TUNAOA/OLEWA ILI KUTULIZA/KUSHINDA KABISA TAMAA YA MWILI AU KWA KUA MUDA MUAFAKA KUFANYA IVYO?

110 views
Skip to first unread message

Seleli Edwin

unread,
Apr 3, 2014, 3:38:40 PM4/3/14
to strictlygospel
Amani ya Bwana iwe nanyi eny nyote,

Nini uzoefu wako  uliyeoa au kuolewa? Unaweza sema kitu gani hapa kwa dhati ili ufundishe vijana?

JE TUNAOA/OLEWA ILI KUTULIZA/KUSHINDA KABISA TAMAA YA MWILI AU KWA KUA kiakili, kiumri, kijamii, kifamilia, kimpango wa maisha binafsi, ni wakati umefika kufanya ivyo?

Imeandikwa...1Wakorinto. 7:1-9.... Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. 9 Lakini ikiwa HAWAWEZI KUJIZUIA, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa

NOTICE pia mstari wa 9-ktk Kiingereza..NIV...''But if they CANNOT CONTROL themselves, they should marry, for it is better to marry than to burn with passion.

Si ni kweli hapo Paul anashauri, kama mambo yanakushinda, muda mwingi ni kuwaka-waka tu fire, full dreams, hamu, hisia ziko sharp hazilalagi,temperature UP non stop, basi maliza kazi tu sasa yaani oa/olewa?

Si ni ukweli pia indirectly/logically amesema pia kua kama unaweza kuji control, basi dunda tu na kazi ya Bwana na maisha?

Ni wakati gani kuwaka tamaa kutahusianishwa na swala la kuoa ili usiwake na kupi ni kuwaka tamaa kwa kua tu ni mwili unakutumikisha au pepo basi kabisa wala si maisha mapya ya rohoni?

Au ni ilimradi tu ukiwaka waka ma fire basi ndio malizia tu bora ujitwalie binti sayuni officially na kuoa?

Halafu inaonekana Wanaume sisi ndio nambari one kuwakawaka nini maana Paul anasema na sisi kwakua amesema heri KUOA si kuolewa? so men wanawakawaka sana/haraka than women siyo?

Je ni kweli kua Waliooa/olewa waga hawawakagi katu kamwe tamaa maana kua ktk ndoa imemaliza kila ghasia?

Press on,
Edwin Seleli

Daniel Nzali

unread,
Apr 7, 2014, 2:58:46 AM4/7/14
to strictl...@googlegroups.com

Hapo mie mwenyewe huwa najiuliza Maswali kadha wa kadha.. Wagalatia 5: 16 inasema '' Enendeni kwa Roho wala hamtazitimiza tamaa za Mwili'' Inakuwaje tena Kuoa ndio iwe msaada wa kuzituliza tamaa za Mwili?? Au ndio option ya pili ikishindikana ya kwanza?

Daniel J.
 

--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com


Seleli Edwin

unread,
Apr 8, 2014, 11:02:41 PM4/8/14
to strictlygospel
Daniel,

Ha ha ha kwa kweli sijui jibu kwa hili...'''Au ndio option ya pili ikishindikana ya kwanza? eti ikishindikana!!! ha ha nimecheka ako statement aisee, dah! ha ha ha eti ikishidikana! kumbe kunakushindikana? umenichekesha kweli Dani rafiki yangu,  ngoja waje wenye uzoefu mkubwa na halisi waseme na kufundisha kitu.

Press on,

Edwin Seleli

Emmanuel Mdundwa

unread,
Apr 14, 2014, 7:52:03 AM4/14/14
to strictl...@googlegroups.com
wapendwa tamaa ya mwili haishindwa na kuoa wala kuolewa bali ukienenda katika roho na kweli na kumtukuza bwana lakini pia ikumbukwe kua shetani hua hawatafuti walio wake kwani tayari wameshakua wake bali huhangaika kuwatafuta wasio wake yaan mtu ambaye hutenda yale yampendezayo shetani na kumchukiza Mungu huyo huyo hua shetani hahangaiki nae tena bali wale wanaomtukuza Mungu na kuacha yale maovu hua shetani ndio anahangaika nao kujua atawaletaje katika kundi lake sisi kupewa fursa ya kuoa au kuolewa tumepewa ikiwa kama silaha moja wapo ya kuishinda zinaa lakini pia ndoa inamakusudio meng tofaut na hilo, hvyo shetani hupanga kila mikakati ya kuwatoa wanandoa huko na kuwaleta katika hal ya tamaa za kimwili ili waweze kuingia katika hali ya kuzini ili wawe wake wapate kumchukiza Mungu,
Ushauri wangu ni kuhakikisha watu wanaikata hiyo hali ya tamaa ya kimwili na kujali famili na mwenza wake hayo yote ni rahisi kama utamtukuza Mungu katika Roho na kweli

Seleli Edwin

unread,
Apr 27, 2014, 12:00:43 PM4/27/14
to strictlygospel
Emmanuel.

Bless u man for your inputs,

Karibu tena na tena,

Press on,

Edwin Seleli


2014-04-14 14:52 GMT+03:00 'Emmanuel Mdundwa <emmanue...@yahoo.com>' via Strictly Gospel <strictl...@googlegroups.com>:

ellys...@yahoo.com

unread,
Apr 28, 2014, 5:09:27 AM4/28/14
to strictl...@googlegroups.com

Cathy Marco

unread,
Jun 13, 2014, 5:54:35 AM6/13/14
to strictl...@googlegroups.com
1Wakorinto. 7:1-9.... Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake  lakin richa ya wtu kuoa au kuolewa hawakomi  kuacha  uzinzi hii zambi nazani iko na nguvu kali sana  maombi ya nguvu yanahitajika.
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages