Nadhani tatizo ni General Studies. Kwa sababu grade avarage ni D na E.Tafauti na sisi tulivyosoma some hili, General Studies, lilikuwa linapewa S or Fail. Pia halikuwa linatumika kwenye calculation ya formula ya Division kabisa. Nimejaribu kutumia precedure za calculation za wakati wetu,yaani, kulichukulia somo la General Studies kama S. Pia kutotumia somo hili kwenye calculation ya division kama tulivyokuwa kunafanya
wakati wetu. Results zimekuwa nzuri sana.
Kwa hiyo nadhani maswali ya kujiuliza ni:-
1. Je wanafunzi
walilizarau hili somo (General studies)? Sababu ni kuwa mbona masomo ya combination wamefanya vizuri
2. Je wanafunzi walikuwa hawana walimu wa hili somo (General studies)?
Nadhani wote mnamkumbuka mwalimi wetu fulani wa chemistry na maksi zake za kukatisha tamaa. Kama wakati wetu wangetumia formula ya sasa nadhani hali ingekuwa siyo ya kuridhisha pia.
Haya ni maoni yangu.