CHANGAMOTO.

5 views
Skip to first unread message

Derick Jr Magoma.

unread,
May 5, 2011, 9:46:04 AM5/5/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Waheshimiwa Director wa ArDF,
Natumai mnaendelea Vema,
kuna mambo mawili ya msingi ambayo nataka kuyaleta kwenu,

1)Kuhusu shule, nimeongea na Baadhi ya madiwani wa Chadema, kuna taarifa kwamba wamekuwa wakisumbuliwa na Wazazi wa watoto ambao tunawalipia ada ya shule kwani wamekuwa wakirudishwa nyumbani kila mara, Je kuna shule ambazo hazijalipiwa?? kama zipo ni vema ArDF ifanya jitihada za kuonana na wa wakuu wa Shule,ili kuongea nao,

2) Mhe Mbunge Lema, aliahidi kupeleka watu Loliondo, sasa watu wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu Hili, ni vema tukawapelaka Baadhi ya watu,kuna propaganda chafu inaendea ambayo kwa upande mmoja wa shilingi inaweza ikawa na Madhara.

Wasaalamu.



Derick Jr Magoma
Africa Travel Expert,
MBWEHA TRAILS & MBTOURISTIK GbR
PO.BOX 2461 Arusha-TANZANIA
Grünauer Straße 5-71522 Backnang- Germany
+255 787 295740/+49 11991 902905

Joshua

unread,
May 5, 2011, 12:15:58 PM5/5/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com

Comrades,

 

Nililisikia sehemu Fulani jana yakizungumzwa yanayofanana na haya, wakisema Mhe. Mbunge amewaahidi watu lakini hajatimiza. Ni vyema CEO akaanzungumza na mbunge alafu tukajua imefikia wapi kwa sababu kuna watu walichangia pesa kusuppoort idea ya Loliondo sasa wananona kama pesa zao zimeliwa alafu kuna wale ambao walichangia kwenye Fundraising Mt. Meru wakisikia wataona kama pesa yao imeliwa pia.

 

Regards,

Nassari.

 

 

Josh Nassari

Scholarship Program Director

The Foundation For Tomorrow

P. O. Box 119

Duluti-Arusha.

 

www.thefoundationfortomorrow.org

 

+255 784 225 758

 

Men anpil chay pa lou. (Haitian proverb)
Many hands make the load lighter.

 

 

 

 

 


From: think-tank-tea...@googlegroups.com [mailto:think-tank-tea...@googlegroups.com] On Behalf Of Derick Jr Magoma.
Sent: Thursday, May 05, 2011 4:46 PM
To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Subject: CHANGAMOTO.

Rebecamngodo

unread,
May 6, 2011, 5:35:31 AM5/6/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
True. We should work on it as soon as possiblr. Thx. Mh. R. Mngodo

Sent from Samsung mobile

Joshua <jo...@thefoundationfortomorrow.org> wrote:

>Comrades,
>
>
>
>Nililisikia sehemu Fulani jana yakizungumzwa yanayofanana na haya, wakisema
>Mhe. Mbunge amewaahidi watu lakini hajatimiza. Ni vyema CEO akaanzungumza na
>mbunge alafu tukajua imefikia wapi kwa sababu kuna watu walichangia pesa
>kusuppoort idea ya Loliondo sasa wananona kama pesa zao zimeliwa alafu kuna
>wale ambao walichangia kwenye Fundraising Mt. Meru wakisikia wataona kama
>pesa yao imeliwa pia.
>
>
>
>Regards,
>
>Nassari.
>
>
>
>
>
>Josh Nassari
>
>Scholarship Program Director
>
>The Foundation For Tomorrow
>
>P. O. Box 119
>
>Duluti-Arusha.
>
>
>
>www.thefoundationfortomorrow.org
>
>
>
>+255 784 225 758
>
>
>
>Men anpil chay pa lou. (Haitian proverb)
>Many hands make the load lighter.
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
>
> _____
>

hangi donald kiloba

unread,
May 6, 2011, 2:39:14 AM5/6/11
to Mbunge Changamoto

 CEO,
 
Below are very serious issues, please refer to my comments about directors and MP to pay their dues to allow school fees to be paid.
 
Kindly MP has to take note on No 2 and fullfill promises and dont just promise.
 
Hangi Donald
 

To: think-tank-tea...@googlegroups.com
Subject: CHANGAMOTO.
From: dma...@aol.com
Date: Thu, 5 May 2011 09:46:04 -0400

louis _sk2005

unread,
May 6, 2011, 2:41:07 AM5/6/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
very true waheshimiwa tunatakiwa kupambana coz jimbo hili kila mtu  anafuatilia kwa karibu sana.kama tunaenenda kwa utaratibu huu utapigwa bao
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages