www.chademaarusha.com

1 view
Skip to first unread message

Amani Golugwa

unread,
May 18, 2011, 3:10:38 AM5/18/11
to in...@chademaarusha.com
Waheshimiwa viongozi na wapenzi wa CHADEMA,
Napenda kuwajulisha kuwa UONGOZI wa CHADEMA Mkoa wa ARUSHA umeanzisha rasmi tovuti ya CHAMA ya mkoa wa Arusha,  www.chademaarusha.com

Lengo la msingi ni kuwawezesha wana chadema, wapenzi na wakazi wa mkoa Arusha kuweza kupata habari mbalimbali za CHAMA chao wanachokipenda zikiwa fresh na kama zilivyokusudiwa kuwafikia. Tovuti hii itawaunganisha watumiaji wa mtandao ambao ni wakazi wa Arusha/wanachadema na wenzao walio duniani kote ili kwa pamoja (synergy) kushiriki katika SIASA za MKOA wao wa Arusha na Tanzania kwa ujumla na pia kuchangia MAENDELEO katika kuijenga Arusha na Tanzania wanayoitaka.

Mambo maalumu katika tovuti hii/Special features;

1. Tumeanzisha Online TV (chademaarusha.TV) ambayo itarusha video za matukio mbalimbali ya CHAMA/Ziara za viongozi/wabunge na madiwani wa chama, hotuba za viongozi na mambo mengine mengi.

2. Kutakuwa na "Exclusive interviews"/Mahojiano maalumu na watu maalumu ambayo kimsingi hayatapatikana pengine isipokuwa "Only on chademaarusha.TV".

3. Tovuti hii itakuwa ni "Mahali Rasmi" pa kuonyesha kwa jamii utendaji kazi wa wabunge wa Arusha na madiwani kwa kuonyesha na kuelezea shughuli wanazozifanya katika kutekeleza ahadi zao kwa wananchi.

4. Tovuti itakuwa na link ya moja kwa moja kwenye Facebook na Twitter (Mitandao ya kijamii). Kwa njia hii tutaweza kuifanya tovuti iwe interactive. Hii feature itaruhusu kumtumia kila member wa facebook na Twitter (Chadema Arusha) alert kila mara tunatuma habari mpya kwenye TV hasa exclusive interviews.

5. Ni nia ya chama kuifanya Tovuti iwe information centre kwenye mambo ya msingi: Kama Demokrasia, Maendeleo, siasa, utawala bora (good governance), haki, Jamii, Uchumi, Utalii wa katika Nothern circuit/Arusha, uwekezaji Arusha na mengine mengi.

Nitashukuru kwa maoni yenu ili kuboresha tovuti yetu.


I Thank you!

Amani SG
KATIBU WA MKOA wa Arusha - CHADEMA.



louis _sk2005

unread,
May 18, 2011, 4:12:45 AM5/18/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Kaka big up kubwa of what u did to da party,we need people like you who can do such big things.i salut you sir.KIMBELE

Elifuraha Mtowe

unread,
May 18, 2011, 10:06:49 AM5/18/11
to think-tank-tea...@googlegroups.com

Amani,

 

Hongera sana, hii inafurahisha.

 

Elifuraha Mtowe

Key Account Manager - Arusha, Manyara & Singida

Location: Regional office, Kilimanjaro Zone

Group: Sales, Vodacom Tanzania Limited

Office: ; Extension:

Mobile: +255754710077

 

C2: VODACOM RESTRICTED

[This Information is restricted for internal employees use only, or authorised partners / third-parties who have signed a non-disclosure agreement]

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages