Gesona and others
Naomba email ya address ya Jack (na namba ya simu if possible) ili
tuweze kumu-add kwenye mailgroup na contact database yetu.
On 3/15/13,
ges...@gmail.com <
ges...@gmail.com> wrote:
> William,
> Anaweza kutokuwepo kwenye facebook lakini akawa anapata email hizi za
> googlegroups, nenda kwenye manage group, then direct add members and put her
> email address, she will be able to see and reply all the email dialogues
> like this one.
>
> Regards,
> Gesona Ngabo.
>
>
>
>
> Enviado através do BlackBerry® Smartphone da mcel. Quer um igual? Ligue
> grátis para 111. Sent from my BlackBerry® smartphone from mcel. You want one
> too? Call 111, Toll Free.
>
>>>> ------------------------------
>>>> *From: * Richard Valimba <
rval...@yahoo.com>
>>>> *Sender: *
tamba...@googlegroups.com
>>>> *Date: *Fri, 15 Mar 2013 03:00:55 -0700 (PDT)
>>>> *To: *
tamba...@googlegroups.com<
tamba...@googlegroups.com>
>>>> *ReplyTo: *
tamba...@googlegroups.com
>>>> *Subject: *[Tambaza1996]
>>>>
>>>> Haya zamu ya ladiz now kuonekana maana pics nyingi zina guys tu
>>>> hahaha!Hii ilikuwa ni siku tulipomaliza mtihani wa mwisho kabisa wa
>>>> A-Level
>>>> hivyo these happy people (ladiz)!!!!! like othaz walikuwa ni mwenye
>>>> furaha
>>>> baada yakutaabika kwa siku kadhaa zilizopita kama
>>>> wanavyoonekana wakijimwaga.
>>>> ********
>>>> *"Bring back those simple times of yesterday When a man was a man And a
>>>> friend was a friend" ; Bring back those simple times of yesterday When
>>>> you said what you meant And you meant what you said" i like this
>>>> statement from babyface song "SIMPLE DAYS"*