Brother Mabinza,
Kwa kweli Sifa na Utukufu toka moyoni anakoniona Bwana hata sasa,
namrudishia kwa yote mema uliyosema, appreciation yako ina nguvu sana
na inatia moyo….kusema unapenda kunifuatilia kila nitokeapo humu SG,
imeniingizia moyo kufanya zaidi nikijua kumbe, sipotezi muda, bali
nahudumu kweli na wako mnaopenda na kusoma. Muulize Mwandishi au
anayeshea mambo yoyote kwa halaiki, anapopata feed- back, kama yuko
free and open guy kama mie, atakuambia bila kupoteza muda kua ina raha
sana na inatia moyo mno, so excellent bro kwa roho yako njema ya
appreciation na congratulation kwa participation yako ktk kuumega mana
hii.
Umetamka statements kadhaa, zina mafuta mazito, ni furaha
kuzirudia/kuzi-summary hapa kama msisitizo mzuri.
• Matatizo ya aina yoyote ile hutupata wakati Mungu akiwa na taarifa
zote za kuanza na kumalizika kwa tatizo pamoja na matokeo ya tatizo
husika
• Matatizo hayawezi yakaja na nguvu za kishetani na kuzizidi nguvu za
Mungu kiasi kwamba yakaweza kutushinda na hata kuhama katika IMANI ya
Kristo mwenyewe (NENO)!
• Ili kulimudu tatizo lazima uwepo ufahamu na maarifa ya kutosha juu
ya Neno la Mungu
• Lakini kabla mtu hajaanza kushughurika na shida ama tatizo
linalomwandama ni lazima kwanza AMUULIZE MUNGU ili amfahamishe maana
ya shida hiyo. Kutojua hivyo, kutamfanya mwenyeshida akazane kuomba na
kuomba ili shida imuache bila mafanikio, kumbe shida ile imeruhusiwa
na Mungu ili ikuweke vizuri maan yeye huwarudi awapendao..
• Ni vema kufahamu kuwa, usipokuwa sawa sawa na Neno, Mungu hatendi,
ndipo shetani hufurahi, maana analijua Neno!
Such above are great understandings Mabinza, bless u and glory to God,
keep flowing Man.
Pia Ubarikiwe kwa kwa kunivunja/unganisha mbavu zangu kwa hii…..
‘’Kama Tatizo lipo tu kwa hira za shetani, basi, ni rahisi kama
kumsukuma bata kwenye mto, ni kusema tu, tena mara moja pasipo
kurudiarudia na bila hata mishipa ya shingo kukutoka’’’…. Ha ha ha ha
ha, sometimes to be sincere with you Mabinza, kwa kweli mishipa
unitoka mie nikichachama! Lo! kumbe hamna haja! Ingawa sioni jinsi ya
kuing’oa pepo diplomatically/smartly nikishafyumu inavyometsa mtu hapo
chini jamani, da! Anyway, ndio tunafundishana ivyo new fashions
Labda kidogo tu Mtumishi Mabinza, unifafanulie hili…. ‘’Tatizo haliji
wala halitegemei muda wa kudumu kwake eti kwakuwa huna Imani ama una
Imani haba, lipo, litakuwepo na litatoka kwa wakati wa Mungu na kwa
sababu zake maalumu’’’
MASWALI:
(a)Mbona Neno linasema, Mkiwa na Imani kama chembe ya haradali,
mtauambia mlima(tatizo) ng’oka na utatii Au Mbona imeandikwa, Mkiwa na
Imani…HAKUTAKUWEPO LA KUSHINDIKANA kwenu/kwake aaminiye?
(b) Kama KUA NA IMANI haitatusaidia kitu bali mpaka Mungu mwenyewe
sababu zake maalumu ziishe/zikamilike kwa ilo lililotupata, kuna haja
gani ya kua na imani/kukazana kumwamini wakati kumbe Yeye
ana-timetable yake na mambo zake anti-clockwise na imani zetu hata
kama tunazo safi kabisa za kufyatua kila Mkuyu na Mlima mbele zetu?
Press on
>>
strictlygospe...@googlegroups.com
>>
strictlygospe...@googlegroups.com
>
strictlygospe...@googlegroups.com
>
strictlygospe...@googlegroups.com
>