UFADHILI WAKOZI ZA UFUNDI

179 views
Skip to first unread message

Tanzania Mailing

unread,
Apr 9, 2026, 8:21:25 AMApr 9
to arusha...@googlegroups.com, tanzania...@googlegroups.com

 

Bibi maendeleo Project ni shirika  binafsi la maendeleo linalotoa fursa kwa vijana au anaetaka kujiendeleza likishirikiana na Chuo cha Visha Training Institute kilichopo Arusha chenye Usajili AIE/OS/0328 .

 

Kozi ni kwa muda mfupi -Ushonaji - ususi-Urembo- mapambo-Mapishi-. Mhudumu wa vyakula na vinywaji,-Mapokezi hotel za kitalii, mhudumu wa vyumba hotelini, Computer,- ukondactor wa magari, English graphic design - kinyozi na ujasiriamali

Sifa: awe anajua kusoma na kuandika 

          Awe na barua kutoka serikali za mtaa na awe ndani ya chuo ndani ya miezi mitatu ambayo atalipia chakula na kulala sh 600,000 Ada ni BURE. 

 

Wasiliana nasi upate ufundi wenye kazi kwa haraka. 

+ 0755 854407 , 0764688028 au 0785566353.

 

Mwisho ni tarehe 30/5/2026

Karibuni sana Usajili unaendelea.  Hosteli zipo ndani ya chuo. 

 

Tanzania Mailing

unread,
Apr 14, 2026, 2:39:25 AM (10 days ago) Apr 14
to arusha...@googlegroups.com, tanzania...@googlegroups.com

Tanzania Mailing

unread,
Apr 22, 2026, 6:38:05 AM (yesterday) Apr 22
to arusha...@googlegroups.com, tanzania...@googlegroups.com
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages