Wananchi Forums

35 views
Skip to first unread message

Amani Golugwa

unread,
Jun 14, 2011, 4:59:45 AM6/14/11
to friends-of-c...@googlegroups.com
Karibu katika Forum ya Wananchi,

CHADEMA mkoa wa Arusha inakukaribisha kujiunga katika Forum ya Wananchi:http://chademaarusha.websitetoolbox.com/

Utaweza kupata habari mbalimbali za Arusha, habari mpya kabla hazijatokea mahali pengine, kujadili mambo muhimu ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa mustakabali wa mkoa wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.

Forum Wananchi, itakuwa ni jukwaa huru lenye nia ya kuelemishana na kupashana habari zaidi pia kuwafanya viongozi wa chama na wawakilishi wa chama (wabunge na madiwani) kuwajibika (accountable) katika utendaji wao na kuwatumikia wananchi.

Wachangiaji wanatakiwa na wanatarajiwa kutumia nafasi hii kwa heshima na busara. Haitarajiwi kuwaona wanachama wa jukwaa wakivunjiana heshima kwa kutukanana au kutumia maneno yasiyo na staha. Haitarajiwi habari za humu jukwaani kuwa za uzushi wala uchonganishi baina ya wanajukwaa, viongozi wa chama au serikali.  

Karibuni Jukwaani.

Wananchi Forum.

louis _sk2005

unread,
Jun 16, 2011, 12:09:54 AM6/16/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
big kaka ni mafanikio ya kutukuka.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages