Wazo

9 views
Skip to first unread message

goodluck minja

unread,
Feb 12, 2014, 7:53:49 AM2/12/14
to tamba...@googlegroups.com
Hello! Guys,

Inatia moyo pale mtu anapo pata msiba jamii yetu hii ya Tambaza inavyo shiriki kwa kutuma message mbali mbali za kumfariji mfiwa.
Ningependa kutoa wazo moja isiwe tu nikiona e-mail ya wana tambaza  iwe ya kumpongeza mtu kapata mtoto au some body mgonjwa au kafiwa.
Nafikiri tungewaka kau taratibu kwa watu ambao hawakuweza kushiriki kwenye lets say msiba , basi tukachangishana pesa kidogo iwe kwa M-pesa au Tigo -pesa, western union  kupitia kwa kiongozi wetu Kaijage ikawa kama rambi rambi yetu ya wana Tambaza , tena ingekuwa vyema kama tukianza na msiba huu tukisha fanya collection, tuna tafuta mda wakujikusanya kwa watakao weza tunaenda mpa pole Mfiwa.
wadau mnasemaje hilo ni wazo langu??

Goodluck Minja
Director
KwickShop
Mob: +255 714 334 700 / 0752 202 59
E-mail: mi...@kwickshop.co.tz
Web: kwickshop.co.tz               

Emmanuel Akili

unread,
Feb 12, 2014, 9:13:38 AM2/12/14
to tamba...@googlegroups.com
I strongly support the idea comrade. Kwenye nyakati kama hizi huwa inatia moyo Sana unapogundua haupo peke yako na Kuna jeshi kubwa lipo na wewe kwa halo ma Mali... Inafariji.

Sent from my Windows Phone

From: goodluck minja
Sent: ‎2/‎12/‎2014 15:53
To: tamba...@googlegroups.com
Subject: [Tambaza1996] Wazo

--
Tambaza1996 Facebook Group: http://www.facebook.com/groups/tambaza1996/
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Tambaza High School (1994 to 1996)" group.
To post to this group, send email to tamba...@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/tambaza1996.

modigwa mohamed

unread,
Feb 17, 2014, 9:16:38 PM2/17/14
to tamba...@googlegroups.com

Wazo zuri mheshimiwa , ila nafikiri since tuna namba za simu basi ni vizuri kumpitishia mhusika directly through mitandao uliyoisema. I think its more efficient that way and very comforting kujua kwamba vijana tupo pamoja. Kwa walio karibu, kwenda is even better. Good stuff mkuu.

--

Shungu, Mahmoud

unread,
Feb 17, 2014, 11:52:34 PM2/17/14
to tamba...@googlegroups.com

Hiyo Imekaaa sawa kabisa kijana, maana haya matatizo ya kibinaadamu hakuna anaeweza kuyaepuka na huja wakati ambao hujawa na maandalizi, kwa hiyo mimi nalikubali kwa dhati kabisa, kila mtu kwa kiwango chake, amtumie mkusanyaji, nafikiri William Kaijage atatusaidia kwa hili, na mengineyo.

 

Ahsanteni…

 

 

+255 (0) 27 2644638

+255 (0) 787 354448

mahmoud...@jti.com

                                                                                                                                                 

Tanzania Cigarette Company Ltd

A member of the JTI Group of Companies

J6 H349 Euckenford Street

P.O.Box 683, Tanga

 

jti.com

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages