You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Waheshimiwa, Ofisi ya Mbunge inawashukuru wote mlioweza kufika kwenye kikao cha tarehe 2 Desemba 2010 pale KIBO PALACE.
Ninashukuru kwa majadiliano yaliyokuwepo ambayo kimsingi yalionyesha udhati katika kufikia azma ya kuiona Ausha tunayoitaka.
Naomba niwatumie taarifa ya maazimio ya kikao cha jana na mambo yenye kuhitaji utekelezaji (Action Point):
1.1: Mhe. Godbless Lema (MB) na Mhe. Joyce Mukya (MB), walitoa ripoti ya ufuatiliaji wa kiwanja cha ujenzi wa Hospitali ya wanawake na Watoto. walionana na Mr Alex Rechs (Burka Coffee estate) na kimsingi katia mazungumzi ya awali amekubali kuwa atatoa kiwanja. Barua rasmi imeshawsilishwa na majibu rasmi yanasubiriwa. Kamati ilifurahishwa na hatua hiyo kubwa iliyofikiwa.
1.2: Mhe. Lema (MB), aliwashirikisha wajumbe wazo la kuanzisha mpango wa kuwasaidia wazazi wenye uhitaji ambao watoto wao wanatakiwa kwenda shuleni januari 2011. Charity walk - Kuwawezesha watoto kwenda shuleni.
Wajumbe walilichambua suala hili na baada ya kujiridhisha iliamuliwa kuwa: Mpango huu wa utafanyika tarehe 17 Desemba 2010, Ijumaa.
Mgawanyo wa majukumu ni kama ifuatavyo:
1. Kuandaa mfumo wa fedha na utawala
wajumbe: Elifuraha Mtowe Jackline Mkindi Mr Kimbele First draft iwe shared kwa wajumbe saturday 4 Desemba 2010 (email)
You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to think-tank-tea...@googlegroups.com
Hello Amani
SAmahani nimekuwa siwezi kufika kwenye vikao kutokana na majukumu.
Sasa kwenye hii Child Registration form lazima kuwe na sehemu ionyeshe vitu vfuatavyo
1 WAKATI WA USAILI LAZIMA MZAZI AJE NA CHETI ORIGINAL CHA KUZALIWA.
ILA KOPI AIMBATANISHE
2 IKIWA MTOTO HANA WAZAZI (YAANI WAMEKUFA) LAZIMA WAAMBATISHE DEATH COPY ZA DEATH CERTIFICATE (kwa sababu kunaweza kuwa na udanganyifu) AU KUWE NA UTHIBITISHO WOWOTE ULIO SAHIHI
3 LAZIMA KUWE NA KITHIBITISHO CHOCHOTE CHA WALEZI KUONYESHA WAO NI WATANZANIA..
4 LAZIMA KUWA NA TIMU YA KWENDA KUKAGUA/AU KUTHIBITISHA MAKAZI YA WAOMBAJI. ( ikiwa tutafanikiwa, watu wanaweza kujipenyeza kutoka mikoa ya karibu, hii inaweza kuharibu maana yote kwa walengwa wa hili zoezi kwa jimbo la Arusha Mjini).