
Poleni sana wote mliokumbwa na kadhia hii... leo nilipokea simu kama 3 tofauti lakini wote nilishtukia hiyo deal coz si mara ya kwanza kukutana na matapeli wa aina hii... mwishoni niliwatukana wote na kuwatishia waache shortcuts ktk maisha labda waka fii. ...r.we wapate fedha ya chap chap
Kweli kabisa Sharon, ile ilikuwa ina kila detail
Poleni sana wote mliokumbwa na kadhia hii... leo nilipokea simu kama 3 tofauti lakini wote nilishtukia hiyo deal coz si mara ya kwanza kukutana na matapeli wa aina hii... mwishoni niliwatukana wote na kuwatishia waache shortcuts ktk maisha labda waka fii. ...r.we wapate fedha ya chap chap
On 12 Nov 2014 16:12, Apilike Gordon <api...@hotmail.com> wrote:
This is very interesting....
For this con man to call couple of Ex-Tambaza ppl within a short period of time today....could it be just a coincidence? Amewezaje kupata namba zetu wote kwa wakati mmoja? Kuna yeyote nje ya group hili amepigiwa simu na huyu jamaa?
Just courious!
Date: Wed, 12 Nov 2014 05:04:42 -0800
From: tamba...@googlegroups.com
Subject: Re: [Tambaza1996] Kuweni Macho!
To: tamba...@googlegroups.com
CC: farida....@di.co.tz
Salaam,Na mimi huyu jamaa kanipigia leo asubuhi akajiita Eng. Howard Richard Ofisi ya Rais, na sasa yuko na project ya waziri mkuu issue za kuchimba visima,Nilimwacha akaongea alipotaka kuniunganisha na huyo meneja manunuzi wao nikamwambia siko interested akata simu na namba aliyotumia ni hiyo ya zantel +255 772725012.Kwa kweli kuna umuhimu wa kuwa makini na huyu jamaa
Nothing happens unless first a dream,Necessity knows no law.
AGNES NGODOKIDAR-ES-SALAAMTANZANIAMobile: +255-784-407-704
<div style="font-family:'helveticaneue','helvetica neue','helvetica','arial','
Aisee, thanks for the heads up. Sijapata call bado, so will be careful.
This is very interesting....

Tambaza1996 Facebook Group: http://www.facebook.com/groups/tambaza1996/
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Tambaza High School (1994 to 1996)" group.
To post to this group, send email to tamba...@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/tambaza1996.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Tambaza High School (1994 to 1996)" group.
To post to this group, send email to tamba...@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/tambaza1996.
Hey Guys,
Tunatakiwa kuwa makini sana na hawa jamaa, lakini kuna link ambayo wanatufahamu kwa kina, kwa sababu hata mimi siku ambayo nipo njiani kuelekea dar nipo na wife nilipigiwa simu ya aina hiyo na akaniita jina langu kwa usahihi kabisa, akasema alikuwa idara ya maji tanga na akataja jina lake ni james na anajua fika mimi naishi tanga, nikamuuliza hiyo biashara yako inahusiana nini na mimi? Akakata simu wife akasema huyo hapigi tena simu. Ni watu wanaotufahamu ambao hujua watapata chochote kitu kutoka kwetu, hawapigi kwa kila mtu, wanalenga…. Ila ushauri wangu ni kuwapotezea kwani wana mitandao ya uhalifu, husijaribu kutaka kuwakamatisha kwa hawa wana usalama wetu, kwani baadhi yao ni wenzao…
Mahmoud Shungu
Branch Supervisor
Tanga Branch
C&TM Operations
Tanzania Cigarette Company Ltd
A member of the JTI Group of Companies
J6 H349 Euckenford Street
P.O.Box 683, Tanga
From: tamba...@googlegroups.com [mailto:tamba...@googlegroups.com]
On Behalf Of goodluck minja
Sent: Wednesday, December 10, 2014 1:32 AM
To: tamba...@googlegroups.com
Subject: RE: [Tambaza1996] Kuweni Macho!
Duuh! Guys pole na hayo majanga poleni saana yaani this e-mail sifungu mara kwa mara hata habari hizi sina.