Assalaamu 'Alaykum,
Tanbihi: Msifungue msgs zozote zinazokuja kwa kichwa cha habari kama hicho. Hizo ni viruses zimeenea sana masiku haya. Ukifungua tu, itachukua orodha ya anuani zako na kuwaenezea wote walioko kwenye orodha yako virus hiyo na kadhaalika kwa kila atakayefungua itakuwa hivyo hivyo.
Ndugu yetu hapo juu keshavamiwa na virusi hivyo na vinaeneza msgs hizo zenye madhara kwa wote walioko kwenye orodha yake ya barua pepe bila ya yeye kufahamu, hadi atokee wa kumtanabahisha.
Baaaraka Allaahu fiykum
Mission
"Guide people to Islam through the authentic sources of the Qur-aan and Sunnah in a contemporary way with the understanding of the righteous predecessors"