![]() | |||
| Alhidaaya Toleo La 28 Sha'abaan 1432 | |||
Nyakati Tatu Muhimu Za Kufanya Ibada – Zisikupite Katika Ramadhaan![]() Nyakati tatu hizi ni muhimu sana za kufanya ibada kutokana na fadhila zake kuu. Mwenye kupenda kuchuma thawabu nyingi asizikose khaswa katika mwezi huu Mtukufu Wa Ramadhaan ambao ni mwezi wenye malipo maradufu
1-Wakati wa mwanzo: Baina ya Alfajiri na jua kuchomoza:
Usimulizi uliothibiti kutoka katika Swahiyh Muslim (564/1) kwamba Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba walikuwa wakibakia macho wakati huo hadi jua kuchomoza kwani ni wakati mja anapogaiwa rizki yake, na ni wakati wenye kheri nyingi, unampa siha nzuri ya mwili binaadamu, na kwa ujumla ni wakati wenye baraka nyingi za kila aina kwani Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) aliomba:
اللهم بارك لأمتي في بكورها الترمذي, أحمد, أبي داود, ابن ماجه |
TangazoFaida Mbali Mbali Kuhusu Mwezi Mtukufu Wa Ramadhaan![]() Assalaamu 'Alaykum wa RahmatuLlaah wa Barakaatuh,
Tunapenda kuwajulisha kuwa tumewakusanyia mambo mengi mbalimbali ya kusoma na kusikiliza yanayohusu mwezi mtukufu wa Ramadhaan, tukitumai kwamba mtafaidika nayo; muweze kubakia katika hali ya Iymaan na Ucha Mungu daima. Pia mnufaike nayo na muweze kuchuma thawabu nyingi kwa kuyafanyia kazi yale yote mnayojifunza na mtoke katika mwezi huu mtukufu zikiwa Swawm zenu zimekubaliwa na madhambi kughufuriwa pamoja na sisi sote. Tunawomba msitutasahau kwa du'aa zenu. | ||
|
Ramadhaan Alhidaaya ImefikaKutoka mashariki, magharibi, kusini hadi kaskazini, Ramadhaan imeshaingia na Alhidaaya imekaribishwa kwa mikono miwili. Kwenu ni kujihimu kuzichuma fadhila za mwezi huu kupitia Alhidaaya kwa kuchukua mafunzo sahihi kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. | ||
| |||
|
| |||
|
Mchuzi Wa Nyama Ya Mbuzi Na Bamia-- Michuzi | |||
| Alhidaaya.com | |||
Allaah Akubariki Ukht Zeyana kwa ukumbusho huu mwema katika mwezi huu mwema wa baraka. Na Akuwekee haya katika Miyzaan ya Hasanaat yako siku ya Qiyaamah.
Tunamuomba Allaah Atutaqabalie Swawm zetu na Visimamo vyetu na 'Ibaadah zetu zote. Aamiyn
Jazaaki Allaahu khayra
![]() | |||
| Alhidaaya Toleo La 28 Sha'abaan 1432 |
![]() Nyakati tatu hizi ni muhimu sana za kufanya ibada kutokana na fadhila zake kuu. Mwenye kupenda kuchuma thawabu nyingi asizikose khaswa katika mwezi huu Mtukufu Wa Ramadhaan ambao ni mwezi wenye malipo maradufu
1-Wakati wa mwanzo: Baina ya Alfajiri na jua kuchomoza:
Usimulizi uliothibiti kutoka katika Swahiyh Muslim (564/1) kwamba Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba walikuwa wakibakia macho wakati huo hadi jua kuchomoza kwani ni wakati mja anapogaiwa rizki yake, na ni wakati wenye kheri nyingi, unampa siha nzuri ya mwili binaadamu, na kwa ujumla ni wakati wenye baraka nyingi za kila aina kwani Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) aliomba:
|
ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½, ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½, ï؟½ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½, ï؟½ï؟½ï؟½ ï؟½ï؟½ï؟½ï؟½ |
ï؟½ Tangazo ï؟½ Nasiha Ya Ijumaa ï؟½ Zingatio ï؟½ Makala ï؟½ Mawaidha Na Qur-aan ï؟½ Video ï؟½ Maswali ï؟½ Mapishi | ||
TangazoFaida Mbali Mbali Kuhusu Mwezi Mtukufu Wa Ramadhaan![]() Assalaamu 'Alaykum wa RahmatuLlaah wa Barakaatuh,
Tunapenda kuwajulisha kuwa tumewakusanyia mambo mengi mbalimbali ya kusoma na kusikiliza yanayohusu mwezi mtukufu wa Ramadhaan, tukitumai kwamba mtafaidika nayo; muweze kubakia katika hali ya Iymaan na Ucha Mungu daima. Pia mnufaike nayo na muweze kuchuma thawabu nyingi kwa kuyafanyia kazi yale yote mnayojifunza na mtoke katika mwezi huu mtukufu zikiwa Swawm zenu zimekubaliwa na madhambi kughufuriwa pamoja na sisi sote. Tunawomba msitutasahau kwa du'aa zenu. |
|