ArDF Jamani TUPO???

3 views
Skip to first unread message

Amani Golugwa

unread,
Jan 10, 2012, 3:24:20 AM1/10/12
to allbless godbless, Elifuraha Mtowe, jod...@yahoo.com, Derick Jr Magoma, hangi...@hotmail.com, Mr. Donald Hangi, codero51, banana, think-tank-team-arusha-mjini, jackie.mkindi
Waheshimiwa waasisi wa ArDF,

Heri ya Mwaka mpya wa 2012.

Leo nilikuwa naisoma hii miniti ya tarehe 26 November 2010 kuhusiana
na kikao ambacho kiliweka mambo ambayo ArDF itayafanya kwa kipindi cha
miaka 5.

Hebu tuyatazame kwa upya na kuona namna ambavyo tunaweza kufufua
spirit ile iliyokuwepo.

Mpaka sasa tumefanikiwa kutimiza mambo 3 makubwa yaliyokuwepo katika
mpango wa muda mfupi.

1. Tumeweza kuanzisha na kusajili TAASISI rasmi ya Arusha Development
Foundation (ArDF).

2. Tumeweza kuanzisha mpango maalumu wa kusomesha watoto wasiojiweza.
Mpaka sasa watoto wasiopungua 400 wanasomeshwa na mwaka huu wanaingia
kidato cha pili.

3. Tumefanikiwa kupata kiwanja hekari 4 maeneo ya Burka kwa ajili ya
kujenga hospitali ya wanawake na watoto (Ipo rasmi kabisa na uwanja
tumekabidhiwa)

Mwenyekiti Mhe Mtowe: Napendekeza kabla mhe mbunge hajaenda bungeni
katikati ya mwezi huu tukutane na tufufue juhudi hizi nzuri ambazo kwa
kipindi tuliziacha na mbunge kujikuta anakimbizana nazo mwenyewe.

All the best,

Amani Golugwa

TAARIFA YA KIKAO CHA TAREHE 26 NOVEMBA 2010.doc

Joshua Nassari

unread,
Jan 10, 2012, 4:36:42 AM1/10/12
to think-tank-tea...@googlegroups.com, allbless godbless, Elifuraha Mtowe, jod...@yahoo.com, Derick Jr Magoma, hangi...@hotmail.com, Mr. Donald Hangi, codero51, banana, jackie.mkindi
Amani,

Nakubaliana na wewe kabisa mkuu.


JN.


Josh Nassari
Scholarship Program Director
The Foundation For Tomorrow
P. O. Box 119, Duluti - Arusha.

+255 784 225 758

www.thefoundationfortomorrow.org

> <TAARIFA YA KIKAO CHA TAREHE 26 NOVEMBA 2010.doc>

Derick Jr Magoma

unread,
Jan 10, 2012, 6:17:22 AM1/10/12
to think-tank-tea...@googlegroups.com
WANA WA NCHI, 

HERI YA MWAKA MPYA, 
Awali ya wote napenda kotoa pongezi kwa ArDF kwa hapo tulipofika, despite we still have long walk to success but we cant deny we have good progress,  But let this not blind us to what virtue there is; Aiming to build Arusha like Berlin???? Is possible lets Go for it, 


Honorable Sam G, (GS) Nakuunga mkono!!

Prolific & Prosperous Arusha is Possible lets hold Hands!! 



With Warm Regards.


Derick Jr Magoma 
Ist das nicht über Reisen geht es um Abenteuer jenseits Limtis, Afrika unserem Land 

hangi donald kiloba

unread,
Jan 19, 2012, 12:21:50 AM1/19/12
to Mbunge Changamoto, Godbless Lema, emt...@vodacom.co.tz, Joyce Mukya, Dereck Magoma, in...@sunburntours.com, code...@yahoo.com, ban...@banana.co.tz, jackie...@gmail.com

Nassary,

Natumai hujambo, Tunaomba uthibitishe taarifa za kifo cha Mhe Sumari zilizoko jamii.

Asante.

louis _sk2005

unread,
Feb 2, 2012, 2:08:29 AM2/2/12
to think-tank-tea...@googlegroups.com
kaka nipo ni ubusy wa chuo,kitabu kinabana sana.tupo pamoja kaka amani.big up sana.

--- On Tue, 1/10/12, Amani Golugwa <gol...@eannaso.org> wrote:

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages