesema "Ni kweli ile scene ya

Wema Sepetu atumia show ya vigoma Tanga kuzindua bidhaa yake mpya ya viatu vya kike

Posted: 11 Sep 2016 09:10 PM PDT

Wema Sepetu atumia show ya vigoma Tanga kuzindua bidhaa yake mpya ya viatu vya kike Malkia wa filamu Wema Sepetu ametumia show yake ya vigoma iliyofanyika Jumamosi hii katika Viwanja vya Mkwakwani mkoani Tanga kuzindua bidhaa yake mpya ya viatu vya kike. Mwigizaji huyo ambaye mwishoni mwa mwaka jana alizindua

Picha/Video: Diamond Akusanya Kijiji Mombasa

Posted: 11 Sep 2016 09:10 PM PDT

Picha/Video: Diamond Akusanya Kijiji Mombasa Mkali wa muziki kutoka Tanzania, Diamond Platnumz ameendelea kuonyesha umwamba wake nchini Kenya katika show iliyofanyika Mombasa Jumamosi hii na kuhudhuriwa na maelfu ya watu. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri Afrika pamoja na kimataifa, ameendelea

Kutana na Mtangazaji Mchafu Zaidi Duniani

Posted: 11 Sep 2016 09:08 PM PDT

Kutana na Mtangazaji Mchafu Zaidi Duniani Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka Raphael ingawa ni mwandishi wa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 13, 2016, 12:43:51 AM9/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Wazee wa CHADEMA Wamtuhumu Msajili wa Vyama Kwa Kuandaa Mitego Haramu ya Kukifuta Chama Hicho

Posted: 08 Sep 2016 05:05 AM PDT

Wazee wa CHADEMA Wamtuhumu Msajili wa Vyama Kwa Kuandaa Mitego Haramu ya Kukifuta Chama Hicho Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limetoa pongezi kwa Kamati Kuu ya chama hicho kuahirisha maandamano na mikutano ya nchi nzima iliyopewa jina la Ukuta. Maandamano hayo ambayo yalipangwa kufanyika

Marais EAC Kukutana kwa Dharura Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyeji wao Rais Magufuli

Posted: 08 Sep 2016 05:04 AM PDT

Marais EAC Kukutana kwa Dharura Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyeji wao Rais Magufuli TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mkutano wa 17 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanyika Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambaye pia ni Rais wa

Hatimaye Mtatiro ‘Amchana’ Prof. Lipumba, Amuita ni Jemedari Aliyekimbia Vita

Posted: 08 Sep 2016 05:00 AM PDT

Hatimaye Mtatiro 'Amchana' Prof. Lipumba, Amuita ni Jemedari Aliyekimbia Vita Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba amekiacha chama kwenye wakati mgumu baada ya kujiuzulu wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2015. Agosti, mwaka jana, Profesa

Makonda Akanusha Kutuma Askari Kukamata Watu Wanaolala Mchana Guest

Posted: 08 Sep 2016 05:00 AM PDT

Makonda Akanusha Kutuma Askari Kukamata Watu Wanaolala Mchana Guest Akihojiwa kwenye kipindi cha Pb Clouds amesema hajawahi kutoa maagizo kama hayo, kinachofanyika ni Umbeya umbeya tu. "Mimi kama Mwenyekiti wa ulinzi Na usalama siwezi kutoa maagizo kama haya, kuna watu wanafanya kazi viwandani wengine usiku

Show za Mr Blue Fiesta Wengi Wadai Ndio Msanii Bora wa Tanzania Kwa Sasa.....

Posted: 08 Sep 2016 05:00 AM PDT

Show za Mr Blue Fiesta Wengi Wadai Ndio Msanii Bora wa Tanzania Kwa Sasa..... Kwa mujibu wa Mrisho Mpoto, Harry Sameer, wamjua zaidi kama Mr Blue, anastahili kuwa msanii bora Tanzania. Mpoto alidiriki kusema hivyo baada ya kushuhudia show ya hitmaker huyo wa 'Mboga Saba' akitumbuiza kwenye Fiesta mjini Shinyanga na

Picha: Ray C Aonyesha Muonekano Wake Mpya

Posted: 08 Sep 2016 04:57 AM PDT

Picha: Ray C Aonyesha Muonekano Wake Mpya Msanii wa muziki Rehema Chalamila 'Ray C' ameonyesha picha yake ya kwanza toka asaidiwe na jeshi la polisi miezi michache iliyopita baada ya kudaiwa kuzidiwa na matumizi ya Madawa ya kulevya. Jumatano hii muimbaji huyo aliwaonyesha mashabiki wake muonekano wake mpya hali ambayo

Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana

Posted: 08 Sep 2016 04:55 AM PDT

Mr Blue, Barakah Da' Prince Wapatana BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da' Prince wameamua kuwa kitu kimoja. Wawili hao walipatana saa chache kabla ya kufanyika Tamasha la Fiesta Shinyanga ambapo walikuwa wameenda kutembelea maporomoko ya Maji Moto pande za Shinyanga.

Wakonta Kapunda, Binti Aliyekuwa Akiandika Kwa ulimi, Apata Kifaa cha Kisasa

Posted: 08 Sep 2016 04:55 AM PDT

Wakonta Kapunda, Binti Aliyekuwa Akiandika Kwa ulimi, Apata Kifaa cha Kisasa Wakonta alipata ajali siku ya mahafali yake ya kidato cha sita miaka minne iliyopita. Ajali hiyo ilimuacha akiwa amepooza kwanzia shingoni kushuka chini na kumfanya kutoweza kutumia mkono Wiki kadhaa zilizopita, BBC iliporusha habari yake Msamaria

Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja

Posted: 08 Sep 2016 04:55 AM PDT

Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipengele hivyo ni pamoja na Songwriter of The Year in Africa, Song of The Year in Africa, Artiste of The Year, Best Artist in Africa na Best Male Artist in

Majibu ya Waziri mkuu Majaliwa Leo Bungeni kuhusu wahusika wa mauaji ya askari

Posted: 08 Sep 2016 04:54 AM PDT

Majibu ya Waziri mkuu Majaliwa Leo Bungeni kuhusu wahusika wa mauaji ya askari Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inaendelea kukutana na wadau tofauti wanaohusika na masuala ya uchumi katika kuhakikisha uchumi wa nchi unaendelea kukua. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipokuwa akijibu swali la

UNAMKUMBUKA FLORA MOSES WA EXTRA BONGO? KAWA CHA POMBE BALAA

Posted: 07 Sep 2016 11:17 PM PDT

UNAMKUMBUKA FLORA MOSES WA EXTRA BONGO? KAWA CHA POMBE BALAA ALIYEKUWA mwimbaji wa kike wa Extra Bongo ya awamu ya kwanza Flora Moses anadaiwa kuwa cha pombe (mlevi) kupindukia. Miaka kadhaa iliyopita, Flora alikumbwa na tukio lililohusishwa na kubakwa kutokana ulevi wa kupindukia maeneo

Majina ya Watu 4 Matajiri zaidi Tanzania

Posted: 07 Sep 2016 11:15 PM PDT

Majina ya Watu 4 Matajiri zaidi Tanzania Uchumi mkubwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unategemea zaidi kilimo kwa takriban asilimia 25 ya GDP na asilimia 85 Exports. Aidha, Tanzania ina madini kama dhahabu, almasi, makaa yam awe, uraniamu, chuma, shaba, Tanzanite n.k. Tanzania imetengeneza matajiri wengi sana, na hawa ni

Maoni ya Alberto Msando Juu ya Kauli Tata za Rais Magufuli

Posted: 07 Sep 2016 10:57 PM PDT

Maoni ya Alberto Msando Juu ya Kauli Tata za Rais Magufuli Sina tatizo na hatua za Raisi kuleta 'maendeleo' kwa wananchi na kutetea 'wanyonge'. ILA nina tatizo na kauli zake. Kuna jinsi ambavyo kama watanzania tumezoea kusemeshana na kuongeleshana. Sisemi kwamba tuishi kwa mazoea la hasha. Ila ni vyema mtu yeyote uangalie unasema

Msigwa 'Awatolea Uvivu' Mawaziri wa Magufuli!

Posted: 07 Sep 2016 10:53 PM PDT

Msigwa 'Awatolea Uvivu' Mawaziri wa Magufuli! Alichangia mswaada wa haki ya kupata taarifa mbunge wa Iringa mjini Mch Piter Msigwa amesema taifa limesinyaa kwa sababu mawaziri ni waoga wa kumkosoa hata kumshauri rais. " Huu mswaada mbovu ulipita kwenye baraza la mawaziri kwa sababu mnaogopa kumkosoa rais, huyu amekuwa kila kitu na

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 13, 2016, 12:43:51 AM9/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Obama afuta mkutano na kiongozi wa Ufilipino kwa kuitwa "mwana wa kahaba"

Posted: 06 Sep 2016 11:42 AM PDT

Obama afuta mkutano na kiongozi wa Ufilipino kwa kuitwa "mwana wa kahaba" Image copyrightAPImage captionRodrigo Duterte akiwasili Laos kwa mkutano mkuu wa Asean Rais wa Marekani Barack Obama amevunja mkutano wake na Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, ambaye awali alikuwa amemwita "

Darasa la saba kuanza mitihani kesho

Posted: 06 Sep 2016 11:41 AM PDT

Darasa la saba kuanza mitihani kesho Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza rasmi kuanza kwa Mtihani waa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE), utakaofanyika Septemba 7 na 8, mwaka huu, kote nchini. Akitoa taarifa kuhusu mtihani

ANDER HERRERA HAMTAKI DAVID DE GEA KIDIZAINI

Posted: 06 Sep 2016 10:51 AM PDT

ANDER HERRERA HAMTAKI DAVID DE GEA KIDIZAINI KIUNGO wa Manchester United, Ander Herrera ni kama amemkataa kipa namba moja wa timu hiyo, David De Gea. Herrera amesema hatakaa pamoja na kipa huyo kwenye chumba cha kubadilishia mavazi kutokana na kupenda kucheza muziki.

Kijana Shoga Amtia Doa Mwanamuziki Raymond wa wasafi, Adai Wana Mahusiano

Posted: 06 Sep 2016 10:49 AM PDT

Kijana Shoga Amtia Doa Mwanamuziki Raymond wa wasafi, Adai Wana Mahusiano Leo katika kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na post za kijana wa kiume ambazo zinamuhusu msanii Raymond wa wasafi,post za kijana huyo ni tata kiasi kwamba nilishindwa kufahamu kijana huyo anauhusiano gani na msanii huyo wa wasafi

Mwakyembe: Mafisadi, Wachochezi Kukiona

Posted: 06 Sep 2016 10:49 AM PDT

Mwakyembe: Mafisadi, Wachochezi Kukiona SERIKALI imesema itafanya mapinduzi makubwa katika sekta ya sheria, yatakayowezesha kufikiwa kwa mchakato wa Katiba Mpya, kukomesha rushwa, kuipa meno Sheria ya Ndoa na Mirathi na kuipa majukumu Mahakama ya Rushwa na Mafisadi. Maeneo mengine yatakayofanyiwa kazi ili kuboreshwa ni

Uhuru Kenyata Akanusha Kuwepo Mvutano Wa Kiuchumi Kati Ya Tanzania Na Kenya

Posted: 06 Sep 2016 10:49 AM PDT

Uhuru Kenyata Akanusha Kuwepo Mvutano Wa Kiuchumi Kati Ya Tanzania Na Kenya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Jumamosi alikanusha ripoti za vyombo vya habari kwamba kuna mvutano baina ya Kenya na Tanzania. Akizungumza mjini Mombasa wakati wa ufunguzi gati la makontena katika bandari ya Mombasa, Kenyatta alipuuzia maneno kwamba

Kuchanganya Biashara, Uchumi na Siasa Kunatusababisha Tutoe Majibu Mepesi Katika Maswali Magumu

Posted: 06 Sep 2016 10:48 AM PDT

Kuchanganya Biashara, Uchumi na Siasa Kunatusababisha Tutoe Majibu Mepesi Katika Maswali Magumu TRA wanapotoa statement kuhusu kupungua kwa mizigo kunakotokana na ongezeko la kodi na kusema kuna Propaganda dhidi yao, kuna tofauti gani na Mbowe kusema kuondolewa kwake na NHC pale Bilicanas ni kwa sababu za kisiasa na kwamba

Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika

Posted: 06 Sep 2016 10:47 AM PDT

Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika Kambi rasmi ya upinzani imepanga kufanya vikao vya kujadili suluhu ya kudumu ya mgogoro na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson uliosababisha wabunge wanaounda Ukawa kususia vikao vinavyoendeshwa na kiongozi huyo. Vikao hivyo vinapangwa kufanyika wakati

Video: Raymond Akiri Kuzama ‘Penzini’ Kwa Avril wa Kenya, Amuambia Mbele ya Mashabiki Mombasa

Posted: 06 Sep 2016 10:34 AM PDT

Video: Raymond Akiri Kuzama 'Penzini' Kwa Avril wa Kenya, Amuambia Mbele ya Mashabiki Mombasa Raymond ameamua kuusemea moyo wake mbele ya mashabiki maelfu kwenye show ya WCB, Mombasa, Kenya. Muimbaji huyo wa 'Kwetu' alimpandisha jukwaani mrembo wa Kenya, Avril na kumuimbia wimbo maalum kuelezea hisia zake waziwazi kuwa

Harmonize aogopa kufanya kazi na Rayvan

Posted: 06 Sep 2016 10:34 AM PDT

Harmonize aogopa kufanya kazi na Rayvan Msanii wa kundi la WCB Harmonize amesema kwa sasa hayuko tayari kufanya colabo na kuwapa watu muda wa kuwatengenezea ushindani kati yao. Akipiga story ndani ya eNews amesema "Colabo ni kubadilishana mashabiki kwa wakati nafanya colabo na Diamond nilikuwa nikilenga kuwa kuna

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Septemba 6, Ikiwemo ya Ukawa Kumaliza Mgomo Bungeni

Posted: 06 Sep 2016 10:33 AM PDT

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Septemba 6, Ikiwemo ya Ukawa Kumaliza Mgomo Bungeni Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne

Wema: Nitalipa Pesa Matibabu ya Baba diamond

Posted: 06 Sep 2016 10:26 AM PDT

Wema: Nitalipa Pesa Matibabu ya Baba diamond Kwa kuonesha hana kinyongo na ex bf wake Wema sepetu amesema kuwa atapigana kufa na kupona mpaka pale hali ya baba yake diamond itakapo tengemaa

Ufafanuzi wa ACT- Wazalendo Kuhusu Taarifa ya Prof Lipumba Kujiunga na Chama Hicho

Posted: 06 Sep 2016 10:26 AM PDT

Ufafanuzi wa ACT- Wazalendo Kuhusu Taarifa ya Pro Lipumba Kujiunga na Chama Hicho Baada ya kumalizika kikao cha kamati kuu ya Chama cha ACT Wazalendo kilichofanyika leo septemba 05/2016 jijini Dar esSalaam Kesho Jumanne Septemba 06/2016,Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo watakutana na waandishi wa habari na kuelezea

Polisi Washuhudia Majambazi Yakitwangana Risasi, Zakamatwa Shehena za Silaha na Vifaa vya Uhalifu

Posted: 06 Sep 2016 10:25 AM PDT

Polisi Washuhudia Majambazi Yakitwangana Risasi, Zakamatwa Shehena za Silaha na Vifaa vya Uhalifu WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wa kutumia silaha, ambao wamehusika kufanya matukio mbalimbali ya kihalifu katika mkoa wa Dar es Salaam, wameuawa na majambazi wenzao katika eneo la Vikindu wilaya ya Mkuranga mkoani

Fella Agonga Mwamba Kumrudisha Kundini Juma Nature..Asema Haya

Posted: 06 Sep 2016 10:25 AM PDT

Fella Agonga Mwamba Kumrudisha Kundini Juma Nature..Asema Haya Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella ameonekana kugonga mwamba juhudi zake za kutaka kurudisha mahusiano yake ya kazi na msanii wake wa zamani wa Kundi la TMK Family, Juma Nature. Hapo awali Juma Nature alikuwa msanii wa Kundi la

Janga Kubwa Linalowatafuna Wasomi Wengi Tanzania ni Kutegemea vyeti Kama Mkombozi wao Kiuchumi

Posted: 06 Sep 2016 10:24 AM PDT

Janga Kubwa Linalowatafuna Wasomi Wengi Tanzania ni Kutegemea vyeti Kama Mkombozi wao Kiuchumi Janga kubwa linalowatafuna wasomi wengi ni kutegemea vyeti kama mkombozi wao kiuchumi; badala ya kutegemea uwezo wao kiakili. Ndio maana wakikosa ajira wanachanganyikiwa na wakiwa ajirani wanachanganyikiwa zaidi kwa mishahara isiyotosha

RAIS Magufuli Atonesha Donda la Mbowe

Posted: 06 Sep 2016 10:24 AM PDT

RAIS Magufuli Atonesha Donda la Mbowe RAIS John Magufuli amepongeza hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kumwondoa Freeman Mbowe, katika jengo ambalo amekuwa akipanga kwa muda mrefu, anaandika Pendo Omary. Siku tano zilizopita, Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pia Mbunge wa Jimbo

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 13, 2016, 12:43:51 AM9/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


UMEMKARIRI JORGE MENDES? HUYU NDIYE ANAYEAMUA MAISHA YA CRISTIANO RONALDO NA UTAJIRI WA NIKE.

Posted: 07 Sep 2016 08:41 AM PDT

UMEMKARIRI JORGE MENDES? HUYU NDIYE ANAYEAMUA MAISHA YA CRISTIANO RONALDO NA UTAJIRI WA NIKE. Wengi wanaweza kuwa wanamfahamu na kufurahishwa na kazi ya wakala Jorge Mendes katika kila linapokuja suala la biashara za wateja wake kwani ni wakala wa wachezaji na makocha maarufu duniani kuanzia kwa Cristiano Ronaldo mpaka kwa

Aliyetaka Kupindua Ikulu Afikishwa Mahakamani Kisutu

Posted: 07 Sep 2016 08:15 AM PDT

Aliyetaka Kupindua Ikulu Afikishwa Mahakamani Kisutu

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 13, 2016, 12:43:51 AM9/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Mama Rwakatare awatoa wafungwa 12 gereza la Keko

Posted: 09 Sep 2016 11:20 AM PDT

Mama Rwakatare awatoa wafungwa 12 gereza la Keko Mchungaji wa kanisa la Mikocheni B Assemblies of God, Askofu Dr Getrude Rwakatare, amewatoa wafungwa 12 waliokuwa wamefungwa kwenye gereza la Keko jijini Dar es Salaam huku lengo ni kuwatoa wafungwa 78 waliofungwa kwa kukosa kulipa faini. Akizungumza na wanahabari, Askofu

Mbowe 'Serikali Inaonekana Haina Huhakika nini Kinaendelea Katika Uchumi'

Posted: 09 Sep 2016 09:06 AM PDT

Mbowe 'Serikali Inaonekana Haina Huhakika nini Kinaendelea Katika Uchumi' Mbowe amefunfuka haya kwenye ukurasa wake wa instagram: ,"Kwa sasa hali ya uchumi inaonekana kuyumba na biashara kudorora, Nimeitaka Serikali itoe twakimu kuhusu uchumi kushuka. Waziri Mkuu amesema kwa sasa hawana uhakika na hawana takwimu

Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hupenda Kusikia Toka Kwa Mpenzi Wake

Posted: 09 Sep 2016 08:58 AM PDT

Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hupenda Kusikia Toka Kwa Mpenzi Wake 10. Kukosolewa – "I think you are wrong" Wanaume wanaweza kujikweza sana lakini daima hawachukii kurekebishwa. Wanachojali zaidi ni jinsi gani au njia gani imetumika kuwarekebisha. Mwanaume akikosea, anataka mpenzi wake amkosea lakini kwa mapenzi, sio kwa

Alikiba Aelezea ‘King Kiba’ ilikotokea, Adai si Mtu wa Maringo

Posted: 09 Sep 2016 08:58 AM PDT

Alikiba Aelezea 'King Kiba' ilikotokea, Adai si Mtu wa Maringo Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi. Akiongea kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kilichoruka Alhamis hii kupitia EATV, Kiba alisema ni mashabiki ndio waliombatiza. "Wakati nimepumzika kwenye

Wilaya 43 ziko Hatarini Kukumbwa na Njaa

Posted: 09 Sep 2016 08:55 AM PDT

Wilaya 43 ziko Hatarini Kukumbwa na Njaa Serikali imesema kuwa nchi ina hifadhi kubwa ya chakula kutokana na mavuno ya msimu uliopita ingawa kuna wilaya 43 zenye upungufu wa chakula kutokana na mavuno yao kuwa chini hali iliyosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi. Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha

Operesheni Dadapoa, Kakapoa Dar es Salaam Yashika Kasi

Posted: 09 Sep 2016 08:49 AM PDT

Operesheni Dadapoa, Kakapoa Dar es Salaam Yashika Kasi JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema linafanya operesheni ya kuwakamata wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanaofanya biashara kinyume cha sheria. Taarifa iliyotolewa na Kamishna wa Kanda hiyo, Simon Sirro, ilisema wamebaini baadhi ya nyumba za kulala

Polisi Wamhoji Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob

Posted: 09 Sep 2016 08:49 AM PDT

Polisi Wamhoji Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob Maofisa wa Polisi wamemhoji Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob kabla ya hajakutana na waandishi wa habari kwa madai kuwa wamepata taarifa mkutano wake huo ulilenga kumkashifu Rais John Magufuli. Maofisa hao waliovalia kiraia walionana na Jacob

Posted: 08 Sep 2016 10:36 PM PDT

Mr Blue, Barakah Da' Prince Wapatana BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da' Prince wameamua kuwa kitu kimoja. Wawili hao walipatana saa chache kabla ya kufanyika Tamasha la Fiesta Shinyanga ambapo walikuwa wameenda kutembelea maporomoko ya Maji Moto pande za Shinyanga.

KR Mulla:Nipo Tayari Kurudi TMK Wanaume Family

Posted: 08 Sep 2016 10:36 PM PDT

KR Mulla:Nipo Tayari Kurudi TMK Wanaume Family KR Muller amesema kama angetaka kurudi TMK Wanaume Family kwa Juma Nature angekuwa amerudi kwa kuwa hakuna aliyemfukuza. Rapper huyo ambaye kwa sasa yupo 'Rada Entertainment' kwa TID, ameiambia Bongo5 kuwa bado anafurahishwa na maisha mapya ndani ya Rada Entertainment.

Aunty Ezekiel Afunguka Sababu ya Yeye Kujiachia Enzi Zile

Posted: 08 Sep 2016 10:35 PM PDT

Aunty Ezekiel Afunguka Sababu ya Yeye Kujiachia Enzi Zile Nyota wa filamu nchini Aunty Ezekiel amefunguka kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kuwa na mahusiano na Mose Iyobo na kabla ya kupata mtoto alikuwa akijiachia sana kwa lengo la kutafuta kiki na wala hakuwa na woga wa kufa kwani hakuwa anategemewa na mtu. Aunty Ezekiel

Waziri Mkuu: Serikali Haijashindwa Kuongoza Nchi

Posted: 08 Sep 2016 10:35 PM PDT

Waziri Mkuu: Serikali Haijashindwa Kuongoza Nchi WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano ipo macho, haijalala na haijashindwa kuongoza nchi bali imejipanga  kuliongoza Taifa kwa mafanikio makubwa. "Serikali haijashindwa kuongoza nchi. Nataka niwahakikishie waheshimiwa Wabunge na wananchi wote kwamba

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 14, 2016, 11:33:20 PM9/14/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Agnes Amwaga Povu Kuhusu Watu Kukosea Nguo yake Baada ya Kuonekana Akificha Kitu Sehemu yake ya Mbele!

Posted: 14 Sep 2016 03:55 AM PDT

Agnes Amwaga Povu Kuhusu Watu Kukosea Nguo yake Baada ya Kuonekana Akificha Kitu Sehemu yake ya Mbele! Agnes amwaga Povu Kuhusu Watu Kukosea nguo yake baada ya kuonekana akificha kitu sehemu yake ya mbele!!! Aandika mazito na matusi juu...soma hapa..👇👇👇👇. By @officialagnes1 - Sikien nyie makuma mnaojua kutoa

Mtangazaji mpya wa Clouds FM, Kicheko ni jiwe lililogeuka dhahabu

Posted: 14 Sep 2016 03:37 AM PDT

Mtangazaji mpya wa Clouds FM, Kicheko ni jiwe lililogeuka dhahabu Maisha ni safari na hatutakiwi kukata tamaa kwa kuwa hatujui kesho yetu. Ukiisikia historia ya maisha ya mchekeshaji ambaye kwa sasa amegeuka kuwa mtangazaji wa Clouds FM, Kicheko unaweza kutokwa na machozi kama huna uvumilivu. Awali Kicheko

Ruby Akanusha Kuwa na Tattoo ya Freemason

Posted: 14 Sep 2016 03:36 AM PDT

Ruby Akanusha Kuwa na Tattoo ya Freemason Ruby alikanusha kuwa katika imani hiyo na kusema kila kuwa mtu ana jicho na hana maana ya kuwa kwenye imani hiyo ya Freemason bali yeye ni Mkristo na anamuamini Mungu. "Hakuna binadamu bila macho, na mimi ni mkristo namuamini Mungu so sijawahi kuingia kwenye Freemason so hizo ni

Wanafunzi Wacharaza Viboko Walimu Wao, Mmoja Ang'olewa Meno Matano, Mwingine Ngeu Kichwani

Posted: 14 Sep 2016 03:03 AM PDT

Wanafunzi Wacharaza Viboko Walimu Wao, Mmoja Ang'olewa Meno Matano, Mwingine Ngeu Kichwani Wawanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Usevya wilayani Mlele Mkoa wa Katavi, wanadaiwa kuwashambulia kwa kuwacharaza viboko walimu wao wawili miongoni mwao akiwemo Makamu Mkuu wa Shule hiyo, Makonda Ng'oka "Membele'' (34) ambaye

DIAMOND Msamehe Baba'ko, Mbona Q-Chief Aliweza?

Posted: 14 Sep 2016 02:58 AM PDT

DIAMOND Msamehe Baba'ko, Mbona Q-Chief Aliweza? Ni kweli inauma mno kutelekezwa na mzazi. Mimi ambaye baba na mama yangu walinilea kwa umoja wao pamoja na umaskini wetu, huwa nawaza ingekuwaje baba au mama asingekuwa karibu yangu? Malezi ya mzazi mmoja au wote wasingekuwepo. Inaumiza sana! Hiyo ndiyo sababu naweza kuhisi

Majambazi 10 yateka magari, yaua dereva

Posted: 14 Sep 2016 02:57 AM PDT

Majambazi 10 yateka magari, yaua dereva Wafanyabiashara waliokuwa wakitoka mnadani wamevamiwa na majambazi yapatayo 10 ambayo na kumuua kwa risasi dereva aliyegoma kuwapa fedha na simu. Dereva huyo, Chrispin Inyangwe (40) alipigwa risasi ya mgongoni alipojaribu kupambana nao. Tukio hilo lilitokea usiku wa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 17, 2016, 11:36:56 PM9/17/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Shilole Aeleza Kilichomsukuma Kupatana na Nuh Mziwanda

Posted: 17 Sep 2016 01:44 AM PDT

Shilole Aeleza Kilichomsukuma Kupatana na Nuh Mziwanda Baada ya hivi karibuni Sholole na Nuh Mziwanda kupatana, Shilole amefunguka na kuzungumzia nini kimemsukuma mpaka akapatana na mkali huyo wa wimbo 'Jike Shupa'. Wawili hao ambao walikuwa wapenzi waliachana kwa kutupiana maneno huku Nuh Mziwanda akionekana kumlaumu

MAJAMBAZI, Mali za Wizi na Silaha Vyakamatwa Dar

Posted: 17 Sep 2016 01:35 AM PDT

MAJAMBAZI, Mali za Wizi na Silaha Vyakamatwa Dar Kikosi maalum cha kupambana na ujambazi wa kutumia silaha cha Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kimefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 5 wa makosa ya ujambazi wa kutumia silaha katika maeneo mbalimbali. Kamishna wa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 19, 2016, 11:45:41 PM9/19/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


ACT-Wazalendo Wambipu Magufuli......Watangaza kufanya kongamano la kidemokrasia Septemba, 24

Posted: 19 Sep 2016 11:50 AM PDT

ACT-Wazalendo Wambipu Magufuli......Watangaza kufanya kongamano la kidemokrasia Septemba, 24 Chama cha ACT – Wazalendo kimetangaza azma yake ya kufanya mkutano mkuu wa kidemokrasia Jumamosi ijayo licha ya kuwapo kwa amri ya Polisi iliyokataza kufanyika kwa mikutano yote ya kisiasa nchini. Jeshi la Polisi lilipiga marufuku

BREAKIN NEWZZ!!:- CHADEMA WAMFUKUZA KIGOGO WAO KWA UTAPELI SOMA HAPA LIVE!!

Posted: 19 Sep 2016 11:25 AM PDT

Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA  By Pamela Chilongola,mwananchi Dar es Salaam. Chama

Mjengo wa Navy Kenzo Uliogharimu Tsh Milioni 700 kukamilika Disemba

Posted: 19 Sep 2016 10:44 AM PDT

Mjengo wa Navy Kenzo Uliogharimu Tsh Milioni 700 kukamilika Disemba Msanii wa Kundi la muziki la Navy Kenzo, Nahreel amesema ujenzi wa nyumba yao inayogharimu zaidi milioni 700 unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba mwaka huu. Akiongea na Bongo5 Jumamosi hii, Nahreel amesema anashangaa kuona watu hawaamini kama pesa

Ndege Mpya Ziwe Mali ya Serikali, ATCL Wakodishwe tu..Wakishindwa Kazi Wanyang'anywe

Posted: 19 Sep 2016 10:44 AM PDT

Ndege Mpya Ziwe Mali ya Serikali, ATCL Wakodishwe tu..Wakishindwa Kazi Wanyang'anywe Ili kuhakikisha hizi ndege zinakuwa katika hali bora na kutumika ipasavyo nashauri hizi ndege ziwe mali ya serikali, ATCL wakodishwe na wakishindwa kulipia wanyang'anywe. Hii pia itasaidia mashirika mengine kuzikodi na kuongeza ufanisi wa shughuli

Mwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe

Posted: 19 Sep 2016 10:38 AM PDT

Mwanamke Subiri Uvuliwe, Usivue Mwenyewe Kuna tabia fulani kwa baadhi ya wanawake mnapokua faragha kukimbilia kuvua nguo, badala ya kusubiri kuvuliwa na mpenzi wake. Jamani zile steps za kuvuana nguo zina raha yake na msisimko wa pekee, especially kutoa jeki, kufuli na boxer. Nashangaa mtu mko ndani dakika nyingi mtu

Mwenyekiti wa UVCCM afikishwa mahakamani kwa kujifanya Afisa Usalama wa Taifa

Posted: 19 Sep 2016 10:37 AM PDT

Mwenyekiti wa UVCCM afikishwa mahakamani kwa kujifanya Afisa Usalama wa Taifa Mahakama ya Hakimu mkazi Arusha imemsomea mashtaka mawili Mwenyekiti wa umoja wa vijana (UVCCM) Lengai Ole Sabaya ambaye pia ni diwani wa kata ya Sambasha Wilaya ya Arusha vijijini . Miongoni mwa makosa hayo aliyosomewa mahakamani hapo kosa la

LULU Michael Atangaza Kuhitaji Kupata Mtoto....

Posted: 19 Sep 2016 10:37 AM PDT

LULU Michael Atangaza Kuhitaji Kupata Mtoto.... Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth 'Lulu ' Michael amedai kuwa anahitaji mtoto kwa sasa. Muigizaji huyo ameandika ujumbe kwenye mtandao wake wa Instagram akimuomba Mungu huku akidai kuwa yupo tayari kwa sasa na anahitaji mtoto. "Okay…I'm

PENDEZA NA MISHONO/ MITINDO YA VITENGE!

Posted: 19 Sep 2016 03:17 AM PDT

 

Muhimbili wahaha mashine mpya MRI

Posted: 19 Sep 2016 03:16 AM PDT

Muhimbili wahaha mashine mpya MRI HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), iliyoko jijini Dar es Salaam, inahitaji mashine mpya ya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali

SNURA ASEMA HANA TABIA YA KUTOKA KIMAPENZI NA "WATOTO WADOGO" KAMA WANAVYOFANYA WENZAKE WENGINE

Posted: 19 Sep 2016 03:14 AM PDT

SNURA ASEMA HANA TABIA YA KUTOKA KIMAPENZI NA "WATOTO WADOGO" KAMA WANAVYOFANYA WENZAKE WENGINE MSANII wa muziki wa Bongofleva na filamu, Snura Mushi amefunguka na kusema kuwa yeye hana tabia ya kutoka kimapenzi na watoto wadogo kama kama baadhi ya wasanii wengine wa kike ama wanawake maarufu.

DUDU Baya a.k.a Mamba Aichana Chana Clouds Fm, Amwagia Sifa Rubby

Posted: 19 Sep 2016 01:55 AM PDT

DUDU Baya a.k.a Mamba Aichana Chana Clouds Fm, Amwagia Sifa Rubby Msanii mkongwe na asiyesahaulika katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya dudu baya amekivua nguo kituo cha clouds fm kwa kuwaita ni wanafki wakubwa, wanyonyaji wa wasanii, na wenye kuharibia wasanii ndoto za mziki wao Mamba alitolea mfano wasanii

Naongoza kwa Kutukanwa Kwenye Muziki, Lakini Najivunia Kuupeleka Muziki Sehemu Fulani – Ruge

Posted: 19 Sep 2016 01:50 AM PDT

Naongoza kwa Kutukanwa Kwenye Muziki, Lakini Najivunia Kuupeleka Muziki Sehemu Fulani – Ruge Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vipindi Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema yeye ni mtu ambaye anaongoza kwa kutukanwa katika tasnia ya muziki kutokana na harakati zake za kuupigania muziki. Akiongea Ijumaa hii katika semina ya

HATIMAYE Faiza Ally Atoa Stori ya Maisha Yake Inayomuumiza na Kumfanya Hivyo Alivyo Hivi Sasa...Sugu Atajwa

Posted: 19 Sep 2016 01:49 AM PDT

HATIMAYE Faiza Ally Atoa Stori ya Maisha Yake Inayomuumiza na Kumfanya Hivyo Alivyo Hivi Sasa...Sugu Atajwa Faiza Ally Afunguka Historia ya Maisha yake Kama ifuatavyo: Naomba niileze ujinga wangu kwenye mtandao nikiwa naamini kuna elimu kutoka kwa mjinga na muelevu.... Naomba mfatilie Maana Huwenda yakawa magazeti

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 20, 2016, 11:32:14 PM9/20/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Mwanamuziki Diamond Platnumz Kuvunja Rekodi yake Mwenyewe

Posted: 20 Sep 2016 04:45 AM PDT

Mwanamuziki Diamond Platnumz Kuvunja Rekodi yake Mwenyewe Kanichambua kama karanga mama. Chambua kama karangaaa Good morning mabibi na mabwana. Inatia moyo sana kuona msanii kutoka bongo land anaweka rekodi na kuivunja mwenyewe. Mpaka sasa hakuna msanii yeyote barani afrika ambaye Video zake

Video: Msanii TID Ajisifu Kumkaza Wema Sepetu Akiwa Jukwaani..Mashabiki Nusura Wazire

Posted: 20 Sep 2016 04:44 AM PDT

Video: Msanii TID Ajisifu Kumkaza Wema Sepetu Akiwa Jukwaani..Mashabiki Nusura Wazire Katika usiku wa RnB ulioandaliwa na the Bridge show ya mlimani TV, line up ya wasanii kadhaa iliperform lakini mnyama TID ambaye amekwisha kutajwa kama moja ya mastaa waliowahi kudate na Wema Sepetu alisuprise sana watu kwa kitende

Chidi Benz Akanusha Kurudia Kutumia Unga...Awatupia Lawama Wabaya wake

Posted: 20 Sep 2016 04:44 AM PDT

Chidi Benz Akanusha Kurudia Kutumia Unga...Awatupia Lawama Wabaya wake Msanii wa muziki wa Hip Hop, Chidi Benz amekanusha taarifa ambazo zimezagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amerudia katika matumizi ya Madawa ya kulevya. Rapper huyo amedai taarifa hizo zinasambazwa na wabaya wake ambao hawamtakii mema.

Stori ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya

Posted: 20 Sep 2016 04:43 AM PDT

Stori ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya Ni stori ambayo aliitoa kipindi cha nyumba kidogo lakini leo nimeona niwaletee na ninyi mtazame akielezea kilichomkuta na mpaka kupotea kabisa katika anga za muziki wa Bongo Flava.....Its so touching yaai i cant watch this twice.

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 21, 2016, 11:35:34 PM9/21/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Mke wa Boss Ananitega...

Posted: 20 Sep 2016 08:45 PM PDT

Mke wa Boss Ananitega... Kibarua changu kipo hatarini kuota mbawa, anayeniponza ni mke wa boss. Boss wangu ni mtu mzima kidogo umri umeenda lakini mke wake ni kabinti kadogo alafu bado kabichi kabisa ni kabinti ambako saizi yake ni kijana mchapakazi kama mimi. Nimeingia kwenye mtihani mzito mimi ni Dereva mara nyingi

Wasanii wa Bongo Fleva Ambao Wakishirishwa Ngoma Lazima ibambe Mtaani.

Posted: 20 Sep 2016 08:44 PM PDT

Wasanii wa Bongo Fleva Ambao Wakishirishwa Ngoma Lazima ibambe Mtaani. Kwa mtazamo wangu nadhani hawa ndiyo wasanii wa bongo fleva ambao wameshirikishwa kwenye nyimbo bila kuharibu na wakati mwingine kuzipaisha ngoma zenyewe. 1.Alikiba. 2.G.Nako 3.Barnaba boy. 4.Rich mavoko. 5.Juma jux 6.

Wema: Nilitaka mil 75 kuwa Salome, WCB wakanipa mil 50 nikakataa

Posted: 20 Sep 2016 08:44 PM PDT

Wema: Nilitaka mil 75 kuwa Salome, WCB wakanipa mil 50 nikakataa Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka

Justin Bieber na mpenzi wake Sofia Richie wadaiwa kumwagana

Posted: 20 Sep 2016 08:43 PM PDT

Justin Bieber na mpenzi wake Sofia Richie wadaiwa kumwagana Justin Bieber na mpenzi wake Sofia Richie wameachana. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, chanzo cha karibu cha wawili hao kimesema kuwa Bieber na Sofia hawajaonekana pamoja tangu mara ya mwisho walipokuwa vacation nchini Mexico wakati wa kusherehekea siku ya kuzaliwa ya

Angelina Jolie Aomba Talaka Kwa Brad Pitt

Posted: 20 Sep 2016 08:42 PM PDT

Angelina Jolie Aomba Talaka Kwa Brad Pitt Na hawa pia? Ni swali ambalo unaweza kujiuliza uliposoma tu kichwa cha habari. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ, Angelina Jolie ameomba talaka kwa mume wake, Brad Pitt. Wawili hao walifunga ndoa miaka miwili iliyopita, lakini wamekuwa pamoja kwa zaidi ya muongo sasa. Wamekuwa pamoja tangu

Kizimbani Kwa Kutangaza Kuoa Askari Mwenye Mafuta ya Kilainishi cha KY JELLY

Posted: 20 Sep 2016 08:41 PM PDT

Kizimbani Kwa Kutangaza Kuoa Askari Mwenye Mafuta ya Kilainishi cha KY JELLY Mfanyabiashara Christon Mbalamula, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kulidhalilisha Jeshi la Polisi kwa kudai anatangaza ndoa na askari watakaomhudumia kama mume, huku akihoji kama wameshanunua mafuta ya kilainishi maarufu KY. Mshtakiwa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 22, 2016, 10:55:21 PM9/22/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Alikiba na Timing Mbaya, Kapoteza Tena Pambano Dhidi ya Diamond Platnumz

Posted: 22 Sep 2016 06:47 AM PDT

Alikiba na Timing Mbaya, Kapoteza Tena Pambano Dhidi ya Diamond Platnumz Mimi ni mpenzi mkubwa wa muziki na hasa muziki wa dansi ingawa nyimbo nyingi sizijui. Nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana kuwasikiliza Washirika Tanzania stars na mpaka sasa nikisikia nyimbo yao yoyote natulia kwa makini kusikiliza. Hiyo ilikuwa bendi

ZARI Amuumbua Hamisa Mobetto, Aanika Live Uchafu Wake na Diamond

Posted: 22 Sep 2016 06:47 AM PDT

ZARI Amuumbua Hamisa Mobetto, Aanika Live Uchafu Wake na Diamond Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi mwenzie ,ambaye pia ni mpenzi wake wa sasa, Zari Hassan ambapo

Harmonize: Nilishawahi Kuwa Dereva Bodaboda

Posted: 22 Sep 2016 06:46 AM PDT

Harmonize: Nilishawahi Kuwa Dereva Bodaboda Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa 'Matatizo' amefunguka na kusema kuwa katika harakati zake za kutafuta maisha alishawahi kuwa dereva wa bodaboda. Harmonize amesema aliifanya kazi hiyo katika kuhakikisha anaendesha

Barnaba Adai Awali Ruby Aliukataa Wimbo ‘Na Yule’ Aliouandika

Posted: 22 Sep 2016 01:34 AM PDT

Barnaba Adai Awali Ruby Aliukataa Wimbo 'Na Yule' Aliouandika Barnaba amedai kuwa awali Ruby aliukataa wimbo 'Na Yule' alioundika. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, mwandishi huyo mahiri wa nyimbo alisema aliitwa amuandikie wimbo msanii huyo. "Nikaandika nyimbo tatu lakini for the

TCRA Yadai Haipendi Kufungia vyombo vya Habari ila Sheria Inawalazimu

Posted: 22 Sep 2016 01:33 AM PDT

TCRA Yadai Haipendi Kufungia vyombo vya Habari ila Sheria Inawalazimu Mamlaka ya Mawasiliano ya Tanzania, TCRA, imesema haifurahii kuvifungia vyombo vya habari bali inavitaka vifuate kanuni na sheria zilizopo. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya TCRA, Joseph Mapunda, ameyasema hayo akiwa jijini Mbeya.

Saida Karoli Afunguka ya Moyoni

Posted: 22 Sep 2016 01:33 AM PDT

Saida Karoli Afunguka ya Moyoni Msanii wa nyimbo za asili Saida Karoli aliyevuma kitambo, amefunguka na kusema kuwa kitendo cha msanii Diamond Platnum kurudia moja ya kazi yake anajihisi kuzaliwa upya. Saida Karoli ambaye aliwahi kufanya vizuri na nyimbo kama 'Mapenzi kizunguzungu', Kaisiki, Maria Salome na nyingine kibao na

Tundu Lissu Aponea Chupuchupu Dhamana Yake Kufutwa

Posted: 22 Sep 2016 01:32 AM PDT

Tundu Lissu Aponea Chupuchupu Dhamana Yake Kufutwa Hofu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kumfutia dhamana Tundu Lissu ambaye ni mtuhumiwa wa kesi ya uchochezi, imetoweka baada ya mahakama hiyo kukubaliana na utetezi wa  wadhamini wake kuwa, Lissu yupo Ujerumani kwa matibabu. Lissu ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chama

Gavana wa Benki Kuu (BoT) Benno Ndulu, na Msajili wa Hazina Kizimbani Leo

Posted: 22 Sep 2016 01:32 AM PDT

Gavana wa Benki Kuu (BoT) Benno Ndulu, na Msajili wa Hazina Kizimbani Leo Mahakama  Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemtaka Gavana wa Benki Kuu (BoT) Benno Ndulu, na Mwendeshaji wa benki ya FBME, Lawrence Mafuru, wafike mahakamani kujieleza jinsi watakavyotekeleza amri iliyoitaka BoT kulipa Sh bilioni 92. Maofisa hao

KIMENUKA Nyumbani Kwa Diamond..Zari Akuta Hereni za Mwanamke Chumbani Kwao...Zahisiwa ni za Hamisa Mobeto

Posted: 22 Sep 2016 01:30 AM PDT

KIMENUKA Nyumbani Kwa Diamond..Zari Akuta Hereni za Mwanamke Chumbani Kwao...Zahisiwa ni za Hamisa Mobeto First Lady wa Madale, Zari The Bosslady ametupa tena jiwe gizani. Awamu hii ni kwa mwanamke 'fumbo' ambaye anadai aliacha heleni zake katika chumba chake – hajasema ni kipi lakini ni wazi ni chumba cha Diamond, Madale kwakuwa

M-Pawa yazidi Kuwatajirisha Watanzania Mshindi wa Pili wa Milioni 20 Apatikana

Posted: 22 Sep 2016 01:30 AM PDT

M-Pawa yazidi Kuwatajirisha Watanzania Mshindi wa Pili wa Milioni 20 Apatikana Vodacom Tanzania wakishirikiana na Benki ya CBA, ilizindua promosheni kubwa inayojulikana kama "Jiongeze na M-Pawa" ambayo inawawezesha watumiaji wa huduma ya M-Pawa kujishindia zawadi ya fedha taslimu. Meneja masoko Huduma za kifedha wa

Askari tisa JWTZ kizimbani kwa mauaji

Posted: 22 Sep 2016 01:30 AM PDT

Askari tisa JWTZ kizimbani kwa mauaji ASKARI tisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),   wamefikishwa mahakamani wakituhumiwa kwa mauaji ya mkazi mmoja wa Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora. Mwendesha Mashtaka, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi,  Samson Kabigi, alisoma mashtaka dhidi ya watuhumiwa hao mbele ya Hakimu Mkazi

Mwanamuziki Trey Songz Ambeep Juma Jux Kwa Kumuita Vanessa Mdee 'Baby'

Posted: 22 Sep 2016 01:30 AM PDT

Mwanamuziki Trey Songz Ambeep Juma Jux Kwa Kumuita Vanessa Mdee 'Baby' Akisifika kama bingwa wa nyimbo za kutafutia watoto chumbani na pia akiwa na mashabiki wengi zaidi wa kike, Trey Songz akimuita mpenzi wako 'baby' ni lazima moyo ukudunde! Muimbaji huyo wa 'Nana' yupo Nairobi, Kenya alikoenda kurekodi kipindi cha

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 23, 2016, 10:55:19 PM9/23/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Wimbo Mpya wa Ruby Kijembe kwa Mawingu na Ruge? Usikilize Hapa

Posted: 23 Sep 2016 08:18 AM PDT

Wimbo Mpya wa Ruby Kijembe kwa Mawingu na Ruge? Usikilize Hapa Nimeusikia kwa mara ya kwanza wimbo wa mwanadada Ruby baada ya kujitoa katika matamasha ya Fiesta. Wimbo unaitwa Wale Wale, mwadada kama kawa kaimba poa sana wimbo unamelody kali sana yaani zile zinaitwaga "Catch Melodies". Lakini maudhui ya wimbo

Queen Tipha afunguka baada ya mpenzi wake, Ben Pol kuonekana kwenye picha akibusiana na Snura

Posted: 23 Sep 2016 08:17 AM PDT

Queen Tipha afunguka baada ya mpenzi wake, Ben Pol kuonekana kwenye picha akibusiana na Snura Latifa Mohamed aka Queen Tipha amefunguka baada ya kusambaa mitandaoni picha za mzazi mwenzake, Ben Pol akionekana wakibusiana na Snura wakati walipokuwa mkoani Tabora kwa ajili ya tamasha la Fiesta. Queen Tipha amekiambia

Dongo la Diamond Lamtoa Mapovu Aliyekuwa Mume wa Zari Ivan....Meseji zavuja Zari Akimuomba Msamaaa

Posted: 23 Sep 2016 08:17 AM PDT

Dongo la Diamond Lamtoa Mapovu Aliyekuwa Mume wa Zari Ivan....Meseji zavuja Zari Akimuomba Msamaaa Hali ni Tete Madale....Dongo la Diamond aliloandika kuhusu wale wanaojisifu kuwa wanahela lakini watoto wao wanaishi kwenye nyumba ya kupanga limemfikia mwenyewe ambae ni mume wa dhamani wa Zari aitwaje Ivan , Nimepitia kwenye

WEMA Sepetu Akunwa na Wimbo wa Diamond 'Salome' Ajirekodi Akiimba, Diamond Asema Haya

Posted: 23 Sep 2016 08:15 AM PDT

WEMA Sepetu Akunwa na Wimbo wa Diamond 'Salome' Ajirekodi Akiimba, Diamond Asema Haya Malkia wa filamu Wema Sepetu amekunwa na wimbo mpya wa Diamond Platnumz 'Salome' na kuamua kujirekodi video huku akiimba wimbo huo. Diamond alipost video instagram inayomwonyesha mwigizaji huyo akiimba wimbo 'Salome' huku akiandika

MSWAHILI Aachi Asili..Diamond Amrushia Dongo Mume wa Zamani wa Zari..Huku Akijisifia Kwa Nyumba Aliyonunua Afrika Kusini

Posted: 23 Sep 2016 08:14 AM PDT

MSWAHILI Aachi Asili..Diamond Amrushia Dongo Mume wa Zamani wa Zari..Huku Akijisifia Kwa Nyumba Aliyonunua Afrika Kusini Mwanamuziki Diamond ametupa Jiwe Gizani ambalo ninaonekana kumlenga mume wa zamani wa Zari Hassan....Lisome mwenyewe Hapa chini: Diamondplatnumz They are busy bragging them selves

HARD WORK Pays...AIKA na Nahreel Ndani ya MTV Mama Awards 2016

Posted: 23 Sep 2016 08:13 AM PDT

HARD WORK Pays...AIKA na Nahreel Ndani ya MTV Mama Awards 2016 Kundi la Navy Kenzo ambalo linaundwa na Aika na Nahreel limefanikiwa kuingia katika Mchakato (Nomination) wa kutafuta washindi wa MTV Mama Awards 2016 Kwenye kipengele cha Group Bora la Muziki Afrika, Nimeanza na kuandika Hard Work Pays Kwasababu ni

MAMBO Yamwendea Kombo DAVIDO..Akosa Tuzo za MTV Mama Mwaka Huu, Mwenyewe Ajipa Moyo Kwa Kusema Haya

Posted: 23 Sep 2016 08:12 AM PDT

MAMBO Yamwendea Kombo DAVIDO..Akosa Tuzo za MTV Mama Mwaka Huu, Mwenyewe Ajipa Moyo Kwa Kusema Haya Baada ya kutotajwa jina lake kwenye tuzo za MTV MAMA 2016, Davido amejipa moyo kufanya vizuri mwakani kwenye tuzo hizo. davido Kupitia mtandao wake wa Twitter, muimbaji huyo ameandika, "I really

Orodha ya Wasanii Watakaowania Tuzo za MTV MAMA 2016, Navykenzo, Diamond na Alikiba Ndani

Posted: 23 Sep 2016 08:10 AM PDT

Orodha ya Wasanii Watakaowania Tuzo za MTV MAMA 2016, Navykenzo, Diamond na Alikiba Ndani Orodha ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba 22 kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna vipengele tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy Kenzo. Hii ni orodha

Crazy GK: Sifanyi Show Bongo Chini ya Shilingi Milion 30

Posted: 23 Sep 2016 08:09 AM PDT

Crazy GK: Sifanyi Show Bongo Chini ya Shilingi Milion 30 Naheshimu muziki wa GK lakini kwa nlichomsikia anasema ni wazi kua atakwama...umepotea kwenye anga ya muziki then unarudi halafu unasema kua hufanyi show chini ya milioni 30. Dah aisee...Diamond, Rayvany, Harmonize, Navykenzo, Alikiba Wasemeje? na wakali wengine wanaotingisha

Ujenzi wa Daraja la Salender kuanza 2017 na Kukamilika Mwaka 2020

Posted: 23 Sep 2016 08:09 AM PDT

Ujenzi wa Daraja la Salender kuanza 2017 na Kukamilika Mwaka 2020 Rais John Magufuli amekutana na balozi wa Korea Kusini Ikulu Dar, Rais amesema kampuni ya Kikorea inayofanya Designing ipo hatua za mwisho na itatangaza tenda hivi karibuni na ujenzi wake unatarajia kuanza mwezi wa Juni 2017. Daraja hilo litakuwa na

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 26, 2016, 11:37:54 PM9/26/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Faiza Ally: Nahitaji Mwanaume Anipe Ujauzito Nipate Mtoto wa Kiume

Posted: 25 Sep 2016 09:51 PM PDT

Faiza Ally: Nahitaji Mwanaume Anipe Ujauzito Nipate Mtoto wa Kiume Mwanamama mzazi mwenza wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi Sugu atangaza kutafuta mwanaume ili ampe ujauzito na hatimaye apate mtoto wa kiume kwa kuwa ana nguvu za kutosha za kulea Haya sasa kazi kwenu ambao hamna mademu, toto limejitokeza hilo

Ushahidi Huu Hapa Mungu Amekataza Mapenzi Kinyume na Maumbile

Posted: 25 Sep 2016 09:50 PM PDT

Ushahidi Huu Hapa Mungu Amekataza Mapenzi Kinyume na Maumbile Kitabu cha Biblia kinaeleza waziwazi huu uchafu unaofanywa na binadamu kama matendo ya ushoga,kutembea na binamu yako pamoja na wake za watu,kupitia vifungu vifuatavyo : USHOGA NA ULAJI TIGO MAMBO YA WALAWI 20:13 Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume,

Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

Posted: 25 Sep 2016 09:49 PM PDT

Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya: Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo, kupendelea sana kuangalia picha za uchi, Kusahausahau, Kupendelea

Utata wa Nyumba Mpya ya Diamond Waibuka

Posted: 25 Sep 2016 09:47 PM PDT

Utata wa Nyumba Mpya ya Diamond Waibuka Habari zilizo chini ya carpet huku Instagram ni kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni kama picha inavyoonyesha hapo. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali wa hiyo nyumba...... Mdaku

Ama Kweli Nabii Hakubaliki Kwao..Tazama Rayvan na Harmonize Walivyopokelewa Burundi

Posted: 25 Sep 2016 09:46 PM PDT

Ama Kweli Nabii Hakubaliki Kwao..Tazama Rayvan na Harmonize Walivyopokelewa Burundi Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini Burundi huwaambii kitu

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 28, 2016, 11:38:54 PM9/28/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Mahakama yakana kuitambua kampuni iliyotumiwa na NHC kumtimua Mbowe

Posted: 28 Sep 2016 11:38 AM PDT

Mahakama yakana kuitambua kampuni iliyotumiwa na NHC kumtimua Mbowe Mahakama Kuu imekana kuitambua kampuni ya Fosters Auctioneers and General Traders iliyohusika kuondoa vitu vya kampuni za Freeman Mbowe kwenye jengo la Shirika la Taifa la Nyumba (NHC). Hayo yalibainishwa jana na kiongozi wa jopo la mawakili

HALI ya afya ya Spika mstaafu, Samuel Sitta si nzuri..Apelekwa Nchini Ujerumani

Posted: 28 Sep 2016 11:38 AM PDT

HALI ya afya ya Spika mstaafu, Samuel Sitta si nzuri..Apelekwa Nchini Ujerumani HALI ya afya ya Spika mstaafu, Samuel Sitta si nzuri,baada ya Serikali kumpeleka nchini Ujerumani kwa matibabu zaidi. Habari za uhakika  zinasema Sitta alipelekwa Ujerumani juzi kwa matibabu baada ya afya yake kubadilika ghafla.

Chidi alikuwa apelekwe Ulaya kwenye matibabu kama angemaliza muda wa matibabu Sober House – Kalapina

Posted: 28 Sep 2016 11:38 AM PDT

Chidi alikuwa apelekwe Ulaya kwenye matibabu kama angemaliza muda wa matibabu Sober House – Kalapina Rapper Kalapina mmoja kati ya wadau ambao walimsaidia Chidi Benz kumpeleka Sober House amefunguka kwa kusema kuwa kitendo cha Chidi Benz kukatisha muda wa matibabu akiwa Sober House kumemkosesha vitu vingi pamoja na kupelekwa Ulaya

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 29, 2016, 10:53:59 PM9/29/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Diamond Platnumz celebrates wife's birthday in Zanzibar, buys her a home

Posted: 28 Sep 2016 11:34 PM PDT

Diamond Platnumz celebrates wife's birthday in Zanzibar, buys her a home Diamond Platnumz celebrated his wife's birthday while on vacation in Zanzibar. He also bought her a house as part of her birthday gift. She shared photos of the house and wrote: Happy birthday to moiiiii courtesy of @diamondplatnumz thank you for

Agness Masogange Aamua Kupima Ukimwi na Kutuonyesha Kukata Mzizi wa Fitina

Posted: 28 Sep 2016 11:00 PM PDT

Agness Masogange Aamua Kupima Ukimwi na Kutuonyesha Kukata Mzizi wa Fitina Baada ya Mrembo Tunda kuanika Majibu yake ya Ngoma tukayaona...Agnes Masogange nayeye awafunga midomo walikuwa wakimsema ana Ugonjwa...Aanika wazi majibu yake. .imethibishwa kuwa Hana HIV...je ukipata nafasi utamshauri nini? ?? Tia neno kwako

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Sep 30, 2016, 11:12:07 PM9/30/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


MARCUS RASHFORD KUREJESHWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND

Posted: 30 Sep 2016 11:53 AM PDT

MARCUS RASHFORD KUREJESHWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND Marcus Rashford hajachaguliwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England chini ya miaka 21 ikiaminika kuwa mshambuliaji huyo wa Manchester United anarejeshwa kwenye kikosi cha wakubwa. Rashford,

Makahaba Arusha Wamiminika Kujifunza Kiingereza Kuvutia Wateja wa Kigeni

Posted: 30 Sep 2016 11:50 AM PDT

Makahaba Arusha Wamiminika Kujifunza Kiingereza Kuvutia Wateja wa Kigeni Wasichana wanaojiuza jijini Arusha, wanalazimika kutafuta madarasa ya kujifunza kimombo kwakuwa ni lulu katika maisha ya kazi yao hiyo. Ni kwasababu wale wanaojua Kiingereza hupata wateja wa kigeni ambao hutoa dau kubwa zaidi kwa huduma wanayopewa kuliko

Alichofanya Mfakanyazi wa Shirika la Ndege la Ethiopia Alipookota Bahasha Yenye Milioni 21.8

Posted: 30 Sep 2016 11:49 AM PDT

Alichofanya Mfakanyazi wa Shirika la Ndege la Ethiopia Alipookota Bahasha Yenye Milioni 21.8 Shirika le Ndege la Kimataifa la nchini Ethiopia limempongeza hadharani mmoja wa wafanyakazi wake kwa kurejesha fedha kiasi cha dola elfu 10 (sawa ni shilingi milioni 21.8) zilizokuwa zimesahauliwa na mmoja wa abiria aliyekuwa kwenye ndege

Wema Sepetu Amkataa Idriss Sultan Mchana Kweupeee Pee!

Posted: 30 Sep 2016 11:49 AM PDT

Wema Sepetu Amkataa Idriss Sultan Mchana Kweupeee Pee! Wema amkataa Idriss Mchana kweupeee pee!!!!! Ashasema hataki kuwa nae sasa nyie endeleeni kupost ohh shem shem sijui kamuoa dada yenu au???? Watabaki kuwa marafiki kama zamani tuuuu...wema so wamchezo mchezooo... unalakusema hapo mdau ???Habari ndo hiyooo... Tukutane katika

UKUTA Ndio Basi Tena "UMEBUMA"...Chadema Watangaza Kuairisha Tena Maandamano ya Oparesheni UKUTA

Posted: 30 Sep 2016 11:48 AM PDT

UKUTA Ndio Basi Tena "UMEBUMA"...Chadema Watangaza Kuairisha Tena Maandamano ya Oparesheni UKUTA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Freeman Mbowe ametangaza kuwa Operesheni UKUTA iliyokuwa ifanyike Oktoba Mosi haitofanyika tena. Mbowe amesema hayo leo baada ya kimya cha muda mrefu tangu

'I cancelled £6,000 wedding to my dream man with just a month to go because a Psychic told me to' - Lady reveals

Posted: 30 Sep 2016 05:28 AM PDT

'I cancelled £6,000 wedding to my dream man with just a month to go because a Psychic told me to' - Lady reveals A woman known as Lisa Manso has revealed that she ended her dream wedding to her childhood sweetheart Michael after a psychic told her to, despite spending over £6000 planning for the wedding. According

Mwimbaji Ray Vanny Adai Ilifika Wakati Akawa Anaichukia Sauti yake...Afunguka Haya Kuhusu Diamond Platnumz

Posted: 30 Sep 2016 05:27 AM PDT

Mwimbaji Ray Vanny Adai Ilifika Wakati Akawa Anaichukia Sauti yake...Afunguka Haya Kuhusu Diamond Platnumz Mwimbaji Raymond Amefunguka ya moyoni kuhusu boss wake aliyemtoa Kimuziki Diamond Platnumz: Rayvanny Mengi yako Moyoni Mwangu.lakini kiukweli siamini hapa nilipo.nilikata tamaa,sikujiamini tena kama ntaweza

Chadema kutoa msimamo wa Oparesheni UKUTA Leo

Posted: 30 Sep 2016 04:47 AM PDT

Chadema kutoa msimamo wa Oparesheni UKUTA Leo Mwezi mmoja baada ya Chadema kusitisha Operesheni Ukuta kupinga inachokiita ukiukwaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa demokrasia, leo inatarajia kutoa mwelekeo wa mkakati huo. Operesheni hiyo ilipangwa kuzinduliwa Septemba mosi nchini kwa maandamano na mikutano ya hadhara

ATCL Kuanza na Kosa la Kwanza

Posted: 30 Sep 2016 04:47 AM PDT

ATCL Kuanza na Kosa la Kwanza ATCL kama yalivyo mashirika mengine ya umma, kila mara imekuwa ikizaliwa na kufa kutokana na muundo wake usiokuwa wa kibiashara. TANESCO isiyo na mshindani yeyote, TTCL ambayo awali haikuwa na mshindani, na mengine mengi yaliyokwishakufa na yaliyouzwa, mashirika yote hayo yalikufa kwa

Waziri Mkuu Kuhamia Dodoma Leo

Posted: 30 Sep 2016 12:51 AM PDT

Waziri Mkuu Kuhamia Dodoma Leo WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajia  kuhamia rasmi Dodoma leo. Majaliwa anahamia mjini hapa ikiwa ni sehemu ya kutekeleza ahadi ya Serikali ya awamu ya tano ya kuhamia Dodoma ambako ndiko yaliko makao makuu ya nchi. Julai 25 mwaka huu, katika kilele cha siku ya mashujaa

Tibaijuka Ahofia ESCROW.....Akataa Zawadi ya Milioni 200

Posted: 30 Sep 2016 12:51 AM PDT

Tibaijuka Ahofia ESCROW.....Akataa Zawadi ya Milioni 200 MBUNGE wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka (CCM), amepata tuzo ya Umoja wa Mataifa (UN) ikiwa ni mchango wa kuthamini kazi aliyoifanya, huku akikataa kupokea zawadi ya Dola 100, 000 za Marekani, ambazo ni zaidi ya Sh milioni 200. Profesa Tibaijuka alitoa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 1, 2016, 10:53:36 PM10/1/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


MASHABIKI WAMBEZA KING CRAZY GK ANAYEOTA SHOO YA MIL 30 BONGO

Posted: 01 Oct 2016 11:22 AM PDT

MASHABIKI WAMBEZA KING CRAZY GK ANAYEOTA SHOO YA MIL 30 BONGO KAULI iliyotolewa na King Crazy GK kwamba hawezi kufanya shoo nchini bila kulipwa dau la sh. Mil 30, imemweka kwenye kitimoto rapa huyo aliyegeukia muziki wa kuimba baada ya kupotea kwa muda mrefu. GK ambaye kwa

TIMUATIMUA KUWAKUMBA WACHEZAJI "MIZIGO" CHELSEA

Posted: 01 Oct 2016 11:22 AM PDT

TIMUATIMUA KUWAKUMBA WACHEZAJI "MIZIGO" CHELSEA MMILIKI wa Chelsea, Roman Abramovich inasemekana amekerwa na mwenendo wa timu hiyo wa msimu huu wa Ligi na sasa anataka kuuzwa wachezaji wengi na kusajiliwa chipukizi. Abramovich kwa mara ya kwanza tangu anunue timu hiyo ya

BINTI Karume ‘Amchana’ Lipumba

Posted: 01 Oct 2016 11:07 AM PDT

BINTI Karume 'Amchana' Lipumba Fatma Karume, mtoto wa rais wa zamani wa Zanzibar, ameshangazwa na kitendo cha Profesa Ibrahim Lipumba  kutaka kurudi kwenye nafasi yake ya awali ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) wakati alijiuzulu mwenyewe. Fatma, mtoto wa Amani Abeid Karume ambaye ni rais wa sita wa Zanzibar,

MAJIBU ya Feza Kessy Kuhusu Kuwa Mapenzini na Chid Benz

Posted: 01 Oct 2016 11:07 AM PDT

MAJIBU ya Feza Kessy Kuhusu Kuwa Mapenzini na Chid Benz Mrembo kutoka Bongoflevani Feza Kessy ambaye ameshawahi kuzichukua headlines baada ya kushiriki shindano la Big Brother Africa leo October 1 2016 amejibu taarifa iliyokuwa ikimuhusisha Mrembo huyo kutoka na Mkali mwingine anayefanya vizuri kwenye midundo ya Hiphop Chid Benz,

MATOKEO Ya Simba na Yanga leo Haya Hapa

Posted: 01 Oct 2016 11:06 AM PDT

MATOKEO Ya Simba na Yanga leo Haya Hapa Mechi ya Simba na Yanga Jioni ya leo imekwisha kwa timu zote kufungana boa moja kwa moja, Simba walikuwa wakicheza pungufu baada ya Jones Mkude kutolewa kwa kadi nyekundu...

Chadema yamtangazia vita Profesa Lipumba

Posted: 01 Oct 2016 11:04 AM PDT

Chadema yamtangazia vita Profesa Lipumba Wakati  Mwenyekiti wa CUF aliyefutiwa uanachama, Profesa Ibrahim Lipumba akitangaza masharti kwa Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad ya kuingia kwenye ofisi za chama hicho Buguruni, Dar es Salaam Chadema imetangaza kutoshirikiana naye. Akizungumza kwenye makao makuu ya Chadema jana,

Diamond Awajibu Wabaya Wake Kwa Njia Hii

Posted: 01 Oct 2016 11:03 AM PDT

Diamond Awajibu Wabaya Wake Kwa Njia Hii Ijumaa hii Diamond Platnumz ameachia verse ya pili ya remix ya wimbo wa 'All the way up' wa Fat Joe & Remy Ma huku akioekana kuwa jibu wanaomfuatilia kwenye anga zake huku pia mashairi hayo yakidaiwa kuwalenga baadhi ya wasanii wenzake kwenye mistari hiyo. Hivi karibuni mwimbaji huyo

NO Bifu...Diamond Amuombea Kura Alikiba Kwenye Tuzo za MTV EMA 2016

Posted: 01 Oct 2016 11:03 AM PDT

NO Bifu...Diamond Amuombea Kura Alikiba Kwenye Tuzo za MTV EMA 2016 Kuna uwezekano mkubwa kukawa hakuna bifu kati ya Alikiba na Diamond lakini wapo wachache wanaokuza hilo jambo kwa maslahi yao binafsi. Diamond ameonekana kulipa fadhila kwa Alikiba baada ya kumuombea mashabiki wampigie kura kwenye tuzo ya MTV EMA 2016 akiwa

WAREMBO 30 MISS TANZANIA WATINGA KAMBINI LEO, WAPEWA SOMO LA AWALI NA MISS TANZANIA WA SASA

Posted: 01 Oct 2016 02:29 AM PDT

WAREMBO 30 MISS TANZANIA WATINGA KAMBINI LEO, WAPEWA SOMO LA AWALI NA MISS TANZANIA WA SASA Baadhi ya Washiriki watakaowania Taji la Miss Tanzania 2016 wakiwa katika picha pamoja muda mfupi baada ya kuwasili kambini. Jumla ya Washiriki 30 kutoka kanda mbalimbali nchini wameingia Kambini leo Septemba

The Millions Diamond Spend on Zari’s New House In South Africa Will Shock You

Posted: 30 Sep 2016 11:07 PM PDT

The Millions Diamond Spend on Zari's New House In South Africa Will Shock You Diamond Platinumz bought a luxurious house for his wife Zari Hassan. For many, this was a guilty present coming on Zari's birthday designed to make up for his philandering ways. If that is the case, then it

Bob Junior AmchanaJose Chameleone Kuhusu Video yao

Posted: 30 Sep 2016 11:05 PM PDT

Bob Junior AmchanaJose Chameleone Kuhusu Video yao Producer na muimbaji tokea Sharobaro Records, Bob Junior amemchana mkali tokea pande za Uganda, Jose Chameleone baaa ya kufanya wimbo pamoja ambao video yake haijatoka, wimbo unaofahamika kwa jina la "Siachani Naye" mwanzoni mwa mwaka huu. Bob Junior alidai kuwa

Diamond Ataja Bei ya Kuuza Page yake ya Instagram Yenye Followers Milion 2

Posted: 30 Sep 2016 11:02 PM PDT

Diamond Ataja Bei ya Kuuza Page yake ya Instagram Yenye Followers Milion 2 AKIONGEA KUPITIA KITUO CHA TELEVISION CHA CLOUDS TV KUPITIA KIPINDI CHA SHILAWADU ,ALIULIZWA SWALI KUHUSU GHARAMA YA PAGE YAKE KAMA AKITAKA KUIUZA..BILA KUTAFUNA MANENO DIAMOND ALISEMA PAGE YAKE ANAWEZA KUUZA KWA BEI YA DOLA MILIONI 2 SAWA NA TSH BILIONI 4

Billnas Aungana na Nuh Mziwanda Kumvaa Petit Man

Posted: 30 Sep 2016 10:41 PM PDT

Billnas Aungana na Nuh Mziwanda Kumvaa Petit Man Mwanzilishi wa kundi la LFLG rapa Billnas ameunga mkono tuhuma za Nuh Mziwanda kwa kumshukia meneja wao Petit Man juu ya uongozi mbaya na upigaji wa hela kupitia mgongo wao. Billnas akipiga story za eNewz na kusema kuwa matatizo ni kweli yametokea lakini akamshauri Nuh

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 2, 2016, 10:49:11 PM10/2/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Wanakijiji Mvumi -Chamwino Wachoma Moto Gari na Kuuwa Maafisa wa Taasisi ya Kilimo

Posted: 02 Oct 2016 11:52 AM PDT

Wanakijiji Mvumi -Chamwino Wachoma Moto Gari na Kuuwa Maafisa wa Taasisi ya Kilimo Wakuu kuna habari zinasambaa mitandaoni kuwa kuna Maafisa wa Taasisi ya Kilimo ya Seliani iliyopo Mkoani Arusha wameuawa na wanakijiji wa Mvumi. Kukatokea kutokuelewana kati ya maafisa hao na wanakijiji,kiasi cha maafisa hao kuchomwa

BREAKING News: Simba, Yanga Marufuku Uwanja wa Taifa

Posted: 02 Oct 2016 11:51 AM PDT

BREAKING News: Simba, Yanga Marufuku Uwanja wa Taifa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amezifungia rasmi timu za Simba na Yanga kutumia uwanja wa Taifa mpaka pale zitakaporuhusiwa tena na Serikali. Nape ametoa amri hiyo leo Jumapili ikiwa ni siku moja baada ya mashabiki wa klabu ya Simba, kung'oa

Abdu Kiba Ampa Mimba Mwanafunzi wa Miaka 19 na Kumtelekeza..Binti Aelezea Tukio Zima

Posted: 02 Oct 2016 11:50 AM PDT

Abdu Kiba Ampa Mimba Mwanafunzi wa Miaka 19 na Kumtelekeza..Binti Aelezea Tukio Zima Abdu Kiba anashtumiwa kumpa mimba mwanafunzi, mwanafunzi huyo anadai walikutana Instagram, kisha akampa namba yake ya simu wakawa wanachat WhatsApp ndipo walipoendelea kuwasiliana hadi kukutana na kuja kufanya mapenzi na sasa hivi amemruka

STORI ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya

Posted: 02 Oct 2016 11:36 AM PDT

STORI ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya Ni stori ambayo aliitoa kipindi cha nyumba kidogo lakini leo nimeona niwaletee na ninyi mtazame akielezea kilichomkuta na mpaka kupotea kabisa katika anga za muziki wa Bongo Flava.....Its so touching yaai i cant watch this twice.

Siri ya Mama Diamond Kutoka na Muarabu Yafichuka....

Posted: 02 Oct 2016 11:35 AM PDT

Siri ya Mama Diamond Kutoka na Muarabu Yafichuka.... Imefichuka kuwa mama Diamond alitoka na Muarabu na kuzaa mtoto wa kike ambaye sasa ni mkubwa. Mtoto huyo amesema kuwa huwa hapendi kufahamika ndio maana anajitahidi kuweka 'low profile'. Mtazame Hapa mtoto huyo ambae ni Nusu Mwarabu nusu

Is actress Daniella Okeke engaged?

Posted: 02 Oct 2016 12:17 AM PDT

Is actress Daniella Okeke engaged? The actress showed off this huge bling on her left finger Saturday evening on social media...

Povu Lamtoka Nuh Mziwanda Akimtetea Ali Kiba...Adai Ana Roho Nzuri

Posted: 02 Oct 2016 12:15 AM PDT

Povu Lamtoka Nuh Mziwanda Akimtetea Ali Kiba...Adai Ana Roho Nzuri Nuh Mziwanda Ametetea uamuzi wake wakumpigia promo Ali Kiba Kwenye page yake ya Instagram ili watu wamvotie ashinde tuzo... Ameandika Haya hapa kuwalengo wote wanaomponda: Iam_mziwanda "Eeeeh bana nasemaje nasaport anaenisaport msinipangie

PICHA ya Gari Mpya Alilonunua Mchezaji Mbwana Samatta Huku Ubelgiji

Posted: 01 Oct 2016 11:24 PM PDT

PICHA ya Gari Mpya Alilonunua Mchezaji Mbwana Samatta Huku Ubelgiji Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ametumia kiasi cha milioni 130 kununua gari yake ya kwanza nchini Ubelgiji. Gari hilo alilonunua mchezaji huyo ni Benz Cla220 Cdi AMG Sport 2016 ambayo gharama yake inadaiwa kuwa ni €46,680.

Askari Polisi Ajidhalilisha, Apokea Rushwa Mbele ya Camera Zanzibar

Posted: 01 Oct 2016 11:23 PM PDT

Askari Polisi Ajidhalilisha, Apokea Rushwa Mbele ya Camera Zanzibar #ZanzibarPolice #corruption#Zanzibar #Tanzania Although Zanzibar was a beautiful place to visit, officials were trying to take bribes from the moment we landed (like the Yellow Fever scammers in Arrivals, then the car hire scammers in the airport car-park).

Blac Chyna lends support at her BFF Amber Rose's Slut Walk

Posted: 01 Oct 2016 10:35 PM PDT

Blac Chyna lends support at her BFF Amber Rose's Slut Walk Amber Rose had her yearly Slut Walk Saturday in Downtown Los Angeles, which had a lot of people in attendance like her BFF pregnant Black Chyna, Benzino's baby mama, Althea, Joan The Scammer, Trina and co. More photos after the cut...

Rob Kardashian shares pretty photo of Blac Chyna, says she looks perfect

Posted: 01 Oct 2016 10:21 PM PDT

Rob Kardashian shares pretty photo of Blac Chyna, says she looks perfect As he shared on his page...

Photos: Lady who got pregnant at 11, kicked out by her dad but now married shares her amazing story

Posted: 01 Oct 2016 08:32 PM PDT

Photos: Lady who got pregnant at 11, kicked out by her dad but now married shares her amazing story Facebook user, Uriemu Onome shared her amazing story on Facebook. Read below...  My story goes thus, sometime 20 years ago, I was naïve and influenced by peer pressure. My dad was and is still a strict

Princess Charlotte looks so much like her great grand mother the Queen (Photos)

Posted: 01 Oct 2016 08:31 PM PDT

Princess Charlotte looks so much like her great grand mother the Queen (Photos) Adorable 16-month-old princess Charlotte who is already winning hearts and mind with her lovely smile and good looks owes her good genes to her great mother Queen Elizabeth. Archive photos of the Queen have been released and the resemblance between

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 3, 2016, 11:30:12 PM10/3/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Mlinzi wa zamani wa Michael Jackson aiponda timu ya ulinzi ya Kim Kardashian, adai wasipokuwa makini atauawa

Posted: 03 Oct 2016 08:12 PM PDT

Mlinzi wa zamani wa Michael Jackson aiponda timu ya ulinzi ya Kim Kardashian, adai wasipokuwa makini atauawa Mlinzi wa zamani wa Michael Jackson, ameiponda timu ya ulinzi ya Kim Kardashian, kuwa inabidi wawe makini kwasababu staa huyo anaweza kupigwa risasi katika umati wa watu kwakuwa anajulikana pengine zaidi

Polisi yamtia mbaroni askari aliyechukua rushwa kutoka kwa raia wa kigeni Zanzibar.

Posted: 03 Oct 2016 08:11 PM PDT

Polisi yamtia mbaroni askari aliyechukua rushwa kutoka kwa raia wa kigeni Zanzibar. Jeshi la Polisi Zanzibar limemkamata askari wake anayetuhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa raia wa kigeni baada ya kumkamata kwa kosa la barabarani na kumuachia huku akimuahidi kumlinda. Uamuzi huo wa jeshi la polisi Zanzibar umetolewa na

MTV MAMA Awards 2016..Wameongezeka Watanzania Watatu Kwenye List ya Kuwania Tuzo Hizo

Posted: 03 Oct 2016 08:01 PM PDT

MTV MAMA Awards 2016..Wameongezeka Watanzania Watatu Kwenye List ya Kuwania Tuzo Hizo Sept 21, 2016 majina ya mwanzo ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016 yalitajwa huku  Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz na kundi la Navy Kenzo pamoja  na Alikiba ndio wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania tuzo kubwa za Africa za MTV

DIAMOND Abaki na Nguo ya Ndani ‘Boxer’ Wakati Akisherekea Birthday yake

Posted: 03 Oct 2016 12:02 PM PDT

DIAMOND Abaki na Nguo ya Ndani 'Boxer' Wakati Akisherekea Birthday yake Jumamosi hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya staa wa muziki, Diamond Platnumz ikiwa ni wiki moja toka atoke visiwani Zanzibar kusherekea birthday ya mama watoto wake, Zari. Muimbaji huyo alikata keki mbele ya wasanii wake wa WCB huku

RAIS Magufuli: Hakuna Fedha za Tetemeko Kwenda Magereza. Wafungwa "Watetemeke" Kujenga Magereza yao

Posted: 03 Oct 2016 12:02 PM PDT

RAIS Magufuli: Hakuna Fedha za Tetemeko Kwenda Magereza. Wafungwa "Watetemeke" Kujenga Magereza yao "Katibu Mkuu Kiongozi, hakuna kuwapelekea wafungwa wa Karagwe fedha yoyote, hizi za maafa ya tetemeko. Watetemeke na kufanya kazi," alisema Rais Magufuli na kuibua kicheko kwa watu waliohudhuria hafla hiyo. Rais John

Diamond Asherekea Birthday yake Akiwa Uchi

Posted: 03 Oct 2016 11:20 AM PDT

Diamond Asherekea Birtday yake Akiwa Uchi Diamond Platnumz alisherekea birthday yake kwa kuvua nguo zote na kubaki na ya boxer tu alipokuwa anasherekea siku yake ya kuzaliwa Tazama Video:

Diamond Awapiga Clouds Kijembe Cha Kiutu Uzima

Posted: 03 Oct 2016 11:19 AM PDT

Diamond Awapiga Clouds Kijembe Cha Kiutu Uzima Katika kipindi cha D'wikend chat show cha clouds TV, ameulizwa " Meneja wako Sallam analalamikiwa yupo too hasrh and over protective to you. Unalizungumziaje?". Amejibu " Sallam yupo kwa ajili ya kulinda brand...kuna watu ukishakuwa na jina wa nataka wakutumia wakitumie bure halafu

Rapper Witness: Nimechora Tatoo Kiunoni ili Nisichepuke

Posted: 03 Oct 2016 11:19 AM PDT

Rapper Witness: Nimechora Tatoo Kiunoni ili Nisichepuke Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno chake. Akizungumza ndani ya eNewz amesema "Ukiweka tattoo sehemu niliyoweka mimi

Diamond Akiri Mimba Ya Mobeto Kuharibika

Posted: 03 Oct 2016 11:19 AM PDT

Diamond Akiri Mimba Ya Mobeto Kuharibika BAADA ya ukimya wa muda mrefu kutawala kuhusu ujauzito alionao mrembo anayesumbua Bongo, Hamisa Mobeto, Nasibu Abdul 'Diamond' ameibuka na kukiri kuwa mimba ya mrembo huyo imeharibika. Diamond aliyekuwa akitajwa kuwa mhusika wa kiumbe hicho, alifunguka hayo kupitia Kipindi cha

Mtoa Macho Buguruni Akamatwa na Polisi

Posted: 03 Oct 2016 10:54 AM PDT

Mtoa Macho Buguruni Akamatwa na Polisi KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro amesema jeshi hilo limemkamata mtuhumiwa 'Scopion' aliyehusika katika matukio ya unyang'anyi wa kutumia silaha eneo la Buguruni jijini humo. Sirro alitoa kauli hiyo jana Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es

JE, ni Maadili Baba Kumnunulia Bintiye ' Pedi ' na Kujua Kuwa Yupo Mwezini?

Posted: 03 Oct 2016 10:53 AM PDT

JE, ni Maadili Baba Kumnunulia Bintiye ' Pedi ' na Kujua Kuwa Yupo Mwezini? Siku hizi nimekuwa nikiwaona baadhi ya akina Baba ambao binafsi nawaita wa ' hovyo hovyo ' wakija na Mabinti zao tena wakubwa tu Madukani na hasa katika Supermarkets mbalimbali na kuwanunulia ' Pedi ' tena kuna wakati unakuta ' Li Dingi ' hilo hilo bila

Mgogoro wa Uongozi Unaofukuta ndani ya CUF Unaendelea Kuchukua sura Mpya

Posted: 03 Oct 2016 10:53 AM PDT

Mgogoro wa Uongozi Unaofukuta ndani ya CUF Unaendelea Kuchukua sura Mpya Mgogoro wa Uongozi unaofukuta ndani ya Chama cha wananchi CUF unaendelea kuchukua sura Mpya baada ya kamati ya Uongozi ya chama hicho kutotambua mabadiliko ya kurugenzi ya chama hicho yaliyofanywa na M/kiti wa Cuf Prof Ibrahim lipumba ambaye alivuliwa

Diamond Azungumzia Ugomvi wa Zari na Mama yake na Michepuko

Posted: 03 Oct 2016 10:53 AM PDT

Diamond Azungumzia Ugomvi wa Zari na Mama yake na Michepuko Diamond platnumz amesema hakuna ugomvi ndani ya familia yao kati ya mama yake, dada yake na Zari ila mashabiki ndio wanaokuza kwa kuwa wana IQ ndogo ya kutafsiri kinachopostiwa mtandaoni na watu hao Kuhusu kuwa na mahusiano na wasichana wengine amedi kuwa watu wanadi

Tahadhari Kwa Wadada Mnaopenda Kuvaa Shanga Kiunoni...

Posted: 03 Oct 2016 10:52 AM PDT

Tahadhari Kwa Wadada Mnaopenda Kuvaa Shanga Kiunoni... Bwana Yesu asifiwe!!! Wanawake wengi wanapenda kuvaa shanga kiunoni wakiamini zinawavutia wanaume wengi katika mapenzi. Napenda kutoa tahadhali kwa wanaopenda kuzivaa hasa kiunoni kuwa asilimia 80% ya shanga zinazouzwa zikiwa zimeshasokotwa zinatengenezwa

Jamhuri Kiwelu Julio Ametangaza Rasmi Kuachana na Kazi ya Ukocha

Posted: 03 Oct 2016 08:50 AM PDT

Jamhuri Kiwelu Julio Ametangaza Rasmi Kuachana na Kazi ya Ukocha Kocha wa klabu ya Mwadui FC ya Shinyanga Jamhuri Kiwelu Julio, October 2 2016 ametangaza kujiuzulu kufundisha soka la nchini Tanzania kufuatia kutoridhishwa na maamuzi yanayofanywa na marefa uamuzi huo umeonekana kuwashtua walio wengi, hiyo ni baada ya kupata

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 4, 2016, 11:29:21 PM10/4/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


TCRA Yakifungia kwa miezi 3 kipindi cha 'Take One' kwa kukiuka kanuni za utangazaji

Posted: 04 Oct 2016 11:55 AM PDT

TCRA Yakifungia kwa miezi 3 kipindi cha 'Take One' kwa kukiuka kanuni za utangazaji Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa onyo kali kwa kituo cha Televisheni cha Clouds sambamba na kukifungia kwa kipindi kwa miezi mitatu kipindi cha Take One kinachorushwa na Kituo hicho. Makamu

AUNTY EZEKIEL: SIJIPENDEKEZI KWA ZARI, NI BOSI WA MKATA VIUNO WANGU

Posted: 04 Oct 2016 11:37 AM PDT

AUNTY EZEKIEL: SIJIPENDEKEZI KWA ZARI, NI BOSI WA MKATA VIUNO WANGU MSANII wa filamu, Aunty Ezekiel ameonyesha kukerwa na kitendo cha baadhi ya watu kudai kwamba anajipendekeza kwa Zari ilihali ni rafiki wa Wema Sepetu, ambapo aliema anafanya atakalo bila kuingiliwa na mtu.

Lol. Make una help me watch this video

Posted: 04 Oct 2016 11:36 AM PDT

Lol. Make una help me watch this video TF? And she says she's comfortable. Watch the video after the cut... Many are mad, only few are recognised... A video posted by Tesleem Raji (@urofficialmallam) on Oct 3, 2016 at 6:07pm PDT

Tennis star Maria Sharapova's doping ban reduced to 15 months

Posted: 04 Oct 2016 11:35 AM PDT

Tennis star Maria Sharapova's doping ban reduced to 15 months Tennis star Maria Sharapova has had her two year ban from Tennis reduced to 15 months by the Court of Arbitration for Sports (CAS). The Russian tennis star tested positive for banned substance- meldonium in January, and

Tennis star Maria Sharapova's doping ban reduced to 15 months

Posted: 04 Oct 2016 11:11 AM PDT

Tennis star Maria Sharapova's doping ban reduced to 15 months Tennis star Maria Sharapova has had her two year ban from Tennis reduced to 15 months by the Court of Arbitration for Sports (CAS). The Russian tennis star tested positive for banned substance- meldonium in January, and revealed in a press

Kim K's Paris robbery - Police say it smells like an inside job

Posted: 04 Oct 2016 11:10 AM PDT

Kim K's Paris robbery - Police say it smells like an inside job Paris cops believe Kim Kardashian's robbery could be an inside job. Read the TMZ report below... Sources involved in the case tell us ... police and the Kardashian family don't believe it was a coincidence that Kim was bodyguard-less at the time the robbers

MWANAMIELEKA JAMES HELLWIG AFARIKI DUNIA WIKI ILIYOPITA

Posted: 04 Oct 2016 10:53 AM PDT

MWANAMIELEKA JAMES HELLWIG AFARIKI DUNIA WIKI ILIYOPITA MKONGWE wa mieleka ulimwenguni, James Hellwig "Ultimate Warrior" amefariki dunia mwanzoni mwa juma lililopita baada ya kutoa hutuba nzuri katika usiku wa Raw. Shirikisho la mieleka (WWE), lilithibitisha kifo cha nyota huyo

BREAKIN NEWZZ!!:- MWANAMUZIKI MAARUFU NCHINI MFUASI WA CHA CHA UPINZANI ACT-WAZALENDO AKIFUNGUKIA CHAMA CHAKE LIVE!!

Posted: 04 Oct 2016 05:44 AM PDT

BREAKIN NEWZZ!!:- MWANAMUZIKI MAARUFU NCHINI MFUASI WA CHA CHA UPINZANI ACT-WAZALENDO AKIFUNGUKIA CHAMA CHAKE LIVE!!

Rihanna debuts long faux dreads in new IG photo

Posted: 04 Oct 2016 05:39 AM PDT

Rihanna debuts long faux dreads in new IG photo Rihanna has traded in her sleek and straight weaves for a long faux locks. The Barbadian beauty singer and songwriter showed off her new do on Instagram yesterday night, capturing it "Buffalo $oldier"

Cameroon football legend Rigobert Song no longer in coma as he fights for life following stroke attack

Posted: 04 Oct 2016 05:38 AM PDT

Cameroon football legend Rigobert Song no longer in coma as he fights for life following stroke attack 40 year old Cameroon football legend Rigobert Song has reportedly left his coma state but is still fighting for his life after suffering a stroke attack in Yaounde, Cameroon on Sunday. The former Liverpool and West Ham

Heartbreaking photos of football legend Rigobert Song emerge as Cameroon agree to pay $78,000 for treatment abroad

Posted: 04 Oct 2016 05:37 AM PDT

Heartbreaking photos of football legend Rigobert Song emerge as Cameroon agree to pay $78,000 for treatment abroad Shocking and heart breaking photos have emerged showing former Liverpool, West Ham and Cameroon player Rigobert Song in intensive care in Yaounde, Cameroon after suffering a stroke attack on Sunday.

Kourtney Kardashian & Scott Disick back together ... for now!

Posted: 04 Oct 2016 05:35 AM PDT

Kourtney Kardashian & Scott Disick back together ... for now! Kourtney Kardashian and her baby daddy Scott Disick have rekindled their turbulent romance over a year after they went their separate ways. The couple got back together after taking a family holiday in Miami in early September. Read the full report after the cut...

Actress Tatyana Ali shares baby bump photos

Posted: 04 Oct 2016 05:03 AM PDT

Actress Tatyana Ali shares baby bump photos She has since welcomed her first child...

VIDEO: Kitanda cha Wolper Chapambwa Madola Kumkaribisha Birthday Boy, Harmonize

Posted: 04 Oct 2016 02:27 AM PDT

VIDEO: Kitanda cha Wolper Chapambwa Madola Kumkaribisha Birthday Boy, Harmonize Jumanne hii ni birthday ya mkali wa wimbo 'Matatizo', Harmonize ambapo mastaa mbalimbali pamoja na mashabiki wake katika mitandao ya kijamii wamem-wish kwa kumtakia heri na mafanikio katika maisha yake. Kwa upande wa malkia wa

Hakuna Msanii Bongo Mwenye Vigezo vya Mwanaume Ninayemtaka – Shilole

Posted: 04 Oct 2016 02:26 AM PDT

Hakuna Msanii Bongo Mwenye Vigezo vya Mwanaume Ninayemtaka – Shilole Kwa mujibu wa Shilole, hakuna msanii Bongo aliye na vigezo vya mwanaume anayemhitaji kwa sasa. "Hakuna hata mmoja," Shilole alimjibu mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove aliyemuuliza kama kuna msanii wa Bongo kwenye vigezo anavyovitaka.

HATIMAYE Davido Anatukaribisha Kuitazama Hii Video yake Mpya

Posted: 04 Oct 2016 02:25 AM PDT

HATIMAYE Davido Anatukaribisha Kuitazama Hii Video yake Mpya Jina lake kwenye passport na na vyeti vingine rasmi linasomeka hivi  David Adedeji Adeleke, Dunia inamtambua kwa kazi nzuri ya muziki anaoufanya, anafahamika kwa jina la Davido.. kichwa kingine kinachoibeba Bendera ya Nigeria kwa kazi ya muziki anaoufanya.

MC Pilipili Unaboa TV1 Kwa Kukopi Vichekesho Toka Kenya

Posted: 04 Oct 2016 01:30 AM PDT

MC Pilipili Unaboa TV1 Kwa Kukopi Vichekesho Toka Kenya Napenda kuwashauri uongozi wa TV1 kuhusu kipindi kimoja anachowekaa vichekesho huyu mtangazaji wenu Mc Pilipili(the clip). Mshaurini huyu kijana aandae vichekesho vyake mwenyewe ili kukiongezea thamani na wapenzi kipindi chenu. Sasa hivi kipindi hicho kinaboa

Baada ya Kuachana na Mbunge wa Donge,Wastara Arudiana na Mpenzi Wake wa Zamani

Posted: 04 Oct 2016 01:29 AM PDT

Baada ya Kuachana na Mbunge wa Donge,Wastara Arudiana na Mpenzi Wake wa Zamani Mwigizaji Wastara aliwahi kuingia kwenye vichwa vya habari Tanzania kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge wa Zanzibar. Kabla ya ndoa hiyo Wastara alikuwa kwenye uhusiano na mshikaji ambaye ni staa wa

Mastaa 10 Wadaiwa Kuanika Miili Yao Kunasa Wanaume!

Posted: 04 Oct 2016 01:18 AM PDT

Mastaa 10 Wadaiwa Kuanika Miili Yao Kunasa Wanaume! Hali ngumu na raha ya ubuyu usimung'unye mwenyewe! Ishu inayotrendi kwa sasa kwenye ulimwengu wa ubuyu wa mjini ni aibu ya baadhi ya mastaa wa kike Bongo kudaiwa kuwanasa wanaume mtandaoni kwa njia ya picha zinazoonesha sehemu kubwa ya miili yao. Kufuatia ishu hiyo,

Walioua Watafiti Wakimbia Kijiji, Profesa Lipumba Apata Pigo...Magazeti ya leo

Posted: 04 Oct 2016 01:16 AM PDT

Walioua Watafiti Wakimbia Kijiji, Profesa Lipumba Apata Pigo...Magazeti ya leo Walioua Watafiti Wakimbia Kijiji, Profesa Lipumba Apata Pigo...Magazeti ya leo

Profesa Lipumba Apata Pigo, Baraza la Wadhamini CUF Lagoma Kumtambua, Lapanga Kufunga Jengo la Chama

Posted: 04 Oct 2016 01:04 AM PDT

Profesa Lipumba Apata Pigo, Baraza la Wadhamini CUF Lagoma Kumtambua, Lapanga Kufunga Jengo la Chama TAMKO LA BODI YA WADHAMINI YA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF – CHAMA CHA WANANCHI) KUFUATIA KIKAO CHAKE KILICHOFANYIKA JANA, TAREHE 2 OKTOBA, 2016 Kwa kuzingatia hali iliojitokeza katika chama chetu cha THE CIVIC

Bride is thrown off horse and into river as bridal shoot goes hilariously wrong

Posted: 04 Oct 2016 12:55 AM PDT

Bride is thrown off horse and into river as bridal shoot goes hilariously wrong Sue Allegretta, from Oakland, New Jersey, decided to make her bridal shoot a really special one and enlisted the help of horses for the project. One horse had other ideas. Pictures show her seated on a horse standing in a river while hi-fiving her

J. Cole thinks Kim K's robbery incident was a publicity stunt but was his twitter account hacked?

Posted: 04 Oct 2016 12:54 AM PDT

J. Cole thinks Kim K's robbery incident was a publicity stunt but was his twitter account hacked? J. Cole's twitter account posted a message Monday, saying Kim K being robbed in Paris was a publicity stunt. Most people don't think J. Cole tweeted that, they think he was hacked. Read the tweets after the cut..

Barack & Michelle Obama celebrate 24th wedding anniversary

Posted: 03 Oct 2016 11:08 PM PDT

Barack & Michelle Obama celebrate 24th wedding anniversary Happy wedding anniversary to them...

Photos: Kim K leaves Paris after robbery where she begged for her life as she was bound and gagged

Posted: 03 Oct 2016 11:07 PM PDT

Photos: Kim K leaves Paris after robbery where she begged for her life as she was bound and gagged Kim Kardashian has left Paris on a private jet hours after she tied up and robbed of $10 million in jewelry by armed masked men dressed as police, who broke into her hotel room. (A photo of her above as she left the hotel after the

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 5, 2016, 11:06:49 PM10/5/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Raymond: Nikifuata Misingi ya Kazi Baadhi ya Watu Wanafikiri Ninaringa

Posted: 05 Oct 2016 10:40 AM PDT

Raymond: Nikifuata Misingi ya Kazi Baadhi ya Watu Wanafikiri Ninaringa Msanii wa WCB, Raymond, amedai kuwa wakati mwingine anapofuata sana misingi ya kazi, baadhi ya watu hudhani kuwa anaringa, kitu ambacho anadai hawezi kuwa nacho. "Kwa mfano, ninaweza nikawa misingi yangu ya kazi inaniambia baada ya show inabidi

VIDEO: Utani wa Mchekeshaji Eric Omondi Kwa Wanaotaka Kuwa Kama Rais Magufuli

Posted: 05 Oct 2016 10:39 AM PDT

VIDEO: Utani wa Mchekeshaji Eric Omondi Kwa Wanaotaka Kuwa Kama Rais Magufuli Eric Omondi raia wa Kenya ambaye ni moja kati ya watu waliobarikiwa vipaji vingi ikiwemo uwezo binafsi wa kuchekesha kupitia maneno na mwili wake pia. Baada ya kufanya ile ya mambo ya kuzingatia kwa wale wanaotaka kuwa kama Diamond

Wimbo wa Chura Kutoka Kwa Snura Sasa Ruksa Kupigwa Maredioni na Kwenye TV

Posted: 05 Oct 2016 10:38 AM PDT

Wimbo wa Chura Kutoka Kwa Snura Sasa Ruksa Kupigwa Maredioni na Kwenye TV Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemruhusu msanii wa muziki, Snura Anthony Mushi 'Snura' kuachia video yake mpya ya wimbo 'Chura' baada ya msanii huyo kufanya marekebisho ya video ya wimbo huo na kukubaliwa na wizara.

Paul James ‘PJ’ arejea Clouds FM

Posted: 05 Oct 2016 10:38 AM PDT

Paul James 'PJ' arejea Clouds FM Paul James 'PJ' amerejea tena Clouds FM akitokea EFM. Anakuwa mtangazaji wa pili wa EFM kuchukuliwa na Clouds katika kipindi cha mwezi mmoja, baada ya Kicheko. PJ aliyeondoka Clouds mwanzoni mwa mwaka huu akiwa na Gerald Hando, ametambulishwa rasmi Jumatano hii. Anamfuata mtangazaji

Kidoa Adai 'Anayenitaka Anifuate na Mabunda Yakutosha'

Posted: 05 Oct 2016 07:18 AM PDT

Kidoa Adai 'Anayenitaka Anifuate na Mabunda Yakutosha' Staa anayepamba video za wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva a.k.a Video Queen, Asha Salum 'Kidoa' amefunguka kuwa malipo kidogo anayopata kutokana na kazi hiyo yamemfanya aamue kukaa pembeni na kugeukia uigizaji. Akizungumza na Gumzo la Town la Mtanzania Jumamosi,

Dogo Janja Ataka Kuoa..Madee Adai ni Dharau Kwake

Posted: 05 Oct 2016 07:18 AM PDT

Dogo Janja Ataka Kuoa..Madee Adai ni Dharau Kwake Dogo Janja ambaye sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya 'Kidebe' amefunguka na kutangaza rasmi kuwa ana mpango wa kutaka kuoa na kusema kwamba muda si mrefu anaweza kuvuta jiko na kuweka ndani. Dogo Janja alisema haya kupitia kipindi cha Planet Bongo ambacho

Saida Karoli " Nilitumiwa, Ukiona Ninapoishi Utasikitika

Posted: 05 Oct 2016 07:18 AM PDT

Saida Karoli " Nilitumiwa, Ukiona Ninapoishi Utasikitika Saida Karoli anaogopa kugusa hata jani, akidhani ni nyoka anayetaka kumng'ata Ni kwasababu licha ya kufanya vizuri kimuziki miaka kadhaa iliyopita, hakupata chochote na bado anaishi katika mazingira magumu. "

KAMA Unajiamini Konyagi, Zanzi, Amarula, Supu ya Pweza, Vidole vya nini?

Posted: 05 Oct 2016 05:54 AM PDT

KAMA Unajiamini Konyagi, Zanzi, Amarula, Supu ya Pweza, Vidole vya nini? Miaka inaenda na dunia inabadilika nikipiga stori na wabibi na watu walio nizidi umri naamini kweli wao walifaidi mapenzi zaidi ya kizazi hichi maana enzi zao kulikua hakuna utandawazi kama sasa pia magojwa hatari kama sasa wao walifaidi aisee pia

Huyu Ndiye Mke wa Waziri Aliyekuwa ATCL

Posted: 05 Oct 2016 05:52 AM PDT

Huyu Ndiye Mke wa Waziri Aliyekuwa ATCL Je yeye ni sababu ya ATCL kushindwa kujiendesha? sidhani kufanya kazi ATCL kama mke wa waziri ni kosa labda kama hana sifa inayotakiwa kuajiriwa then itakuwa ni jipu hilo!!!!!! Au ipitishwe sheria wake za mawaziri wasiruhusiwe kufanya kazi serikalini... Toa maoni yako...

Bond: Watoto Wa Wastara Hawakupenda Aolewe

Posted: 05 Oct 2016 05:52 AM PDT

Bond: Watoto Wa Wastara Hawakupenda Aolewe SIKU chache baada ya kuripotiwa kupika na kupakua na staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Bond Suleiman ameibuka na kusema watoto wa mke huyo wa zamani wa Mbunge wa Donge, Sadifa Juma, hawakupenda mama yao aolewe na mtu mwingine zaidi yake. Akipiga stori na Za Motomoto News,

Rais Kabila: Mizigo yote ya DRC itapitia Bandari ya Dar. Tulisitisha sababu ya urasimu na upotevu

Posted: 05 Oct 2016 04:20 AM PDT

Rais Kabila: Mizigo yote ya DRC itapitia Bandari ya Dar. Tulisitisha sababu ya urasimu na upotevu Rais Joseph Kabange Kabila amekuwa na mazungumzo na Rais Magufuli kabla ya kukutana na waandishi wa habari Ikulu Dsm leo.Katika mambo waliyoongea na kuwashirikisha waandishi wa habari ni ushirikiano wa kibiashara,ulinzi na Usalama

Kubenea kizimbani tena kwa kupotosha

Posted: 04 Oct 2016 10:06 PM PDT

Kubenea kizimbani tena kwa kupotosha MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kuandika makala ya kupotosha na kusababisha hofu kwa jamii. Kubenea, ambaye ni mbunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),

Msajili Vyama vya Siasa Atoa Onyo Kwa Wanaochafua Ofisi yake

Posted: 04 Oct 2016 10:05 PM PDT

Msajili Vyama vya Siasa Atoa Onyo Kwa Wanaochafua Ofisi yake WAKATI Msajili wa Vyama vya Siasa nchini akitoa onyo na kuwataka wale wote wanaotumia vibaya jina la ofisi ya Msajili ili kuichafua ofisi yake au kwa lengo la kukidhi hisia na matakwa yao binafsi waache kabisa tabia hiyo, Baraza la Udhamini la Chama cha Wananchi (

MELI 60 Zilizopotea Bandarini Dar, Mke wa Waziri Achomoka ATCL...Habari Katika Magazeti ya Leo

Posted: 04 Oct 2016 10:04 PM PDT

MELI 60 Zilizopotea Bandarini Dar, Mke wa Waziri Achomoka ATCL...Habari Katika Magazeti ya Leo MELI 60 Zilizopotea

Hatimaye chanjo zawasili

Posted: 04 Oct 2016 09:44 PM PDT

Hatimaye chanjo zawasili  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema chanjo zilizoadimika nchini, zimewasili na wananchi watapata huduma kuanzia sasa. Chanjo zilizopungua ni pepopunda (TT) na kifua kikuu (BCG), ambazo imeelezwa zimewasili nchini Oktoba

21 wafa kwa ugonjwa wa ajabu Ngorongoro

Posted: 04 Oct 2016 09:44 PM PDT

21 wafa kwa ugonjwa wa ajabu Ngorongoro WAKATI watu zaidi ya 21 wamekufa katika Kata ya Pinyinyi wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kwa ugonjwa wa ajabu wa kutapika damu, Mganga Mkuu wa Mkoa huo, Frida Mtiki hana taarifa juu ya kuwepo kwa ugonjwa huo. Mtendaji wa kata hiyo, James Mushi

MIILI YA WATAFITI WALIOULIWA NA WANANCHI DODOMA YAAGWA JIJINI ARUSHA

Posted: 04 Oct 2016 09:19 PM PDT

MIILI YA WATAFITI WALIOULIWA NA WANANCHI DODOMA YAAGWA JIJINI ARUSHA Baada  ya baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Iringa Mvumi katika  Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma kuwaua watafiti wa Kituo cha Udongo na Maendeleo cha Selian Arusha, wakazi wa kijiji hicho wamehama makazi yao

LUPITA NYONG'O

Posted: 04 Oct 2016 09:02 PM PDT

LUPITA NYONG'O

Jicho la 3: Maajabu ya goli la Tambwe, na jinsi waamuzi walivyoibeba Simba muda mwafaka katika goli la Kichuya

Posted: 04 Oct 2016 08:58 PM PDT

Jicho la 3: Maajabu ya goli la Tambwe, na jinsi waamuzi walivyoibeba Simba muda mwafaka katika goli la Kichuya Na Baraka Mbolembole 'NI Ujinga' kufikiria unaweza kupata matokeo mazuri wakati unachofanya ni kile kile kila msimu na kinakuletea matokeo mabaya. Timu gani ilibebwa katika Yanga 1-1 Simba? Ni Yanga? Kwa

Sababu za wanawake kulia baada ya kufanya mapenzi

Posted: 04 Oct 2016 08:58 PM PDT

Sababu za wanawake kulia baada ya kufanya mapenzi Kulia baada ya kushiriki ngono au kufanya mapenzi ni kawaida na hushuhudiwa sana kwa wanawake, ijapokuwa imesemekana kuwa wanaume hulia pia. Kulingana na wataalam, kuna sababu kadhaa ambazo humfanya mwanamke kulia au kujawa na huzuni baada ya kushiriki ngono, na mojawapo ya

PICHA: Tingatinga Lilivyofukua mamilioni yaliyokuwa Yamefichwa ardhini

Posted: 04 Oct 2016 08:57 PM PDT

PICHA: Tingatinga Lilivyofukua mamilioni yaliyokuwa Yamefichwa ardhini Kama wewe unadhani huna fedha, basi kuna wengine ambao wamezichimbia ardhini, tena kwa mamilioni. Benki ya chini ya ardhi iliyosheheni mamilioni ya fedha, zilizoswekwa ndani ya mifuko myeusi ya plastiki na kufukiwa mchangani, imechimbuliwa na matrekta ya

Diamond: Dalali Alishangaa Watu Wengi Kuulizia Nyumba Niliyonunua SA

Posted: 04 Oct 2016 08:35 PM PDT

Diamond: Dalali Alishangaa Watu Wengi Kuulizia Nyumba Niliyonunua SA Diamond amedai kuwa idadi kubwa ya watu, hususan kutoka Tanzania ilikuwa ikipiga simu kwa wakala aliyekuwa akihusika na mauzo ya nyumba aliyonunua Afrika Kusini kutaka kujua kama ameinunua kweli nyumba hiyo au alipiga changa la macho. Akiongea

Aliyetoa taarifa za maiti kufufuka ikiwa mochwari Singida ashikiliwa na Polisi

Posted: 04 Oct 2016 08:34 PM PDT

Aliyetoa taarifa za maiti kufufuka ikiwa mochwari Singida ashikiliwa na Polisi Jeshi la polisi mkoa wa Singida, linamshikilia askari mgambo mwajiriwa hospitali ya mkoa, MG 7822 Emmanuel Daghau (42) kwa tuhuma ya kutoa taarifa za uongo juu ya maiti kufufuka ikiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa.

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 6, 2016, 11:11:41 PM10/6/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Kim K is 'blaming herself' after armed robbery, doesn't want Kanye West to replace $4 Million ring

Posted: 06 Oct 2016 07:24 AM PDT

Kim K is 'blaming herself' after armed robbery, doesn't want Kanye West to replace $4 Million ring Reality TV star Kim Kardashian is reportedly blaming herself for the much talked about robbery incident she experienced on Sunday where $11m worth of jewelry was taking from her while she was gagged in the Parisian apartment.

VIDEO ya Kusikitisha, Walimu Wakichangia Kumpiga Mwanafunzi Ofisini

Posted: 06 Oct 2016 07:23 AM PDT

VIDEO ya Kusikitisha, Walimu Wakichangia Kumpiga Mwanafunzi Ofisini Video hii ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia leo alfajiri inawaonyesha walimu wakichangia kumpiga mwanafunzi mmoja ndani ya ofisi. Walimu hawa wanaonekana si tu wanampiga mwanafunzi huyo kwa viboko, bali wengine wanampiga makofi ya

Ali Kiba Ataja Sababu iliyomfanya Asioe

Posted: 06 Oct 2016 07:23 AM PDT

Ali Kiba Ataja Sababu iliyomfanya Asioe Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao. Hitmaker huyo wa Lupela alisema kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo."Unajua hauwezi kumuoa mtu kama hamuelewani. "Nia yangu ilikuwa ni kustick na kila mama wa mtoto

Mrembo Amber Lulu Adaiwa Kukamatwa na Madawa ya Kulevya..Marafiki zake Wamkana Live

Posted: 06 Oct 2016 07:23 AM PDT

Mrembo Amber Lulu Adaiwa Kukamatwa na Madawa ya Kulevya..Marafiki zake Wamkana Live Mwanadada mrembo ambae amejipatia umaarufu mkubwa siku za karibuni kwa kutokea katika videos kadhaa za Bongo Fleva Amber Lulu inasemekana kwamba yuko chini ya usimamizi wa polisi kwa siku ya pili sasa. Sababu ya kuwa

Maalim Seif na Lipumba Kukutanishwa Kumaliza Mgogoro wao

Posted: 06 Oct 2016 07:22 AM PDT

Maalim Seif na Lipumba Kukutanishwa Kumaliza Mgogoro wao Wajumbe wa bodi chama cha wananchi CUF, wanaandaa utaratibu wa kuwakutanisha katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif na mwenyekiti wake, Prof.Ibrahim Lipumba ili kuwapatanisha kutokana na mgogoro ulioibuka na ambao unaendelea kukigawa chama hicho. Wakizungumza

Huyu Hapa Jambazi Scorpion Amtoboa Macho wa Buguruni Akiwa Chini ya Ulinzi wa Polisi

Posted: 06 Oct 2016 05:13 AM PDT

Huyu Hapa Jambazi Scorpion Amtoboa Macho wa Buguruni Akiwa Chini ya Ulinzi wa Polisi Pichani : Scorpion, mwenye fulana nyekundu, akiwa mahakamani leo chini ya ulinzi mkali wa polisi. Leo katika mahakama ya wilaya ya Ilala, mkazi wa buguruni kwa mnyamani anayetuhumiwa kuwachoma watu visu na kisha kuwatoboa macho, Salum

Kumbe Mkojo wa Binadamu ni Dawa nzuri ya Meno.

Posted: 06 Oct 2016 12:35 AM PDT

Hili jibu kwa kweli limenifurahisha sana Mzizi Mkavu Chukuwa karafuu kijiko 1 zitwange ziwe unga kisha weka ndani ya pamba kisha weka kwenye jino lako lnialo uma litapoa. Au ukitaka usiumwe na meno kabisa maishani mwako unapo amka asubuhi kabla ya kula kitu au kunywa kitu nenda chooni kakinge kiasi mkojo wako kisha tia mdomoni mwako sukutuwa huo mkojo wako kama dakika 5 kisha tema baada ya

Hii ndo Sababu Inayomfanya Mwanamuziki Diamond Asishiriki Fiesta 2016

Posted: 06 Oct 2016 12:22 AM PDT

Hii ndo Sababu Inayomfanya Mwanamuziki Diamond Asishiriki Fiesta 2016 Hatimaye Diamond ametoa sababu ya kutopanda jukwaa la fiesta 2016,Akihojiwa na kipindi cha jahazi cha clouds fm Diamond amesema kuwa ndoa (mkataba) yake na Kampuni ya Simu ya Vodacom ndio sababu inayomfanya asishiriki Fiesta mwaka huu... Wadhamini wakuu

Jinsi ya Kumtuliza Mumeo Asitoke Weekend

Posted: 06 Oct 2016 12:22 AM PDT

Jinsi ya Kumtuliza Mumeo Asitoke Weekend Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti. Kumbe wanaenda kunywa supu na mambo mengine unasubiri wee mpaka alasiri au jioni Hivyo wanandoa wengi

Diamond Afunguka Haya Kuhusu Issue ya Mama yake Kutopost Picha ya Zari Siku ya Kuzaliwa Kwake

Posted: 06 Oct 2016 12:21 AM PDT

Diamond Afunguka Haya Kuhusu Issue ya Mama yake Kutopost Picha ya Zari Siku ya Kuzaliwa Kwake Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya. Mwezi uliopita baada ya Mama mzazi huyo kutopost picha

BSS Kuna Uchawi Gani? Mbona Wengi Hawafanikiwi?

Posted: 06 Oct 2016 12:21 AM PDT

BSS Kuna Uchawi Gani? Mbona Wengi Hawafanikiwi? Waungwana leo kwenye pita pita yangu nilikutana na miongoni mwa washiriki wa BSS aliyekuwa miongoni mwa waliofanya vizuri (jina kapuni) akiwa kachoka sana mpaka nikamuonea huruma, sasa nikawa najiuliza hivi hili shindano lina manufaa gani? Kwa nini washiriki wengi hawafanikiwi na

Wimbo ya Salome Waongoza Kwa Kununuliwa Huko Kenya Kati ya Nyimbo 100

Posted: 06 Oct 2016 12:20 AM PDT

Wimbo ya Salome Waongoza Kwa Kununuliwa Huko Kenya Kati ya Nyimbo 100 Wimbo wa salome ulioimbwa kwa kukutanisha mafundi wawili kutokea lebo ya WCB Diamond Platnumz AKA Simba Jini na Rayvanny umekimbiza ile mbaya huku nchini Kenya kwa kushika namba moja kati ya nyimbo 100 bora zinazoongoza kwa kununuliwa huko Kenya

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 7, 2016, 11:03:21 PM10/7/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Mboto Afungukia Kubanjuka Na Aunt Ezekiel

Posted: 07 Oct 2016 08:58 AM PDT

Mboto Afungukia Kubanjuka Na Aunt Ezekiel KAMA kawa Mtu Kati ipo 'live' leo tena, ambapo baada wiki iliyopita kukuletea mwanadada mkongwe anayefanya vizuri kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Halima Yahaya 'Davina' wiki hii inakusogezea mvunja mbavu mwenye jina kubwa katika ardhi ya JPM, Haji Salum 'Mboto.' Huyu ni

Rais Magufuli atimiza ahadi yake kwa Balozi Omben Sefue...Amteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi Chuo cha Diplomasia

Posted: 07 Oct 2016 08:57 AM PDT

Rais Magufuli atimiza ahadi yake kwa Balozi Omben Sefue...Amteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi Chuo cha Diplomasia Hatimaye Rais John Magufuli ametimiza ahadi yake kwa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue baada ya kumteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Cha Diplomasia. Balozi Sefue amepata uteuzi huo jana ikiwa ni

Zitto Kabwe Awamwagia Sifa UKAWA ......Atia Neno Kuhusu Mgogoro wa CUF

Posted: 07 Oct 2016 07:52 AM PDT

Zitto Kabwe Awamwagia Sifa UKAWA ......Atia Neno Kuhusu Mgogoro wa CUF Kiongozi Mkuu wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameisifia nguvu ya vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kile walichokifanya hasa katika uchaguzi wa mwaka jana. Akizungumza jana katika mahojiano maalum na kituo

Tiny Harris shows off banging post-baby body

Posted: 06 Oct 2016 09:41 PM PDT

Tiny Harris shows off banging post-baby body T.I.'s wife, Tiny Harris who just had a baby, put her banging post-baby body on display for a photoshoot. More photos after the cut... This post first appeared on Linda Ikeji's Blog. Read the original story here.

'Do not address me as a strong independent black woman. It is not a compliment' - April Mason

Posted: 06 Oct 2016 09:39 PM PDT

'Do not address me as a strong independent black woman. It is not a compliment' - April Mason Some feminists might find this offensive lol...but I agree with some of what she wrote. Award-winning author and speaker April Mason took to her IG page this week to write about the society getting it wrong by telling women that they are

Usain Bolt leaves UK night club with a blonde (photo)

Posted: 06 Oct 2016 09:26 PM PDT

Usain Bolt leaves UK night club with a blonde (photo) He doesn't have to worry about his girlfriend Kasi, she will take him back! Olympic champion Usain Bolt, who is supposed to be seriously dating Jamaican beauty Kasi Bennett, was caught leaving a UK night club with a blonde who followed him to his hotel. Poor Kasi.

THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 07/10/2016 LIVE

Posted: 06 Oct 2016 08:40 PM PDT

THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 07/10/2016 LIVE

MTANGAZAJI ELIZABETH IRUNGU ATUPIA PICHA HIZI AKIWA NA MPENZI WAKE

Posted: 06 Oct 2016 08:33 PM PDT

MTANGAZAJI ELIZABETH IRUNGU ATUPIA PICHA HIZI AKIWA NA MPENZI WAKE

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 8, 2016, 11:06:27 PM10/8/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Trump is not politically correct – Says Pence

Posted: 08 Oct 2016 10:15 AM PDT

Trump is not politically correct – Says Pence Speaking about his running-mate at a campaign stop in Rossford, Ohio, Republican vice presidential nominee Mike Pence described Donald Trump as a 'genuine article,' 'a do-er,' and a man who 'tells it like it is'. In his words; "I just tell people, 'Donald Trump gets it.' You

Muna Afunguka Kumuingiza Wema Kwenye Madawa Ya Kulevya!

Posted: 08 Oct 2016 09:33 AM PDT

Muna Afunguka Kumuingiza Wema Kwenye Madawa Ya Kulevya! Mrembo aliyewahi kufanya vyema kwenye tasnia ya maigizo Bongo, Rose Alphonce 'Muna', amefungukia madai ya watu kumtuhumu kuwa amemwingiza shosti wake Wema Sepetu 'Madam' kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwa kusema madai hayo hayana ukweli. Akizungumza na

Navy Kenzo waeleza jinsi ratiba ya AliKiba ilivyovuruga mipango yao

Posted: 08 Oct 2016 09:33 AM PDT

Navy Kenzo waeleza jinsi ratiba ya AliKiba ilivyovuruga mipango yao Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo 'Aje' kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video. Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha

RAHAMA SADAU AFUNGIWA KUJIHUSISHA NA UIGIZAJI NIGERIA

Posted: 08 Oct 2016 09:17 AM PDT

RAHAMA SADAU AFUNGIWA KUJIHUSISHA NA UIGIZAJI NIGERIA MWIGIZAJI mahiri wa filamu wa Nigeria, Rahama Sadau kutoka jimbo la Kano, Nigeria amefungiwa kujihusisha na uigizaji kwa muda usiojulikana. Katika maamuzi yake ya kumfungia msanii huyo ambaye amejipatia umaarufu

Bodi ya Mikopo (HESLB ) Yasitisha Mikopo Ya Walimu Wanafunzi Waliompiga Mwanafunzi Mbeya

Posted: 08 Oct 2016 08:18 AM PDT

Bodi ya Mikopo (HESLB ) Yasitisha Mikopo Ya Walimu Wanafunzi Waliompiga Mwanafunzi Mbeya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inautaarifu umma kuwa imesitisha mikopo ya elimu ya juu iliyokuwa ikitolewa kwa walimu-wanafunzi wanne waliosimamishwa masomo kwa kuhusika katika tukio la kumshambulia na kumuumiza mwanafunzi

Video: Donald Trump Matatani Kwa Kauli ya Kejeli Dhidi ya Wanawake Aliyoitoa Mwaka 2005

Posted: 08 Oct 2016 08:17 AM PDT

Video: Donald Trump Matatani Kwa Kauli ya Kejeli Dhidi ya Wanawake Aliyoitoa Mwaka 2005 Mgombea wa Urais wa Marekani, Donald Trump ameingia matatani kwa mara nyingine tena baada ya kusambaa kwa video ya mwaka 2005 ambayo anasikika akiongea maneno makali ya jinsi anavyowachezea wanawake. Kufuatia kusambaa kwa video

Desmond Tutu Aomba Kusaidiwa Kufa Atakapougua

Posted: 08 Oct 2016 08:17 AM PDT

Desmond Tutu Aomba Kusaidiwa Kufa Atakapougua Askofu mkuu wa Afrika Kusini Desmond Tutu amesema katika ujumbe wake wa siku yake ya kuzaliwa katika gazeti la Washington Post kwamba angependelea kusaidiwa kufa. Katika ujumbe huo Tutu alisema: Nimejiandaa kufa na nimesema wazi singependelea kuendelea kuishi kwa gharama

Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela kwa KUMLAWITI Mgoni Wake Aliyemfumania na Mkewe

Posted: 08 Oct 2016 08:16 AM PDT

Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela kwa KUMLAWITI Mgoni Wake Aliyemfumania na Mkewe Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu kifungo cha maisha jela, Erick Kasila (39) baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka matatu likiwamo la kumlawiti mwanamume kwa madai kuwa alimfumania gesti na akiwa na mke wake. Kasila

PICHA:Kijana Aliyeota Mkia Mgongoni Afanyiwa Upasuaji....

Posted: 08 Oct 2016 08:15 AM PDT

PICHA:Kijana Aliyeota Mkia Mgongoni Afanyiwa Upasuaji.... Kijana mwenye mkia wa sentimita 20 uliyoota chini ya uti wa mgongo wake amefanyiwa upasuaji ili kuondoa mkia huo ambao Ulianza kujitokea katika mgongo wa kijana huyo mwenye miaka 18 baada ya siku yake ya 14 kuzaliwa. Yeye na familia yake kutoka Nagpur

Amber Lulu na Gigy Money Hapatoshi..Amber Adai Gigy Money Ana Fangasi Sugu

Posted: 08 Oct 2016 08:15 AM PDT

Amber Lulu na Gigy Money Hapatoshi..Amber Adai Gigy Money Ana Fangasi Sugu Baada ya tetesi kuwa Mrembo Amber Lulu amekatwa Arusha na Madawa ya kulevya Gigy Money alihojiwa na Soudbrown kwenye U Heard na Kuongea maneno ambayo hayakumfurahisha Amber lulu...Sasa Amber Lulu Ameibuka huko alipo na kuandika haya: "Muda

Maafa Tena Kagera: Ugali wa Sumu Waua Mama na Watoto Wanne

Posted: 08 Oct 2016 08:14 AM PDT

Maafa Tena Kagera: Ugali wa Sumu Waua Mama na Watoto Wanne MAMA na watoto wake wanne wamefariki dunia katika Kijiji cha Kyebitembe wilayani Muleba mkoani Kagera, baada ya kula ugali unaosadikiwa kuwa na sumu. Waliofariki dunia ni Julitha Julius (35), Haujeni (14), Superius (12), Julius (4) na Paschazia mwenye umri wa miezi

Sababu ya Rais Magufuli Kutishia Kumfukuza Kazi Mtoto wa Dada yake

Posted: 08 Oct 2016 02:44 AM PDT

Sababu ya Rais Magufuli Kutishia Kumfukuza Kazi Mtoto wa Dada yake Rais Dkt John Pombe Magufuli ametishia kufukuza kazi mtoto wa dada yake kutokana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutopeleka umeme katika kiwanda kipya cha kusindika matunda cha Bakhresa. Rais Magufuli alisema jana alipokuwa akifungua rasmi kiwanda

Vanessa Mdee awalegezea waandaaji wa show ya Chris Brown Mombasa, akubali kutumbuiza

Posted: 08 Oct 2016 02:43 AM PDT

Vanessa Mdee awalegezea waandaaji wa show ya Chris Brown Mombasa, akubali kutumbuiza Waandaji wa Mombasa Rocks Music Festival walitikiswa na Vanessa Mdee – wakatikisika. Muimbaji huyo amekubali kupanda jukwaani kutumbuiza Jumamosi hii, shukrani kwa jitihada zilizofanywa na gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho.

Meneja wa Diamond Apanda Ndege Kumfuata Chriss Brown Mombasa Kukamatia Fursa...

Posted: 08 Oct 2016 02:42 AM PDT

Meneja wa Diamond Apanda Ndege Kumfuata Chriss Brown Mombasa Kukamatia Fursa... Wadau wa muziki wa bongofleva nadhan wote mnaelewa kuhusu ushindani unaoendelea kati ya wanamuziki machachari kabisa nchini..katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimeona meneja wa gwiji wa huu muziki Diamond platnumz ameandika kwamba

KIM Kardashian Aapa Kutoonesha Tena Mali zake Kwenye Mitandao ya Kijamii

Posted: 08 Oct 2016 02:42 AM PDT

KIM Kardashian Aapa Kutoonesha Tena Mali zake Kwenye Mitandao ya Kijamii Kim Kardashian ameapa kutoonesha tena mali zake kwenye mitandao ya kijamii. Hiyo ni baada ya watu wengi kudai kuwa ndio chanzo cha kuvamiwa Jumatatu hii jijini Paris na kuporwa mali zenye thamani za dola milioni 11 kwa mtutu wa bunduki.

Taarifa Kuhusu Mama na Watoto Wake Wanne Waliyofariki Dunia Baada ya Kula Chakula Kilichokuwa na Sumu

Posted: 08 Oct 2016 02:42 AM PDT

Taarifa Kuhusu Mama na Watoto Wake Wanne Waliyofariki Dunia Baada ya Kula Chakula Kilichokuwa na Sumu Mama na watoto wake wanne wakazi wa Kijiji cha Nyamilanda, Kata ya Kyebitembe, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera, wamefariki dunia jana baada ya kula ugali unaosadikiwa kuwa na sumu. Kumekuwapo na taarifa za kukanganya juu

Jerry Muro arudi tena TBC kutangaza

Posted: 08 Oct 2016 02:41 AM PDT

Jerry Muro arudi tena TBC kutangaza Yule msemaji mkuu wa Yanga African hatimaye amerudi tena kwenye kazi yake ya utangazaji aliyokuwa akifanya hapo awali katika television ya Taifa. Chanzo: TBC

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 9, 2016, 11:12:46 PM10/9/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Divaloness Ajibu Tuhuma za Kujiuza Hyatt Hotel Baada ya Chat Kuvuja Akichati na Danga....

Posted: 09 Oct 2016 07:36 AM PDT

Divaloness Ajibu Tuhuma za Kujiuza Hyatt Hotel Baada ya Chat Kuvuja Akichati na Danga.... Divaloness ajibu tuhuma za kujiuza Hyatt hotel baada ya Chat Kuvuja akichati na Danga... Kupitia Kwenye Ukurasa wake wa Instagram ameandika haya hapa : ... #Regrann from #divathebawse - LOL jaman wanawake wana mambo hahaha

Hili la Chriss Brown Kuvunja Simu ya Shabiki Kenya ni Kweli au Kawaida ya Majirani Kutafuta Kiki?

Posted: 09 Oct 2016 07:35 AM PDT

Hili la Chriss Brown Kuvunja Simu ya Shabiki Kenya ni Kweli au Kawaida ya Majirani Kutafuta Kiki? Muimbaji mashuhuri wa Marekani mtindo wa Hip Hop Chris Brown, yupo Kenya kwa tamasha la muziki mjini Mombasa eneo la pwani. Lakini tukio ambalo halikunukuliwa kwenye kamera limegubika vyombo vya habari nchini.

Jennifer Lopez and son cuddle up on the couch

Posted: 09 Oct 2016 05:02 AM PDT

Jennifer Lopez and son cuddle up on the couch Singer and actress, Jennifer Lopez took to Instagram to share a cute cuddling photo with her eight year old son, Max who has a twin sister Emme. She captioned the photo 'Me and my Baby.'

Natamani Kuzaa Mtoto wa Kiume - Kajala

Posted: 09 Oct 2016 02:12 AM PDT

Natamani Kuzaa Mtoto wa Kiume - Kajala Diva katika kiwanda cha filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameweka peupe hisia za moyo wake kuhusu kiu yake ya kupata mtoto wa kiume. Huyu hapa anafunguka: "Najua mtoto ni mtoto lakini kwa sasa natamani kuwa na mtoto wa kiume ili Paula naye ajivunie kuwa na kaka. Siku zote nilitamani

Waisusia hospitali mwili wa marehemu

Posted: 09 Oct 2016 02:12 AM PDT

Waisusia hospitali mwili wa marehemu Mwili wa Chihula Mboyelwa (89), aliyefariki dunia katika Hospitali ya Mkoa wa Geita umesuswa na familia yake. Watoto wa Mboyelwa wameamua kugoma kuuchukua mwili wa baba yako kwa madai kuwa kifo chake kimesababishwa na uzembe wa wauguzi. Mtoto wake, Bahati Chihula amesema Oktoba 6,

Woman who was involved in Bill Clinton's sex scandal blasts him on Facebook and supports Trump for apologizing to women

Posted: 09 Oct 2016 01:36 AM PDT

Woman who was involved in Bill Clinton's sex scandal blasts him on Facebook and supports Trump for apologizing to women The former Arkansas state employee who former US President Bill Clinton settled a sexual harassment lawsuit with to the tune of $850,000, took to her Facebook page to condemn the Clintons and kinda support Donald

Lol, Rihanna shades her exes on Instagram

Posted: 08 Oct 2016 10:09 PM PDT

Lol, Rihanna shades her exes on Instagram Rihanna who dated singer, Chris Brown, Dodgers baseball player Matt Kemp, rapper Travis Scott and Drake shared the above post on her Instagram page, lol.

Photos: Police raid baby factory in Delta state, six pregnant women arrested

Posted: 08 Oct 2016 10:08 PM PDT

Photos: Police raid baby factory in Delta state, six pregnant women arrested The Delta state police command raided a baby factory located at Okwe in Oshimili North Local government in the state where six pregnant women were arrested. The police was alerted on the activities of the syndicate after one of the victims,

MAGAZETINI LEO OKTOBA 9

Posted: 08 Oct 2016 09:55 PM PDT

MAGAZETINI LEO OKTOBA 9

Kim, who was keeping a very low profile in a hooded sweater, and the kids were spotted arriving at their local airport after flying from New York

Posted: 08 Oct 2016 09:32 PM PDT

Kim, who was keeping a very low profile in a hooded sweater, and the kids were spotted arriving at their local airport after flying from New York Kim lands back home in Los Angeles Kim Kardashian has finally arrived back home four days after the reality star's terrifying ordeal.Momager Kris,

Video: Sturridge aweka rekodi kwenye maisha yake ya soka

Posted: 08 Oct 2016 09:20 PM PDT

Video: Sturridge aweka rekodi kwenye maisha yake ya soka Usiku wa Jumamosi ulikuwa ni maalum kwa mshambuliaji Liverpool Daniel Sturridge. Sturridge alianza kwenye kikosi cha kwanza cha England kilichocheza dhidi ya Malta ikiwa ni mchezo wa kwanza kwa Gareth Southgate akiwa kama kocha wa timu ya taifa. Star huyo wa

MATTEO DARMIAN AIVUTIA INTER MILAN

Posted: 08 Oct 2016 09:18 PM PDT

MATTEO DARMIAN AIVUTIA INTER MILAN WATAWALA wa zamani wa soka la talia, Inter Milan wanavutiwa na mpango wa kumsajili staa wa Manchester United, Matteo Darmian.

Aina Kumi Za Waume Ambao Wake Zao Wanakereka Kuwa Nao

Posted: 08 Oct 2016 08:40 PM PDT

Aina Kumi Za Waume Ambao Wake Zao Wanakereka Kuwa Nao Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika

Mwanamke Aliyemnyofoa Ulimi Mwanaume Wakati Wakila Denda Afikishwa Mahakamani

Posted: 08 Oct 2016 08:39 PM PDT

Mwanamke Aliyemnyofoa Ulimi Mwanaume Wakati Wakila Denda Afikishwa Mahakamani Mwanamke anayedaiwa kumng'ata ulimi kijana Saidi Mnyambi (26) siku 28 zilizopita, kwa kile kilichodaiwa kutaka kufanya naye mapenzi kwa nguvu, hatimaye amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Singida. Mwanamke huyo, Mwajabu

Zitto: CCM imechanganyikiwa

Posted: 08 Oct 2016 08:39 PM PDT

Zitto: CCM imechanganyikiwa KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimechanganyikiwa na sasa kimepoteza mwelekeo wa kutatua matatizo makubwa yanayoikumba Tanzania hivi sasa. Akizungumza katika Mkutano wa Kidemokrasia uliofanyika jijini Dar es Salaam leo, Zitto alisema

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 10, 2016, 11:15:38 PM10/10/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


MGOMBEA URAIS WA MAREKANI AZIDI KUKIMBIWA NA WATU MUHIMU WA CHAMA CHAKE MSOME HAPA LIVE!!

Posted: 10 Oct 2016 06:27 AM PDT

MGOMBEA URAIS WA MAREKANI AZIDI KUKIMBIWA NA WATU MUHIMU WA CHAMA CHAKE MSOME HAPA LIVE!! Seneta John McCain,  Miongoni mwa wanasiasa wa hivi punde zaidi ni pamoja na aliyekuwa waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani

WAZIRI MKUU WA ZAMANI AIONJA JOTO YA JIWE UPINZANI SIMULIA YAFUATAYO LIVE!!

Posted: 10 Oct 2016 06:25 AM PDT

WAZIRI MKUU WA ZAMANI AIONJA JOTO YA JIWE UPINZANI SIMULIA YAFUATAYO LIVE!! Fredrick Sumaye, Waziri mkuu mstaafu na kada wa Chadema

See sexy photos of the Wife of Switzerland player Blerim Dzemaili, named GQ's most attractive football fan in Europe

Posted: 10 Oct 2016 05:44 AM PDT

See sexy photos of the Wife of Switzerland player Blerim Dzemaili, named GQ's most attractive football fan in Europe Erjona Sulejmani, the wife of Switzerland football star Blerim Dzemaili has been named by GQ Italy as the most attractive football fan in Europe following her  constant feature in the crowd as Switzerland performed

"As proud as I am to label myself a Republican, I will not vote for Donald Trump" - Arnold Schwarzenegger

Posted: 10 Oct 2016 03:33 AM PDT

"As proud as I am to label myself a Republican, I will not vote for Donald Trump" - Arnold Schwarzenegger Austrian-American actor, former professional bodybuilder and ex-governor of California, Arnold Schwarzenegger has revealed that he would not be voting for Republican presidential nominee Donald Trump. Since Schwarzenegger

Nahitaji kumuua Young D wa zamani- Young D

Posted: 09 Oct 2016 11:16 PM PDT

Nahitaji kumuua Young D wa zamani- Young D Rapa Young Dar es Salaam alimaarufu kama Young D amesema kwamba huu ni wakati wake kumuua yule Young D wa zamani na kurudi kivingine akiwa na mtazamo mpya vichwani mwa watu na mashabiki zake. Young D alisema hayo kupitia kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kinachorushwa na EATV

Matani ya Stan Bakora Yamtoa Povu Barakah The Prince

Posted: 09 Oct 2016 11:15 PM PDT

Matani ya Stan Bakora Yamtoa Povu Barakah The Prince Mchekeshaji Stan Bokora baada ya kufanya cover ya wimbo 'Nisamehe' wa Barakah Da Prince kumezuka mtafaruku baina ya wawili hao. Barakah The Prince amedai hajapenda jinsi Stan Bakora alivyomwigiza katika video hiyo. Muda mchache baada ya video hiyo kutoka, Baraka

Huyu Ndo Mwalimu Aliyerekodi Tukio la Kikatili la Kupigwa Mwanafunzi na Walimu Mbeya Day

Posted: 09 Oct 2016 11:15 PM PDT

Huyu Ndo Mwalimu Aliyerekodi Tukio la Kikatili la Kupigwa Mwanafunzi na Walimu Mbeya Day Pichani ni mwalimu aliyechukizwa na kitendo cha walimu wanne waliomshambulia Mwanafunzi kama wamekutana na Scorpion, pia alisikika akisema "mwalimu muacheni mtamuumiza" naamini ameokoa wanafunzi wengi wanaopigwa kama nyoka mashuleni bila sisi

Mama Diamond Akimtambua Vizuri Mwanaye Atampenda Sana Zari

Posted: 09 Oct 2016 11:15 PM PDT

Mama Diamond Akimtambua Vizuri Mwanaye Atampenda Sana Zari MWAKA 2009 Diamond Plutnumz akiwa ndiyo kwanza ameingia katika ulimwengu wa umaarufu, alihojiwa na jarida fulani maarufu ambalo kwa sasa halitoki tena juu ya matarajio yake katika muziki na maisha. Japo kwa nyakati zile wengi huenda hawakumuelewa, ila Diamond

Simba, Yanga, Ruksa Uwanja wa Uhuru

Posted: 09 Oct 2016 11:14 PM PDT

Simba, Yanga, Ruksa Uwanja wa Uhuru Bodi ya ligi Tanzania imethibitisha timu za Simba na Yanga zitautumia uwanja wa Uhuru kwa mechi zao za nyumbani baada ya serikali kuzizuia kuutumia uwanja wa taifa kama uwanja wao wa nyumbani kwenye mechi zao za ligi kuu. Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Boniface Wambura amesema, mechi

EXCLUSIVE: Babu Seya, Papii Watuma Ujumbe Mzito Kwa JPM!

Posted: 09 Oct 2016 08:55 PM PDT

EXCLUSIVE: Babu Seya, Papii Watuma Ujumbe Mzito Kwa JPM! Kwa Wabongo walio wengi, majina ya Nguza Viking 'Babu Seya' na Johnson Nguza 'Papii Kocha' siyo mageni. Wao ni wafungwa wanaotumikia kifungo cha maisha ndani ya Gereza la Ukonga, Dar baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kulawiti na kunajisi watoto 10. Tangu

SBL Yazindua Shindano la Wapiga Mziki (DJ) Mix Master Itakayoshirikisha Mikoa Mitano

Posted: 09 Oct 2016 08:55 PM PDT

SBL Yazindua Shindano la Wapiga Mziki (DJ) Mix Master Itakayoshirikisha Mikoa Mitano Dar es Salaam,  Oktoba 9, 2016- Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imetangaza kuzindua shindano la DJ bora ambalo linalenga  kuibua na kukuza vipaji katika sekta ya muziki na burudani nchini Tanzania. Akizungumza wakati wa  

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 12, 2016, 10:54:29 PM10/12/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Chris Brown Hakuwa Kwenye Mood na Hakutaka Kuongea na Mtu – Vanessa Mdee

Posted: 12 Oct 2016 11:46 AM PDT

Chris Brown Hakuwa Kwenye Mood na Hakutaka Kuongea na Mtu – Vanessa Mdee Mara nyingi wasanii wa nje wanapokuja kwenye show Afrika, hupenda kujichanganya na wasanii wanaotangulia kwenye show yake na kuchukua selfie na vitu kama hivyo. Lakini kwenye tamasha la Mombasa Rocks lililofanyika Oktaba 8 mjini Mombasa ambalo Chris

Paul Pogba's new '100' haircut

Posted: 12 Oct 2016 06:53 AM PDT

Paul Pogba's new '100' haircut The world's most expensive footballer Paul Pogba took to his Instagram page to unveil his new haircut. Paul Pogba is known for changing hairstyles regularly and this new haircut has a '100' sign.

CUF Tanga Wamgomea Profesa Lipumba

Posted: 12 Oct 2016 06:51 AM PDT

CUF Tanga Wamgomea Profesa Lipumba CHAMA cha Wananchi (CUF) wilayani hapa kimetoa tamko la kutomtambua Mwenyekiti wa Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba, na kwamba hakitampokea katika ziara yake. Lipumba anatarajia kuanza ziara mkoani Tanga kesho  huku uongozi wa chama hicho ukisisitiza kutambua uamuzi wa  Mkutano Mkuu

Meneja wa Alikiba Afunguka Mkasa Mzima wa AliKiba Kushushwa Stejini Ghafla Huko Mombasa.

Posted: 12 Oct 2016 06:51 AM PDT

Meneja wa Alikiba Afunguka Mkasa Mzima wa AliKiba Kushushwa Stejini Ghafla Huko Mombasa. American Superstar Chris Brown, Jumamosi ya juzi ali rock kwenye tamasha la Mombasa Rocks Festival, ambalo tamasha hilo lilifanyika kwenye hoteli kubwa inayoitwa Mombasa Golf Hotel. Mombasa Rock Festival lilikuwa na wasanii wengi wa

Wema Sepetu Awashushua Wanaomsema Aunt na Zari

Posted: 12 Oct 2016 06:51 AM PDT

Wema Sepetu Awashushua Wanaomsema Aunt na Zari Imelda Mtema, Risasi SUPA-STAA Wema Isaac Sepetu 'Madam', amefunguka kuwa anachukizwa na watu wanaomtolea matusi muigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel, baada ya kuhudhuria sherehe ya kuzaliwa ya mzazi mwenza wa Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari The Boss Lady'.

Hizi Ndio Sababu Zinazowafanya Wanaume Kufa Mapema Kabla ya Wanawake

Posted: 12 Oct 2016 06:51 AM PDT

Hizi Ndio Sababu Zinazowafanya Wanaume Kufa Mapema Kabla ya Wanawake Utakubaliana na mimi kwamba wanaume wengi walioko kwenye ndoa wanakufa mapema na kuwaacha wake zao, ingawa swali linabaki kuwa ni kwanini? Zifuatazo ni sababu 6 za wanaume wengi walioko kwenye ndoa kufa mapema na kuwaacha wake zao.

DUDE ASEMA BONGOMUVI IMEINGILIWA NA WATU WASIO NA TAALUMA

Posted: 12 Oct 2016 06:02 AM PDT

DUDE ASEMA BONGOMUVI IMEINGILIWA NA WATU WASIO NA TAALUMA DUDE amesema kuwa Bongomuvi imeingiliwa kwa madai kwamba kwa sasa mtu yeyote mwenye pesa akitaka kuwa maarufu anakimbilia huko na anakuwa mtayarishaji wa filamu ili mradi aonekane katika jamii. Alisema kuwa mtindo huo

ESTER KIAMA: KAMA SI DUDE FILAMU YANGU YA "NGOMA NZITO" INGEBUMA

Posted: 12 Oct 2016 05:58 AM PDT

ESTER KIAMA: KAMA SI DUDE FILAMU YANGU YA "NGOMA NZITO" INGEBUMA MWIGIZAJI wa Bongomuvi, Ester Kiama amesema kuwa bila ya msaada na maelekezo ya msanii mwezake Dude filamu yake mpya iitwayo "Ngoma Nzito" ingebuma. "Kama ningekuwa peke yangu labda ingekuwa kazi ngumu sana

LHRC CHA TOA NENO KUHUSU SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI

Posted: 12 Oct 2016 03:14 AM PDT

LHRC CHA TOA NENO KUHUSU SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI Ndugu wanahabari, Leo Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaungana na

PAUL Makonda Awajibu Mawaziri Wanaohoji Anatafuta Nini

Posted: 12 Oct 2016 02:44 AM PDT

PAUL Makonda Awajibu Mawaziri Wanaohoji Anatafuta Nini Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda amesema kuna watu wanaohoji wakiwemo mawaziri kuwa anatafuta nini? Yeye amesema hawezi kujizuia na anawajibu kuwa anatafuta kutimiza kusudi la Mungu kwenye nafasi aliyopewa, na kingine ni kuwapa heshima waliompa nafasi aliyonayo

Je, Kujamiiana Huondoa Msongo wa Mawazo Kwa Wanawake?

Posted: 12 Oct 2016 02:41 AM PDT

Je, Kujamiiana Huondoa Msongo wa Mawazo Kwa Wanawake? UTAFITI uliofanywa na Chuo Kikuu cha State cha jijini New York nchini Marekani unaeleza kuwa manii ni nzuri kwa wanawake kwani huwaondolea msongo wa mawazo. Pia, watafiti hao wamesema wanawake wanaofanya tendo la ndoa mara kwa mara bila kutumia kinga (mapenzi salama)

Diamond Ndiye Msanii Tajiri zaidi Kwa Sasa Africa Mashariki

Posted: 12 Oct 2016 01:54 AM PDT

Diamond Ndiye Msanii Tajiri zaidi Kwa Sasa Africa Mashariki Jarida la Forbes la nchini marekani limetoa wasanii matajiri zaidi duniani ,Africa na kanda mbali mbali ambapo kwa upande wa Africa mashariki. Diamond platinum ameongoza kwa kuwa na utajiri wa dollar million 4.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 10 za kitanzania hasa baada

Serikali Yajikanyaga Yenyewe..Kauli ya Waziri Ummy Mwalimu Yapinzana na ya Samia Hassan

Posted: 12 Oct 2016 01:53 AM PDT

Serikali Yajikanyaga Yenyewe..Kauli ya Waziri Ummy Mwalimu Yapinzana na ya Samia Hassan Baada ya  Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kusema kuna dawa za kutosha nchini, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema ukosefu wa dawa unaojitokeza hivi sasa ni wa muda mfupi. Waziri Ummy amekanusha taarifa zilizokuwa zimeenea kwamba

Alikiba Ana Mziki Mzuri Lakini Kuna Walakini Mahali...Hivi Hana Timu ya Kuhakikisha Kila Kitu Kipo Sawa?

Posted: 12 Oct 2016 01:53 AM PDT

Alikiba Ana Mziki Mzuri Lakini Kuna Walakini Mahali...Hivi Hana Timu ya Kuhakikisha Kila Kitu Kipo Sawa? Ule usemi wa kwenye miti hakuna wajenzi nimeliona kwenye hiyo Show ya Mombasa hasa baada ya Ali Kiba kuhojiwa na kipindi cha Mseto... kwa kweli huyu msanii anahitaji Management. Anajisikia sana anategemea

Lulu Adai Amekataa Dili Kadhaa Kutoka Kwa Wasanii wa Nigeria

Posted: 11 Oct 2016 09:33 PM PDT

Lulu Adai Amekataa Dili Kadhaa Kutoka Kwa Wasanii wa Nigeria Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth 'Lulu ' Michael amefunguka kwa kudai kuwa tangu alipopata tuzo ya AMVCA 2016 amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa muziki wa Nigeria. Muigizaji huyo ameitaja sababu ya kukataa dili hizo imetokana na yeye si

Nay wa Mitego Adai Bifu la Baraka Da Price na Stan Bakora Linaweza ni Kiki tu

Posted: 11 Oct 2016 09:33 PM PDT

Nay wa Mitego Adai Bifu la Baraka Da Price na Stan Bakora Linaweza ni Kiki tu Nay wa Mitego amedai kuwa kinachoendelea kati ya Barakah The Prince na Stan Bakora, kinaweza kuwa kitu cha kutengeneza. Akiongea na mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove, rapper huyo amewaita wawili hao wote watoto na kwamba umri wao

Nchi Kumi Zinazoongoza Kwa Kuwa na Wasichana Warembo Barani Afrika

Posted: 11 Oct 2016 09:31 PM PDT

Nchi Kumi Zinazoongoza Kwa Kuwa na Wasichana Warembo Barani Afrika Afrika ni miongoni mwa Bara lililobarikiwa tamaduni, lugha na watu tofauti wenye tabia zinazoshabihiana ikiwamo ukarimu. Miongoni mwa watu wa Bara hili wapo wasichana warembo wa kuvutia tofauti na wengine, katika hili kuna mjadala mpana huku baadhi

Raymond: Nyimbo ya Salome Imenipa Kiki Kubwa Sana Natafutwa Dunia Nzima Nikafanye Kolabo

Posted: 11 Oct 2016 09:31 PM PDT

Raymond: Nyimbo ya Salome Imenipa Kiki Kubwa Sana Natafutwa Dunia Nzima Nikafanye Kolabo Msanii Raymond amesema nyimbo ya salome aliyofanya na diamond imempa umaarufu maradufu na sasa anapigiwa simu kutoka sehemu mbalimbali duniani akiombwa afanye kolabo aesema amepigiwa simu kutoka marekani, italia,

Alikiba na Wizkid Nusura Watie Doa Show ya Chris Brown Mombasa...Watunishiana Misuli

Posted: 11 Oct 2016 09:28 PM PDT

Alikiba na Wizkid Nusura Watie Doa Show ya Chris Brown Mombasa...Watunishiana Misuli Wanamuziki Alikiba na Wizkid walitunishiana misuli juu ya nani aimbe kabla ya mwenzake kwenye show ya Mombasa Alikiba alikataa kuimba kwanza kwa madai kuwa yeye ni mwanamuziki mkubwa Kenya kuliko Wizkid, kwahiyo hastahili kuimba

Walinzi wa Chriss Brown Ndio Waliomzimia Microphone Ali Kiba Alipokuwa Jukwaani Mombasa

Posted: 11 Oct 2016 09:28 PM PDT

Walinzi wa Chriss Brown Ndio Waliomzimia Microphone Ali Kiba Alipokuwa Jukwaani Mombasa Tanzanian artiste Ali Kiba found himself swimming in murky waters when he appeared late for his performance at the Mombasa Rocks Festival held at the Mombasa Golf Club last Saturday. The event, which was headlined by American double platinum R&

Majibu ya Amber Lulu Baada ya Kudaiwa Alikamatwa na Madawa ya Kulevya

Posted: 11 Oct 2016 09:25 PM PDT

Majibu ya Amber Lulu Baada ya Kudaiwa Alikamatwa na Madawa ya Kulevya Leo mtangazaji Soudy Brown amepiga story na  Amber Lulu, mwanadada maarufu kwenye mtandao wa Instagram ambaye inaelezwa kuwa aliwahi  kutoka kimapenzi na Rapa Young Dee. Sasa wiki iliyopita kupitia U Heard ilitoka stori kwamba Amber Lulu amekamatwa na madawa ya

Tetesi za Hemed PHD Kutoka Kimapenzi na Mwigizaji Tausi...Tausi Afunguka

Posted: 11 Oct 2016 09:25 PM PDT

Tetesi za Hemed PHD Kutoka Kimapenzi na Mwigizaji Tausi...Tausi Afunguka Muigizaji na mchekeshaji kwenye tasnia ya Bongo Movie, Tausi, amesema hana mahusiano yeyote nje ya kazi na Hemed PHD huku akisema huwa wanakutana kambini na hana hata namba ya simu ya msanii huyo. Tausi ameibuka na kusema hivyo baada ya kuwepo

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 13, 2016, 11:27:59 PM10/13/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


'Performance' ya Chris Brown Mombasa Yamchefua Rama Dee

Posted: 13 Oct 2016 11:52 AM PDT

'Performance' ya Chris Brown Mombasa Yamchefua Rama Dee Katika show hiyo, alisindikizwa na wasanii kama Wizkid kutoka Nigeria, Alikiba kutoka Tanzania, Vanessa Mdee kutoka Tanzania na baadhi ya wasanii kutoka nchini Kenya na Uganda. Katika show hiyo msanii huyo maarufu kutoka Marekani Chris Brown alionekana akiimba kwa

Majambazi 4 walioua polisi wanne Mbagala, wauawa

Posted: 13 Oct 2016 11:51 AM PDT

Majambazi 4 walioua polisi wanne Mbagala, wauawa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaua majambazi 4 na kukamata silaha ya jeshi hilo iliyoporwa atika tukio la ujambazi kwenye uvamizi wa Benki maeneo ya Mbande Mbagala ambapo polisi wanne waliuawa. Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Simon Sirro

Nilimpenda Msichana Kumbe ni Jini, Amenitesa Sana

Posted: 13 Oct 2016 11:51 AM PDT

Nilimpenda Msichana Kumbe ni Jini, Amenitesa Sana Naitwa Patrick Bundala niko mailimoja Kibaha ni mwajiriwa wa serikali ni Askari ila nyumbani ni Tabora na huku niko kikazi tu, nina mke na watoto 4. Kuna kitu kibaya kilinitokea nikiwa kozi ya uongozi huko Zanzibar mwaka 2009, tukiwa kozi tulikua tunapata mapumziko

Kutofanya Mapenzi Mpaka Ndoa ni Udhaifu?

Posted: 13 Oct 2016 11:37 AM PDT

Kutofanya Mapenzi Mpaka Ndoa ni Udhaifu? Nina swali ambalo linanitatiza sana haswa pale ninapoulizwa na rafiki zangu  Swali "Hivi ushamla yule demu?" Kiukweli kwa confidence huwa najibu hapana kwa sababu tumewekeana ahadi ya kuwa hakuna hicho kitu mpaka ndoa. Sasa cha ajabu ninapojibu hivyo wenzangu huwa

Nauli za ATCL zitakazotumika kuanzia Oktoba 14 hadi 28

Posted: 13 Oct 2016 11:37 AM PDT

Nauli za ATCL zitakazotumika kuanzia Oktoba 14 hadi 28 Ndege mbili mpya za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Bombardier Q400 zinatarajia kuanza kazi wakazi  wa mikoa ya Mwanza, Arusha na Zanzibar watakuwa wa kwanza kupata ofa. Ofisa Habari wa shirika hilo, Lilian Fungamtama amesema  safari  mpya za ndege hizo

POLISI DAR YAUA WANNE WALIOPORA BENKI YA CRDB-MBAGALA

Posted: 13 Oct 2016 07:56 AM PDT

POLISI DAR YAUA WANNE WALIOPORA BENKI YA CRDB-MBAGALA Na Humphrey Shao,Globu ya Jamii Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi wanne waliokuwa wamejichimbia katika pori la Mbande jijini Dar es Salaam mara baada ya mapigano makali na majibizano ya risasi

DUME Condom Washtushwa ‘Scorpion’ Kushtakiwa..Wadai Hawana Uhusiano Naye Kwa Sasa

Posted: 13 Oct 2016 07:52 AM PDT

DUME Condom Washtushwa 'Scorpion' Kushtakiwa..Wadai Hawana Uhusiano Naye Kwa Sasa Taasisi ya T.Marc Tanzania, ambayo iliendesha mashindano ya Dume Challenge imeeleza kushtushwa na kusikitishwa na taarifa za kukamatwa kwa Salum Njwete, maarufu kwa jina la Scorpion. Taasisi hiyo pia imethibitisha kuwa Njwete alishiriki na

MASKINI: Saida Karoli Aelezea Alivyotumiwa Kuwatajirisha Watu Huku Akibaki Maskini

Posted: 13 Oct 2016 07:52 AM PDT

MASKINI: Saida Karoli Aelezea Alivyotumiwa Kuwatajirisha Watu Huku Akibaki Maskini Muimbaji nguli wa Tanzania aliyetamba na vibao kama Mapenzi Kizunguzungu, Kitobero na nyingine nyingi amesema kuwa ana hofu ya kuwa na meneja kwa sasa kutokana na yaliyomsibu miaka kadhaa nyuma. Najua, kuna mameneja wazuri katika

Hakuna Beef kati ya Ali Kiba na Diamond ila Kuna Beef kati ya Ali na Sallam

Posted: 13 Oct 2016 07:52 AM PDT

Hakuna Beef kati ya Ali Kiba na Diamond ila Kuna Beef kati ya Ali na Sallam Hii kitu sio mara ya Kwanza kutokea malumbano kati ya Ali na Sallam. 1.Show ya Tigo Dar es salaam mwaka jana kwenye show ya Tigo ambayo wasanii A List wa bongo flava wote walikuwemo ila baada ya ile show ambayo Ali kama

Babu Tale Atoboa Siri ya Usambazaji wa Nyimbo za Wasafi Records

Posted: 13 Oct 2016 07:51 AM PDT

Babu Tale Atoboa Siri ya Usambazaji wa Nyimbo za Wasafi Records Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, January Makamba wiki hii alitembelea ofisi za WCB na kuonyeshwa mambo mbalimbali ambayo yanafanyika katika kila kitengo. Moja kati ya sehemu ambayo muheshimiwa

Said Ally (Aliyetobolewa Macho) Apewa Pikipiki 5, Bajaji 2 na Kuahidiwa Nyumba

Posted: 13 Oct 2016 07:51 AM PDT

Said Ally (Aliyetobolewa Macho) Apewa Pikipiki 5, Bajaji 2 na Kuahidiwa Nyumba Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha vitu alivyoviahidi kwa kijana Said Ally aliyetobolewa macho maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam anavipata. Alhamis hii, ametimiza yote aliyoahidi na

WAZIRI LUKUVI. HAKUNA MAKAZI HOLELA YATAKAYOBOMOLEWA JIJINI MWANZA

Posted: 13 Oct 2016 07:23 AM PDT

WAZIRI LUKUVI. HAKUNA MAKAZI HOLELA YATAKAYOBOMOLEWA JIJINI MWANZA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Willium Lukuvi, akizungumza na wakazi wa Kata ya Buhongwa Jijini Mwanza, alipofanya ziara Jijini Mwanza jana. Waziri ameziagiza halmashauri za Jiji la Mwanza na Manispaa ya

Four women accuse Trump of kissing and groping them

Posted: 13 Oct 2016 12:47 AM PDT

Four women accuse Trump of kissing and groping them Four women have accused US Republican Presidential nominee, Donald Trump of forcibly groping or kissing them without their consent in news reports published Wednesday by Washington post. One of the women alleges that Trump tried to put his hand up her skirt during a flight about 30

FIFA president Gianni Infantino says he's confident he can battle "forces that don't want change", after decades of corruption

Posted: 13 Oct 2016 12:40 AM PDT

FIFA president Gianni Infantino says he's confident he can battle "forces that don't want change", after decades of corruption Swiss-Italian Gianni Infantino who took over from Sepp Blatter as FIFA's top official in February is confident soccer's world governing body has "turned a page"

France/Man U legend Patrice Evra shares throwback photos and posts inspirational message

Posted: 13 Oct 2016 12:40 AM PDT

France/Man U legend Patrice Evra shares throwback photos and posts inspirational message Former Man U legendary left-back and current France/Juventus defender Patrice Evra shared a video showing throw back images of him as a young boy and also as a grown man & advised his Instagram followers to never listen to people

Kim K will now be traveling in armoured cars & her bodyguards will be armed with machine guns

Posted: 13 Oct 2016 12:38 AM PDT

Kim K will now be traveling in armoured cars & her bodyguards will be armed with machine guns Kim K is beefing up her security following her Paris robbery. Read the TMZ report below... Her new security detail includes former members of the Secret Service, who will be armed to the teeth. There will be at least one team

Kim Kardashian sues MediaTakeOut over claims that she lied about the robbery incident in Paris

Posted: 13 Oct 2016 12:37 AM PDT

Kim Kardashian sues MediaTakeOut over claims that she lied about the robbery incident in Paris Kim Kardashian who has been silent since she was robbed at gunpoint in Paris is tired of the media and everyone else saying she lied about the incident and is now suing Media TakeOut for spearheading the story that she made up the whole

Maheeda shares photo of her hubby, Robert and daughter

Posted: 13 Oct 2016 12:36 AM PDT

Maheeda shares photo of her hubby, Robert and daughter Former gospel singer Maheeda who has been married to her hubby, Robert, since 2012, shared this rare photo of him and her daughter on her page and wrote: "First you become a success inside you , in your private life, then the rest will follow!!! Success begins from

Watch: Khloe Kardashian finally speaks about Kim after the Paris robbery "She's not doing that well"

Posted: 13 Oct 2016 12:35 AM PDT

Watch: Khloe Kardashian finally speaks about Kim after the Paris robbery "She's not doing that well" Khloe Kardashian finally publicly opened up about her older sister, Kim Kardashian's armed robbery attack in Paris. She appeared on Ellen DeGeneres Show where she said Kim is 'not doing that well' nine days after the robbery attack

Terrified SA bride bashes her husband's head with a wine bottle after seeing his manhood for the first time during honeymoon

Posted: 13 Oct 2016 12:35 AM PDT

Terrified SA bride bashes her husband's head with a wine bottle after seeing his manhood for the first time during honeymoon In South Africa, a virgin bride reportedly bashed her husband on the head during their honeymoon, after seeing his large penis for the first time. According to reports, Mnombo

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI 13 OKTOBER 2016

Posted: 12 Oct 2016 11:45 PM PDT

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI 13 OKTOBER 2016

Vanessa Mdee Afichua Sababu za Ali Kiba Kuzimiwa Mic Mombasa

Posted: 12 Oct 2016 11:44 PM PDT

Vanessa Mdee Afichua Sababu za Ali Kiba Kuzimiwa Mic Mombasa Vanessa mdee ambaye pia ali pafomu Mombassa ametaja sababu iliyosababisha Ali Kiba kuzimiwa mic ni kuwa Chris Brown aliingia akiwa hana mood nzuri, kwa hivyo ili kumfurahisha wale waandaji ikabidi wakatishe shoo ya Ali Kiba wampe muda wa kupanda jukwaani

Baraka da Prince Amtukana Ney wa Mitego

Posted: 12 Oct 2016 11:44 PM PDT

Baraka da Prince Amtukana Ney wa Mitego Baada ya Nay wa Mitego kudai kuwa muimbaji huyo wa 'Nisamehe' na Stan Bakora ni watoto na kwamba huenda wanatafuta kiki, ameibuka na kudai kuwa rapper huyo hana akili na ni mp*mbavu. "Nay hana akili, yaani Nay wa Mitego ni mp*mbavu tu," Barakah alimwambia mtangazaji wa kipindi cha

Governor wa Mombasa Kumleta Nicki Minaj Baada ya Chris Brown

Posted: 12 Oct 2016 11:43 PM PDT

Governor wa Mombasa Kumleta Nicki Minaj Baada ya Chris Brown Inavyoonekana kaunti 001, au ukipenda kaunti ya Mombasa inatarajiwa kupata masupastaa mpwito mpwito mwaka huu. Baada ya kumleta Chris Brown Mombasa, Gavana wa Mombasa, Gavana 001, almaarufu Sultan au ukipenda Ali Hassan Joho aliwapa ahadi mashabiki

Baada ya Young Dee Kukana Kutoka Kimapenzi na Amber Lulu...Amber Atoboa Siri Nzito

Posted: 12 Oct 2016 11:42 PM PDT

Baada ya Young Dee Kukana Kutoka Kimapenzi na Amber Lulu...Amber Atoboa Siri Nzito Ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali. Ukweli wafahamika baada ya mara kadhaa Rapper Young Dee kukanusha kuwahi kuwa na mahusiano na video vixen kutoka kwenye kiwanda cha Bongo Fleva, Amber Lulu.

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 14, 2016, 11:02:32 PM10/14/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Photos of a couple that have been dating for 12 years go viral

Posted: 14 Oct 2016 11:12 AM PDT

Photos of a couple that have been dating for 12 years go viral According to the lady, Happiness Clement, who shared the photos on Facebook, she and her man have been in a relationship from 2004 to 2016.  "Never look down on yhur relationship... Bcos yhu feel d guy is not worth dating yhu or he's poor or don't

VIDEO: Navy Kenzo Wamevitaja Vigezo Wananvyoangalia Kusign Msanii Kwenye Label yao

Posted: 14 Oct 2016 11:04 AM PDT

VIDEO: Navy Kenzo Wamevitaja Vigezo Wananvyoangalia Kusign Msanii Kwenye Label yao Nikitaja list ya wasanii kutoka bongoflevani pia miongoni ma group ynayofanya vizuri kwenye game huwezi kuwaacha Navy Kenzo ambapo kwasasahivi ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania waliokuwa nominated kuwania tuzo za MTV MAMA 2016

Majibu ya Chris Brown Kuhusu Kumvunjia Simu Shabiki Airport Mombasa

Posted: 14 Oct 2016 11:03 AM PDT

Majibu ya Chris Brown Kuhusu Kumvunjia Simu Shabiki Airport Mombasa Mwimbaji staa kutoka Marekani Chris Brown October 8 2016 aliungana na wasanii wengine akiwemo Wizkid wa Nigeria, Vanessa Mdee, Alikiba na wengineo kutumbuiza kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music Festival lililofanyika  Golf Club Mombasa.

UTAFITI: Nairobi Imetajwa Kwenye Top 10 ya Majiji Yenye Foleni Zinazokera Duniani

Posted: 14 Oct 2016 11:03 AM PDT

UTAFITI: Nairobi Imetajwa Kwenye Top 10 ya Majiji Yenye Foleni Zinazokera Duniani Watu wangu wa Kenya hii inaweza kuwa taarifa mbaya kwao hasa wakazi wa jiji la Nairobi. Ni baada ya kutoka list ya majiji 10 yaliyotajwa kuwa na kiwango kikubwa na foleni za Magari ambazo hupelekea kuwa kera watumiani wa barabara za jiji hilo.

Chris Rock hits $40M deal to produce two comedy shows for Netflix

Posted: 14 Oct 2016 07:56 AM PDT

Chris Rock hits $40M deal to produce two comedy shows for Netflix American actor and Producer, Chris Rock has reportedly landed a huge jackpot of $40M to produce two comedy shows for Netflix. The bumper deal which now sets a new record for stand-up comic. The first Rock show will tape in 2017 after the actor's World tour

Indonesia passes law to castrate sex offenders after 14 year old was ganged rape and killed by 12 men

Posted: 14 Oct 2016 07:55 AM PDT

Indonesia passes law to castrate sex offenders after 14 year old was ganged rape and killed by 12 men Indonesia parliament has taken one of the most drastic measures by passing a law that will see Pedophiles undergo chemical castration. It was signed to bill on Wednesday, October 12, 2016, after a gang of 12 men,

Melania Trump threatens to sue People magazine after one of it's writers claim Trump “forced his tongue down her throat”

Posted: 14 Oct 2016 07:54 AM PDT

Melania Trump threatens to sue People magazine after one of it's writers claim Trump "forced his tongue down her throat"   US Presidential candidate Donald Trump's wife has threatened to sue People magazine after a story  published on Wednesday that Donald Trump allegedly 'forced his tongue down the throat' of it's writer

Picha: Tunda Man afanya ‘Send-off’ na mrembo huyu

Posted: 14 Oct 2016 07:48 AM PDT

Picha: Tunda Man afanya 'Send-off' na mrembo huyu Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Tunda Man pamoja na mpenzi wake wa muda mrefu wamefanya 'send-off' wakijiandaa kuingia katika maisha ya ndoa. tunda3 Alhamisi hii usiku zilisambaa picha katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha Tunda Man pamoja na mpenzi wake

TCRA Yapiga Marufuku Uuzwaji wa Samsung Galaxy note 7 Hapa Nchini

Posted: 14 Oct 2016 07:48 AM PDT

TCRA Yapiga Marufuku Uuzwaji wa Samsung Galaxy note 7 Hapa Nchini MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa simu za mkononi za Smartphone Samsung Galaxy note 7 kwa kuwa zina matatizo ya betri. TCRA pia imewataka wananchi ambao tayari wanatumia simu hizo kuzizima na

Ubunge wampita Kushoto baada ya Mahakama ya Rufaa Kutupilia Mbali Maombi Yake

Posted: 14 Oct 2016 07:48 AM PDT

Ubunge wampita Kushoto baada ya Mahakama ya Rufaa Kutupilia Mbali Maombi Yake Hatimaye mbio za David Kafulila kupinga mahakamani matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Kigoma Kusini ya Oktoba mwaka jana uliompa ushindi Husna Mwilima (CCM) zimefika ukingongoni baada ya mahakama ya rufaa kutupilia mbali maombi yake. Jopo la

Gigy, Amber Lulu Waingia Kwenye Vita Baridi

Posted: 14 Oct 2016 07:47 AM PDT

Gigy, Amber Lulu Waingia Kwenye Vita Baridi Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa baada ya habari kuzagaa kuwa Amber Lulu amekamatwa na polisi Arusha akiwa na unga, Gigy amekuwa akimsema mwenzake huyo vibaya, mazingira yaliyosababisha wawili hao waanze kuraruana kwa maneno. Akizungumza hivi karibuni, Amber Lulu alisema:

Diwani Chadema Anaswa na Dawa za Kulevya

Posted: 14 Oct 2016 07:43 AM PDT

Diwani Chadema Anaswa na Dawa za Kulevya, Bunduki Diwani Chadema Anaswa na Dawa za Jeshi la Polisi Mkoani Rukwa linamshikilia Diwani wa kata ya Izira, Paschael Silimba (Chadema) baada ya kumkamata akiwa na dawa za kulevya aina ya bangi na bunduki moja aina ya gobole. Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Kamishna Msaidizi wa

Ester Bulaya Kuwekwa Kikaangoni Jumatatu

Posted: 14 Oct 2016 07:42 AM PDT

Ester Bulaya Kuwekwa Kikaangoni Jumatatu ESTER Bulaya, Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, mkoani Mara anatarajia kupanda kizimbani Jumatatu ya tarehe 17 Oktoba, mwaka huu ili kutoa ushahidi wake katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge inayomkabili, anaandika Charles William. Bulaya atalazimika kuhojiwa na kujibu

Faiza Ally Awaponda Wasanii wa Bongo, Asema Wanawake Watalalwa Wakizeeka Wataachia Wenzao

Posted: 14 Oct 2016 07:41 AM PDT

Faiza Ally Awaponda Wasanii wa Bongo, Asema Wanawake Watalalwa Wakizeeka Wataachia Wenzao Msanii wa filamu Tanzania, Faiza Ally amefunguka kuhusiana na mwenendo wa tasnia ya Bongo Movie inayoendelea kwa sasa. Kupitia mtandao wa Instagram, muigizaji huyo amedai kuwa kwa sasa uigizaji si kazi ya kuichagua kuifanya labda uwe na njia

Mkurugenzi Amgomea Waziri Mkuu

Posted: 14 Oct 2016 07:37 AM PDT

Mkurugenzi Amgomea Waziri Mkuu AGIZO la Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, kuwataka watendaji wa Serikali kutoa taarifa katika vyombo vya habari juu ya mipango ya maendeleo inayofanywa na serikali, limepuuzwa na Godwin Kunambi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma, anaandika Dany Tibason. Leo baada ya kumalizika

Meneja wa Alikiba Ajibu Tuhuma za Show ya Mombasa na za Kutunishiana na Wizkid

Posted: 13 Oct 2016 10:57 PM PDT

Meneja wa Alikiba Ajibu Tuhuma za Show ya Mombasa na za Kutunishiana na Wizkid Aidan Charlie ambaye ni meneja msaidizi kutoka kwenye Menejimenti ya mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ameongea kuhusu tuhuma mbalimbali zilizotolewa dhidi ya Alikiba kutokana na show ya Mombasa iliyofanyika weekend iliyopita na zifuatazo ni

Imeripotiwa Kupotea Kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika

Posted: 13 Oct 2016 10:48 PM PDT

Imeripotiwa Kupotea Kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika Habari kubwa zinazotrend sasa hivi mtu wangu moja nii hii iliyoripotiwa na kituo kikubwa cha habari Kenya cha Citizen kupotea kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika ambae hajarudi nchini kwake tangu alivyoondoka kuelekea New York Marekani kwenye mkutani mkubwa wa Umoja wa Mataifa

JE Ni Sahihi Kumlazimisha Mwanaume Akuoe?

Posted: 13 Oct 2016 09:19 PM PDT

JE Ni Sahihi Kumlazimisha Mwanaume Akuoe? Habari zenu, Hivi ni sahihi pale uko na mpenzi wako yapita mwaka, miaka ajawahi kukuambia kuhusu ndoa au labda alikuhaidi kuja nyumbani lakini siku zayoyoma hakuna matokea yoyote je, ni sahihi kumlazimisha akuoe au huyu yupo kwa ajili ya kupotezeana muda tu?

Aliyepigwa na Walimu Mbeya aeleza kwanini hakwenda Hospitali

Posted: 13 Oct 2016 09:18 PM PDT

Aliyepigwa na Walimu Mbeya aeleza kwanini hakwenda Hospitali Jina lake ni Sebastian Chinguku mwanafunzi wa shule ya sekondari Mbeya Day kidato cha tatu ambae video yake ya kupigwa fimbo mateke na makofi na Walimu ilisambaa sana kwenye mitandao na imekua gumzo mpaka viongozi wa Serikali ikiwemo Mawaziri kuingilia kati.

MSAGASUMU ASEMA HANA MUDA WA KUENDEKEZA BIFU ZA WASANII WENZAKE WA SINGELI

Posted: 13 Oct 2016 09:00 PM PDT

MSAGASUMU ASEMA HANA MUDA WA KUENDEKEZA BIFU ZA WASANII WENZAKE WA SINGELI SULEIMAN Jabir "Msaga Sumu" amesema kuwa hajali bifu ambazo wasanii wenzake wa muziki wa Singeli wanamfanyia kwavile haamini katika bifu bali yeye ni kazi tu. "Huwezi kuamini, bifu na mimi wameanza

Muziki Wampa Baraka The Prince Mjengo wa Maana

Posted: 13 Oct 2016 08:56 PM PDT

Muziki Wampa Baraka The Prince Mjengo wa Maana Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania ambaye aliwahi kupata tuzo ya msanii bora anayechipukia mwaka 2014 /2015 kupitia wimbo wake ya 'Jichunge' Barakah The Prince ameonesha matunda aliyoyapata kutokana na muziki tangu aanze kuimba mwaka 2014. Miongoni mwa mafanikio

Wanawake wa Dar na Kope Bandia Hatarini

Posted: 13 Oct 2016 08:56 PM PDT

Wanawake wa Dar na Kope Bandia Hatarini Wanawake wanaotumia kope bandia wanahofiwa kuwa na hali ya hatari ya kupata upofu wa macho kutokana na gundi wanazotumiwa kutumia kope hizo kuripotiwa kuripotiwa kuwa na athari kwenye macho yao. Tahadhari hiyo imetolewa na mratibu wa huduma ya macho

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 15, 2016, 11:24:37 PM10/15/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Lady left in shock after RRS officers assisted her and her colleagues on third mainland bridge without collecting any cash gift

Posted: 15 Oct 2016 08:44 AM PDT

Lady left in shock after RRS officers assisted her and her colleagues on third mainland bridge without collecting any cash gift IG user, Ms_rubbie shared an amazing experience she had with some Rapid Response Squad Police Officers who yesterday night, helped her colleague fix his flat tyre. After the RRS officers got the

Leyla Bezuidenhout Makongoro in pink dress for a cancer event

Posted: 15 Oct 2016 08:40 AM PDT

Leyla Bezuidenhout Makongoro in pink dress for a cancer event  This dress's fabrics were ordered in May 2016. for a Cancer event 

Pendeza na mitindo/ mishono ya vitenge!

Posted: 15 Oct 2016 08:39 AM PDT

Pendeza na mitindo/ mishono ya vitenge!

Huddah Monroe-“Ukipata hela nyingi utakuwa mzuri sana….. I’ll be waiting”

Posted: 15 Oct 2016 08:39 AM PDT

Huddah Monroe-"Ukipata hela nyingi utakuwa mzuri sana….. I'll be waiting"

HAWA NDO WAREMBO TOP 5 WA BONGO MOVIE

Posted: 15 Oct 2016 08:37 AM PDT

HAWA NDO WAREMBO TOP 5 WA BONGO MOVIE 1. Anaitwa Welu Sengo 2. Yobnesh Yusuph Aka Batuli 3. Tatu imechukuliwa na Wema Sepetu 4.Elizabeth Michael aka Lulu 5. Irene Uwoya Unamtazamo gani

LAIZER WA WCB AFUNGUKA HAYA KUHUSU HARMONIZE

Posted: 15 Oct 2016 08:33 AM PDT

LAIZER WA WCB AFUNGUKA HAYA KUHUSU HARMONIZE Mtayarishaji wa muziki kutoka 'Wasafi Record' Laizer amefunguka kwa kusema kuwa haoni kama Harmonize anaiga uimbaji wa Diamond kama baadhi ya watu wanavyodai. Laizer ambaye ametengeneza hits kadhaa kama 'Bado' ya Harmonize na

Belle 9 Aupiga Vijembe Mziki wa Singeli..Adai ni wa Kupita Hawezi Jiingiza Huko

Posted: 15 Oct 2016 02:45 AM PDT

Belle 9 Aupiga Vijembe Mziki wa Singeli..Adai ni wa Kupita Hawezi Jiingiza Huko Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa Singeli. Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa kupita na katu hauwezi kudumu. Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na

Chris Brown Anyemelea Penzi la Rihanna Upya...Adaiwa Kujipendekeza Kwa Ndugu wa Rihanna

Posted: 15 Oct 2016 02:44 AM PDT

Chris Brown Anyemelea Penzi la Rihanna Upya...Adaiwa Kujipendekeza Kwa Ndugu wa Rihanna Chris Brown anaanza kuonekana kama anataka kurudisha namba ambayo imepotea kwa Rihanna. Kupitia mtandao wa Hollywoodlife umeripoti kwamba Chris brown ameanza kuonyesha dalili zote za kurudisha

Tetesi za Rapper Chemical Kuwa Mapenzini na Producer Wake Maximizer

Posted: 15 Oct 2016 02:44 AM PDT

Tetesi za Rapper Chemical Kuwa Mapenzini na Producer Wake Maximizer Rapper wa kike Bongo, Chemical amefunguka kwa kuelezea sababu inayomfanya afanye kazi nyingi na mtayarishaji wa muziki  Maximizer. Akiongea na mtangazaji wa Radio Maisha ya Dodoma, rapper huyo amesema Max amekuwa

Bilionea Mohammed Dewji Akoshwa na Mafanikio ya Mwanamuziki Diamond...Asema Haya

Posted: 15 Oct 2016 02:37 AM PDT

Bilionea Mohammed Dewji Akoshwa na Mafanikio ya Mwanamuziki Diamond...Asema Haya Miongoni mwa bilionea wa Afrika aliyekuwa Mbunge wa Singida na CEO wa MeTLGroup, Mohammed Dewji, afunguka kuhusu Diamond platnumz.  Dewji amemwaga sifa kwa mwanamuziki Diamond Platnumz kuwa ni miongoni mwa wanamuziki wa wakubwa barani Afrika

Diamond Kufanya Collabo na Mwanamuziki Usher Raymond....

Posted: 15 Oct 2016 02:36 AM PDT

Diamond Kufanya Collabo na Mwanamuziki Usher Raymond.... Spidi ya Diamond kulitafuta tobo la Marekani inatisha. Akiwa na collabo kibindoni na French Montana, Yo Gotti na Ne-Yo ambaye watakuwa na ziara ya pamoja Uingereza Disemba mwaka huu, muimbaji huyo wa 'Salome' ametoa hint ya mradi mwingine ujao na role model wake mwingine –

Amini Amrushia Dongo Linah Sanga...Adai Nyimbo zake za Sasa Sio Nzuri Zinakosa Uyeye....

Posted: 15 Oct 2016 02:36 AM PDT

Amini Amrushia Dongo Linah Sanga...Adai Nyimbo zake za Sasa Sio Nzuri Zinakosa Uyeye.... Amini aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Linah uliodumu kwa miaka mingi kabla ya kuachana na kila mmoja akawa na maisha yake. Pia Amini aliwahi kumwandikia msanii huyo nyimbo kadhaa zilizofanya vizuri. Lakini sasa hitmaker huyo

MTOTO WA AJABU AWASHANGAZA WANASAYANSI WA DUNIANI

Posted: 15 Oct 2016 02:36 AM PDT

MTOTO WA AJABU AWASHANGAZA WANASAYANSI WA DUNIANI Wanasayansi na madaktari nchini Urusi wamestaajabishwa na mtoto mwenye umri wa miezi tisa ambaye mwili wake umekuwa ukitoa maandishi katika lugha ya kiarabu yakinukuu vipande vya maneno katika Quran

UVAAJI NA MAUMBILE YA HUYU MREMBO YASABABISHA FOLENI NDEFU ZA MAGARI LEO ONA ALIVYOKUWA AMEVAAA LIVE!!

Posted: 15 Oct 2016 02:35 AM PDT

UVAAJI NA MAUMBILE YA HUYU MREMBO YASABABISHA FOLENI NDEFU ZA MAGARI LEO ONA ALIVYOKUWA AMEVAAA LIVE!!

MAKONTENA 100 YAPITISHWA KINYEMELA BANDARINI BILA KUKAGULIWA WAZIRI MWIJAGE ATOA SIKU 4 WAHUSIKU WAJISALIMISHE

Posted: 14 Oct 2016 09:37 PM PDT

MAKONTENA 100 YAPITISHWA KINYEMELA BANDARINI BILA KUKAGULIWA WAZIRI MWIJAGE ATOA SIKU 4 WAHUSIKU WAJISALIMISHE WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage ametoa siku nne kwa wafanyabiashara waliopitisha makontena 100 bandarini bila kukaguliwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS), wakatoe

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 16, 2016, 10:51:16 PM10/16/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Wakazi wa Dar kupata huduma ya bure ya Wi-Fi

Posted: 16 Oct 2016 11:24 AM PDT

Wakazi wa Dar kupata huduma ya bure ya Wi-Fi Image copyrightAFPImage captionMpango wa kutoa huduma ya Wi-Fi ni sehemu ya mpango mkubwa wa awamu tano wa kustawisha miji Makamu wa rais nchini Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangaza mpango wa kuzindua mradi ambao utapelekea kuwekwa kwa huduma ya

Soudy Brown na Wenzake Wamchambua Wolper Kama Karanga...Wampe Vidonge Vyake Baada ya Kuwaponda

Posted: 16 Oct 2016 11:05 AM PDT

Soudy Brown na Wenzake Wamchambua Wolper Kama Karanga...Wampe Vidonge Vyake Baada ya Kuwaponda Siku ya Jumamosi ya tarehe 15/10/2016 haikuwa nzuri hata kidogo kwa Msanii wa Filamu hapa nchini Jackline Wolper kwa kupokea Mchambo kutoka kwa Chama cha wa mbea Duniani (SHILAWADU) kupitia kituo cha Televishen chaCLOUDS TV.

Mbatia: Uhakiki wa vyeti feki uanzie kwa Rais na viongozi wengine

Posted: 16 Oct 2016 11:04 AM PDT

Mbatia: Uhakiki wa vyeti feki uanzie kwa Rais na viongozi wengine Mhe. James Mbatia (MB) Vunjo, na Mwenyekiti Taifa NCCR. Ametaka zoezi la uhakiki wa vyeti feki ni vyema likanzia kwa Rais na viongozi wengine. Binafsi naunga Mkono hoja ya Mhe.Mbati kwa sababu mbili tu. 1.Kiongozi hutakiwa kuongoza kwa Mfano,

Rais Buhari: Mke Wangu ni wa Kwangu Jikoni na Chumbani tu..

Posted: 16 Oct 2016 11:03 AM PDT

Rais Buhari: Mke Wangu ni wa Kwangu Jikoni na Chumbani tu.. Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amejibu onyo kutoka kwa mkewe ambaye alikuwa ametahadharisha kwamba hatamuunga mkono uchaguzi mkuu ujao iwapo hatafanya mabadiliko serikali. Bi Aisha, kwenye mahojiano na BBC, alikuwa amedokeza kwamba mumewe amepoteza udhibiti wa

Wasanii Acheni Kuandikia Nyimbo Studio - Crazy GK

Posted: 16 Oct 2016 11:03 AM PDT

Wasanii Acheni Kuandikia Nyimbo Studio - Crazy GK Msanii King Crazy GK amesema kitendo cha wasanii kuandikia nyimbo studio na kuingiza sauti hapo hapo kurekodi, ni moja sababu inayofanya muziki wa sasa kutoishi kama ule wa zamani. Akizungumza na East Africa Radio, King Crazy Gk amesema msanii kurekodi wimbo huku akiwa

Waasi 'Waiteka' Ngome Muhimu ya IS Syria

Posted: 16 Oct 2016 10:57 AM PDT

Waasi 'Waiteka' Ngome Muhimu ya IS Syria Waasi wanaoungwa mkono na serikali ya Uturuki nchini Syria wameuteka mji muhimu wa Dabiq kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State,kulingana na makamanda wa waasi hao na wachunguzi. Waasi hao waliuteka mji wa Dabiq baada ya wanachama wa kundi la Islamic State kuuondoka kulingana na kundi

Marekani: Jaribio la Roketi ya Korea Kaskazini lashindwa

Posted: 16 Oct 2016 10:53 AM PDT

Marekani: Jaribio la Roketi ya Korea Kaskazini lashindwa Jeshi la majini la Marekani na lile la Korea Kusini, kwa pamoja yanasema kuwa, jaribio jingine la roketi ya Korea Kaskazini limeshindwa. Wakorea Kusini wanasema kuwa, lililipuka mara tu baada ya kurushwa. Kamanda mkuu wa jeshi la majini la Marekani Gary

Pongezi za Diamond Kwa Harmonize Baada ya Kushindi Tuzo ya AFRIMMA

Posted: 16 Oct 2016 10:53 AM PDT

Pongezi za Diamond Kwa Harmonize Baada ya Kushindi Tuzo ya AFRIMMA Tuzo za AFRIMMA ambazo hutolewa kila mwaka kwa Waafrika mbalimbali waliofanya vizuri kwenye sekta mbalimbali hasa za burudani, zimetolewa Dallas Texas Marekani leo ambapo kwenye list yote Watanzania walioshinda ni watatu. Watanzania walioshinda ni Dj

Ex wa Moses Iyobo Amgusa Kunako Aunty Ezekiel...Aunty Atoa Povu Hili....

Posted: 16 Oct 2016 10:51 AM PDT

Ex wa Moses Iyobo Amgusa Kunako Aunty Ezekiel...Aunty Atoa Povu Hili.... Ex wa mcheza Dance Maarufu Moses Iyobo leo amepost picha ya Harmonize na Wolper akimpa Harmonize hongera kwa kushinda tuzo ya Afrimma, ndani ya ujumbe huo inaonekana kuna dongo kwa Mpenzi wa Moses Iyobo wa sasa Aunty Ezekiel...

MREMBO LYNN ATUPIA PICHA HIZI HUKO INSTAGRAM

Posted: 16 Oct 2016 03:07 AM PDT

MREMBO LYNN ATUPIA PICHA HIZI HUKO INSTAGRAM(

Before & after photo featuring Fade Ogunro

Posted: 16 Oct 2016 02:56 AM PDT

Before & after photo featuring Fade Ogunro Media personality, Fade Ogunro shared this throwback childhood photo of herself alongside one she took today, and wrote: "5years old vs 5 hours ago."

Marekani na Urusi zashindwa kukubaliana kuhusu Syria

Posted: 16 Oct 2016 02:35 AM PDT

Marekani na Urusi zashindwa kukubaliana kuhusu Syria Mkutano kati ya Marekani, Urusi na nchi nyingine saba za kikanda, umeshindwa kufikia makubaliano kuhusu mzozo wa Syria. Huku mapigano yakiendelea ndani ya Syria kwenyewe, wajumbe wamekubaliana kufanya mazungumzo zaidi. Mazungumzo hayo ya kimataifa

Kiongozi wa Upinzani Kizza Besigye akamatwa na polisi kwa mara nyingine

Posted: 16 Oct 2016 02:32 AM PDT

Kiongozi wa Upinzani Kizza Besigye akamatwa na polisi kwa mara nyingine Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Daktari Kizza Besigye amekamatwa na polisi jumamosi alipokuwa akitoka nyumbani kwake

Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy Washinda Tuzo za Afrimma 2016

Posted: 16 Oct 2016 02:19 AM PDT

Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy Washinda Tuzo za Afrimma 2016 Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii. Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ

Kwanini Imechukua Muda Mrefu Kwa Scorpion Kukamatwa na Jeshi la Polisi?

Posted: 16 Oct 2016 02:17 AM PDT

Kwanini Imechukua Muda Mrefu Kwa Scorpion Kukamatwa na Jeshi la Polisi? SCORPION NA JESHI LETU LA POLISI Pamoja na kwamba kijana aliyetobolewa macho kusaidiwa kujikimu maisha yake, kuna suala ambalo halipaswi kuachwa hivi. Suala hilo ni kuwajibishwa kwa polisi wa kituo cha Buguruni, kwa misingi ifuatayo: 1. Kwanini

Maalim Seif Afunguka Kuhusu Prof Lipumba, Madudu Mapya Bodi ya Mikopo....Magazeti ya leo

Posted: 15 Oct 2016 11:52 PM PDT

Maalim Seif Afunguka Kuhusu Prof Lipumba, Madudu Mapya Bodi ya Mikopo....Magazeti ya leo Maalim Seif

Makamu Wa Rais Samia: Wafichueni Wafuja Fedha Za Serikali

Posted: 15 Oct 2016 11:51 PM PDT

Makamu Wa Rais Samia: Wafichueni Wafuja Fedha Za Serikali MAKAMU wa rais ,Samia Suluhu Hassan,amewataka kuwafichua watumishi mbalimbali wa halmashauri na taasisi za serikali katika wilaya na mikoa wanaodhaniwa kufuja fedha za serikali na kupoteza mapato lengo ikiwa ni kuzikusanya fedha na kuzirudisha katika mikono ya wananchi waone

Lilian Mwasha amefunga ndoa na Anthony Luvanda?

Posted: 15 Oct 2016 11:51 PM PDT

Lilian Mwasha amefunga ndoa na Anthony Luvanda? Huyu Lilian Mwasha (mtangazaji wa Clouds Fm) wameoana na Anthony Luvanda (Mc maarufu), au ni movie?

Mke wa Steve Nyerere Aongea Kuhusu Dada wa Bongo Movies Aliyemnyang'anya Mume

Posted: 15 Oct 2016 11:50 PM PDT

Mke wa Steve Nyerere Aongea Kuhusu Dada wa Bongo Movies Aliyemnyang'anya Mume Mke wa mchekeshaji steve Nyerere amezungumzia kuhusu dada mmoja wa bongo movie kunyang'anya mume wake na kudai kuwa steve ataenda popote lakini atarudi tu kwa kuwa yeye ana watoto wake, amesema kuna wadada wenye maisha magumu wanataka kuwa na maisha bora

Hatukuomba Kuja Bariadi, Hatuna Uwezo wa Kurudisha Fedha za Mwenge – Madereva

Posted: 15 Oct 2016 11:50 PM PDT

Hatukuomba Kuja Bariadi, Hatuna Uwezo wa Kurudisha Fedha za Mwenge – Madereva Madereva na wasidizi wa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mbalimbali waolikuwa tayari wameshafika mkoani Simiyu kwaajili ya kusherehekea kilele cha mbio za mwenge, wameeleza kuumizwa na agizo la Rais John Magufuli la kurejesha fedha za kujikimu.

Upepo Mkali Waezua Nyumba 44 Musoma

Posted: 15 Oct 2016 11:49 PM PDT

Upepo Mkali Waezua Nyumba 44 Musoma Upepo mkali ukiambatana na mvua umeezua nyumba 44 katika Kijiji cha Kiemba Kata ya Ifulifu, Wilaya ya Musoma mkoani Mara. Kati ya nyumba hizo, tano ziliathirika vibaya kiasi cha kusababisha wamiliki wake kulala nje. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alikagua baadhi ya

Maalim Seif afunguka kuhusu Profesa Lipumba.....Asema Kinachofanyika Hivi sasa ni Mkakati wa Kuizuia CUF Kudai Haki Zanzibar

Posted: 15 Oct 2016 11:49 PM PDT

Maalim Seif afunguka kuhusu Profesa Lipumba.....Asema Kinachofanyika Hivi sasa ni Mkakati wa Kuizuia CUF Kudai Haki Zanzibar Katibu mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ambaye amekuwa kimya kuzungumzia sakata linaloendelea ndani ya chama hicho likimuhusisha Profesa Ibrahim Lipumba, jana aliondoa ukimya na kueleza kuwa

Dc Makete Atoa Maagizo Mazito Kwa Walimu Wanaotembea Na Wanafunzi

Posted: 15 Oct 2016 11:12 PM PDT

Dc Makete Atoa Maagizo Mazito Kwa Walimu Wanaotembea Na Wanafunzi Katika kuadhimisha miaka 17 ya kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere, wanafunzi wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kusoma kwa bidii kwa kuwa taifa linawategemea ikiwemo kuja kushika nyadhifa mbalimbali baada ya kuhitimu masomo yao

Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Kisutu Yachimbika

Posted: 15 Oct 2016 11:12 PM PDT

Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Kisutu Yachimbika Barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka katika kituo cha Kisutu,kilichopo katika Makutano ya barabara ya Libya na Morogoro,Mtaa wa Mtendeni,Kata ya Kisutu,Manispaa ya Kinondoni,Dar Es Salaam,inaendelea kuchimbika kufuatia sababu mbalimbali ikiwemo kinachoonekana kama mamlaka

Simba Yaipa Kichapo Kagera Suger 2 - 0 Uwanja wa Uhuru Jijini Dar leo

Posted: 15 Oct 2016 10:58 PM PDT

Simba Yaipa Kichapo Kagera Suger 2 - 0 Uwanja wa Uhuru Jijini Dar leo Simba imezidi kujichimbia kileleni baada ya kuichapa Kagera Sugar kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Simba iemfikisha pointi 23 kileleni baada ya ushindi huo wa mabao yake yaliyofungwa na

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 17, 2016, 11:05:26 PM10/17/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Wakuu wa Wilaya 'Washindana' Kuwaweka Ndani Wanasiasa

Posted: 17 Oct 2016 10:49 AM PDT

Wakuu wa Wilya 'Washindana' Kuwaweka Ndani Wanasiasa Wakuu wa wilaya mbalimbali nchini wameanza kuwasweka mahabusu baadhi ya watendaji na wanasiana ambao wanakwenda kinyume na maagizo yao ili kurejesha uwajibikaji katika maeneo yao. Sheria ya Tawala za Mikoa ya mwaka 1997, kifungu cha 15 (1) inawapa mamlaka wakuu wa mikoa na

Stan Bakora Ajibu Mapigo Kwa Barakah The Prince

Posted: 17 Oct 2016 10:48 AM PDT

Stan Bakora Ajibu Mapigo Kwa Barakah The Prince Mchekeshaji maarufu Stan Bakora amefunguka juu ya povu lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya kuachia parody ya wimbo 'Nisamehe'. Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan amesema kuwa kama asingefanya vile video ingekuwa ya kawaida tu na isingeleta

Mwimbaji Koffi Olomide Achukua Dakika Moja Kuwaomba Msamaha Wakenya Kwa Kumpiga Mwanamke

Posted: 17 Oct 2016 10:48 AM PDT

Mwimbaji Koffi Olomide Achukua Dakika Moja Kuwaomba Msamaha Wakenya Kwa Kumpiga Mwanamke Mwanamuziki wa Congo Koffi Olomide ambaye mwezi July aliwasili  Nairobi Kenya  akiwa na wanamuziki wake pamoja na dancers wake kwa ajili ya show na baadae kuripotiwa kukamatwa kwa tuhuma za kumshambulia dancer wake wa kike ni baada ya kusambaa

Nyumba Aliyosema Barakah The Prince Anajenga ni ya Mama yake Naj, Kwa Mujibu wa Msanii Aliyeoa Kwa Akina Naj

Posted: 17 Oct 2016 10:48 AM PDT

Nyumba Aliyosema Barakah The Prince Anajenga ni ya Mama yake Naj, Kwa Mujibu wa Msanii Aliyeoa Kwa Akina Naj Kwa wengi haikuwa rahisi kuamini maneno ya Barakah The Prince kuwa anamalizia kujenga mjengo wake aliouonesha kwenye Instagram. Ni kwa sababu ujenzi si suala la lelemama na linaloweza kutokea kwa usiku mmoja

Walimu Waipa Serikali Siku 15 Ilipe Madeni Yao

Posted: 17 Oct 2016 10:47 AM PDT

Walimu Waipa Serikali Siku 15 Ilipe Madeni Yao Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa siku 15 kwa Serikali kumaliza madai yao ya muda mrefu vinginevyo watachukua maamuzi magumu. Rais wa CWT, Gratian Mukoba amesema kuwa uvumilivu wao umeelekea kufikia ukingoni kwani wamekuwa wakikaa mezani na Serikali mara kwa mara na

Beyonce Aongoza List ya Mastaa Anaolipwa Pesa Nyingi Kufanya Show

Posted: 17 Oct 2016 10:47 AM PDT

Beyonce Aongoza List ya Mastaa Anaolipwa Pesa Nyingi Kufanya Show Mastaa wa muziki nchini Marekani kila siku wanazidi kutengeneza pesa kutokana na kazi zao ikiwemo mikataba ya showz mbalimbali wanazozifanya. Ili kuhakikisha haupitwi na chochote mtu wangu nakusogezea hii kuhusu kiasi cha pesa wanacholipwa mastaa wakubwa

Mungai:Kikwete Alinitosa ili Kuwafurahisha Walimu..Magazeti ya Leo

Posted: 17 Oct 2016 10:46 AM PDT

Mungai:Kikwete Alinitosa ili Kuwafurahisha Walimu..Magazeti ya Leo Mungai:Kikwete Alinitosa ili Kuwafurahisha Walimu..Magazeti ya Leo

Jackline Wolper Kuhusu Wanaosema Ana Mimba ya Miezi Mitatu…

Posted: 17 Oct 2016 10:46 AM PDT

Jackline Wolper Kuhusu Wanaosema Ana Mimba ya Miezi Mitatu… Ni October 16 2016 ambapo msanii kutoka kwenye tasnia ya Filamu Jackline Wolper  aliingia kwenye kikaango cha mashabiki wake baada ya kupost picha ikionesha ana ujauzito huku wengi wakiwa na maswali tofauti. Sasa basi staa huyo aliamua kuyaandika haya

Afande Aitolea Ufafanuzi Picha Aliyopiga na Makamu wa Rais Samia Baada ya Watu Kudhani Ameondoka ACT

Posted: 17 Oct 2016 10:46 AM PDT

Afande Aitolea Ufafanuzi Picha Aliyopiga na Makamu wa Rais Samia Baada ya Watu Kudhani Ameondoka ACT Kitendo cha Afande Sele kupiga picha weekend hii akizungumza mbele ya Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan mkoani Morogoro, kiliibua tetesi katika mitandao ya kijamii zikidai huwenda mwanachama huyo wa ACT amekitosa

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Posted: 17 Oct 2016 09:55 AM PDT

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha? Dalili za Mke anayetoka nje ya ndoa: 1) Anatembea na vidonge vya majira kwenye mkoba wake, wakati mume amefanyiwa Vasectomy (Kufunga kizazi kwa mwanaume) 2) Anakuwa na namba ya siri ya simu ambayo mume haijui 3) Anatumia muda

Mtatiro amwambia Gavana Benki Kuu Tanzania "Mungu anakuona"

Posted: 17 Oct 2016 09:54 AM PDT

Mtatiro amwambia Gavana Benki Kuu Tanzania "Mungu anakuona" Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro ameandika haya kupitia ukurasa wake wa facebook Gavana Benno Ndulu, Mungu anakuona! Ukweli utakuweka huru, hali ya uchumi wa nchi yetu ni mbaya mno. Unapaswa kuwaeleza Watanzania ukweli huo na kushauri njia za

NORA: Niliingia Vitani na Johari, Kisa Mapenzi!

Posted: 16 Oct 2016 08:41 PM PDT

NORA: Niliingia Vitani na Johari, Kisa Mapenzi! KUTOKA moyoni! Bila kumtaja mwanaume husika, mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro 'Nora'amekiri kuwahi kuingia vitani na staa mwenzake, Blandina Chagula 'Johari' kisa kikiwa ni kugombeapenzi la mwanaume mmoja maarufu jijini Dar (jina ni siri yake). Katika mahojiano

Orodha ya Marais 10 Kutoka Nchi za Afrika Wanaoongoza Kwa Kuwa na Kiwango Kikubwa cha Elimu

Posted: 16 Oct 2016 08:41 PM PDT

Orodha ya Marais 10 Kutoka Nchi za Afrika Wanaoongoza Kwa Kuwa na Kiwango Kikubwa cha Elimu Orodha ya Marais 10 kutoka nchi za Afrika wanaoongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa cha elimu. 10) Ellen Johnson Sirleaf (Liberia) Elimu: Master of Public Administration (M.P.Adm.), Bachelor of Economics (BEc),

Mange Kimambi Aikosoa Ziara ya January Makamba Studio ya Wasafi Records, Adai Ameenda Kumpoza

Posted: 16 Oct 2016 08:40 PM PDT

Mange Kimambi Aikosoa Ziara ya January Makamba Studio ya Wasafi Records, Adai Ameenda Kumpoza Siku kadhaa zilizopita Mh January Makamba alitembelea Studio ya Wasafi inayomilikiwa na Msanii Diamond Platnumz, Watu mbali mbali wametoa maoni yao akiwemo na Mange Kimambi ambaye ameandika haya hapa chini kuhusu ziara hiyo:

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 18, 2016, 10:52:05 PM10/18/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


BREAKIN NEWZZ!!!:- MTANGAZAJI HUYU ALIYEMUHOJI MGOMBEA URAIS MTATA WA AMERICA AFUKUZWA KAZI MARA MOJA LIVE!!

Posted: 18 Oct 2016 09:47 AM PDT

BREAKIN NEWZZ!!!:- MTANGAZAJI HUYU ALIYEMUHOJI MGOMBEA URAIS MTATA WA AMERICA AFUKUZWA KAZI MARA MOJA LIVE!! Shirika la utangazaji la NBC nchini Marekani limemfuta kazi

BREAKIN NEWZZZ:- HATIMAYE CHINA YAIPITA MAREKANI KWA UCHUMI DUNIANI BAADA YA MIAKA 150 LIVE!!

Posted: 18 Oct 2016 09:46 AM PDT

BREAKIN NEWZZZ:- HATIMAYE CHINA YAIPITA MAREKANI KWA UCHUMI DUNIANI BAADA YA MIAKA 150 LIVE!! China 'overtakes U.S. as the the world's largest economy': IMF says economy is now worth £11 trillion as America falls into second place for the first time since 1872

Mamilioni ya Simba na Yanga yashikiliwa Selcom

Posted: 18 Oct 2016 08:51 AM PDT

Mamilioni ya Simba na Yanga yashikiliwa Selcom KAMPUNI ya Selcom Tanzania Limited inashikilia zaidi ya Sh. Milioni 130 za mapato ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Oktoba 1, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hiyo ni baada ya kuondolewa kwa makato mengine yote muhimu

DC Kinondoni 'Awatia Ndani' Watendaji Kwa Uzembe

Posted: 18 Oct 2016 08:50 AM PDT

DC Kinondoni 'Awatia Ndani' Watendaji Kwa Uzembe Mkuu  Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi amewaweka ndani kwa saa 24 mkandarasi wa wilaya ya Kinondoni Abdul Digaga na Maafisa watendaji wa 4 wa kata ya Mikocheni kwa kushindwa kutekeleza maagizo yake na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo. wa Mhe Hapi

Roma Asababisha Kushushwa Kwa Stamina Jukwaani Fiesta ...Stamina Afunguka Haya

Posted: 18 Oct 2016 08:50 AM PDT

Roma Asababisha Kushushwa Kwa Stamina Jukwaani Fiesta ...Stamina Afunguka Haya September 18 ndio siku ambayo mvua ya burudani ya Fiesta 2016 ilikuwa inashuka katika uwanja wa Jamhuri Stadium mjini Morogoro. Usiku huo jambo ambalo lilimake headlines kinomanoma ni kitendo cha wasanii wawili Roma Mkatoliki na Stamina

Z Anto Aeleza Kwanini Amekataa ofa ya Kujiunga na WCB ya Diamond

Posted: 18 Oct 2016 08:49 AM PDT

Z Anto Aeleza Kwanini Amekataa ofa ya Kujiunga na WCB ya Diamond Msanii wa muziki ambaye aliwahi kufanya vizuri na wimbo 'Binti kiziwi', Z Anto amefunguka na kusema kuwa mpaka sasa kuna label zaidi ya nne ambazo zinamuhitaji kufanya naye kazi lakini amekataa kufanya nao kazi. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa yupo kimya

Wanasayansi Kuanzisha Nchi Mpya Angani...Watu 50,000 Watuma Maombi Kuhamia Huko

Posted: 18 Oct 2016 08:47 AM PDT

Wanasayansi Kuanzisha Nchi Mpya Angani...Watu 50,000 Watuma Maombi Kuhamia Huko Wanasayansi hao wanataka kuunda taifa anga za juu ambalo litaitwa Asgardia Kundi la wanasayansi mjini Vienna, Austria wameanzisha mpango wa kuunda taifa la amani la aina yake ambalo litakuwa na jina Asgardia. Taifa hilo

Wanafunzi UDSM Waitupia Lawama Bodi ya Mikopo

Posted: 18 Oct 2016 08:44 AM PDT

Wanafunzi UDSM Waitupia Lawama Bodi ya Mikopo Mwisho mwa wiki iliyopita wizara ya elimu ilitangaza majina ya wanafunzi watakaopata mikopo na vigezo vilivyotumika ikiwemo wanafunzi waliosoma masomo ya sayansi, walemavu, yatima, pamoja na ufaulu wa waombaji huku vigezo hivyo vikiwaacha nje wanafunzi wanaochukua masomo ya sanaa.

Harufu Soko la Samaki Feri Imekuwa Kero..Wateja Wakimbia

Posted: 18 Oct 2016 08:43 AM PDT

Harufu Soko la Samaki Feri Imekuwa Kero..Wateja Wakimbia Mkuu wa Wilaya ya Ilala,Sophia Mjema amesema harufu mbaya inayotoka kwenye soko la samaki la feri inasababisha baadhi ya wateja wasifike sokoni hapo kununua samaki. Akikabidhi bodi mpya ya soko hilo, Mjema amesema wateja wasipofika kununua samaki mapato ya soko

Q Chief Ajutia Kujiingiza Kwenye Madawa ya Kulevya..

Posted: 18 Oct 2016 08:42 AM PDT

Q Chief Ajutia Kujiingiza Kwenye Madawa ya Kulevya.. Ikiwa ni mwaka mmoja toka msanii wa muziki, Q Chief akiri kutumia Madawa ya kulevya na kuamua kuacha mwenyewe, muimbaji huyo bado anaumia akikumbuka jinsi Madawa ya kulevya yalivyomwaribia maisha yake. Muimbaji huyo ambaye mpaka sasa bado ana mashabiki wengi katika

Oh dear! See how two men started shooting at themselves after talking at a gas station

Posted: 18 Oct 2016 01:19 AM PDT

Oh dear! See how two men started shooting at themselves after talking at a gas station The video is chilling. Watch after the cut... A video posted by Badguy Toba (@badguytoba) on Oct 13, 2016 at 7:19am PDT

Mary J. Blige's estranged husband demands almost $130K per month in spousal support

Posted: 18 Oct 2016 01:16 AM PDT

Mary J. Blige's estranged husband demands almost $130K per month in spousal support Mary J. Blige's estranged husband, Martin Isaacs, is demanding a whole lot of money from her for a monthly spousal support as part of their divorce settlement. Martin Isaacs who was Mary J's manager, filed for temporary spousal

Man who shot at George Zimmerman gets 20-year prison term

Posted: 17 Oct 2016 11:48 PM PDT

Man who shot at George Zimmerman gets 20-year prison term A Florida man, 37 year old Matthew Apperson, who was convicted of shooting at George Zimmerman was sentenced Monday to 20 years in prison. A Seminole County jury found Apperson guilty last month of attempted second-degree murder, armed aggravated assault and shooting into a

Azealia Banks shares nude photo of herself in bed, talks about losing a bag of weed (+18)

Posted: 17 Oct 2016 11:47 PM PDT

Azealia Banks shares nude photo of herself in bed, talks about losing a bag of weed (+18) Rapper Azealia Banks shared this nude photo of herself on Facebook and complained about how she lost a bag of weed the night before. See the full nude photo and her full post after the cut...

Magazeti leo jumanne 18/10/2016

Posted: 17 Oct 2016 11:23 PM PDT

Magazeti leo jumanne 18/10/2016

Ruby Ampoza Vanessa Mdee Kwa Maneno Haya Baada ya Kukosa Tuzo

Posted: 17 Oct 2016 10:30 PM PDT

Ruby Ampoza Vanessa Mdee Kwa Maneno Haya Baada ya Kukosa Tuzo Ruby amemwandikia ujumbe wa kumsifia na kumtia moyo Vanessa Mdee baada ya kukosa tuzo ya Afrimma 2016 zilizofanyika wikiendi hii huko Dallas, Marekani. Muimbaji huyo mwenye sauti ya dhahabu kupitia mtandao wake wa Instagram ameandika: Tuzo

Nataka Kuwa Mcha Mungu, Maisha ya Kuendekeza Dunia Nimeyachoka – Shamsa Ford

Posted: 17 Oct 2016 10:30 PM PDT

Nataka Kuwa Mcha Mungu, Maisha ya Kuendekeza Dunia Nimeyachoka – Shamsa Ford Malkia wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anataka kujikita zaidi kwenye ibada ya kufanya mambo ambayo yanampendeza mwenyezi Mungu. Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa Mwigizaji huyo

Stori Mpya Kuhusu Sababu ya Scorpion Kumtoboa Mtu Macho

Posted: 17 Oct 2016 10:30 PM PDT

Stori Mpya Kuhusu Sababu ya Scorpion Kumtoboa Mtu Macho Makala hii imeanza kuzunguka katika mitandao mbalimbali ya kijamii leo asubuhi ikielezwa kutoka kwa mkazi wa Buguruni anayesema anakifahamu vyema kisa cha Scorpion kumtoaboa macho mkazi wa Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina la Said Ally. Katika habari zilizotolewa na

PICHA: Wasichana 21 Waliokuwa Wametekwa na Boko Haram Walivyokutana na Familia zao

Posted: 17 Oct 2016 10:29 PM PDT

PICHA: Wasichana 21 Waliokuwa Wametekwa na Boko Haram Walivyokutana na Familia zao Aprili 2014 zaidi ya wasichana 270 walitekwa wakiwa shuleni katika mji wa Chibok na wapiganaji wa Boko Haram, mpaka leo ikiwa ni baada ya zaidi ya miaka miwili tangu kutekwa kwa wasichana hao, Alhamisi ya October 13, 2016  

Jambazi Awajeruhi Kwa Bomu Askari na Raia Wanne Kigoma

Posted: 17 Oct 2016 10:29 PM PDT

Jambazi Awajeruhi Kwa Bomu Askari na Raia Wanne Kigoma Polisi na raia wanne wamejeruhiwa kwa bomu la kutupwa kwa mkono walipokuwa wakimkamata mtuhumiwa wa ujambazi kwenye Kijiji cha Uvinza mkoani Kigoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 14. Alimtaja mtuhumiwa huyo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Afikishwa Mahakamani Kwa Kosa La Kumtishia Bastola Askari wa Usalama Barabarani (Trafiki)

Posted: 17 Oct 2016 10:29 PM PDT

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Afikishwa Mahakamani Kwa Kosa La Kumtishia Bastola Askari wa Usalama Barabarani (Trafiki) Ilikuwa kama mchezo wa kuigiza kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Emmanuel Mkumbo kufikishwa ili apandishwe kizimbani

Watu 13 Kizimbani Kwa Mauaji ya Watafiti Dodoma

Posted: 17 Oct 2016 10:28 PM PDT

Watu 13 Kizimbani Kwa Mauaji ya Watafiti Dodoma Wanawake wanne na wanaume tisa wamefikishwa mahakamani mjini Dodoma na kusomewa mashtaka ya mauaji ya watafiti wa Chuo cha Utafiti wa Udongo na Maendeleo ya Ardhi kilichopo Selian mkoani Arusha. Mbele ya Hakimu Mkazi, Joseph Fovo washtakiwa hawakutakiwa kujibu

Serikali imeyasainisha mikataba ya kujiendesha kwa faida Mashirika 12 ya Umma.......Yatakayojiendesha kihasara kuchukuliwa hatua.

Posted: 17 Oct 2016 10:28 PM PDT

Serikali imeyasainisha mikataba ya kujiendesha kwa faida Mashirika 12 ya Umma.......Yatakayojiendesha kihasara kuchukuliwa hatua. Taasisi na Mashirika ya Umma nchini yametakiwa kujiendesha kwa faida huku yakiwa na mtazamo wa kiushindani na makampuni yaliyo chini ya sekta binafsi na kwamba hakuna sababu yoyote kwa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 19, 2016, 11:22:36 PM10/19/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Mahakama Yamfutia Shtaka la Unyang’anyi wa Kutumia Silaha Scorpion

Posted: 19 Oct 2016 07:53 AM PDT

Mahakama Yamfutia Shtaka la Unyang'anyi wa Kutumia Silaha Scorpion Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam leo imemfutia shtaka la  unyang'anyi wa kutumia silaha, Salum Njwete maarufu kwa jina la Scorpion baada ya upande wa mashtaka kuomba shtaka hilo liondolewe mahakamani hapo kwa sababu hawana nia ya kuendelea na

NEWZ ALERT: TAARIFA IPUUZWE SIO YA KWELI

Posted: 19 Oct 2016 07:49 AM PDT

NEWZ ALERT: TAARIFA IPUUZWE SIO YA KWELI Kuna taarifa ambayo imesambazwa katika mitandano mbalimbali ya kijamii  leo hii kutoka IKULU, kama inavyoeleza hapo juu,si ya ukweli,mnaombwa muipuuze,ni taarifa iliotengenezwa na baadhi ya watu wenye nia ovu ya kupotosha ukweli,hivyo mnaombwa

NEWZ ALERT: TAARIFA IPUUZWE SIO YA KWELI

Posted: 19 Oct 2016 07:49 AM PDT

NEWZ ALERT: TAARIFA IPUUZWE SIO YA KWELI Kuna taarifa ambayo imesambazwa katika mitandano mbalimbali ya kijamii  leo hii kutoka IKULU, kama inavyoeleza hapo juu,si ya ukweli,mnaombwa muipuuze,ni taarifa iliotengenezwa na baadhi ya watu wenye nia ovu ya kupotosha ukweli,hivyo mnaombwa

Mr Bond Amjibu Auntylulu ' Nilipokuwa na Wewe Ulinikondosha Kwa Kero Nikawa Kama Mbuzi"

Posted: 19 Oct 2016 01:07 AM PDT

Mr Bond Amjibu Auntylulu ' Nilipokuwa na Wewe Ulinikondosha Kwa Kero Nikawa Kama Mbuzi" Bond Amjibu Auntylulu kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Ameandika haya hapa chini baada ya Aunty Lulu Kudai alimuokota jalalani, kumlea na kumtafutia kazi ya kufanya Dar es Salaam.. ____ From bond_bin_sinnan  "Dah hii dunia hii

Aunty Lulu Awachana Mr Bond na Wastara...Adai Alimuokota Mr Bond Jalalani na Kumlea

Posted: 19 Oct 2016 01:06 AM PDT

Aunty Lulu Awachana Mr Bond na Wastara...Adai Alimuokota Mr Bond Jalalani na Kumlea Bifu Jipya mjini.....Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Mr Bond Aunty Lulu ameibuka pasipo julikana na kuanza kuwashambulia kwa maneno Mr Bond na Mpenzi wake Wastara... Ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram:

Kama ni Rahisi Kununua Tuzo, Wanaosema Hivyo na Wao Wakanunue – Babutale

Posted: 19 Oct 2016 01:03 AM PDT

Kama ni Rahisi Kununua Tuzo, Wanaosema Hivyo na Wao Wakanunue – Babutale Babutale amezijibu shutuma za baadhi ya mashabiki nchini kuwa wasanii wa WCB wamekuwa wakinunua tuzo. Akiongea na Prince Ramalove wa Kings FM, Tale alikuwa na maneno mafupi tu kuwajibu. "Kama ni rahisi na wao wakanunue," alisema

Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba Kuhusu Tuhuma za Kughushi Vyeti vya Taaluma, Kuiba Jina

Posted: 19 Oct 2016 12:14 AM PDT

Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba Kuhusu Tuhuma za Kughushi Vyeti vya Taaluma, Kuiba Jina Ni vema kuweka rekodi sawa: Kwanza anasema nilikuwa nanaitwa Lameck Madelu Mkumbo, sasa moja Lameck sio jina la kinyiramba, na Madelu sio jina halisi la baba bali ni utani kuwa ana ndevu nyingi, yaani ni mandevu, ndio maana hata kwenye

Wateule wa Magufuli Jifunzeni Kwake Katika Kuheshimu Michango ya Watu

Posted: 19 Oct 2016 12:00 AM PDT

Wateule wa Magufuli Jifunzeni Kwake Katika Kuheshimu Michango ya Watu Nampongeza Sana Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa uwezo wake mkubwa wa Kuheshimu Michango ya watu katika jambo fulani la kimaendeleo au tu la kijamii, nitatoa Mifano michache. 1. Wakati akiwa Waziri wa ujenzi Kule Hai eneo la Kwa Sadara palikuwa

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 20, 2016, 11:14:36 PM10/20/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Wema Sepetu a.k.a Tanzania Sweatheart Kuolewa Hivi Karibuni

Posted: 20 Oct 2016 11:41 AM PDT

Wema Sepetu a.k.a Tanzania Sweatheart Kuolewa Hivi Karibuni Kwa taarifa nilizozinyaka hivi karibuni hukooo Instagram ni kuwa kipenzi cha wengi ( najua wengi mtabisha) si mwingine mrembo wetu Miss TZ 2006 na CEO wa kampuni ya ENDLESS FAME the one & only WEMA ABRAHAM ISAC SEPETU anaolewa hivi karibuni na model anaekuja kwa

Wanahabari Mbeya kumenyana na Madiwani wa halmashauri jiji

Posted: 20 Oct 2016 08:22 AM PDT

Wanahabari Mbeya kumenyana na Madiwani wa halmashauri jiji  Na Mwandishi wetu,Mbeya. TIMU ya Soka wanahabari Mkoani Mbeya inatarajia kumenyana vikali na Timu ya Madiwani wa halmashauri katika mchezo utakaochezwa Oktoba 29 mwaka huu. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo na Burudani ya Chama Cha Waandishi wa

Wapenzi wa jinsia moja katika soka watakiwa kujitokeza

Posted: 20 Oct 2016 08:22 AM PDT

Wapenzi wa jinsia moja katika soka watakiwa kujitokeza Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Aston Villa katika ligi ya Uingereza Chris Sutton amesema kuwa wakati umefika kwa wachezaji soka wanaounga mapenzi ya jinsia moja kujitangaza. Mwenyekiti wa shirikisho la soka nchini Uingereza Greg Clarke ameiambia kamati ya

SUPER STAR LULU LEO KAWEKA WAZI SUALA LA UJAUZITO WAKE

Posted: 20 Oct 2016 12:04 AM PDT

SUPER STAR LULU LEO KAWEKA WAZI SUALA LA UJAUZITO WAKE Staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu amefunguka baadhi ya mambo ambayo watu wengi yawezekana wakawa hawayajui ikiwepo kuhusu msanii wa muziki wa Marekani, Justin Bieber kutokana na muda mrefu kuaminika kuwa amekuwa akivutiwa na mwanamuziki

SNOOP DOGGY NDIE MSANII KUTOKA NJE ATAKAYETUMBUIZA KWENYE FIESTA DAR

Posted: 20 Oct 2016 12:03 AM PDT

SNOOP DOGGY NDIE MSANII KUTOKA NJE ATAKAYETUMBUIZA KWENYE FIESTA DAR Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka

TAZAMA PICHA MPYA ZA STAA ZARI THE BOSS LADY NI BALAH!!

Posted: 20 Oct 2016 12:01 AM PDT

TAZAMA PICHA MPYA ZA STAA ZARI THE BOSS LADY NI BALAH!!

Kamati ya Bunge Yakataa faini ya 500,000/- Kwa Kila Kosa Barabarani

Posted: 19 Oct 2016 11:51 PM PDT

Kamati ya Bunge Yakataa faini ya 500,000/- Kwa Kila Kosa Barabarani Kamati  ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imekataa mapendekezo ya kufanyia marekebisho Sheria ya Leseni za Uchukuzi ya mwaka 1973 yenye lengo la kuongeza kiwango cha adhabu ya faini hadi kufikia asilimia 500 kwa watakaokiuka masharti ya leseni hizo.

Beny Kinyaiya Afungukia Ishu Ya Ushoga, Awaanika Wanaye

Posted: 19 Oct 2016 11:51 PM PDT

Beny Kinyaiya Afungukia Ishu Ya Ushoga, Awaanika Wanaye From Global Mtu Kati: Vipi katika kupigapiga 'gemu za nje', umewahi kupata mtoto au watoto? Kinyaiya: Yaah! Nina watoto wawili, wa kwanza anaitwa Ben Kinyaiya Junior, ana miaka minne na nusu na wa pili anaitwa Nilla, huyu ni wa kike na ana miaka mitatu.

Flora Mvungi Kaitaja Kashfa Ambayo Hatoisahau Maishani Mwake…

Posted: 19 Oct 2016 11:50 PM PDT

Flora Mvungi Kaitaja Kashfa Ambayo Hatoisahau Maishani Mwake… Ni headlines za msanii Flora Mvungi ambae leo October 19,  2016 amefunguka na kutaja kashfa ambayo hatoweza kuisahau maisha mwake. Mimi sio mgeni macho mwa watu na wengi wananifahamu tabia yangu ikoje na wengi wanafahamu page yangu ya

Watumia Jina la Tibaijuka Kutapeli

Posted: 19 Oct 2016 11:50 PM PDT

Watumia Jina la Tibaijuka Kutapeli MBUNGE wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka amehadharisha umma dhidi ya ukurasa uliotengenezwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook ukitumia jina lake, kuwa anakaribisha maombi ya watu wa kuajiriwa kwenye shirika linalosaidia watu kuondokana na umasikini. Profesa Tibaijuka

RC Mrisho Gambo apigiwa simu Rais Magufuli. Soma walichozungumza

Posted: 19 Oct 2016 11:50 PM PDT

RC Mrisho Gambo apigiwa simu Rais Magufuli. Soma walichozungumza Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema kuwa Rais Dkt John Pombe Magufuli amempigia simu  na kumwambia kuwa ana imani naye na kuwa hajafikiria kutengua uteuzi wake labda kumpandisha cheo. Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo alipokuwa

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Baada ya Habari Kuzagaa Ametumbuliwa

Posted: 19 Oct 2016 11:49 PM PDT

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Baada ya Habari Kuzagaa Ametumbuliwa Saa chache baada ya kusambaa taarifa zilizokanushwa na Ikulu zilizodai kuwa uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo umetenguliwa, Mkuu huyo wa Mkoa ameandika ujumbe mzito unaoonekana kuwalenga mahasimu wake. Taarifa hizo zilizothibitishwa

MREMBO LULU ABASS DIVA ASEMA HANA BIFU LOLOTE NA AMBER LULU

Posted: 19 Oct 2016 08:47 PM PDT

MREMBO LULU ABASS DIVA ASEMA HANA BIFU LOLOTE NA AMBER LULU Muuza sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abass 'Lulu Diva' (pichani juu) na mwenzake Amber Lulu (pichani chini) hawana bifu lolote isipokuwa kuna watu wana mpango wa kuwagom-banisha. Akichonga na Risasi Vibes

STAA DIAMOND PLATNUMZ ASEMA HAAMINI UCHAWI KWENYE MAFANIKIO YAKE

Posted: 19 Oct 2016 08:47 PM PDT

STAA DIAMOND PLATNUMZ ASEMA HAAMINI UCHAWI KWENYE MAFANIKIO YAKE Moja kati ya story zilizo kiki kinoma hapo jana ni ile ya Diamond Platnumz kufungua milango kwa wasanii wote wenye vipaji na wenye malengo ya kufika mbali kupitia kazi yao ya muziki kujiunga na lebo ya WCB Wasafi. Alivitaja

STAA HUDDAH ARUDI MTANDONI KWA KISHINDO HIKI(+PICHAZ)

Posted: 19 Oct 2016 08:44 PM PDT

STAA HUDDAH ARUDI MTANDONI KWA KISHINDO HIKI(+PICHAZ)

STAA LULU MICHAEL ATAJA LIST YA WASANII ANAOWAKUBALI ZAIDI BONGO

Posted: 19 Oct 2016 08:44 PM PDT

STAA LULU MICHAEL ATAJA LIST YA WASANII ANAOWAKUBALI ZAIDI BONGO Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu amewataja wasanii watatu anaowakubali kwenye muziki wa Bongo Fleva. Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa

Magazeti leo Alhamis 20/10/2016

Posted: 19 Oct 2016 08:40 PM PDT

Magazeti leo Alhamis 20/10/2016

Wema Sepetu, Jackline Wolper, Bosi wa GSM ndani ya China kunani?

Posted: 19 Oct 2016 08:39 PM PDT

Wema Sepetu, Jackline Wolper, Bosi wa GSM ndani ya China kunani? Kwenye Instagram zao mastaa hao wamepost waki safiri toka dar siku moja na wote wamepost picha wakiwa dubai same day then wote wamepost wakiwa china same place Canton Kama Picha zinavyoonesha Location ila hawajapiga picha pamoja.. Ambapo mdogo

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 21, 2016, 10:59:10 PM10/21/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Ndege sita kubwa kutua na Mfalme wa Morocco Oktoba 23

Posted: 21 Oct 2016 10:42 AM PDT

Ndege sita kubwa kutua na Mfalme wa Morocco Oktoba 23 Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii NDEGE sita kufunika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius K. Nyerere katika ujio wa Mfalme wa Morocco Mohamed Vi akiongozana na wafanyabiashara 1000. Akizungumza

Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

Posted: 21 Oct 2016 05:29 AM PDT

Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500 Waziri wa elimu sayansi na teknolojia Prof. Ndalichako amewatupia lawama bodi ya mkopo elimu ya juu kuwa wanafanya kazi kwa mazoea. Amesema pamoja na kutumia jitiada za kusafisha watumishi bodi hiyo amesema wapo watumishi bado

Kanye West Amchana Jay Z: Our Kids Ain’t Never Even Played Together’

Posted: 21 Oct 2016 05:28 AM PDT

Kanye West Amchana Jay Z: Our Kids Ain't Never Even Played Together' Nilikuwa nategemea kuna siku kama hii itafika. Tangu Jay Z na Beyonce watose kuhudhuria harusi ya Kanye West na Kim Kardashian miaka miwili iliyopita, urafiki wa Yeezy na Hov uliingia matatani. Wawili hao kila mmoja amekuwa na maisha yake na

Afrika Kusini yaanzisha mchakato wa kujiondoa ICC

Posted: 20 Oct 2016 11:21 PM PDT

Afrika Kusini yaanzisha mchakato wa kujiondoa ICC Makao makuu ya ICC, Hague, Uholanzi. Baadhi ya nchi za Afrika zimeanza kujiondoa katika uanachama wa Mahakam ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC). Siku nne baada ya rais wa Burundi kusaini sheria ya kuindoa nchi yake katika Mahakama ya Kimataifa

Rammy Galis:Nilikaribishwa Freemason Nikakataa

Posted: 20 Oct 2016 11:19 PM PDT

Star wa Bongo Movie Rammy Galis amefunguka na kukiri kuwa kuna watu hususani wasanii wanaojihusisha na kundi la Freemason na kwamba yeye mwenyewe aliwahi kualikwa kwa njia ya simu yake ya mkononi ajiunge na kundi hilo lakini alikataa. Akizungumza katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV,

Singeli Imenipa Nyumba na Gari – Man Fongo

Posted: 20 Oct 2016 11:18 PM PDT

Singeli Imenipa Nyumba na Gari – Man Fongo Msanii wa muziki wa Singeli nchini Man Fongo amefunguka na kusema anashangaa mafanikio makubwa ambayo ameyapata ndani ya muda mfupi kupitia muziki wa Singeli hususani kupitia kazi yake ya 'Hainaga ushemeji' ambayo imemtambulisha vyema kwa jamii. Man Fongo kupitia kipindi cha

Hawa Ndio Wasanii 3 Ambao Lulu Anawakubali Kwenye Bongo Fleva

Posted: 20 Oct 2016 11:12 PM PDT

Hawa Ndio Wasanii 3 Ambao Lulu Anawakubali Kwenye Bongo Fleva Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu amewataja wasanii watatu anaowakubali kwenye muziki wa Bongo Fleva. Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza "wasanii

Juma Nature: Kuna Watu Wanahonga Ili Ngoma Zangu Zisipigwe

Posted: 20 Oct 2016 11:11 PM PDT

Juma Nature: Kuna Watu Wanahonga Ili Ngoma Zangu Zisipigwe Ukizungungumzia historia ya muziki wa Bongo Flava, haiwezi kukamilika bila kulitaja jina la mkongwe Juma Kassim Nature aliyewahi kutamba ngoma kama 'Jinsi Kijana', 'Hili Game' na zingine kibao. Hatimaye mkongwe huyo amaibuka na kudai kuwa kuna watu wanahonga

Feza Kessy Anahisi Nando Anadata ‘Atafutwe na Asaidiwe’

Posted: 20 Oct 2016 11:00 PM PDT

Feza Kessy Anahisi Nando Anadata 'Atafutwe na Asaidiwe' Staa aliyewahi kuiwakilisha Tanzania katika shindano la Big Brother Africa, Feza Kessy, amesema kuwa anaamini Nando aliyewahi kushiriki naye kwenye shindano hilo, amepatwa na tatizo au anaugua kwakuwa tabia anazozionyesha zinampa mashaka. Akiongea kwenye kipindi cha

MAUA SAMA: NIPO TAYARI KUFANYA KAZI NA LABEL YENYE MAFANIKIO

Posted: 20 Oct 2016 09:59 PM PDT

MAUA SAMA: NIPO TAYARI KUFANYA KAZI NA LABEL YENYE MAFANIKIO Muimbaji wa Mahaba Niue, Maua Sama amedai kuwa anaweza kufanya kazi na label yoyote ile inayofanya vizuri na yenye mafanikio yanayoonekana. Hata hivyo ameongeza kuwa kwa sasa yupo chini ya usimamizi wa THT na kwamba si

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 22, 2016, 11:06:25 PM10/22/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Msamii Amjibu Baraka The Prince..Adai yeye ni Expensive Sana Level zake Kina Kajala na Wolper

Posted: 22 Oct 2016 11:51 AM PDT

Msamii Amjibu Baraka The Prince..Adai yeye ni Expensive Sana Level zake Kina Kajala na Wolper Msanii wa muziki na mwalimu wa dance, Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake 'Step by Step' amesema Barakah The Prince bado hana nguvu ya kuwa mume wala kuwa mchumba wa Najma.

MPENZI Mpya wa Wema Sepetu Afunguka, Adai Hamjui Idris Sultan

Posted: 22 Oct 2016 11:51 AM PDT

MPENZI Mpya wa Wema Sepetu Afunguka, Adai Hamjui Idris Sultan Model anayedaiwa kutoka kimapenzi na malkia wa filamu Wema Sepetu, Calisah amefunguka na kuzungumzia tetesi hizo ambazo zimekuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii. Kijana huyo ambaye tayari ameshaonekana mara kadhaa katika baadhi

MREMBO ASA BABY AACHIA PICHA ZA NUSU UTUPU MTANDAONI

Posted: 22 Oct 2016 12:07 AM PDT

MREMBO ASA BABY AACHIA PICHA ZA NUSU UTUPU MTANDAONI

PICHA YA MZAZI ALIYEMCHOMA MTOTO WAKE SINDANO NA KUMWAMBUKIZA UKIMWI

Posted: 22 Oct 2016 12:07 AM PDT

PICHA YA MZAZI ALIYEMCHOMA MTOTO WAKE SINDANO NA KUMWAMBUKIZA UKIMWI Bryan Jackson, mtoto aliyechomwa sindano iliyokuwa na damu yenye virusi vya HIV na Baba yake akiwa mchanga, huku baba huyo akiwa na matumaini kwamba hatamuona akikuwa na kwamba atafariki.Hakuna mtu aliwahi kudhani kwamba miaka 24

Vera Sidika Shame photo of the day

Posted: 22 Oct 2016 12:05 AM PDT

Vera Sidika Shame photo of the day Vera Sidika before and after bleaching her skin They say, "you are not ugly, you are just broke". Every time I look at Vera Sidika, I get inspired. This chic went from an average betty to becoming the 'it girl'! People say "don't bleach your skin, it's

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 23, 2016, 10:59:10 PM10/23/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


UMESIKIA HII? SAIDA KAROLI SASA HATAKI TENA KUIMBA NYIMBO ZA KIHAYA

Posted: 23 Oct 2016 10:56 AM PDT

UMESIKIA HII? SAIDA KAROLI SASA HATAKI TENA KUIMBA NYIMBO ZA KIHAYA MWIMBAJI wa nyimbo za asili ya kabila la Kihaya, Saida Karoli amesema kuwa kwa sasa hawezi kuimba nyimbo zake kwa lugha hiyo ya Kihaya tu kwa madai kwamba mashabiki wake ni wa makabila mbalimbali. "Sio makabila tu bali

Kisa Cha Mama Mkwe wa Mwendokasi Alivyookoa Ndoa Isivunjike

Posted: 23 Oct 2016 10:36 AM PDT

Kisa Cha Mama Mkwe wa Mwendokasi Alivyookoa Ndoa Isivunjike Tafadhali WANAUME wenzangu naomba usome kisa hiki kwa makini sana. Usipuuze. "Mpaka sasa hivi bado anaendelea kukupiga?" Mama John alimuuliza mkwe wake." Ndiyo mama tena amezidi, yaani kila siku nimekuwa kama ngoma, nimechoka Mama nibora nirudi kwetu, kwetu sijaua

PROF JAY ASEMA NI MUHIMU MSANII KUSOMA ISHARA ZA NYAKATI KULIKO KUBWETEKA

Posted: 23 Oct 2016 09:09 AM PDT

PROF JAY ASEMA NI MUHIMU MSANII KUSOMA ISHARA ZA NYAKATI KULIKO KUBWETEKA RAPA mkongwe, Joseph haule "Prof Jay" amesema kuwa ni muhimu kwa msanii kusoma ishara za nyakati na kwenda kulingana na mazingira, badala ya kubweteka tu na kujikuta akipitwa na wakati. Alisema kuwa yeye ameliona

Je ni Kweli Mwanaume Ukiwa na Gari Utawanasa Wadada Wengi Mjini?

Posted: 23 Oct 2016 08:57 AM PDT

Je ni Kweli Mwanaume Ukiwa na Gari Utawanasa Wadada Wengi Mjini? Mwanaume hata uwe mzuri wa sura kivipi lakini huna gari na vijisenti kidogo mfukoni, hakika utasumbuka sana kutongoza na kukubaliwa kirahisi na mwanamke. Bila kumumunya maneno wala nini, ni ukweli usiofichika kuwa wanawake wengi wamekuwa dhaifu sana punde

Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume

Posted: 23 Oct 2016 08:57 AM PDT

Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe wenzangu nione mnishauri nini Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE sasa,tuna mtoto mmoja,nina Mdogo wangu,

Crazy GK Adai Kweli Alikiba ni Mfalme wa Mziki....

Posted: 23 Oct 2016 08:54 AM PDT

Crazy GK Adai Kweli Alikiba ni Mfalme wa Mziki.... Mkongwe huyo wa mziki ameyasema maneno hayo katika kipindi cha MY PLAYLIST knachotushwa na clouds tv, aidha amesema kuwa Alikiba ni mwanamziki anaejielewa, mwenye sauti nzuri na anejua kuitumia vilivo, ametumia muda huo kuongelea wimbo wa AJE kwa kusema kua ni wimbo ambao hauchuji

Eddy Kenzo Awatolea Uvivu MTV Base, Adai Ameshinda ila Tuzo Akapewa Mwingine

Posted: 23 Oct 2016 08:54 AM PDT

Eddy Kenzo Awatolea Uvivu MTV Base, Adai Ameshinda ila Tuzo Akapewa Mwingine Msanii wa Uganda Eddy Kenzo asema kuna namna inafanyika kuamua washindi wa MTV Mama na si upigaji wa kura maana kwenye kipengele change yeye ndo alikuwa na kura nyingi akifuatiwa na Mr. Flavour huku alieshinda Casper nyovest alikuwa na tatu kwa wingi wa

Huyu ni Msanii Mwingine Kutoka Afrika Aliyesaini na Lebo ya Sony Music

Posted: 23 Oct 2016 08:52 AM PDT

Huyu ni Msanii Mwingine Kutoka Afrika Aliyesaini na Lebo ya Sony Music Ijumaa ya tarehe 21 October 2016, Afrika kusini ikiwa ni tawi la Sony Music Entertainment, kampuni ya masuala ya Entertainment kwa upande wa Afrika, ilitangaza kumsaini msanii mwingine ndani ya lebo hiyo, Ycee ambaye anafanya kazi na lebo ya Tinny

INSTAGRAM YAGEUKA UBAO WA MATANGAZO, CHEKI PICHA HIZI ZA WADADA

Posted: 23 Oct 2016 02:44 AM PDT

INSTAGRAM YAGEUKA UBAO WA MATANGAZO, CHEKI PICHA HIZI ZA WADADA

PROFESA NINATUBU LEMA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE (TAA)

Posted: 23 Oct 2016 12:09 AM PDT

PROFESA NINATUBU LEMA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE (TAA)

Mapigano yarejea upya Aleppo

Posted: 23 Oct 2016 12:09 AM PDT

Mapigano yarejea upya Aleppo Mapigano yamerudi upya mjini Aleppo masaa machache baada ya kumalizika muda wa usitishaji mapigano uliotangazwa na Urusi, huku Umoja wa Mataifa ukisema kuwa serikali ya Syria imetumia silaha za kemikali. Afisa mmoja wa Shirika la Msalaba Mwekundu alisema hadi sasa hakuna

SHAMBA LA MITI LUNGUZA WAZIPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI MUHEZA WAKABIDHI MADAWATI 200

Posted: 23 Oct 2016 12:09 AM PDT

SHAMBA LA MITI LUNGUZA WAZIPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI MUHEZA WAKABIDHI MADAWATI 200 Baadhi ya madawati yaliyokabidhiwa leo kwa Mkuu wa wilaya ya MuhezaHajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na upungufu wa madawati kwenye shule za msingi wilayani humo. Habari kwa Hisani ya Blog ya

Amber Lulu Afunguka Kukamatwa na Madawa ya Kulevya, Bifu na Gigy Money na Uhusiano wake na Young Dee

Posted: 23 Oct 2016 12:08 AM PDT

Amber Lulu Afunguka Kukamatwa na Madawa ya Kulevya, Bifu na Gigy Money na Uhusiano wake na Young Dee Msikilize hapa akihojiwa na mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove ambapo amezungumzia kwa mkato tetesi za kukamatwa na madawa ya kulevya, bifu na Gigy Money, uhusiano wake na Young Dee na fedha anazolipwa kufanya video.

Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba Bongo

Posted: 23 Oct 2016 12:08 AM PDT

Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba Bongo NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo mmoja ukiwa na mboga tofauti na zinazobadilishwa kila uchao. Ndio, kuna familia

Mwigizaji JB Anusurika Kifo Katika Ajili ya Gari

Posted: 23 Oct 2016 12:07 AM PDT

Mwigizaji JB Anusurika Kifo Katika Ajili ya Gari Mwigizaji wa filamu na mtayarishaji, Jacob Stephen 'JB' Ijumaa hii amenusurika kifo katika ajali ya gari. bongo Mwigizaji huyo ambaye hivi karibuni alikuwa mkoani Arusha katika shindano la Mama Shujaa, amewataka mashabiki wake kutambua kwamba anaendelea vizuri pamoja na

Yemi Alade shows off her mum at MAMA 2016

Posted: 22 Oct 2016 10:54 PM PDT

Yemi Alade shows off her mum at MAMA 2016 Yemi Alade who took her mum to MAMA 2016 in Johannesburg, South Africa showed her off as they both posed with Falzthebahdguy. More photos of Yemi at the event after the cut....

KALA JEREMIAH APATA WANANE WA “WANA NDOTO REMIX”

Posted: 22 Oct 2016 10:48 PM PDT

KALA JEREMIAH APATA WANANE WA "WANA NDOTO REMIX" WASANII wanane kati ya zaidi ya 50 waliojitokeza kwa ajili ya kushiriki katika wimbo wa "Wana Ndoto Remix", wamechaguliwa kushiriki katika wimbo huo unaorendelea kuandaliwa. Rapa Kala Jeremiah alisema baada ya kutangaza kuwa

Nimekuwekea Video Jinsi ALI KIBA Alivyoimba na Sauti Soul MTV Mama Hapa

Posted: 22 Oct 2016 10:29 PM PDT

Nimekuwekea Video Jinsi ALI KIBA Alivyoimba na Sauti Soul MTV Mama Hapa Nimekuwekea Video Jinsi ALI KIBA Alivyoimba na Sauti Soul MTV Mama Hapa Tazama Video Hapa Chini Kisha toa Maoni yako

MTV Mama Awards 2016: Watanzania Waambulia Patupu, Nigeria na South Africa Wang'ara

Posted: 22 Oct 2016 10:29 PM PDT

MTV Mama Awards 2016: Watanzania Waambulia Patupu, Nigeria na South Africa Wang'ara Usiku wa Jumamosi ya October 22 2016 Johannesburg Afrika Kusini ndio siku ambayo zilitolewa rasmi tuzo za MTV Mama 2016 kwa wasanii waliofanya vizuri kwa mwaka 2016, mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee mkusanyiko wa matukio yote kwenye videos.

'Virgin' cross dresser Bayo shares sexy photos

Posted: 22 Oct 2016 09:08 PM PDT

'Virgin' cross dresser Bayo shares sexy photos Popular cross dresser Bayo who recently made headlines for claiming he was a virgin Read here shared 'sexy' photos on his Instagram page . Go gurl!! More photos after the cut...

MTV Africa Music Awards 2016: Full list of winners

Posted: 22 Oct 2016 09:08 PM PDT

MTV Africa Music Awards 2016: Full list of winners The  2016 edition of the MTV Africa Music Awards, which took place today, October 22, 2016, at the Ticketpro Dome in Johannesburg, South Africa saw the host country dominate the list by winning six awards, while Nigeria went home with five. See the

Wayne Rooney calls out Michael Owen on Twitter, questions his loyalty

Posted: 22 Oct 2016 08:58 PM PDT

Wayne Rooney calls out Michael Owen on Twitter, questions his loyalty Liverpool on Saturday went joint top of the English Premier league after playing West Brom and Michael Owen, Wayne Rooney's one time teammate at Manchester United, who also played for Liverpool during his playing days tweeted his support for

MREMBO AKOTHEE AFUNGUKA HAYA BAADA YA KUSHINDA TUZO YA AFRIMMA

Posted: 22 Oct 2016 08:56 PM PDT

MREMBO AKOTHEE AFUNGUKA HAYA BAADA YA KUSHINDA TUZO YA AFRIMMA Mwaka huu Akothee amefanikiwa kuwatoa kimasomaso wasanii wa kike nchini Kenya kwa kuitwaa tuzo ya msanii bora wa kike Afrika Mashariki ya Afrimma zilizofanyika wiki iliyopita jijini Dallas, Marekani. Kwake, tuzo hiyo imedhihirisha kuwa

STAA IRENE UWOYA ATUPIA PICHA HIZI MTANDAONI

Posted: 22 Oct 2016 08:55 PM PDT

STAA IRENE UWOYA ATUPIA PICHA HIZI MTANDAONI

THE MAGAZETI YA BONGO LEO SUNDAY/JUMAPILI 23/10/2016 LIVE

Posted: 22 Oct 2016 08:52 PM PDT

THE MAGAZETI YA BONGO LEO SUNDAY/JUMAPILI 23/10/2016 LIVE  

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 24, 2016, 11:21:38 PM10/24/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Huyu Hapa Mpenzi Mpya wa Idriss Sultan....Wagandana Kama Ruba Huko MTV Awards

Posted: 24 Oct 2016 10:24 AM PDT

Huyu Hapa Mpenzi Mpya wa Idriss Sultan....Wagandana Kama Ruba Huko MTV Awards  Inasemekana eti Idriss na Mrembo ajulikanaye kama Sanchoka kwa sasa ni wapenzi baada ya kuonekana pamoja huko Afrika Kusini walipoenda kwa ajili ya MTV awards... Picha na Video mbali mbali wakiwa pamoja zainazagaa huku instagram

Serikali Kuwabana Wanafunzi Wanaopewa Mikopo Kwa Kipaumbele

Posted: 24 Oct 2016 10:23 AM PDT

Serikali Kuwabana Wanafunzi Wanaopewa Mikopo Kwa Kipaumbele Serikali ipo katika mkakati wa kuwabana wanafunzi wanaopewa mikopo katika fani za kipaumbele, kutumikia katika utumishi wa umma nchini kwa muda fulani ili kuhakikisha dhamira ya serikali ya inatimia. Fani hizo ni sayansi za tiba na afya, ualimu wa sayansi na

Vyakula Vinavyoongeza Hamu na Nguvu ya Kufanya Tendo la Ndoa

Posted: 24 Oct 2016 10:23 AM PDT

Vyakula Vinavyoongeza Hamu na Nguvu ya Kufanya Tendo la Ndoa Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili. Aidha wanaume 6 kati ya 10

Thomas Ulimwengu Aondoka TP Mazembe, Afuata Ndoto zake Kucheza Ulaya

Posted: 24 Oct 2016 10:22 AM PDT

Thomas Ulimwengu Aondoka TP Mazembe, Afuata Ndoto zake Kucheza Ulaya Baada ya kucheza misimu mitano kwenye klabu ya TP Mazembe, mchezaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu ameondoka kufuata ndoto zake kucheza Ulaya. Mchezaji huyo aliyekuwa akivaa jezi namba 28 na aliyepewa jina la utani 'Rambo' alichukuliwa na klabu

Mrithi wa Pluijm Asaini Miaka Miwili Yanga

Posted: 24 Oct 2016 10:22 AM PDT

Mrithi wa Pluijm Asaini Miaka Miwili Yanga Taarifa inayosambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ni ujio wa kocha mpya George Lwandamina anayetajwa kuchukua nafasi ya Babu Hans van der Pluijm kwenye kikosi cha Yanga SC. Jana iliripotiwa kocha huyo ameshatua jijini Dar kwa ajili ya kumaliza taratibu za kukabidhiwa mikoba

Unasoma Hadi PHD Hujawahi Kufanya Kazi, Una Matatizo – Mwijage

Posted: 24 Oct 2016 10:22 AM PDT

Unasoma Hadi PHD Hujawahi Kufanya Kazi, Una Matatizo – Mwijage Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amewachana vijana wanaotumia miaka mingi kuwa chuoni wakisoma hadi kufika kiwango cha PHD bila kupitia ujuzi wa kazi yoyote. Ameyasema hayo Jumatatu hii katika kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa

Muonekano wa Shilole Red Capet ya MTV Awards Wazua Gumzo Mitandaoni...

Posted: 23 Oct 2016 10:34 PM PDT

Muonekano wa Shilole Red Capet ya MTV Awards Wazua Gumzo Mitandaoni... Mrembo Shilole aka Shishi Baby amezua gumzo mitandaoni kwa vazi alilovaa kwenye red kapeti ya MTV Mama Awards zilizofanyika jumamosi iliyopita... Baada ya kutupia hiyo picha kwenye page yake hivi ndivyo watu walivyofunguka...

Ukweli Unauma, Hizi Ndio Sababu Zilizotufanya Watanzania Tukakosa Tuzo MTV Awards

Posted: 23 Oct 2016 10:33 PM PDT

Ukweli Unauma, Hizi Ndio Sababu Zilizotufanya Watanzania Tukakosa Tuzo MTV Awards Ngoja Niongee Leo Hii. Watu Wengi Wamekuwa Wakijiuliza Why Tumeshindwa Huku Wakipeleka Lawama Zote Kwa Teams Bila Hata Kuchambua KwA Kina. KwA Upande Wangu Na Akili Zangu Hizi Hizi Za Insta Ni Wengi Mno AmbaO Wanaingia Katika

Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500

Posted: 23 Oct 2016 10:33 PM PDT

Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500 Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25 na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500 zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula.

Ndalichako, Mahiga Wawavuruga Chadema..... CCM wajichagulia Meya bila mpinzani

Posted: 23 Oct 2016 09:52 PM PDT

Ndalichako, Mahiga Wawavuruga Chadema..... CCM wajichagulia Meya bila mpinzani Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimeususia uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, hali iliyopelekea wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufanya uchaguzi peke yao na kuwapigia kura wagombea wao bila

Will Smith, his wife and children pictured at an event (photos)

Posted: 23 Oct 2016 09:17 PM PDT

Will Smith, his wife and children pictured at an event (photos) The actor, 48, brought his children, Trey, Willow and Jaden Smith, and his wife, Jada Pinkett Smith to the 26th Annual Environmental Media Awards in LA yesterday. See another photo after the cut...

Twitter reacts after Chelsea thrash Man U 4-0 at Stamford Bridge

Posted: 23 Oct 2016 09:16 PM PDT

Twitter reacts after Chelsea thrash Man U 4-0 at Stamford Bridge Chelsea on Sunday beat a hapless Manchester United 4-0 on Jose Mourinho's first return to Stamford Bridge since taking over at Man United. and Twitter users didn't fail to come up with jokes, with Chelsea's  win over Man U Jose Mourinho's biggest loss of his

Father sentenced to 1,503 years in prison for raping teenage daughter

Posted: 23 Oct 2016 09:15 PM PDT

Father sentenced to 1,503 years in prison for raping teenage daughter A 41-year-old man in Fresno, Califonia was sentenced to 1,503 years in prison for raping his teenage daughter over a four-year period. The man was sentenced Friday, October 21, to the longest-known prison sentence in Fresno Superior Court history.

Photos: UAE woman pioneer Ameera Bin Karam, her mother and sister laid to rest after dying in house fire

Posted: 23 Oct 2016 09:14 PM PDT

Photos: UAE woman pioneer Ameera Bin Karam, her mother and sister laid to rest after dying in house fire Sharjah Business Council member and director of the Pink Caravan breast cancer awareness group, Ameera Bin Karam was buried today along with her mother and sister. Karam, 38, her sister

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 25, 2016, 11:11:50 PM10/25/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

Udakuzi Mtandaoni


Rose Ndauka Aswekwa Lupango

Posted: 25 Oct 2016 11:58 AM PDT

Rose Ndauka Aswekwa Lupango Staa wa Bongo Movie Rose Donatus Ndauka anadaiwa kuswekwa lupango kwa takriban saa nne kabla ya kuchomolewa kwa dhamana. Sosi wetu ambaye ni mtu wa karibu wa Rose alinyetisha kuwa, staa huyo alikuwa kwenye misele na gari lake maeneo ya Kawe jijini Dar ambapo alitanua barabarani hivyo akakamatwa

Tazama Video ya Diva Loveness Akicheza Huku Akionyesha Kiuno na Nyonga zake

Posted: 25 Oct 2016 11:57 AM PDT

Tazama Video ya Diva Loveness Akicheza Huku Akionyesha Kiuno na Nyonga zake Tazama Video ya Diva Loveness Akicheza Huku Akionyesha Kiuno na Nyonga zake hapa Chini: Ndo hivyo tumefika pande hizi.... Haya MPE maksi zake Diva kwa mauno !!!!!! A video posted by Udaku

Safari ya Ulaya Imeiva – Ulimwengu

Posted: 25 Oct 2016 11:56 AM PDT

Safari ya Ulaya Imeiva – Ulimwengu Mshambuliaji wa Tanzania Thomas Ulimwengu aliyemaliza mkataba wake na klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amekiri tayari kuna vilabu kadhaa vya Ulaya ambavyo vimeonesha nia ya kutaka kumsajili. Ulimwengu ambaye hakutaka kuongeza mkataba mwingine TP Mazembe amesema

Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo

Posted: 25 Oct 2016 11:56 AM PDT

Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy. Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi hapa nikamwambia mi

Baada ya Ali Kiba Kusemwa Kuwa Anaishi Kwa Mama yake Kariakoo...Aamua Kuonyesha Nyumba yake

Posted: 25 Oct 2016 11:56 AM PDT

Baada ya Ali Kiba Kusemwa Kuwa Anaishi Kwa Mama yake Kariakoo...Aamua Kuonyesha Nyumba yake Baada ya kusemwa sana kuwa hana nyumba na anaishi kwa mama yake kko, hatimaye Ali Kiba. king kiba, King wa bongo flavour kaamua leo kuachia picha za mjengo wke uliopo Tabata thamani ya jiko la ndani ni milioni 19 soon

Kwanini Sauti ya Diamond Live ni Mbaya Lakini Nzuri Kwenye Nyimbo Tofauti?

Posted: 25 Oct 2016 11:55 AM PDT

Kwanini Sauti ya Diamond Live ni Mbaya Lakini Nzuri Kwenye Nyimbo Tofauti? Jamani mi ni shabiki mkubwa na mzuri wa mziki wa bongo fleva, ila ili jambo linanipa wakati mgumu kuamini, huyu mkali wa bongo fleva diamond ana nyimbo kali sana ila kumekuwa na tofauti kubwa sana katika uwasilishwaji wa nyimbo hizo katika live performance

CHECK DIAMOND PLATINUMS NA RAPPER WA MALAWI TAY GRIN WAKISHOOT VIDEO

Posted: 25 Oct 2016 08:09 AM PDT

CHECK DIAMOND PLATINUMS NA RAPPER WA MALAWI TAY GRIN WAKISHOOT VIDEO Tuzo za MTV MAMA huwakutanisha wasanii wengi wa Afrika kwa wakati mmoja. Si kila anayehudhuria huwa ametajwa kuwania tuzo, bali wengine huenda kwaajili ya kutafuta connection. Rapper wa Malawi, Tay Grin akiwa na Diamond

MSANII HAJI JUMBE AFARIKI DUNIA

Posted: 25 Oct 2016 08:09 AM PDT

MSANII HAJI JUMBE AFARIKI DUNIA Muigizaji Haji Jumbe, ambaye amekuwa akiigiza kama Mr. Benson katika tamthilia ya Siri za Familia inayorushwa na EATV amefariki Jumatatu jioni katika Hospitali ya Kinondoni kwa Dr. Mvungi. Siku chache zilizopita alikuwa anasumbuliwa na tumbo. Mazishi

WADADA WAFUNGULIA MILANGO YA KUJIUNGA NA KUNDI LA WEUSI

Posted: 25 Oct 2016 08:07 AM PDT

WADADA WAFUNGULIA MILANGO YA KUJIUNGA NA KUNDI LA WEUSI Rapa Joh Makini ambaye anafanya vyema na wimbo wake wa 'Perfect Combo' amefunguka na kusema kuwa milango iko wazi kwa wasanii wa kike kujiunga na kundi la Weusi na kufanya nao kazi. Joh Makini amesema hayo jana kupitia kipindi cha Planet Bongo ambacho

MSAGASUMU ADAI YEYE NDIYE MWANZILISHI WA SINGELI BONGO

Posted: 25 Oct 2016 06:56 AM PDT

MSAGASUMU ADAI YEYE NDIYE MWANZILISHI WA SINGELI BONGO MWIMBAJI  nguli wa muziki wa Singeli, Suleiman Jabir "Msagasumu" amedai kuwa yeye ndiye mwanzilishi  wa muziki huo hapa nchini. "Mimi ndiye mwanzilishi wa Singeli nimeipigania sana toka enzi za vigodoro kabla havijapigwa

Diamond: Wasanii Wengi wa Kimataifa Wametaka Kujiunga na WCB ila Nimewakatalia

Posted: 25 Oct 2016 12:53 AM PDT

Diamond: Wasanii Wengi wa Kimataifa Wametaka Kujiunga na WCB ila Nimewakatalia Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anataka kukuza wa nyumbani kwanza  Pia amesema sasa hivi hawachukui wasanii wengine wachanga mpaka Ray vanny na

Matumaini Mapya Kwa Mchezaji Kutoka Tanzania Hasheem Thabit Kurudi Kucheza NBA Baada ya Kutemwa

Posted: 25 Oct 2016 12:53 AM PDT

Matumaini Mapya Kwa Mchezaji Kutoka Tanzania Hasheem Thabit Kurudi Kucheza NBA Baada ya Kutemwa Miaka kadhaa iliyopita, kwa mara ya kwanza Tanzania ilipata mwakilishi kwenye ligi bora ya kikapu duniani; NBA kupitia Hasheem Thabeet. Wapenda michezo na maendeleo kwa ujumla walifurahia uwakilishi huo kwa kile kilichoonekana

Focus Yangu Sio Kufanya Collabom Kama Wafanyavyo Wengine – Alikiba

Posted: 25 Oct 2016 12:52 AM PDT

Focus Yangu Sio Kufanya Collabom Kama Wafanyavyo Wengine – Alikiba Alikiba amedai kuwa collabo si kitu kilichopo kwenye menu yake. Akiongea na mtangazaji wa Times FM, Lil Ommmy kwenye red carpet za MTV MAMA jijini Johannesburg, Afrika Kusini Jumamosi iliyopita, aliyemuuliza iwapo ametumia fursa hiyo

Hans van Pluijm amejiuzulu Yanga Baada ya Kusikia Ujio wa Kocha Mpya

Posted: 25 Oct 2016 12:51 AM PDT

Hans van Pluijm amejiuzulu Yanga Baada ya Kusikia Ujio wa Kocha Mpya Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm ameandika barua ya kujiuzulu kuifundisha klabu hiyo ya Jangwani. Uamuzi wa Pluijm umekuja baada ya tetesi kuzangaa kwamba uongozi wa klabu hiyo unampango wa kubadili benchi la ufundi la klabu hiyo

MTV MAMA: Ushindi wa Kishindo wa Wizkid Utuamshe Kuhusu Tunavyozichukulia Tuzo

Posted: 25 Oct 2016 12:51 AM PDT

MTV MAMA: Ushindi wa Kishindo wa Wizkid Utuamshe Kuhusu Tunavyozichukulia Tuzo Ushindi wa kishindo wa Wizkid kwenye tuzo za MTV MAMA mwaka huu, unanikumbusha wale wanafunzi wa kiume ambao huwa hawana time kabisa na wasichana wa darasani, lakini bado watamnasa kila demu mkali. Wanafunzi wa aina hii ni wale ambao huwa

JAKOTE NA VAZI LAKE SIKU YA MTV AWARDS

Posted: 24 Oct 2016 09:59 PM PDT

MAGAZETI ya LEO

Posted: 24 Oct 2016 09:57 PM PDT

PICHAAAZZZZZZZZ: ZARI HUYO

Posted: 24 Oct 2016 09:56 PM PDT

MUPENZI MUPYA WA WEMA SEPETUNGA AKA CALISAH

Posted: 24 Oct 2016 09:53 PM PDT

ALIKIBA AFUNGUKA HAYA KUHUSU COLLABO NA WASANII WAKUBWA AFRIKA

Posted: 24 Oct 2016 09:51 PM PDT

ALIKIBA AFUNGUKA HAYA KUHUSU COLLABO NA WASANII WAKUBWA AFRIKA Alikiba amedai kuwa collabo si kitu kilichopo kwenye menu yake. Akiongea na mtangazaji wa Times FM, Lil Ommmy kwenye red carpet za MTV MAMA jijini Johannesburg, Afrika Kusini Jumamosi iliyopita, aliyemuuliza iwapo

Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

unread,
Oct 26, 2016, 11:02:05 PM10/26/16
to udakuzi-...@googlegroups.com

    UKOCHA: Pluijm Amwaga Mboga Yanga

    Posted: 25 Oct 2016 10:21 PM PDT

    UKOCHA: Pluijm Amwaga Mboga Yanga Usemi wa Waswahili kuwa, ukimwaga ugali, nami namwaga mboga umetimia kwa klabu ya soka ya Yanga  ambayo licha  ya uongozi wake jana kukanusha kuajiriwa kwa kocha Mzambia George Lwandamina na kuachana na Mdachi Hans van der Pluijm, mzungu  huyo ametangaza kujiuzulu kazi hiyo. Mapema

    Diamond Platnumz Awatupia Madongo Walio Kuwa Wanasema Hajanunua Nyumba South Afrika...Adai Uswahili wake Unamlipa

    Posted: 25 Oct 2016 10:21 PM PDT

    Diamond Platnumz Awatupia Madongo Walio Kuwa Wanasema Hajanunua Nyumba South Afrika...Adai Uswahili wake Unamlipa Diamond Jana amefika kwa mara ya kwanza kwenye nyumba ambayo alinunua South Afrika na Kuandika Yafuatayo.... "Asa kunya nakunya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu....? Wambie wasininunie mie, wakazane...

    Edward Lowassa Anena Mwaka Mmoja wa Rais Magufuli

    Posted: 25 Oct 2016 10:20 PM PDT

    Edward Lowassa Anena Mwaka Mmoja wa Rais Magufuli  Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa amechambua mwaka mmoja wa uongozi wa Rais John Magufuli tangu aingie madarakani akisema kuna mafanikio machache katika baadhi ya maeneo, lakini maisha ya wananchi yamezidi kuwa magumu. Lowassa ambaye katika Uchaguzi

    STAA JACK WOLPER AENDELEA KUJIACHIA HUKO SAUZI(+PICHAZ)

    Posted: 25 Oct 2016 09:18 PM PDT

    STAA JACK WOLPER AENDELEA KUJIACHIA HUKO SAUZI(+PICHAZ)

    TAZAMA PICHA KALI ZA AUNT EZEKIEL NA MTOTO WAKE COOKIE

    Posted: 25 Oct 2016 09:08 PM PDT

    TAZAMA PICHA KALI ZA AUNT EZEKIEL NA MTOTO WAKE COOKIE

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO WEDNESDAY/JUMATANO 26/10/2016 LIVE

    Posted: 25 Oct 2016 08:57 PM PDT

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO WEDNESDAY/JUMATANO 26/10/2016 LIVE U

    PICHA:Hans Van Pluijm Alivyotua Mazoezini Kuagana na Wachezaji wa Yanga

    Posted: 25 Oct 2016 08:47 PM PDT

    PICHA:Hans Van Pluijm Alivyotua Mazoezini Kuagana na Wachezaji wa Yanga Baada ya kuamua kujiuzulu nafasi ya ukocha mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm alienda kwenye mazoezi ya klabu hiyo kwa ajili ya kuagana na wachezaji wake pamoja na baadhi ya viongozi wa benchi la ufundi waliosalia kwenye klabu hiyo. Van Pluijm

    Wapi Ney wa Mitego?

    Posted: 25 Oct 2016 08:46 PM PDT

    Wapi Ney wa Mitego? Fiesta not reachable, duuuuh.....!! Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta? Au ulikuwa kanjanjaa bro ukatulisha matango poli..!? Nimemis ili ngoma, ITAFAHAMIKA TU.. au unasoma game uje kama KING GK? Maisha mema brooo, mwenzio nimeshakuwa mganga wa kienyeji. Naamka

    Posted: 25 Oct 2016 08:46 PM PDT

    Bond: Watoto Wa Wastara Hawakupenda Aolewe SIKU chache baada ya kuripotiwa kupika na kupakua na staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Bond Suleiman ameibuka na kusema watoto wa mke huyo wa zamani wa Mbunge wa Donge, Sadifa Juma, hawakupenda mama yao aolewe na mtu mwingine zaidi yake. Akipiga stori na Za Motomoto News,

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Oct 27, 2016, 11:01:30 PM10/27/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Dawa ya Matapeli ni kuwamwagia Mboga tu, kama na wewe ni Muhanga wa MATAPELI sema neno

    Posted: 27 Oct 2016 12:01 PM PDT

    HII ndio dawa ya matapeli. Maana siku hizi ni noma sana. Asanteni Geita Gold Mine kwa kukamata Mwezi,

    Allience English Medium Hongera zenu kwa kufanya vizuri kwenye Matokeo ya Darasa la Saba

    Posted: 27 Oct 2016 11:58 AM PDT

    News Alert!! ANGALIA HAPA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2016

    Posted: 27 Oct 2016 07:57 AM PDT

    News Alert!! ANGALIA HAPA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2016 Serikali  imetangaza  matokeo  ya  mtihani  wa  darasa  la  7 kwa mwaka 2016  ambapo ufaulu  umeongezeka  kwa asilimia 2.52 na shule iliyoongoza kitaifa ni shule ya Msingi Kwema  ya  mkoani Shinyanga ====>> Bofya  << HAPA>>  Kuyaona

    MSANII RAY C KULUDI KWA KISHINDO KWENYE GAME YA BONGO

    Posted: 27 Oct 2016 05:19 AM PDT

    MSANII RAY C KULUDI KWA KISHINDO KWENYE GAME YA BONGO Rehema Chalamila, how I wish arudi tena kwenye chati kama zamani. Ray C – kama unavyomjua zaidi, amepitia mapito mengi, na tena yaliyojaa njia yenye mbigili ibakishayo maumivu mguuni. Miaka minne iliyopita, kwa hali aliyokuwa nayo, kila mtu

    TID Pokea Ushauri, Rudi Kwenye Fani ya Utangazaji

    Posted: 27 Oct 2016 05:17 AM PDT

    TID Pokea Ushauri, Rudi Kwenye Fani ya Utangazaji Nilianza kumfahamu msanii Khaleed Mohammed au Top in Dar (TID) alipotoa wimbo pendwa wa Zeze miaka ile ya 2000s akiwa na Jay Moe.. Jina lake likakua na kukubalika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania huku akijivunia sauti yake na kujiita 'Golden Voice' yaani Sauti ya Dhahabu,

    Former school teacher gets $75k settlement after showing up at school field trip drunk

    Posted: 26 Oct 2016 09:54 PM PDT

    Former school teacher gets $75k settlement after showing up at school field trip drunk A former elementary school teacher,Maria Caya, who passed out after showing up drunk to a bowling alley field trip for 4th graders, is going to get a $75,000 settlement from the Wisconsin city she sued. Caya filed a $5.5 million

    James Packer dumps Mariah Carey over excessive spending

    Posted: 26 Oct 2016 10:14 PM PDT

    Billionaire businessman, James Packer has ended his engagement with singer Mariah Carey. According to Woman's Day, a family friend confirmed to the magazine that James Packer ended the relationship over her 'extragvagent spending' as well as a falling out over her new reality TV show, Mariah's World. The family friend also said Mariah Carey could

    Photo: Police arrest Lagos banker who allegedly hired assassins to kill her estranged husband

    Posted: 26 Oct 2016 09:47 PM PDT

    Photo: Police arrest Lagos banker who allegedly hired assassins to kill her estranged husband Ogun State Police have arrested two suspected assassins  following an attempted assassination of one Mr. Tochukwu Onyebuchi on alleged order of his estranged wife,who is a staff of one of the new generation banks in Lagos.The suspects

    STAA SERENA WILLIAMS ATIKISA MTANDAONI KWA PICHA HIZI

    Posted: 26 Oct 2016 09:27 PM PDT

    STAA SERENA WILLIAMS ATIKISA MTANDAONI KWA PICHA HIZI and 

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 27/10/2016 LIVE

    Posted: 26 Oct 2016 09:26 PM PDT

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 27/10/2016 LIVE

    Aunty Ezekeil na Mtoto Wake Wamtua Machozi Wema Sepetu...

    Posted: 26 Oct 2016 08:41 PM PDT

    Aunty Ezekeil na Mtoto Wake Wamtua Machozi Wema Sepetu... Kama ulikuwa bado upo kwenye ndoto ya Wema Sepetu na Aunty Ezekiel kuwa maadui – amka! Wawili hao wameonekana kutokuwa na tatizo baada ya madam Sepenga kuweka picha ya Aunty akiwa na mwanae Cookie aliyezaa na dansa wa Diamond, Mose Iyobo kwenye mtandao wake wa

    Ushauri: Nimegundua Mdogo Wangu Kabisa na Dada wa Kazi Wanasagana, Je, Nifanye Nini?

    Posted: 26 Oct 2016 08:40 PM PDT

    Ushauri: Nimegundua Mdogo Wangu Kabisa na Dada wa Kazi Wanasagana, Je, Nifanye Nini? Kiufupi mimi ni mwanamke niliyeolewa miaka 5 iliyopita na kubahatika kupata watoto 2 wa kiume. Mmoja ana 4 yrs na mdogo ana miezi 9. Mume wangu yeye yuko Morogoro Manispaa anakofanyia kazi, na mara nyingi wakati wa weekend huja nyumbani Dar

    Meneja wa Diamond Platnumz Amemposti Mtandaoni Meneja wa Alikiba

    Posted: 26 Oct 2016 08:38 PM PDT

    Meneja wa Diamond Platnumz Amemposti Mtandaoni Meneja wa Alikiba Katika zile lugha za Kimitandao siku ya Jumatano hupewa 'Kinashi' cha 'WCW' (Woman Crash Wednesday) yaani kumposti Mwanamke aliyekonga hisia zako na kumuhusudu zaidi. Kilichowashangaza Mashabiki wengi zaidi kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni bifu

    H: Baba Amponda Diamond Kwa Kupost Nyumba, Asema Kama ni Mkweli Aonyeshe Hati

    Posted: 26 Oct 2016 08:38 PM PDT

    H: Baba Amponda Diamond Kwa Kupost Nyumba, Asema Kama ni Mkweli Aonyeshe Hati H Baba amemponda Diamond kwa kupost nyumba kisa eti Ali Kiba katuma, amesema kama yeye ni mkweli ana nyumba aposti hati ya nyumba, sio mwenzake akipost nyumba naye anapost

    Ali Kiba: Sina Nyumba Bado, na Hata Nikiwa Nayo Sitajitangaza

    Posted: 26 Oct 2016 08:37 PM PDT

    Ali Kiba: Sina Nyumba Bado, na Hata Nikiwa Nayo Sitajitangaza Msanii Ali Kiba amekataa nyumba inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikuhusishwa na yeye na kusema bado anaishi kwenye nyumba ya kupanga na hata kama alikuwa amejenga nyumba hawezi kufanya show off: Msikie Hapa:

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Oct 28, 2016, 11:35:14 PM10/28/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    BREAKING: YANGA WAMREJESHA KAZINI KOCHA WAO HANS VAN PLUIJM LEO

    Posted: 28 Oct 2016 04:15 AM PDT

    BREAKING: YANGA WAMREJESHA KAZINI KOCHA WAO HANS VAN PLUIJM LEO  Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mwanachama wa Klabu ya Yanga, Mwigulu Nchemba akiwa katika Mazungumzo na Kocha wa Yanga aliyetangaza kujiuzulu kuitumikia klabu hiyo hivi karibuni, Hans

    Donald Trump's VP pick, Mike Pence campaign plane skids off the runway at New York airport

    Posted: 28 Oct 2016 01:20 AM PDT

    Donald Trump's VP pick, Mike Pence campaign plane skids off the runway at New York airport Donald Trump's Vice presidential candidate, Mike Pence's campaign plane slid off the runway as it landed at New York's LaGuardia Airport on Thursday evening. Mike Pence who is also the governor of Indiana, was returning from a campaign event

    Man poses as Meter man and to kill his ex-girlfriend's new boyfriend

    Posted: 28 Oct 2016 01:16 AM PDT

    Man poses as Meter man and to kill his ex-girlfriend's new boyfriend A 44-year-old man, in Chicago Illinois, Willie Bell, has been charged with first degree murder and homicide concealment after he posed as a parking meter reader to kill his ex-girlfriend's new boyfriend, 48 year old Timothy Lawrence. According to The

    Footballer, Neymar and rapper, Tinie Tempah chill in London restaurant (photo)

    Posted: 28 Oct 2016 01:15 AM PDT

    Footballer, Neymar and rapper, Tinie Tempah chill in London restaurant (photo) One of UK's finest rappers Tinie Tempah took to his Instagram page to share a photo of him and football star Neymar as they met in a London restaurant for a promotional campaign by sports wear giants Nike. Writing on his Instagram page, Tinie thanked

    DOGO JANJA ATANGAZA NDOA BAADA YA TUNDA MAN KUFUNGA

    Posted: 28 Oct 2016 01:05 AM PDT

    DOGO JANJA ATANGAZA NDOA BAADA YA TUNDA MAN KUFUNGA Usishangae pale utakapopokea ujumbe wa Dogo Janja akikuomba mchango wa harusi (iwapo atafanya hivyo). Ni kwasababu muimbaji huyo wa Kidebe anaweza kuwa ameshawishika kujiunga na kambi ya wavaa pete kwenye kidole cha

    Ripoti ya Mkataba wa Lugumi, Polisi Yafika kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai.

    Posted: 27 Oct 2016 11:53 PM PDT

    Ripoti ya Mkataba wa Lugumi, Polisi Yafika kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Projestus Rwegasira amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Bunge ya kuhakikisha mfumo wa vifaa vya utambuzi wa alama za vidole unafungwa katika wilaya za kipolisi 108 nchi nzima kwa muda wa

    Bangi Yawatokea Askari 10 Puani..Watiwa Mbaroni

    Posted: 27 Oct 2016 11:53 PM PDT

    Bangi Yawatokea Askari 10 Puani..Watiwa Mbaroni  Jeshi la Polisi limetikiswa baada ya maofisa wake 10 kutiwa mbaroni wilayani Siha mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuwaachia watuhumiwa wa shehena ya bangi. Tukio hilo ambalo limekuwa gumzo, lilitokea Jumanne iliyopita kwenye Kijiji cha Olmolok baada ya maofisa hao kudaiwa

    Shahidi Aeleza Askofu Gwajima Alivyofikishiwa Bastola

    Posted: 27 Oct 2016 11:52 PM PDT

    Shahidi Aeleza Askofu Gwajima Alivyofikishiwa Bastola MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa washtakiwa watatu walipeleka bastola kwa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima wakati amelazwa katika Hospitali ya TMJ baada kubaini wanaihifadhi kinyume cha sheria. Ofisa Upelelezi kutoka Ofisi ya Mkuu wa

    Sumaye Kunyang’anywa Shamba na Serikali, Apewa Notisi ya Siku 90

    Posted: 27 Oct 2016 11:52 PM PDT

    Sumaye Kunyang'anywa Shamba na Serikali, Apewa Notisi ya Siku 90 Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema hati ya shamba lililopo maeneo ya Bunju la aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Fredrick Sumaye liko katika hatua ya kufutwa na kwamba Afisa Ardhi Mteule wa

    Sita Wafutiwa Adhabu ya Kunyongwa Hadi Kufa

    Posted: 27 Oct 2016 11:30 PM PDT

    Sita Wafutiwa Adhabu ya Kunyongwa Hadi Kufa Mahakama ya Rufani imewafutia adhabu ya kunyongwa hadi kufa na kuamuru kuachiwa huru watu sita waliohukumiwa kwa mauaji  ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na mfanyakazi wa Benki ya NMB, tawi la Wami Morogoro. Uamuzi huo ulisomwa jana na Jaji Projest Rugazia wa Mahakama

    Diamond Platnumz na Mohombi Kuja na Kolabo

    Posted: 27 Oct 2016 11:30 PM PDT

    Diamond Platnumz na Mohombi Kuja na Kolabo Tuzo za MTV MAMA huwakutanisha wasanii wengi wa Afrika kwa wakati mmoja. Si kila anayehudhuria huwa ametajwa kuwania tuzo, bali wengine huenda kwaajili ya kutafuta connection. Na wengine hutumia fursa hiyo kwenda kufanya video na wasanii waliowashirikisha ili kupunguza gharama za

    Singeli ni Muziki wa Kihuni, Hautodumu – Juma Nature

    Posted: 27 Oct 2016 11:29 PM PDT

    Singeli ni Muziki wa Kihuni, Hautodumu – Juma Nature Singeli ni muziki ulioibuka kwa kasi na kujizolea mashabiki lukuki na kufanikiwa kuzalisha vipaji kadhaa. Licha ya kuonekana kufanya vizuri mpaka kufikia kiasi cha kuwashawishi wasanii wa muziki mwingine kujiingiza katika muziki huo, wapo baadhi ya watu wameonekana

    Ajali Tanzania bado ni changamoto inayohotaji ufumbuzi wa haraka sana.

    Posted: 27 Oct 2016 10:47 PM PDT

    Ona sasa basi la Hood lilivyogongana na Lori

    VILIO NA MAJONZI VYATAWALA HUKO MBEZI POLISI NA RAIA

    Posted: 27 Oct 2016 10:28 PM PDT

    VILIO NA MAJONZI VYATAWALA HUKO MBEZI POLISI NA RAIA

    Footballer Neymar steps out looking really good! (photos)

    Posted: 27 Oct 2016 10:23 PM PDT

    Footballer Neymar steps out looking really good! (photos) The Barcelona footballer was spotted on the streets of London on Thursday after dining at Venatian/Italian restaurant Tozi in Pimlico. He's in London for a Nike promotional campaign. He looks good! See another photo of him with his fans after the cut.

    Chrissy Teigen dresses her daughter in adorable Halloween costumes

    Posted: 27 Oct 2016 10:08 PM PDT

    Chrissy Teigen dresses her daughter in adorable Halloween costumes Model and John Legend's wife, Chrissy Teigen, dressed their daughter, Luna up in 3 Halloween costumes. As a hotdog, then as a penguin, then as Minnin mouse. More adorable photos of Luna after the cut...

    Kendall Jenner covers Vogue Turkey

    Posted: 27 Oct 2016 09:47 PM PDT

    Kendall Jenner covers Vogue Turkey She is a very beautiful and hardworking model.

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 28/10/2016 LIVE

    Posted: 27 Oct 2016 09:47 PM PDT

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 28/10/2016 LIVE

    Huyu Mwanafunzi Mzuri Kutoka Arusha Atatimiza Ndoto zake? Angalia Video

    Posted: 27 Oct 2016 09:36 PM PDT

    Huyu Mwanafunzi Mzuri Kutoka Arusha Atatimiza Ndoto zake? Angalia Video Huyu atatimiza hizo ndoto zake kweli ? Kuja kuwa muigizaji bora? Au ataanza kuvunja ndoa za watu mapema sana? Ajitokeze mtu humu awe Manager wake la sivyo wajanja watamuharibia future...

    Jokate Adai Alimpenda Sana Hasheem Thabeet, Ataja Sababu za Kuachana Naye

    Posted: 27 Oct 2016 09:36 PM PDT

    Jokate Adai Alimpenda Sana Hasheem Thabeet, Ataja Sababu za Kuachana Naye Hasheem Thabeet kwa mujibu wa Jokate Mwegelo, alikuwa ni 'first love' na huenda kuachana naye kilikuwa ni kitu kibaya zaidi kuwahi kutokea katika maisha yake. Mrembo huyo alikuwa akijibu swali la PapiChulo_Chuly kwenye Twitter aliyeuliza, "Ni

    Alikiba Akanusha Kutumbuiza Kwenye Shindano la Miss Tanzania 2016

    Posted: 27 Oct 2016 09:35 PM PDT

    Alikiba AQkanusha Kutumbuiza Kwenye Shindano la Miss Tanzania 2016 Alikiba amekanusha taarifa zilizoenea kuwa atatumbuiza kwenye shindano la Miss Tanzania 2016 litakalofanyika Jumamosi hii mjini Mwanza. Taarifa hizo zilizosambaa zimedai kuwa Alikiba na Christian Bella ndio wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo

    Imekuwaje hata JK akaandika haya kwa Twitter?

    Posted: 27 Oct 2016 08:54 PM PDT

    "Nasikitishwa sana na matumizi mabaya ya picha zangu mtandaoni hususan watu kunilisha maneno kwa kutaka kutimiza malengo yao ya kisiasa."

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Oct 29, 2016, 10:58:41 PM10/29/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Mpenzi Mpya wa Wema Sepetu Afungukia Kwanini Alisema Hamjui Idris Sultan

    Posted: 29 Oct 2016 08:27 AM PDT

    Mpenzi Mpya wa Wema Sepetu Afungukia Kwanini Alisema Hamjui Idris Sultan Model Calisah ambaye anadaiwa kutoka kimapenzi na Wema Sepetu amekataa kuzungumzia mahusiano yake na Wema Sepetu pamoja na kueleza kwanini alisema hamjui aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu na mshindi wa Big Brother 2014, Idris Sultan.

    Madudu NSSF yaweka rehani ubalozi wa Dk Dau

    Posted: 29 Oct 2016 08:27 AM PDT

    Madudu NSSF yaweka rehani ubalozi wa Dk Dau Methali isemayo samaki mmoja akioza wote wameoza haisaili hali inayoendelea katika Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ambako hadi sasa wakurugenzi sita na maofisa sita wako nyumbani kusubiri hatima yao kuhusu ushiriki wao kwenye miradi inayotiliwa shaka. Wakati

    U Heard: Picha za Mpenzi Mpya wa Baraka The Prince Zimevuja Mitandaoni

    Posted: 29 Oct 2016 08:26 AM PDT

    U Heard: Picha za Mpenzi Mpya wa Baraka The Prince Zimevuja Mitandaoni Hit maker wa mdundo wa Nisamehe Baraka the Prince ambaye ni mpenzi wa mrembo kutoka Bongoflevani Naj, leo kwenye U Heard ya Soudy Brown ya Clouds FM ameingia kwenye headlines baada ya kubainika kuvuja kwa picha za msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake mpya

    Maneno ya Linah Sanga Baada ya Kumpost Mpenzi Wake Mpya Instagram

    Posted: 29 Oct 2016 08:25 AM PDT

    Maneno ya Linah Sanga Baada ya Kumpost Mpenzi Wake Mpya Instagram Ni msanii wa Bongo Fleva, Lina Sanga ambae October 28, 2016 amechukua headlines mitandaoni baada ya kumpost rasmi mpenzi wake mpya. Staa huyo kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliyaandika haya "Penzi si kama nyanya itokayo sokoni,

    WEMA Sepetu Achoshwa na Timu Wema Aanza Kuwa Block Vinara wa Timu hiyo Instagram..Aanza na Huyu

    Posted: 29 Oct 2016 08:25 AM PDT

    WEMA Sepetu Achoshwa na Timu Wema Aanza Kuwa Block Vinara wa Timu hiyo Instagram..Aanza na Huyu Wema Aanza kuwapa Block Vinara wa Team Wema....Msikie huyu...... #Regrann from #myboowemasepetu - Msema ukweli kipenzi cha mungu. Msione najichekesha chekesha mkazani nimefurahi. Ukweli ni kwamba nimeumia

    Mambo 10 Ambayo ni Sumu Katika Mapenzi

    Posted: 29 Oct 2016 08:25 AM PDT

    Mambo 10 Ambayo ni Sumu Katika Mapenzi KATIKA harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakwondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa. Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo

    Mimi ni Mwanamke Nisiyeweza Ficha Hisia zangu Hata Mkiniona Mshamba – Shamsa Ford

    Posted: 28 Oct 2016 10:08 PM PDT

    Mimi ni Mwanamke Nisiyeweza Ficha Hisia zangu Hata Mkiniona Mshamba – Shamsa Ford Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Shamsa Ford amesema yeye ni mwanamke ambaye hawazi kufisha hisia zake za mapenzi. Malkia huyo wa filamu ambaye alifunga ndoa miezi mitatu iliyopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo Chidi

    PICHA: Trump Atumiwa Nywele za Siri Kama Mchango wa Kampeni

    Posted: 28 Oct 2016 10:07 PM PDT

    PICHA: Trump Atumiwa Nywele za Siri Kama Mchango wa Kampeni Katika hali ya kustaajabisha mwanamke mmoja wa Florida amemtumia Donald Trump nywele za siri ikiwa ni muitikio wa barua aliyopokea ikimuomba kuchangia kampeni za Trump.

    Wema Sepetu na Kujikomba Kote Kwa Aunty Ezekiel atoswa Kwenye Birthday

    Posted: 28 Oct 2016 10:06 PM PDT

    Wema Sepetu na Kujikomba Kote Kwa Aunty Ezekiel atoswa Kwenye Birthday Aunty ezekiel kweli ka move on past wema.. Pamoja na wema kujikomba kote kumuwish happy birthday aunt na kumpost mapicha kibao insta, aunty ezekiel kamkaushia mikausho mikali na hata hajamualika kwa birthday yake leo. Kweli wema

    Sumaye: Sirudi CCM hata waninyang’anye Mashamba Yangu Yote

    Posted: 28 Oct 2016 10:06 PM PDT

    Sumaye: Sirudi CCM hata waninyang'anye Mashamba Yangu Yote Siku moja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kutangaza nia ya Serikali kumnyang'anya shamba Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, mwanasiasa huyo mkongwe amedai hilo halimtikisi. Sumaye ambaye tayari ameshakabidhiwa notisi ya

    Mr Blue Ataja Jina Analotumia Baada ya ‘Simba’ Kupokonywa

    Posted: 28 Oct 2016 10:06 PM PDT

    Mr Blue Ataja Jina Analotumia Baada ya 'Simba' Kupokonywa Mr Blue amelitaja jina lake jipya analolitumia baada ya lile la 'Simba' kuchukuliwa na Diamond Platnumz. Rapper huyo amesema kuwa kwa sasa anatumia jina la 'Nyani Mzee' kama jina lake jingine la utani. "Actually kwa sasa jina la Simba nimeliacha ila kwa sasa

    Aibu Niliyoipata Kesho Nahama Nyumba Hii, Jifunzeni Wanaume Wenzangu

    Posted: 28 Oct 2016 10:05 PM PDT

    Aibu Niliyoipata Kesho Nahama Nyumba Hii, Jifunzeni Wanaume Wenzangu Jaman hiki kiitwacho wadudu wanaonyevuanyevua a.k.a ny-ge ni hatari na yanaweza kukudhalilisha yamenikuta mwenzenu. mi naishi sinza nyumba ya tatu baada ya hotel ya vatcan city nimepanga kwa mama mmoja maaruf kama mama k-----

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Oct 30, 2016, 11:26:46 PM10/30/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Show ya Diamond Malawi Yafana Licha ya Mvua Kubwa Kunyesha

    Posted: 30 Oct 2016 11:30 AM PDT

    Show ya Diamond Malawi Yafana Licha ya Mvua Kubwa Kunyesha Licha ya mvua kubwa kunyesha, Diamond amefanikiwa kupiga show iliyofana kwenye Sand Music Festival iliyofanyika kwenye fukwe za Living stone Jumamosi hii. Mpiga picha wake, Kifesi amedai kuwa mvua kubwa ilinyesha na kulazimu show yake kusimama kwa muda. Hata hivyo

    Wanaswa na Magamba ya Kakakuona ya Bil 1.4/-

    Posted: 30 Oct 2016 08:03 AM PDT

    Wanaswa na Magamba ya Kakakuona ya Bil 1.4/- WATU wanne wakiwemo raia watatu wa Burundi, wanashikiliwa na Polisi mkoani Morogoro baada ya kukutwa na magamba ya kakakuona, yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 1.4. Walikuwa wamehifadhi magamba hayo kwenye mifuko 67, yakisubiri kusafirishwa kwenda nje ya nchi kuuzwa. Kamanda wa

    Utafiti: Kukumbatiwa na Umpendaye Wakati wa Maumivu Kuna Nguvu zaidi ya Paracetamol

    Posted: 30 Oct 2016 08:03 AM PDT

    Utafiti: Kukumbatiwa na Umpendaye Wakati wa Maumivu Kuna Nguvu zaidi ya Paracetamol Kumbatio kutoka kwa mtu umpendaye, linaweza kuwa na nguvu zaidi ya Paracetamol pale unapokuwa na maumivu, kwa mujibu wa utafiti. Wanasayansi wamebaini kuwa hisia za ukaribu tunazozipata kupitia mtu anayetushika, kunaweza kusaidia kupunguza

    Nataka Kumpeleka Mke Wangu Chuo Lakini Roho Inasita..Naogopa Kugongewa

    Posted: 30 Oct 2016 08:02 AM PDT

    Nataka Kumpeleka Mke Wangu Chuo Lakini Roho Inasita..Naogopa Kugongewa Ndugu zangu, Mke wangu ni mmojawapo wa mwanachuo aliyechaguliwa kujiunga na chuo fulani hapa nchini. Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu kwa sababu upande mmoja wa roho yangu unaniambia usimruhusu na upande mwingine unaniambia mruhusu.

    Mariah Carey Anataka Alipwa Mamilioni na ex Wake Bilionea Baada ya Kupigwa Chini

    Posted: 30 Oct 2016 08:02 AM PDT

    Mariah Carey Anataka Alipwa Mamilioni na ex Wake Bilionea Baada ya Kupigwa Chini Mariah Carey anaweza kubaki na pete ya dola milioni 10 aliyovishwa na mchumba wake James Packer waliyeachana. Lakini hiyo haitoshi, muimbaji anataka zaidi. Wawili hao waliachana baada

    Sumaye Adai Amepata Taarifa ya Kutimuliwa Nyumbani kwake pia

    Posted: 30 Oct 2016 08:02 AM PDT

    Sumaye Adai Amepata Taarifa ya Kutimuliwa Nyumbani kwake pia Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye amesema kuwa baada ya kutangazwa mchakato wa kunyang'anywa shamba lake la Mwabwepande, amepata taarifa ya kutaka kuondolewa anapoishi pia. Sumaye ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache

    Vanessa Mdee Aja na Muonekano Mpya Sasa Kama Bob Marley

    Posted: 30 Oct 2016 08:01 AM PDT

    Vanessa Mdee Aja na Muonekano Mpya Sasa Kama Bob Marley Vanessa mdee ameamua kuingia kwenye utamaduni mpya huku akiwashangaza mashabiki wake Ameamua kuingia kwenye utamaduni wa watu wa Raggie kama bob marley na lucky dube Baaadhi ya mashabiki wameonekana kutokubali na muonekano huu

    Ushauri: Nimeshika Simu ya Mpenzi Wangu, Sina Hamu Naye

    Posted: 30 Oct 2016 07:58 AM PDT

    Ushauri: Nimeshika Simu ya Mpenzi Wangu, Sina Hamu Naye Mimi ni kijana umri miaka 26 mchumba wangu anafanya kazi katika kampuni moja hivi ya binafsi ,japo hatujaoana lakin tuna kawaida ya kutembeleana mara kwa mara,yeye anaishi Kinondoni Mkwajuni mimi naishi Ubungo Riverside, Weekend hii nilienda kumtembelea akanipa simu

    Lulu Diva Agawa Penzi Kisa Pesa Sh Milioni Moja na Nusu

    Posted: 30 Oct 2016 07:58 AM PDT

    Lulu Diva Agawa Penzi Kisa Pesa Sh Milioni Moja na Nusu MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abbas 'Lulu Diva,' amefunguka kuwa katika maisha yake hata siku moja hawezi kusahau jinsi alivyolazimika kugawa penzi kwa mzee, kisa pesa za kumtibisha mama yake mzazi ambaye alikuwa anaumwa hoi!  Lulu aliongeza kuwa wakati

    Venezuelan President threatens to jail political opponents if they call for his removal

    Posted: 29 Oct 2016 09:28 PM PDT

    Venezuelan President threatens to jail political opponents if they call for his removal Venezuela President, Nicolas Maduro has threatened to jail his political opponents if they call for trial to remove him from Power. This came after opposition leaders and hundreds of thousands of protesters took to the streets on

    Auawa nje ya ubalozi wa Marekani jijini Nairobi

    Posted: 29 Oct 2016 09:22 PM PDT

    Auawa nje ya ubalozi wa Marekani jijini Nairobi MTU mmoja Mkenya ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kumchoma kisu askari aliyekuwa akilinda ubalozi wa Marekani jijini Nairobi nchini Kenya. Kamanda wa Polisi wa wilaya ya Girigiri  katika jijini la Nairobi Vitalis Otieno amesema

    Makeup-Before & after!

    Posted: 29 Oct 2016 09:21 PM PDT

    Makeup-Before & after!

    MREMBO AAMUA KUJIOA MWENYEWE BAADA YA KUKOSA MCHUMBA

    Posted: 29 Oct 2016 09:06 PM PDT

    MREMBO AAMUA KUJIOA MWENYEWE BAADA YA KUKOSA MCHUMBA Yasmin Eleby hakupata mchumba wa kumuoa mtu ambaye alitaka awe mume wake atakapofikisha miaka 40--kwa hivyo akafanya kitendo ambacho kimewashangaza wengi, aliamua kujioa mwenyewe. Kwa mujibu wa mtandao wa MySanAntonio.com,Eleby aliahidi kwamba ikiwa hatapata

    MWIGIZAJI MWENYE FIGA MATATA KUZIDI WAIGIZAJI WOTE WA NCHINI NIGERIA

    Posted: 29 Oct 2016 09:01 PM PDT

    MWIGIZAJI MWENYE FIGA MATATA KUZIDI WAIGIZAJI WOTE WA NCHINI NIGERIA

    WANAUME KENYA WAAMUA KUUZA WAKE ZAO KWA WAZUNGU ILI KUPATA PESA ZA KUKIDHI MAISHA

    Posted: 29 Oct 2016 08:59 PM PDT

    WANAUME KENYA WAAMUA KUUZA WAKE ZAO KWA WAZUNGU ILI KUPATA PESA ZA KUKIDHI MAISHA Nchini Kenya, kumetokea kioja ambapo wanaume wengi wameamua kuanza kujihusisha na shughuli ya kuuza WAKE zao kwa watalii wanaotoka mataifa mbalimbali ili kujipatia PESA za kukidhi haja za Kimaisha. Ikiripotiwa kupitia

    RAPA NYANDU TOZI AFUNGA NDOA KIMYA KIMYA

    Posted: 29 Oct 2016 08:51 PM PDT

    RAPA NYANDU TOZI AFUNGA NDOA KIMYA KIMYA Msanii wa muziki wa hip hop kutoka Kundi la BOB, Nyandu Tozzy amefunga ndoa kimya kimya na mpenzi wake wa muda mrefu. Rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo 'Kiboko ya mabishoo' amekuwa ni msanii wa pili ndani ya mwezi huu kufunga ndoa baada ya

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO SUNDAY/JUMAPILI 30/10/2016 LIVE

    Posted: 29 Oct 2016 08:45 PM PDT

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO SUNDAY/JUMAPILI 30/10/2016 LIVE

    Ufisadi NSSF: CCM Yataka Akaunti za Zitto Kabwe Zipekuliwe.

    Posted: 29 Oct 2016 08:44 PM PDT

    Ufisadi NSSF: CCM Yataka Akaunti za Zitto Kabwe Zipekuliwe. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Serikali kuhakiki akaunti na mali za Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT) na wenzake waliokuwa katika kamati za fedha za Bunge, ili kubaini kama zinalingana na kipato walichokuwa wakipata. Msemaji wa chama hicho,

    Majibu ya ACT Wazalendo kwa Ole Sendeka baada ya kutaka Zitto achunguzwe

    Posted: 29 Oct 2016 08:43 PM PDT

    Majibu ya ACT Wazalendo kwa Ole Sendeka baada ya kutaka Zitto achunguzwe Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kimeshtushwa na tuhuma dhidi ya kiongozi wake wa chama, Zitto Kabwe kwamba ana miliki mali za kifisadi pamoja na kuhusishwa na ununuzi wa ardhi maeneo ya Kigamboni uliofanywa na NSSF kwa bei ya milioni 800 kwa ekari

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Oct 31, 2016, 11:10:53 PM10/31/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA MABESTE NA LISA

    Posted: 31 Oct 2016 08:49 AM PDT

    TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA MABESTE NA LISA Msanii wa muziki wa hip hop Mabeste weekend hii amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwae, Lisa Fickenscher.

    HESLB Yafafanua vigezo Utoaji mikopo, Waliokosa sababu zatajwa, wapewa nafasi ya kukata rufaa

    Posted: 31 Oct 2016 05:48 AM PDT

    HESLB Yafafanua vigezo Utoaji mikopo, Waliokosa sababu zatajwa, wapewa nafasi ya kukata rufaa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua, kupanga na kutoa mikopo kwa wanafunzi 20,183 (asilimia 74) wa mwaka wa kwanza hadi sasa kati ya 25,717 iliyopanga kuwapa

    Unaamini Kuna Uchawi Katika Mapenzi? Soma Hii Inakuhusu

    Posted: 31 Oct 2016 05:47 AM PDT

    Unaamini Kuna Uchawi Katika Mapenzi? Soma Hii Inakuhusu BILA shaka msomaji wangu uko poa, kwa wewe ambaye unasumbuliwa na shida mbalimbali za kidunia, nakuombea kwa Mungu upate ahueni. Wiki iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mada hii kama inavyojieleza. Je, wewe unaamini kwamba kwenye mapenzi kuna uchawi? Unaamini

    Faraja Kotta Azungumza Hili Baada ya Miss Tanzania 2016 Diana Edward Kuandamwa Mitandaoni

    Posted: 31 Oct 2016 05:46 AM PDT

    Faraja Kotta Azungumza Hili Baada ya Miss Tanzania 2016 Diana Edward Kuandamwa Mitandaoni Aliyewahi kuwa mshindi wa Miss Tanzania kwa mwaka 2004, Faraja Kotta Nyalandu amechukizwa na yale yanayoendelea katika mitandao ya kijamii juu mshindi wa taji la Miss Tanzania 2016, Diana Edward. faraja Hatua

    Lukuvi Afafanua Jinsi Utapeli wa Ardhi Unavyofanyika

    Posted: 31 Oct 2016 05:46 AM PDT

    Lukuvi Afafanua Jinsi Utapeli wa Ardhi Unavyofanyika Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, William Lukuvi, ameeleza jinsi matapeli wa ardhi wanavyoshirikiana na baadhi ya maafisa ardhi hasa wa halmashauri za manispaa na jiji kutekeleza utapeli wa ardhi kwa kutumia barua bandia. Lukuvi ameeleza hayo wakati akihojiwa

    HAYA NDIO MAMBO YA AGNES MASOGANGE MTANDAONI

    Posted: 30 Oct 2016 11:19 PM PDT

    MREMBO VERA SIDIKA AENDELEA KUJIACHIA HIVI NA MPENZI WAKE

    Posted: 30 Oct 2016 11:18 PM PDT

    MREMBO VERA SIDIKA AENDELEA KUJIACHIA HIVI NA MPENZI WAKE

    PICHA ZA MUONEKANO MPYA WA STAA VANESSA MDEE

    Posted: 30 Oct 2016 11:05 PM PDT

    PICHA ZA MUONEKANO MPYA WA STAA VANESSA MDEE Vanessa mdee ameamua kuingia kwenye utamaduni mpya huku akiwashangaza mashabiki wake Ameamua kuingia kwenye utamaduni wa watu wa Raggie kama bob marley na lucky dube Baaadhi ya mashabiki wameonekana kutokubali na muonekano huu

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 31/10/2016 LIVE

    Posted: 30 Oct 2016 11:04 PM PDT

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 31/10/2016 LIVE

    MWIGULU NCHEMBA ASHANGAZWA NA WANANCHI WANAOJIFUNGIA NDANI KUOGOPA PANYA ROAD

    Posted: 30 Oct 2016 11:03 PM PDT

    MWIGULU NCHEMBA ASHANGAZWA NA WANANCHI WANAOJIFUNGIA NDANI KUOGOPA PANYA ROAD Waziri wa mambo ya ndani, Mwigulu Nchemba ameshangazwa na wananchi kukimbia na kujifungia ndani wakiogopa vikundi vya kihalifu kama Panya Road. Amesema vikundi hivyo vinaundwa na watoto wadogo wanaotumia silaha za jadi

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 1, 2016, 11:23:05 PM11/1/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Wanajeshi wa Iraq waingia Mosul

    Posted: 01 Nov 2016 11:28 AM PDT

    Wanajeshi wa Iraq waingia Mosul Karibu wanajeshi 50,000 wanaelekea Mosul Vikosi vya jeshi la Iraq kwa mara ya kwanza kabisa vimeingia maeneo ya mashariki mwa mji wa Mosul wakati wanajaribu kuwatimua wanamgambo wa Islamic State kutoka mji huo ulio Kaskazini mwa nchi. Vikosi maalum

    Buhari aamuru uchunguzi tuhuma za ubakaji

    Posted: 01 Nov 2016 05:47 AM PDT

    Buhari aamuru uchunguzi tuhuma za ubakaji Rais wa Nogeria, Muhammadu Buhari asema kusononeshwa na ripoti ya Humana right Watch kuhusu tuhuma za ubakaji zinazowakabili askari wake. Rais wa Nigeria ameamuru uchunguzi kuhusu madai ya unyanyasaji wa kijinsia katika makambi yaliyojengwa kwa minajili ya

    Mkenya Aibuka Mshindi wa Maisha Plus

    Posted: 01 Nov 2016 05:42 AM PDT

    Mkenya Aibuka Mshindi wa Maisha Plus Olivie Kiarie wa Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus. Fainali za shindano hilo zilifanyika mwishoni mwa wiki. Ushindi huo umempa Olive kitita cha shilingi milioni 30 za Kitanzania. Shindano la Maisha Plus lilishirikisha nchi za

    ‘Makonda’ Feki Awatapeli Wachina Mil 22.8

    Posted: 01 Nov 2016 05:42 AM PDT

    'Makonda' Feki Awatapeli Wachina Mil 22.8 Dar es Salaam. Raia wa China wametapeliwa fedha taslimu Sh 22.8 milioni wakidai kuwa sauti waliyoisikia kwenye simu ya kiganjani iliyotumiwa na tapeli ilifanana na ya  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna

    Mr Blue Asema Hahitaji Meneja Kwenye Muziki Wake

    Posted: 01 Nov 2016 05:40 AM PDT

    Mr Blue Asema Hahitaji Meneja Kwenye Muziki Wake Msanii wa muziki wa kurap, Mr Blue amesema hahitaji kuwa na meneja wa kumsaidia katika kazi zake za muziki kwa kuwa tayari alishawahi kuwa na mameneja zaidi ya watatu ambao hawakumpatia mafanikio. f1cbmr-Blue-ft-alikiba-mboga-saba Rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo '

    Magufuli: Huwa Nawasiliana na Rais Kenyatta, Hatuna Bifu Kama Watu Wanavyozani

    Posted: 01 Nov 2016 05:40 AM PDT

    Magufuli: Huwa Nawasiliana na Rais Kenyatta, Hatuna Bifu Kama Watu Wanavyozani Baada ya mwaka mzima tangu kuchaguliwa, rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kwanza ya kiserikali nchini Kenya. Kulikuwepo uvumi kuwa huenda kuna tofauti kali ya rais huyo na mwenzake wa Kenya hasa baada ya rais Magufuli

    Lol. Floyd Mayweather poses as himself on Halloween

    Posted: 01 Nov 2016 05:38 AM PDT

    Lol. Floyd Mayweather poses as himself on Halloween He shared the photo and captioned it: "This Halloween costume speaks for itself, "Money Man"".

    Wema Sepetu Amuandikia Ujumbe Miss Tanzania Mpya

    Posted: 31 Oct 2016 08:39 PM PDT

    Wema Sepetu Amuandikia Ujumbe Miss Tanzania Mpya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amedai mshindi wa shindano la Miss Tanzania 2016, Diana Edward alistahili kuchukua taji hilo. Kupitia Instagram, Wema ameandika: When You Nailed that question Properly, I knew that The Crown was Yours…. Congratulations mdogo wangu… You

    Hamisa Mobetto Afunguka Kuhusu Tetesi za Bifu Lake na Zari Hassan

    Posted: 31 Oct 2016 08:38 PM PDT

    Hamisa Mobetto Afunguka Kuhusu Tetesi za Bifu Lake na Zari Hassan Hamisa Mobetto amefunguka juu ya mahusiano yake na first lady wa Madale, Zari The Bosslady baada ya tetesi za kutoka na Diamond. Mrembo huyo amemuambia mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Omary Tambwe aka Lil Ommy kuwa hajawahi kuwa na

    Waziri Kigwangalla Amesema Wanawake Wanaofanya Ngono Bila Kinga Kupata Saratani ya Mlango wa Kizazi

    Posted: 31 Oct 2016 08:38 PM PDT

    Waziri Kigwangalla Amesema Wanawake Wanaofanya Ngono Bila Kinga Kupata Saratani ya Mlango wa Kizazi Naibu waziri wa Afya Hamisi Kigwangala amesema kuwa wanawake wanaoshiriki tendo la ndoa bila kinga wapo hatarini kupata virusi vinavyoitwa HPV vinavyosababisha Saratani ya mlango wa kizazi Kigwangala amesema wanawake

    Rais Magufuli Awasili Nchini Kenya, Ahimiza Ushirikiano zaidi kati ya Kenya na Tanzania

    Posted: 31 Oct 2016 08:38 PM PDT

    Rais Magufuli Awasili Nchini Kenya, Ahimiza Ushirikiano zaidi kati ya Kenya na Tanzania Rais wa Tanzania John Magufuli ameanza ziara yake ya kikazi katika nchi jirani ya Kenya leo ambapo kando na kufanya mazungumzo na Rais Kenyatta atazindua pia barabara. Kwenye ziara hiyo ya siku mbili, Rais Magufuli anatarajiwa kufanya

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 2, 2016, 11:13:50 PM11/2/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Unamshauri Nini Diamond Katika Ngoma yake na Rich Mavoko Inayokuja?

    Posted: 01 Nov 2016 08:57 PM PDT

    Unamshauri Nini Diamond Katika Ngoma yake na Rich Mavoko Inayokuja? Aisee kwanza huyu jamaa anastahili Hongera nyingi sana, Huyu ni identity ya taifa kwa sasa within and outside of Africa. Huyu jamaa pia ana busara na moyo wa kiume sio wa kulialia, juzi alipokosa award ktk MTV awards aliwapa moyo wasanii wenzake wa

    Majibu ya Jux Alipoulizwa Kama ana Mpango wa Kumuoa Vanessa au Kuzaa Nae

    Posted: 01 Nov 2016 08:57 PM PDT

    Majibu ya Jux Alipoulizwa Kama ana Mpango wa Kumuoa Vanessa au Kuzaa Nae Msanii Jux amejibu kuwa hajui kama atakuwa na mtoto na Vanessa wala hajui kama atamuoa, ila amesema Vanessa amemsaidia kwenye maisha yake kwa kuwa kuna vitu anavijua na yeye havijui Msikie Hapa:

    Wema Sepetu Atangaza Kupumzika Instagram Kwa Muda...Maneno Maneno Yamkimbiza

    Posted: 01 Nov 2016 08:54 PM PDT

    Wema Sepetu Atangaza Kupumzika Instagram Kwa Muda...Maneno Maneno Yamkimbiza Maskini Watu wanaingilia life ya Wema Sepetu mpaka ametangaza kujitoa Insta kwa muda....Chaaa!!!! Waliokuwa Marafiki zake na Timu Wema hali si shwari, Munalove na Hope wanashutumiana kumsengenya Wema na kumuendea kwa mganga.... Toa maoni yako kwake

    Linah Adai Amejaribu Kumweka Sawa Recho Lakini Ameshindwa

    Posted: 01 Nov 2016 08:54 PM PDT

    Linah Adai Amejaribu Kumweka Sawa Recho Lakini Ameshindwa Msanii wa muziki Linah Sanga amedai kuwa amejaribu kuzungumza na msanii mwenzake Recho ili kumrudisha kwenye nafasi yake lakini ameshindwa. Linah na Recho Akiongea katika kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV wiki hii, Linah amesema tayari ameshamfuata Recho mara

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 3, 2016, 11:09:01 PM11/3/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    U HEARD: Dogo Janja na Agnes Masogange ni Couple Mpya Town?

    Posted: 03 Nov 2016 08:14 AM PDT

    U HEARD: Dogo Janja na Agnes Masogange ni Couple Mpya Town? U Heard ya XXL Clouds FM jana November 2, 2016 Soudy Brown amemvutia waya staa wa single ya Kidebe, Dogo Janja ambaye inadaiwa yuko kwenye uhusiano wa kimapenzi na staa mwingine wa kike Agness Masogange. Dogo Janja amesema kuwa picha inayoonekana kwenye mitandao

    Tazama Video ya undani wa Msichana huyu Aliyebakwa Hadi Kufa – Makumira University

    Posted: 03 Nov 2016 08:13 AM PDT

    Tazama Video ya undani wa Msichana huyu Aliyebakwa Hadi Kufa – Makumira University Mapema jana zimesambaa Picha kwenye Mitandao ya kijamii ikimuonyesha Msichana anayefahamika kwa jina la JULIANA ISAWAFO Ambaye Amebakwa hadi Kufa na Kutupwa Nje ya eneo la Chuo Kikuu cha Tumaini (Makumira Arusha). Mmoja wa Viongozi wa

    Pengo la Marehemu Kanumba litazibika tu – Gabo Zigamba

    Posted: 03 Nov 2016 08:04 AM PDT

    Pengo la Marehemu Kanumba litazibika tu – Gabo Zigamba Msanii wa filamu anayefanya vizuri na filamu 'Safari ya Gwalu' Salim Ahmed aka Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wakiwa na juhudi wanaweza kuziba pengo la marehemu Steven Kanumba. Mwigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wa filamu ambao

    Mke wangu Ananiambia Anatongozwa Sana, Nifanyeje?

    Posted: 03 Nov 2016 08:04 AM PDT

    Mke wangu Ananiambia Anatongozwa Sana, Nifanyeje? Mke wangu amenishangaza sana baada ya kuniambia kuwa akiwa kazini au mizunguko huko mtaani kuwa anatongozwa sana na wanaume mbali mbali lakini eti anawakataa wote.... Maswali yangu Wataalam wa mambo hivi Inapofikia hatua mke wako wandoa anakwambia hivyo ina maana gani?

    Mapenzi Sio Kujifungia Chumbani tu na Kufanya Ngono

    Posted: 03 Nov 2016 08:02 AM PDT

    Mapenzi Sio Kujifungia Chumbani tu na Kufanya Ngono Mapenzi ni ubunifu, unaweza ukaona kitu kidogo lakini kitu hiko ukikifanya kwa mlango wa mapenzi kinakuwa kikubwa na hakiwezi kusahaulika kirahisi kwa mwenza wako. ukizungumzia mapenzi watu weusi wengi tunajua mapenzi ni kujifungia chumbani na kutiana tu, hapa ndo wazungu

    Tausi Mdegela: Watoto wakiniona wanatafuta vitenesi tucheze

    Posted: 02 Nov 2016 09:59 PM PDT

    Tausi Mdegela: Watoto wakiniona wanatafuta vitenesi tucheze Mwigizaji wa bongo muvi kwa upande wa komedi Tausi Mdegela amesema, mara nyingi akiwa sehem za matembezi, watoto wengi wanamkimbilia na wengine kutafuta vitenesi ili wacheze wakidhani supastaa huyo ni mtoto mwenzao. Watoto wengine wanakuwa wanawasumbua wazazi wao(

    Barua ya Tupac Kuuzwa Shilingi Milioni 378

    Posted: 02 Nov 2016 09:57 PM PDT

    Barua ya Tupac Kuuzwa Shilingi Milioni 378 Ni miaka 20 tangu afariki rapper mkongwe, Tupac. Na sasa barua ambayo aliiandika, mwenyewe inatarajiwa kuuzwa kwa kiasi cha $172,750 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 378 za kibongo. Kampuni ya Goldin Auctions, imesema barua hiyo iliyondikwa na Tupac Shakur ni moja ya vitu kumi

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 4, 2016, 10:57:15 PM11/4/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    ALIYEAMUA KUMUUZA MKEWE ANUNUE iPHONE 6

    Posted: 04 Nov 2016 03:10 AM PDT

    ALIYEAMUA KUMUUZA MKEWE ANUNUE iPHONE 6 Mwanafunzi wa Chuo kikuu kimoja cha China ambaye jina lake halikutambulika kwa haraka ameamua kufanya 'uchizi' ili mradi tu aipate pesa ya kununua aina mpya ya iPhone iliyoingia sokoni, iPhone6.Kijana huyo wa alionekana akiwa nje ya chuo kikuu cha Songijiang akiwa na

    Bifu la Wema Sepetu na Muna Lafika Pabaya...Wema Amshutumu Muna Kumfanya Mama yake Ndondocho

    Posted: 04 Nov 2016 02:47 AM PDT

    Bifu la Wema Sepetu na Muna Lafika Pabaya...Wema Amshutumu Muna Kumfanya Mama yake Ndondocho Wema na Munalove Bifu zito ameandika haya: From @wemasepetu Rose Alphonce Nungu... Nakuita tena kwa mara ya pili Rose Alphonce Nungu.... Unanitafutia nini wewe mwanamke...!? Nini nimekukosea wewe dada...? Niliapa na Miungu

    Ali Kiba Afunguka..Adai Hakiwezi Kunikuta Kilichomkuta Davido Sony Music

    Posted: 04 Nov 2016 02:02 AM PDT

    Ali Kiba Afunguka..Adai Hakiwezi Kunikuta Kilichomkuta Davido Sony Music Yapata miezi miwili sasa tangu tuzisikie taarifa za msanii mkali kutoka Nigeria Davido kutoa malalamiko kwa uongozi wa lebo ambayo inasimamia kazi zake kwasasa #Sony Music. Malalamiko hayo yalitokana na kilichosemekana kuwa uongozi huo unamzuia

    Kampuni ya Black Fox iliyokuwa ikifanya Kazi na Juliana Isawafo Aliyekutwa Ameuwawa Arusha Yafunguka

    Posted: 04 Nov 2016 02:01 AM PDT

    Kampuni ya Black Fox iliyokuwa ikifanya Kazi na Juliana Isawafo Aliyekutwa Ameuwawa Arusha Yafunguka Wiki hii katika mitandao ya kijamii kuna picha ambazo zimesambaa zikiuonesha mwili wa msichana anaesadikika kuwa amekufa baada ya kubakwa na watu ambao hawajajulikana na kutupwa nje ya eneo la Chuo Kikuu cha Tumaini (Makumira

    Diamond Afunguka Kuhusu Ukimya wa Rich Mavoko

    Posted: 04 Nov 2016 02:00 AM PDT

    Diamond Afunguka Kuhusu Ukimya wa Rich Mavoko Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema kuwa ukimya wa Rich Mavoko unatokana na msanii huyo kujipanga na kazi zake mwenyewe na kudai mpaka sasa amefanya kazi nyingi na kali sana. Diamond Platnumz alisema hayo hivi karibuni kupitia kipindi cha Friday Night

    Wanaojichubua Wana Matatizo ya Kisaikolojia

    Posted: 04 Nov 2016 02:00 AM PDT

    Wanaojichubua Wana Matatizo ya Kisaikolojia WATU wanaopenda kujibadilisha miili na ngozi zao kwa kutumia vipodozi vyenye kemikali za kujichubua na kubadilisha mwonekano wa sehemu za maumbile yao wametajwa kuwa miongoni mwa watu wanaosumbuliwa na matatizo ya kisaikolojia. Mwenyekiti wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere,

    MREMBO LINAH SANGA ADAI BADO ANAFASI KWENYE MZIKI WA BONGO

    Posted: 03 Nov 2016 10:41 PM PDT

    MREMBO LINAH SANGA ADAI BADO ANAFASI KWENYE MZIKI WA BONGO Linah Sanga amedai kuwa nafasi yake bado ipo japo ameonekana kutofanya vizuri kwenye muziki kwa sasa. Miaka miwili iliyopita msanii huyo alionekana kuwa moto zaidi hasa baada ya kuachia wimbo wa 'Ole Themba' huku mashabiki wakitarajia

    Rapper kutoka kundi la Weusi, Joh Makini amevunja ukimya wa maneno yanayotembea mtaani yanayodai kuwa Lord Eyez amefukuzwa ndani ya kundi hilo

    Posted: 03 Nov 2016 10:40 PM PDT

    Rapper kutoka kundi la Weusi, Joh Makini amevunja ukimya wa maneno yanayotembea mtaani yanayodai kuwa Lord Eyez amefukuzwa ndani ya kundi hilo.Hitmaker huyo wa Perfect Combo amekiambia kipindi cha E News cha East Africa TV kuwa Eyez bado ni mmoja wa wasanii wa kundi hilo. "Lord hajatengwa na bado ni mmoja wa wanafamilia katika

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 4/11/2016 LIVE

    Posted: 03 Nov 2016 09:20 PM PDT

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 4/11/2016 LIVE

    Rose Ndauka Atetea Kuvunjika Kwa Ndoa Yake...Adai ni Tatizo la Jamiii

    Posted: 03 Nov 2016 09:19 PM PDT

    Rose Ndauka Atetea Kuvunjika Kwa Ndoa Yake...Adai ni Tatizo la Jamiii Malkia wa filamu Rose Ndauka amewataka watanzania kujua kuvunjika kwa ndoa sio tatizo la wasanii wa filamu pekee bali ni tatizo la jamii nzima. Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae, Naveen amesema kwa sasa yeye bado yupo yupo

    Faiza Ally Akerwa na Wanaomtukana Wema Sepetu Kuhusu Kutopata Mtoto

    Posted: 03 Nov 2016 09:19 PM PDT

    Faiza Ally Akerwa na Wanaomtukana Wema Sepetu Kuhusu Kutopata Mtoto Faiza akerwa na wanaomtukana Wema Sepetu... Jisomee....... Faizaally_ " Hakuna kitu huwa kinanikera Kama watu wanao mtukana Wema kuhusu mtoto ...nachukia sipendi .... Hivi nyinyi mlio zaa mnajua mme zaa

    Kwa Upuuzi Huu Nitaendelea Kuwasifu Mahausigeli Wanaovunja Ndoa za Watu!

    Posted: 03 Nov 2016 09:19 PM PDT

    Kwa Upuuzi Huu Nitaendelea Kuwasifu Mahausigeli Wanaovunja Ndoa za Watu! Kila siku na kila mahala ukipita au ukibahatika tu kukutana na akina Dada na akina Mama waliopo katika Ndoa au hata Mahusiano tu ' lawama ' zao kubwa ni kwa hawa Dada zetu wa Kazi nyumbani maarufu kama ' mabeki tatu ' kuwa wanashiriki kwa kiasi kikubwa

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 5, 2016, 11:23:50 PM11/5/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    MSANII TUNDA MAN AFUNGUKA MENGI KUHUSU NDOA YAKE

    Posted: 05 Nov 2016 11:16 AM PDT

    MSANII TUNDA MAN AFUNGUKA MENGI KUHUSU NDOA YAKE Ikiwa ni wiki tatu toka msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection, Tunda Man aingie kwenye maisha ya ndoa, amefunguka na kuzungumzia jinsi maisha ya ndoa yalivyobadili maisha yake Akiongea na Bongo5 Jumamosi hii, Tunda amesema ndoa imemfanya kuwa

    SAID FELLA :MIMI NI MTI WENYE MATUNDA

    Posted: 05 Nov 2016 11:16 AM PDT

    SAID FELLA :MIMI NI MTI WENYE MATUNDA MENEJA WA KUNDI LA MKUBWA NA WANAWE SAIDI FELLA AKIMKABIDHI  GARI ASLAY MSAANI WA YAMOTO BAND

    AMINI AFUNGUKA NA KUSEMA HATAKI MALUMBANO NA LINAH

    Posted: 05 Nov 2016 10:53 AM PDT

    AMINI AFUNGUKA NA KUSEMA HATAKI MALUMBANO NA LINAH NYOTA wa muziki wa Kizazi Kipya, Amini Mwinyimkuu amesema hataki malumbano na mpenziwe wa zamani Linah Sanga na badala yake ameamu kunyamaza kimya. Amini alisema hayo kufuatia ushauri kutoka kwa Linah akimtaka badilike ili

    PICHA: Mwanamke Aliyekaa Siku Nzima Kwenye Jeneza ili Kupata Uzoefu wa Kifo

    Posted: 05 Nov 2016 08:57 AM PDT

    PICHA: Mwanamke Aliyekaa Siku Nzima Kwenye Jeneza ili Kupata Uzoefu wa Kifo Imetokea Brazil na Mwanamke mwenyewe anaitwa Vera Lucia da Silva na umri wake ni miaka 44 ambapo aliamua kukaa kwenye jeneza siku nzima ili apate uzoefu wa mazingira ya kifo ili siku akifa asiwe mgeni na Jeneza. Vera aliamua kukaa kwenye

    Master J: Mimi na Hermy B ni kati ya watayarishaji wa muziki tunaoishi maisha mazuri

    Posted: 05 Nov 2016 08:56 AM PDT

    Master J: Mimi na Hermy B ni kati ya watayarishaji wa muziki tunaoishi maisha mazuri Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna muziki pasipo kuwa na watayarishaji wa muziki – lakini wao ndio wamekuwa wakiongoza kuishi maisha ya chini zaidi. Akiongea na kipindi cha Ladha 3600 ya EFM, mtayarishaji

    Tundu Lissu Akataa Kujisalimisha Mahakamani Bila Barua ya Wito

    Posted: 05 Nov 2016 08:55 AM PDT

    Tundu Lissu Akataa Kujisalimisha Mahakamani Bila Barua ya Wito Siku moja baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuagiza Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu akamatwe kwa kushindwa kuhudhuria kortini, mbunge huyo amedai hana taarifa hizo hivyo hawezi kujisalimisha popote. Lissu ambaye

    Dr. Cheni Aeleza Sababu za Kutojihusisha Tena na Filamu Nchini

    Posted: 05 Nov 2016 08:55 AM PDT

    Dr. Cheni Aeleza Sababu za Kutojihusisha Tena na Filamu Nchini Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini, Dr Cheni amesema hatatoa tena filamu nyingine kutokana na hali ya kibiashara ilivyo katika tasnia ya filamu hapa nchini Dr. Cheni alisema hayo alipokuwa akizungumza na E News ya EATV ambapo alisema kuwa kazi

    Mr Nice Azungumzia Tetesi Kuwa Ana Ugonjwa wa Ukimwi

    Posted: 05 Nov 2016 08:55 AM PDT

    Mr Nice Azungumzia Tetesi Kuwa Ana Ugonjwa wa Ukimwi Gazeti la Taifa Leo la nchini lilifanya mahojiano na msanii mkongwe wa muziki wa Tanzania Mr Nice. Katika moja swali ambalo aliulizwa ni kuhusu tetesi ambazo zimesambaa nchini humo kuwa ana HIV. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya muziki wake nchini Kenya,

    MAGARI YA KIFAHARI YA MTOTO WA RAIS YAKAMATWA

    Posted: 04 Nov 2016 09:24 PM PDT

    MAGARI YA KIFAHARI YA MTOTO WA RAIS YAKAMATWA Equatorial Guinea: Waendesha Mashtaka nchini Uswisi wameyakamata magari 11 ya kifahari ya Mtoto wa Rais ambaye pia ni Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Teodorin Obiang NguemaMagari hayo yamechukuliwa sababu anatuhumiwa kwa rushwa na utakatishaji fedha

    MR BLUE SASA AAMUA KUJIITA "NYANI MZEE"

    Posted: 04 Nov 2016 09:18 PM PDT

    MR BLUE SASA AAMUA KUJIITA "NYANI MZEE" RAPA mahiri Mr Blue amesema kuanzia sasa anataka ajulikane kwa jina la utani la "Nyani Mzee" badala la lile la awali alilokuwa akilitumia la "Smba" kuchukuliwa na Diamond Platnumz. "Ukweli ni kwamba kwa sasa jina la "Simba" nimeliacha ila kwa

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Posted: 04 Nov 2016 09:15 PM PDT

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    PROF. MUHONGO AKUTANA NA BODI NA MENEJIMENTI YA TPDC

    Posted: 04 Nov 2016 09:13 PM PDT

    PROF. MUHONGO AKUTANA NA BODI NA MENEJIMENTI YA TPDC Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akisisitiza Jambo wakati wa Kikao chake na Bodi na Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Sehemu ya Menejimenti ya TPDC wakifuatilia kikao baina yao na Waziri

    Pendeza na Mishono/Mitindo ya Vitenge!

    Posted: 04 Nov 2016 09:12 PM PDT

    Pendeza na Mishono/Mitindo ya Vitenge!

    Mama Wema Sepetu Afunguka Kuhusu Ugomvi wa Wema na Munalove....Adai Marafiki Wanamtumia Kumuuza Kwa Wanaume

    Posted: 04 Nov 2016 09:11 PM PDT

    Mama Wema Sepetu Afunguka Kuhusu Ugomvi wa Wema na Munalove....Adai Marafiki Wanamtumia Kumuuza Kwa Wanaume Bifu ya Wema Sepetu na Muna Love imeingia ukurasa mpya baada ya Mama Wema Sepetu kujitokeza na kuongea Mengi huku akimpelekea Wema Lawama na kumtetea Muna..Nimekuwekea Sauti hapa chini mama Wema Akiongea kuhusu sakata hilo

    Rais Magufuli Atamani Kuhudhuria Tamasha la Fiesta Dar

    Posted: 04 Nov 2016 09:11 PM PDT

    Rais Magufuli Atamani Kuhudhuria Tamasha la Fiesta Dar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amesema alitamani kuhudhuria tamasha la muziki la Fiesta ambalo litafanyika Jumamosi hii katika viwanja vya Leaders Club. Akiongea na waandishi wa habari Ijumaa hii Ikulu jijini Dar es salaam, Magufuli alisema

    Naumia Sana Moyo Kwa Nayosikia Kuhusu Mchezo wa Kuruka Ukuta mpenzi Wangu Anaofanya

    Posted: 04 Nov 2016 09:10 PM PDT

    Naumia Sana Moyo Kwa Nayosikia Kuhusu Mchezo wa Kuruka Ukuta mpenzi Wangu Anaofanya Kupenda kunaumiza kama hujawahi kupenda na usitamani kupenda kwa kweli ..na mpenzi wangu kwa kweli mtoto mashalaaa kaumbika na kajaliwa kiukweli yeye ananipenda sana kuna siku alinitamkia chochote nachotaka atanipa ili mradi nisimpoteze ..

    Polisi wa Kike wa Kiislamu Waruhusiwa Kuvaa Hijabu

    Posted: 04 Nov 2016 09:09 PM PDT

    Polisi wa Kike wa Kiislamu Waruhusiwa Kuvaa Hijabu Serikali ya Scotland imeidhinisha vazi la hijabu na kulijumuisha kwenye sare za maafisa wa polisi wa kike wa Kiislamu ili kuongeza idadi yao katika idara hiyo. Mkuu wa idara ya polisi nchini humo Phil Gormley, ametoa maelezo na kubainisha furaha kubwa kwa kutangaza uamuzi

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 6, 2016, 11:28:29 PM11/6/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    KIZAZI KIPYA KINA MIKASA JIONEE VURUGU ZAKE NYAKATI ZA USIKU DUH KWELI KWA MWENDO HUU WANAFUNZI HAWA MASOMO YANATILIWA MKAZO KWELI JIONEE WANAVYO BANJUKA NA KUBANJUANA

    Posted: 06 Nov 2016 08:47 AM PST

    KIZAZI KIPYA KINA MIKASA JIONEE VURUGU ZAKE NYAKATI ZA USIKU DUH KWELI KWA MWENDO HUU WANAFUNZI HAWA MASOMO YANATILIWA MKAZO KWELI JIONEE WANAVYO BANJUKA NA KUBANJUANA

    STAA JAY Z NA BEYONCE WAUNGANA NA HILLARY CLINTON KWENYE KAMPENI

    Posted: 06 Nov 2016 04:55 AM PST

    STAA JAY Z NA BEYONCE WAUNGANA NA HILLARY CLINTON KWENYE KAMPENI Familia yenye nguvu katika muziki ya Jay Z na Beyoncé imempa nguvu anayoihitaji mgombea wa Urais wa Marekani wa cha Democratic, kwa kutumbuiza kwenye kampeni yake Ijumaa hii. Show hiyo ilifanyika kwenye chuo kikuu cha jimbo la

    Picha ya Siku: Mchungaji Msigwa kazini miaka ya Tisini

    Posted: 06 Nov 2016 04:12 AM PST

    Hivi ndivyo King Kiba alivyowashushua Bongo5 ni noma.

    Posted: 06 Nov 2016 03:48 AM PST

    LE MAJANGAZ MAAJABU YA MWAKA MWANAUME AJIFUNGUA.GUMZO KUBWA

    Posted: 06 Nov 2016 03:33 AM PST

    LE MAJANGAZ MAAJABU YA MWAKA MWANAUME AJIFUNGUA.GUMZO KUBWA Familia inayoundwa na wanandoa Bianca na Nick Bowser, ni familia yenye furaha lakini iliyowashangaza wengi baada ya Nick ( baba wa familia) kupata ujauzito na kujifungua.  Iko hivi; Nick ambaye ana umri wa miaka 27 hivi sasa,

    Beauty And The Beast gets a live action remake (photos)

    Posted: 06 Nov 2016 03:07 AM PST

    Beauty And The Beast gets a live action remake (photos) A live action remake of classic children's tale, Beauty And The Beast is set to hit the screen and Disney has been teasing the project by releasing images from the movie to whet the appetite of its fans ahead of its March 17, 2017 release. 26yr old British actress Emma

    And the Penguin wife defends her actions...lol.

    Posted: 06 Nov 2016 03:06 AM PST

    And the Penguin wife defends her actions...lol. If you don't understand what this is, then read previous post here

    MWANAMKE WA MIAKA 46 ANAUJAUZITO WA WIKI SABA.

    Posted: 06 Nov 2016 01:30 AM PST

    MWANAMKE WA MIAKA 46 ANAUJAUZITO WA WIKI SABA. Mwanamke wa miaka 46 amekiri kuwa na mimba ya wiki saba.Amedai ni mimba yake ya mwisho,anawatoto wa umri wa miaka 20 na 22.

    Mke wa Mabeste, Lisa Fickenscher ni Mjamzito!

    Posted: 06 Nov 2016 01:25 AM PST

    Mke wa Mabeste, Lisa Fickenscher ni Mjamzito! Mke wa rapa Mabeste, Lisa Fickenscher ameweka wazi kuwa anatarajia kujifungua mtoto wa pili siku za usoni. Wawili hao ambao wana wiki mbili toka waingie kwenye maisha ya ndoa, hawakuweka wazi ujauzito huyo ni wamiezi mingapi. "Ni kweli, kwa sasa ni ujauzito," Lisa

    VIDEO: Jionee Wema Sepetu akicheza vigoma Tanga

    Posted: 06 Nov 2016 01:25 AM PST

    VIDEO: Jionee Wema Sepetu akicheza vigoma Tanga VIDEO: Jionee Wema Sepetu akicheza vigoma Tanga

    Mtoto wa Mjomba Anajilegeza Kwangu Kimapenzi...Ushauri

    Posted: 06 Nov 2016 01:24 AM PST

    Mtoto wa Mjomba Anajilegeza Kwangu Kimapenzi...Ushauri Ndugu zangu wanajamvi...kwanza naomba niulize, mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu...mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo, ila sasahivi chuchu konzi...msambwana umenawili..kwahiyo ameanza

    Vyakula 7 Hatari Vya Kuzuia Vinavyozeesha Ngozi Yako

    Posted: 06 Nov 2016 01:23 AM PST

    Vyakula 7 Hatari Vya Kuzuia Vinavyozeesha Ngozi Yako Inasemwa kuwa "wewe ni kile unachokula" kwa kumaainisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi. Kuna vyakula vinavyozeesha ngozi kwa haraka na ni budi kuvijua na kuviepuka.

    Kajiandae; Balaa Jipya Toka kwa Ommy Dimpoz na Alikiba

    Posted: 05 Nov 2016 10:56 PM PDT

    Kajiandae; Balaa Jipya Toka kwa Ommy Dimpoz na Alikiba Hawa jamaa wametisha sana, kuanzia audio mpaka video hatari tupu! Ila najua kuna wale jamaa wa kupinga kila kitu anachofanya kiba utawasikia tu 

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 7, 2016, 11:06:58 PM11/7/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Magazeti ya Leo Jumanne

    Posted: 07 Nov 2016 07:47 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumanne

    Diva Loveness Amtaka Kiba Abadili Gilfriend...Adai Jokate Anamtia Gundu

    Posted: 07 Nov 2016 07:33 PM PST

    Diva Loveness Amtaka Kiba Abadili Gilfriend...Adai Jokate Anamtia Gundu Mtangazaji wa Ala za Roho kipindi kinachorushwa na Clouds FM, Diva the bawse ametoa kauli kupitia mtandao wa twitter ambayo imezua gumzo kutokana na alicho kiandika. Mwanadada Diva aliweza ku tweet kuhusiana na uwezo wa alikiba katika kuimba na

    Diana Alia Kutelekezwa na Kamati ya Miss Tanzania

    Posted: 07 Nov 2016 07:33 PM PST

    Diana Alia Kutelekezwa na Kamati ya Miss Tanzania Miss Tanzania 2016 Diana Edward ambaye ndiye mrembo anayetarajiwa kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia 'Miss World', ameilalamikia kamati ya mashindano hayo kwa kumtelekeza. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diana ambaye

    Wema Sepetu Ashindwa Kujizuia Kwa Ushindi wa Tuzo Tatu Kwa Diamond...Asema Haya

    Posted: 07 Nov 2016 07:33 PM PST

    Wema Sepetu Ashindwa Kujizuia Kwa Ushindi wa Tuzo Tatu Kwa Diamond...Asema Haya Maneno ya Wemasepetu leo baada ya Diamond Kushinda tuzo tatu "Makofi matatu kwa Tuzo tatu... "Tanzania's Pride..." Sema picha hii Kali saaaaaaanaaaaa... Utasema sio wa Tandale...(Sorry Bro)... Congrats once again...!!"

    Dogo Janja Kijana Aliyefaulu Kwa Maksi za Juu Somo la Kuanguka na Kuinuka Katika Ubora wa Kiwango cha Juu

    Posted: 07 Nov 2016 06:39 AM PST

    Dogo Janja Kijana Aliyefaulu Kwa Maksi za Juu Somo la Kuanguka na Kuinuka Katika Ubora wa Kiwango cha Juu Msanii wa hop hop wa Kundi la Weusi, Nikki wa Pili amesema rapa kutoka Tip Top Connection, Dogo Janja ndiye msanii wake bora 2016. nikki-na-dogo-janja Rapa huyo amedai Dogo Janja aliwahi kuteleza na kuanguka lakini

    Maneno ya Diamond Platnumz baada ya Ushindi wa Tuzo za Afrima2016

    Posted: 07 Nov 2016 06:38 AM PST

    Maneno ya Diamond Platnumz baada ya Ushindi wa Tuzo za Afrima2016 Tuzo za All African Music Awards (AFRIMA) Zimefanyika jijini Lagos nchini Nigeria usiku wa kuamkia leo na Diamond Platnumz Star wa single ya Kidogo yenye collabo na Mastaa wa P Sqaure, ameibuka mshindi wa jumla ya tuzo tatu, akiwa anaongoza kwenye list za

    Waziri Mahiga: Mkataba Kusaka Walioficha Mabilioni Uswisi Wasainiwa Tanzania

    Posted: 07 Nov 2016 06:38 AM PST

    Waziri Mahiga: Mkataba Kusaka Walioficha Mabilioni Uswisi Wasainiwa Tanzania Serikali ya Tanzania na Uswisi zimesaini Mkataba utakaowawezesha Makachero wa Tanzania kwenda nchini Uswisi na kufanya uchunguzi katika mabenki ya huko ili kupata taarifa sahihi za walioficha mabilioni toka Tanzania. Mkataba huo umesainiwa

    Ushauri: Ninapenda Ngono Kuliko Kula, Natamani Wanawake Wote Wazuri Niwamiliki, Nina Shida Gani?

    Posted: 07 Nov 2016 06:37 AM PST

    Ushauri: Ninapenda Ngono Kuliko Kula, Natamani Wanawake Wote Wazuri Niwamiliki, Nina Shida Gani? Kwa kweli wadau hii hali inanisumbua sana nikimuona mwanamke ana chura mkubwa, mzuri, macho makubwa huwa anabadilisha mapigo yangu ya moyo, kila mwanamke wa hivyo natamani awe wangu nimmiliki. Huwa nipo tayari kufanya mapenzi

    Taarifa Rasmi: Aliyekuwa Spika wa Bunge Samwel Sitta Afariki Dunia

    Posted: 07 Nov 2016 01:51 AM PST

    Taarifa Rasmi: Aliyekuwa Spika wa Bunge Samwel Sitta Afariki Dunia Aliyekuwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu nchini Ujerumani. Kiongozi huyo inadaiwa alifikwa na mauti saa 7:30 kwa muda wa nchini Ujerumani alikokuwa akitibiwa.

    Jokate amuandikia Alikiba barua kutoka kwenye sakafu ya moyo wake

    Posted: 07 Nov 2016 01:50 AM PST

    Jokate amuandikia Alikiba barua kutoka kwenye sakafu ya moyo wake Super business woman, Jokate Mwegelo amemuandikia AliKiba ujumbe mzuri ambao amedai umetoka kwenye sakafu ya moyo wake. Mwanamitindo huyo ambaye yupo karibu zaidi na mkali huyo wa wimbo 'Aje' amemsifia msanii huyo huku akiichambua show yake aliyoifanya

    Sababu ya Kukoroma Ukiwa Umelala na Jinsi ya Kuzuia Hali Hiyo

    Posted: 07 Nov 2016 01:50 AM PST

    Sababu ya Kukoroma Ukiwa Umelala na Jinsi ya Kuzuia Hali Hiyo Kukoroma ni tatizo linalowapata watu wengi wakati wanapolala ambalo linaweza kuwatokea watu wa kila umri ingawa hutokea mara nyingi kwa wanaume au watu wanene. Kukoroma huzidi kwa kadri umri unavyoongezeka na asilimia 54 ya watu wazima hukoroma baadhi ya

    Wizkid Ambwaga Alikiba, Ashinda MTV Ema Award

    Posted: 07 Nov 2016 01:49 AM PST

    Wizkid Ambwaga Alikiba, Ashinda MTV Ema Award Hatimaye mshindi wa MTV Ema ametangazwa usiku wa jana na kipengele cha African Act huku Wizkid akitangazwa mshindi. Alikiba aliekuwa na matumaini makubwa kushinda ameangukia pua Wizkid amewashinda Cassper nyovest Olamide Black coffie Alikiba Mwaka jana mshindi

    Dodoma: Wabunge CCM Wakiri Tuhuma za Mbowe ni Nzito, Wajipanga Kuzijibu

    Posted: 07 Nov 2016 01:48 AM PST

    Dodoma: Wabunge CCM Wakiri Tuhuma za Mbowe ni Nzito, Wajipanga Kuzijibu Wabunge mbalimbali wa CCM,niliozungumza nao hapa Dodoma,wamekiri kuwa tuhuma za kuhongwa milioni kumi kila Mbunge wa CCM ni nzito. Tuhuma za kuhongwa ili walipishe Muswada wa Sheria ya Habari zilitolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Freeman Mbowe.

    Diamond Platnumz Ashinda Tuzo Tatu AFRIMMA

    Posted: 07 Nov 2016 01:44 AM PST

    Diamond Platnumz Ashinda Tuzo Tatu AFRIMMA Diamond Platnumz ameibuka na ushindi wa nguvu kwenye tuzo za Afrima 2016 zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria. Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu, Song of The Year – Utanipenda, Best Artist/Duo/Song Of The Year Utanipenda na Best Male Artist in Eastern Africa.

    Pope Francis warns against 'building walls' ahead of U.S presidential election

    Posted: 06 Nov 2016 08:55 PM PST

    Pope Francis warns against 'building walls' ahead of U.S presidential election On Saturday evening, while addressing the Third World Meeting of Popular Movements at the Vatican, the Roman Catholic Pope, Pope Francis warned against building 'walls', saying tyranny doesn't find support unless it taps into people's fears.

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 8, 2016, 11:11:19 PM11/8/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Alikiba Ameshinda MTV Ema Kwa Kura Lakini ni Ukweli Hakustahili zaidi ya Wizkid!

    Posted: 08 Nov 2016 08:33 AM PST

    Alikiba Ameshinda MTV Ema Kwa Kura Lakini ni Ukweli Hakustahili zaidi ya Wizkid! Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Alikiba kupokonywa ushindi huko MTV EMA.Naomba hapa nitumie nafasi hii kufafanua kilichotokea ili kuweza kuondoa huu utata. Kwa mujibu wa Mtv Ema Alikiba ameshinda kwa kura nyingi sana alizopigiwa na

    Mwanamuziki RUBY Awachana Waimbaji wa Kike Bongo.....

    Posted: 08 Nov 2016 08:33 AM PST

    Mwanamuziki RUBY Awachana Waimbaji wa Kike Bongo..... Ruby amefunguka kwa kudai kuwa wasanii wengi wa kike kwenye muziki wamekuwa ni wabinafsi. Muimbaji huyo mwenye sauti ya dhahabu, amemuambia mtandazaji wa kipindi cha Playlist cha Times FM, Lil Ommy kuwa huenda kungekuwa na wasanii wengi wa kike kwenye Bongo Fleva kama

    Alikiba Azungumzia Madai ya Kunyimwa tuzo ya MTV EMA na Kupewa Wizkid

    Posted: 08 Nov 2016 08:32 AM PST

    Alikiba Azungumzia Madai ya Kunyimwa tuzo ya MTV EMA na Kupewa Wizkid Alikiba amefunguka kuzungumzia tetesi za kwenye mitandao ya kijamii kuwa amenyimwa tuzo ya MTV Europe Music Awards (EMA) katika kipengele cha Best African Act na badala yake tuzo hiyo kwenda kwa Wizkid. Hatua hiyo imekuja baada ya muimbaji

    Angalia Thamani yako, Yanini Kumng’ang’ania Asiyekupenda?

    Posted: 08 Nov 2016 08:29 AM PST

    Angalia Thamani yako, Yanini Kumng'ang'ania Asiyekupenda? Ili mapenzi yaweze kuwa bora kwa kila aliye katika mahusiano, huwa ni vyema kila mmoja kuiona thamani ya mwenzake. Ukipenda kujiangalia mwenyewe  si ajabu mwenzako kupata hisia za kuwa humthamini wala humjali. Muunganiko wenu katika mapenzi maana yake tayari mmekuwa

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 9, 2016, 10:49:47 PM11/9/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    DIAMOND Afunguka Kuhusu Familia Ilivyombadilisha, Kumsaliti Zari, Nyumba ya South Afrika na Ziara na Neyo UK

    Posted: 09 Nov 2016 03:23 AM PST

    DIAMOND Afunguka Kuhusu Familia Ilivyombadilisha, Kumsaliti Zari, Nyumba ya South Afrika na Ziara na Neyo UK Nilipokuwa Lagos, Nigeria, siku mbili kabla ya kufanyika kwa tuzo za Afrima, nilikaa kitako na Diamond Platnumz kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu muziki na maisha yake binafsi. Haya ni sehemu ya tuliyozungumza kwenye

    Ruby Afunguka Juu ya Tetesi za Kusaini WCB...

    Posted: 09 Nov 2016 03:21 AM PST

    Ruby Afunguka Juu ya Tetesi za Kusaini WCB... Muimbaji wa kike mwenye sauti ya dhahabu kwenye Bongo Fleva, Ruby amefunguka juu ya tetesi zilizosambaa kuwa amesaini kujiunga na lebo ya WCB. Ruby amepinga kujiunga na lebo hiyo lakini amedai kuwa anapenda kuwa karibu na Diamond kwa ajili ya kujifunza vitu vingi kutoka

    Rais Magufuli Ampongeza Donald Trump Kwa Kushinda Kiti cha Urais Wa Marekani

    Posted: 09 Nov 2016 03:19 AM PST

    Rais Magufuli Ampongeza Donald Trump Kwa Kushinda Kiti cha Urais Wa Marekani Leo November 9, 2016 Marekani imeweka historia nyingine baada Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa kiti cha Urais, na tayari ameanza kupokea pongezi kutoka kwa viongozi wa nchi mbalimbali ikiwemo Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 10, 2016, 11:33:15 PM11/10/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    'Russia is ready to restore relations with U.S'- Putin says as he 'reaches out' to Donald Trump

    Posted: 10 Nov 2016 08:21 AM PST

    'Russia is ready to restore relations with U.S'- Putin says as he 'reaches out' to Donald Trump Now that Donald Trump has won the U.S. presidential election, Russian President Vladimir Putin has congratulated him saying he hopes there'll be a fresh start in U.S.-Russia relations.

    Snoop Dogg leads the celebrations as California votes to legalise marijuana

    Posted: 10 Nov 2016 07:19 AM PST

    Snoop Dogg leads the celebrations as California votes to legalise marijuana Donald Trump may be heading to the White House but Californians have something to be happy about after the state voted in approval of Proposition 64, a move that legalises recreational marijuana in the state. Rapper, Snoop Dog who is

    Brad Pitt cleared in child abuse investigation

    Posted: 09 Nov 2016 10:30 PM PST

    Brad Pitt cleared in child abuse investigation Actor, Brad Pitt was cleared of abuse allegations by the L.A. County Dept. of Children and Family Services, (DCFS) on Wednesday, which now gives him a big advantage in his custody battle with his soon to be ex wife, Angelina Jolie. Authorities say they would close the

    TUzo ya Best Worldwide Act Aliyopewa Wiz Kid Imerudishwa Kwa Mshindi Halali Ali Kiba

    Posted: 09 Nov 2016 10:22 PM PST

    TUzo ya Best Worldwide Act Aliyopewa Wiz Kid Imerudishwa Kwa Mshindi Halali Ali Kiba Katika hatua ambayo imewafurahisha mashabiki wengi wa muziki nchini, MTV EMA wanadaiwa kumpokonya tuzo ya Best African Act na Worldwide Act, Wizkid na kumpa Alikiba ambaye alistahili kushinda. Siku chache zilizopita

    Magazeti ya Leo Alhamisi

    Posted: 09 Nov 2016 08:16 PM PST

    Dawa ya mpango wa uzazi kwa wanaume

    Posted: 09 Nov 2016 08:11 PM PST

    Dawa ya mpango wa uzazi kwa wanaume Image copyrightTHINKSTOCKImage captionDawa mpya ya mpango wa uzazi kwa wanaume Dawa inayotolewa kwa njiya ya sindano imetajwa kama mafanikio makubwa ya njiya ya mpango wa uzazi miongoni mwa wanaume.Watafiti kutoka Marekani wamesema dawa hiyo imefikia asili mia 96 ya mafanikio

    Maisha ni kuchagua sio kuchaguliwa-Klynn!

    Posted: 09 Nov 2016 08:01 PM PST

    Maisha ni kuchagua sio kuchaguliwa-Klynn!

    Ushauri kwa Mabinti wa Makamo Wenye Kiu na Ndoa.....

    Posted: 09 Nov 2016 08:01 PM PST

    Ushauri kwa Mabinti wa Makamo Wenye Kiu na Ndoa..... Leo nimeona nije hadharani hapa kutoa ushauri kwa mabinti wa makamo (30+yrs) ambao huenda kwa sababu za hapa na pale hawajafanikiwa kuingia kwenye ndoa wala kuwa na mahusiano yanayoashiria kuanzisha familia hivi karibuni. Msingi wa mada yangu umetokana na mabinti kadhaa

    Video:Idris Sultan Amkacha Wema Sepetu Kweupee...Wema Atamani Kulia

    Posted: 09 Nov 2016 08:00 PM PST

    Video:Idris Sultan Amkacha Wema Sepetu Kweupee...Wema Atamani Kulia Hii ilitokea juzi wakati wa fiesta ambapo mwandishi akiwa anamhoji Wema Sepetu, Idris aliyekuwa pembeni aliteleza kama maji na kutokomea kusikojulikana!Hali hiyo ilimuacha mlimbwende Wema kwenye taharuki na kupigwa mshangao hata kujibu maswali

    Martin Kadinda Amkana Wema Sepetu..Adai Yeye Sio Meneja Wake Toka 2014

    Posted: 09 Nov 2016 07:53 PM PST

    Martin Kadinda Amkana Wema Sepetu..Adai Yeye Sio Meneja Wake Toka 2014 Mbunifu huyo wa mavazi ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa yeye na Wema Sepetu ni kama kaka na dada na sio meneja wake tena. "Mimi kum-meneji Wema nimemaliza kama miaka miwili iliyopita, mkataba uliishia hapo, lakini tukasimama kama mtu na kaka

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 11, 2016, 11:27:00 PM11/11/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Chereko chereko kwa Nuh Mziwanda!

    Posted: 11 Nov 2016 08:09 PM PST

    Chereko chereko kwa Nuh Mziwanda! Katika baadhi ya instagram account za watu mbalimbali wamepost picha zikimuonesha Nuh Mziwanda na mpenzi wake kuwa wameamua kufunga ndoa, millardayo.com imeongea na Mziwanda na kuthibitisha kufunga ndoa lakini amesema

    Kifaa kutoka angani chaanguka Mynmar

    Posted: 11 Nov 2016 08:07 PM PST

    Kifaa kutoka angani chaanguka Mynmar Image copyrightYANNAING PYI SONE AUNGImage captionKifaa hicho kina urefu wa mita 4.5 na upana wa mita 1.2. Kifaa kikubwa cha chuma kimeanguka kutoka angani katika eneo la migodi Kaskazini mwa Myanmar Kifaa hicho cha muundo wa mviringo, kilichopatikana siku ya Ijumaa

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Posted: 11 Nov 2016 07:59 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    ELITREA: WANAUME WAPEWA AGIZO LA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA, KIFUNGO CHA MAISHA KUWAKABILI WATAKAOPUUZA

    Posted: 11 Nov 2016 07:55 PM PST

    ELITREA: WANAUME WAPEWA AGIZO LA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA, KIFUNGO CHA MAISHA KUWAKABILI WATAKAOPUUZA Wanaume nchini Elitrea wamepewa amri ya kuoa angalau wake wawili au zaidi kwa kila mwanaume huku adhabu ya kifungo cha maisha jela kutolewa kwa atakaekaidi amri hiyo ya serikali. Kwa mujibu wa serikali

    Godbless Lema Afikishwa Mahakani...Asomewa Mashtaka Haya

    Posted: 11 Nov 2016 07:54 PM PST

    Godbless Lema Afikishwa Mahakani...Asomewa Mashtaka Haya Arusha. Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless  Lema amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Lema anayekabiliwa na tuhuma za uchochezi amefikishwa mahakamani hapo kwa mapema leo (Ijumaa) asubuhi  akiwa na watuhumiwa wengine na kupelekwa moja kwa

    Vanessa Mdee Kuja na Reality Show yake Kupitia Youtube

    Posted: 11 Nov 2016 07:53 PM PST

    Vanessa Mdee Kuja na Reality Show yake Kupitia Youtube Katika kutengeneza muitikio mzuri zaidi wa album yake ya kwanza na inayosubiriwa kwa hamu, Money Mondays, Vanessa Mdee amepanga kuja na reality show. Show hiyo itakuwa ya dakika moja tu na itatoka kila wiki kupitia channel yake ya Youtube. Ametoa taarifa hiyo wakati

    Shilole Ampongeza Nuh Mziwanda baada ya Kufunga ndoa Kimya Kimya

    Posted: 11 Nov 2016 07:53 PM PST

    Shilole Ampongeza Nuh Mziwanda baada ya Kufunga ndoa Kimya Kimya Shilole amempongeza Nuh Mziwanda kwa kuongeza idadi ya wasanii walioukimbia ukapera baada ya kufunga ndoa kimya kimya na mpenzi wake Nawal. Kupitia mtandao wa Instagram, Shilole ameandika ujumbe unaosomeka, "Hongera Nuh Mwenyezi Mungu

    Hakeem 5: Ali Kiba Ana Roho Mbaya, Siwezi Kumuomba Msamaha

    Posted: 11 Nov 2016 07:53 PM PST

    Hakeem 5: Ali Kiba Ana Roho Mbaya, Siwezi Kumuomba Msamaha Msanii wa kitambo wa bongo flava, Hakeem5 akiulizwa kuhusu ushauri aliopewa na Abby Skills kuhusu kumuomba msamaha Ali kiba amedai katu hawezi kufanya jambo hilo Amesema yeye aliongea ukweli kuhusu Ali Kiba na ukweli sio lazima umfurahishe kila mtu.

    Alikiba Atoa Tamko, Awataka Mashabiki Waache Kumtukana Wizkid Aseme yeye ni Shabiki wa Wizkid

    Posted: 11 Nov 2016 07:52 PM PST

    Alikiba Atoa Tamko, Awataka Mashabiki Waache Kumtukana Wizkid Aseme yeye ni Shabiki wa Wizkid Hatamae Alikiba ametoa tamko rasmi kuwataka mashabiki wake kuacha kumtukana Wizkid kwenye mitandao , hii imetokana na alikiba kupewa tuzo ya MTV Ema aliyokuwa amepewa mwanzo Wizkid Mashabiki hao walivamia ukurasa wa Wizkid na kuporumosha

    Maneno ya Ali Kiba Baada ya MTV EMA Kutangaza Kumpokonya Wizkid Tuzo na Kumpa yeye

    Posted: 11 Nov 2016 07:27 AM PST

    Maneno ya Ali Kiba Baada ya MTV EMA Kutangaza Kumpokonya Wizkid Tuzo na Kumpa yeye Baada ya taarifa rasmi ya MTV EMA, Alikiba ameandika: Namshukuru MUNGU Na Shukrani kwa MTV kwa heshima hii, nina furaha sana kwa ushindi huu, ni heshima kwangu na nchi yangu Tanzania 🇹🇿 pamoja na East Africa nzima kiujumla. Shukrani sana

    Posted: 11 Nov 2016 07:27 AM PST

    Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy. Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi hapa nikamwambia mi

    Spika Amcharukia Mbunge Aliyetumia Kauli ya Gwajima

    Posted: 11 Nov 2016 07:26 AM PST

    Spika Amcharukia Mbunge Aliyetumia Kauli ya Gwajima Spika wa Bunge, Job Ndugai jana aligeuka mbogo bungeni baada ya Mbunge wa Mbozi (Chadema), Pascal Haonga kutumia kauli ya Askofu Josephat Gwajima kumuuliza spika, "amekula maharage ya wapi?" Kauli hiyo, "umekula maharage ya wapi" ilipata umaarufu Machi mwaka jana baada ya

    Abby Skills Amtaka Hakeem 5 Kumuomba Radhi Alikiba

    Posted: 11 Nov 2016 07:26 AM PST

    Abby Skills Amtaka Hakeem 5 Kumuomba Radhi Alikiba Msanii mkongwe wa muziki wa bongo fleva Abby Skills amemchana msanii mwezake Hakeem 5 kutuliza akili yake na arudi kwa Ally Kiba amuombe msamaha kwa kuwa Kiba hana tatizo na mtu. Akiongea ndani ya eNewz, Abby amesema Hakeem 5 alimkosea sana Alikiba na kumshauri arudi

    Mama Atukanwa Kwa Kumnyonyesha Mwanawe Mkahawani

    Posted: 11 Nov 2016 07:26 AM PST

    Mama Atukanwa Kwa Kumnyonyesha Mwanawe Mkahawani Mama mmoja amezungumza baada ya kutukanwa kwa kumnyonyesha mwanawe ndani ya mkahawa mmoja huko Belfast. Liz Skelcher alikuwa akimnyonyesha manawe wa wiki 11 Evie katika mkahawa wa Nandos wakati kisa hicho kilipotokea wiki iliopita. Mkahawa huo umesema kuwa unaruhusu

    Mashabiki Wavamia Page ya Instagram ya Wizkid na Kumporomoshea Matusi Baada ya Kunyanganywa Tuzo...Mwenyewe Asema Haya

    Posted: 10 Nov 2016 11:01 PM PST

    Mashabiki Wavamia Page ya Instagram ya Wizkid na Kumporomoshea Matusi Baada ya Kunyanganywa Tuzo...Mwenyewe Asema Haya Hapo awali, Wizkid hakuwa mtu aliyejishughulisha kabisa na masuala ya tuzo. Lakini siku za hivi karibuni baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo kwenye MTV MAMA, huenda aliamua kuufungua moyo wake.

    Tatizo la Fangasi Sehemu za Siri

    Posted: 10 Nov 2016 11:01 PM PST

    Tatizo la Fangasi Sehemu za Siri Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida albicans. Maambukizi haya pia hujulikana kama yeast infection au thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu

    Mwanamuziki Nuh Mziwanda Akata Shauri...Amuoa Msichana Huyu Kimya Kimya

    Posted: 10 Nov 2016 11:00 PM PST

    Mwanamuziki Nuh Mziwanda Akata Shauri...Amuoa Msichana Huyu Kimya Kimya Mkali wa wimbo Jike Shupa, Nuh Mziwanda ameingia kwenye list ya mastaa wa bongofleva waliofunga ndoa mwaka 2016 baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu aitwae Muimbaji huyo ambaye zamani alikuwa anatoka kimapenzi na Shilole amefunga

    Magazeti ya Leo Ijumaa

    Posted: 10 Nov 2016 09:04 PM PST

    Magazeti ya Leo Ijumaa

    Mwimbaji Jux Awachana MTV Kwa Kutaka Kumnyima Ali Kiba Tuzo

    Posted: 10 Nov 2016 08:59 PM PST

    Mwimbaji Jux Awachana MTV Kwa Kutaka Kumnyima Ali Kiba Tuzo Jux amewachana MTV kwa blunder waliyoifanya kwenye tuzo za EMA mwaka huu. Ni baada ya hapo awali kumtangaza Wizkid mshindi ilhali aliyepata kura nyingi alikuwa Alikiba – ambaye Jumatano hii wamempa ushindi na kumpokonya Mnaijeria huyo. Jux amesema kitendo hicho

    Mshindi wa Tuzo ya Nobel Wole Soyinka Adai 'Nitaondoka Marekani Trump akiapishwa'

    Posted: 10 Nov 2016 08:58 PM PST

    Mshindi wa Tuzo ya Nobel Wole Soyinka Adai 'Nitaondoka Marekani Trump akiapishwa' Mshindi wa Tuzo la Nobel na mwandishi raia wa Nigeria Wole Soyinka, anasema kuwa ataondoka Marekani siku ambayo Donald Trump ataapishwa kuwa rais. Wiki iliyopita Soyinka aliahidi kuwa angeirarua green Card yake, ikiwa Trump

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 12, 2016, 11:06:05 PM11/12/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SONGEA

    Posted: 12 Nov 2016 04:43 AM PST

    KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SONGEA  KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoa wa Ruvuma, kimefanyika Novemba 10,mwaka huu  kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.Kikao  hicho ambacho kiliongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo  Hassan Mshaweji  kimewapongeza

    UJUE UTAJIRI WA RAIS MTARAJIWA WA MAREKANI DONALD TRUMP JOHN

    Posted: 12 Nov 2016 04:43 AM PST

    UJUE UTAJIRI WA RAIS MTARAJIWA WA MAREKANI DONALD TRUMP JOHN  DONALD TRUMP JOHN alizaliwa 14 Juni 1946 huko Jamaica Estates, Queens akiwa ni mtoto wa pili kwenye familia ya watoto wanne wa familia ya Mary na Fred Trump na kukulia katika Jiji la New York,

    Gnabry aizodoa Arsenal Ujerumani ikitoa kipigo cha mbwa mwizi

    Posted: 12 Nov 2016 04:38 AM PST

    Gnabry aizodoa Arsenal Ujerumani ikitoa kipigo cha mbwa mwizi Kiungo wa zamani wa Arsenal Serge Gnabry amefunga hat-trick yake ya kwanza wakati Ujerumani ikiifedhehesha timu ya taifa ya San Marino kwa kipigo cha magoli 8-0 wakati wa mchezo uliokuwa wa upande mmoja kuwania tiketi ya kucheza michuano ya Kombe la Dunia

    Mange Kimambi na Ndoto yake ya Kugombea Ubunge 2020..Afunguka Haya Pamoja na Kutochukua Uraia wa Marekani

    Posted: 11 Nov 2016 11:58 PM PST

    Mange Kimambi na Ndoto yake ya Kugombea Ubunge 2020..Afunguka Haya Pamoja na Kutochukua Uraia wa Marekani Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020 Soma

    Wizkid Amtolea Uvivu Shabiki wa Tanzania Aliemtukana Instagram

    Posted: 11 Nov 2016 11:58 PM PST

    Wizkid Amtolea Uvivu Shabiki wa Tanzania Aliemtukana Instagram Baada ya Mtv ema kumpatia Alikiba tuzo ya african act kutoka kwa Wizkid ,mashabiki wa Tanzania hasa wa Alikiba wamevamia ukurasa wa Instagram wa star huyo wa Nigeria na kumtukana. Leo Wizkid ameshindwa kuvumilia baada ya shabiki mmoja kumtukania mama yake.

    Zitto Kabwe: Marehemu Samweli Sitta Amenilea kwa Kunisomesha

    Posted: 11 Nov 2016 11:57 PM PST

    Zitto Kabwe: Marehemu Samweli Sitta Amenilea kwa Kunisomesha Alfajiri ya tarehe 7 Novemba 2016, tunaamka na kukutana na habari za kusikitisha kuwa Mzee Samwel John Sitta, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangulia mbele ya haki. Babu alikuwa mgonjwa kwa kitambo kidogo akisumbuliwa na saratani ya

    Q-CHIEF Adai Patoranking Kasababisha Mpango Wake wa Kuoa Hivi Karibuni Usogee Mbele

    Posted: 11 Nov 2016 11:57 PM PST

    Q-CHIEF Adai Patoranking Kasababisha Mpango Wake wa Kuoa Hivi Karibuni Usogee Mbele Msanii mkongwe katika tasnia ya bongo fleva Q Chief amefunguka na kusema kuwa haikuwa jambo dogo na jepesi kufanya collabo na msanii Patoranking kutoka nchini Nigeria. #Chillah amedai kuwa pesa nyingi zimetumika kufanikisha collabo

    Amber Lulu: Sijiachii Utupu Ili Nitamaniwe

    Posted: 11 Nov 2016 11:57 PM PST

    Amber Lulu: Sijiachii Utupu Ili Nitamaniwe MWANAMITINDO ambaye pia ni muuza nyago kwenye video za Kibongo, Lulu Auggen 'Amber Lulu' ameweka wazi juu ya picha anazoposti kwenye mitandao ya kijamii zinazomuonesha akiwa nusu utupu kuwa haweki hivyo kutamanisha wanaume. Akizungumza na Global TV Online kupitia kipindi cha

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 13, 2016, 10:57:54 PM11/13/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    DULLY SYKES ASEMA SIO LAZIMA KILA MSANII AJUE KUTUNGA NYIMBO

    Posted: 12 Nov 2016 08:16 PM PST

    DULLY SYKES ASEMA SIO LAZIMA KILA MSANII AJUE KUTUNGA NYIMBO DULLY Sykes amewataka wasanii wenzake wa muziki wa Kizazi Kipya kuacha kulazimisha kutunga nyimbo huku wakiwa hawana uwezo huo na badala yake wakubali kutungiwa ili waweze kutoa kazi zenye ubora. "Binafsi

    MATONYA ASEMA MAMBO YA "KAMGAMBILE" HAYAPI NAFASI KWENYE MUZIKI WAKE

    Posted: 12 Nov 2016 08:16 PM PST

    MATONYA ASEMA MAMBO YA "KAMGAMBILE" HAYAPI NAFASI KWENYE MUZIKI WAKE MATONYA amesema kuwa mambo ya "ndumba" hayana nafasi kwenye muziki wake kwa madai kwamba kuyatumia ni sawa na kujiharibia mbele ya mashabiki na kujikuta amepotea.   "Katika maisha yangu huwa siamini ndumba

    Mwanamuziki TID Awashukia Clouds FM...Adai Kuwashitaki Wamlipe Milioni Mia Tano

    Posted: 12 Nov 2016 08:15 PM PST

    Mwanamuziki TID Awashukia Clouds FM...Adai Kuwashitaki Wamlipe Milioni Mia Tano  Mwanamuziki TID inaonekana amejiunga na Vita iliyoanzishwa na Lady Jay Dee dhidi ya Radio Clouds FM Baada ya makala moja kutoka huku ikisema kuwa Album ya TID iliyomtoa Sauti ya Dhahabu kuwa alifanywa na Clouds FM HII NI DHULUMA

    Maandamano ya Kumpinga Trump Yaingia Usiku wa Tatu

    Posted: 12 Nov 2016 08:15 PM PST

    Maandamano ya Kumpinga Trump Yaingia Usiku wa Tatu Maandamano yameendelea nchini Marekani dhidi ya Donald Trump katika miji kadhaa ya Marekani kwa usiku wa tatu mfululizo. Mjini portland katika jimbo la Oregon polisi walitumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya mamia ya waandamanaji waliyokuwa wakiandamano kutoka kila upande

    Kibonge Sexy: Mi na Chid Benz Tumebaki Marafiki Tu...Naposti Picha Nusu Utupu Kwa Ajili ya Biashara

    Posted: 12 Nov 2016 08:15 PM PST

    Kibonge Sexy: Mi na Chid Benz Tumebaki Marafiki Tu...Naposti Picha Nusu Utupu Kwa Ajili ya Biashara ALIYEKUWA demu wa staa wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz', Bhoke 'Kibonge Sexy' kwa mara ya kwanza amefungukia uhusiano wao kuwa kwa sasa hawako kimapenzi kama zamani. Akichonga na Global TV Online leo, Bhoke ambaye pia

    Michirizi Inayoonekana Kwenye Miili ya Akina Dada Inaashiria Nini?

    Posted: 12 Nov 2016 08:14 PM PST

    Michirizi Inayoonekana Kwenye Miili ya Akina Dada Inaashiria Nini? Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao kama Mwana FA alivyoimba  "Michirizi ya utamu nyuma ya goti mimi hoi na moyo hai sio toi "  au ugonjwa wa ngozi?

    Mange Kimambi Atoa Ushauri Kwa Wasanii Kuhusu Unyonyaji Unaosemekana Unaofanywa na Clouds FM Kwa Wasanii...

    Posted: 12 Nov 2016 08:14 PM PST

    Mange Kimambi Atoa Ushauri Kwa Wasanii Kuhusu Unyonyaji Unaosemekana Unaofanywa na Clouds FM Kwa Wasanii... Mange Kimambi Amefunguka na kuwashauri wasanii wa Bongo Flava kuhusu Radio Clouds FM ambayo wasanii wengi wamekuwa wakilalamika chini chini kuwa inawanyonya, ameandika haya hapa chini: Mange Kimambi

    Boss Ananitaka Kingono, Nipo Njia Panda Naomba Ushauri

    Posted: 12 Nov 2016 08:05 PM PST

    Boss Ananitaka Kingono, Nipo Njia Panda Naomba Ushauri Katika harakati za kutafuta kazi nilibahatika kufika ofisi moja maeneo ya Mwenge (Dar es salaam) kwangu ilikua faraja kubwa sababu kiukweli nilikua nahangaika sana na hali ya ugumu wa maisha na sikutaka kabisa kuwa tegemezi kwa mtu yoyote (wakiwemo wazazi) niliamini kunipa elimu

    Trump: Sitafuta mpango wa Obamacare

    Posted: 12 Nov 2016 08:04 PM PST

    Trump: Sitafuta mpango wa Obamacare Rais mteule wa Marekani Donald Trump aliyefanya kampeini ya kupinga Bima ya afya inayofaahamika kama Obama care, sasa amesema atafanyia marekebisho machache kipengee cha sheria juu ya bima hiyo ya matibabu kwa gharama nafuu. Katika mahojiano ya kwanza tangu

    Magazeti ya Leo Jumapili

    Posted: 12 Nov 2016 07:52 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumapili

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 14, 2016, 11:23:15 PM11/14/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Kwanini Seline Ameondoka The Industry? Haya ni Majibu Toka kwa Navy Kenzo na yeye Mwenyewe

    Posted: 14 Nov 2016 05:21 AM PST

    Kwanini Seline Ameondoka The Industry? Haya ni Majibu Toka kwa Navy Kenzo na yeye Mwenyewe May 6 mwaka huu, label ya The Industry inayomilikiwa na Nahreel na Aika (Navy Kenzo) iliwatambulisha wasanii wake watatu, Rosa Ree, Seline na Wildad. Baada tu ya kuwatambulisha, walianza kwa kuachia kazi ya Seline iliyoitwa

    ACT-Wazalendo walaani kauli ya Serikali kutowajengea wananchi......Wadai kauli hiyo ni fedheha kwa waathirika na Wadau.

    Posted: 14 Nov 2016 05:20 AM PST

    ACT-Wazalendo walaani kauli ya Serikali kutowajengea wananchi......Wadai kauli hiyo ni fedheha kwa waathirika na Wadau. Watanzania wanakumbuka kuwa mnamo tarehe 10 Septemba, 2016 lilitokea tetemeko la ardhi katika eneo la Kanda ya Ziwa na hususan Mkoa wa Kagera. Tetemeko hilo lilisababisha athari mbalimbali

    Martin Kadinda Afunguka Asema Wema Sepetu Anaangushwa na Marafiki zake

    Posted: 14 Nov 2016 05:20 AM PST

    Martin Kadinda Afunguka Asema Wema Sepetu Anaangushwa na Marafiki zake Mbunifu wa mavazi kutoka Bongo, Martini Kadinda amesema hawezi kumchagulia Wema Sepetu marafiki wa kuwa nao karibu na hawezi kujiingiza kwa lolote katika ugomvi wao. Akipiga story ndani ya eNewz, Kadinda amesema ugomvi ambao unatokana na marafiki

    Kulikoni Ikulu, Serikali na CCM Wanachelewa Kutoa Majibu ya Tuhuma za Msingi Kama Hizi?

    Posted: 14 Nov 2016 05:20 AM PST

    Kulikoni Ikulu, Serikali na CCM Wanachelewa Kutoa Majibu ya Tuhuma za Msingi Kama Hizi? Ndugu wapendwa, kumezuka tuhuma nyingi wiki iliyopita...kwanza ilikuwa ya mhe. Mbowe bungeni, ya wabubge hupewa ten M, akanyamazishwa. Tukasubiri tamko la chama tawala kimya, serikalini kimya, ikulu kwa rais kimya hadi leo.

    Man Tattoo's 'Trump is not my President' on his body

    Posted: 13 Nov 2016 11:32 PM PST

    Man Tattoo's 'Trump is not my President' on his body A US man tattooed 'Trump is not my f*king president' on his body. Well, now he has Trump's name on his back forever, not so smart after all.

    Domestic Violence: Zenith Bank reportedly sacks John Edobor, who is charged with attempted murder of his wife

    Posted: 13 Nov 2016 10:58 PM PST

    Domestic Violence: Zenith Bank reportedly sacks John Edobor, who is charged with attempted murder of his wife According to one of Ivie Edobor's lawyers, Emeka Ugwuonye, Zenith Bank has fired Mr John Edobor, who is currently standing trial for the attempted murder of of his estranged wife. The accused and some hired thugs stormed

    The age gap between Madonna's hand and her young looking face

    Posted: 13 Nov 2016 10:55 PM PST

    The age gap between Madonna's hand and her young looking face This picture has been making the rounds on the Internet with people checking out the difference in age between Madonna's young looking face and her real age through her hands.

    I can enter US because I'm not black- Bobrisky

    Posted: 13 Nov 2016 10:54 PM PST

    I can enter US because I'm not black- Bobrisky Bobrisky took to his Snapchat account to mock dark skinned people, adding that he can go to the US  because he is not dark skinned. He also talked about sex and dinner with his 'bae'. More photos after the cut...

    Nick wa Pili: Hatumminyi Lord Eyez, Bado Amesimamishwa

    Posted: 13 Nov 2016 10:52 PM PST

    Nick wa Pili: Hatumminyi Lord Eyez, Bado Amesimamishwa Nick wa Pili amekanusha madai yaliyowahi kutolewa na rapper Lord Eyez dhidi ya member wengine wa Weusi kuwa wamekuwa wakimminya. Akizungumza na mtangazaji wa Jembe FM, JJ, Nick ambaye ni msemaji wa kundi/kampuni hiyo, amesema Lord Eyez bado amepigwa benchi. "Kama

    Facebook Yakana Kumsaidia Ushindi Donald Trump

    Posted: 13 Nov 2016 10:50 PM PST

    Facebook Yakana Kumsaidia Ushindi Donald Trump Mwanzilishi wa mtandao wa facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa atatumia kila njia kukabiliana na habari za uongo,huku akikana madai kwamba mtandao huo ulimsaidia rais mteule wa Marekani Donald Trump.Mark Zuckerberg akana facebook ilimsaidia Donald Trump kushinda uchaguzi

    Donald Trump Kuwarejesha Wahamiaji Marekani Kwao

    Posted: 13 Nov 2016 10:49 PM PST

    Donald Trump Kuwarejesha Wahamiaji Marekani Kwao Donald Trump asema kati ya wahamiaji haramu milioni mbili ama tatu watasafirishwa kutoka Marekani baada ya kuapishwa kuwa rais wa chi hiyo. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Marekani,CBS, Trump amesema wahamiaji wote wenye rikodi za uhalifu, ikiwemo makundi ya

    Baraka Da Prince Anahitaji Msaada wa Haraka

    Posted: 13 Nov 2016 10:48 PM PST

    Baraka Da Prince Anahitaji Msaada wa Haraka MTOTO wa miaka miwili badala ya kusema kikombe akatoa tusi, hufai kumpiga wala kumgombeza. Unachotakiwa kufanya ni kumtia nguvu katika juhudi zake za kujifunza na kumwambia kwa usahihi neno kikombe linavyotamkwa. Hivyo ndivyo hata kwa mtu mgeni katika miji mikubwa. Mshamba

    WAZIRI WA MICHEZO ARIDHISHWA NA UKARABATI UWANJA WA NYAMAGANA

    Posted: 13 Nov 2016 09:39 PM PST

    WAZIRI WA MICHEZO ARIDHISHWA NA UKARABATI UWANJA WA NYAMAGANA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nhauye (wa nne kulia), akiteta jambo la Afisa Habari, ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Atley Kuni (wa tatu kushoto) alipotembelea uwanja mkongwe wa Nyamagana Jijini Mwanza hii leo ili kujionea

    Magazeti ya Leo Jumatatu

    Posted: 13 Nov 2016 09:06 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumatatu

    Hii Ndio Kauli ya Basata Kuhusu Tetesi za Kuwepo Kwa Bifu Kati ya Alikiba na Diamond

    Posted: 13 Nov 2016 09:05 PM PST

    Hii Ndio Kauli ya Basata Kuhusu Tetesi za Kuwepo Kwa Bifu Kati ya Alikiba na Diamond Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) ambalo ni walezi wa wasanii pamoja shughuli za sanaa nchini, limekiri kusikia tetesi ya bifu inayoendelea kati ya mastaa wawili wa muziki nchini, Ali Kiba na Diamond. Akizungumza na Bongo5 wiki hii,

    Nilifanya Collabo na AliKiba Nipate Ugali-Ommy Dimpoz Afunguka

    Posted: 13 Nov 2016 09:00 PM PST

    Nilifanya Collabo na AliKiba Nipate Ugali-Ommy Dimpoz Afunguka Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa amerudi kwenye game na kolabo ya wimbo wa 'Kajiandae' aliyofanya na Alikiba tena, ametoa sababu ya kuamua kufanya tena kollabo na msanii huyo. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television na East Africa Radio, Ommy

    Rapper wa Kike Chemical Adai yeye Bado ni Bikra Hajawahi Guswa na Mwanaume

    Posted: 13 Nov 2016 09:00 PM PST

    Rapper wa Kike Chemical Adai yeye Bado ni Bikra Hajawahi Guswa na Mwanaume Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la "I'M SORRY MAMA" mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu azaliwe). Chemical ameongea

    Video ya Wema Sepetu Akipeana Mate na Calisah Kitandani Yavuja..Itazame Hapa

    Posted: 13 Nov 2016 09:00 PM PST

    Video ya Wema Sepetu Akipeana Mate na Calisah Kitandani Yavuja..Itazame Hapa Video imevuja ya mwadada Sepenga akifanya yake ,juzi kati alihojiwa juu ya mahusiano yake na Calisah alimkana akasema ni rafiki na hawajawahi fanya lolote, sasa leo Video imevuja huko instagram kila page inatembea anakiss na huyu dogo,huyu ndio Wema

    Nilipumzika Muziki Kula Bata – Ommy Dimpoz

    Posted: 13 Nov 2016 08:59 PM PST

    Nilipumzika Muziki Kula Bata – Ommy Dimpoz Msani Ommy Dimpoz amesahihisha mashabiki walipokuwa wakisema msanii huyo kafulia baada ya kukaa kimya muda mrefu kwenye game, na kusema aliamu tu kupumizka kwa muda na si kama alifulia. Ommy Dimpoz akiwa na Rooney Visiwani humo Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television, Ommy

    TID Aituhumu Clouds FM Kuuza wimbo ‘Zeze’ Marekani Bila Makubaliano (Video)

    Posted: 13 Nov 2016 08:59 PM PST

    TID Aituhumu Clouds FM Kuuza wimbo 'Zeze' Marekani Bila Makubaliano (Video) Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed aka TID ameingia kwenye mgogoro na kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kukituhumu kituo hicho kimejiingizia fedha kwa kuhadaa wao ndio waliotayarisha wimbo wa Zeze. Muimbaji huyo ametoa tuhuma hizo

    Mbunge Godbless Lema Akipona Katika Hili Abadili Mbinu zake Katika Siasa

    Posted: 13 Nov 2016 08:58 PM PST

    Mbunge Godbless Lema Akipona Katika Hili Abadili Mbinu zake Katika Siasa Siasa za kutengeneza matukio ya kujiongezea umaarufu zinaanza kumwendea vibaya Lema. Idadi ya watu waliojitokeza mahakamani katika kesi ya Lema leo imekuwa ndogo sana ukilinganisha na uhamasishaji uliofanyika. Picha zinazorushwa kutoka

    Alikiba Afunguka Kuhusu Ugomvi wake na Hakeem 5

    Posted: 13 Nov 2016 08:58 PM PST

    Alikiba Afunguka Kuhusu Ugomvi wake na Hakeem 5 Stori hii ilianza baada ya Abby Skills kusema Hakeem 5 lazima amuombe msamaha Ali Kiba ili wafanye kazi tena na mambo yake yaende sawa. Ali Kiba alisema "Kuhusu Hakeem 5, naweza kusema kwanza ni ndugu yangu kama Abby Skills na wengine. Tunaheshimiana nae sana. Sina

    Kundi la Kigaidi la ISIS Lapiga Marufuku Uvaaji was Chupi na Boxers Kwa Wanaume

    Posted: 13 Nov 2016 08:57 PM PST

    Kundi la Kigaidi la ISIS Lapiga Marufuku Uvaaji was Chupi na Boxers Kwa Wanaume Kile kikundi cha kigaidi kijulikanacho na kuogopwa kwa ukatili wa kutisha hili kuleta hofu kimeenda hatua zaidi mbele kwa kuweka sheria kali. Wahuni hao Wamepiga marufuku uvaaji wa boxer na Chupi kwa wanaume kwasabab ni kimagharibi

    MAMBO USIYOYAFAHAMU KUHUSU MKE WA RAIS MEULE WA MAREKANI MELANIA TRUMP

    Posted: 13 Nov 2016 08:57 PM PST

    MAMBO USIYOYAFAHAMU KUHUSU MKE WA RAIS MEULE WA MAREKANI MELANIA TRUMP Melanie Trump ambaye ni mke halali Rais mteule wa Marekani Donald Trump, alizaliwa April 26,1970 mjini Novo Mesto Yugoslavia. Alizaliwa na kupewa jina la Melanija Knavs baadae akabadilisha kuwa Melania Knauss. Melania Trump

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 15, 2016, 10:59:07 PM11/15/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Samuel Jackson Agoma Kuhama Marekani Kama Alivyohaidi Baada ya Donald Trump Kushinda urais

    Posted: 15 Nov 2016 10:36 AM PST

    Samuel Jackson Agoma Kuhama Marekani Kama Alivyohaidi Baada ya Donald Trump Kushinda urais Ahadi ni deni – muigizaji mkongwe wa Marekani, Samuel L. Jackson ameonekana kuipinga ahadi yake aliyowahi kuitoa kuwa atahamia Afrika Kusini endapo Donald Trump atateuliwa kuwa Rais wa nchi hiyo. Kupitia mitandao yake ya

    Serikali Yasema Haya Kuhusu MISS TANZANIA’ – Waziri Nape

    Posted: 15 Nov 2016 10:36 AM PST

    Serikali Yasema Haya Kuhusu MISS TANZANIA' – Waziri Nape November 14, 2016 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye alikutana na waandishi wa habari kuzungumza masuala mbalimbali ya michezo ikiwemo matatizo yaliyotatuliwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania 2016. Akizungumza mbele ya waandishi wa habari

    Unakumbuka Bifu ya TID na Dully Sykes...Dully Afunguka Haya

    Posted: 15 Nov 2016 10:35 AM PST

    Unakumbuka Bifu ya TID na Dully Sykes...Dully Afunguka Haya Hapo zamani, Dully Sykes na TID walikuwa kama paka na panya. Na sasa Dully ameibuka na kudai umri wake na pia kuwa na majukumu mengi, vilimfanya asione umuhimu wa kuendelea na tofauti zao. Alikuwa akizungumza tofauti zilizopo kati ya Diamond na Alikiba na kudai kuwa

    Makamu wa Rais Samia Suluhu Aokoa Milioni 33 Kwa Kupanda ndege ya ATCL kwenda Mwanza

    Posted: 15 Nov 2016 10:35 AM PST

    Makamu wa Rais Samia Suluhu Aokoa Milioni 33 Kwa Kupanda ndege ya ATCL kwenda Mwanza Katika  kuendelea kujenga dhana ya kubana matumizi ya fedha za serikali, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesafiri kwa ndege ya abiria ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza na kuokoa zaidi ya Sh milioni 33.

    Fuata Njia Hizi, Mwanamke Hakukatai Ng`oo Hata Awe Vipi

    Posted: 15 Nov 2016 10:34 AM PST

    Fuata Njia Hizi, Mwanamke Hakukatai Ng`oo Hata Awe Vipi Kifupi unakuta mwanaume ana status nzuri tu lakini anakosa mwanamke anayejielewa.yaani wengine hadi wananiuliza sometimes mimi "hivi wewe unawapataje wanawake wazuri na wanaojimbua hivo". Sasa leo nimeona ni vyema nikishare na nyinyi namna ya kumnasa demu hata

    Masanja Mkandamizaji Adai Anampenda Monica Mpaka Wanawake Wengine Anawaona ni Wavulana

    Posted: 15 Nov 2016 10:33 AM PST

    Masanja Mkandamizaji Adai Anampenda Monica Mpaka Wanawake Wengine Anawaona ni Wavulana Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji amefunguka ya moyoni kuhusu mkewe wake na kuandika yafuatayo.....

    Channel Mpya DSTV TRACE MUZIKI Kwa Ajili ya Afrika Mashariki Inaboa

    Posted: 15 Nov 2016 10:33 AM PST

    Channel Mpya DSTV TRACE MUZIKI Kwa Ajili ya Afrika Mashariki Inaboa Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa Channel mpya ya DSTV kwa ajili ya East Africa inayoitwa Trace Muziki Kwa ajili ya kupiga ngoma za wanamuziki wa kutoka afrika mashariki, lakini nimekuwa disappointed kwani wanarudia nyimbo mpaka zinaboa, ni kama wana play list

    Haya ndio madhara 6 ya kutoa Mimba

    Posted: 15 Nov 2016 10:32 AM PST

    Haya ndio madhara 6 ya kutoa Mimba Kutoa mimba ni nini? Hii ni hali ya mwanamke kwa hiari yake mwenyewe kuharibu mimba iliyoingia ndani ya kizazi chake. Kutokana kuongezeka kwa idadi ya mahusiano duniani na kutotumia njia za uzazi wa mpango kwa watu wengi walioko kwenye mahusiano, wasichana wengi kwa sasa wanatoa

    TB Joshua Afunguka 'issue' ya kumtabiria Clinton Ushindi Marekani Ambao Uligonga Mwamba

    Posted: 15 Nov 2016 10:32 AM PST

    TB Joshua Afunguka 'issue' ya kumtabiria Clinton Ushindi Marekani Ambao Uligonga Mwamba Mhubiri mashuhuri raia wa Nigeria TB Joshua amevunja kimya baada ya utabiri wake kuwa mgombea urais nchini Marekani Hillary Clinton angeshinda, kugonga mwamba. Mhubiri huyo alikejeliwa kwenye mitandao ya kijamii wakati ujumbe wa

    HEKAHEKA: Majibu ya Cheki Budi Kuhusu Mtoto Anayedaiwa ni Wake

    Posted: 15 Nov 2016 10:31 AM PST

    HEKAHEKA: Majibu ya Cheki Budi Kuhusu Mtoto Anayedaiwa ni Wake Leo November 15 2016 Heka Heka ya Leo Tena ndani ya Clouds FM imefanya muendelezo wa hekaheka ya jana iliyohusu mtoto ambaye alifika katika Studio za Clouds FM siku ya Ijumaa November 11 2016 na kukutana na Geah Habibu akiomba kukutanishwa na baba yake

    Calisah Azidi Kuvujisha Picha za Wema Sepetu

    Posted: 15 Nov 2016 10:31 AM PST

    Calisah Azidi Kuvujisha Picha za Wema Sepetu Hii ni fundisho kwa wanawake wote usiparamie Mwanaume hovyo kabla hujamjua vingenevyo muanze na system ya Kugegendwa gizani..Baada ya Video wakilana Denda sasa ni hizi Picha

    Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Yakwama Kusikilizwa..

    Posted: 15 Nov 2016 10:31 AM PST

    Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Yakwama Kusikilizwa.. Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatua hiyo ni baada ya Mbunge huyo kukwama kuletwa

    Orodha ya Vyuo 26 Vilivyofutiwa Usajili na NACTE Leo

    Posted: 15 Nov 2016 10:29 AM PST

    Orodha ya Vyuo 26 Vilivyofutiwa Usajili na NACTE Leo Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifungia vyuo vya ufundi 26 kutokana na makosa mbalimbali, ikiwamo kushindwa kuzingatia masharti yaliyowekwa katika cheti cha usajili wa vyuo hivyo, huku likisimamsisha utoaji wa programu zilizokuwa zikitolewa katika vyuo 20 ambazo

    Wanafunzi Wakumbwa na Ugonjwa wa Kuanguka Ovyo

    Posted: 15 Nov 2016 10:29 AM PST

    Wanafunzi Wakumbwa na Ugonjwa wa Kuanguka Ovyo Wanafunzi wa kike 12 wanaosoma Shule ya Msingi Nditi, Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, wamekumbwa na ugonjwa wa kuanguka ghafla na wengine kupoteza fahamu, walipokuwa wakicheza katika viwanja vya shule hiyo. Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Amon Livigha, alikiri kutokea tukio

    Calisah Aachiwa Baada ya Kulala Polisi Kwa Tuhuma ya Kusambaza Video ya Utupu ya Wema Sepetu

    Posted: 15 Nov 2016 10:29 AM PST

    Calisah Aachiwa Baada ya Kulala Polisi Kwa Tuhuma ya Kusambaza Video ya Utupu ya Wema Sepetu Mode Calisah ameachiwa jioni hii baada ya siku ya jana kushikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kusambaza mitandaoni video ya utupu ya Wema Sepetu. Akiongea na Bongo5 jioni kwa njia ya simu wakati akielekea nyumbani

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 16, 2016, 10:47:49 PM11/16/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    MREMBO ASHANTI AFANYA HAYA MTANDAONI

    Posted: 16 Nov 2016 07:47 PM PST

    MREMBO ASHANTI AFANYA HAYA MTANDAONI

    MSANII CHARLES BABA KUACHIA KOLABO YAKE NA BARNABA

    Posted: 16 Nov 2016 07:47 PM PST

    MSANII CHARLES BABA KUACHIA KOLABO YAKE NA BARNABA Kwenye interview na Sammisago.Com Msanii wa muziki wa dance Charles Babaamesema kwa sasa anafanya kazi kama Solo artist na tayari ana colabo na msanii wa bongo fleva Barnaba. "Nimefanya wimbo wangu

    MSANII MADEE AFUNGUKA HAYA KUHUSU TIP TOP CONNECTION

    Posted: 16 Nov 2016 07:47 PM PST

    MSANII MADEE AFUNGUKA HAYA KUHUSU TIP TOP CONNECTION Kundi Maarufu la Muziki hapa Tanzania la Tip Top Connection lenye makazi yake Manzese hapa jijini Dar es salaam, Good news ni kwamba Lipo mbioni kuongeza msanii mwingine mpya mwakani. Kundi hilo linaloundwa na wasanii watatu mpka sasa ambao ni Madee,

    TAZAMA PICHA ZA AVRIL ALIZO TUPIA MTANDAONI

    Posted: 16 Nov 2016 07:46 PM PST

    TAZAMA PICHA ZA AVRIL ALIZO TUPIA MTANDAONI

    MTANGAZAJI ELIZABETH IRUNGU ATUPIA PICHA HIZI AKIWA NA MPENZI WAKE

    Posted: 16 Nov 2016 07:46 PM PST

    MTANGAZAJI ELIZABETH IRUNGU ATUPIA PICHA HIZI AKIWA NA MPENZI WAKE

    MREMBO BELLA REINA ATUPIA PICHA ZENYE UTATA HUKO INSTAGRAM

    Posted: 16 Nov 2016 07:46 PM PST

    MREMBO BELLA REINA ATUPIA PICHA ZENYE UTATA HUKO INSTAGRAM

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 17/11/2016 LIVE

    Posted: 16 Nov 2016 07:46 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 17/11/2016 LIVE

    Donald Trump Azikataa Dola 400,000 za Mshahara wa Rais..Adai Atajilipa Dola 1 Kwa Mwaka

    Posted: 16 Nov 2016 07:45 PM PST

    Donald Trump Azikataa Dola 400,000 za Mshahara wa Rais..Adai Atajilipa Dola 1 Kwa Mwaka Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema hataki kulipwa mshahara wa rais wa $400,000 atakapochukua hatamu Januari mwakani. Badala yake atakuwa akilipwa dola moja ya Marekani ($1) pekee kila mwaka  sawa na shilingi 2000 ya kitanzania.

    Nisha Bebe Alia Tena...Apewa Ujauzito na Kuachwa Solemba, Atuma Ujumbe Huu Kwa Muhusika

    Posted: 16 Nov 2016 07:44 PM PST

    Nisha Bebe Alia Tena...Apewa Ujauzito na Kuachwa Solemba, Atuma Ujumbe Huu Kwa Muhusika Msanii Nisha kwa mara nyingine tena amepata title ya u 'single parent'... Ni baada ya kupewa mimba na kisha kuachana na baby dady wa kijacho hiko bila hata kusubiri mrembo huyo ajifungue.....

    Kibosile Amtema Mrembo Tunda Baada ya Kugundua Anachepuka na Diamond

    Posted: 16 Nov 2016 07:44 PM PST

    Kibosile Amtema Mrembo Tunda Baada ya Kugundua Anachepuka na Diamond Kibosile aliyekuwa anam sponsor mrembo Tunda, ikiwa ni apamoja na kumjengea nyumba ya milioni 100 , gari pamaoja na kumpa fedha nyingi za matumizi amemtema Sikiliza Hii Hapa chini ni baada ya kugundua mrembo huyo anatoka na mwanamuziki Diamond

    Lady Jay Dee Afunga Ndoa Tena..Apost Picha Akiwa Honey Moon

    Posted: 16 Nov 2016 07:44 PM PST

    Lady Jay Dee Afunga Ndoa Tena..Apost Picha Akiwa Honey Moon Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar

    SHIRIKA LA NDEGE LA RWANDAIR LAPOKEA NDEGE YAKE NYINGINE MPYA AINA YA BOENG 737-800

    Posted: 16 Nov 2016 07:38 PM PST

    SHIRIKA LA NDEGE LA RWANDAIR LAPOKEA NDEGE YAKE NYINGINE MPYA AINA YA BOENG 737-800 LEO Baada ya kupokea ndege mpya aina ya Airbus mwezi wa tisa mwaka huu, Shirika la ndege la Rwandair limepokea tena ndege nyingine mpya aina ya Boeing 737-800 kizazi kipya yenye kubeba abiria 154.

    JAJI MKUU MGENI RASMI MASHINDANO YA GOLF YA WAITARA TROPHY

    Posted: 16 Nov 2016 07:37 PM PST

    JAJI MKUU MGENI RASMI MASHINDANO YA GOLF YA WAITARA TROPHY Na Luteni Selemani Semunyu JAJI Mkuu wa Tanzania Mh Othman Chande anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika mashindano ya gofu ya Mkuu wa Majeshi mstaafu Generali Geogre Waitara maarufu Waitara Trophy 2016.

    "MPEMBA" NA WATUHUMIWA VINARA WATANO WA NYARA ZA SERIKALI WAPANDISHWA MAHAKAMANI

    Posted: 16 Nov 2016 07:35 PM PST

    BREAKING NEWZZZZZZZ."MPEMBA" NA WATUHUMIWA VINARA WATANO WA NYARA ZA SERIKALI WAPANDISHWA MAHAKAMANI LEO Habari na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam. Yusuf Ali "Mpemba"

    JOKATE,ABDU KIBA NA WENGINEO KUANZA KUACHIA KAZI CHINI YA LABEL YA ALI KIBA ' KING,S MUSIC'

    Posted: 16 Nov 2016 07:33 PM PST

    JOKATE,ABDU KIBA NA WENGINEO KUANZA KUACHIA KAZI CHINI YA LABEL YA ALI KIBA ' KING,S MUSIC' Alikiba amewataja wasanii ambao wapo chini ya lebo yake ya King's Music wakiwemo Jokate, Abdu Kiba, Delila, Abby Skills na Brown Mauzo wa Kenya kuwa ni baadhi ya wasanii ambao wapo chini ya label yake ambayo ameedai

    CALISAH ATANGAZA VITA KWA ALIYEVUJISHA VIDEO YA WEMANA KUSABABISHA KIFO CHA BIBI YAKE

    Posted: 16 Nov 2016 07:27 PM PST

    CALISAH ATANGAZA VITA KWA ALIYEVUJISHA VIDEO YA WEMANA KUSABABISHA KIFO CHA BIBI YAKE Model Calisah ametangaza vita kwa aliyevujisha na kusambaza mtandaoni video inayomuonyesha akimla denda malkia wa filamu Wema Sepetu. Mapema wiki hii model huyo aliiambia Bongo5 kuwa video hiyo

    ZARI THE BOSS LADY HATARINI KUWA KICHAA ASEMA DAKTARI,AFUNGUKA LIVE

    Posted: 16 Nov 2016 07:26 PM PST

    ZARI THE BOSS LADY HATARINI KUWA KICHAA ASEMA DAKTARI,AFUNGUKA LIVE

    KHADIJA YUSUF ATAJA SABABU HII YA JAHAZI KUVUNJIKA

    Posted: 16 Nov 2016 07:26 PM PST

    KHADIJA YUSUF ATAJA SABABU HII YA JAHAZI KUVUNJIKA Hapo siku za nyuma msanii wa kundi la Jahazi Amigo, aliwahi kusikika akisema baada ya Mzee kuacha muziki wasanii walianza kuyumba kiuchumi na baadhi ya wasanii kuona maisha yao yatakuwa magumu na kuanza kuhama mpaka sasa wamebaki

    HIZI NDIO MALI ZAKE ZA MREMBO VERA SIDIKA ALIZO ONYESHA MTANDAONI

    Posted: 16 Nov 2016 07:25 PM PST

    HIZI NDIO MALI ZAKE ZA MREMBO VERA SIDIKA ALIZO ONYESHA MTANDAONI Mrembo maarufu wa Kenya, Vera Sidika ameonyesha kuwa na yeye ni miongoni mwa mastaa wanaomiliki vitu vya thamani. Kupitia mtandao wa Instagram,

    STAA OMMY DIMPOZI ASEMA HAYA KUHUSU MUBENGA

    Posted: 16 Nov 2016 07:25 PM PST

    STAA OMMY DIMPOZI ASEMA HAYA KUHUSU MUBENGA Msanii Ommy Dimpoz amekanusha tetesi za kuwa na ugomvi na aliyekuwa 'business partiner' ambaye pia alikuwa meneja wake maarufu kwa jina la Mubenga, baada ya kila mmoja kuchukua hamsini zake na kufanya yake. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa

    STAA JOKATE MWEGELO AZUA GUMZO KWA PICHA HIZI

    Posted: 16 Nov 2016 10:22 AM PST

    STAA JOKATE MWEGELO AZUA GUMZO KWA PICHA HIZI Watu Wabaya, Picha ya Jokate ya zamani akiwa amekumbatiana na Calisah imeubuliwa na kuzua sintofahamu huku wengine wakisema Jokate alishatoka na Mwanaume huyo ambae amekuwa gumzokipindi hiki baada ya kutoka na Wema Sepetu na

    Hongera Keisha kwa kupata mtoto na hongera kwa kuhitimu chuo kikuu

    Posted: 16 Nov 2016 10:18 AM PST

    Hongera Keisha kwa kupata mtoto na hongera kwa kuhitimu chuo kikuu Mwanamuziki wa Bongo Flava, Keisha, amepata mtoto wa tatu. Kama hiyo haitoshi, muimbaji huyo amehitimu pia chuo kikuu. Keisha ameshare furaha hiyo kupitia Instagram: Thanks Allah for blessing me with the big

    Style ya nywele fupi!

    Posted: 16 Nov 2016 10:18 AM PST

    Urembo wa Mwafrika!

    Posted: 16 Nov 2016 10:18 AM PST

    Urembo wa Mwafrika!

    MISUKO YA NYWELE( BRAIDED HAIRSTYLES!)

    Posted: 16 Nov 2016 10:18 AM PST

    MISUKO YA NYWELE( BRAIDED HAIRSTYLES!)

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 17, 2016, 10:50:54 PM11/17/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    CHAZ BABA ASEMA HANA ‘BIFU’ NA BELLA,

    Posted: 17 Nov 2016 07:04 AM PST

    CHAZ BABA ASEMA HANA 'BIFU' NA BELLA, Mkongwe wa muziki wa dance nchini Chaz Baba amesena hana bifu lolote na msanii mwenzake Christian Bella na kwamba yeye ni 'Team Bella' damu. Chaz Baba Pia Chaz Baba amesema ni wakati tu haujafikia na muda ukifikia watakutana na Bella kwa kuwa

    STAA OMMY DIMPOZ AKANUSHA KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA SEPETU

    Posted: 17 Nov 2016 07:04 AM PST

    STAA OMMY DIMPOZ AKANUSHA KUTOKA KIMAPENZI NA WEMA SEPETU Ilikuwa ni kwenye The Playlist ya Times Fm ambapo Ommy DImpoz alikuwa kama mgeni wa kipindi hicho na kama ilivyo kawaida kuulizwa maswali kibao kuhusu kazi yake ya muziki na hata maisha yake ya kila siku. Moja kati ya

    Calisah Afunguka Kuhusu Mtu Aliyevujisha Video Akilana Mate na Wema Sepetu

    Posted: 17 Nov 2016 06:29 AM PST

    Calisah Afunguka Kuhusu Mtu Aliyevujisha Video Akilana Mate na Wema Sepetu Sinema ya model Calisah imezidi kushika kasi – amefunguka kwa kudai kuwa ni yeye au Wema Sepetu ndio waliovujisha video inaowaonesha wakilana denda. Siku chache zilizopita mwanamitindo huyo wa kiume alikamatwa na polisi kwa kosa la kudaiwa

    Dalili Muhimu za Mwanamke Aliefika Kileleni Mkiwa Faragha..

    Posted: 17 Nov 2016 06:29 AM PST

    Dalili Muhimu za Mwanamke Aliefika Kileleni Mkiwa Faragha.. Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama trumph uchaguzi

    Picha:Vera Sidika Aonyesha Nyumba yake na Gari Analomiliki ni ‘Kufuru’

    Posted: 16 Nov 2016 10:34 PM PST

    Picha:Vera Sidika Aonyesha Nyumba yake na Gari Analomiliki ni 'Kufuru' Mrembo maarufu wa Kenya, Vera Sidika ameonyesha kuwa na yeye ni miongoni mwa mastaa wanaomiliki vitu vya thamani. Kupitia mtandao wa Instagram, Vera ameuonyesha mjengo wa kifahari anaoumiliki pamoja na gari aina ya Range Rover na kuwaacha

    Waziri Mkuu Kumtumbua Makonda Iwapo Atashindwa Kukomesha Matumizi ya Shisha

    Posted: 16 Nov 2016 10:34 PM PST

    Waziri Mkuu Kumtumbua Makonda Iwapo Atashindwa Kukomesha Matumizi ya Shisha Warizi Mkuu, Kassim Majaliwa amesema atamwajibisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda iwapo hatasimamia ipasavyo kukomesha matumizi ya dawa za kulevya, aina ya shisha. waziri-mkuu-kassim-majaliwa Hatua hiyo inatokana na kauli ya

    Kila Kona ni Maumivu

    Posted: 16 Nov 2016 10:33 PM PST

    Kila Kona ni Maumivu Uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano kubana matumizi, kudhibiti ukusanyaji kodi, kuondoa upendeleo wa zabuni na kuzuia shughuli za Serikali kufanyika katika hoteli umeibua kilio kwa makundi tisa ambayo masilahi yake yameguswa moja kwa moja. Baadhi ya makundi hayo ni ya wafanyabiashara, wanafunzi wa vyuo,

    Orodha ya Wadaiwa Sugu HESLB Yaibua Mapya

    Posted: 16 Nov 2016 10:32 PM PST

    Orodha ya Wadaiwa Sugu HESLB Yaibua Mapya Orodha ya wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), imedaiwa kuwataja wanufaika ambao baadhi walishamaliza kulipa madeni yao. Pia, yapo majina ya watu ambao hawajawahi kuomba mkopo na wengine walisoma nje ya nchi. Mapema wiki hii Mkurugenzi Mtendaji wa

    Photographer dies while trying to take the perfect photo of the moon

    Posted: 16 Nov 2016 08:16 PM PST

    Photographer dies while trying to take the perfect photo of the moon A Russian photographer, Vasiliy Gusev has died after he drove off a cliff in a bid to get a perfect photo of the moon.  Gusev who is popularly known by his fans as 'Grigorich1777' travels all over Russia taking beautiful pictures. On the his last

    KOURTNEY NA KHOLOE KARDASHIAN WAACHIA PICHA HIZI MTANDAONI

    Posted: 16 Nov 2016 07:47 PM PST

    KOURTNEY NA KHOLOE KARDASHIAN WAACHIA PICHA HIZI MTANDAONI

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 18, 2016, 11:01:38 PM11/18/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    PAUL Makonda "Mnasubiria Nitumbuliwe, Mimi Najua Nipo Kwa Kusudi la Mungu"

    Posted: 18 Nov 2016 08:00 PM PST

    PAUL Makonda "Mnasubiria Nitumbuliwe, Mimi Najua Nipo Kwa Kusudi la Mungu" Baada ya kauli ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusema atamwajibisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda iwapo hatasimamia ipasavyo kukomesha matumizi ya dawa za kulevya, aina ya shisha, Makonda afunguka. Akiongea Ijumaa hii katika

    Msanii wa Bongo Flava Mo Music Anyang'anywa Gari Hadharani

    Posted: 18 Nov 2016 07:48 PM PST

    Msanii wa Bongo Flava Mo Music Anyang'anywa Gari Hadharani Mwanamuziki Mo Music, amefuatiliwa Kisha ameshushwa kwenye gari na madalali wa benki, Inasemekana ni Mambo ya Kushindwa kulipa mkopo... Sikiliza Hapa Stori Nzima:

    Mitindo ya Kulala Huelezea Kipimo Cha Mapenzi Baina ya Wanandoa au Wapenzi

    Posted: 18 Nov 2016 07:48 PM PST

    Mitindo ya Kulala Huelezea Kipimo Cha Mapenzi Baina ya Wanandoa au Wapenzi Wakati wa kulala si lazima wapenzi wafuate utaratibu ule ule kila mara.Hii inawezekana msimamo wa akili ulivyo kwa wakati huo.Fuatilia mitindo ya ulalaji na maana yake KUKUMBATIANA Mtindo huu hutumika sana kwa miaka 5 ya mwanzo wa ndoa.Mume

    Umoja wa Ulaya (EU) Wasema Tanzania ina haki kutosaini Mkataba EPA kama Haijaridhika Nao

    Posted: 18 Nov 2016 02:11 AM PST

    Umoja wa Ulaya (EU) Wasema Tanzania ina haki kutosaini Mkataba EPA kama Haijaridhika Nao BALOZI wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Roeland Van de Geer amesema Tanzania ina haki ya kuamua kutosaini Mkataba wa Ushirikiano wa Kibiashara na Jumuiya ya Ulaya (EPA) hadi itakapojiridhisha manufaa

    Mimba ya Nisha Bebee Yazua Balaa..Adai Baba Kijacho Wake Hawezi Hata Kujinunulia Sabuni ya Kufulia Boxer

    Posted: 18 Nov 2016 02:11 AM PST

    Mimba ya Nisha Bebee Yazua Balaa..Adai Baba Kijacho Wake Hawezi Hata Kujinunulia Sabuni ya Kufulia Boxer Ujauzito wa Mwigizaji Nisha Bebee umezidi kuzua sinto fahamu kutokana na vichambo anavyopost mtandaoni kwenda kwa Muhusika wa Ujauzito huo..leo tena amepost akimtolea uvivu kama ifuatavyo:

    Kinara wa Matusi Instagram Akamatwa na Polisi Baada ya Kutoa Matusi Makubwa Kuhusu Perfume Mpya ya Diamond

    Posted: 18 Nov 2016 02:10 AM PST

    Kinara wa Matusi Instagram Akamatwa na Polisi Baada ya Kutoa Matusi Makubwa Kuhusu Perfume Mpya ya Diamond Kijana mmoja ambaye anatumia jina la Shilolekiuno_official Huko Instagram  hatimae amekamatwa na jeshi la polisi kwa kutukana na kukashifu watu mbali mbali mtandaoni, kijana huyo amekuwa akiandika matusi mazito na kukashifu

    Mwanamke Afa Akiombewa Kwa ‘Nabii’, Akutwa Hana Nywele Kichwani Pamoja na Nyusi za Macho

    Posted: 18 Nov 2016 01:04 AM PST

    Mwanamke Afa Akiombewa Kwa 'Nabii', Akutwa Hana Nywele Kichwani Pamoja na Nyusi za Macho Mwanamke mkazi wa Unga-Limited jijini hapa, Lightness Kivuyo ameripotiwa kufa wakati akifanyiwa maombi nyumbani kwa mchungaji aliyejulikana kama 'Nabii Rajabu' eneo la Kwa-Mrombo pia jijini hapa. Kwa mujibu wa dada wa marehemu,

    Je, Paul Makonda Anajua Mantiki ya Alichosema Kuhusu Waliotaka Kumuhonga Mil 50 Kisheria?

    Posted: 18 Nov 2016 01:04 AM PST

    Je, Paul Makonda Anajua Mantiki ya Alichosema Kuhusu Waliotaka Kumuhonga Mil 50 Kisheria? Kwanza nianze kwa kusema kuna mambo mengi ninakubaliana na utendaji wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda lakini kuna mambo machache ambayo yananipa ukakasi unaonifanya nitimize wajibu wangu kama raia katika kumkosoa, kumuelimisha na

    Mama Diamond Afunguka Kuhusu Nyumba ya Madale..Adai ni yake Kama ni Kuhama Ahame Diamond na Zari

    Posted: 18 Nov 2016 01:04 AM PST

    Mama Diamond Afunguka Kuhusu Nyumba ya Madale..Adai ni yake Kama ni Kuhama Ahame Diamond na Zari Nasemaje bim'danga Mama Chibu Ndo kishasema Mjengo wa Madale anaumiliki yeye, na wale waliokua wakimsimanga kuwa awapishe Kina chibu Na Zari kwenye Mjengo washindweeee, bi Maza anasema wataondoka wao Na wajukuu ila yeye

    Haya Hapa Matokeo ya Forbes Person of the Year Aliyokuwa Anawania Rais Magufuli

    Posted: 18 Nov 2016 01:04 AM PST

    Haya Hapa Matokeo ya Forbes Person of the Year Aliyokuwa Anawania Rais Magufuli Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali na Wakili nchini Afrika Kusini Thuli Madonsela leo ametangazwa kuwa ndiye mshindi  wa Tuzo ya Mtu Mashuhuri Afrika ya Forbes (Person of the Year #POY2016). Tuzo huyo hupewa mtu aliyetoa mchango mkubwa

    Magazeti ya Leo Ijumaa

    Posted: 17 Nov 2016 08:23 PM PST

    Magazeti ya Leo Ijumaa

    Mwanaume Fanya Hivi ili Mkeo Akuone Mtenda Miujiza Kila Siku..Hakika Hatasikia la Mtu...

    Posted: 17 Nov 2016 07:58 PM PST

    Mwanaume Fanya Hivi ili Mkeo Akuone Mtenda Miujiza Kila Siku..Hakika Hatasikia la Mtu... Hili ni fundisho kwa vijana wengi ambao wanataabika, suala la fedha limekuwa mwiba mkubwa na chanzo kikubwa cha mahusiano na ndoa kuyumba. Nimelazimika nije na ushauri huu ambao utawasaidia vijana wa kileo ambao wanataabika na ndoa hususani

    Udhaifu Huu wa Ali Kiba Unamfanya Diamond Ang'are

    Posted: 17 Nov 2016 07:53 PM PST

    Udhaifu Huu wa Ali Kiba Unamfanya Diamond Ang'are Ni ukweli usiopingika wasanii Diamond na Alikiba ni lulu ya taifa kwa sasa hasa unapozungumzia suala la usambazaji wa muziki wa Bongo Fleva kwenda zaidi kimataifa na kuufanya uwe na thamani hata kwa wasanii wengine watakapofikia level zao. Leo nazungumzia utofauti mkubwa wa

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 19, 2016, 11:25:06 PM11/19/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Magazeti ya Leo Jumapili

    Posted: 19 Nov 2016 07:52 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumapili

    Godbless Lema ni Shujaa wa Siasa Tanzania Asiyepigia Goti Watawala

    Posted: 19 Nov 2016 07:47 PM PST

    Godbless Lema ni Shujaa wa Siasa Tanzania Asiyepigia Goti Watawala Kwako Comrade G.Lema; Najua mapito unayopitia kwasasa, ni mapito makubwa sana yenye historia kubwa inayochochea hasira na kuamsha hisia Kali. Nataka ujue na dunia ijue upo Mahabusu siyo kwasababu ya kubaka ama kuzini, upo kwasababu umekataa uonevu,

    Nisha Bebee Afunguka Tena Kuhusu Mimba yake, Aongelea Mazingira ya Kubakwa Yaliyomtokea Mpaka Kupata Mimba

    Posted: 19 Nov 2016 07:47 PM PST

    Nisha Bebee Afunguka Tena Kuhusu Mimba yake, Aongelea Mazingira ya Kubakwa Yaliyomtokea Mpaka Kupata Mimba Mwigizaji Nishabebee Anaendelea kufunguka kuhusu ujauzito wake kupitia ukurasa wake wa Instagram, Hapa chini ameongelea mazingira aliyopata hiyo mimba: "Mtu pekee anayejua ukweli ni mimi.. pengine

    Hasheem Thabeet Aazimia Kurejea Katika Ligi ya NBA....

    Posted: 19 Nov 2016 07:47 PM PST

    Hasheem Thabeet Aazimia Kurejea Katika Ligi ya NBA.... Muda mfupi baada ya Timu yake ya mpira wa kikapu ya Gloden State Warriors kuifunga timu yake ya zamani kwa pointi 26, Novemba 3, Kevin Durant alikuta na Hasheem Thabeet ambaye aliwahi kuwa nae katika timu moja ya Oklahoma City Thunder ambaye alikuwa natafuta kazi. Wote waliwahi

    Wasichana 'Mnao ombaomba' Hela, Imefanya Wanaume Wasiamini Wasichana

    Posted: 19 Nov 2016 07:46 PM PST

    Wasichana 'Mnao ombaomba' Hela, Imefanya Wanaume Wasiamini Wasichana Tabia ya wasichana kuwaombaomba wanaume hela bila sababu imeondoa imani na heshima kwa wasichana. Utakuta wasichana hao wana kazi, wana biashara ila kutwaa kuombaomba. Hii tabia imefanya wanaume waone

    Alichokizungumza Ester Bulaya Baada ya Mahakama Kuu Kumpa Ushindi dhidi ya Wasira

    Posted: 19 Nov 2016 07:46 PM PST

    Alichokizungumza Ester Bulaya Baada ya Mahakama Kuu Kumpa Ushindi dhidi ya Wasira November 19, 2016 Kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Ester Bulaya iliyofunguliwa na wapiga kura wa jimbo la Bunda dhidi ya aliyekua mgombea wa CCM Stephen Wasira ilitolewa hukumu yake ambapo Mahakamu Kuu ilimpa ushindi na kumthibitisha Ester Bulaya

    Polisi Wamchunguza Kamanda Sirro Tuhuma za Paul Makonda

    Posted: 19 Nov 2016 07:45 PM PST

    Polisi Wamchunguza Kamanda Sirro Tuhuma za Paul Makonda MAKAO Makuu ya Jeshi la Polisi nchini imesema inachunguza tuhuma zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda dhidi ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi Simon Sirro na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Kamishna Msaidizi Suzan

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Posted: 18 Nov 2016 08:05 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Kamanda Sirro Afunguka Kuhusu Wasiwasi wa Makonda kwa Jeshi la Polisi

    Posted: 18 Nov 2016 08:02 PM PST

    Kamanda Sirro Afunguka Kuhusu Wasiwasi wa Makonda kwa Jeshi la Polisi Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuonekana kuwa na shaka juu ya jeshi la polisi kwenye harakati za kutokomeza matumizi ya Shisha – Kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es salaam Simon Sirro amefunguka juu ya tuhuma hizo. Kamanda huyo

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 20, 2016, 11:27:22 PM11/20/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    TAZAMA PICHA ZA PAMOJA YA STAA DIAMOND PLATNUMZ NA MKE WAKE

    Posted: 20 Nov 2016 08:08 PM PST

    TAZAMA PICHA ZA PAMOJA YA STAA DIAMOND PLATNUMZ NA MKE WAKE

    MREMBO KAJALA AFUNGUKA MENGI KUHUSU MSAMY BABY

    Posted: 20 Nov 2016 08:08 PM PST

    MREMBO KAJALA AFUNGUKA MENGI KUHUSU MSAMY BABY STAA wa Bongo anayetesa kwenye filamu, Kajala Masanja amevunja ukimya na kufunguka kuhusu maneno yanayozagaa mitaani yakimtaja kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mwanamuziki wa Bongo Fleva,

    TAZAMA PICHA MPYA ZA MREMBO CORAZON KWAMBOKA(+PICHAZ)

    Posted: 20 Nov 2016 08:08 PM PST

    TAZAMA PICHA MPYA ZA MREMBO CORAZON KWAMBOKA(+PICHAZ)   They are no longer numerous photos done out of desperation but rather a careful teasing of the viewers with segments of her prized assets. Early today, the voluptuous Corazon caused a massive stir online when she stepped

    Hili la Perfume, Diamond Ataandika Historia Nyingine Muhimu Kwake

    Posted: 19 Nov 2016 11:34 PM PST

    Hili la Perfume, Diamond Ataandika Historia Nyingine Muhimu Kwake Kwanza nikiri kuwa, Diamond ana fursa nyingi za wazi wazi ambazo ameziacha tu zipite. Kwa umaarufu aliojikusanyia hadi sasa katika bara zima, alipaswa kuwa na miradi mingi chini ya jina lake ambayo ingekuwa inamuingizia mamilioni ya fedha, ukiacha zile anazopata

    Soma Hapa Kama Wewe Mwanaume Una Tatizo la Kufika Kileleni Haraka Kabla Mpenzi Wako Hajaridhika

    Posted: 19 Nov 2016 11:34 PM PST

    Soma Hapa Kama Wewe Mwanaume Una Tatizo la Kufika Kileleni Haraka Kabla Mpenzi Wako Hajaridhika Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake. Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi

    Ruge wa Clouds FM Amsifia Ruby, Adai Ana Kipaji cha Hali ya Juu

    Posted: 19 Nov 2016 11:18 PM PST

    Ruge wa Clouds FM Amsifia Ruby, Adai Ana Kipaji cha Hali ya Juu Mwanzilishi wa THT na Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa Clouds FM, Ruge Mutahaba, amesema licha ya Ruby kuwa na tofauti naye na kujiondoa kutoka kwenye usimamizi wake, hawezi kushuka kimuziki sababu ana kipaji cha hali ya juu. Miezi miwili

    Mwanaume aliyekuwa akijifanya mwanamke kwa takribani miaka mitatu amekamatwa na polisi nchini Uganda.

    Posted: 19 Nov 2016 08:26 PM PST

    Mwanaume aliyekuwa akijifanya mwanamke kwa takribani miaka mitatu amekamatwa na polisi nchini Uganda. Mwanaumealiyekuwa akijifanya mwanamke kwa takribani miaka mitatu amekamatwa na polisi nchini Uganda.

    Hapa na Pale!

    Posted: 19 Nov 2016 08:22 PM PST

    Hapa na Pale!

    Rwanda yanunua ndege ya kipekee Afrika nzima, ni ya pili duniani

    Posted: 19 Nov 2016 08:20 PM PST

    Rwanda yanunua ndege ya kipekee Afrika nzima, ni ya pili duniani Huduma za usafiri wa ndege zinazidi kushika kasi kwenye mataifa ya Afrika Mashariki kila siku, Kutoka nchini Rwanda nimeipata hii ya Shirika la ndege la Rwanda, RwandAir kununua ndege mpya aina ya Boeing 737-800 Next Gen ambayo inatarajiwa

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 21, 2016, 10:49:06 PM11/21/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    French court bans parents from naming their child after a notorious terrorist

    Posted: 21 Nov 2016 10:42 AM PST

    French court bans parents from naming their child after a notorious terrorist Authorities in France have stopped a couple from naming their baby after Mohammed Merah, a terrorist who killed seven people in 2012. The self-proclaimed Al-Qaeda-inspired terrorist, Mohammed Merah (Picture above) killed three soldiers, shot

    MENEJA BABU TALE NA MASTER JAY WAFUNGUKA HAYA KUHUSU NGOMA YA DIAMOND KUVUJA!

    Posted: 21 Nov 2016 10:40 AM PST

    MENEJA BABU TALE NA MASTER JAY WAFUNGUKA HAYA KUHUSU NGOMA YA DIAMOND KUVUJA! Diamond akiwa amemtupia Neyo All the way kutoka pande za maandishi matatu kwa mnyama mkali Donald Trump, Sasa ngoma hii imekuwa namaswali mengi mitandaoni baada ya kuvuja. Baada ya

    SA Prophet who uses insecticide to 'heal' people speaks, says it's to cure cancer, HIV or any other illness

    Posted: 21 Nov 2016 10:39 AM PST

    'Prophet' Lethebo Rabalago from the Mount Zion General Assembly in Limpopo, South Africa, uses an insect killer to supposedly 'heal' his church members (read here). There was outrage on SA social media today after photos emerged of him spraying the chemical directly on people's faces and body parts during a service and prayer meeting over

    Australian love scam victims jailed after Nigerian drug trafficker & fraudster tricked her into bringing bag with drugs into Cambodia

    Posted: 21 Nov 2016 10:38 AM PST

    Australian love scam victims jailed after Nigerian drug trafficker & fraudster tricked her into bringing bag with drugs into Cambodia An Australian woman, Yoshe Taylor was the victim of an internet dating scam run by a Nigerian drug smuggling syndicate in Cambodia, a special joint investigation by Fairfax Media and SBS's

    CHECK PICHA : AUNT EZEKIEL ALIVYOMSHUKIA WEMA,AMSHUSHUA KWEUPE WEMA SEPETU, KISA HIKI

    Posted: 21 Nov 2016 06:00 AM PST

    CHECK PICHA : AUNT EZEKIEL ALIVYOMSHUKIA WEMA,AMSHUSHUA KWEUPE WEMA SEPETU, KISA HIKI Majuma kadhaa tu yaliyo pita, Wema Sepetu alionekana ku post picha nyingi kwenye account yake ya Instagram kumtakia heri ya kuzaliwa aliyekuwa shoga yake miaka ya nyuma Aunty Ezekiel. Wema Sepetu Wengi

    Mavazi ya leo!

    Posted: 21 Nov 2016 05:02 AM PST

    Mavazi ya leo!

    Photos: South African Prophet, Lethebo Rabalago uses insecticide to 'heal' church members

    Posted: 21 Nov 2016 04:33 AM PST

    Photos: South African Prophet, Lethebo Rabalago uses insecticide to 'heal' church members A "Prophet" Lethebo Rabalago from the Mountzion General Assembly in Limpopo, South Africa, has been pictured using Doom (an insect killer) to heal his followers during a service and prayer meeting over the weekend. Shared via the church and

    Bibi Mbaroni Kwa Kumlisha Kinyesi Mjukuu Wake

    Posted: 21 Nov 2016 04:27 AM PST

    Bibi Mbaroni Kwa Kumlisha Kinyesi Mjukuu Wake MWANZA: BIBI mmoja aliyejulikana kwa jina la Amina Hamisi (56) mkazi wa Mtaa wa Mahina, Kata ya Butimba, Jijini Mwanza, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kumlazimisha mjukuu wake Rehema Sadiki (7) kula kinyesi. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishina

    KUJAMIANA NA ROBOTI KUTASABABISHA KUPUNGUA KWA TENDO HILO BAINA YA BINADAMU

    Posted: 21 Nov 2016 12:25 AM PST

    KUJAMIANA NA ROBOTI KUTASABABISHA KUPUNGUA KWA TENDO HILO BAINA YA BINADAMU Kushiriki ngono na mashine au roboti kunaweza kufanya binadamu wapunguze kufanya tendo hilo wao kwa wao ifikapo mwaka 2050, wanasayansi wameonya. Mtaalam mmoja wa roboti amedai kuwa mapenzi na roboti yanaweza kuwa na uraibu

    Taarifa:Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Ujumbe Wake Hawakuzuiwa Kusafiri Uwanja wa Ndege Dar es Salaam

    Posted: 21 Nov 2016 12:22 AM PST

    Taarifa:Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Ujumbe Wake Hawakuzuiwa Kusafiri Uwanja wa Ndege Dar es Salaam Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la Tanzania la kila siku 'Mtanzania' ambapo kichwa cha habari cha taarifa hiyo kilikuwa kikisomeka 'Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri nje ya nchi

    Pichaz: Zari The Boss Lady Afanya ‘Baby Shower’

    Posted: 21 Nov 2016 12:21 AM PST

    Pichaz: Zari The Boss Lady Afanya 'Baby Shower' Siku zinayoyoma na mwezi ujao panapo majaliwa, Zari atajifungua mtoto wake wa pili na Diamond. Huyo atakuwa mtoto wake wa tano kwa ujumla. Katika kujiandaa na mapokezi ya mtoto huyo, staa huyo wa Uganda amefanya baby shower nchini Afrika Kusini na kuwashirikisha marafiki

    Kajala Masanja: Afunguka Kuhusu Msamy Baby, Makonda na Mme Wake Faraji

    Posted: 21 Nov 2016 12:21 AM PST

    Kajala Masanja: Afunguka Kuhusu Msamy Baby, Makonda na Mme Wake Faraji STAA wa Bongo anayetesa kwenye filamu, Kajala Masanja amevunja ukimya na kufunguka kuhusu maneno yanayozagaa mitaani yakimtaja kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mwanamuziki wa Bongo Fleva,

    Picha: Lady Jaydee Amefunga Ndoa na Rasta Huyu?

    Posted: 21 Nov 2016 12:21 AM PST

    Picha: Lady Jaydee Amefunga Ndoa na Rasta Huyu? Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa

    Kajala: Sijawahi Kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na Paul Makonda

    Posted: 21 Nov 2016 12:20 AM PST

    Kajala: Sijawahi Kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na Paul Makonda Msanii wa filamu za kibongo, Kajala Masanja amevunja ukimya na kufunguka kuhusu maneno yaliyokuwa yanazunguka mwa muda mrefu mitaani yakimtaja kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda tangu akiwa DC wa

    MREMBO MATATA BONGO AMBER LULU ATIKISA MITANDAO YA KIJAMII KWA PICHA HIZI

    Posted: 20 Nov 2016 08:59 PM PST

    MREMBO MATATA BONGO AMBER LULU ATIKISA MITANDAO YA KIJAMII KWA PICHA HIZI   

    ASASI ILIYOBEBA USHOGA YANASWA

    Posted: 20 Nov 2016 08:59 PM PST

    ASASI ILIYOBEBA USHOGA YANASWA KATIKA kile kinachodhihirisha nia ya dhati ya kupiga vita na kukabili jitihada za kueneza vitendo vya ushoga nchini, serikali imefanikiwa kuidhibiti Asasi ya Kimataifa ya UPR Info iliyoandaa mpango wa kuwashawishi maofisa wa serikali na wabunge kuunga mkono harakati za

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 21/11/2016 LIVE

    Posted: 20 Nov 2016 08:58 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 21/11/2016 LIVE

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 22, 2016, 10:57:56 PM11/22/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Wakili wa Serikali Amuomba Radhi Hakimu kwa Kushindwa Kumkamata Tundu Lissu

    Posted: 21 Nov 2016 10:23 PM PST

    Wakili wa Serikali Amuomba Radhi Hakimu kwa Kushindwa Kumkamata Tundu Lissu Wakili wa Serikali, Patrick Mwita amemuomba radhi Hakimu Mkazi Mkuu wa Kisutu kwa kushindwa kutekeleza amri ya kumkamata mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uchochezi pamoja na wahariri wa gazeti la Mawio.

    Rais Mugabe Asema Anarogwa

    Posted: 21 Nov 2016 10:23 PM PST

    Rais Mugabe Asema Anarogwa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa mika 92, anazungumzia kuhusu kustaafu , lakini swali ambalo bado watu wanahoji ni ikiwa kweli anamaanisha hilo. Mwishoni mwa juma Bwana Mugabe aliuambia mkutano wa watu wapatao 400- walio piagania uhuru kwamba ikiwa atastaafu anapaswa kupewa

    JACQUELINE MENGI ATOA FASHENI HII TIZAMA HAPA

    Posted: 21 Nov 2016 10:16 PM PST

    JACQUELINE MENGI ATOA FASHENI HII TIZAMA HAPA

    Baba wa Kambo Anajisi Mtoto Miaka Tatu, Amuua

    Posted: 21 Nov 2016 09:32 PM PST

    Baba wa Kambo Anajisi Mtoto Miaka Tatu, Amuua MTOTO mdogo mwenye umri wa miaka mitatu mkazi wa Kijiji cha Nyamihaga Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma amekufa baada ya kunajisiwa na baba yake wa kambo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui alisema jana kwamba wamemtia mbaroni mtuhumiwa Hamimu Saidi (27) mkazi wa

    Chemical: Kwanini Watu Wanashindwa Kuamini Kuwa Mimi ni Bikira?

    Posted: 21 Nov 2016 09:31 PM PST

    Chemical: Kwanini Watu Wanashindwa Kuamini Kuwa Mimi ni Bikira? Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa hajawahi kufanya mapenzi. Hitmaker huyo wa 'Am Sorry Mama' amekiambia kipindi cha Kubamba cha Times FM, kuwa aliwahi kuwa na mpenzi

    CHECK PICHA MCHUNGAJI ANAYEOMBEA WATU NA KUWAPILIZIA DAWA YA MBU

    Posted: 21 Nov 2016 08:20 PM PST

    CHECK PICHA MCHUNGAJI ANAYEOMBEA WATU NA KUWAPILIZIA DAWA YA MBU Nafahamu hii inaweza kukushtua sana, imetokea nchini Afrika Kusini kumuhusu mchungaji Lethebo Rabalago wa Kanisa la Mountzion General Assembly lililopo mji wa Limpopo, ambaye amekutwa akiwapulizia dawa ya kuua wadudu kwa madai kwamba

    JAMAA ATAMANI KURUDIA UANAUME BADA YA KUJIBADILI NA KUWA MWANAMKE

    Posted: 21 Nov 2016 08:20 PM PST

    JAMAA ATAMANI KURUDIA UANAUME BADA YA KUJIBADILI NA KUWA MWANAMKE A transs3xual who had a £10,000 s3x change on the NHS to become a woman now wants the taxpayers to foot the bill for a further £14,000 of surgery so she can become a man again.

    MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU ‘VISU’ ZAIDI AFRIKA

    Posted: 21 Nov 2016 08:07 PM PST

    MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU 'VISU' ZAIDI AFRIKA Peter Okoye akiwa na mkewe. KILA mwanaume anatamani kuwa na mpenzi mzuri, lakini linapokuja suala la mapenzi kigezo cha uzuri wa mtu huweza kuwa na tafsiri pana kiasi

    MREMBO CORZON KWAMBOKA AWA MWANASHERIA KATIKA MAHAKAMA YA NCHINI KENYA

    Posted: 21 Nov 2016 08:03 PM PST

    MREMBO CORZON KWAMBOKA AWA MWANASHERIA KATIKA MAHAKAMA YA NCHINI KENYA   

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO TUESDAY/JUMANNE 22/11/2016 LIVE

    Posted: 21 Nov 2016 07:59 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO TUESDAY/JUMANNE 22/11/2016 LIVE

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 23, 2016, 10:56:16 PM11/23/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    SERIKALI KUJENGA VITUO VYA AFYA KILA MWAKA NCHINI NZIMA

    Posted: 23 Nov 2016 07:30 PM PST

    SERIKALI KUJENGA VITUO VYA AFYA KILA MWAKA NCHINI NZIMA Naibu Waziri wa ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jaffo akikagua kitabu cha Risiti kulia anayemwangalia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani Sabas Chambasi  Katikati ni Naibu Waziri wa ofisi ya Waziri

    Mwanamke Kanyagio!

    Posted: 23 Nov 2016 10:47 AM PST

    Mwanamke Kanyagio!

    Urembo wa Mwafrika!

    Posted: 23 Nov 2016 10:47 AM PST

    Urembo wa Mwafrika! 1. Samburu – Kenya. Photo: Facebok.com/Africbook 2. Afar – Ethiopia, Djibouti, Eritrea. Photo: Facebook.com/Africbook 3. Maasai – Kenya. Photo: Facebook.com/Africbook.com 4. Beja – Sudan.

    Hukumu iliyotolewa kwa muathirika wa UKIMWI aliyenajisi watoto 100

    Posted: 23 Nov 2016 10:46 AM PST

    Hukumu iliyotolewa kwa muathirika wa UKIMWI aliyenajisi watoto 100 Siku chache baada ya kuripotiwa taarifa za kukamatwa kwa mwanaume mmoja kutoka Malawi ambaye inadaiwa alikuwa akiwanajisi watoto wadogo wanaotajwa kufika 100 kwa maelezo kwamba anawasafisha na kufanya tambiko la

    Hair Extensions!

    Posted: 23 Nov 2016 10:46 AM PST

    Hair Extensions!

    80 year old very hot grandpa rocks the runway in China (photos)

    Posted: 23 Nov 2016 10:43 AM PST

    80 year old very hot grandpa rocks the runway in China (photos) China's hottest Grandpa, Wang Deshun, who is tall and muscular and all of 80 years old, was pictured rocking the runway in China recently. Wang made this debut in 2015 after taking the runway and looking way better than younger models. That

    Cristiano Ronaldo and his new girlfriend Georgina Rodriguez get cozy in Paris (Photos)

    Posted: 23 Nov 2016 10:42 AM PST

    Cristiano Ronaldo and his new girlfriend Georgina Rodriguez get cozy in Paris (Photos) Cristiano Ronaldo, who featured in Real Madrid 2 – 1 win against Sporting Lisbon in the Champions League tie last night, was spotted with his new girlfriend Georgina Rodriguez at Disneyland Paris today. The football star tried to

    GHARAMA za Kumlinda Rais Mteule wa Marekeni Donald Trump Kwa Siku Moja Hizi Hapa

    Posted: 23 Nov 2016 10:33 AM PST

    GHARAMA za Kumlinda Rais Mteule wa Marekeni Donald Trump Kwa Siku Moja Hizi Hapa Tarehe 9, Novemba 2016 siku moja baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Marekani, aliyekuwa mgombea wa Chama cha Republican Donald John Trump alitangazwa kuwa mshindi baada ya kumgaragaza mpinzani wake wa karibu na mgombea wa Chama cha Democratic,

    Magazeti ya Leo Jumatano

    Posted: 23 Nov 2016 10:25 AM PST

    Magazeti ya Leo Jumatano

    Mwenyekiti Aomba Kupigwa Risasi Mbele ya Makonda Baada ya Kubanwa na Wananchi

    Posted: 23 Nov 2016 10:11 AM PST

    Mwenyekiti Aomba Kupigwa Risasi Mbele ya Makonda Baada ya Kubanwa na Wananchi Mwenyekiti soko la Mbande Mbagala katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Mokiwa Hassani ameomba kupigwa risasi mbele ya Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda baada ya kutuhumiwa kutoza kiwango kikubwa cha fedha katika upangishaji wa vizimba sokoni

    Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepetu

    Posted: 23 Nov 2016 10:05 AM PST

    Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepetu MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu 'Madam' wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni huku hali ikionesha kuwa mastaa hao kwa sasa ndiyo basi tena. Hali hiyo imetokea juzi baada ya Aunty kuweka picha ya kumtakia siku njema ya kuzaliwa

    MBUNGE Godbless Lema Aingia Siku ya 22 Mahabusu

    Posted: 23 Nov 2016 10:05 AM PST

    MBUNGE Godbless Lema Aingia Siku ya 22 Mahabusu MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameendelea kusota katika mahabusu ya Gereza la Kisongo mjini hapa akiingiza siku ya 22 leo baada ya jana kukwama katika azma yake ya kutaka Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kufanya marejeo ya uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha uliomnyima dhamana

    BAADA ya WCB Kutoa Wimbo , Ommy Dimpoz Atao Mapovu, Diamond Amjibu na Kuvujisha Siri ya Ugomvi Wao

    Posted: 23 Nov 2016 10:05 AM PST

    BAADA ya WCB Kutoa Wimbo , Ommy Dimpoz Atao Mapovu, Diamond Amjibu na Kuvujisha Siri ya Ugomvi Wao Hii baada ya domo na mavoko kuachia ngoma povu likamtoka ommy akimshushia domo kuwa aache mziki wa ujanja ujanja akimanisha kuwa domo aache tabia zake za kununua view, tunzo kuwa awekeze kwenye mziki mzuri usio na ujanja ujanja naye

    HALI Ngumu...Kampuni ya TSN Yatangaza Kupunguza Idadi ya Wafanyakazi wake..Sababu Hizi Hapa

    Posted: 23 Nov 2016 10:04 AM PST

    HALI Ngumu...Kampuni ya TSN Yatangaza Kupunguza Idadi ya Wafanyakazi wake..Sababu Hizi Hapa HALI Ngumu...Kampuni ya TSN Yatangaza Kupunguza Idadi ya Wafanyakazi wake kutokana na Sababu Kadhaa ambazo wameziainisha kwenye barua hii hapa chini:

    Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu

    Posted: 23 Nov 2016 10:04 AM PST

    Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu. Wakati mchumba wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu nikajitoa ufahamu ili nisiishi kama fala nikajikuta nikiwa

    Mwanaume Aliyefanya Ngono na Wanawake 104 Huku Akijua ana Ukimwi Haukumiwa

    Posted: 23 Nov 2016 10:03 AM PST

    Mwanaume Aliyefanya Ngono na Wanawake 104 Huku Akijua ana Ukimwi Haikumiwa MALAWI: Mwanaume Eric Aniva, aliyeshiriki ngono na wanawake tofauti 104 akitekeleza mila huku akijua ameathirika na UKIMWI, amehukumiwa kifungo cha miaka 2 jela. Amepatikana na hatia ya kutekeleza mila zenye madhara chini ya

    KAULI ya Basata Kuhusu Video Mpya ya Wimbo wa Rich Mavoko na Diamond Platnumz

    Posted: 23 Nov 2016 10:02 AM PST

    KAULI ya Basata Kuhusu Video Mpya ya Wimbo wa Rich Mavoko na Diamond Platnumz Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ambalo husimamia wasanii pamoja na kazi zao ikiwa ni wasanii wa filamu pamoja na wale wa muziki limesema kuwa linapitia video mpya ya mwanamuziki Rich Movoko aliyomshirikisha Diamond Platnumz kuona kama kuna vitendo vya

    Lebo ya WCB ya DIAMOND Platnumz Yaingia Partnership na Lebo Kubwa ya Music ya Universal Music

    Posted: 23 Nov 2016 10:02 AM PST

    Lebo ya WCB ya DIAMOND Platnumz Yaingia Partnership na Lebo Kubwa ya Music ya Universal Music Mwanamuziki Diamond Platnumz ametangaza kwa mara ya kwanza kuwa lebo yake imeingia partnership na lebo kubwa ya Muziki Duniani inayojulikana Kama Universal Music, Lebo hiyo itakuwa inasambaza kazi za Wasanii wote wa WCB na Mkataba wake

    YAMETIMIA...Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Limetangaza Kupunguza Idadi ya Wafanyakazi Wake

    Posted: 23 Nov 2016 10:01 AM PST

    YAMETIMIA...Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Limetangaza Kupunguza Idadi ya Wafanyakazi Wake Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kupunguza idadi ya wafanyakazi wake ikiwa ni njia ya shirika hilo kuweza kujiendesha kwa faida na kufikia malengo yake. Mkurugenzi Mkuu wa shirikia hilo, Mhandisi Ladislaus Matindi

    DIAMOND Kaamua Kufunguka Yote Leo...Nimekuwekea Kauli Zote Alizosema Leo Ikiwemo ya Ommy Dimpoz Kutuma Watu Wamuombe Msamaha

    Posted: 23 Nov 2016 10:01 AM PST

    DIAMOND Kaamua Kufunguka Yote Leo...Nimekuwekea Kauli Zote Alizosema Leo Ikiwemo ya Ommy Dimpoz Kutuma Watu Wamuombe Msamaha Nimekuwekea hapa Maneno Aliyosema Diamond Leo Kwenye Kipindi cha XXL: Ommy Dimpoz ameshatuma watu wengi sana kuomba msamaha, amenipigia hadi simu lakini sikupokea. Ila

    VIDEO ya Kokoro yazichezea Sharubu za ‘Simba’ Aliyekuwa Usingizini (BASATA), Ladai Litatoa Tamko

    Posted: 23 Nov 2016 10:01 AM PST

    VIDEO ya Kokoro yazichezea Sharubu za 'Simba' Aliyekuwa Usingizini (BASATA), Ladai Litatoa Tamko Rich Mavoko na Diamond Platnumz wamezichezea sharubu za simba mkali aliyekuwa usingizini. Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limehisi kuna udhalilishwaji wa wanawake kwenye video hiyo na limesema litatoa tamko lake

    Mitandao ya Whatsap, Facebook Yamtesa Waziri wa JPM

    Posted: 23 Nov 2016 10:01 AM PST

    Mitandao ya Whatsap, Facebook Yamtesa Waziri wa JPM Matumizi makubwa ya mitandao ya kijamii yameendelea kulalamikiwa kuathiri mafanikio ya wanafunzi, licha ya kuwapo zuio wasiitumie wakati wa masomo. Kilio cha hivi karibuni kuhusu mitandao hiyo ni cha Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 24, 2016, 11:06:46 PM11/24/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    ZIARA YA MKUU WA MKOA WA DAR KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WAKE ZAIBUA MAAJABU ONA HAPA YA LEO LIVE!!

    Posted: 24 Nov 2016 08:30 AM PST

    ZIARA YA MKUU WA MKOA WA DAR KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WAKE ZAIBUA MAAJABU ONA HAPA YA LEO LIVE!! Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul C. Makonda pia alipata nafasi ya kutembelea daraja

    SHIRIKA LA NDEGE LA AIR TANZANIA LAANZA KUJIPANGA UPYA TIZAMA WANACHOKIFANYA SASA LIVE!!

    Posted: 24 Nov 2016 08:28 AM PST

    SHIRIKA LA NDEGE LA AIR TANZANIA LAANZA KUJIPANGA UPYA TIZAMA WANACHOKIFANYA SASA LIVE!! Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kupunguza idadi ya wafanyakazi wake ikiwa ni njia ya shirika hilo kuweza kujiendesha kwa faida na kufikia malengo yake. Mkurugenzi Mkuu

    Kadinda Ataja Sababu Za Zutoonekana Na Mademu

    Posted: 24 Nov 2016 08:24 AM PST

    Kadinda Ataja Sababu Za Zutoonekana Na Mademu Habari na Imelda mtema Unapowazungumzia wanamitindo wakubwa Bongo, huwezi kuacha kumtaja Martin Kadinda. Licha ya kupata umaarufu kupitia kazi yake, Kadinda aling'ara zaidi alipoanza kumsimamia supastaa mkubwa Bongo, Wema Sepetu akiwa meneja wake. Kazi yake ya

    Namchukia Mwanaume Aliyenipa Mimba - Nisha Bebe

    Posted: 24 Nov 2016 08:24 AM PST

    Namchukia Mwanaume Aliyenipa Mimba - Nisha Bebe Msanii wa bongo movie Nisha Bebe amesema ujauzito wake unampa hisia tofauti na mawazo mpaka anafikia hatua ya kupost mambo tofauti tofauti kwenye mitandao yake kwa kuwa hampendi mwanaume aliyempa ujauzito huo. Akiongea ndani ya eNewz Nisha amesema amevumilia miezi

    Wakenya Wamtamani Rais Magufuli, Wadai Wanatamani Aende Kugombea Urais Kwao

    Posted: 24 Nov 2016 04:46 AM PST

    Wakenya Wamtamani Rais Magufuli, Wadai Wanatamani Aende Kugombea Urais Kwao Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini Kenya (COTU), Bw. Francis Atwoli amesema anaikubalia kasi ya Rais Magufuli katika kupambana na rushwa. Pia amewataka Watanzania wamuunge mkono badala ya kulalamikia kasi

    Hawa ndio mastaa waliotajwa kwenye Most Stylish East African Females 2016

    Posted: 24 Nov 2016 04:46 AM PST

    Hawa ndio mastaa waliotajwa kwenye Most Stylish East African Females 2016 Kituo cha runinga cha MTV Base kimeyataja majina ya mastaa wa kike kutoka Afrika Mashariki wanaojulikana kama Most Stylish East African Females. Mastaa waliotajwa na kituo hicho ni pamoja na Vanessa Mdee (Tanzania), Lupita Nyong'o

    ALI KIBA Ashinda Tuzo za NAFCA na The Nol

    Posted: 24 Nov 2016 04:45 AM PST

    ALI KIBA Ashinda Tuzo za NAFCA na The Nol Alikiba ashinda tuzo mbili za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) Alikiba ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za heshima kubwa za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) ambazo hutolewa nchini Marekani. Tuzo za mwaka huu zilitolewa wikiendi hii

    NDOA Yangu Imekuwa Chungu..Ndugu wa Mume Wamezidi, Nishauri Nifanyeje?

    Posted: 24 Nov 2016 04:45 AM PST

    NDOA Yangu Imekuwa Chungu..Ndugu wa Mume Wamezidi, Nishauri Nifanyeje? Mimi nipo kwenye ndoa miaka saba sasa na tuna mtoto mmoja, tunaishi Nyanda za juu kusini. Tuliishi kwa amani miaka mitatu tu, tukiwa mimi na mume wangu na mtoto. Baada ya hapo imekua tabu, mimi kwetu kuna ahueni ya kiuchumi, yaani sitegemewi na wazazi

    Godbless Lema na Siasa Ngumu Zisizo Wapendeza Watawala...

    Posted: 24 Nov 2016 04:41 AM PST

    Godbless Lema na Siasa Ngumu Zisizo Wapendeza Watawala... Kuna Godbless Lema mmoja tu hapa Tanzania kwa Africa Mashariki unaweza kumfananisha na Kizza Besigye ambaye police hawakatiki nyumbani kwake. Hawa ni wanasiasa ambao wameamua kufanya siasa ngumu zisizo wapendeza watawala. Ni watu ambao kusikia kukamatwa na

    Barakah The Prince aumizwa na mengi kwenye muziki

    Posted: 24 Nov 2016 04:41 AM PST

    Barakah The Prince aumizwa na mengi kwenye muziki Hitmaker wa Nisamehe, Barakah The Prince ametoa yake ya moyoni kuhusu kinachomuumiza kwenye Bongo Fleva. Muimbaji huyo amedai uteam ndio sababu iliyochangia kukosa tuzo kubwa za kimataifa za muziki. Kauli hiyo ya muimbaji huyo imekuja wakati ambapo kumekuwa na vita ya maneno

    HIZI NDIZO SABABU ZILIMFANYA RAIS MAGUFULI KUVUNJA BODI YA

    Posted: 24 Nov 2016 03:48 AM PST

    HIZI NDIZO SABABU ZILIMFANYA RAIS MAGUFULI KUVUNJA BODI YA NOVEMBA 20 mwaka huu Rais wa Jamhuri ya muugano wa Tanzania John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi Mamlaka ya Mapato TRA   Bernard Mchomvu  bodi ya ambapo aliacha maswali mengi sana leo ametegea kitandawali hicho Rais Magufuli

    WASTAAFU WA TANZANIA NA WALIYOYAZUNGUMZA KUHUSU UTAWALA WA AWAMU YA TANO SOMA HAPA LIVE!!

    Posted: 24 Nov 2016 03:44 AM PST

    WASTAAFU WA TANZANIA NA WALIYOYAZUNGUMZA KUHUSU UTAWALA WA AWAMU YA TANO SOMA HAPA LIVE!! Zikiwa zimesali siku chache kabla Serikali ya Rais Dk. John  Magufuli kutimiza mwaka mmoja tangu iingie madarakani, huku ikiwa ni miezi michache tangu akabidhiwe nafasi ya

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 24/11/2016 LIVE

    Posted: 24 Nov 2016 03:42 AM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 24/11/2016 LIVE

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 25, 2016, 11:02:06 PM11/25/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    PICHA 3: Mwanaume Aliyekuwa Akijifanya Mwanamke na Kutapeli Wanaume Akamatwa

    Posted: 25 Nov 2016 07:48 PM PST

    PICHA 3: Mwanaume Aliyekuwa Akijifanya Mwanamke na Kutapeli Wanaume Akamatwa Mwanaume mmoja nchini Uganda aliyefahamika kwa jina la Ivan Bebeto amekamatwa na Polisi akidaiwa kuwa amekuwa akijifanya yeye ni mwanamke na kuwatapeli wanaume. Mwanaume huyo anashikiliwa na Polisi katika kituo cha

    Rais Magufuli: Niliivunja Bodi ya TRA Baada ya Kuidhinisha Mabilioni ya Pesa Kwenda Benki Binafsi Kama Fixed Deposit

    Posted: 25 Nov 2016 07:48 PM PST

    Rais Magufuli: Niliivunja Bodi ya TRA Baada ya Kuidhinisha Mabilioni ya Pesa Kwenda Benki Binafsi Kama Fixed Deposit Novemba 20 mwaka huu Rais Magufuli alitengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi hiyo, Bernard Mchomvu na kuivunja hiyo bila kueleza sababu zozote. Rais John Magufuli ameeleza sababu za kuivunja Bodi ya Mamlaka ya

    Kampeni ya Kumng’oa Trump Yashika Kasi

    Posted: 25 Nov 2016 07:47 PM PST

    Kampeni ya Kumng'oa Trump Yashika Kasi Ndoto za Donald Trump aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa Rais wa 45 wa Marekani huenda zikayeyuka baada ya wajumbe sita wa Democratic watakaopiga kura za majimbo kuanzisha kampeni maalumu ya kuwashawishi wajumbe wengine kutomwidhinisha Rais huyo mteule. Wajumbe hao

    Ommy Dimpoz: Nilivurugana na Diamond Kisa Wema Sepetu, Aanika Bifu la Kiba na Diamond

    Posted: 25 Nov 2016 07:47 PM PST

    Ommy Dimpoz: Nilivurugana na Diamond Kisa Wema Sepetu, Aanika Bifu la Kiba na Diamond STAA wa Bongo fleva hapa nchini, Ommy Dimpoz anayetamba na ngoma yake ya 'Kajiandae', amefungukia bifu lake na msanii mwenzake, Diamond Platinumz kuwa chanzo cha ugomvi wao ni Miss Tanzania wa mwaka 2006, Wema Sepetu 'Madam'.

    Wema Sepetu Ampongeza Ommy Dimpoz

    Posted: 25 Nov 2016 07:36 PM PST

    Wema Sepetu Ampongeza Ommy Dimpoz Baada ya hapo jana Ommy Dimpoz kufunguka kiundani kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kwa kuelezea kilichopelekea akosane na rafiki yake wa zamani, Diamond Platnumz – Wema Sepetu amempongeza kwa kile alichokifanya. Malkia huyo wa filamu nchini, amempongeza hitmaker huyo wa

    Darassa Ajigamba Adai Muziki Wake Hauwezi Kuchuja

    Posted: 25 Nov 2016 07:36 PM PST

    Darassa Ajigamba Adai Muziki Wake Hauwezi Kuchuja Rapper Darassa amedai kuwa muziki anaofanya ni wa kuishi milele ndio maana nyimbo zake haziwezi kuchuja. Akiongea na Times FM, Darassa amesema, "Natengeneza muziki wa kuishi milele, ndio maana 'Utanipenda' na 'Too Much' hazichuji." Kwa sasa Darassa ni

    RUGE "Tulisha Maliza Bifu na Lady Jay Dee, Tunasubiri Ruksa ya Kucheza Nyimbo Zake tu....

    Posted: 25 Nov 2016 07:36 PM PST

    RUGE "Tulisha Maliza Bifu na Lady Jay Dee, Tunasubiri Ruksa ya Kucheza Nyimbo Zake tu.... Ruge Mutahaba amesema siku Lady Jaydee akiwaambia waanze kucheza nyimbo zake watafanya hivyo. Bosi huyo wa Clouds Media Group, ametoa kauli hiyo Ijumaa hii kwenye mahojiano na kipindi cha XXL cha kituo hicho. "Tatizo ni kwamba

    Mimi Sihitaji Kiki ili Muziki Wangu Upenye

    Posted: 25 Nov 2016 07:35 PM PST

    Mimi Sihitaji Kiki ili Muziki Wangu Upenye Ni kwenye Clouds E ya Clouds TV na Shadee Weriss ambapo Ben Pol alikuwa na interview kuzungumzia muziki mpya ambao ameshirikishwa na Darassa unaoitwa Muziki. Ben Pol amefunguka kuwa kwa kipindi hiki ambacho ni ngoma kibao zimetoka kwa mkupuo itachukua

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 26, 2016, 11:10:49 PM11/26/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Wolper Avuta Ndinga Ya Milioni 20

    Posted: 26 Nov 2016 07:47 PM PST

    Wolper Avuta Ndinga Ya Milioni 20 Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper amenunua gari lenye thamani ya shilingi milioni 20 ambalo kwa sasa anamalizia usajili wake Ijumaa lilimbabatiza Wolper mitaa ya Kinondoni jijini Dar akiwa na gari hilo aina ya Toyota Alphard ambapo alipobanwa kama amelikodi

    Trey Songz Amenipa 'Kiki' Hadi Marekani - Vanessa

    Posted: 26 Nov 2016 07:47 PM PST

    Trey Songz Amenipa 'Kiki' Hadi Marekani - Vanessa Msanii wa muziki wa bongo fleva, mwanadada Vanesa Mdee a.k.a Vee Money, amefunguka na kueleza faida alizopata kwa kuwa karibu na nyota wa muziki nchini Marekani Trey Songz. Akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV, Vanessa alitakiwa kueleza faida alizopata kutokana

    Man spotted in Kenya as Jesus look-alike, react to crucifixion threat

    Posted: 26 Nov 2016 07:40 PM PST

    Man spotted in Kenya as Jesus look-alike, react to crucifixion threat The Jesus look-alike who caused a stampede after he was spotted walking barefooted in the downtown Nairobi on Wednesday, has come out to react to a crucifixion threat. Many might be assuming he is a beggar wandering around the country to seek

    Donald Trump blasts the Green Party and Hilary Clinton for election recount, says it's a scam

    Posted: 26 Nov 2016 07:39 PM PST

    Donald Trump blasts the Green Party and Hilary Clinton for election recount, says it's a scam President-elect Donald Trump blasted the election recount on Saturday, calling it "a scam" and "ridiculous" adding that Hillary Clinton had already conceded. He said the fundraising ploy by the Green Party and its nominee, Jill Stein was

    Hilary Clinton campaign announces it will join vote recount efforts

    Posted: 26 Nov 2016 07:38 PM PST

    Hilary Clinton campaign announces it will join vote recount efforts Read the report from CNN below... Hillary Clinton's campaign said Saturday it will take part in efforts to push for recounts in several key states, joining with Green Party candidate Jill Stein, who has raised millions of dollars to have votes

    Excitement as pastor shares 'Anointed' cucumbers to members during service. (Photos)

    Posted: 26 Nov 2016 07:38 PM PST

    Excitement as pastor shares 'Anointed' cucumbers to members during service. (Photos) According to reports which has been making rounds on social media, a Zimbabwean Prophet, Walter Magaya, allegedly sold anointed cucumbers in his church. His church members, especially the ladies, heavily patronized him.  After pictures of the

    Idris Sultan aishia ‘Kula Kwa Macho’ Kwa Mrembo Sanchoka

    Posted: 26 Nov 2016 10:51 AM PST

    Idris Sultan aishia 'Kula Kwa Macho' Kwa Mrembo Sanchoka Na Musa Mateja, Ijumaa DAR ES SALAAM: Licha ya mbwembwe alizoonesha Mtangazaji wa Redio Choice FM, Idris Sultan katika kumtambulisha mwanadada Sanchoka anayedai ni mpenzi wake mpya baada ya kuachana na Wema Sepetu, inadaiwa jamaa huyo hajaona 'ndani' bado kwa mtoto huyo mzuri.

    MAAMBUKIZI Ya Ukimwi Mkoani Simiyu Yanachangiwa na Wanaume Ambao Hawajatairiwa

    Posted: 26 Nov 2016 10:49 AM PST

    MAAMBUKIZI Ya Ukimwi Mkoani Simiyu Yanachangiwa na Wanaume Ambao Hawajatairiwa MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka amesema maambukizi ya virusi vya Ukimwi yanachangiwa kwa asilimia 60 na wanaume ambao hawajafanyiwa tohara. Mtaka aliyasema hayo jana katika kikao cha wadau wa Ukimwi cha kujadili mipango na mikakati

    Muuguzi Anayedaiwa Kumwambia Mama wa Mgonjwa ‘Ataisoma Namba Kumchagua Magufuli’ Atumbuliwa

    Posted: 26 Nov 2016 07:34 AM PST

    Muuguzi Anayedaiwa Kumwambia Mama wa Mgonjwa 'Ataisoma Namba Kumchagua Magufuli' Atumbuliwa Mbeya. Muuguzi wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya anayedaiwa kumkamshifu Junes Elias, mkazi wa Mbozi mkoani Songwe na Rais John Magufuli ametambuliwa. Mganga mkuu wa hospitali hiyo, Dk Gloria Mbwille alisema muuguzi

    UPUNGUFU wa Marubani Waikwamisha Air Tanzania

    Posted: 26 Nov 2016 07:33 AM PST

    UPUNGUFU wa Marubani Waikwamisha Air Tanzania Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limekiri kuwepo kwa changamoto mbalimbali zikiwemo ucheleweshwaji wa ndege wakati wa kutoa huduma katika maeneo ambayo yalipaswa kuhudumiwa. Akizungumzia changamoto hizo, Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika hilo, Mhandisi Emmanuel Korosso,

    Gavana wa BOT Asema Akaunti Maalumu ( “Fixed Deposit Account”) Si Kosa

    Posted: 26 Nov 2016 07:33 AM PST

    Gavana wa BOT Asema Akaunti Maalumu ( "Fixed Deposit Account") Si Kosa Sakata la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuweka fedha katika akaunti maalumu kwenye benki za biashara limechukua sura mpya baada ya Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu kusema si kosa kisheria. Profesa Ndulu, ambaye ni mmoja

    Madee Ajibu Tuhuma Zinazomkabili Babu Tale Kuitelekeza Tip Top na Kumganda Diamond Platnumz

    Posted: 26 Nov 2016 07:32 AM PST

    Madee Ajibu Tuhuma Zinazomkabili Babu Tale Kuitelekeza Tip Top na Kumganda Diamond Platnumz Msanii Madee ambaye ni miongoni mwa wasanii viongozi wa Tip Top inayosimamiwa na Babu Tale, amejibu tuhuma za meneja wao huyo kuitelekeza Tip Top na kuegemea zaidi kwa Diamond Platnumz. Akizungumza kwenye Planet

    Nape Afunguka Kuhusu Kupotea Kwa Pesa Mtaani...Adai Serikali Inajua na Haikutokea Bahati Mbaya....

    Posted: 26 Nov 2016 07:32 AM PST

    Nape Afunguka Kuhusu Kupotea Kwa Pesa Mtaani...Adai Serikali Inajua na Haikutokea Bahati Mbaya.... Nape Nhauye Waziri Nape Amefunguka Kuhusu malalamiko ya Watu kuwa pesa zimekuwa ngumu kupatikana mtaani .....Amesema Haya :

    CHADEMA Waibuka Mafichoni na Kulionya Jeshi la Polisi

    Posted: 26 Nov 2016 07:32 AM PST

    CHADEMA Waibuka Mafichoni na Kulionya Jeshi la Polisi NAIBU Katibu Mkuu (Bara) wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amelitaka Jeshi la Polisi kuacha kufuatilia mikutano yao ya ndani, inayoendelea sehemu mbalimbali nchini. Mnyika alisema hayo mkoani Singida juzi akiwa kwenye moja ya mikutano ya ndani,

    VIDEO: Diamond Akiri Kuandika Nyimbo Baada ya Kuumizwa na WEMA Sepetu na JACK Wolper

    Posted: 26 Nov 2016 07:31 AM PST

    VIDEO: Diamond Akiri Kuandika Nyimbo Baada ya Kuumizwa na WEMA Sepetu na JACK Wolper Watu walizungumza mambo mengi sana baada ya kusikia kuwa Harmonize na Jackline Wolper na uhusiano wa kimapenzi huku walio wengi wakiamini kuwa alikuwa akitafuta kiki tu.  Walioamini hivyo ni kutokana na uhusiano wa kimapenzi ambao uliwahi kuwapo

    KAMPUNI ya MURO Investment Yatangaza Kuuza Mabasi na Vituo vyake vya Mafuta...Kunani?

    Posted: 26 Nov 2016 07:31 AM PST

    KAMPUNI ya MURO Investment Yatangaza Kuuza Mabasi na Vituo vyake vya Mafuta...Kunani? Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko kubwa la nyumba kipigwa mnada, viwanja, magari, hoteli na mali mbalimbali kutokana na sababu mbalimbali kubwa ikiwa ni baadhi wa wakopaji kushindwa kurejesha fedha za mikopo

    MZEE wa Upako Aachiwa na Polisi...Agoma Kusema Kulichotokea Mpaka Kuwekwa Ndani

    Posted: 26 Nov 2016 07:28 AM PST

    MZEE wa Upako Aachiwa na Polisi...Agoma Kusema Kulichotokea Mpaka Kuwekwa Ndani Anthony Lusekelo  Siku chache zilizopita Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako wa Kanisa la Maombezi lililopo Ubungo, jijini Dar es

    MAMA Profesa Tibaijuka Apewa Tuzo Nyingine ya Kimataifa

    Posted: 26 Nov 2016 07:26 AM PST

    MAMA Profesa Tibaijuka Apewa Tuzo Nyingine ya Kimataifa Profesa Anna Tibaijuka ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametunukiwa tuzo baada ya kutangazwa mshindi wa mwaka 2016 wa

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Posted: 25 Nov 2016 08:12 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Baraka Asema Watu Hawajui Yeye na Ali Kiba Walipitoka..Achukia Kuitwa Chawa wa Alikiba

    Posted: 25 Nov 2016 08:11 PM PST

    Baraka Asema Watu Hawajui Yeye na Ali Kiba Walipitoka..Achukia Kuitwa Chawa wa Alikiba Mkali wa Bongo fleva Baraka Da Prince amewapa makavu mashabiki ambao wanamsakama kwa kumwambia yeye ni mfuasi wa Alikiba. Akiongea na Perfect255 @barakahtheprince_ amedai kuwa watu hawajui yeye na @officialalikiba wametoka wapi

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 27, 2016, 11:16:24 PM11/27/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Maoni: Rais Magufuli Ameleta Heshima Kazini na Adabu ya Fedha

    Posted: 26 Nov 2016 11:13 PM PST

    Maoni: Rais Magufuli Ameleta Heshima Kazini na Adabu ya Fedha Hakuna binadamu aliyekamilika, zaidi ya Mwenyezi Mungu pekee. Huku wahenga wanasema kila binadamu na mapungufu yake na upekee wake katika dunia hii, ingali kila mtu ana kitu chake cha tofauti ambacho Mwenyezi Mungu kampa ambacho hakifanani na mtu. Kwanza

    USHAURI Kutoka Kwa Nikk wa Pili Kwa Mnao Ogopa Kuingia Kwenye Ndoa.....

    Posted: 26 Nov 2016 11:13 PM PST

    USHAURI Kutoka Kwa Nikk wa Pili Kwa Mnao Ogopa Kuingia Kwenye Ndoa..... FROM nikkwapili - He he me sio mshauri..wanao ni Dm...kuuliza abt ndoa (marriage)....this is what i think...kuhusu ndoa....ndoa baada ya muda wengi huona kama kifungo, kikwazo cha kumkosa msichana yule, au jamaa yule, au bata lile na kadhalika......

    Christian Longomba Asimulia Jinsi Alivyopona Kutoka Kwenye Upasuaji Uliohusisha Kupasuliwa Nusu ya Fuvu lake

    Posted: 26 Nov 2016 11:12 PM PST

    Christian Longomba Asimulia Jinsi Alivyopona Kutoka Kwenye Upasuaji Uliohusisha Kupasuliwa Nusu ya Fuvu lake Katika watu wanaoweza kuelezea kwa mfano halisi kuwa Mungu yupo, ni Christian Longomba ambaye kupona kutoka kwenye upasuaji uliohusisha kupasuliwa nusu ya fuvu lake (kama mtu unavyoweza kupasua boga kutoa mbege za

    MREMBO HUYU AZUA GUMZO MTANDAONI KWA PICHA HIZI

    Posted: 26 Nov 2016 08:31 PM PST

    MREMBO HUYU AZUA GUMZO MTANDAONI KWA PICHA HIZI

    MREMBO LINAH SANGA AACHIA PICHA HIZI MTANDAONI

    Posted: 26 Nov 2016 08:30 PM PST

    MREMBO LINAH SANGA AACHIA PICHA HIZI MTANDAONI

    Picha inayoashiria Aunty Ezekiel na Mose Iyobo wanatarajia mtoto wa pili

    Posted: 26 Nov 2016 08:30 PM PST

    Picha inayoashiria Aunty Ezekiel na Mose Iyobo wanatarajia mtoto wa pili Moja kati ya picha ambazo zimekuwa zikisambaa kwa kasi katika mtandao wa Instagram leo Jumamosi ya November 26 ni picha ya muigizaji Aunty Ezekiel pamoja na mpenzi wake Mose Iyobo. Picha hiyo ambayo imepostiwa

    MREMBO ANITA AATUPIA PICHA ZA NUSU UTUPU MTANDAONI

    Posted: 26 Nov 2016 08:18 PM PST

    MREMBO ANITA AATUPIA PICHA ZA NUSU UTUPU MTANDAONI

    Magazeti ya Leo Jumapili

    Posted: 26 Nov 2016 08:18 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumapili

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 28, 2016, 10:51:06 PM11/28/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Mariah Carey's brother calls his sister a 'vampire' following split from James Packer

    Posted: 28 Nov 2016 09:08 AM PST

    Mariah Carey's brother calls his sister a 'vampire' following split from James Packer In an interview with Woman's Day.com, Mariah Carey's 51 year old brother, Morgan, addressed her split with fiancee, James Packer saying that the 46yr old star is a 'vampire' and would 'have bled him dry'. He reportedly told the publication:

    Solange shuts down pregnancy rumours by smoking a blunt on a boat with friends

    Posted: 28 Nov 2016 09:08 AM PST

    Solange shuts down pregnancy rumours by smoking a blunt on a boat with friends There were rumours the singer was expecting her first child with husband Alan Ferguson but after photos of her smoking a blunt on a boat in a Miami surfaced, it's safe to say she's not pregnant...

    WATUMISHI Waliosoma Vyuo Vikuu Bila Sifa Kufukuzwa Kazi

    Posted: 28 Nov 2016 08:18 AM PST

    WATUMISHI Waliosoma Vyuo Vikuu Bila Sifa Kufukuzwa Kazi Baada ya matamko kadhaa kadhaa ya serikali kuhusu Sekta ya Elimu nchini hatimaye leo limeibuka jingine la kutimua watumishi wote wa umma waliojiunga na vyuo vikuu na kutunukiwa "degree" bila kuwa na sifa. Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu Prof.Joyce Ndalichako wakati

    HIZI Hapa Sababu Tatu za Jiji la Mbeya Kuwa la Pili Kwa Wingi wa Makanisa Afrika

    Posted: 28 Nov 2016 08:17 AM PST

    HIZI Hapa Sababu Tatu za Jiji la Mbeya Kuwa la Pili Kwa Wingi wa Makanisa Afrika Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450 na Mtaa wa Sae pekee una madhehebu tisa huku Mtaa wa

    VIDEO: Sababu za Wanawake Wengi Kutofika Kileleni Wakati wa Kufanya Tendo la Ndoa

    Posted: 28 Nov 2016 08:02 AM PST

    VIDEO: Sababu za Wanawake Wengi Kutofika Kileleni Wakati wa Kufanya Tendo la Ndoa Nimekuwekea Video Hapa Mtaalam Akielezea tatizo la Wanawake wengi kutofika kileleni wakati wa Tendo la ndoa....

    PAUL Makonda Atoa Siri " Wapo Wanaoshinda Kwa Waganga na Wanaovaa Hirizi Wasitumbuliwe"

    Posted: 28 Nov 2016 08:02 AM PST

    PAUL Makonda Atoa Siri " Wapo Wanaoshinda Kwa Waganga na Wanaovaa Hirizi Wasitumbuliwe" Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amendelea na ziara zake za kutatua kero za Wananchi ambapo leo ameianza wilaya ya Kinondoni. Akizungumza na Watumishi wa Umma wa Wilaya hiyo, Makonda alisema kuwa wapo

    Rufaa ya Godbless Lema Yagonga Mwamba Leo Tena...Arudishwa Selo

    Posted: 28 Nov 2016 08:01 AM PST

    Rufaa ya Godbless Lema Yagonga Mwamba Leo Tena...Arudishwa Selo Rufaa ya mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema iliyopangwa kutolewa leo imeshindikana baada upande wa Jamhuri kuweka pingamizi ya kuwasilisha notisi badala ya rufaa, ambapo Mbunge huyo amerudishwa rumande kwa mara nne. Upande wa

    Wafuasi wa Lema Watinga Mahakamani na Fulana Zenye Ujumbe Huu

    Posted: 28 Nov 2016 08:01 AM PST

    Wafuasi wa Lema Watinga Mahakamani na Fulana Zenye Ujumbe Huu Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema tayari amefikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kusikilizwa rufaa yake. Mawakili wa pande zote walikutana kwa jaji kupeana taarifa  kabla ya kesi kuanza. Ulinzi umeimarishwa mahakamani huku

    Ma Rapper 6 wa Kike Bongo Kuonyeshana nani zaidi Kwenye Wimbo Mmoja Uliyotayarishwa na Producer Nahreel....

    Posted: 28 Nov 2016 08:00 AM PST

    Ma Rapper 6 wa Kike Bongo Kuonyeshana nani zaidi Kwenye Wimbo Mmoja Uliyotayarishwa na Producer Nahreel.... Marapa 6 wa Kike Bongo Wameamua kuungana na kutoa wimbo mmoja kwapamoja, Marapa hao ni Stosh, Cindy Rulz, Rosa Ree, Chemical, Pink na Tammy wataonyeshana nani zaidi ya mwenzake  kwenye ngoma ya pamoja iitwayo 'Hola Hola'

    Shigongo: Hivi Ndivyo Nilivyomalizana na CCM

    Posted: 28 Nov 2016 08:00 AM PST

    Shigongo: Hivi Ndivyo Nilivyomalizana na CCM INAHITAJI mtu jasiri sana kuzungumza ukweli, kwani ukweli umewagharimu watu wengi, ukweli unaweza kugharimu maisha, unaweza kukupeleka gerezani, unaweza kukufukuzisha kazi, unaweza kugharimu biashara yako! Mambo haya na mengine mengi huwafanya watu kuchagua kubaki kimya, hata kama

    Posted: 27 Nov 2016 11:27 PM PST

    Angalia Thamani yako, Yanini Kumng'ang'ania Asiyekupenda? Ili mapenzi yaweze kuwa bora kwa kila aliye katika mahusiano, huwa ni vyema kila mmoja kuiona thamani ya mwenzake. Ukipenda kujiangalia mwenyewe  si ajabu mwenzako kupata hisia za kuwa humthamini wala humjali. Muunganiko wenu katika mapenzi maana yake

    Lady Jay Dee Arusha Jiwe Kigazani Baada ya Kauli ya Ruge Kuwa Walishamalizana

    Posted: 27 Nov 2016 11:26 PM PST

    LADY Jay Dee Arusha Jiwe Kigazani Baada ya Kauli ya Ruge Kuwa Walishamalizana Wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, alidai kuwa vituo vyake vinaweza kuanza kucheza kazi za Lady Jaydee iwapo akiwaruhusu wafanye hivyo. Kupitia Instagram, Lady Jaydee

    Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako' Afunguka Kuhusu Sakata la Kuwatukana Majirani Zake

    Posted: 27 Nov 2016 11:26 PM PST

    Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako' Afunguka Kuhusu Sakata la Kuwatukana Majirani Zake Siku tatu baada ya kudaiwa kumfanyia fujo jirani yake, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu Mzee wa Upako, amejibu tuhuma hizo akisema anaishi kana kwamba hana jirani."...Tunaishi kama majambazi

    Lowassa Awajibu wanasiasa waliodai ni mgonjwa na atakufa

    Posted: 27 Nov 2016 11:26 PM PST

    Lowassa Awajibu wanasiasa waliodai ni mgonjwa na atakufa Aliyekuwa  mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa wingi licha ya baadhi kumsema vibaya kwa kumwita mgonjwa na kwamba

    Magazeti ya Leo Jumatatu

    Posted: 27 Nov 2016 09:31 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumatatu

    Jengo la Makao Makuu ya TANESCO Ubungo Kubomolewa Wakati Wowote Kupisha Ujenzi wa 'Interchange'

    Posted: 27 Nov 2016 09:02 PM PST

    Jengo la Makao Makuu ya TANESCO Ubungo Kubomolewa Wakati Wowote Kupisha Ujenzi wa 'Interchange' Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli amesema kuwa Jengo la Makao Makuu ya TANESCO lililopo Ubungo litabomolewa wakati wowote kuanzia sasa ili kupisha ujenzi wa Ubungo Interchange yenye ghorofa 2 mpaka 3 hali

    PICHA ya Aunty Ezekiel na Moses Iyobo Ikionyesha Ujauzito Yawa Gumzo Mtandaoni

    Posted: 27 Nov 2016 08:55 PM PST

    PICHA ya Aunty Ezekiel na Moses Iyobo Ikionyesha Ujauzito Yawa Gumzo Mtandaoni Moja kati ya picha ambazo zimekuwa zikisambaa kwa kasi katika mtandao wa Instagram leo Jumamosi ya November 26 ni picha ya muigizaji Aunty Ezekiel pamoja na mpenzi wake Mose Iyobo. Picha hiyo ambayo imepostiwa na baadhi ya watu ikiwemo

    SERIKALI Yapiga Marufuku Kusoma Degree Bila Kupita Form Six

    Posted: 27 Nov 2016 08:54 PM PST

    SERIKALI Yapiga Marufuku Kusoma Degree Bila Kupita Form Six Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Pro.Joyce Ndalichako amepiga marufuku wanafunzi kujiunga na masomo ya Shahada (degree) bila kupita kidato cha sita. Marufuku hiyo itaanza rasmi katikals mwaka ujao wa masomo. Prof.Ndalichako emesema mfumo wa elimu huria

    Picha: Makonda Atinga 'Uwanja wa Fisi' Wanapojiuza Madada poa

    Posted: 27 Nov 2016 08:54 PM PST

    Picha: Makonda Atinga 'Uwanja wa Fisi' Wanapojiuza Madada poa Mkuu wa mkoa wa mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akiteta na Mlemavu ambaye amemkuta katika eneo la uwanja wa fisi akinywa pombe za kienyeji na kumsihi aache kunywa pombe hizo, leo jijini Dar es Salaam.  Mkuu

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 29, 2016, 11:33:30 PM11/29/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Vanessa Mdee Apata Shavu Afrika Kusini

    Posted: 29 Nov 2016 08:09 PM PST

    Vanessa Mdee Apata Shavu Afrika Kusini Vanessa Mdee amepata shavu la kuigiza kwenye tamthilia ya MTV Shuga Afrika Kusini kwenye msimu wa tano. Kupitia mtandao wa Instagram, hitmaker huyo wa Niroge ameandika, "Ninafuraha sana kuwatangazia kuwa nitakuwa kwenye msimu mpya wa#MTVShuga itakuwa kazi yangu ya kwanza kabisa ya

    Chadema Waja na Operation Mpya Baada ile ya UKUTA Kufeli

    Posted: 29 Nov 2016 08:08 PM PST

    Chadema Waja na Operation Mpya Baada ile ya UKUTA Kufeli Baada ya kuanzisha na hatimaye kukwama kuitekeleza operesheni ya Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (Ukuta), Chadema imekuja na nyingine itakayokwenda kwa jina la 'Kata Funua'.  Operesheni hiyo mpya imetangazwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ikilenga kukipa

    Wizara ya Elimu Yakanusha Taarifa ya Wanafunzi wa Diploma Kuzuiwa Kujiunga Vyuo Vikuu

    Posted: 29 Nov 2016 08:08 PM PST

    Wizara ya Elimu Yakanusha Taarifa ya Wanafunzi wa Diploma Kuzuiwa Kujiunga Vyuo Vikuu WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imetoa ufafanuzi kwamba haijapiga marufuku watu wenye Stashahada wenye sifa kujiunga na vyuo vikuu badala yake walichokataza ni wanafunzi waliofeli kidato cha nne na cha sita kujiunga na

    UGONJWA Unaoambukiza Kama UKIMWI, Kati ya Watu 100, Nane Wanao

    Posted: 29 Nov 2016 08:07 PM PST

    UGONJWA Unaoambukiza Kama UKIMWI, Kati ya Watu 100, Nane Wanao Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kuanza kufanya uchunguzi wa Virusi vya homa ya Ini (Hepatitis B) na kutoa tiba bure kwa wagonjwa watakaobainaika kuwa nao kwa kutumia dawa ya Tenefovir katika kipindi cha miaka mitano ijayo kuanzia tarehe 1 December 2016.

    VIDEO: RC Makonda Alivyoamuru Wenyeviti Watano Kuchukuliwa na Polisi Katikati ya Mkutano

    Posted: 29 Nov 2016 08:07 PM PST

    VIDEO: RC Makonda Alivyoamuru Wenyeviti Watano Kuchukuliwa na Polisi Katikati ya Mkutano Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda November 28 2016 alimaliza ziara ya Dar Mpya ambayo alizunguka maeneo tofauti ya jiji la Dar es salaam kwa siku 10 kusikiliza na kutoa majibu ya kero mbalimbali zinazowakabili wananchi.

    Dadapoa 25 Mbaroni Kwa Kujiuza Moshi

    Posted: 29 Nov 2016 08:04 PM PST

    Dadapoa 25 Mbaroni Kwa Kujiuza Moshi Watu 66 wakiwamo wanawake 25 wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya kuuza miili maarufu kama dadapoa katika maeneo mbalimbali ya mjini Moshi, wanashikiliwa na polisi. Licha ya kuwashikilia wanawake hao, polisi wamewakamata wafanyabiashara saba wanaojihusisha na biashara za dawa za

    MAUNO ya Mwendokasi Ndio Yanayoniweka Mjini – Gigy Money

    Posted: 29 Nov 2016 08:04 PM PST

    MAUNO ya Mwendokasi Ndio Yanayoniweka Mjini – Gigy Money Video queen ambaye haishiwi vituko, Gigy Money amefunguka kwa kusema kuwa mauno yake ya mwendokasi ndio kitu ambacho kinawafanya wasanii wengi wamtafute kwa ajili ya kufanya naye kazi. Mrembo huyo ambaye pia ni mtangazaji wa Choice FM, amesema kuwa video queen ni kazi

    VODACOM Tanzania Yapeleka Maombi ya Kujiunga na Soko la Hisa (DSE)

    Posted: 29 Nov 2016 07:59 PM PST

    VODACOM Tanzania Yapeleka Maombi ya Kujiunga na Soko la Hisa (DSE) Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetangaza dhamira yake ya kuuza hisa kwa umma itakayofuatiwa na   kujiunga kwenye   Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) ikiwa ni utekelezaji wa sheria ya Elektroniki na Mawasiliano ya Posta (EPOCA) na sheria ya Fedha ya

    Picha: Alikiba Asherehekea Siku ya Kuzaliwa Kwa Kutembelea Mbugani

    Posted: 29 Nov 2016 07:58 PM PST

    Picha: Alikiba Asherehekea Siku ya Kuzaliwa Kwa Kutembelea Mbugani  Leo ni siku ya kuzaliwa ya Alikiba. Na kusherehekea siku hiyo muhimu kwake, muimbaji huyo mahiri alitumia private jet kwenda na timu yake ya Rockstar4000 akiwemo Barakah Da Prince kwenda mbugani. Chini ni picha alizoweka kwenye Instagram.

    Maprofesa Wampinga Ndalichako

    Posted: 29 Nov 2016 07:58 PM PST

    Maprofesa Wampinga Ndalichako WASOMI, wadau wa elimu na wananchi wa kawaida wamekosoa tamko la Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, wakisema kwamba halijafanyiwa utafiti na halitekelezeki kisheria. Mwishoni mwa wiki, akiwa kwenye mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)

    HASHIM Rungwe: Kinachooneshwa na Rais Magufuli ni Tabia zake na si Utendaji Wake

    Posted: 29 Nov 2016 07:57 PM PST

    HASHIM Rungwe: Kinachooneshwa na Rais Magufuli ni Tabia zake na si Utendaji Wake Mwenyekiti wa Chama cha Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesema kinachoonyeshwa na Rais John Magufuli katika kazi zake ni tabia zake binafsi, badala ya utendaji. Rungwe, ambaye aligombea urais mwaka jana na kushika nafasi ya tano akiwa

    MBUNGE wa Ukonga Mh. Mwita Waitara Akamatwa na Kushikiliwa na Polisi kituo cha Polisi Chang'ombe

    Posted: 29 Nov 2016 07:57 PM PST

    MBUNGE wa Ukonga Mh. Mwita Waitara Akamatwa na Kushikiliwa na Polisi kituo cha Polisi Chang'ombe Mbunge wa Ukonga Mh. Mwita Waitara akamatwa na kushikiliwa na Polisi kituo cha Polisi Chang'ombe, Temeke. Mh. Waitara amekamatwa muda mfupi uliopita katika eneo la UVIKIUTA alipokuwa amefuatilia mgogoro wa muda mrefu wa ardhi

    KHADIJA Yusuph Amtaka Leila Rashid Aachane na Mambo ya Kidunia na Kumfuata Mumewe Mzee Yusuph

    Posted: 29 Nov 2016 07:56 PM PST

    KHADIJA Yusuph Amtaka Leila Rashid Aachane na Mambo ya Kidunia na Kumfuata Mumewe Mzee Yusuph Msanii wa taarabu nchini Khadija Yusuph amemsihi wifi yake Leila Rashid kuachana na maswala ya muziki na kumfuata mume wake Mzee Yusuph kwa kuwa tayari mume wake kashaenda hija na ni dhambi kuacha kumsikiliza mume wake.

    MREMBO Tunda Afunguka Kuhusu Mpenzi Wake Young Dee Baada ya Kurudiana

    Posted: 29 Nov 2016 07:54 PM PST

    MREMBO Tunda Afunguka Kuhusu Mpenzi Wake Young Dee Baada ya Kurudiana Huwenda rapa Young Dee amerudia na mpenzi wake wa zamani Tunda. Kwani wawili hao kwa sasa wapo karibu zaidi kiasi cha kushauriana baadhi ya mambo. Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii zilizagaa taarifa ya kuwa wawili hao wamerudiana.

    STEVE Nyerere Amponda Erick Omondi, Adai Watanzania Wanaomkubali ni Wajinga

    Posted: 29 Nov 2016 07:54 PM PST

    STEVE Nyerere Amponda Erick Omondi, Adai Watanzania Wanaomkubali ni Wajinga Mwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama huyo kuwa ni mchekeshaji  VIDEO:

    Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu

    Posted: 29 Nov 2016 07:54 PM PST

    Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu KENYA: Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza daktari feki aliyekamatwa nchini humo aruhusiwa kujiendeleza na masomo ya udaktari badala ya kutumikia kifungo gerezani. Kauli hiyo imetolewa baada ya kubainika

    Updates: Watu 76 Wamethibitika Kufariki Dunia na 5 Kunusurika Katika Ajali ya Ndege

    Posted: 29 Nov 2016 07:52 PM PST

    Updates: Watu 76 Wamethibitika Kufariki Dunia na 5 Kunusurika Katika Ajali ya Ndege Watu 76 wamethibitika kufariki dunia na 5 kunusurika baada ya ndege ya wachezaji kutoka Brazil kuanguka asubuhi ya leo. Kati ya waliofariki 22 ni Waandishi wa Habari. Timu Atlético Nacional ambayo ilipaswa kucheza wa kwanza wa

    Magazeti ya Leo Jumanne

    Posted: 28 Nov 2016 08:15 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumanne

    BARAKA The Prince Aikana Timu Kiba..

    Posted: 28 Nov 2016 08:06 PM PST

    BARAKA The Prince Aikana Timu Kiba.. Kama ulijua Barakah The Prince ni team Kiba, utakuwa umekosea kwa mujibu wa muimbaji huyo. Hitmaker huyo wa Nisamehe adai kuwa hayupo team yoyote kati ya Kiba na Diamond ila anachotaka yeye ni mashabiki kutoka pande zote hizo mbili. "Mimi sina team

    Diamond ft Neyo "marry You" Yashika Namba 2 UK, Aweka Record

    Posted: 28 Nov 2016 08:06 PM PST

    Diamond ft Neyo "marry You" Yashika Namba 2 UK, Aweka Record Nyimbo mpya ya diamond ft Neyo iitwayo marry you ambayo official release imeshaachiwa United Kingdom (UK) shiku chache zilizopita imeendelea kufanya vizuri kwenye vituo mbali mbali. Katika nyimbo mpya zilizotoka hivi karibuni diamond amekuwa akichuana na Bruno

    Masharti Ya Kumtext Mwanamke - Makosa 5 Wanaume Wanayofanya

    Posted: 28 Nov 2016 08:01 PM PST

    Masharti Ya Kumtext Mwanamke - Makosa 5 Wanaume Wanayofanya Kila siku mara moja au nyingine huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo

    Chanjo Dhidi ya Ukimwi Kufanyiwa Majaribio Afrika Kusini

    Posted: 28 Nov 2016 08:00 PM PST

    Chanjo Dhidi ya Ukimwi Kufanyiwa Majaribio Afrika Kusini Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii. Wanasayansi wanasema huenda ikawezesha binadamu kukabiliana na virusi hivyo iwapo itafanikiwa, shirika la habari la AP linasema. Wakati wa

    ALIKIBA Aicheka Kauli ya Diamond Kuhusu Pete ya Kijani!

    Posted: 28 Nov 2016 08:00 PM PST

    ALIKIBA Aicheka Kauli ya Diamond Kuhusu Pete ya Kijani! Je unaikumbuka kauli ya Diamond aliyoitoa wiki iliyopita kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kuhusu pete ya kijani? Ngoja nikukumbushe japo kidogo kile alichokisema, "Mimi sina matatizo na watu ndio maana wakijaribu kushindana na mimi huwa wanashindwa. Hata

    YOUNG Dee Akiri Kurudiana na Mrembo Tunda..Adai yeye Ndio Alikuwa Tatizo Mpaka Wakaachana

    Posted: 28 Nov 2016 08:00 PM PST

    YOUNG Dee Akiri Kurudiana na Mrembo Tunda..Adai yeye Ndio Alikuwa Tatizo Mpaka Wakaachana November 28, 2016 U Heard ya Soudy Brown ndani ya XXL ya Clouds FM iko na story kuhusu uhusiano wa kimapenzi uliokuwepo kati ya rapa Young Dee ambaye aliwahi kuwa na uhusiano na Video Queen Tunda waliyeacha baada ya kutoelewana kupelekana

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Nov 30, 2016, 11:31:58 PM11/30/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Ndugu wa Stella Shija wanatafutwa kuja chukua mwili wa ndugu yao

    Posted: 30 Nov 2016 07:59 PM PST

    Ndugu wa Stella Shija wanatafutwa kuja chukua mwili wa ndugu yao Pichani anaitwa Stella Shija Mbilizi ,kabila Muha wa Kigoma amefariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 30/11/2016 Mara ya mwisho alikuwa.anafanya kazi Masha Pub  sai Mbeya.Ndugu zake wanatafutwa mwili upo  Rufaa Mbeya. 

    NG’OMBE AZAA VIUMBE VYA AJABU BAADA YA KUPASULIWA

    Posted: 30 Nov 2016 07:58 PM PST

    NG'OMBE AZAA VIUMBE VYA AJABU BAADA YA KUPASULIWA Hamisi Mdidila mkazi wa kijiji cha Azimio akionesha viumbe vilivyokutwa kwenye ng'ombe wake baada ya kumpasua. Story by Ezekiel Kamanga. Wananchi wa Kijiji cha Azimio Mswiswi Kata ya Kongolo Wilaya Mbarali Mkoani Mbeya wamejikuta kwenye taharuki kubwa baada ya

    HATIMAYE SIRI YAFICHUKA KUMBE HUYU NDIYE MPENZI WA MWANAMUZIKI MAARUFU WA WASAFI WCB MJUE LIVE!!

    Posted: 30 Nov 2016 07:49 PM PST

    HATIMAYE SIRI YAFICHUKA KUMBE HUYU NDIYE MPENZI WA MWANAMUZIKI MAARUFU WA WASAFI WCB MJUE LIVE!! Ule usemi wa Kiswahili unaosema 'penzi ni kikohozi kulificha hauwezi' unazidi kujidhihirisha kwa muimbaji wa WCB, Rayvanny baada ya anayedaiwa kuwa mpenzi wake kuonyesha ni jinsi gani anavyomzimia mkali huyo wa wimbo,

    Selfie ya Diamond Akiwa na Kiboxer Yasababisha Povu Zito Instagram

    Posted: 30 Nov 2016 07:47 PM PST

    Selfie ya Diamond Akiwa na Kiboxer Yasababisha Povu Zito Instagram Diamond Platnumz ni bingwa wa kusababisha povu kwenye mitandao ya kijamii. Jumanne hii alisababisha tafrani kwenye mtandao wa Instagram baada ya kupiga stunt kama ya The Game na Kevin Hart, kwa kupost selfie akiwa amevalia kiboxer cheusi.

    PESA Aliyoitoa Ronaldo kwa Familia za Wachezaji Waliofia Katika Ajali ya Ndege

    Posted: 30 Nov 2016 07:47 PM PST

    PESA Aliyoitoa Ronaldo kwa Familia za Wachezaji Waliofia Katika Ajali ya Ndege Bado dunia na ulimwengu wa soka kwa sasa unaomboleza msiba wa msafara wa timu yaChapocoense ya Brazil uliyopata ajali wakati wakielekea kutua uwanja wa ndege waMedellin Colombia. Ajali hiyo ya ndege imehusisha watu 81 kati ya hao 76

    Jokate Athibitisha Rasmi Uhusiano Wake wa Kimapenzi na Mwanamuziki Alikiba

    Posted: 30 Nov 2016 07:46 PM PST

    Jokate Athibitisha Rasmi Uhusiano Wake wa Kimapenzi na Mwanamuziki Alikiba Uhusiano wa Jokate na Alikiba una takriban miaka miwili sasa lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kukiri hadharani. Waswahili husema penzi ni kikohozi, kulificha huwezi. Ndio maana pamoja na kujitahidi sana kuuficha, uzito wa penzi lao umekuwa

    CHADEMA Watoa Onyo: Hatutakubali Tena Kudhulumiwa 2020

    Posted: 30 Nov 2016 07:46 PM PST

    CHADEMA Watoa Onyo: Hatutakubali Tena Kudhulumiwa 2020 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) ,Vincent Mashinji amesema hawatakubali tena kudhulumiwa kwa namna yoyote  katika uchaguzi wa mwaka 2020. Dk. Mashinji amesema hayo huku akimtolea mfano wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim

    MTOTO wa Diamond Platnumz Awa Mtoto wa Kwanza Africa Kufikisha Followers Milioni Moja Instagram

    Posted: 30 Nov 2016 07:45 PM PST

    MTOTO wa Diamond Platnumz Awa Mtoto wa Kwanza Africa Kufikisha Followers Milioni Moja Instagram Hakuna ubishi kuwa Princess Tiffah ndiye mtoto maarufu zaidi Afrika kwa sasa. Umaarufu wake unazidi kuongozeka kiasi ambacho wiki hii amefikisha followers milioni 1 kwenye mtandao wa Instagram. Umaarufu huo hajahangaika

    BENKI ya CRDB Yafunguka Kuhusu Tetesi ya Kuwa Imepata Hasara Kubwa Mwaka Huu

    Posted: 30 Nov 2016 07:45 PM PST

    BENKI ya CRDB Yafunguka Kuhusu Tetesi ya Kuwa Imepata Hasara Kubwa Mwaka Huu Benki ya CRDB imesema haijapata hasara kama tetesi zinavyoenezwa. Imesema kuwa imepata faida ya Bilioni 63 kwa kipindi cha Januari hadi Septemba, 2016. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Charles Kimei amesema mwaka huu wamepanga kufungua

    DONEDEAL: Mrisho Ngasa Kasaini Mbeya City

    Posted: 30 Nov 2016 07:44 PM PST

    DONEDEAL: Mrisho Ngasa Kasaini Mbeya City Picha inayo-trend kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni ya Mrisho Ngasa na afisa habari wa Mbeya City Dismas Ten ambayo inaashiria tayari nyota huyo wa zamani wa Yanga ameshakamilisha deal na 'wagonga nyundo wa Mbeya' Mbeya City. Mwezi Septemba mwaka huu Ngasa alijiunga na Fanja FC

    NIMEFANYA Video Karibia 10 Lakini ya Diamond Mnaniuliza Kila Saa, Who is Diamond Motherf**** – Tunda

    Posted: 30 Nov 2016 07:42 PM PST

    NIMEFANYA Video Karibia 10 Lakini ya Diamond Mnaniuliza Kila Saa, Who is Diamond Motherf**** – Tunda Tunda amechoka kuulizwa maswali kuhusiana na kuonekana kwenye video ya Diamond ya wimbo Salome aliomshirikisha Ray Vanny. Ni kwasababu anajiuliza, iweje ameshaonekana kwenye video takriban 10, lakini tangu aonekane kwenye

    NISHA Akanusha Kupewa Mimba na Nay wa Mitego

    Posted: 30 Nov 2016 07:41 PM PST

    NISHA Akanusha Kupewa Mimba na Nay wa Mitego Baada ya msanii wa filamu Salma Jabu, Nisha kulalamika kubakwa na kupewa mimba na msanii wa muziki na baadaye kudai msanii huyo ameikataa mimba hiyo. Mashabiki katika mitandao ya kijamii walidhani mimba hiyo ni ya Nay wa Mitego hali ambayo ilimfanya rapa huyo kukanusha uvumi huo.

    JINSI Ya Kumtext Mwanamke Hadi Akupigie Simu Wa Kwanza

    Posted: 30 Nov 2016 07:40 PM PST

    JINSI Ya Kumtext Mwanamke Hadi Akupigie Simu Wa Kwanza Kutumia sms kuanzia wiki hadi mwezi bila kupiga simu ni VIBAYA. Unahatarisha kuitwa boyfriend wa sms, na labda hautakuwa boyfriend wake wa ukweli. Kuondoa hizi athari unapaswa kutumia maujanja haya matatu. Mbinu #1: Toa majibu yasiyokuwa moja kwa moja. Wanawake

    BREAKING News: Bifu la Lady Jay Dee na Clouds Lazikwa Rasmi..Management ya Jay Dee Yaruhusu Clouds Ipige Nyimbo zake Iwezavyo

    Posted: 30 Nov 2016 07:40 PM PST

    BREAKING News: Bifu la Lady Jay Dee na Clouds Lazikwa Rasmi..Management ya Jay Dee Yaruhusu Clouds Ipige Nyimbo zake Iwezavyo Unaambiwa Kwa Sasa hakuna cha Komando wala nini, ile bifu kubwa kuwahi kutokea kwenye game ya Bongo Flava kati ya Clouds FM na Lady Jay Dee imezikwa rasmi baada ya Uongozi wa Lady Jay Dee Kuruhusu

    Sakata la Kununua Viewers You Tube: Ommy Dimpoz Aumbuliwa na Mwakilishi wa You tube E.Africa

    Posted: 29 Nov 2016 09:56 PM PST

    Sakata la Kununua Viewers You Tube: Ommy Dimpoz Aumbuliwa na Mwakilishi wa You tube E.Africa Baada ya Ommy Dimpoz kumtuhumu wazi wazi Nassibu Abduli kuwa ana nunua views na tunzo bila kuwa na uthibitisho na bila aibu Ommy ili kuwathibitishia watu kuwa kuwa watu hununua views alisema kuwa hata yeye aliwai kutaka kununua...

    Msanii Nisha Bebee Atoa Machozi na Kusema Haya Kwa Uchungu Kuhusu Maisha yake

    Posted: 29 Nov 2016 09:49 PM PST

    Msanii Nisha Bebee Atoa Machozi na Kusema Haya Kwa Uchungu Kuhusu Maisha yake "UNAJUA KINACHOUA UZURI WNG?? NI MACHOZI YANITOKAYO KILA SIKU. naweza kwenda popote,naweza nunua chchte nnachotaka.. M'Mungu kanibariki neema zote kubwa na ndogo.. kitu pekee ambacho sina ni AMANI YA MOYO WANGU" by #nishabebe MTAZAME HAPA:

    Lipumba Amtaka Maalim Seif Aache Kudanganywa na Waganga wa Kienyeji

    Posted: 29 Nov 2016 09:49 PM PST

    Lipumba Amtaka Maalim Seif Aache Kudanganywa na Waganga wa Kienyeji Mgogoro wa uongozi ndani ya Chama cha Wanachi (CUF) unaendelea kuzua mapya ambapo jana, Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba alimvaa tena Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad.

    Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote waeleza Sababu ya Kusitisha Uzalishaji

    Posted: 29 Nov 2016 09:48 PM PST

    Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote waeleza Sababu ya Kusitisha Uzalishaji UZALISHAJI katika kiwanda cha saruji cha Dangote kilichopo Mtwara umesimama kwa muda kutokana na hitilafu za kiufundi zilizojitokeza katika mitambo. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Dangote Tanzania, Harpreet Duggal alisema jana kwamba mafundi wa

    Pedeshee Ndama Mtoto wa Ng’ombe Kortini Kwa Tuhuma za Kughushi na Kutakatisha Fedha

    Posted: 29 Nov 2016 09:46 PM PST

    Pedeshee Ndama Mtoto wa Ng'ombe Kortini Kwa Tuhuma za Kughushi na Kutakatisha Fedha Tuhuma za kughushi, kutakatisha fedha na kujipatia dola za Marekani 540,390 kwa njia ya udanganyifu zimemfanya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Ndama Shabani Hussein, maarufu kama Pedeshee Ndama mtoto wa Ng'ombe (44) kupandishwa

    Aina 12 Ya Wanawake Ambao Watayafanya Maisha Yako Kuwa Magumu

    Posted: 29 Nov 2016 09:44 PM PST

    Aina 12 Ya Wanawake Ambao Watayafanya Maisha Yako Kuwa Magumu Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia ambazo hazifurahishi. Hii pia inajitokeza katika wanawake. Katika mahusiano, utapata kuwa wanawake wanakuwa na tabia ambazo

    Magazeti ya Leo Jumatano

    Posted: 29 Nov 2016 09:37 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumatano

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 1, 2016, 11:14:17 PM12/1/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Magazeti ya Leo Ijumaa

    Posted: 01 Dec 2016 07:52 PM PST

    Magazeti ya Leo Ijumaa

    UTAFITI: Ripoti ya Taasisi ya Twaweza Yaonyesha Asilimia 92 Wanataka Bunge Live

    Posted: 01 Dec 2016 07:51 PM PST

    UTAFITI: Ripoti ya Taasisi ya Twaweza Yaonyesha Asilimia 92 Wanataka Bunge Live UTAFITI: Ripoti ya Taasisi ya Twaweza yaonyesha asilimia 92 ya wananchi wanapendelea vipindi vya Bunge kuonyeshwa moja kwa moja. Pia katika utafiti huo asilimia 65 wanasema Vyombo vya Habari havijawahi au kama vimeshawahi, ni

    NUHU Mziwanda Aonyesha Live Ujauzito wa Mke Wake....

    Posted: 01 Dec 2016 07:51 PM PST

    NUHU Mziwanda Aonyesha Live Ujauzito wa Mke Wake.... Mziwanda sio mtu wa sport sport.. ashafanya yake. ..na sasa ni baba Kijacho.!!! Raha iliyoje😛😛😛😛

    TAHARUKI...Panya Road Wavamia Nyumba na Kupora..Majirani Washindwa Kusaidia

    Posted: 01 Dec 2016 07:51 PM PST

    TAHARUKI...Panya Road Wavamia Nyumba na Kupora..Majirani Washindwa Kusaidia DAR: Kundi kubwa la vijana wanaosadikika kuwa ni 'Panya Road' wavamia nyumba moja na kupora vitu mbalimbali usiku wa kuamkia leo. Inadaiwa kuwa mhanga wa tukio hilo alijaribu kuomba msaada kwa majirani bila mafanikio kwakuwa

    NIKKI MBISHI Akutana Live na Chid Benzi na Kuandika Haya...." He is Finished"

    Posted: 01 Dec 2016 07:50 PM PST

    NIKKI MBISHI Akutana Live na Chid Benzi na Kuandika Haya...." He is Finished" Nikki Mbishi Aka BabaMalcom amedai kuwa amekutana na Mwanamuziki Mwenzake Chid Benz na kudai kuwa amekwisha, Akiwa na maana ana hali mbaya nadhani kutokana na matumizi ya Madawa ya kulevya... Ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa facebook:

    RAYVANNY Amshukuru Mungu Kwa Kumkutanisha na Diamond...Adai Mpaka Nguo Anazofanyia Video ni za Diamond

    Posted: 01 Dec 2016 07:50 PM PST

    RAYVANNY Amshukuru Mungu Kwa Kumkutanisha na Diamond...Adai Mpaka Nguo Anazofanyia Video ni za Diamond Ray Vanny Ameandika Haya Kupitia Ukurasa wake wa Instagram: Rayvanny - Kwenye Video ya #KWETU Nguo zote Ulinipa wewe!!! #MUGACHERERE Nguo zote ulinipa zako... kiukweli Nimepata tabu nyingi Sana Kwenye Mziki wangu

    KWA Hili Lady Jaydee na Clouds Media Group Wanastahili Pongezi

    Posted: 01 Dec 2016 07:49 PM PST

    KWA Hili Lady Jaydee na Clouds Media Group Wanastahili Pongezi Najua hakuna aliyetarajia kuona hili likitokea lakini kwa uwezo wa Mungu limefikia mwisho. Nakumbuka Machi 21 ya mwaka huu kaka yangu Fredrick Bundala aliandika makala iliyokuwa na kichwa cha habari kinachosomeka "Ninachotamani: Lady Jaydee na Clouds

    GIGY Money 'Nawashauri Wadada Wasivae Nguo ya Ndani Kama Mimi'

    Posted: 01 Dec 2016 07:49 PM PST

    GIGY Money 'Nawashauri Wadada Wasivae Nguo ya Ndani Kama Mimi' Baada ya video queen, Gigy Money kusemwa katika mitandao ya kijamii kwamba havai nguo ya ndani, mrembo huyo amesema ni kweli havai na ni maisha anayopenda kuishi. Akiongea na Bongo5 Jumamosi hii, Gigy Money amesema anajisikia vizuri akivaa nguo bila

    MWAMVITA Makamba Atapeliwa na Sheria Ngowi......

    Posted: 01 Dec 2016 07:49 PM PST

    MWAMVITA Makamba Atapeliwa na Sheria Ngowi...... Katika pitapita zangu Twitter nimekumbana na Tweet moja ya Mwanadada Mwamvita Makamba akidai yeye kama Mwekezaji binafsi katika tasnia ya Fashion ametapeliwa na Mbunifu wa Suti matata Bwana Sheria Ngowi. Hapo alikuwa akimpa taarifa jamaa anayeendesha

    HATIMAYE Rolls Royce la Diamond Liko Njiani Kuja Tanzania.....

    Posted: 01 Dec 2016 07:48 PM PST

    HATIMAYE Rolls Royce la Diamond Liko Njiani Kuja Tanzania..... The Rolls Royce musician from east africa aka diamond hatimaye amekamilisha ndoto zake za siku nyingi baada ya order yake ya gari aina ya rolls royce kukamilia na gari hilo liko njiani kuwasili mikononi mwake punde... Gari hilo aina ya rolls royce Drop Head

    UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI NA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA HIFADHI ZA TAIFA (TANAPA)

    Posted: 01 Dec 2016 05:53 AM PST

    UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI NA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA HIFADHI ZA TAIFA (TANAPA)   Kufuatia Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumteua Jenerali (Mst) George Marwa Waitara kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANAPA tarehe 29 Oktoba, 2016, Waziri

    MSAJILI wa Hazina Atoa Ufafanuzi Kuhusu Fedha Kukauka Mifukoni Mwa Watu Pamoja na Sababu za Benki Kulalamika Kufilisika

    Posted: 01 Dec 2016 05:50 AM PST

    MSAJILI wa Hazina Atoa Ufafanuzi Kuhusu Fedha Kukauka Mifukoni Mwa Watu Pamoja na Sababu za Benki Kulalamika Kufilisika Msajili  wa Hazina nchini, Lawrence Mafuru amesema benki nchini zinashindwa kueleza ukweli juu ya kuyumba kwao na kwamba madai ya kuwa hali zao ni mbaya kutokana na agizo la serikali la kutaka fedha zake

    Mambo Yazidi Kuwa Magumu kwa Wadaiwa Bodi ya Mikopo, Sasa Kukatwa 15% ya Kipato Chao kwa Mwezi

    Posted: 01 Dec 2016 05:50 AM PST

    Mambo Yazidi Kuwa Magumu kwa Wadaiwa Bodi ya Mikopo, Sasa Kukatwa 15% ya Kipato Chao kwa Mwezi MAMBO yanazidi kuwa magumu kwa wadaiwa wa mikopo ya elimu ya juu baada ya asilimia ya marejesho ya mkopo huo kwa kila mwezi kuongezeka kutoka 8% hadi 15%. Mabadiliko haya yamekuja baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

    MAJINA ya Wadaiwa Sugu Shirika la Nyumba yatua Kwa JPM

    Posted: 01 Dec 2016 05:49 AM PST

    MAJINA ya Wadaiwa Sugu Shirika la Nyumba yatua Kwa JPM SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limewasilisha ripoti ya wadaiwa sugu wa shirika hilo, zikiwamo wizara, taasisi za Serikali na watu binafsi kwa Rais Dk. John Magufuli, huku wizara mbili zikiwa na deni kubwa. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam

    JIKE DUME Lilivyokamatwa Baada ya Kuwatapeli Wanaume Wakware Wakijua Mwanamke Kamili

    Posted: 01 Dec 2016 05:48 AM PST

    JIKE DUME Lilivyokamatwa Baada ya Kuwatapeli Wanaume Wakware Wakijua Mwanamke Kamili Uganda: DUNIANI kuna mambo! Kijana Ivan Bebeto (28) yamemkuta ya kumkuta baada ya hivi karibuni kushikiliwa kwenye Kituo cha Polisi cha Katwe jijini Kampala kwa madai ya kuwatapeli wanaume kwa kujifanya ni mwanamke 'jike dume' huku akivaa mavazi

    SABABU za Kuanguka kwa Ndege ya Brazil Zatajwa, Mnusurika Aaanika Mazito!

    Posted: 01 Dec 2016 05:45 AM PST

    SABABU za Kuanguka kwa Ndege ya Brazil Zatajwa, Mnusurika Aaanika Mazito! Ndege iliyokuwa imewabeba wachezaji wa timu ya mpira kutoka nchini Brazil ambayo ilipata ajali nchini Colombia inasemekana kwa muujibu wa taarifa zilizovuja ndege hiyo iliishiwa mafuta kutoka katika kifaa cha kurekodia mawasiliano. Katika

    BAADA ya Weusi Kuwa na Kigugumizi Kuhusu Lord Eyes..Baraka The Prince Aamua Kumchukua Kwenye Lebo yake

    Posted: 01 Dec 2016 05:41 AM PST

    BAADA ya Weusi Kuwa na Kigugumizi Kuhusu Lord Eyes..Baraka The Prince Aamua Kumchukua Kwenye Lebo yake Na mwimbaji wa bongofleva Baraka The Prince ameingia kwenye headlines za kusimamia wasanii na sasa kaanzisha Label iitwayo BANA itakayosimamiwa na watu wawili ambao ni Baraka na mpenzi wake Naj. BANA 

    SCORPION Akana Hoja 6, Akiri Hoja 3 Ikiwemo Kupata Mafunzo ya Kareti

    Posted: 01 Dec 2016 05:41 AM PST

    SCORPION Akana Hoja 6, Akiri Hoja 3 Ikiwemo Kupata Mafunzo ya Kareti MSHITAKIWA katika kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha, Salum Njwete (34) 'Scorpion', amekiri kupata mafunzo ya kareti kutoka chuo cha mafunzo cha Ifakara aliyoyafanya mwaka 1989 hadi 1995. Aidha, upande wa mashitaka katika kesi hiyo umemuongezea

    School supervisor is accused of defiling a 2 year old girl, but he says he has never been in contact with the child

    Posted: 30 Nov 2016 10:05 PM PST

    School supervisor is accused of defiling a 2 year old girl, but he says he has never been in contact with the child A school supervisor at Chrisland International School in Victoria Garden City (VGC) Lagos,  Adegboyega Adenekan, 46, was arrested by the police for allegedly defiling a 2 year old toddler under the guise of teaching

    Gerard Butler and his girlfriend split due to constant attention he gets from female fans

    Posted: 30 Nov 2016 08:52 PM PST

    Gerard Butler and his girlfriend split due to constant attention he gets from female fans Actor, Gerard Butler of '300' fame and his girlfriend Morgan Brown have split. According to reports, the break up was due to Butler's inability to balance his relationship with all the female attention he receives. The source said to

    'Scorpion' aongezewa shtaka jingine

    Posted: 30 Nov 2016 08:41 PM PST

    'Scorpion' aongezewa shtaka jingine Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) amemuongezea shtaka lingine mshtakiwa Salum Njwete maarufu kama Scorpion na sasa atakuwa na mashtaka mawili ya unyang'anyi wa kutumia silaha na shtaka la kujeruhi. Scorpion aliongezewa shtaka

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 4, 2016, 11:12:36 PM12/4/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    MREMBO PENDO KUTOKA KENYA AONYESHA PESA ZAKE HADHARANI

    Posted: 04 Dec 2016 07:38 PM PST

    MREMBO PENDO KUTOKA KENYA AONYESHA PESA ZAKE HADHARANI

    Kanu Nwankwo and his wife Amara take romantic stroll (photos)

    Posted: 04 Dec 2016 07:37 PM PST

    Kanu Nwankwo and his wife Amara take romantic stroll (photos) 12 years and still going very strong!

    Suspicious bride went through hubby’s phone and was terrified to find indecent photos of kids

    Posted: 04 Dec 2016 07:36 PM PST

    Suspicious bride went through hubby's phone and was terrified to find indecent photos of kids Newlywed  grandma, Jane Gaskin, who thought her new husband David Huggins was seeing another woman, was sickened to discover that he had actually been looking at indecent pictures of kids. The disgusted wife who made

    Beautiful new photo of Dream Kardashian

    Posted: 04 Dec 2016 07:35 PM PST

    Beautiful new photo of Dream Kardashian She looks so much like her Dad, Rob Kardashian.

    Kanye West continues his recovery away from the family but with support from his wife Kim Kardashian

    Posted: 04 Dec 2016 07:34 PM PST

    Kanye West continues his recovery away from the family but with support from his wife Kim Kardashian After Kanye West was released from UCLA Medical Center Wednesday, he has been receiving the support and love from wife Kim Kardashian as he continues his recovery from exhaustion as an outpatient at an undisclosed location.

    DOGO Janja Afiwa na Baba yake

    Posted: 04 Dec 2016 07:20 PM PST

    DOGO Janja Afiwa na Baba yake Msanii wa muziki wa hip hop kutoka Tip Top Connection Dogo Janja amefiwa na baba yake mzazi, Abubakari Chande. Mzazi wake huyo ambaye alikuwa akiishi mkoani Arusha, ni mmoja kati ya watu wake wa karibu ambao walikuwa wanamshauri katika muziki wake. Kupitia instagram, Dogo Janja

    TANESCO yatimiza Agizo la Rais Magufuli la Kumpatia Umeme Bakhressa

    Posted: 04 Dec 2016 10:33 AM PST

    TANESCO yatimiza Agizo la Rais Magufuli la Kumpatia Umeme Bakhressa SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetimiza agizo la Rais John Magufuli la kukipatia umeme kiwanda cha kusindika matunda cha Azam Fruits Processing Plant, mali ya mfanyabishara, Said Salim Bakhresa kabla ya muda wa miezi miwili waliyopewa kukamilisha kazi

    SERIKALI Yakanusha Katibu Mkuu, Ofisi Ya Rais-utumishi Kujiuzulu

    Posted: 04 Dec 2016 10:32 AM PST

    SERIKALI Yakanusha Katibu Mkuu, Ofisi Ya Rais-utumishi Kujiuzulu SERIKALI Yakanusha Katibu Mkuu, Ofisi Ya Rais-utumishi Kujiuzulu

    JOHN Heche: Kesi yenye dhamana inawezekana vipi kunyimwa dhamana?

    Posted: 04 Dec 2016 10:29 AM PST

    JOHN Heche: Kesi yenye dhamana inawezekana vipi kunyimwa dhamana?   Anaandika Comred Mbunge wa Jimbo la Tarime vijini John Heche. Mahakama za Tanzania ni aibu kwa taifa, mahakama inapokua sehemu ya kunyima haki inafundisha watu tabia ya kutoheshimu mahakama. Hili sakata la Lema kuna mtu aliniambia mapama litapigwa danadana

    HAYA Ndio ya Majina Matatu yaliobaki Kuwania Tuzo ya Kocha Bora wa Dunia Mwaka 2016

    Posted: 04 Dec 2016 10:28 AM PST

    HAYA Ndio ya Majina Matatu yaliobaki Kuwania Tuzo ya Kocha Bora wa Dunia Mwaka 2016 Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA, wametangaza majina ya makocha watatu waliobaki katika kinyang'anyiro cha kuwania. Tuzo ya Kocha Bora wa Dunia mwaka 2016 ambapo mshindi atatangazwa Januari,9,2017 huko Zurich. fifa

    Ni Kweli Nafasi ya Diamond Imechukuliwa na Darassa?

    Posted: 04 Dec 2016 10:28 AM PST

    Ni Kweli Nafasi ya Diamond Imechukuliwa na Darassa? Kutokana na ngoma aliyotoa Darassa kuifunika ngoma ya Rich Mavoko aliyomshirikisha Diamond, inasemekana kuna dalili tosha kuwa Diamond kijiti anaanza kumpatia Darassa taratibu bila yeye kujua. Je kuna ukweli wowote hapo???

    BIF la Jokate na Flavian Matata Linapamba Moto Chinichini, Kisa?

    Posted: 04 Dec 2016 10:28 AM PST

    BIF la Jokate na Flavian Matata Linapamba Moto Chinichini, Kisa? Bifu la Jokate na Flavian Matata linazidi kukua siku baada ya siku.  Chanzo ni Jokate kuiba idea ya Flavi ya kutengeneza mabegi ya mgongoni kisha kutangulia sokoni. Sasa imebaki ni vijembe mtindo mmoja kwenye social media.

    LEMA Alishawaandaa Watoto Wake Kisaikolojia - Mkewe Afunguka

    Posted: 04 Dec 2016 10:27 AM PST

    LEMA Alishawaandaa Watoto Wake Kisaikolojia - Mkewe Afunguka Neema Lema, mke wa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, amesema yeye na watoto wake hawajutii kutokuwa na mwanasiasa huyo ambaye yuko mahabusu kwa kuwa anapigania haki ya kidemokrasia. Lema, ambaye alikamatwa Novemba 2 mjini Dodoma, hatakuwa pamoja na

    MANJI Asalimu Amri...Aanza Kuamisha Kampuni zake Kutoka Jengo la Quality Plaza

    Posted: 04 Dec 2016 10:27 AM PST

    MANJI Asalimu Amri...Aanza Kuamisha Kampuni zake Kutoka Jengo la Quality Plaza Wapangaji katika jengo la Quality Plaza lililopo barabara ya Nyerere jijini Dsm wametekeleza Amri ya Mahakama kuu kitengo cha ardhi cha Kuondoka katika jengo hilo baada ya kutolewa saa 24 ambazo zimemalizika asubuhi ya leo,huku kampuni ya Yono

    MWANZA Ni Hatari....Polisi Wakamata Silaha za Kivita

    Posted: 04 Dec 2016 10:25 AM PST

    MWANZA Ni Hatari....Polisi Wakamata Silaha za Kivita MWANZA ni hatari. Ndivyo alivyosema Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi, baada ya matukio mawili yaliyotokea usiku wa kuamkia jana, likiwamo la nyumba moja kukutwa silaha za kivita, za jadi na watoto 10 waliokuwa wakifundishwa mafunzo yanayoashiria kuwa ni ya kigaidi.

    MGOGORO CUF, Pro Lipumba Azomewa na Wananchi Mkoani Lindi

    Posted: 04 Dec 2016 10:25 AM PST

    MGOGORO CUF, Pro Lipumba Azomewa na Wananchi Mkoani Lindi Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Prof. Ibrahim Lipumba amekutana na wakati mgumu baada ya wananchi wilayani Ruangwa mkoani Lindi kumzomea. Prof. Lipumba alikumbana na hali hiyo alipokuwa mkoani

    KWANINI Wanawake Wanapenda Wanaume Masharobaro aka Bad Boys

    Posted: 04 Dec 2016 10:25 AM PST

    KWANINI Wanawake Wanapenda Wanaume Masharobaro aka Bad Boys Wanawake kuchagua wanaume masharobaro aka badboys kuwaliko wanaume wa kawaida si jambo geni na hutokea mara kwa mara. -aidha katika vyuo, vilabuni, sinema, maktabani ama sehemu yeyote ile. Wanaume masharobaro, kama wanaume wengine, wao pia wanamaumbo ya kila aina, shepu na

    FARAJA NYALANDU AACHIA PICHA HIZI HUKO INSTAGRAM.

    Posted: 03 Dec 2016 08:33 PM PST

    FARAJA NYALANDU AACHIA PICHA HIZI HUKO INSTAGRAM.

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO SUNDAY/JUMAPILI 4/12/2016 LIVE

    Posted: 03 Dec 2016 08:23 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO SUNDAY/JUMAPILI 4/12/2016 LIVE

    Vijana 29 Huambukizwa UKIMWI Kila Saa Moja

    Posted: 03 Dec 2016 08:12 PM PST

    Vijana 29 Huambukizwa UKIMWI Kila Saa Moja Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF linasema vijana 29 huambukizwa virusi vya ukimwi, VVU kila saa moja. Katika ripoti yake mpya iliyotolewa leo, UNICEF inasema maambukizi mapya ya VVU miongoni mwa vijana yanakadiriwa kuongezeka kutoka 250,000 mwaka 2015 hadi

    YOUNG Dee: Tunda ni Mpenzi Wangu na Hatujawahi Kuachana

    Posted: 03 Dec 2016 08:12 PM PST

    YOUNG Dee: Tunda ni Mpenzi Wangu na Hatujawahi Kuachana Msanii Young Dee amedai Tunda ni mpenzi wake na hawajawahi kuachana, pia amesema anampga ushauri wa kumbadilisha kwenye maisha ndio maana anapagawa naye sana MTAZAME HAPA:

    IRENE Uwoya Aachana na Bongo Movie, Asema Haiuzi Tena Siku Hizi

    Posted: 03 Dec 2016 08:11 PM PST

    IRENE Uwoya Aachana na Bongo Movie, Asema Haiuzi Tena Siku Hizi Msanii Irene Uwoya amesema sasa hivi haigizi tena movie kwa kuwa soko lake limedoda na badala yake atakuwa anacheza series kwani ndio zinazouza Ila amedai kuna movie walizocheza zamani zinakuwa processed zitatoka:

    KUMNYIMA Lema Dhamana Hakutufanyi Tuvunjike Moyo... Bali Ndio Tumepata Ujasiri wa Kujiandaa zaidi

    Posted: 03 Dec 2016 08:01 PM PST

    KUMNYIMA Lema Dhamana Hakutufanyi Tuvunjike Moyo... Bali Ndio Tumepata Ujasiri wa Kujiandaa zaidi Kumnyima Lema Dhamana hakutufanyi tuvunjike Moyo... Bali ndiyo tumepata ujasiri wa kujiandaa zaidi na kutuambia Mabadiliko ya kisiasa tunayotaka lazima tuyalipie... Lema yupo Strong kuliko Jana,Lema siyo Mwepesi kama mnavyodhana

    SAKATA la Taasisi ya Mama Salma Kikwete Kukwepa Kodi

    Posted: 03 Dec 2016 08:00 PM PST

    SAKATA la Taasisi ya Mama Salma Kikwete Kukwepa Kodi Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imekanusha taarifa zilizochapishwa na gazeti moja linalochapishwa kila wiki kwa lugha ya Kiswahili kuwa Mwenyekiti wake, Salma Kikwete ana mzigo mkubwa bandarini ambao haujalipiwa ushuru na kodi. Taarifa ya Wama

    MSHIRIKI wa Bongo Star Search Aeleza Sababu ya Washindi Kushindwa Kufanya Vizuri Sokoni

    Posted: 03 Dec 2016 08:00 PM PST

    MSHIRIKI wa Bongo Star Search Aeleza Sababu ya Washindi Kushindwa Kufanya Vizuri Sokoni Hadi sasa watu wanajiuliza nini kimetokea kwa Kayumba – mshindi wa Bongo Star Search mwaka jana. Mbona kijana huyo alionesha uwezo mkubwa wakati wa shindano hilo kiasi ambacho walimtabiria angekuja kuwa kuwa Diamond wa pili?

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 5, 2016, 11:24:04 PM12/5/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    THE MAGAZETI YA BONGO LEO TUESDAY/JUMANNE 6/12/2016 LIVE

    Posted: 05 Dec 2016 08:18 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO TUESDAY/JUMANNE 6/12/2016 LIVE

    SERIKALI yatangaza Adhabu Mpya Kwa Wala Rushwa

    Posted: 05 Dec 2016 08:06 PM PST

    SERIKALI yatangaza Adhabu Mpya Kwa Wala Rushwa Serikali imeeleza dhamira yake ya kuongeza adhabu kwa watu wanaobainika kuhusika na rushwa ili wawe wanalipa fidia ya hasara iliyojitokeza mbali na kutumikia kifungo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki amesema kuwa adhabu zinazotolewa kwa

    DONALD Trump Amteua Ben Carson Kuwa Waziri wa Makazi

    Posted: 05 Dec 2016 08:06 PM PST

    DONALD Trump Amteua Ben Carson Kuwa Waziri wa Makazi Donald Trump amemteua mmoja wa washindani wake kuwa Waziri wa makazi na ustawi wa miji. Rais huyo mteule amesema amefurahishwa sana kumteuwa Dkt. Ben Carson ambae amemtaja kama aliye na uwezi wa kuimarisha masuala ya jamii. Ben Carson alistaafu kama daktari wa

    ROMA Awachana Warembo Bongo Movie, Amtahadharisha Darasa

    Posted: 05 Dec 2016 08:01 PM PST

    ROMA Awachana Warembo Bongo Movie, Amtahadharisha Darasa Kweli bongo movie mmedharaulika sana, mkoje nyie lakini? Mbona miaka fulani waimbaji walikuwa wanakimbilia kwenu leo wanawacheka? Hata Marekani Jay Z hawezi kumdharau Denzel au Tom Cruise hata kama kamzidi hela. Filamu ni tasnia inayoheshimika sana kasoro hapa kwa nyie

    MZEE wa Upako Atuhumiwa Kulewa Pombe..Mwenyewe Adai Wataje Alikunywa Pombe Gani na Baa Gani

    Posted: 05 Dec 2016 05:15 AM PST

    MZEE wa Upako Atuhumiwa Kulewa Pombe..Mwenyewe Adai Wataje Alikunywa Pombe Gani na Baa Gani Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo 'Mzee wa Upako' baada ya kudaiwa kumfanyia fujo jirani yake ameendelea kujibu madai hayo kwa mtindo wa 'kudonoa donoa' na jana aliwataka wanaodai kuwa alilewa siku hiyo wataje

    SHISHA yatajwa Chanzo cha Mapato ya Serikali

    Posted: 05 Dec 2016 05:15 AM PST

    SHISHA yatajwa Chanzo cha Mapato ya Serikali LICHA ya kupigwa vita na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, imebainika kwamba shisha ni chanzo cha mapato ya Serikali. Utafiti uliofanywa na MTANZANIA na kuthibitishwa na baadhi ya wabunge, shisha inatambuliwa na sheria ya kodi ya mwaka 2016 iliyopitishwa na Bunge

    CHIKI 'Ampigia Magoti' JB Baada ya Kusikia Ameacha Kuigiza Bongo Movies

    Posted: 05 Dec 2016 05:14 AM PST

    CHIKI 'Ampigia Magoti' JB Baada ya Kusikia Ameacha Kuigiza Bongo Movies Msanii wa bongo movie Chiki amesema JB hana sababu ya kustaafu kuigiza kwa kuwa ni mtu ambaye bado sanaa inamuhitaji na kuna wasanii wachanga na wakongwe wanamuhitaji kwa ushauri zaidi. Akiongea kupitia eNewz Chiki amesema anamkumbusha JB kurudi bongo

    MUZIKI ya Darassa ilivyogeuka Wimbo wa Taifa Ndani ya Wiki Moja

    Posted: 05 Dec 2016 05:14 AM PST

    MZIKI ya Darassa ilivyogeuka Wimbo wa Taifa Ndani ya Wiki Moja Hii hutokea kwa nadra sana na tena kwa wasanii wachache tu wenye ngekewa zao. Kama ni soka, basi Darassa amepiga hat-trick. Kama Utanipenda, Too Much na Muziki ni nyimbo zilizobadilisha upepo katika maisha ya muziki ya Darassa. Kama Utanipenda na Too

    Situmii Dawa za Kutunisha Misuli - Young Dee

    Posted: 05 Dec 2016 05:13 AM PST

    Situmii Dawa za Kutunisha Misuli - Young Dee Msanii wa hip hop nchini Paka Rapa (Young Dee) amesema hatumii dawa zozote za kukuza misuli yake na mwili wake bali anafanya mazoezi kila siku na bado hajafikia katika kiwango ambacho anataka kufikia. Hata hivyo akiongea kupitia eNewz, Young Dee amesema anazingatia chakula,

    SAFARINI KUMPOKEA NEW BORN BABY BOY!

    Posted: 05 Dec 2016 05:12 AM PST

    SAFARINI KUMPOKEA NEW BORN BABY BOY! Na mama Chibu D Chibu De … flying to our new Second home, South africa For my New Born… #MiniMe #ChibuJunior #YoungSimba #YoungLion Ungependa nimpe jinangani eti?😊

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 6, 2016, 11:11:12 PM12/6/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    CUF Wakanusha Taarifa za Maalim Seif Kutaka Kukihama Chama Hicho

    Posted: 06 Dec 2016 09:04 AM PST

    CUF Wakanusha Taarifa za Maalim Seif Kutaka Kukihama Chama Hicho Chama cha Wananchi (CUF), kimesema taarifa zinazosambazwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kwamba Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad anataka kuhama chama hicho ni za kupuuzwa kwa kuwa hazina ukweli. Naibu Katibu

    JACQUELINE WOLPER: SIJISIFU MI MREMBO WEWE

    Posted: 06 Dec 2016 06:34 AM PST

    JACQUELINE WOLPER: SIJISIFU MI MREMBO WEWE KIMWANA wa Bongomuvi Jacqueline Wolper ataendelea kupendeza hata bila ya kujilemba sana kwa vile ndivyo Mungu alivyomuumba akiwa mrembo mwenye mvuto mkali. "Sio kwamba ninajisifia ukweli ni kwamba mimi na mrembo na nitaendelea

    HIZI NDIZO ZILIZOMFANYA HUSSEIN PAMBA KALI KUPANDISHWA KIZIMBANI

    Posted: 06 Dec 2016 06:21 AM PST

    HIZI NDIZO ZILIZOMFANYA HUSSEIN PAMBA KALI KUPANDISHWA KIZIMBANI MFANYABIASHARA na mmiliki wa maduka ya nguo jijini Dar es Salaam, Hussein Mkangala (38), maarufu 'Hussein Pamba Kali' amepandishwa kizimbani wiki hii funguliwa kesi ya madai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi

    NAMPENDA Mume Wangu Lakini Haniridhishi Tukiwa Faragha

    Posted: 06 Dec 2016 06:16 AM PST

    NAMPENDA Mume Wangu Lakini Haniridhishi Tukiwa Faragha Nampenda sana mume wangu lakini nimeboreka nae! in the bedroom ndio hata usiseme! yaani hata nikikaa mwezi hatujakutana siku ikitokea mechi najua kabisa anaanzia wapi atafanya nini, hayuko creative kabisa. Najaribu kufanya changes try new positions ila yeye wala.

    WELEDI wa Prof Rwekaza Mukandala Aongezewa Muda wa Mwaka Mmoja Kuongoza UDSM Baada ya Kustaafu

    Posted: 06 Dec 2016 06:15 AM PST

    WELEDI wa Prof Rwekaza Mukandala Aongezewa Muda wa Mwaka Mmoja Kuongoza UDSM Baada ya Kustaafu MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambaye ni Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete baada ya mashauriano ameafikiana na Rais John Magufuli kuongeza muda wa Makamu Mkuu wa chuo hicho wa sasa, Profesa Rwekaza

    Hatimaye Diamond na Zari Wamepata Mtoto wa Kiume Leo Tarehe 6 Dec 2016

    Posted: 06 Dec 2016 06:13 AM PST

    Hatimaye Diamond na Zari Wamepata Mtoto wa Kiume Leo Tarehe 6 Dec 2016 Ni good news nyingine kwa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye leo December 6 2016 mpenzi wake Zarina Hassan amefanikiwa kujifungua mtoto wake wa pili, Zari na Diamond wamepata mtoto wao wa pili baada ya kupata mtoto wao wa kwanza Tiffah

    Mzee wa Miaka 75 Ameweka Bango Lenye Sifa za Mke Anayemtaka, Katikati ya Mtaa Anaoishi

    Posted: 06 Dec 2016 06:12 AM PST

    Mzee wa Miaka 75 Ameweka Bango Lenye Sifa za Mke Anayemtaka, Katikati ya Mtaa Anaoishi Mzee wa miaka 75 nchini Tanzania ameweka bango lenye sifa za mke anayemtaka, katikati ya mtaa anaoishi. Athuman Bakari Mchambua mkazi wa Dar es Salaam amechukua hatua hiyo baada ya kifo cha mke wake. Amesema hawezi kutumia njia

    Mjamzito Mbaroni Kwa Kujipasua Tumbo Ajiue

    Posted: 06 Dec 2016 02:05 AM PST

    Mjamzito Mbaroni Kwa Kujipasua Tumbo Ajiue POLISI mkoani Ruvuma linamshikiria Eva Kapinga (20), Mkazi wa Kata ya Mateka Halmashauri ya Manispaa ya Songea, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake, Catherine Kapinga,mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kisha kujichoma na kisu tumboni kwa lengo la kutaka kujiua na kumsababishia jeraha

    DIAMOND na Mrembo Huyu wa Zimbabwe Wateka Vichwa vya Habari (Video)

    Posted: 06 Dec 2016 02:04 AM PST

    DIAMOND na Mrembo Huyu wa Zimbabwe Wateka Vichwa vya Habari (Video) Kwenye interview niliyofanya na Diamond hivi karibuni, nilimuuliza kuhusu kuandamwa na tetesi za kumsaliti mchumba wake Zari na jinsi anavyozichukulia. Katika moja ya majibu yake, staa huyo alisema, "There is no way simba akapita katika zizi la swala akaondoka

    IRENE Uwoya Afunguka Haya Baada ya Gazeti Moja Kudai Anamchukia Wema Sepetu

    Posted: 06 Dec 2016 02:04 AM PST

    IRENE Uwoya Afunguka Haya Baada ya Gazeti Moja Kudai Anamchukia Wema Sepetu Baada ya gazeti la Ijumaa kutoka na stori "Uwoya: Simpendi Wema" katika ukurasa wake wa mbele, muigizaji wa filamu Irene Uwoya amekanusha madai hayo kupitia ukurasa wake wa instagram. Pia muigizaji huyo amedai yeye hana tatizo na Wema na sio mtu wa

    FUNDI Pancha Atupwa Jela Miaka 30 Kwa Kukutwa na Misokoto 601 ya Bangi

    Posted: 06 Dec 2016 02:01 AM PST

    FUNDI Pancha Atupwa Jela Miaka 30 Kwa Kukutwa na Misokoto 601 ya Bangi Fundi wa kuziba pancha, Harson Solomon (38), mkazi wa wilayani hapa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kupatikana na misokoto 601 ya bangi. Kifungo hicho kimeangukia sheria mpya ya udhibiti wa dawa za kulevya

    TOP 5 ya Wasanii wa Bongo Waliomake Mkwanja Mrefu Kwa Huu Mwaka 2016

    Posted: 06 Dec 2016 01:37 AM PST

    TOP 5 ya Wasanii wa Bongo Waliomake Mkwanja Mrefu Kwa Huu Mwaka 2016 1.Diamond Huu jamaa katengenza hela nyingi sana mwaka kuanzia kwny endorsement zake, show, kuuza mziki kwny digital platform plus label yake inayomwingzia mkwnja day after day 2.A.Y Japo jamaa hategemei sana kwenye mziki kwa asa ivi ila

    DEREVA Aliyeachia Usukani wa Basi Huku Akicheza Wimbo wa Darasa Mikononi Mwa Polisi Kwa Kuhatarisha Maisha ya Abiria

    Posted: 06 Dec 2016 01:36 AM PST

    DEREVA Aliyeachia Usukani wa Basi Huku Akicheza Wimbo wa Darasa Mikononi Mwa Polisi Kwa Kuhatarisha Maisha ya Abiria Yule Dereva aliyepagawa na nyimbo Mpya ya Darasa na kisha kuacha kuendesha Gari na kisha kuanza kucheza mziki huo huku gari hilo likiwa kwenye mwendo akamatwa na Polisi.. Hawa ndio

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 7, 2016, 11:34:26 PM12/7/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 8/12/2016 LIVE

    Posted: 07 Dec 2016 07:53 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY/ALHAMISI 8/12/2016 LIVE

    HASARA 5 za Ushauri wa Rafiki Kimapenzi

    Posted: 07 Dec 2016 07:44 PM PST

    HASARA 5 za Ushauri wa Rafiki Kimapenzi Watu wengi wamekuwa wepesi sana kukimbilia kwa rafiki zao ili kuomba msaada wa mawazo ya nini wafanye kwenye mapenzi. Imani iliyojengeka kwa watu wengi katika jamii yetu ni kuwa ushauri ni kitu muhimu sana kwa kila hatua. Kwa mtazamo wa haraka haraka unaweza kuishia kwenye ukomo huo wa

    SABABU za Wanawake Kulia Baada ya Kufanya Mapenzi!

    Posted: 07 Dec 2016 07:44 PM PST

    SABABU za Wanawake Kulia Baada ya Kufanya Mapenzi! Kulia baada ya kushiriki ngono au kufanya mapenzi ni kawaida na hushuhudiwa sana kwa wanawake, ijapokuwa imesemekana kuwa wanaume hulia pia. Kulingana na wataalam, kuna sababu kadhaa ambazo humfanya mwanamke kulia au kujawa na huzuni baada ya kushiriki ngono, na mojawapo ya

    Babu wa Miaka 75 Azua Gumzo, Aweka Bango la Akitafuta Mwanamke wa Kuoa!

    Posted: 07 Dec 2016 09:10 AM PST

    Babu wa Miaka 75 Azua Gumzo, Aweka Bango la Akitafuta Mwanamke wa Kuoa! DAR ES SALAAM: Katika  hali isiyo ya kushangaza mzee mwenye umri wa miaka 75, Athuman Mchambua, mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam amezua gumzo mtaani  baada ya kuamua kutafuta mke kwa kuweka bango barabarani.

    MWIMBAJI Rich Mavoko Achekelea Wimbo Wake Kuchezwa Radio za Uingereza

    Posted: 07 Dec 2016 09:06 AM PST

    MWIMBAJI Rich Mavoko Achekelea Wimbo Wake Kuchezwa Radio za Uingereza Kokoro umekuwa wimbo wa kwanza katika career ya Rich Mavoko kuchezwa na vituo vya redio vya nchini Uingereza vikiwemo #BBCRadio #1Xtra na #CapitalXtra. @Richmavoko ameiambia amesema kuwa hayo ni mafanikio makubwa kwake. .

    UGOMVI wa CUF Wachukua Sura Mpya, Upande wa Lipumba na Maalim Seif Watangaza Kusimamisha Wagombea Kivyao

    Posted: 07 Dec 2016 09:06 AM PST

    UGOMVI wa CUF Wachukua Sura Mpya, Upande wa Lipumba na Maalim Seif Watangaza Kusimamisha Wagombea Kivyao Mgogoro wa uongozi unaoendelea ndani ya chama cha CUF huenda ukaathiri ushiriki wake kwenye uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika Januari 27 baada ya pande zote mbili zinazosigana kujiandaa kuteua wagombea.

    PAUL Makonda Kuwashindanisha Christian Bella na Banana Zoro Kuimba Live....Bella Ajigamba Kuchukua Mil 50 za Zawadi

    Posted: 07 Dec 2016 09:04 AM PST

    PAUL Makonda Kuwashindanisha Christian Bella na Banana Zoro Kuimba Live....Bella Ajigamba Kuchukua Mil 50 za Zawadi Mkali wa masauti Christian Bella amejinadi kuwa atamshinda muimbaji mkongwe Banana Zorro katika pambano la kuimba live lililoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda. RC Makonda wiki

    YOUNG Dee Aeleza Sababu ya Kufanya Video na Mpenzi wake Tunda

    Posted: 07 Dec 2016 09:04 AM PST

    YOUNG Dee Aeleza Sababu ya Kufanya Video na Mpenzi wake Tunda Rapa Young Dee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya 'Furaha' amefunguka na kuweka wazi sababu kubwa iliyompelekea yeye kufanya kazi na mwanamitindo Tunda Young Dee akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio alisema kuwa

    ZARI Athibitisha Yeye na Mama Mkwe Wake Bado Zinaiva

    Posted: 07 Dec 2016 09:03 AM PST

    ZARI Athibitisha Yeye na Mama Mkwe Wake Bado Zinaiva Kuliwahi kuwepo uvumi kuwa Zari na mama yake Diamond Platnumz hawaelewani. Tetesi hizo zilikuwa kubwa zaidi hivi karibuni baada ya Bi. Sandra kumchunia Zari kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa lakini akamtumia salamu ex wa mwanae, Wema Sepetu. Lakini

    MWIMBAJI Darasa Afichua Siri ya Nyimbo zake Kupendwa...

    Posted: 07 Dec 2016 09:03 AM PST

    MWIMBAJI Darasa Afichua Siri ya Nyimbo zake Kupendwa... Muimbaji huyo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye nyimbo za ujumbe ndio akaangalia ni kitu gani mashabiki wanataka akaamua kubadilika. "Mwanzo nilikuwa nikitoa nyimbo zenye vionjo vyenye ujumbe wa kutosha lakini

    MAREHEMU Wanaodaiwa Mikopo HESLB, Kusamehewa

    Posted: 07 Dec 2016 09:03 AM PST

    MAREHEMU Wanaodaiwa Mikopo HESLB, Kusamehewa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) pamoja na na Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imejikuta ikitoa taarifa zinazokinzana kuhusu wadaiwa wa mikopo ya elimu ya juu ambao tayari wamekwisha poteza maisha. Naibu Waziri wa Elimu, Mhandisi Stella

    ANGALIA PICHA ZA MCHEZO WA KUCHEZA NA NG'OMBE HATARI SANA, ANGALIA WATU HAWA WALIVYO UMIZWA VIBAYA NA BADO WAKAENDELEA KUCHEZA

    Posted: 07 Dec 2016 06:10 AM PST

    ANGALIA PICHA ZA MCHEZO WA KUCHEZA NA NG'OMBE HATARI SANA, ANGALIA WATU HAWA WALIVYO UMIZWA VIBAYA NA BADO WAKAENDELEA KUCHEZA Horrifying: Three people were gored today on the bloodiest day of the famous Spanish Running of the Bulls festival so

    JAMANI SHILOLE NAWE KILA SIKU HUISHIWI VISA, ONA HAPA AIBUA JIPYA LIVE!!!

    Posted: 07 Dec 2016 05:59 AM PST

    JAMANI SHILOLE NAWE KILA SIKU HUISHIWI VISA, ONA HAPA AIBUA JIPYA LIVE!!! VISA vya msanii machachari anyejua kucheza na masikio pamoja na macho ya washabiki aibuka na jambo jipya ambalo ni la aibu. msanii huyo ametumia stlye ya kila siku inayotumiwa na mastaa wengi bongo ya kuvujisha videos zao

    WAZIRI MKUU AWASHUKIA MATUMISHI WA NGORONGORO KWA TUHUMA ZA KUIBA FARU

    Posted: 07 Dec 2016 05:59 AM PST

    WAZIRI MKUU AWASHUKIA MATUMISHI WA NGORONGORO KWA TUHUMA ZA KUIBA FARU Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amefichua uhalifu uliofanywa na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na wa hifadhi za taifa, ambao walihongwa Sh milioni 100 na kushiriki kumwiba faru maarufu aliyepewa jina la John kutoka

    DONALD Trump Ashtukia Mchezo Mchafu Unaotaka Kufanywa na Boeing Ununuzi wa Ndege ya Rais

    Posted: 07 Dec 2016 04:25 AM PST

    DONALD Trump Ashtukia Mchezo Mchafu Unaotaka Kufanywa na Boeing Ununuzi wa Ndege ya Rais MAREKANI: Donald Trump ametangaza nia ya kusitisha uagizaji wa ndege 2 mpya za Rais(Air Force One). Adai bei iko juu na huenda imezidishwa. Ndege hizo ambazo gharama zake ni takribani dola za Marekani bilioni 4

    Man recounts how a friend and his girlfriend robbed him while visiting him

    Posted: 07 Dec 2016 03:48 AM PST

    Man recounts how a friend and his girlfriend robbed him while visiting him Twitter user, King Kelvin recounted how a friend and his girlfriend stole his laptop, phone, watches and shoes from his home when they came to visit him. According to him, they took the stuff when he stepped out to buy juice for them. Read the rest

    MAMBO 10 Ambayo ni Sumu Katika Mapenzi

    Posted: 07 Dec 2016 01:04 AM PST

    MAMBO 10 Ambayo ni Sumu Katika Mapenzi KATIKA harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakwondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa. Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo

    ISIKILIZE Video ya Rais Magufuli Akiwapiga Marufuku Wakuu wa Mikoa Kuwasumbua Machinga

    Posted: 07 Dec 2016 01:04 AM PST

    ISIKILIZE Video ya Rais Magufuli Akiwapiga Marufuku Wakuu wa Mikoa Kuwasumbua Machinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Waziri na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kusitisha mara moja utekelezaji wa zoezi la kuwaondoa

    YALIYOJIRI Mwanza Mjini: RC, DC na CD Wataweza Kukalia Ofisi zao na Kutoa Maamuzi na Kueleweka?

    Posted: 07 Dec 2016 01:03 AM PST

    YALIYOJIRI Mwanza Mjini: RC, DC na CD Wataweza Kukalia Ofisi zao na Kutoa Maamuzi na Kueleweka? FM Radio zote za jijini Mwanza sasa hivi ni mjadala wa maamuzi ya Rais na zinawekwa Clip za matamko ya Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya Nyamagana na Mkurugenzi (CD) wa jiji kuhusu suala la wamachinga waliyotoa siku zilizopita kuhusu

    UKWELI Mchungu: Wimbo wa Darasa 'Muziki' Wafunika wa Diamond 'Salome'

    Posted: 07 Dec 2016 01:00 AM PST

    UKWELI Mchungu: Wimbo wa Darasa 'Muziki' Wafunika wa Diamond 'Salome' Kulingana na jinsi watu walivyopokea wimbo mpya wa darasa 'muziki' katika maeneo mbali mbali nchini, wimbo wa Diamond wa 'Salome' umekufa kifo cha mende..yani hausikiki tena... Yani kila mahali ni wimbo wa darasa tuuu, ila wa Diamond hausikiki

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 8, 2016, 11:01:41 PM12/8/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Zari-Was blessed to see another day... how was yours?

    Posted: 08 Dec 2016 07:49 PM PST

    zari-Was blessed to see another day... how was yours? Mama watano!

    MTOTO WA PILI WA STAA DIAMOND PLATNUMZ AZUA MPYA MTANDAONI

    Posted: 08 Dec 2016 07:48 PM PST

    MTOTO WA PILI WA STAA DIAMOND PLATNUMZ AZUA MPYA MTANDAONI Siku chache baada ya star mwimbaji Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari kupata mtoto wa pili ambaye alizaliwa December 6 2016 tayari mtoto huyo ameanza kuzichukua headlines baada

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 9/12/2016 LIVE

    Posted: 08 Dec 2016 07:44 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY/IJUMAA 9/12/2016 LIVE

    MREMBO Kim Kardashian Anajipanga Kuomba Talaka Kwa Kanye West....Adai Hana Furaha Ndani ya Ndoa

    Posted: 08 Dec 2016 07:48 AM PST

    MREMBO Kim Kardashian Anajipanga Kuomba Talaka Kwa Kanye West....Adai Hana Furaha Ndani ya Ndoa Ndoa ya Mwanamuziki Kanye West na Mrembo Kim Kardashian Huenda inaelekea ukingoni baada ya Tovuti ya US Weekly Kutoboa siri kuwa KIM Kardashian inasemekana anajipanga kuomba talaka baada ya Kanye West atakapo pona , Inasemekana

    MTAZAMO Baada ya Rais Magufuli Kumtengua Lawrence Mafuru Msajali wa Hazina

    Posted: 08 Dec 2016 07:47 AM PST

    MTAZAMO Baada ya Rais Magufuli Kumtengua Lawrence Mafuru Msajali wa Hazina Miongoni mwa sifa kuu za ziada na za pekee za rais wetu Mhe. Dr John Pombe Joseph Magufuli, ni sifa ya kuwa mkweli daima toka ndani ya nafsi yake. Linapokuja suala la kuusema ukweli, Magufuli yuko very bold, atausema ukweli no matter what.

    CHADEMA wataka Rais Mkapa anyang’anywe shamba kama Sumaye

    Posted: 08 Dec 2016 07:45 AM PST

    CHADEMA wataka Rais Mkapa anyang'anywe shamba kama Sumaye Meya wa Manispaa ya Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA), Boniface Jacob amemtaka Rais Dk Magufuli kulichukuwa shamba linalomilikiwa na Rais Mstafuu Mzee Benjamin Mkapa kama alivyofanya kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye. Meya huyo

    BAADA ya Wema Sepetu Kushambuliwa na Mashabiki wa Zari Kuwa Hazai, Aamua Kujibu Mapigo

    Posted: 08 Dec 2016 07:45 AM PST

    BAADA ya Wema Sepetu Kushambuliwa na Mashabiki wa Zari Kuwa Hazai, Aamua Kujibu Mapigo Baada ya mwanadada Zari the boss lady kujifungua mtoto wa pili "Riaz junior" Baadhi ya mashabiki walikuwa wakiingia kwenye page ya instagram ya Wema Sepetu wakimtolea maneno makali kuwa aendelee kupost picha za

    DARASA Asema Atamsadia Dereva Aliyekamatwa Kwa Kucheza Nyimbo yake na Kutishia Usalama

    Posted: 08 Dec 2016 07:45 AM PST

    DARASA Asema Atamsadia Dereva Aliyekamatwa Kwa Kucheza Nyimbo yake na Kutishia Usalama Msanii huyo amesema ni kweli dereva huyo alifanya makosa ila anataka amtoe amedai kuna watu wake wanafuatia atoke na yupo kituo cha polisi Manyoni  VIDEO:

    PICHA: Machinga Waanza Kurudisha Vibanda Vyao Makoroboi Mwanza

    Posted: 08 Dec 2016 12:56 AM PST

    PICHA: Machinga Waanza Kurudisha Vibanda Vyao Makoroboi Mwanza Jana Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alitoa agizo kwa watendaji wa Mkoa wa Mwanza kusitisha mara moja zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo Machinga katikati ya mji.  Baada ya agizo la Rais tayari kwenye eneo la Makoroboi Mwanza

    CHRISTIAN Bella Amfagialia Diamond...Adai Kubali Ukatae Jamaa Anatengeneza Mziki Mzuri

    Posted: 08 Dec 2016 12:56 AM PST

    CHRISTIAN Bella Amfagialia Diamond...Adai Kubali Ukatae Jamaa Anatengeneza Mziki Mzuri "Kwanini Diamond anapendwa? Diamond hapendwi si sababu ya kubeba vyuma tu, unaweza ukabeba vyuma na usipendwe vilevile. Angalia muziki wa Diamond kwanini unapendwa. Diamond anapendwa si kwaajili ya skendo kwasababu zile skendo pia huwa

    GOLOLI ZATUMIKA KUPIGIA KURA UCHAGUZI WA GAMBIA

    Posted: 07 Dec 2016 09:39 PM PST

    GOLOLI ZATUMIKA KUPIGIA KURA UCHAGUZI WA GAMBIA Huenda Jambo Kubwa sana ulilojua kuhusu uchaguzi wa Gambia ni Kuondolewa kwa Kiongozi Nguli wa Nchi Hiyo Yahya Jameh na sana kama unafuatlia medani za siasa katika duru la Kimataifa utagundua pia kwamba Gambia ilikataa katu kuruhusu waangalizi

    RAPA CHEMICAL ADAI AMEWAPA HAMASA RAPPERS WENGI WA KIKE MWAKA HUU

    Posted: 07 Dec 2016 09:26 PM PST

    RAPA CHEMICAL ADAI AMEWAPA HAMASA RAPPERS WENGI WA KIKE MWAKA HUU Kwa mwaka 2016, tumeshuhudia muziki wa Hip Hop ukiteka hisia za mashabiki wengi hapa Bongo. Tumeshuhudia kazi nzuri kutoka kwa wasanii kama Fid Q, Stamina, Darassa, Mr Blue, Roma, Mwana FA na wengine kibao. Chemical Uhaba

    HUU NDIO MJENGO WA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BARACK OBAMA

    Posted: 07 Dec 2016 08:24 PM PST

    HUU NDIO MJENGO WA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BARACK OBAMA                 

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 10, 2016, 2:04:01 AM12/10/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Magazeti ya Leo Jumamosi

    Posted: 09 Dec 2016 08:02 PM PST

    Magazeti ya Leo Jumamosi

    SAKATA la Kuuawa kwa Faru John Lachukua Sura Mpya.......Watumishi Watano Watiwa Mbaroni

    Posted: 09 Dec 2016 08:01 PM PST

    SAKATA la Kuuawa kwa Faru John Lachukua Sura Mpya.......Watumishi Watano Watiwa Mbaroni Maofisa watano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wanaotuhumiwa kushiriki kumwondoa faru John kutoka katika Creta hiyo walikamatwa juzi kwa mahojiano ili kujua ukweli kuhusu mazingira ya kupotea kwake. Hatua

    RAIS Magufuli Ataja Mambo Yanayoikwamisha Tanzania

    Posted: 09 Dec 2016 08:01 PM PST

    RAIS Magufuli Ataja Mambo Yanayoikwamisha Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameitaja rushwa kama changamoto sugu ambayo bado inaendelea kulitafuna taifa la Tanzania katika miaka yake 55 ya Uhuru. Rais Magufuli ameitaja changamoto hiyo leo akati akiwaongoza watanzania katika maadhimisho

    PICHA: Wema Sepetu ‘Alivyohost’ Party Kwenye Club Yenye Strippers, Nairobi

    Posted: 09 Dec 2016 08:00 PM PST

    PICHA: Wema Sepetu 'Alivyohost' Party Kwenye Club Yenye Strippers, Nairobi Kuna njia nyingi mtu maarufu anaweza kuingiza mkwanja, moja wapo ni appearances. Watu wenye majina makubwa hulipwa fedha nyingi kwa kutokea kwa muda mfupi tu kwenye club – na si lazima awe mwanamuziki. Alhamis hii, Wema Sepetu

    MAN FONGO APENYA HADI KAMBI YA MISS WORLD 2016 NCHINI MAREKANI

    Posted: 08 Dec 2016 11:42 PM PST

    MAN FONGO APENYA HADI KAMBI YA MISS WORLD 2016 NCHINI MAREKANI Mrembo anayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World 2016 Diana Edward usiku wa December 8 2016 akiwa katika kambi ya Miss World 2016 Marekani, alipost video fupi katika account yake ya Instagram akiwa na ma-miss wenzake wakiimba wimbo wa 

    KOCHA WA ZAMANI WA YANGA AULA TIMU YA TAIFA YA TRINIDAD & TOBAGO

    Posted: 08 Dec 2016 11:18 PM PST

    KOCHA WA ZAMANI WA YANGA AULA TIMU YA TAIFA YA TRINIDAD & TOBAGO Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet amejiunga na timu ya taifa ya Trinidad na Tobago, Shirikisho la Soka la nchi hiyo limemtangaza mjini Port of Spain. Saintfiet anayechukua Stephen Hart aliyefukuzwa,amesaini mkataba wa

    HOFU Yatanda Binti Aliyechunwa Ngozi Karatu

    Posted: 08 Dec 2016 11:13 PM PST

    HOFU Yatanda Binti Aliyechunwa Ngozi Karatu HOFU imetanda wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha baada ya tukio la kwanza la uchunaji ngozi kuripotiwa katika mji mdogo wa Karatu. Binti mdogo mwenye umri wa miaka tisa, ameuawa mjini Karatu baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana wakati akielekea

    Women protest Facebook's nudity rules with naked photoshoot

    Posted: 08 Dec 2016 11:01 PM PST

    Women protest Facebook's nudity rules with naked photoshoot Thirty women, covered only with tape, posed naked in a campaign against Facebook's nudity rules. This idea was born out of rage after Trina Cary, a photographer specialising in nude self-portraits, was banned from Facebook for posting pictures that

    WEMA Sepetu Afungukia Kuhamia Kenya....Bongo Kumemchosha

    Posted: 08 Dec 2016 08:06 PM PST

    WEMA Sepetu Afungukia Kuhamia Kenya....Bongo Kumemchosha Wema Sepetu akiwa Nairobi Kwa Ajili ya Kuhost party ya kula bata inayofanyika katika kiota cha Starehe cha Xsmillionaires amefunguka kuwa na mpango wa kuhamia Nairobi Ameandika Haya: "Wow….!!! I cant start to tell you How excited I am for Tomorrow.

    LADY Jay Dee Adai Wasanii Wakubwa Wanaigana Kuanzisha Record Lebo...Adai sio Lazima

    Posted: 08 Dec 2016 08:06 PM PST

    LADY Jay Dee Adai Wasanii Wakubwa Wanaigana Kuanzisha Record Lebo...Adai sio Lazima Mwimbaji Lady Jay Dee amefungukia kuhusu Wimbi la Wasanii wakubwa Kuanzisha Lebo za Mziki amefunguka haya: "Sio lazima kila mtu awe na record label," alisema Lady Jay Dee. "Kila msanii ana namna ambavyo anafanya kazi. Kwahiyo

    BEKI Aliyenusurika Ajali Ya Ndege Iliyowaua Wabrazil Aanza Kutembea

    Posted: 08 Dec 2016 08:05 PM PST

    BEKI Aliyenusurika Ajali Ya Ndege Iliyowaua Wabrazil Aanza Kutembea Alan Ruschel, aliyesalimika kwenye ajali ya ndege iliyoua watu zaidi ya 70 wakiwemo wachezaji wa timu ya Chapecoense ya Brazil ameanza kutembea. Ruschel ameanza kutembea kwa msaada wa mmoja wa madaktari na amewatumia salami mashabiki wa Chape na

    MAMLAKA ya Hifadhi Ngorongoro yaanza Kujitetea Kuhusu Kupotea Kwa Faru John

    Posted: 08 Dec 2016 08:05 PM PST

    MAMLAKA ya Hifadhi Ngorongoro yaanza Kujitetea Kuhusu Kupotea Kwa Faru John Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha umesema umeanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu la kutaka kuwasilisha nyaraka zote za kumhamisha Faru ajulikanae kama John na maelezo ya kupotea kwake. Akizungumza na TBC, Mhifahi

    MAOFISA wa Man United Waanza Kukerwa na Tabia za Kocha Mourinho

    Posted: 08 Dec 2016 08:05 PM PST

    MAOFISA wa Man United Waanza Kukerwa na Tabia za Kocha Mourinho Maofisa wa klabu ya soka ya Manchester United inasemekana kwamba wameanza kuchoshwa na mwenendo na tabia za kocha wao Jose Mourinho. Mourinho alisimamishwa kuwepo katika benchi la ufundi ikiwa ni baada ya kutolewa dimbani na muamuzi Jon Moss

    WASANII Watano Matajiri Kupita Wote Afrika Watajwa..Mtanzania Mmoja Yupo Kwenye List

    Posted: 08 Dec 2016 08:04 PM PST

    WASANII Watano Matajiri Kupita Wote Afrika Watajwa..Mtanzania Mmoja Yupo Kwenye List Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa na eDaily kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii watano kutoka Afrika wanaotajwa kuingiza pesa nyingi

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 10, 2016, 10:52:24 PM12/10/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    AUWA NDUGUZE NA KUWALA KWA CHUMVI

    Posted: 10 Dec 2016 06:25 AM PST

    AUWA NDUGUZE NA KUWALA KWA CHUMVI Henry Chau anayejiita mwendawazimu Mwanamume mmoja raia wa Hong Kong amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa mauaji,kutawanya viungo vya nduguze ,kuwanyunyizia chumvi na kuwapika. Mtuhumiwa huyo wa mauaji ya kushangaza ana umri wa miaka thelathini na mmoja jina

    KABLA YA KUACHANA NA MPENZI WAKO WA SASA NA KUJIPELEKA HUKO UENDAKO, TAFADHALI SOMA HAPA

    Posted: 10 Dec 2016 06:25 AM PST

    KABLA YA KUACHANA NA MPENZI WAKO WA SASA NA KUJIPELEKA HUKO UENDAKO, TAFADHALI SOMA HAPA 1. Jipe nafasi ya kutosha kutafakari kama ni kweli sasa hana maana tena hata kama amekukera 2. Chunguza kwa makini kama kuna hali inayomfanya kuwa hivyo na jaribu

    LE MAJANGAZZ BWANA HARUSI AJITOSA BAHARINI KUOGOPA UBAYA WA SURA YA MKE WAKE ALIYELAZIMISHWA KUMUOA ONA HAPA LIVE!!

    Posted: 10 Dec 2016 06:25 AM PST

    LE MAJANGAZZ BWANA HARUSI AJITOSA BAHARINI KUOGOPA UBAYA WA SURA YA MKE WAKE ALIYELAZIMISHWA KUMUOA ONA HAPA LIVE!! Kangu Hu akiopolewa Duniani kuna mambo, kuna vibweka na vibwakuro pia , twende sawa,Kang Hu, mwenye umri wa miaka 33, aliwashtua

    KABLA HUJAJICHORA,FAHAMU KWANZA MADHARA YA KIAFYA KUHUSU MICHORO YA MWILINI ''''TATTOO''

    Posted: 10 Dec 2016 06:22 AM PST

    KABLA HUJAJICHORA,FAHAMU KWANZA MADHARA YA KIAFYA KUHUSU MICHORO YA MWILINI ''''TATTOO'' Watu wengi, wanaume kwa wanawake hupenda kuweka michoro mwilini kama mapambo yaani tattoo au namna fulani ya kiimani. Baadhi ya rangi zinazotumika kuchora mapambo mwilini zinaweza kusababisha mzio wa ngozi katika eneo

    MAAJABU: KUMBE YULE MTOTO WA AJABU ALIYEZALIWA INDIA ANAFANANA NA MUNGU WAO

    Posted: 10 Dec 2016 06:22 AM PST

    MAAJABU: KUMBE YULE MTOTO WA AJABU ALIYEZALIWA INDIA ANAFANANA NA MUNGU WAO Mtoto wa ajabu aliyezaliwa March 26 mwaka huu ambaye anasemaka kuwa mtoto wa ajabu kuliko watoto wote waliozaliwa kwa mwaka huu ambaye anasura kama tembo aliyezaliwa India anayetukuzwa kama mungu nchini

    WAIMBAJI Watano wa Bongo Flava Ambao Walichezea Shilingi Kwenye Shimo la Choo na Kupotea

    Posted: 10 Dec 2016 04:12 AM PST

    WAIMBAJI Watano wa Bongo Flava Ambao Walichezea Shilingi Kwenye Shimo la Choo na Kupotea Hapana shaka hata kidogo mziki wa Bongefleva umepanda chati kwa kasi sana kimataifa hasa barani afrika na wanamuziki wake wamekuwa na ushawishi mkubwa katika kiwanda cha muziki ndani na nje ya nchi.. Mpaka mziki huu umefanikiwa kufika

    Sifa 10 za Mtu Mwenye Penzi la Kweli Kwako....

    Posted: 10 Dec 2016 04:11 AM PST

    Sifa 10 za Mtu Mwenye Penzi la Kweli Kwako.... Vijana wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha kubatizwa jina la utamu wa bazoka. Lakini yote hii inatokana na ukweli kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni muhimu kwa binadamu haitolewi ipasavyo. Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu,

    RAIS Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 5,678 Katika Maadhimisho Ya Miaka 55 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara

    Posted: 09 Dec 2016 11:54 PM PST

    RAIS Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 5,678 Katika Maadhimisho Ya Miaka 55 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara Katika kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe  9 Disemba, 2016 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano

    NAVY Kenzo Wapongezwa Kwa SHOW Nzuri Walioifanya Kenya Tuzo za Pulse Music Video Awards...

    Posted: 09 Dec 2016 11:50 PM PST

    NAVY Kenzo Wapongezwa Kwa SHOW Nzuri Walioifanya Kenya Tuzo za Pulse Music Video Awards... Baada ya kudondosha show ya kimataifa usiku wa kuamkia leo Wasanii pekee ambao waimeiwakilisha TANZANIA kwenye tuzo kubwa nchini KENYA za PULSE MUSIC VIDEOS AWARD Navy kenzo Wamepongezwa na zaidi mashabiki 50 kupitia

    MASTAA wa Tanzania Wema Sepetu, Alikiba na Wengine Walivyoshinda Tuzo za ASFAS 2016 Uganda

    Posted: 09 Dec 2016 11:49 PM PST

    MASTAA wa Tanzania Wema Sepetu, Alikiba na Wengine Walivyoshinda Tuzo za ASFAS 2016 Uganda Usiku wa December 9 2016 Kampala Uganda ndio siku ambayo zilifanyika zile tuzo za fashion zinazojulikana kama Abryanz Style & Fashion Awards (ASFA 2016), kumbuka hizo ni tuzo ambazo zilikuwa zinahusisha mastaa mbalimbali Afrika wakiwemo

    UFAFANUZI wa Ben Pol Kuhusu Kudaiwa Kuwa Mapenzini na Snura

    Posted: 09 Dec 2016 11:49 PM PST

    UFAFANUZI wa Ben Pol Kuhusu Kudaiwa Kuwa Mapenzini na Snura Kama unakumbuka moja ya tukio kwenye tour ya Fiesta 2016 ambalo lilimake headlines ni pamoja na ishu ya Benpol na Snura kudaiwa kuwa mapenzini na Snura aliwahi kukiri kuwa kweli yuko mapenzini na Ben Pol ambapo alizungumza maneno haya…….. 'Ben Pol Dodoma ni nyumbani

    RAIS Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 5,678 Katika Maadhimisho Ya Miaka 55 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara

    Posted: 09 Dec 2016 11:31 PM PST

    RAIS Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 5,678 Katika Maadhimisho Ya Miaka 55 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara Katika kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe  9 Disemba, 2016 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya Ibara ya 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano

    ALICHOSEMA Mbwana Samatta Baada Jina lake Kutajwa Kwenye Wimbo wa Darasa na Mavoco

    Posted: 09 Dec 2016 11:25 PM PST

    ALICHOSEMA Mbwana Samatta Baada Jina lake Kutajwa Kwenye Wimbo wa Darasa na Mavoco Baa ya jina lake kutajwa kwenye nyimbo za wasanii wa Bongo Flavor, mshambuliaji wa kibongo anayecheza soka la kulipwa nchini Ubelgiji amesema kwake ni heshima kubwa kuwepo kwenye nyimbo za wasanii na inaonesha ni namna gani wanavyothamini

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 11, 2016, 10:49:34 PM12/11/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    CCM Yakanusha Uvumi Ulioenea Mitandaoni

    Posted: 11 Dec 2016 07:46 PM PST

    CCM Yakanusha Uvumi Ulioenea Mitandaoni Taarifa ilikuwa hivi: Kutoka hapa Lumumba ni kwamba Steven Wassira anachukua nafasi ya Ole Sendeka. Peter Maduki anakuwa mweka hazina kuchukua nafasi ya Zakhia Meghji, na Kinana kabaki katika nafasi yake. Naibu katibu Mkuu Makongoro Nyerere. Naibu

    VIDEO: Rich Mavoko(KokoroMaster) alivyotikisa kwenye After Skul Bash

    Posted: 11 Dec 2016 07:46 PM PST

    VIDEO: Rich Mavoko(KokoroMaster) alivyotikisa kwenye After Skul Bash VIDEO: Rich Mavoko(KokoroMaster) alivyotikisa kwenye After Skul Bash

    HARMONIZE Anunua Kiwanja, Ajipanga Kushusha Ghorofa Hili Hapa...

    Posted: 11 Dec 2016 07:45 PM PST

    HARMONIZE Anunua Kiwanja, Ajipanga Kushusha Ghorofa Hili Hapa... Mwanamuziki Harmonize aliyoko chini ya lebo ya Muziki ya WCB Ameweka picha katika mtandao wake wa Instagram akionyesha kiwanja alichonunua na ramani ya mjengo wa Gorofa anaopanga kuujenga hivi karibuni.... Pichani akiwa na mama yake na madalali

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 12/12/2016 LIVE

    Posted: 11 Dec 2016 07:37 PM PST

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY/JUMATATU 12/12/2016 LIVE

    BREAKING NEWS : WASIRA MSEMAJI MPYA CCM,MAKONGORO NYERERE ,MADUKI WAULA,KINANA ABAKI

    Posted: 11 Dec 2016 07:36 PM PST

    BREAKING NEWS : WASIRA MSEMAJI MPYA CCM,MAKONGORO NYERERE ,MADUKI WAULA,KINANA ABAKI Kutoka hapa Lumumba ni kwamba Steven Wassira anachukua nafasi ya Ole Sendeka. Peter Maduki anakuwa mweka hazina kuchukua nafasi ya Zakhia Meghji, na Kinana kabaki katika nafasi yake. Naibu katibu Mkuu Makongoro Nyerere.

    MAGAZETI YA LEO JUMAPILI 11 DECEMBER 2016

    Posted: 11 Dec 2016 06:04 AM PST

    MAGAZETI YA LEO JUMAPILI 11 DECEMBER 2016

    WANASIASA wa Upinzani Burundi Wamkataa Mkapa

    Posted: 11 Dec 2016 06:01 AM PST

    WANASIASA wa Upinzani Burundi Wamkataa Mkapa Mkapa amesema kuwa makubaliano yataafikiwa ifikapo mwezi Juni mwaka ujao. Wanasiasa wa upinzani nchini Burundi walio uhamishoni wamepinga jitihada za aliyekuwa rais wa Tanzania za kutatua mzozo ulio nchini humo. Hii inajiri baada ya William Mkapa

    SIAD Karoli Adai Kuachana na meneja wake kulimfanya apoteze mwelekeo kwenye muziki

    Posted: 11 Dec 2016 06:00 AM PST

    SIAD Karoli Adai Kxuachana na meneja wake kulimfanya apoteze mwelekeo kwenye muziki Msanii mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli amefunguka kwa kusema kuwa moja ya sababu ambayo ilimfanya apotee kwenye muziki ni kitendo cha kuachana na meneja wake. saida-karoli Muimbaji huyo ambaye aliachana na meneja wake toka

    KIONGOZI wa ACT Wazalendo Atangaza Kujivua Uanachama na Kuachana na Siasa

    Posted: 11 Dec 2016 06:00 AM PST

    KIONGOZI wa ACT Wazalendo Atangaza Kujivua Uanachama na Kuachana na Siasa Mimi Mchange Habibu Mchange, Leo Jumaamosi tarehe 10.12.2016, ninaujuza umma wa Watanzania, Rafiki zangu, ndugu na jamaa. Kwamba kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikijihusisha na harakati za kisiasa, awali nikiwa mwanachama wa Chadema na baadae ACT

    MCHUNGAJI Awanywesha Waumini Dawa ya Kuua Bakteria “Dettol” ili Wapone Matatizo Yao

    Posted: 11 Dec 2016 05:42 AM PST

    MCHUNGAJI Awanywesha Waumini Dawa ya Kuua Bakteria "Dettol" ili Wapone Matatizo Yao Mchungaji  maarufu kwa jina la Rufus Phala kutoka kanisa la AK Spiritual Christian lililopo Makgodu, Limpopo, Afrika Kusini amewashangaza watu kwa kitendo cha kuwanywesha  Dettol waumini wake ilihali ina madhara kwa binadamu. Kwa

    PICHA : Meli Yenye Malori 600 ya Kiwanda cha Dangote Yawasili Mtwara

    Posted: 11 Dec 2016 05:41 AM PST

    PICHA : Meli Yenye Malori 600 ya Kiwanda cha Dangote Yawasili Mtwara Mfanyabiashara Alhaji Aliko Dangote leo alipokuwatana na kufanya mazungumzo na Rais Dk Magufuli, Ikulu jijini Dar es Salaam alimthibitishia kuwa hana lengo la kufunga kiwanda chake kama inavyodaiwa badala yake anatafuta fursa nyingine za kuwekeza hapa

    MZEE Aliyeweka Tangazo la Kutafuta Mke Afunguka Sababu ya Kufanya Hivyo

    Posted: 11 Dec 2016 05:33 AM PST

    MZEE Aliyeweka Tangazo la Kutafuta Mke Afunguka Sababu ya Kufanya Hivyo Mzee Athumani Bakari Mchambwa (76) aliyeweka tangazo la kutafuta mke maeneo ya Mtoni Mtongani, Dar es Salaam amefunguka sababi ya kufanya hivyo. Mzee Mchambwa ameiambia Global TV kuwa ameamua kufanya hivyo ili mwanamke yeyote atakayekuwa

    ALIKIBA Afunika Tuzo za EATV Awards

    Posted: 11 Dec 2016 05:23 AM PST

    ALIKIBA Afunika Tuzo za EATV Awards Mkali wa 'Aje', Ali Kiba jana aling'ara zaidi katika tuzo za EATV 2016 zinazoandaliwa na kituo cha runinga cha East Africa zilizotolewa katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye huku msema

    KUPOTEA Kwa Msaidizi wa Mbowe, Chadema na Polisi Watofautiana

    Posted: 11 Dec 2016 05:23 AM PST

    KUPOTEA Kwa Msaidizi wa Mbowe, Chadema na Polisi Watofautiana Moja kati ya wasaidizi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa siku 22 hadi leo. Taarifa zilizothibitishwa na ndugu zake pamoja na Chadema zimeeleza kuwa Ben

    VIGOGO Kutoonekana Sherehe za Uhuru Kwazua Mjadala

    Posted: 11 Dec 2016 05:22 AM PST

    VIGOGO Kutoonekana Sherehe za Uhuru Kwazua Mjadala Dar es Salaam. Kumekuwa na mjadala wa mahudhurio katika maadhimisho ya sherehe za Uhuru ya mwaka huu ambayo huenda yamevunja rekodi kwa viongozi wengi wa kitaifa na kimataifa kutoshiriki. Licha ya hali hiyo kusababishwa na mambo kadhaa yakiwamo kuingiliana kwa ratiba

    ZAIDI ya watu 30 Wafariki Kwenye Mlipuko wa Lori Kenya

    Posted: 11 Dec 2016 05:19 AM PST

    ZAIDI ya watu 30 Wafariki Kwenye Mlipuko wa Lori Kenya Idadi ya watu waliofariki katika ajali mbaya ya kuteketea kwa lori nchini Kenya, imepanda na kupita watu 30. Kwa mjibu wa naibu kamanda mkuu wa jimbo la Nakuru Isaaca Masinde, ajali hiyo iliyotokea usiku wa kuamkia Jumapili katika eneo la Karai kwenye barabara ya kutoka

    MWANA FA Adai Bifu ya Diamond na Ommy Dimpoz Inachangamsha Mziki ila Atoa Onyo

    Posted: 11 Dec 2016 05:19 AM PST

    MWANA FA Adai Bifu ya Diamond na Ommy Dimpoz Inachangamsha Mziki ila Atoa Onyo Msanii wa muziki wa hip hop, Khamisi Mwinjuma, maarufu mwana FA amedai bifu kati ya Diamond na Ommy Dimpoz ni vitu ambavyo vinahitaji kwenye muziki kwa kuwa vinachangamsha game. Diamond na Ommy Dimpoz hivi karibuni waliingia kwenye bifu zito

    YOUNG Dee Afunguka Tuhuma za Kumtelekeza Mtoto ‘Mtoto ni Wangu Nimempokea’

    Posted: 11 Dec 2016 05:19 AM PST

    YOUNG Dee Afunguka Tuhuma za Kumtelekeza Mtoto 'Mtoto ni Wangu Nimempokea' Msanii wa muziki wa hop hop, Young Dee amefunguka na kuweka mambo sawa kuhusu tuhuma ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amemtelekeza mtoto. Uvumi huo ulikuwa zaidi baada ya rapa huyo kuhojiwa katika kipindi cha U-Heard cha

    VIDEO: Mzee wa Upako Aja na Mpya Adai Mke wa Mtu ni Sumu na Mume wa Mtu ni Maziwa

    Posted: 11 Dec 2016 05:19 AM PST

    VIDEO: Mzee wa Upako Aja na Mpya Adai Mke wa Mtu ni Sumu na Mume wa Mtu ni Maziwa Mzee wa Upako aja na Mpya adai Mke wa mtu ni sumu na Mume wa mtu ni Maziwa. ANGALIA VIDEO HII..

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 12, 2016, 11:18:15 PM12/12/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    PICHA ya Wapenzi wa Zamani ya Kajala na Petitman Yazua Gumzo..Petit Afunguka na Kuuliza Swali

    Posted: 12 Dec 2016 09:45 AM PST

    PICHA ya Wapenzi wa Zamani ya Kajala na Petitman Yazua Gumzo..Petit Afunguka na Kuuliza Swali Picha waliopiga Kajala na Petit Man Huko Snap Chat inavyoonekana imeleta sinto fahamu upande wa Petit na mpenzi wake na kumfanya aulize swali kwa mashabiki zake kama kupiga picha na mpenzi wake wa zamani ni kosa...... Petit

    Mambo 6 Yakuzingatia Katika Mahusiano Ya Kimapenzi

    Posted: 12 Dec 2016 09:43 AM PST

    Mambo 6 Yakuzingatia Katika Mahusiano Ya Kimapenzi Mara nyingi wengi wetu tumekuwa katika mahusiano na wapenzi wetu lakini hali sio kama ile ya awali wakati mnaanza mapenzi yenu.  Wanawake wengi wanalalamika kuwa  hawaoni upendo ule waliouzoea zamani wakati mapenzi yanaanza. Hata wanaume wengine wanalalamika pia kuwa penzi

    YOUNG Dee Aonyesha Uanaume...Akutana live na Mama na Mtoto Wake

    Posted: 12 Dec 2016 09:41 AM PST

    YOUNG Dee Aonyesha Uanaume...Akutana live na Mama na Mtoto Wake Baba, Mama na Mtoto !!!kwa pamoja tumpe Hongera Young D kwa kuikubali Damu yake...mama mtoto kafurahi mpka rahaa!!! kweli instagram ni mtandao mzuri matatizo mengi yanapata ufumbuzi. 👌👌.. TUPIA NENO MOJA KWAO.

    DIamond Platnumz Amsifu Nahreel Kwa Kuvumbua Kipaji cha Rosa Ree...Adai Ndio Rapper Anaempenda Kwa Sasa Bongo

    Posted: 12 Dec 2016 09:38 AM PST

    DIamond Platnumz Amsifu Nahreel Kwa Kuvumbua Kipaji cha Rosa Ree...Adai Ndio Rapper Anaempenda Kwa Sasa Bongo Diamond Platnumz ampongeza mtayarishaji na muimbaji wa kundi la Navy Kenzo, Nahreel. Hitmaker huyo wa Salome ameonyeshwa kufurahishwa na Nahreel kwa kukitambulisha kipaji cha rapper wa kike kutoka lebo ya The

    BAADA ya Kuzoa Tuzo Tatu EATV Awards, ALIKIBA Atumbuiza South Afrika Kwenye Tamash

    Posted: 12 Dec 2016 09:38 AM PST

    BAADA ya Kuzoa Tuzo Tatu EATV Awards, ALIKIBA Atumbuiza South Afrika Kwenye Tamash Fresh kutoka kuchukua tuzo tatu za EATV Awards, Jumamosi hii, Alikiba alikwea pipa hadi jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenda kutumbuiza kwenye, Mkhaya Migrants Awards. Zimetolewa Jumapili hii. Tuzo hizo huandaliwa na wizara ya

    DIANA Edward Miss Tanzania Aingia Fainali za Beauty With A Purpose Miss World, Awapa Vidonge Wanaomsema Vibaya

    Posted: 12 Dec 2016 09:37 AM PST

    DIANA Edward Miss Tanzania Aingia Fainali za Beauty With A Purpose Miss World, Awapa Vidonge Wanaomsema Vibaya Miss Tanzania 2016, Diana Edward, ameingia kwenye fainali za shindano la Beauty With A Purpose ambalo ni sehemu ya mashindano mbalimbali kwenye Miss World. Beauty With A Purpose huhusisha miradi mbalimbali ya

    MZEE wa Upako 'Kila mwandishi Aliyeniandika Vibaya ikifika Mwezi wa Tatu Akiwa Hai, Mimi Naacha Kuhubiri Naenda Kuuza Gongo'

    Posted: 12 Dec 2016 09:36 AM PST

    MZEE wa Upako 'Kila mwandishi Aliyeniandika Vibaya ikifika Mwezi wa Tatu Akiwa Hai, Mimi Naacha Kuhubiri Naenda Kuuza Gongo' Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo, maarufu Mzee wa Upako amesema waandishi wote wanaoandika habari za kumchafua watakufa kabla ya kufika Machi mwakani. mzee-wa-upako3

    TUZO Tatu Alizoshinda ALIKIBA Zamfanya Mwanamuziki AT Ajikojolee Kitandani....

    Posted: 12 Dec 2016 09:36 AM PST

    TUZO Tatu Alizoshinda ALIKIBA Zamfanya Mwanamuziki AT Ajikojolee Kitandani.... Kabla ya tukio kubwa la #EATVAwards jana usiku, msanii AT aliahidi kuwa kama Kiba angeshinda tuzo basi kwa furaha angekojoa kitandani. Baada ya tuzo hizo na Kiba kulamba tuzo 3. AT ametimiza ahadi hiyo na kutupia picha insta. Una neno

    CHAMPIONS LEAGUE DRAW AND LAST 16 MATCH DATES

    Posted: 12 Dec 2016 09:35 AM PST

    CHAMPIONS LEAGUE DRAW AND LAST 16 MATCH DATES Manchester City vs AS Monaco  Real Madrid vs Napoli Benfica vs Borussia Dortmund Bayern Munich vs Arsenal  FC Porto vs Juventus Bayer Leverkusen vs Atletico Madrid Paris Saint Germain vs Barcelona

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 13, 2016, 11:06:37 PM12/13/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    WAVURUGA AMANI WASIPEWE NAFASI

    Posted: 12 Dec 2016 09:37 PM PST

    WAVURUGA AMANI WASIPEWE NAFASI WAUMINI wa dini ya Kiislamu Tanzania, jana waliungana na Waislamu wenzao duniani, kusherehekea siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W). Akizungumza katika Baraza la Maulid lililofanyika kitaifa kijiji cha Shelui wilayani Iramba mkoani Singida, Waziri Mkuu,

    MAJARIBU ya Wanawake Kwa Wanaume Kama Wanafaa Kuwa Nao Kimapenzi Mengi Hutoa Majibu Yasiyo Sahihi

    Posted: 12 Dec 2016 09:22 PM PST

    MAJARIBU ya Wanawake Kwa Wanaume Kama Wanafaa Kuwa Nao Kimapenzi Mengi Hutoa Majibu Yasiyo Sahihi Wanawake huaga wanawajaribu wanaume kwa majaribu fulani ili waweze kujua kama wanaune hao wanafaa kuishinao, bila ya kupima au kufanyia tafiti kama hayo majaribu yao wanayo yatumia kama yapo ndani ya uwezo wa wanaume hao, madhara ya

    SERIKALI YACHARUKA SUALA LA MAITI 7 KUOKOTWA MTO RUVU,MAJALIWA ATOA AGIZO ZITO

    Posted: 12 Dec 2016 09:16 PM PST

    SERIKALI YACHARUKA SUALA LA MAITI 7 KUOKOTWA MTO RUVU,MAJALIWA ATOA AGIZO ZITO WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Jeshi la Polisi kufanya upelelezi kuwabaini waliohusika na mauaji ya watu saba ambao miili yao iliokotwa pembezoni mwa mto Ruvu wilayani

    JESHI LA POLISI LEO KUTOA MSIMAMO KAULI YA MZEE WA UPAKO KUWA WALIOMCHAFUA WATAKUFA MWAKA 2017...KAMANDA SIRO AHOJI 'KWANI LUSEKELO NI MUNGU? '

    Posted: 12 Dec 2016 09:02 PM PST

    JESHI LA POLISI LEO KUTOA MSIMAMO KAULI YA MZEE WA UPAKO KUWA WALIOMCHAFUA WATAKUFA MWAKA 2017...KAMANDA SIRO AHOJI 'KWANI LUSEKELO NI MUNGU? ' Siku moja baada ya Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu Mzee wa Upako kusema waandishi waliomuandika vibaya watakufa kabla ya Machi

    HATIMAYE Ommy Dimpoz Aweka Picha Akiwa na Mpenziwe Instagram!

    Posted: 12 Dec 2016 08:43 PM PST

    HATIMAYE Ommy Dimpoz Aweka Picha Akiwa na Mpenziwe Instagram! Baada ya maneno mengi kutoka kwa mashabiki wa upande wa pili kuwa ommy hapigi mechi na pia hawamjui shemeji Ommy dimpoz ameamua kuweka picha ya shem wetu wakiwa pamoja Hata hivyo picha hiyo ilikuwa na emoji zenye ishara ya malovee lakini kitu

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 14, 2016, 11:15:52 PM12/14/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    Video: Ozil alivyotaka kupigana baada ya Everton kuasawazisha goli

    Posted: 14 Dec 2016 06:26 AM PST

    Video: Ozil alivyotaka kupigana baada ya Everton kuasawazisha goli Usiku wa December 13 ulipigwa mchezo kati ya Everton dhidi ya Arsenal kwenye uwanja wa Goodson Park ambapo The Gunners walichapwa bao 2-1. Arsenal ndiyo walikuwa wakwanza kufunga goli, Alexis Sanchez akifunga goli hilo kwa free kick. Seamus Coleman

    BREAKIN NEWZZ!!:- MTANZANIA ANAYESADIKIWA KUWA NI "SHOGHA" AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KUTUA CENTRAL POLISI LIVE!!

    Posted: 14 Dec 2016 06:22 AM PST

    BREAKIN NEWZZ!!:- MTANZANIA ANAYESADIKIWA KUWA NI "SHOGHA" AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KUTUA CENTRAL POLISI LIVE!! NA MWANDISHI WETU Kutoka Instagram "BintiKajuta| anaripoti kwamba Mtanzania

    MAAJABU YA DUNIA:KUTANA NA MAKABURI YA KIFAHARI YANAYOZIDI NYUMBA ZA MATAJIRI...YANA HADI VIYOYOZI

    Posted: 14 Dec 2016 06:21 AM PST

    MAAJABU YA DUNIA:KUTANA NA MAKABURI YA KIFAHARI YANAYOZIDI NYUMBA ZA MATAJIRI...YANA HADI VIYOYOZI Maishani, watu wengi hutaka kuishi katika nyumba nzuri na za kifahari. Wengi huwa hawafanikiwi. Lakini nchini Mexico, ambapo ulanguzi wa mihadarati umekithiri, wakuu wa magenge ya ulanguzi wa dawa za kulevya

    WAZIRI wa Afya wa Afrika Kusini Atoa Kali..Adai Wanaume Ambao Ucheza Dansi Sana Kumbi za Starehe Wana Maumbile ya Siri Madogo

    Posted: 14 Dec 2016 06:10 AM PST

    WAZIRI wa Afya wa Afrika Kusini Atoa Kali..Adai Wanaume Ambao Ucheza Dansi Sana Kumbi za Starehe Wana Maumbile ya Siri Madogo Waziri wa Afya wa Afrika Kusini, Aaron Motsoaledi amezua mshangao mkubwa nchini humo baada ya kuwaonya wasichana akisema kuwa wanaume ambao hucheza sana kwenye sherehe na kumbi za starehe huwa na

    ALICHOANDIKA Kajala Baada ya Tetesi Kuwa Amerudiana na Petit Man

    Posted: 14 Dec 2016 06:10 AM PST

    ALICHOANDIKA Kajala Baada ya Tetesi Kuwa Amerudiana na Petit Man Katika mapenzi kuna kuwa pamoja na kuacha na cha msingi watu wanachokizingatia ni ku-move on na maisha, Kajala Masanja na Petit Man walikuwa wapenzi. Tena ilifikia kipindi  Kajala yupo jela, Petit alikuwa akimhudumia kwa kiasi kikubwa. Lakini baadaye

    Kylie Jenner rents her Hidden Hills mansion to Rob and Blac Chyna

    Posted: 14 Dec 2016 05:41 AM PST

    Kylie Jenner rents her Hidden Hills mansion to Rob and Blac Chyna Business entrepreneur, Kylie Jenner has decided to rent one of her empty homes to her brother Rob Kardashian and her boyfriend's baby mama Blac Chyna. According to TMZ, Rob and Chyna have already moved into the Hidden Hills, CA mansion.  The home is a 6

    PROFESA Jay Akunwa Kisawa Sawa na Mwanamuziki Darasa Atoa ya Moyoni na Kumwambia Hivi

    Posted: 14 Dec 2016 05:38 AM PST

    PROFESA Jay Akunwa Kisawa Sawa na Mwanamuziki Darasa Atoa ya Moyoni na Kumwambia Hivi Mafanikio ya Mwanamuziki Darasa kwenye muziki yamemfanya Prof Jay Kusema haya Kupitia mtandao wa Instagram, Jay ameandika: Mdogo wangu @darassacmg Imani yako, Kutokukata tamaa na Struggle yako ya Usiku na Mchana ndio imekufanya

    SIKILIZA Wimbo Mpya wa Lady Jay Dee Akiwa na Mpenzi Wake Mpya Spicy......

    Posted: 14 Dec 2016 05:36 AM PST

    SIKILIZA Wimbo Mpya wa Lady Jay Dee Akiwa na Mpenzi Wake Mpya Spicy...... Hivi karibuni kulikuwepo na tetesi nyingi sana katika mitandao ya kijamii zikisema kwamba mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Lady Jaydee amefunga ndoa na mwanamuziki wa Nigeria, Spicy, na sasa wawili hao wameachia wimbo wa pamoja,

    ALIKIBA Kaamua Kabisa Kuingia Studio na Mwanamuziki Vyonne Chaka Chaka Baada ya Kukutana

    Posted: 14 Dec 2016 05:35 AM PST

    ALIKIBA Kaamua Kabisa Kuingia Studio na Mwanamuziki Vyonne Chaka Chaka Baada ya Kukutana Alikiba ndani ya Studio nchini South Africa. ...Akipika Ngoma na Mama wa Muziki Africa...Yvonne ChakaChaka..!! Unahis Ngoma itakuwaje? ?? Hapa kingkiba pale Mama ChakaChaka. ..toa utabiri wako hapa👇

    MWENYEKITI wa UVCCM Aliyeshitakiwa Kwa Kughushi Kitambulisho Cha Usalama wa Taifa Aachiwa Huru

    Posted: 14 Dec 2016 05:35 AM PST

    MWENYEKITI wa UVCCM Aliyeshitakiwa Kwa Kughushi Kitambulisho Cha Usalama wa Taifa Aachiwa Huru Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Arusha ameachiwa huru baada ya Jamhuri kusema hawana nia kuendelea na kesi hiyo, Mwenyekiti huyo wa UVCC alidaiwa kughushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa.

    KASHFA Nzito Jeshi la Polisi na GSM

    Posted: 14 Dec 2016 05:30 AM PST

    KASHFA Nzito Jeshi la Polisi na GSM NSATO Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi pamoja na vigogo wengine wa serikalini wanatuhumiwa kushindwa kumsaidia Mtanzania Abdulswamadu Zacharia Omary (36) anayedai kutendewa vitendo vya kikatili, anaandika Josephat Isango. Ukatili huo ni pamoja na kudhulumiwa mali

    UPORAJI Magari Sio Dili Tena Mjini...Wezi 22 Wakamatwa Kwa Uporaji wa Magari

    Posted: 14 Dec 2016 12:03 AM PST

    UPORAJI Magari Sio Dili Tena Mjini...Wezi 22 Wakamatwa Kwa Uporaji wa Magari Kikosi  maalumu cha kupambana na wizi wa kutumia silaha na wizi wa kutumia nguvu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kimewakamata watuhumiwa 22 kwa makosa ya kuwapora wenye magari na wapitanjia kwenye mataa ya kuongozea magari.

    MR Nice Afunguka Haya Baada ya Kuzushiwa Amefariki Dunia.....

    Posted: 14 Dec 2016 12:03 AM PST

    MR Nice Afunguka Haya Baada ya Kuzushiwa Amefariki Dunia..... Msanii mkongwe wa muziki, Mr Nice amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii. Mtandao mmoja wa kijamii uliandika taarifa za uongo kwamba muimbaji huyo amefariki akiwa nchini Tanzania. Mr Nice ambaye yupo nchini

    ALIYEKIMBIA Mgomo wa Madaktari Kenya Ajifungua Watoto 5 Tanzania,

    Posted: 14 Dec 2016 12:02 AM PST

    ALIYEKIMBIA Mgomo wa Madaktari Kenya Ajifungua Watoto 5 Tanzania, Moshi. Raia wa Kenya, Bahati Tabu (37) amejifungua watoto watano mjini hapa Mkoa wa Kilimanjaro alikokimbilia kupata msaada kutokana na mgomo wa madaktari na wauguzi unaoendelea nchini humo. Mgomo huo unaohusisha madaktari na wauguzi zaidi ya 5,000 wa

    BINTI Mtanzania Aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa Kwa Kazi ya Siku 1

    Posted: 14 Dec 2016 12:02 AM PST

    BINTI Mtanzania Aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa Kwa Kazi ya Siku 1 Herieth Paul ni Binti Mtanzania mwenye umri wa miaka 20 tu lakini jina lake limekua kubwa kila kukicha nchini Marekani akiwa ni Mwanamitindo mwenye umri mdogo lakini amepiga hatua kubwa kwenye kazi ya Uwanamitindo, bonyeza play kufahamu zaidi.

    HATIMAYE Anayedaiwa Kutumia Akaunti ya @shilolekiuno_official Kutukana Watu Atupwa Segerea

    Posted: 14 Dec 2016 12:02 AM PST

    HATIMAYE Anayedaiwa Kutumia Akaunti ya @shilolekiuno_official Kutukana Watu Atupwa Segerea Hatimaye anayedaiwa kutumia akaunti ya @shilolekiuno_official atupwa Segerea baada ya kukosa dhamana katika Mahakama ya Kinondoni Mapema jana👌👌👌👌👌sasa mjihadhali na MAPOVU yasiyo kuwa na lugha za kistaarabu huko Instagram

    MCHEZAJI Yaya Toure Ashtakiwa Kwa Kuendesha Gari Akiwa Amelewa...Mwenyewe Adai Yeye ni Mwislam

    Posted: 14 Dec 2016 12:01 AM PST

    MCHEZAJI Yaya Toure Ashtakiwa Kwa Kuendesha Gari Akiwa Amelewa...Mwenyewe Adai Yeye ni Mwislam Mchezaji wa klabu ya Manchester City ambaye ni raia wa Ivory Coast Yaya Toure amesema hajapinga shtaka la kuendesha gari akiwa amelewa wiki mbili zilizopita. Hata hivyo, amesema kwamba hakunywa pombe makusudi alipokamatwa

    LOWASSA Aja na Mpya...Adai T.B Joshua Ameitabiria Ushindi Chadema

    Posted: 14 Dec 2016 12:00 AM PST

    LOWASSA Aja na Mpya...Adai T.B Joshua Ameitabiria Ushindi Chadema Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amesema ataingia Ikulu baada ya miaka minne ijayo na rafiki yake T.B Joshua amemtabiria kuwa Serikali ijayo itaongozwa na Chadema. Lowassa, ambaye alishika nafasi ya pili katika kinyang'anyiro cha urais

    SHEHE Mkuu Dar: Nipo Tayari Kuwafungisha Ndoa Diamond & Zari Bure! (Video)

    Posted: 13 Dec 2016 09:36 PM PST

    SHEHE Mkuu Dar: Nipo Tayari Kuwafungisha Ndoa Diamond & Zari Bure! (Video) SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameweka wazi kutopendezwa na kitendo cha Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kuendelea kuzaa nje ya ndoa na mpenzi wake Zarinah Hassan 'Zari' akisema kuwa ni kinyume na

    MREMBO Sanchoka: ‘Nilimuokota’ Idris Sultan Kwenye Apartment Sauzi, Amfungukia Gigy Money

    Posted: 13 Dec 2016 09:32 PM PST

    MREMBO Sanchoka: 'Nilimuokota' Idris Sultan Kwenye Apartment Sauzi, Amfungukia Gigy Money MODO mwenye figa la kuvutia anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya urembo, Sanchoka yeye hupenda kujiita Sanchi ameanika namna ambavyo alikutana na anayedaiwa kuwa mpenzi wake kwa sasa, Mshindi wa Big Brother Africa 2014 na mtangazaji wa Choice

    ZARI Awashangaza Wengi Baada ya Tumbo lake la Uzazi Kupungua Ndani ya Wiki Moja...Atoa Ushauri Huu

    Posted: 13 Dec 2016 09:32 PM PST

    ZARI Awashangaza Wengi Baada ya Tumbo lake la Uzazi Kupungua Ndani ya Wiki Moja...Atoa Ushauri Huu USHAURI WA ZARI KWA WAZAZI from #zarithebosslady - Good morning.... ladies no need to worry coz our bodies are different. But I did exercise during pregnancy which has helped my body get bk within 7days.... and for those

    JAMBO Hili Limemfanya Mwigizaji Chuchu Hans Kukumbuka Siku Aliyovunja Ungo.....

    Posted: 13 Dec 2016 09:20 PM PST

    JAMBO Hili Limemfanya Mwigizaji Chuchu Hans Kukumbuka Siku Aliyovunja Ungo..... Ushindi wa tuzo ya Muigizaji bora wa kike wa Tuzo za EATV 2016 kumemtoa machozi Chuchu Hansy na kumkumbusha mambo mengi aliyopitia kwenye maisha yake. Muigizaji huyo ambaye hakuwepo kwenye usiku huo wa tuzo na kuwakilishwa na meneja wake

    MWAKANI Sitakuwa na Roho Nzuri - Fid Q Afunguka

    Posted: 13 Dec 2016 09:19 PM PST

    MWAKANI Sitakuwa na Roho Nzuri - Fid Q Afunguka Msanii nguli wa hip hop bongo Fid Q baada ya kushuhudia EATV AWARDS mwaka huu, ameanza kujipanga kwa ajili ya mwakani na kusema kuwa hatokuwa na roho nzuri kwenye kuachia kazi. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Fid Q amesema mwakani

    MMILIKI wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo Akamatwa na Polisi...Anyimwa Dhamana

    Posted: 13 Dec 2016 09:07 PM PST

    MMILIKI wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo Akamatwa na Polisi...Anyimwa Dhamana DAR: Mwanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo akamatwa na Polisi kwa kukataa kutoa taarifa za siri za watumiaji wa mtandao huo. Anyimwa dhamana atakaa rumande mpaka kesho atakapofikishwa mahakamani.

    YOUNG D 'Kwa Mara ya Kwanza Nimejisikia Tofauti Sana Baada ya Kumbeba tu Mwanangu'

    Posted: 13 Dec 2016 09:06 PM PST

    YOUNG D 'Kwa Mara ya Kwanza Nimejisikia Tofauti Sana Baada ya Kumbeba tu Mwanangu' Rapper Young Dee amesema kupata mtoto kumempa furaha ambayo hawajawahi kuwa nayo katika maisha yake. Young amesema: Kwa mara ya kwanza nimejisikia tofauti sana baada ya kumbeba tu mwanangu. Yaani nimejisikia tofauti

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 15, 2016, 11:12:47 PM12/15/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

    Udakuzi Mtandaoni


    KITUO cha Sheria za Haki za Binadamu(LHRC) Kimelaani Kukamatwa Kwa Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo

    Posted: 15 Dec 2016 07:25 AM PST

    KITUO cha Sheria za Haki za Binadamu(LHRC) Kimelaani Kukamatwa Kwa Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo Kituo cha Sheria za Haki za Binadamu(LHRC) na Kituo cha Utetezi wa Haki za Binadamu(THRDC) kimelaani na kukemea kukamatwa na kuwekwa kizuizini Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo. Vituo hivyo vimesema

    JESHI la Polisi Lafanya Ukaguzi Ofisi za Jamii Forums na Nyumbani kwa Mmiliki wa Tovuti Hiyo Maxence Melo

    Posted: 15 Dec 2016 07:25 AM PST

    JESHI la Polisi Lafanya Ukaguzi Ofisi za Jamii Forums na Nyumbani kwa Mmiliki wa Tovuti Hiyo Maxence Melo Leo Jeshi la Polisi limefanya ukaguzi na mahojiano kwenye Ofisi za Jamii Media(Fikrapevu.com na JamiiForums.com) na walienda pia nyumbani kwa Mwanzilishi, Maxence Melo Polisi walichoondoka nacho ni nyaraka za

    CHADEMA yaijia Juu Serikali Kutoweka Kwa Kada Wake Saanane

    Posted: 15 Dec 2016 07:23 AM PST

    CHADEMA yaijia Juu Serikali Kutoweka Kwa Kada Wake Saanane Chadema kimeitaka Serikali kueleza kama imemkamata au inamshikilia kada wake Ben Saanane aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha mwezi mmoja uliopita. Mbali ya kutaka Serikali ieleze mahali alipo msaidizi huyo wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, pia

    MADHARA ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

    Posted: 15 Dec 2016 07:23 AM PST

    MADHARA ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya: Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo, kupendelea sana kuangalia picha za uchi, Kusahausahau, Kupendelea

    UJUMBE wa Alikiba Baada ya Kukutana na Yvonne Chaka Chaka SA

    Posted: 15 Dec 2016 07:22 AM PST

    UJUMBE wa Alikiba Baada ya Kukutana na Yvonne Chaka Chaka SA Hitmaker wa wimbo wa Aje, Alikiba amepata bahati ya kukutana na nguli wa muziki nchini Afrika Kusini, Mama Yvonne Chaka Chaka wiki hii wakati alipokuwa mjini Johannesburg kwa ajili ya kutumbuiza kwenye utoaji wa tuzo za Mkhaya Migrants Awards. Haikuwa kazi

    KANALI wa Jeshi Aliyeteuliwa Kuwa Kiongozi CCM Afunguka Baada ya Wengi Kuhoji....

    Posted: 15 Dec 2016 07:21 AM PST

    KANALI wa Jeshi Aliyeteuliwa Kuwa Kiongozi CCM Afunguka Baada ya Wengi Kuhoji.... Wakati watu mbalimbali wakiwa na maoni tofauti kuhusu Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Halmashauri Kuu yake kumteua Kanali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzaia (JWTZ) kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, mwenyewe

    WABONGO Noma...Comments Zafuruka Kwenye Page ya Instagram ya Miss World Kwenye Picha ya Diana Luqumay

    Posted: 15 Dec 2016 07:21 AM PST

    WABONGO Noma...Comments Zafuruka Kwenye Page ya Instagram ya Miss World Kwenye Picha ya Diana Luqumay WABONGO Noma...Comments Zafuruka Kwenye Page ya Instagram ya Miss World Kwenye Picha ya Diana Luqumay, Mpaka tunaenda mitamboni comments zilikuwa zimefika 25,128

    MAHOJIANO na Mchumba wa Lady Jaydee, Asema Wana Mipango Mizito

    Posted: 15 Dec 2016 07:20 AM PST

    MAHOJIANO na Mchumba wa Lady Jaydee, Asema Wana Mipango Mizito Mchumba wa Lady Jaydee kutoka Nigeria amesema anaitwa Spice kutoka Nigeria amesema yeye ni mwanamuziki na wanampango wa kufanya mambo makubwa na ady Jaydee ambayo hakuyataja ila akasema watu watarajie Amesema anampendea lady JD kwa kuwa yupo

    AFANDE Sele " Kuanzia Leo Natangaza Rasmi Kujivua Rasmi Uanachama ACT Wazalendo"

    Posted: 15 Dec 2016 07:20 AM PST

    AFANDE Sele " Kuanzia Leo Natangaza Rasmi Kujivua Rasmi Uanachama ACT Wazalendo" Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop kutoka mkoani Morogoro, Afande Sele ambaye alikuwa mgombea wa nafasi ya ubunge katika uchaguzi uliopita kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Alhamisi hii ametangaza rasmi kujivua uanachama wa ACT-Wazalendo.

    VODACOM Yawatengea Wateja Wake Bilioni 5/- Kupitia Promosheni ya NOGESHA UPENDO Msimu Huu wa Sikukuu.

    Posted: 15 Dec 2016 07:13 AM PST

    VODACOM Yawatengea Wateja Wake Bilioni 5/- Kupitia Promosheni ya NOGESHA UPENDO Msimu Huu wa Sikukuu. Wateja wa Vodacom Tanzania wameletewa promosheni mpya inayojulikana kama "Nogesha Upendo" ambayo itawawezesha wateja wake kujishindia zawadi za fedha taslimu, muda wa bure wa maongezi na vifurushi vya intaneti kila siku  katika

    BABA Achinja Wanawe Wawili na Kisha Kujinyonga

    Posted: 15 Dec 2016 07:11 AM PST

    BABA Achinja Wanawe Wawili na Kisha Kujinyonga Watoto  wawili wenye umri wa miaka mitatu na sita wa Kijiji cha Patane Kata ya Mambamiamba wilayani Same,  wameuawa kwa kuchinjwa na panga na baba yao mzazi Yohana Greson (26) na yeye mwenyewe kujining'iniza kwenye paa la nyumba. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jana Kamanda

    LOWASSA Ahoji Uamuzi wa Rais Magufuli Kununua Ndege Badala ya Kutoa Huduma Kwa Jamii, Awataka Vijana Kuwa Imara 2020

    Posted: 15 Dec 2016 07:10 AM PST

    LOWASSA Ahoji Uamuzi wa Rais Magufuli Kununua Ndege Badala ya Kutoa Huduma Kwa Jamii, Awataka Vijana Kuwa Imara 2020 Mjumbe  wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa, ametaka vijana wa chama hicho kukabiliana na ukandamizaji wa demokrasia aliodai unafanywa na watawala. Alisema hayo juzi alipokutana na vijana wa chama hicho

    Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

    unread,
    Dec 16, 2016, 11:28:50 PM12/16/16
    to udakuzi-...@googlegroups.com

      Ngassa: Najua Kuna Maneno na Minong’ono Mingi Kuhusu Uwezo Wangu Muda si Mrefu yataisha

      Posted: 16 Dec 2016 08:23 PM PST

      Ngassa: Najua Kuna Maneno na Minong'ono Mingi Kuhusu Uwezo Wangu Muda si Mrefu yataisha Hatimaye mchezaji Mrisho Ngassa aliyekuwa anacheza soka la kulipwa kwenye klabu ya Fanja Fc ya Oman, amemwaga wino kuitumikia klabu ya Mbeya City fc akiungana na nyota wengine 9 waliojumishwa kikosini kwenye usajili wa dirisha dogo lililofikia

      SIKILIZA Stori ya Kusisimua ya Kijana Mwenye Jinsia Mbili 2 ya Kike na ya Kiume

      Posted: 16 Dec 2016 08:22 PM PST

      SIKILIZA Stori ya Kusisimua ya Kijana Mwenye Jinsia Mbili 2 ya Kike na ya Kiume Leo nimekuwekea Stori ya Kijana Ambae amezaliwa na jinsi mbili ya kike na ya kiume, kijana huyu anatamani akatwe moja abaki na moja... Bonyeza Hapa Chini Kusikiliza Stori Nzima Mwanzo mwisho:

      LADY Jaydee na Spicy Wathibitisha Kuwa Wapenzi, waeleza Walivyokutana

      Posted: 16 Dec 2016 08:22 PM PST

      LADY Jaydee na Spicy Wathibitisha Kuwa Wapenzi, waeleza Walivyokutana Lady Jaydee na Spicy wamethibisha rasmi kuwa ni wapenzi. Kwenye mahojiano na Bongo5, wawili hao wamedai kuwa wamekuwa pamoja kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa. "Tulikutana miezi kadhaa iliyopita na tukaanza kuzungumza, tukaanza kufahamiana zaidi na

      RAIA 13 wa Kigeni Wanaswa Wakifanya Ukahaba Wilaya ya Kinondoni

      Posted: 16 Dec 2016 08:21 PM PST

      RAIA 13 wa Kigeni Wanaswa Wakifanya Ukahaba Wilaya ya Kinondoni Wilaya ya Kinondoni imetajwa kuwa kinara wa madanguro ya raia wa kigeni wanaojihusisha na biashara ya ngono. Hilo limethibitika baada ya kikosi cha Idara ya Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam kuwakamata wasichana 13, raia wa Nepal na India wanaodaiwa

      DAVID Kafulila Ahama NCCR, Ahamia Chadema

      Posted: 16 Dec 2016 08:20 PM PST

      DAVID Kafulila Ahama NCCR, Ahamia Chadema Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kigoma Kusini kwa tiketi ya Chama cha NCCR-Mageuzi, David Kafulila leo ametangaza kukihama chama hicho na kusema kuwa atajiunga na Chama cha Demokrasia na Manendeleo (CHADEMA). Kafulila ambaye alijizolea umaarufu mkubwa katika bunge la kumi kwa

      VIDEO:Mume wa Mtu Afumwa Akipigwa na Kahaba Guest Kwa Kutokumlipa Pesa yake

      Posted: 16 Dec 2016 08:15 PM PST

      VIDEO:Mume wa Mtu Afumwa Akipigwa na Kahaba Guest Kwa Kutokumlipa Pesa yake Kuna msemo unaosema Duniani hakuna kitu cha Bure, Huyu Mume wa mtu aliingia choo cha kike baada ya kupata mwanamke wa kupooza naye kidogo huku akiwa hana hela ya kutosha ...Kilichotokea angalia hii Video Jamaa Akichukua Kichapo kutoka kwa kahaba huyo

      VIDEO: Tazama Ukahaba Unavyofanyika Dar es Salaam Wazi Wazi Mchana Kweupe

      Posted: 16 Dec 2016 08:15 PM PST

      VIDEO: Tazama Ukahaba Unavyofanyika Dar es Salaam Wazi Wazi Mchana Kweupe Hapa ndo tulipofikia, Inasikitisha imefikia mpaka sasa makahaba wanajiuza mchana kweupe, embu angalia huyu mteja akifanya makubaliano na changodoa mchana kweupe  BONYEZA PLAY HAPA CHINI UJIONEE:

      RAIS Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

      Posted: 16 Dec 2016 08:14 PM PST

      RAIS Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela RAIS Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela, Taasisi NIMR aliyokuwa akiiongoza Jana ilitangaza kuwepo kwa Virusi vya ugonjwa wa Zika Nchini lakini baada Wizara ya afya kupitia Ummy Mwalimu ilikanusha Taarifa Hizo, Bado Haijaeleweka

      VIDEO: TCRA Yafunguka Kuhusu Kukamatwa Kwa Mmiliki wa Jamii Forums

      Posted: 16 Dec 2016 08:14 PM PST

      VIDEO: TCRA Yafunguka Kuhusu Kukamatwa Kwa Mmiliki wa Jamii Forums Tazama Video Hapa Chini Mwakilishi wa TCRA Akiongea baada ya Mmiliki wa Jamii Forums Kusomewa mashtaka hiyo jana.... Bonyeza Video:

      WIZARA ya Afya Yakanusha Kuwepo Kwa Virusi vya Ugonjwa wa Zika Nchini....

      Posted: 16 Dec 2016 08:13 PM PST

      WIZARA ya Afya Yakanusha Kuwepo Kwa Virusi vya Ugonjwa wa Zika Nchini.... Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amekanusha taarifa za kuwepo kwa vurusi vya ugonjwa wa zika nchini. Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo ametoa ufafanuzi huo na kukanusha taarifa za

      Posted: 16 Dec 2016 08:13 PM PST

      Aina 12 Ya Wanawake Ambao Watayafanya Maisha Yako Kuwa Magumu Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia ambazo hazifurahishi. Hii pia inajitokeza katika wanawake. Katika mahusiano, utapata kuwa wanawake wanakuwa na tabia ambazo

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 17, 2016, 11:04:58 PM12/17/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      Nay wa Mitego Adai Nyumba ya Diamond ya South Afrika Yeye Ameijenga Tabata!

      Posted: 17 Dec 2016 03:59 AM PST

      Nay wa Mitego Adai Nyumba ya Diamond ya South Afrika Yeye Ameijenga Tabata! Jana kwenye XXL ya Clouds FM Nay wa Mitegoalikuwepo kutambulisha ngoma yake mpya ambayo ameipa jina la Sijiwezi. Ndipo alipokutana na story ya list ya wasanii 10 wa Bongo Fleva ambao wamefanikiwa kumaliza ujenzi wa nyumba zao na

      PICHA ya ALIKIBA na Mdogo Wake Zari Aitwaye Zulehah Yazua Gumzo Mitandaoni

      Posted: 17 Dec 2016 03:59 AM PST

      PICHA ya ALIKIBA na Mdogo Wake Zari Aitwaye Zulehah Yazua Gumzo Mitandaoni Picha ambayo inaonyesha Mdogo wa Zari Akiwa na Ali Kiba imezua Maneno maneno mtandaoni huku wengine wakipongeza kitendo hicho na kusema kuwa kitapunguza bifu iliyopo katika ya Ali Kiba na Diamond huku wengine wakidai kuwa Ali Kiba ndo

      KIJANA Aelezea A to Z Jinsi Alivyorubuniwa na Mama Mchungaji Wafanye Mapenzi

      Posted: 17 Dec 2016 03:57 AM PST

      KIJANA Aelezea A to Z Jinsi Alivyorubuniwa na Mama Mchungaji Wafanye Mapenzi KIJANA Aelezea A to Z Jinsi Alivyorubuniwa na Mama Mchungaji Wafanye Mapenzi, Bonyeza Play Hapa Chini Kusikiliza Stori hiyo ya Kusisimua:   VIDEO:

      TOTO wa Miaka 5 Aliyebakiza Miezi Miwili ya Kuishi Dunia

      Posted: 17 Dec 2016 03:57 AM PST

      TOTO wa Miaka 5 Aliyebakiza Miezi Miwili ya Kuishi Dunia Mtoto huyu anaitwa, Bradley Lowery, ni shabiki wa kutupwa wa klabu ya Sunderland. Ana miaka mitano na tayari madaktari wamethibitisha kuwa amebakiza miezi miwili tu kabla kansa haijakatiza pumzi zake na kuupeleka mwili wake futi 6 chini ya Ardhi.

      BODI YA MIKOPO YAONGEZA MUDA KWA WADAIWA SUGU KULIPA MADENI YAO HADI DESEMBA 30,2016

      Posted: 16 Dec 2016 09:42 PM PST

      BODI YA MIKOPO YAONGEZA MUDA KWA WADAIWA SUGU KULIPA MADENI YAO HADI DESEMBA 30,2016 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imeongeza muda kwa wadaiwa sugu kulipa madeni yao hadi Desemba 30, 2016.Hatua ya Bodi inafuatia mwitikio chanya kutoka kwa wadaiwa ndani ya siku 30 za awali ambazo

      KIKONGWE WA MIAKA 80 AUAWA KWA UCHAWI AKITUMIWA KUMROGA MTU NA KUWA NA KIFAFA

      Posted: 16 Dec 2016 09:42 PM PST

      KIKONGWE WA MIAKA 80 AUAWA KWA UCHAWI AKITUMIWA KUMROGA MTU NA KUWA NA KIFAFA MWANAMKE aitwaye Noelia Pintilila (80) Mkazi wa Kijiji cha Kanyezi Tarafa ya Mwazye, Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ameuawa kwa kupigwa kichwani na fimbo baada ya kutuhumiwa kuwa ni mchawi .Kamanda wa Polisi wa Mkoa

      THE MAGAZETI YA BONGO LEO SATUDAY/JUMAMOSI 17/12/2016 LIVE

      Posted: 16 Dec 2016 09:42 PM PST

      THE MAGAZETI YA BONGO LEO SATUDAY/JUMAMOSI 17/12/2016 LIVE

      MSANII BARAKA DA PRINCE AWACHANA WANAOPONDA USAJILI WA LORD EYES

      Posted: 16 Dec 2016 08:54 PM PST

      MSANII BARAKA DA PRINCE AWACHANA WANAOPONDA USAJILI WA LORD EYES Msanii Baraka The Prince ambaye hivi karibuni ametangaza kumsaini Lord Eyes kuwa chini ya lebo yake ya kurekodi ya BANA, amewajibu watu wanao ponda kitendo hicho wakisema ni jambo la aibu, na kuwaambia wana ufinyu wa mawazo.

      WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI WILAYA YA LONGIDO NA KUZUNGUMZA NA WATUMISHI

      Posted: 16 Dec 2016 08:53 PM PST

      WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI WILAYA YA LONGIDO NA KUZUNGUMZA NA WATUMISHI  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Londoluo  waliomsimamisha akiwa njiani kutoka Loliondo

      MWANDISHI wa Dar24 Akamatwa Kwa Habari ya ‘DC wa Ludewa Kukanusha Uzushi’

      Posted: 16 Dec 2016 08:43 PM PST

      MWANDISHI wa Dar24 Akamatwa Kwa Habari ya 'DC wa Ludewa Kukanusha Uzushi' Askari wa Makao Makuu ya Jeshi Polisi jijini Dar es Salaam jana walimkamata na kumshikilia mwandishi wa Dar24, Chis Kika kwa kuandika habari kuhusu Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Andrea Tsere KUKANUSHA taarifa zilizoandikwa mitandaoni kuwa alilazwa chooni

      NAPE Nnauye Awaomba Msamaha Wapinzani na Waandishi wa Habari

      Posted: 16 Dec 2016 08:42 PM PST

      NAPE Nnauye Awaomba Msamaha Wapinzani na Waandishi wa Habari Alikuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amewaomba radhi viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani nchini kwa lolote ambalo aliwakwaza wakati akitekeleza majukumu yake katika nafasi hiyo. Nape amewaangukia wapinzani

      MAWAKILI Sita Kumtetea Mmiliki wa JamiiForums...Tundu Lissu Akiwemo

      Posted: 16 Dec 2016 08:41 PM PST

      MAWAKILI Sita Kumtetea Mmiliki wa JamiiForums...Tundu Lissu Akiwemo Mawakili sita akiwamo mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Lissu wamejitokeza kumtetea mmiliki wa JamiiForums iwapo atapelekwa mahakamani. #Justice For Lema #Bring Back Ben Saanane #Free Maxence Melo

      BAADA ya Kusemekana Anaficha Ujauzito wa Ray, Picha ya CHUCHU Hans Akiwa Mjamzito Yanaswa....

      Posted: 16 Dec 2016 08:41 PM PST

      BAADA ya Kusemekana Anaficha Ujauzito wa Ray, Picha ya CHUCHU Hans Akiwa Mjamzito Yanaswa.... Baada ya Kusemekana kuwa Mwigizaji Chuchu Hans ni Mjamzito na kuwa anaficha watu wasijue  Wambea wa mjini tayari wamefuma picha yake akiwa ni Mama Kijacho... Chuchu Hans Alikaririwa Akisema Haya: "Unajua

      HATIMAYE Tunda Man Akiri Kuwa na Tofauti na Babutale...Adai Hali Hiyo Inamuumiza Sana

      Posted: 16 Dec 2016 08:40 PM PST

      HATIMAYE Tunda Man Akiri Kuwa na Tofauti na Babutale...Adai Hali Hiyo Inamuumiza Sana Tunda Man amefunguka sababu ilinayomfanya asielewane na bosi wake wa Tip Top Connection, Babutale. Akiongea na EATV, muimbaji huyo wa 'Mama Kijacho' amesema, "Najutia kuwa na misunderstanding na bosi wangu. Kiukweli mimi na bosi

      MWENYE Nyumba wa Msaidizi wa Mbowe Saanane Aliyepotea Aeleza ilivyokuwa

      Posted: 16 Dec 2016 08:39 PM PST

      MWENYE Nyumba wa Msaidizi wa Mbowe Saanane Aliyepotea Aeleza ilivyokuwa Mmiliki wa nyumba anayoishi kada wa Chadema, Ben Saanane aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha mwezi mmoja uliopita, Evance Mrosso amesema waligundua kuwa amepotea baada ya siku nne kupita bila kuonekana. Mrosso aliyekuwa akiishi na Saanane

      MMILIKI wa Jamii Forums Apandishwa Kizimbani Kisutu, Ashindwa Kutimiza Masharti ya Dhamana

      Posted: 16 Dec 2016 08:39 PM PST

      MMILIKI wa Jamii Forums Apandishwa Kizimbani Kisutu, Ashindwa Kutimiza Masharti ya Dhamana Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jamii Media Limited, inayomiliki mtandao wa kijamii wa Jamii Forum (JF), Maxence Melo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi tatu tofauti lakini akasomewa mashtaka

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 18, 2016, 11:10:30 PM12/18/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      HIVI NDIYO USO WA STAA L KIM ULIVYO HARIBIKA

      Posted: 18 Dec 2016 07:33 AM PST

      HIVI NDIYO USO WA STAA L KIM ULIVYO HARIBIKA

      MAGAZETI YA LEO JUMAPILI 18 DECEMBER 2016

      Posted: 18 Dec 2016 06:40 AM PST

      MAGAZETI YA LEO JUMAPILI 18 DECEMBER 2016 ULIMISS

      MAHAKAMA Yatupa Pingamizi la Serikali Katika Kesi ya Mbunge Godbless Lema.

      Posted: 18 Dec 2016 06:37 AM PST

      MAHAKAMA Yatupa Pingamizi la Serikali Katika Kesi ya Mbunge Godbless Lema. Uamuzi wa kuongezewa muda wa kuwasilisha notisi ya nia ya kukata rufaa dhidi ya dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, unatarajiwa kutolewa Desemba 20, mwaka huu na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha. Uamuzi huo utatolewa baada

      LEILAH RASHID kuachana na MZEE YUSUPH kwa Amani Ikitokea Hivyo, Tetesi za Kupata Mbwana Yemen

      Posted: 18 Dec 2016 06:32 AM PST

      LEILAH RASHID kuachana na MZEE YUSUPH kwa Amani Ikitokea Hivyo, Tetesi za Kupata Mbwana Yemen Leila Akihojiwa na Sakina lioka Amefunguka yote ikiwemo tetesi za kupata bwana Yemeni na Kuachana na Mzee Yusuph kwa amani Tazama Video Hapa Chini:

      VIDEO: Mwili wa Mwanamke Aliezikwa Akiwa Hai Wafukuliwa

      Posted: 18 Dec 2016 06:31 AM PST

      VIDEO: Mwili wa Mwanamke Aliezikwa Akiwa Hai Wafukuliwa Dunia inaelekea pabaya ..utu umepotea kabisa Embu Tazama VIDEO Mwili wa Mwanamke Aliezikwa Akiwa Hai Wafukuliwa:

      NTV Kenya - Wimbo wa 'Aje' Haukustahili Kushinda Video Bora ya Mwaka EATV Awards

      Posted: 18 Dec 2016 06:31 AM PST

      NTV Kenya - Wimbo wa 'Aje' Haukustahili Kushinda Video Bora ya Mwaka EATV Awards NTV ya Kenya kwenye kipindi chao cha uchambuzi wa sanaa na wasanii maarufu kama UDAKU wameongelea tuzo za Eatv na wamezisifia.  Wakasema pia sababu za Diamond kutokuwepo kwenye tuzo hizo( hakuchukua form) ila pamoja

      AJINYONGA Kwa Katani Kisa Ugumu wa Maisha

      Posted: 18 Dec 2016 06:30 AM PST

      AJINYONGA Kwa Katani Kisa Ugumu wa Maisha Watu wawili wamekufa katika matukio tofauti mkoani Rukwa, likiwamo la mmoja kujiua kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani kwa madai ya ugumu wa maisha. Katika tukio la kwanza lililotokea usiku wa kuamkia juzi, mkazi wa kijiji cha Chipu Manispaa ya Sumbawanga, Ignas Mambi

      Mshahara mpya wa Sanchez utata…£250,000..£300,000 au £500,000?

      Posted: 17 Dec 2016 10:38 PM PST

      Mshahara mpya wa Sanchez utata…£250,000..£300,000 au £500,000? Kwa sasa moja ya midahalo inayoendelea kwenye ulimwengu wa michezo ni kuhusu mshahara mpya wa Sanchez ambae labda anaweza ku sign mkataba mpya na Arsenal hivi karibuni kama wakikubaliana. Sasa kitu cha msingi ambacho kitaamua mkataba huo bila shaka ni

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 19, 2016, 11:26:42 PM12/19/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      DIAMOND Kumdondosha Hasimu wa Zari Kwenye Wasafi Beach Party

      Posted: 19 Dec 2016 06:16 AM PST

      DIAMOND Kumdondosha Hasimu wa Zari Kwenye Wasafi Beach Party Diamond Platnumz ni mfanyabiashara kwenye muziki asiyeogopa 'kutake risk' kwaajili ya kukamilisha azma yake, hata kama uamuzi atakaouchukua unaweza ukaleta mzozo ndani ya familia yake. Katika kunogesha tamasha lake kubwa la Wasafi Beach Party, hitmaker

      HANSCANA Aeleza Chanzo Cha Ajali Mbaya ya Gari Aliyopata Akiwa na Darassa

      Posted: 19 Dec 2016 06:15 AM PST

      HANSCANA Aeleza Chanzo Cha Ajali Mbaya ya Gari Aliyopata Akiwa na Darassa Muongozaji wa video za muziki nchini, Hanscana amefunguka na kueleza nini kilitokea hadi wakapata ajali mbaya ya gari akiwa na rapa Darassa pamoja na watu wengine wawili. Ajali hiyo ilitokea wakati wakiwa njiani wakitokea Kahama mkoani

      HAMADAI adai alitongozwa na Shilole, aeleza sababu ya kuachana naye

      Posted: 19 Dec 2016 06:13 AM PST

      HAMADAI adai alitongozwa na Shilole, aeleza sababu ya kuachana naye Mpenzi wa zamani wa Shilole, Hamadai amefunguka na kueleza jinsi alivyokutana na Shilole na kuanza mahusiano. Muimbaji huyo mchanga wa bongofleva alifahamika mara baada ya kuwa katika mahusioano na Shilole. Akiongea katika kipindi cha Enewz

      HATIMAYE: Mmiliki wa Jamii Forums Atoka Selo Baada ya Kupatiwa Dhamana leo

      Posted: 19 Dec 2016 06:12 AM PST

      HATIMAYE: Mmiliki wa Jamii Forums Atoka Selo Baada ya Kupatiwa Dhamana leo Maxence Melo amepatiwa dhamana muda huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukaa mahabusu kwa takribani siku 7. Anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuendesha tovuti ambayo haijasajiliwa nchini.

      BELLE 9 Ajibu Mapigo ya Darasa na Diamond Kwa Kishindo

      Posted: 18 Dec 2016 11:15 PM PST

      BELLE 9 Ajibu Mapigo ya Darasa na Diamond Kwa Kishindo Ama kwa hakika masikio yetu yalisikiliza nyimbo mbili ndani ya huu mwezi mpka nafikiri wengine walianza kuchoka. Kila kona ilikuwa ni Salome ya Diamond au Muziki ya Darasa. Sasa Belle 9 ni kama kaja kujibu mapigo ya hizi ngoma mbili. Sikiiza mdundo na mapigo

      VIDEO: Goli la Samatta lililoiokoa KRC Genk na kipigo dhidi ya Standard Liege Dec 18 2016

      Posted: 18 Dec 2016 10:20 PM PST

      VIDEO: Goli la Samatta lililoiokoa KRC Genk na kipigo dhidi ya Standard Liege Dec 18 2016 Jumapili ya December 18 2016 KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta iliwakaribisha Standard de Liege katika uwanja wao wa Luminus kucheza mchezo wao wa 18 wa Ligi Kuu Ubelgiji msimu wa 2016/2017. Genk wakiwa katika

      UJAMBAZI FNB Bank, Dada Mrembo Adakwa Kwa Ujambazi

      Posted: 18 Dec 2016 10:20 PM PST

      UJAMBAZI FNB Bank, Dada Mrembo Adakwa Kwa Ujambazi Wakuu hii kitu inazunguka sana kwenye "social media",kuwa huyu dada alikuwa mfanyakazi wa FNB,alifukuzwa na baadae kaamua kuingia kwenye mtandao wa majambazi uliotengeneza mchoro kwa kwenda kuiba kwenye bank hiyo. Mchoro wake uligonga mwamba,na

      MAGAZETI YA LEO JUMATATU DESEMBA 19, 2016

      Posted: 18 Dec 2016 09:37 PM PST

      MAGAZETI YA LEO JUMATATU DESEMBA 19, 2016

      MSHINDI wa Miss World 2016 Ndio Huyu… Afrika Yaingia Top5

      Posted: 18 Dec 2016 09:11 PM PST

      MSHINDI wa Miss World 2016 Ndio Huyu… Afrika Yaingia Top5 Najua watanzania na waafrika wote walikuwa wanahamu ya kufahamu mshindi wa Miss World 2016 atakuwa ni mrembo kutoka nchi gani, mashindano hayo ambayo yamefanyika Washington Marekani, Afrika ilipata nafasi ya nchi za Kenya na Ghana kuingia TOP 20.

      WAZIRI Mkuu Aunda Tume Ya Kuchunguza Taarifa Za Uhamisho Wa Faru John........Aagiza Kaburi Lake Litafutwe.

      Posted: 18 Dec 2016 09:10 PM PST

      WAZIRI Mkuu Aunda Tume Ya Kuchunguza Taarifa Za Uhamisho Wa Faru John........Aagiza Kaburi Lake Litafutwe. WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda tume kuchunguza taarifa inayoelezea utaratibu uliotumika kumhamisha faru John kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Sasakwa Black Rhino Sanctuary iliyoko kwenye Hifadhi ya

      HARUFU ya Maiti Saba Mto Ruvu Yafanyiwa Kazi

      Posted: 18 Dec 2016 09:05 PM PST

      HARUFU ya Maiti Saba Mto Ruvu Yafanyiwa Kazi Siku moja baada ya gazeti hili kuripoti taarifa za kuwapo harufu mbaya na majimaji yanayotoka ilipozikwa miili ya watu saba waliofungwa kwenye viroba, Bibi Afya wa Wilaya ya Bagamoyo, Joyce Nganzo ametembelea eneo hilo kuona hali halisi. Desemba 8, mwaka huu maiti saba

      MWIGIZAJI Nisha Bebee Anywa Mkojo wake ili Amsahau Mwanaume Aliyemuumiza Kimapenzi

      Posted: 18 Dec 2016 09:05 PM PST

      MWIGIZAJI Nisha Bebee Anywa Mkojo wake ili Amsahau Mwanaume Aliyemuumiza Kimapenzi Mambo ndo yamefikia Huku, Kule kuumizwa kwa Nisha Bebee na Mwanaume aliyembaka na kumpa ujauzito kumemlazimu Nisha Bebee Kunywa mkojo wake ili Amsahau Nimekuwekea Video Hapa Akiwa chooni na Kunywa:

      WAZIRI Mkuu: Kaburi la Faru John Litafukuliwa na Masalia yake Kupimwa DNA

      Posted: 18 Dec 2016 09:04 PM PST

      WAZIRI Mkuu: Kaburi la Faru John Litafukuliwa na Masalia yake Kupimwa DNA WAZIRI Mkuu: Kaburi la Faru John Litafukuliwa na Masalia yake Kupimwa DNA Mtazame hapa Chini Waziri Mkuu Akifunguka Hayo:

      WAKILI Albert Msando Akatwa Katwa Mapanga Dar

      Posted: 18 Dec 2016 08:48 PM PST

      WAKILI Albert Msando Akatwa Katwa Mapanga Dar Ndugu zangu, nawashukuruni wote mliojaribu kunitafuta na kunipa pole toka jana. Sikuwa napatikana kwa sababu walionivamia waliiba simu pamoja na vitu vingine. Kilichotokea: Usiku wa saa tano siku ya Alhamisi (juzi) nilisimamishwa na gari baada kupigiwa honi na kuwashiwa taa na

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 20, 2016, 11:19:18 PM12/20/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      TUNDU Lissu Ang’ang’aniwa Kisutu

      Posted: 20 Dec 2016 08:01 AM PST

      TUNDU Lissu Ang'ang'aniwa Kisutu LICHA ya utetezi wa kutaka kuondolewa kwa shitaka la kwanza na tano uliofanywa na wakili wake katika kesi ya uchochezi kwenye Gazeti la Mawio inayomuhusu Tundu Lissu, Jabir Idrissa, Simon Mkina na Ismail Mahaboob, mashtaka hayo wamesomewa leo, Awali mawakili wa utetezi walitaka shitaka la

      AJALI yaua Watu Wanne Wakiwemo Polisi Wawili

      Posted: 20 Dec 2016 07:50 AM PST

      AJALI yaua Watu Wanne Wakiwemo Polisi Wawili Watu wanne wakiwamo polisi wawili, wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupindua katika kijiji cha Seruka kata ya Chipogoro tarafa ya Rudi wilayani Mpwapwa mkoa wa Dodoma. Ajali hiyo ilitokea Desemba 19, mwaka huu, saa 11:30 jioni katika

      MWANAMUZIKI H-Baba Alikumbuka Penzi la Irene Uwoya

      Posted: 20 Dec 2016 07:45 AM PST

      MWANAMUZIKI H-Baba Alikumbuka Penzi la Irene Uwoya Unaweza kusema kuwa bado Mwanamuziki H baba anateseka kwa kumkosa aliyekuwa mpenzi, muigizaji Irene Uwoya, kutokana na kuendelea kumkumbuka mrembo huyo hadi katika siku yake ya kuzaliwa. H Baba ambaye kwa sasa ni mume wa mwigizaji Flora Mvungi amemtakia kheri katika

      JOH Makini Abariki Lord Eyez Kuondoka Weusi...Adai Kila Mtu Ananjia Yake Katika Maisha

      Posted: 20 Dec 2016 07:45 AM PST

      JOH Makini Abariki Lord Eyez Kuondoka Weusi...Adai Kila Mtu Ananjia Yake Katika Maisha Hatimaye Joh Makini amezungumza kuhusiana na taarifa za Lord Eyez kusainishwa kwenye label ambayo Barakah The Prince ameianzisha. Joh amesema pamoja na kuwa Lord Eyez ni mshkaji wake mkubwa, ana uhuru wa kuchukua uamuzi anaodhani una

      MAHAKAMA Kuu Yakubali Ombi la Godbless Lema Kuongezewa Muda wa Rufaa ya Dhamana Yake

      Posted: 20 Dec 2016 07:44 AM PST

      MAHAKAMA Kuu Yakubali Ombi la Godbless Lema Kuongezewa Muda wa Rufaa ya Dhamana Yake Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imelikubali ombi la  Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema,  la kuongezewa muda wa kuwasilisha Notisi ya nia ya kukata rufaa ya dhamana yake. Akitoa uamuzi wake kuanzia saa 12:26 hadi saa saba mchana,

      NAY wa Mitego Adai Mpenzi Wake wa Sasa Hataki Kuuzishwa Sura Kwenye Mitandao ya Kijamii

      Posted: 20 Dec 2016 07:44 AM PST

      NAY wa Mitego Adai Mpenzi Wake wa Sasa Hataki Kuuzishwa Sura Kwenye Mitandao ya Kijamii Mwanamke ambaye amemfanya rapa Nay wa Mitego aandike wimbo 'Sijiwezi' hataki habari za kuuzishwa sura katika mitandao ya kijamii kama wapenzi wengine wa rapa huyo waliopita. Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Nay amedai hawezi

      FAMILIA ya Ben Saanane Kukagua Mwili wa Mtu Uliochomwa Kwenye Kiroba Moshi

      Posted: 20 Dec 2016 07:32 AM PST

      FAMILIA ya Ben Saanane Kukagua Mwili wa Mtu Uliochomwa Kwenye Kiroba Moshi Wakati polisi wakisema kuwa wanaufanyia mchakato wa vipimo vya vinasaba (DNA), mwili wa mtu anayedaiwa kuuawa nje kidogo ya mji wa Moshi na kuwekwa kwenye kiroba na kuchomwa moto, familia ya Ben Saanane, msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman

      CALISAH Afunguka....Adai Wema Sepetu ni Msichana Mwelewa na Ana Mapenzi ya Kweli

      Posted: 19 Dec 2016 09:03 PM PST

      CALISAH Afunguka....Adai Wema Sepetu ni Msichana Mwelewa na Ana Mapenzi ya Kweli Mwanamitindo aliyejipatia jina mwaka huu kutokana na kuwa na uhusiano wa muda mfupi na Wema Sepetu, Calisah, amemwelezea muigizaji na Miss Tanzania huyo wa zamani kuwa ni msichana mzuri na mwenye mapenzi ya kweli. "Wema ni msichana

      CALISAH Afunguka....Adai Wema Sepetu ni Msichana Mwelewa na Ana Mapenzi ya Kweli

      Posted: 19 Dec 2016 08:50 PM PST

      CALISAH Afunguka....Adai Wema Sepetu ni Msichana Mwelewa na Ana Mapenzi ya Kweli Mwanamitindo aliyejipatia jina mwaka huu kutokana na kuwa na uhusiano wa muda mfupi na Wema Sepetu, Calisah, amemwelezea muigizaji na Miss Tanzania huyo wa zamani kuwa ni msichana mzuri na mwenye mapenzi ya kweli. "Wema ni msichana

      BELLE 9: Diamond Aliniwahi ila Mimi Ndio Nilikuwa wa Kwanza Kutumia Vionjo vya Saida Karoli....

      Posted: 19 Dec 2016 08:47 PM PST

      BELLE 9: Diamond Aliniwahi ila Mimi Ndio Nilikuwa wa Kwanza Kutumia Vionjo vya Saida Karoli.... Msanii Belle 9 amekuja juu baada ya kuambiwa ameiga kuweka vionjo vya salome kwenye nyimbo yake msanii huyo amesema wazo la ku sample wimbo huo alikuwa nalo kabla ya Diamond ajabu Diamond akatoa wimbo kabla yake

      AJALIi 3 Kubwa za Magari Alizopata SUGU Tangu 2013

      Posted: 19 Dec 2016 08:46 PM PST

      AJALIi 3 Kubwa za Magari Alizopata SUGU Tangu 2013 AJALI YA KWANZA December 17, 2016, imeripotiwa ajali ya gari kumuhusu Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la (SUGU), kwenye kivuko cha barabara (ZEBRA) na kumsababishia kifo mtoto '15' ambaye alifariki wakati akipelekwa hospitali.

      Sungura Amtikisa Mbatia .....Amtaka Ajiuzulu Nafasi ya Mwenyekiti NCCR-Mageuzi ili Kukinusuru Chama

      Posted: 19 Dec 2016 08:45 PM PST

      Sungura Amtikisa Mbatia .....Amtaka Ajiuzulu Nafasi ya Mwenyekiti NCCR-Mageuzi ili Kukinusuru Chama Aliyekuwa  Mkuu wa Idara ya Kampeni ya Chama cha NCCR-Mageuzi, Faustine Sungura, amenzisha fukuto kwa kumtaka Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia kujiuzulu nafasi yake kwa madai kuwa ameshindwa kukiongoza chama hicho tangu

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 21, 2016, 10:54:56 PM12/21/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      BWANA Harusi Aliyekimbia Siku ya Ndoa Arudi Nyumbani

      Posted: 21 Dec 2016 01:23 AM PST

      BWANA Harusi Aliyekimbia Siku ya Ndoa Arudi Nyumbani Mbeya. Bwana harusi, Samuel Mwakalobo aliyetoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Given Mgaya katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Isanga jijini hapa, amerudi nyumbani kwao juzi. Kaka wa bwana harusi huyo, Braison Mwandemele

      BIASHARA ya Meno ya Tembo yamtupa Jela Miaka 25, Faini Sh 3.7 Bilioni

      Posted: 21 Dec 2016 01:22 AM PST

      BIASHARA ya Meno ya Tembo yamtupa Jela Miaka 25, Faini Sh 3.7 Bilioni Mahakama  ya Hakimu Mkazi Tanga imemuhukumu kifungo cha miaka 25 ama  kulipa faini ya Sh 3.7 bilioni mfanyabiashara, Charles Kijangwa baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya meno ya tembo. Hakimu Mkazi, Cresian Kisongo ametoa

      ALIYEBADILI Dini Afariki Baada ya Kubatizwa

      Posted: 21 Dec 2016 01:22 AM PST

      ALIYEBADILI Dini Afariki Baada ya Kubatizwa Mkazi wa Mailisita wilayani Hai, Paulo (35) amekufa maji baada ya kuzama katika mto Kikafu, dakika chache baada ya kubadili dini na kubatizwa na maji ya mto huo kwa imani ya dini ya Kikristo. Paulo ambaye jina lake la awali lilikuwa Issa Juma kabla hajabadili dini, alifariki

      RAIS Magufuli Akataa Shule Kuitwa Jina Lake

      Posted: 21 Dec 2016 01:21 AM PST

      RAIS Magufuli Akataa Shule Kuitwa Jina Lake Rais John Magufuli amekataa shule ya msingi iliyojengwa hivi karibuni eneo la Bunju, Wilaya ya Kinondoni kuitwa kwa jina lake badala yake ameagiza iitwe kwa jina la Mkuu wa wilaya hiyo, Ally Hapi. Taarifa ya badiliko la jina haikutolewa na Idara ya Kurugenzi ya

      TAZAMA Video ya Fumanizi la Mchungaji wa Kanisa na Mke wa Mtu

      Posted: 20 Dec 2016 09:09 PM PST

      TAZAMA Video ya Fumanizi la Mchungaji wa Kanisa na Mke wa Mtu TAZAMA Video ya Fumanizi la Mchungaji wa Kanisa na Mke wa Mtu 

      KABURI la Faru John layeyuka

      Posted: 20 Dec 2016 08:56 PM PST

      KABURI la Faru John layeyuka Sakata na kifo cha Faru John (38), limechukua sura mpya baada ya wahifadhi wa eneo la Sasakwa Singita Grumet kueleza kuwa hakuna kaburi lake kwa kuwa hakuzikwa. Wamesema hayo siku moja baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutangaza kuunda timu mpya kuchunguza mazingira ya kifo cha

      VIDEO:Hali Mbaya Usafiri Ubungo Msimu wa Sikukuu Wadorora

      Posted: 20 Dec 2016 08:55 PM PST

      VIDEO:Hali Mbaya Usafiri Ubungo Msimu wa Sikukuu Wadorora VIDEO:Hali Mbaya Usafiri Ubungo Msimu wa Sikukuu Wadorora 

      BARAKA Da Prince Aumbuliwa Vibaya Studio na Msanii Aliyemuibia Nyimbo

      Posted: 20 Dec 2016 08:53 PM PST

      BARAKA Da Prince Aumbuliwa Vibaya Studio na Msanii Aliyemuibia Nyimbo Baraka da prince aliumbuliwa vibaya kwenye studio za East Africa Radio baada ya kualikwa yeye na msanii waliyekuwa studio moja huko Mwanza, msanii huyo alisema baraka alimuibia nyimbo ya 'Baby sio fine' lakini baraka akabisha, alipozidi kubanwa akawa ana

      MWIGULU -NI MARUFUKU TAASISI ZA KUHAMASISHA USHOGA /ZITAKAZOBAINIKA ATAFUTA USAJILI WAKE

      Posted: 20 Dec 2016 08:32 PM PST

      MWIGULU -NI MARUFUKU TAASISI ZA KUHAMASISHA USHOGA /ZITAKAZOBAINIKA ATAFUTA USAJILI WAKE Waziri wa mambo ya ndani ,Mwigulu Nchemba akizungumza na waandishi wa habari Mkoani Pwani, baada ya kutembelea kujionea shughuli utendaji  kazi wa jeshi  la  polisi mkoani humo, ikiwemo shehena ya viroba vya bangi

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 23, 2016, 11:13:28 PM12/23/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      HARMONIZE AFUNGUKA JUU YA KUCHELEWA COLLABO YAKE NA KOREDE BELLO

      Posted: 22 Dec 2016 08:59 PM PST

      HARMONIZE AFUNGUKA JUU YA KUCHELEWA COLLABO YAKE NA KOREDE BELLO Ni miezi zaidi ya 6 imepita sasa tangu mtu mzima Diamond Platnumz C.E.O wa lebo ya WCB Wasafi alivyotusanua kuhusu collabo ya msanii wake Harmonize na mkali kutoka Nigeria ambaye yuko chini ya lebo ya Mavin Records Korede Bello.

      NISHA Afunguka Sababu za Kudanganya Kuwa ni Mjamzito

      Posted: 22 Dec 2016 08:51 PM PST

      NISHA Afunguka Sababu za Kudanganya Kuwa ni Mjamzito Kila mmoja ilimsikitisha story ambayo mwanadadaNisha alikuwa akitupanga na kutuaminisha kuwa amebakwa na aliyekuwa mpenzi wake na kupelekea kupata ujauzito. Kitu ambacho kilizua utata mkubwa sana na maswali ya sintofahamu na kupelekea wasanii ambao wamewahi

      SERENGETI Boy Afunguka Jinsi Shilole Alivyomtongoza na Kumtumia Kisha Kumtosa

      Posted: 22 Dec 2016 08:51 PM PST

      SERENGETI Boy Afunguka Jinsi Shilole Alivyomtongoza na Kumtumia Kisha Kumtosa Shilole amekuwa na tabia ya kutoka na viserengeti Boy na kila anayekutana naye anampost mtandaoni wakiwa mapozi tata au wakifanya utata utata,  Mmoja wa serengeti boy anadai shilole alimkomaia kumtongoza sanaa akakosa uhuru kwa kuwa

      DARASSA Awekwa Benchi na Madaktari Kutokana na Maumivu ya Kichwa

      Posted: 22 Dec 2016 08:50 PM PST

      DARASSA Awekwa Benchi na Madaktari Kutokana na Maumivu ya Kichwa Rapa Darassa baada ya kunusurika kifo katika ajali mbaya ya gari akiwa na muongozaji wa video nchini Hanscana huko Kahama, Jamatano hii alienda katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwaajili ya kucheki afya yake. Darassa

      DIANA Edward 'Miss Kenya Ndio Aliyeniharibia Miss World, She is Fake'

      Posted: 22 Dec 2016 08:50 PM PST

      DIANA Edward 'Miss Kenya Ndio Aliyeniharibia Miss World, She is Fake' Miss Tanzania, Diana Edwards recently came back with all smiles after the Miss World competitions. On a follow up, we all knew she was very social and jovial with all beauty pageants. However she was quite disappointed to find out that Miss Kenya, who she

      WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Apokea Msaada Wa Maafa Ya Tetemeko La Ardhi Kagera

      Posted: 22 Dec 2016 08:49 PM PST

      WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Apokea Msaada Wa Maafa Ya Tetemeko La Ardhi Kagera WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea fedha taslimu sh. milioni 10 kutoka Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) zikiwa ni msaada kwa ajili ya watu waliopatwa na maafa kutokana na tetemeko la ardhi mkoani Kagera.

      MAWAKILI wa Godbless Lema Wahaha

      Posted: 22 Dec 2016 08:49 PM PST

      MAWAKILI wa Godbless Lema Wahaha GODBLESS Lema Mbunge wa Arusha Mjini yuko mbioni kutoka mahabusu. Ni baada ya kukaa mahabusu kwa siku 50 tangu alipotiwa mbaroni tarehe 6 Novemba mwaka huu katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, anaandika Wolfram Mwalongo. Hatimaye Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, imekubali maombi ya

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 24, 2016, 11:08:19 PM12/24/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      MWENDESHA BODABODA AKATWA SIKIO KWA KISU BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA DEREVA TEKSI

      Posted: 23 Dec 2016 08:32 PM PST

      MWENDESHA BODABODA AKATWA SIKIO KWA KISU BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA DEREVA TEKSI Dereva bodaboda wa Mji Mdogo wa Qatesh wilayani Hanang' Mkoa wa Manyara, amekatwa sikio kwa kisu kwa tuhuma za kufumaniwa akiwa na mke wa dereva wa teksi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi, Francis

      SERIKALI YAPIGA MARUFUKU KUAGIZA NA KUINGIZA NYAMA ZA KUKU KUTOKA NJE YA NCHI

      Posted: 23 Dec 2016 08:31 PM PST

      SERIKALI YAPIGA MARUFUKU KUAGIZA NA KUINGIZA NYAMA ZA KUKU KUTOKA NJE YA NCHI Serikali imepiga marufuku kuagiza na kuingiza nyama za kuku waliochinjwa kutoka nje ya nchi ili kulinda afya za walaji wa bidhaa hiyo ya nyama nchini. Katazo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi, Mhe. William

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 27, 2016, 11:11:45 PM12/27/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      Mikel Obi & his Russian babymama, Olga, all smiles in new photo

      Posted: 26 Dec 2016 08:26 PM PST

      Mikel Obi & his Russian babymama, Olga, all smiles in new photo The footballer pictured with his girl friend/the mother of his twin daughters...

      MZEE wa Upako Afukuza Waandishi

      Posted: 26 Dec 2016 08:19 PM PST

      MZEE wa Upako Afukuza Waandishi MMCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo jijini Dar es Salaam, Anthony Lusekelo maarufu 'Mzee wa Upako, aliwagomea waandishi wa habari kusikiliza hotuba yake ya ibada na kutuma wasaidizi wake wawaondoe waandishi hao. "Samahani tunaomba muondoke kwani Mchungaji amesema hataki kumuona

      UVUMI Juu Ya Noti Ya Shilingi 500

      Posted: 26 Dec 2016 08:18 PM PST

      UVUMI Juu Ya Noti Ya Shilingi 500 Benki kuu ya Tanzania inapenda kuwafahamisha wananchi wote kuwa,habari inayoenea katika mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba noti ya shilingi mia tano  haitatumika tena kuanzia Desemba 31,2016; sio taarifa ya kweli na ni uvumi unaopaswa kupuuzwa. Ukweli ni kwamba noti ya shilingi 500

      SAKATA la Mwandishi Halfani Lihundi , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aingilia Kati

      Posted: 26 Dec 2016 08:18 PM PST

      SAKATA la Mwandishi Halfani Lihundi , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aingilia Kati Sakata la mwandishi wa habari wa ITV Halfan Lihundi kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa saa 24 kwa amri ya mkuu wa wilaya ya Arumeru baada ya kuandika habari ambayo haikumfurahisha mkuu huyo, limechukua sura mpya baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo

      ZARI Afunguka :Hakuna Kitu Ninachokipenda Katika Maisha yangu Kama Kuzaa....

      Posted: 26 Dec 2016 08:17 PM PST

      ZARI Afunguka :Hakuna Kitu Ninachokipenda Katika Maisha yangu Kama Kuzaa.... Wakati mabinti wengine wakijikita katika matumizi ya mikorogo na kukimbilia wanaume wenye pesa hali ni tofauti kwa mwanamama zari hassan (the boss lady ) ambaye amekiri wazi kuwa kitu anachopenda zaidi katika maisha yake ni kuzaa. Zari

      VIDEO:Chid Benz Arudia Madawa ya Kulevya, Babu Tale Aapa Kutomsaidia Tena!

      Posted: 26 Dec 2016 08:16 PM PST

      VIDEO:Chid Benz Arudia Madawa ya Kulevya, Babu Tale Aapa Kutomsaidia Tena! Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa

      KOCHA wa Mbwana Samatta Afungashiwa Virago Genk....

      Posted: 26 Dec 2016 08:16 PM PST

      KOCHA wa Mbwana Samatta Afungashiwa Virago Genk.... Boxing day yako imekujaje leo? basi kwa kocha Peter Maes imekua mbaya kwasababu kibarua chake kimeota nyasi kwenye club ya KRC Genk leo. Habari kutoka kwenye tovuti maalum ya club ya KRC Genk imetoa taarifa kuhusu kumaliza ushirikiano na kocha huyu baada ya

      Udakuzi Mtandaoni | King of Gossipy

      unread,
      Dec 28, 2016, 11:21:03 PM12/28/16
      to udakuzi-...@googlegroups.com

      Udakuzi Mtandaoni


      DHAMANI ya Mbunge Godbless Lema Yakwaa Kisiki Tena..Arudishwa Rumande

      Posted: 28 Dec 2016 09:26 AM PST

      DHAMANI ya Mbunge Godbless Lema Yakwaa Kisiki Tena..Arudishwa Rumande Mbunge Godbless Lema amerejeshwa tena rumande leo baada ya rufaa yake ya kupinga kunyimwa dhamana kushindikana kusikilizwa kama ilivyokuwa imepangwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo. Rufaa hiyo ya Lema iliyokuwa umepangwa

      SHILOLE Ashambuliwa Baada ya Kusema ‘Najivunia Mwaka 2016 Nimepata Bwana Mpya’

      Posted: 28 Dec 2016 09:25 AM PST

      SHILOLE Ashambuliwa Baada ya Kusema 'Najivunia Mwaka 2016 Nimepata Bwana Mpya' Msanii wa muziki Shilole amejikuta akishambuliwa na mashabiki wake wa muziki katika mtandao ya Instagram baada ya kuandika kitu cha utani kwamba anachojivunia ndani ya mwaka 2016 ni kupata bwana mpya. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri

      BODI ya Mikopo Kufanya Msako Nchi Nzima Kwa Waajiri Sugu Wasiowasilisha Makato na Majina ya Wadaiwa

      Posted: 28 Dec 2016 09:25 AM PST

      BODI ya Mikopo Kufanya Msako Nchi Nzima Kwa Waajiri Sugu Wasiowasilisha Makato na Majina ya Wadaiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Abdul Razaq Badru ameunda kikosi maalumu (Task force) kwa ajili ya msako wa kuwanasa waajiri sugu wote nchini wasiowasilisha makato na majina ya wanufaikaji

      MPENZI Wangu Analilia Nimnunulie Gari Kukwepa Miluzi Barabarani

      Posted: 28 Dec 2016 09:25 AM PST

      MPENZI Wangu Analilia Nimnunulie Gari Kukwepa Miluzi Barabarani Asikuambie mtu presha ya mwanaume yoyote ipo pale anapojua kuna mbaya wake anataka kufaidi ile raha anayoipata yeye naumia kila niwapo faragha na mpenzi wangu nikiwaza vitu hadimu anavyonipa bila hiyana bila uchoyo na mchezo anavyouweza hadi nachanganyikiwa

      AZAM FC imewafuta kazi makocha wake kutokea Hispania

      Posted: 28 Dec 2016 09:24 AM PST

      AZAM FC imewafuta kazi makocha wake kutokea Hispania Azam FC imeamua kuwatimua makocha wake wa kigeni wakiongozwa na kocha mkuu Zeben Hernandez kutoka Hispania. Uamuzi wa Azam umekuja baada ya mfululizo wa matokeo mabovu kwenye ligi kuu Tanzania bara msimu huu tangu 'wahispaniola' walipokabidhiwa mikoba ya kuinoa

      AY Amtambulisha Mchumba Wake...Ndoa Hivi Karibuni

      Posted: 28 Dec 2016 09:24 AM PST

      AY Amtambulisha Mchumba Wake...Ndoa Hivi Karibuni Mwanamuziki Ay kwa Mara ya kwanza amemtambulisha rasmi Mpenzi wake.... Habari hii Leo imekuwa gumzo mitandaoni kwa wengi walikuwa wakijiuliza Ay mpenzi wake ni nani hasa baada ya Swahiba wake wa Karibu Mwana FA Kuoa....
      It is loading more messages.
      0 new messages