ArDF Ufuatiliaji wa Michango

22 views
Skip to first unread message

Amani Golugwa

unread,
Dec 28, 2010, 1:38:57 AM12/28/10
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Hangi na Think Tank Team,
Heri ya Krsimasi wapendwaThink Tank/ArDF,
 
Kwa kweli Hangi asante kwa kutusaidia kuisamaraizi kitaalamu zaidi. I acknowledge kazi kubwa na nzuri uliyoifanya.
 
Sasa wakubwa, kama tulivyokubaliana katika kikao chetu cha mwisho pale mount meru hotel kuwa tuchangamke sana kwa ajili ya kupata zile ahadi ili azimio la kuwezesha watoto kwenda shule liweze kufikiwa.
Hangi ameanisha fedha ambazo ziko due, nawaomba wahusika waliowakaribisha watu hao wafanye follow up ili fedha zipatikane.
 
Maazimio ya Kikao cha mwisho ilikuwa ni:
1. Ufuatiliaji wa ahadi ufanyike kwa nguvu na fedha akabidhiwe Hangi Kiloba na yeye ataziweka kwenyw akaunti ya mfuko huu maalumu iliyopo BOA Bank: Arusha Development Foundation A/C No. 2525100008.
 
2. Mama Catherine Kowero na Joshua Nassari waandae mpango wa kupata hao watoto na watoto wapatikane kwa vigezo na namna ilivyoaninshwa na kamati.
 
3. Mhe. Lema na Kimbele watafuatilia ofisi maalumu kwa ajili ya uratibu wa shughuli na katika kikao kijacho watatupa ripoti.
 
4. Mr Elifuraha Mtowe, Mama Kowero wataratibu mpango wa ArDF kutengenea 2 years strategic plan na katika kikao kijacho watatupatia the howkatika kutengeneza SP hiyo.
 
5.  Katika kikao hicho, wajumbe waliridhia wazo la Ms Helen Meshack kuhusu mbunge kutoa chakula na zawadi kwa vituo vya watoto yatima. Mr. Kimbele na Joshua Nasaari walilisimamia jambo hilo na mbunge alitoa chakula (Mchele, mbuzi, mafuta ya kupikia na vitu vingine) kwa vituo vitatu vya watoto yatima.
6. Kamati ya fedha iliamuliwa atakuwa ni Hangi Kiloba na Mhe. Joyce Mukya (MP) na kuwa fedha zote watakabidhiwa wao.
 
 
INAPENDEKEZWA TUKUTANE TAREHE 29 DESEMBA 2010, MOUNT MERU HOTEL ILI KUJIWEKA SAWA NA MPANGO WA DONATION BOX NA UWEZESHAJI WA WATOTO KWENDA SHULE.
 
Nawatakia mapumziko mema ya mwishoni mwa mwaka.
NB: Tafadahali tupitie kwa makini attachment aliyotuma Hangi na kila mmoja afuatilie watu wake ambao ahadi zao zipo due, ili ikiwezekana kesho tukiwa na kikao kila mtu aje nazo.
 
Mr Mtowe unaweza kuturemind kwa sms.
 
 
Amani.

 
---------- Forwarded message ----------
From: hangi donald kiloba <hangi...@hotmail.com>
Date: 2010/12/23
To: Mbunge Changamoto <think-tank-tea...@googlegroups.com>


 
Wajumbe na viongozi,
 
Nimeattach majina na fundrising kwa ajili ya follow up kwa priority ya muda na perfomance.
Tafadhali tusaidiane kufuatilia na kila mtu amtambue mtu wake kama ilivyoonekana pale na
tufuatilie kwa periods zilivyoonyeshwa usikimbilie January wakati dec bado.
 
December nimeigawa mara mbili
Before 30.12.2010 na after 30.12.2101 itaangukia Jan.
 
Nitatuma list pia kwa kila kampuni like Mt Meru hotels na nyingine msuggest ili kumpa mtu mmoja.
 
Naomba mawazo baada ya kusoma list hapo juu.
 
Vitabu vya risit viko kwenye process, nitarudi tena na taarifa yake.
 
Hangi Kiloba

 

Date: Wed, 22 Dec 2010 12:59:00 +0300
Subject: Re: HON. GODBLESS LEMA (MP) - NAP EAR CONFERENCE
From: jackie...@gmail.com
WAGENI WAALIKWA MT MERU WORKINGSL.xls

Rebecca Mngodo

unread,
Dec 31, 2010, 2:20:22 AM12/31/10
to think-tank-tea...@googlegroups.com
thanks for info, nitatoa kama nilivyoelekeza ktk fomu niliyojaza {end of january} asante rebecca mngodo {mb}

2010/12/28 Amani Golugwa <gol...@eannaso.org>

Adolf Olomi

unread,
Dec 31, 2010, 6:44:52 AM12/31/10
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Hongereni kwa jitihada za kuchangia vijana waende shule- They must go go school!
 
 
Pokea pledge yangi ya sh 500,000. nitatuma hundi next week. Niiandike kwa jina gani?
 


 
 
A R Olomi
 
Banana Investments Ltd
Plot No. 311 Block JJ Oloirien, Arusha Municipality
P.O. Box 10123 Arusha.
TeL:.....................+255 250 6475     +255 754 224440
Fax:.....................+255 250 1549.
e mail www. ar_o...@hotmail.com
Website..............www.banana.co.tz



 

Date: Fri, 31 Dec 2010 10:20:22 +0300
Subject: Re: ArDF Ufuatiliaji wa Michango
From: rebeca...@gmail.com
To: think-tank-tea...@googlegroups.com

hangi donald kiloba

unread,
Dec 31, 2010, 11:49:10 AM12/31/10
to Mbunge Changamoto

Dear Olomi,

Salaam nyingi kwa niaba ya wana ArDF

Tunashukuru malipo yote yaandikwe kwa au kuwekwa kwenye account husika hapo

Arusha Development Foundation
BOA Bank:
A/C No. 2525100008.

Asante,

Hangi Kiloba



From: ar_o...@hotmail.com
To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Subject: RE: ORODHESHA PLEDGE YANGU
Date: Fri, 31 Dec 2010 11:44:52 +0000

louis _sk2005

unread,
Jan 3, 2011, 5:29:41 AM1/3/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Arusha development foundation


From: Adolf Olomi <ar_o...@hotmail.com>
To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Sent: Fri, December 31, 2010 2:44:52 PM

Subject: RE: ORODHESHA PLEDGE YANGU

Cathy Kowero

unread,
Jan 17, 2011, 6:25:13 AM1/17/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Hello Amani. Hongera sana na wote pia! Mpaka hapa mambo ni kwenda juu tu! Najua tulikuwa kwenye pilkapilka hizi lakini shule bado zinafunguliwa kama kawaida na ni lazima tuwapleke watoto tuliokusudia. I am not sure of whats going on maana kwa katibu kata sioni fomu. I am mainly concerned kwa sababu ya baadhi ya watoto wale tuliofanya nao that far. God is with you!
Best regards,
Mama Kowero

From: Amani Golugwa <gol...@eannaso.org>
To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Sent: Tue, December 28, 2010 9:38:57 AM
Subject: ArDF Ufuatiliaji wa Michango

hangi donald kiloba

unread,
Jan 21, 2011, 2:35:43 AM1/21/11
to Mbunge Changamoto
Amani,

Napendekeza
Tuwe na mwongozo wa calendar ambao unatukutanisha kwa meeting once or twice a month kwa ajili ya changamoto.
Maana watoto wakishaenda shule then what ? waiting for next school fees or ?
Pia Directors watambulishwe kwa staff wa ArDF officialy,
mwisho nani kati ya direcotrs atakuwa na direct access to ArDF staff ili kama tuna jambo we
simply deal with one of the director na tusije tukawa tunatoa maamuzi au hoja mchanganyiko kwa staff.

Nawakilisha.

Hangi



Date: Mon, 17 Jan 2011 03:25:13 -0800
From: kower...@yahoo.com

Subject: Re: ArDF Ufuatiliaji wa Michango

Joshua

unread,
Jan 21, 2011, 2:46:04 AM1/21/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com

Team,

 

Naunga mkono.

 

Nassari.

 

 

 

 

Josh Nassari

Scholarship Program Director

The Foundation For Tomorrow

P. O. Box 119

Duluti-Arusha.

 

www.thefoundationfortomorrow.org

 

+255 784 225 758

 

Men anpil chay pa lou. (Haitian proverb)
Many hands make the load lighter.

 

 

 

 

 


No virus found in this incoming message.
Checked by AVG - www.avg.com
Version: 9.0.872 / Virus Database: 271.1.1/3388 - Release Date: 01/20/11 22:34:00

louis _sk2005

unread,
Jan 21, 2011, 1:25:44 PM1/21/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
big up hangi 4 ur suggestion.
kimbele Jr

From: Joshua <jo...@thefoundationfortomorrow.org>
To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Sent: Fri, January 21, 2011 10:46:04 AM

Cathy Kowero

unread,
Jan 22, 2011, 5:05:14 AM1/22/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Thanx for your suggestions. Naunga mkono pia.
We seriously need that.


From: louis _sk2005 <louis_...@yahoo.com>
To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Sent: Fri, January 21, 2011 9:25:44 PM
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages