[ 1 ] NDURUMA tuko na mashamba ya kuuza kuanzia ekari moja hadi ekari 50 za pamoja bei kwa kila ekari moja ni milioni 15,000,000/= hayo mashamba yapo kilometa 15 kutoka lami ya bypass hadi mashamba yalipo na kuna mashamba ya kumwagilia na mengine yanategemea mvua tu au maji ya kuchimba bei hizi zina mazungumzo kidogo. Na huduma zote za muhimu zinapatikana kwenye maeneo yote .
[ 2 ] KISERIANI Tuko na viwanja vya ukubwa wa 23×20 hivi viwanya vipo mita 800 kutoka lami ya bypass hadi kwenye viwanja huduma zote muhimu zipo na bei kwa kila kiwanja ni milioni 20,000,000/=
Na hapo kiseriani tupo na maeneo makubwa kuanzia ekari moja hadi ekari 27 sehemu moja tuko na ekari za milioni 40,000,000/= kuna za milioni 80,000,000/=
[ 3 ] Tupo na mashamba makubwa maeneo ya KISONGO, TENGERU, USARIVER, MOMELA, MANYIRE NGARAMTONI NA KWINGINEKO.
[ 4 ] KIN'GORI Tuko na Shamba kubwa la ekari 170 ziko kilometa 1 tu kutoka lami ni eneo zuri sana huduma zote muhimu zinapatikana hapo na bei kwa kila ekari moja ni milioni 25,000,000/=
KWA YEYOTE ANAETAFUTA SHAMBA LA KUNUNUA ,KIWANJA POPOTE NDANI YA MKOA WA ARUSHA TAFADHALI USISITE
KUWASILIANA NAMI KWA BARUA PEPE
au kwa simu namba
0793200304 Vodacom
0673647427 Tigo
Namba hiyo ya Tigo pia iko WhatsApp
KARIBUNI KWA HUDUMA BORA NA YA UWAKIKA TUNAPATIKANA SIKU ZOTE ZA WIKI .