KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME

227 views
Skip to first unread message

Seleli Edwin

unread,
Jun 11, 2014, 7:17:29 PM6/11/14
to strictlygospel

Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi siku zote


Kupata mimba kwa njia za kisayansi: je, ni dhambi?


Hana mchumba wala dalili za kuolewa bila shaka ktk mtizamo wa kibinadamu. Ameamua kuzaa kisayansi kwa kupandikizwa mbegu za toka benki ya mbegu za Kiume kama ilivyo tu benki ya Damu Mahospitalini. Je huyu mdada ambaye amefikisha umri wa miaka 35 na kuendelea atakuwa ametenda dhambi kwa kuzaa kwa njia hii ya kisayansi?

 

Dah! haya mambo ya kutopata Waume bwana tunayaongea na kujadili msiyachukulie simple kama tunapiga mastory, tuko ktk huduma kabisa na tumeona, kushughulika na mengi na hata kusoma mengi. Notice: Hii si story, huyo mdada anayeenda kupata mimba soon anafahamika na rafiki yangu Kanisani ambaye tuliyetafakari mada hii mahali fulani iliporushwa.

 

Kama Kiongozi wa Vijana, Wanafunzi, Mchungaji  na Mwalimu au hata Msoma Neno tu na Ufahamu wako huru, unasema nini juu ya hili?

 

Press on.

 

Edwin Seleli

Cathy Marco

unread,
Jun 13, 2014, 5:54:30 AM6/13/14
to strictl...@googlegroups.com
Miaka 35 bado arejee kwa sara, Mungu kamcheleweshea hayo yote mana anamakusudi naye hivo ataka kupma imani yake iko wapi,je anamwamin Mungu au wana sayansi   MUNGU AMSAIDIE KWANI YEYE PEKEE AJUA HITAJI LA MOYO WAKE, PIA AJIANGALIE VIZURI KWA KUTAFAKARI KSHA AOMBE TOBA YA KWEL MBELE ZA MUNGU NAYE ATAFUTA MACHOZI YAKE. PENGINE KUNAKITU KIMEJFICHA NDAN YAKE. NI HAYO TU BARIKIWA


--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com

zira...@yahoo.fr

unread,
Jun 13, 2014, 11:07:49 AM6/13/14
to strictlygospel
Two cases:
 
1)Hii mimba inaweza ikasababisha kifo  cha huyu mdada. Atasemaje mbele za Mungu? Alipachikwa hiyo mimba na nani? Pia hiyo ni shauri la nani? La Mungu au la Ibilisi?
 
2) Yawezekana azae bila tatizo lolote. Je huyu mtoto siyo mara dufu mwana haramu?
 
Wewe dada, subiri tu, omba Mungu alie hai, atakupa mume tena mzuriiiii kwa namna usiyowazia.
 
AMEN
 
 
 
-------Message original-------
 
Date : 06/13/14 11:54:32
Sujet : Re: KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME
b_floral.jpg
floral.jpg
butterfly_top.gif
butterfly_bottom.gif

Seleli Edwin

unread,
Jun 13, 2014, 11:08:11 AM6/13/14
to strictlygospel
Cathy,

Long time missed u here, habari?

Nimekusoma ur muono ktk jambo hili la mdada mwenzio, dah! so akomae kama Sarah? aisee yataka moyo na imani aisee, acha tu, ktk realities ngumu na chungu sana but ktk maisha tuliyoamua kuyaishi kwa kumpa Mungu heshima kwanza, yes she has to u know otherwise itabidi aa opt kati ya Mungu na kukata tamaa kwake kisha kutafuta njia nyingine.

Ila wengine ktk mada hii kwingine, wamesema siyo dhambi maana inaonyesha ana hofu ya Mungu ivyo ameamua kwamba, kuliko kupata bwana wa kumpa ujauzito-kuzini, bora asitende dhambi iyo so ni kwenda hospitali kupandikizwa mbegu za kiume, asije kumbwa na matatizo yale yanayowakumbumba wadada wenye umri mkubwa ktk kuzaa, wewe unaonaje iyo view kua hakuna dhambi hapo wala nini?

Press on,

Seleli

Cathy Marco

unread,
Jun 15, 2014, 9:38:53 PM6/15/14
to strictl...@googlegroups.com
Nipo ndugu yangu na banwa na shule ndo mana napotea but 2popamoja ktk krsto.

On 6/13/14, 'zira...@yahoo.fr' via Strictly Gospel
> com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>
>
>
> Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>
>
>
> Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
>
> strictlygospe...@googlegroups.com
>
>
>
>
>
>
>
> --
>
> Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili
> wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia,
> kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la
> Mungu.
> Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424.
> Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook
> com/pages/Strictly-Gospel/363180289370

Cathy Marco

unread,
Jun 15, 2014, 9:38:53 PM6/15/14
to strictl...@googlegroups.com
Yan nadhan nayo n moja ya dhambi ukfata heshma ya Mungu, lakn ktk hal
ya kbnadam n ngum mana kunakukata tamaa inauma.
>>> *Kupata mimba kwa njia za kisayansi: je, ni dhambi?*

Seleli Edwin

unread,
Jun 15, 2014, 9:38:53 PM6/15/14
to strictlygospel
Ziragora,

Ubarikiwe kwa mchango ila nina maswali kwako

Umesema..''Hii mimba inaweza ikasababisha kifo  cha huyu mdada'', SWALI: Why unadhania/sema ivyo? umefunuliwa au wasiwasi wako tu? kwani hawezi zaa na akaishi?

Umeuliza..''Atasemaje mbele za Mungu? SWALI: Una maana gani?

Umeuliza..''Alipachikwa hiyo mimba na nani? SWALI: Na nani? kwani umesoma post contents na title au hukusoma? unaulizaje amepachikwa na nani tena?

Umesema...''Pia hiyo ni shauri la nani? La Mungu au la Ibilisi? JIBU: Ni yake obvious, right? au u had another point to say? bring it open man
 
Umesema..''Yawezekana azae bila tatizo lolote'' SWALI: Kitu gani kinakufanya ufikiri ujauzito kwa njia hii, lazima au utakua na matatizo tu? lakini mbona hata uzaaji wa wengine pia una matatizo hata kama wemepata mimba toka kwa Waume tena halali kijamii hadi kikanisa, then what is the difference kama wote wanapata matatizo?

Umeuliza, ''Je huyu mtoto siyo mara dufu mwana haramu? SWALI: Why such innocent Kiumbe awe haramu?

Kindly njoo tena kwa majibu ya maswali yale ili mchango wako uwe cemented well

Press on,

Edwin Seleli
 

Stephen Mabinza

unread,
Jun 18, 2014, 9:06:57 PM6/18/14
to strictl...@googlegroups.com

Umhimu wa Mtu kuwa na Watoto ama kutokuwa nao,anapaswa awe nao Mungu, na kujua wakati gani utapata mtoto nikujisumbua!

Mtu wa Kidunia hana nafasi katika NENO la Mungu. Ukiamua kutumia akili zako, zitumie tu, na ukiamua kuwa upande wa Mungu mwenyezi tegemea ahadi zake maana ni zakweli!

Ibrahim alipomsikiliza mkewe na kujipatia Mtoto kwa akili ya mkewe, alipomtaka Mungu ampe Solution juu ya kumfukuza mkewe mdogo na mwanaye Ishmael watoke nyumbani kwa Sara kama alivyotaka Sara, Mungu alimjibu Ibrahim kwamba, MSIKILIZE MKEO SARA! Unaona? Ukiamua kuisikiliza Dunia na Sayansi zake isikilize, na ukiamua kumsikiliza Mungu msikilize!

Lakini pia tunajifunza mifano na matukio ya kweli mbalimbali, yatokanayo na madhara ya kutofuata Neno la Mungu katika kuliishi, mfano mmojawapo hai, Eva alipomsikiliza shetani, tunaona aina ya mtoto aliyempata! Biblia inasema mwana anapaswa kutenda kama baba yake, hivyo hufanana na Babaye kwa matendo. Sasa unapopandikiziwa mbegu bila kujiuliza kwanini uzae na Pepo, unategemea nini?

Mpango wa kukusanya mbegu ili "KUZIZINISHA" ni mpango wa kimapepo, maana kahaba ni shetani! Ukipandikizwa mbegu, kisha mimba ile ikaharibika, na ukarudi tena kupandikizwa, pale Benki watakuwa bado wana mbegu zilezile? Na kama siyo, utakuwa umezinishiwa wanaume wangapi? Mapepo bwana, kazi ipo!

"Ufahamu ni chembe ya Uhai!"
MABINZA LS.


Gladys JB

unread,
Jun 18, 2014, 9:06:57 PM6/18/14
to strictl...@googlegroups.com



Wapendwa shalom shalom.

Amani ya Kristo iwe nanyi nyote.

Kwa nini upandikiziwe mbegu? kwani kuolewa pekee ndio kigezo cha kuingia mbinguni au kuonekana kuwa wewe u mwanamke kamili?

Ni maswali magumu kidogo, lkn mazuri.

Natoa angalizo tu kuwa kutokuamini ni dhambi sawa na uchawi ama uongo na uzinzi.
Jehova Mungu tunayemwomba kwa jina la Yesu ni Mungu ambaye hawahi wala hakawii. Kufikia hatua ya kutaka kupandikiziwa mbegu ili uzae ni kutokumwamini Mungu kwa kiac kikubwa mno.

Kumbuka; Hesabu zake sio zetu, km asemavyo akili zake hazichunguziki na mawazo yake si kama yetu.

We ukisema 35yrs umezeeka si kweli ni hofu zako. Mwenye imani thabiti hayumbishwi na hali ya nje.  Je, umri huo ulioishi ni sawa na dk ngapi ktk kanuni ya Mungu ya miaka 1000=1day?

Mwamini Mungu km alivyo. Wenzako tuna miaka zaidi ya hiyo yako lakini tumaini la ndoa liko palepale. Kwa kuwa aliyesema ni mwaninifuuuuuuuuuuuuu sana wala ndan yake hakuna hata chembe ya UONGO.

MHM: Chunguza NJIA zako, ulipoharibu tengeneza, uko sawa ktk njjia endelea kuchochea moto wa madhabahu hakika kama BWANA aishivyo, Atafanya.

Mwache akutendee mpk wote watakaockia mackio yao yawashe.

Gladys

Gladys JB

unread,
Jun 18, 2014, 9:06:57 PM6/18/14
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa shalom shalom.

Amani ya Kristo iwe nanyi nyote.

Natoa angalizo tu kuwa kutokuamini ni dhambi sawa na uchawi ama uongo na uzinzi.
Jehova Mungu tunayemwomba kwa jina la Yesu ni Mungu ambaye hawahi wala hakawii.

Hesabu zake sio zetu, km asemavyo akili zake hazichunguziki na mawazo yetu si kama yetu.

We ukisema 35yrs umezeeka je umri huo ni sawa na dk ngapi ktk kanuni ya Mungu ya miaka 1000=1day?

Mwamini Mungu km alivyo. Wenzako tuna miaka zaidi ya hiyo yako lakini tumaini la ndoa liko palepale. Kwa kuwa aliyesema ni mwaninifuuuuuuuuuuuuu sana wala ndan yake hakuna hata chembe ya UONGO.

Mwache akutendee mpk wote watakaockia mackio yao yawashe.

Gladys


On Friday, June 13, 2014 4:25 PM, "'zira...@yahoo.fr' via Strictly Gospel" <strictl...@googlegroups.com> wrote:

alphonse...@gmail.com

unread,
Jun 18, 2014, 9:06:57 PM6/18/14
to strictlygospel
Kaka Seleli,
 
Wewe kijana unapendeza sana. Ndio maana nakupendaga. Maana ukitaka leta mzaha unaichonga kitaalam kabisaaaaaaa. Ok, ngoja nami nipime kukuiga kidogo, yaani nikujibu. Utanikubalia kama ukiiga hutafaulu kama specialist., si ndio?
 
-Kifo ni kawaida, hakikwepeki kama kimefika, pia kinaipitia njia yoyote iwemo ujauzito. Sasa hii haiombe kufunuliwa kwani tunawaona wakifa na ujauzito. Hence, this case is possible. Ndio maana, kaka Seleli usiruke mpaka kuufikia ufunuo kwa jambo ambalo ni la kawaida.
-Kinachoulizwa ni dhambi au la... sasa ni swali kwako: "akifa palepale ban...atasemaje mbele za Mungu?", Seleli, jibu, usikwepe.
-Ndio kaka,  nimesoma vizuri tena na utaratibu yote. Sasa wewe jibu: "Je Mungu aliwaagiza watu waongezeke kwa njia ya kisayansa?". Pia "Seleli akiwa yule mdada na anajitetea mbele za Mungu eti sayansa ndio ilimupachika mimba atakubaliwa?"
-Hakuna njia zaidi ya mbili: kuwa wa Mungu au kuwa wa Ibilisi. Wewe unafahamu njia nyingine?
-Hii ni lugha ya kijamii: kuzaa bila tatizo ni kuzaa kawaida yaani mama anapata mtoto akiwa na afya nzuri before and after. Mungu akupe myaka ingine kadhaa hapa chini ya jua utafahamu hii lugha ya kijamii.
-Mwana haramu si unamfahamu ndugu Seleli? Mtoto anaezaliwa wakati babae hajulikane. Sasa kwa huyu, baba yake hajulukane na hatajulikana milele. Kwani baba yake anaitwa benki ambayo si mtu. Hiyo benki iwe inabandikwa number au la, baba ni benki, nayo si mtu.
-Hahahahahahah.... umeshiba ndugu yangu.
-Ulisahau kuniswali juu ya "Wewe dada, subiri tu, omba Mungu alie hai, atakupa mume mzuriiiii kwa namna usiyowazia."
 
Ubarikiwe saaaaaaana.
 
 
Alphonse Ziragora
 
 
 
-------Message original-------
 
Date : 16/06/2014 03:38:55
Sujet : Re: Réf. : Re: KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME
b_floral.jpg
140109_glitter_pink_rose.gif
b_floral1.jpg
floral2.jpg
butterfly_top4.gif
butterfly_bottom3.gif
floral.jpg
butterfly_top.gif
butterfly_bottom.gif

Seleli Edwin

unread,
Jun 25, 2014, 8:30:14 PM6/25/14
to strictlygospel
Ziragora,

What? ati mie kijana napendeza sana, Ndio maana wanipendaga''... wow! ha ha ha real? napendeza eeee? wanipendaga siyo? asante mnoooo and nyie SG mwapendeza sana and mimi wapenda sana nyie wote kabisaaaa ndio maana natia bidii siku zote kuchapa kazi hapa, ije jua au mvua, Jan-Dec, napiga kazi tu kwa kwenda mbele, mwanzo mwisho, nikijua siku ile  tukiwa JUU as per this Rev.20:12 itanilipa tu, amen? read it here  '''Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na VITABU  vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa,(DATABASE izoooo) ambacho ni cha uzima; na hao wafu WAKAHUKUMIWA KTK MAMBO YALIYOANDIKWA KTK VILE VITABU- DATA BASE- SAWA NA MATENDO YAO'''....yup? peace and love brother in Jesus name.

 Sasa twende kazini/hudumani now.....

Hapa sikajakuelewa kwa hii....''''Maana ukitaka leta mzaha unaichonga kitaalam''' ..upi mzaha hapa? LABDA KWA TAARIFA YAKO, KULINGANA NA RAFIKI YANGU ANAYEMJUA HUYU DADA KTK POST NIMELETA, NAVYOONGEA NAWE, HATIMAYE AMESHAJIFUNGUA/ZAA MTOTO -upo hapo best? hehehee we acha tu kuna mambo mazito ktk swala la BAADHI ya akina Dada wanapongoja sana na wasipate Wa-Kaka Sayuni,

Pia mwingine namfahamu, napoongea nawe ana ujaziuzito wa RC Bikira Maria Man-Mdada wa nguvu, wa zaidi ya miaka 20 Kanisani na ktt Imani na Utumishi-naongelea kifaaa haswa cha Bwana, hatimaye akaenda kuolewa- nacho kimechepuka toka NJIA kuu, habari ndio iyo man, kama ulidhani mastory ya town, wakati mie napiga kazi hapa kutafuta hekima/Neno/Shuhuda/ ufahamu/akili Watu waibue na kufunguka kwa kuleta mada laini na chokozi, basi nimekupa live now full CNN BREAKING NEWS iyoooo.

Kuhusu swali la Kifo-umejibu safi mnooooo, nimependa kabisa balance ile ndio maana nilikuuliza swali ili kukufanya uweke balance iyo, yup?


Umeniuliza..."akifa palepale ban...atasemaje mbele za Mungu?" na kunisisitizia ivi....Seleli, jibu, usikwepe.JIBU: Seleli kamwe hakwepagi swali, kama anajua atajibu kwa nguvu na hoja maridadi kabisa na hata kama aidha hajui na alikua hajui, atakiri na akishajua pia ata appreciate tu kiroho safi kabisa wala aachagi hata jiwe juu ya jiwe ktk mijadala na masomo, glory to God na wala si mvivu ktk kuchapa kazi, unajua hilo hata wewe, so relax man, therefore JIBU NI..... hajafa na ameshazaa tena salama kabisa

Umenitaka ivi....'''Sasa wewe jibu: "Je Mungu aliwaagiza watu waongezeke kwa njia ya kisayansa?"JIBU: Hata unampompeleka Mke hospitali kusaidiwa kujifungua salama mikononi mwa Maktari na Manesi hata kupasuliwa/chanwa ili mtoto atolewe ni Kisayansi pia, why dhambi kupandikiza mbegu-kisayansi pepo lakini kuchana Mke na mikasi-iwe kisayansi malaika? imeandikwa wapi zaeni sipitali? wapi? kukwepa kuzaa na kuongezeka Kisayansi-pepo, waacheni Wake zenu wazae home kama zamaniiii wakati wa ujima na hata leo vijiji vingi vya Waafrica ingawa pia huko kuna local sayansi nako-so kama kuna za kipepo or malaika, kazi unayo babuu  kufanya utafiti-tehe tehee!

''Pia "Seleli akiwa yule mdada na anajitetea mbele za Mungu eti sayansa ndio ilimupachika mimba atakubaliwa?"..JIBU! Kweli bado Sijui kwa hakika Mungu ktk moyo wake atamuhukumuje mdada aliyejitunza miaka yote na hatimaye akafanya kama Ibrahimu-kuchukua njia nyingine lakini kwa huyo dada hoja yake sijui ni zaidi ya Ibrahimu maana alisema hataki KUMKOSA MUNGU KAMWE KWA KUZINIWA  NA MWANAUME LIVE ILI KUSHIKA wewe unasemaje? tehe!

'''Hakuna njia zaidi ya mbili: kuwa wa Mungu au kuwa wa Ibilisi. Wewe unafahamu njia nyingine?''''.... JIBU: Nafahamu ziko njia 3 ya Mungu, Shetani na Wanadamu-Kwenda Hospitaki haiko ktk NENO-Lakini twaenda, why? alternative ya kibinadamu kuponywa magonjwa na kuondolewa matatizo mengine, yup?


-''''Hii ni lugha ya kijamii: kuzaa bila tatizo ni kuzaa kawaida yaani mama anapata mtoto akiwa na afya nzuri before and after. Mungu akupe myaka ingine kadhaa hapa chini ya jua utafahamu hii lugha ya kijamii''..JIBU ni swali-umeongea nini hapo sasa? nimetoka off the point man, come again clearer.

.
'''-Mwana haramu si unamfahamu ndugu Seleli? Mtoto anaezaliwa wakati babae hajulikane''....JIBU: Aisee ndio ivyo kumbe? nafaurahi kufahami ilo

Hapa nimecheka mpaka nimekunywa maji na kukohoa ha ha ha ha ha ha ha dah!.... '''Kwani baba yake anaitwa benki ambayo si mtu. Hiyo benki iwe inabandikwa number au la, baba ni benki, nayo si mtu'''.... tehe tehe what?''baba benki''... tehe tehe tehee yaani jamani nimecheka saaaanaaaaaa,mmmmmnoooo kabisa, ati ''Faza Benki'', tehe tehe dah jamani hapana kwakweli nimecheka sana, asante Ziragora kwa kunipa raha man


Hii kwamba...-Ulisahau kuniswali juu ya "Wewe dada, subiri tu, omba Mungu alie hai, atakupa mume mzuriiiii kwa namna usiyowazia.".....niliacha kukuswali kwa kua nilielewa tu very clear hapo

Press on,

Edwin Seleli



2014-06-19 4:58 GMT+03:00 Seleli Edwin <selel...@gmail.com>:
Stephen Mabinza,

Yaani na wewe nimekosa sana-mmh! bora nimekumiss sana Kaka hapa SG live, good to see u meeen.

Sasa kuna vitu umeshusha hapa, ni mawe ya thamani mnoooo aisee, glory to God, see below.....

''''Umhimu wa Mtu kuwa na Watoto ama kutokuwa nao,anapaswa awe nao Mungu, na kujua wakati gani utapata mtoto nikujisumbua!''''......EXCELLENT POINT indeed brother.

'''Ibrahim alipomsikiliza mkewe na kujipatia Mtoto kwa akili ya mkewe, alipomtaka Mungu ampe Solution juu ya kumfukuza mkewe mdogo na mwanaye Ishmael watoke nyumbani kwa Sara kama alivyotaka Sara, Mungu alimjibu Ibrahim kwamba, MSIKILIZE MKEO SARA!'''.....wow! very very excellent observation/Ufunuo indeed man, dah!

''''Eva alipomsikiliza shetani, tunaona aina ya mtoto aliyempata! ...dah! a big question my friend aiseeee!

Ila kali mwenzangu, fafanua  '''''Mpango wa kukusanya mbegu ili "KUZIZINISHA" ni mpango wa kimapepo'''.....Nini maana ya kuzini? huwezi zini na vyombo vya hospitali bwanaaa au? tehe tehe apo Kaka lete nondo za uhakika, sijakupata kabisa.

''''Ukipandikizwa mbegu, kisha mimba ile ikaharibika, na ukarudi tena kupandikizwa, pale Benki watakuwa bado wana mbegu zilezile?''........kwani issue nini hapo? unapopandikizwa-ongezewa damu zikaisha, si unarudi tu bank ya damu, shida nini kurudi bank ya mbegu za kiume? kwani lazima ukute damu ile ile? aaaa bwanaaaa, hapo leta kitu cha uhakika Man.

''''''utakuwa umezinishiwa wanaume wangapi? Mapepo bwana, kazi ipo!''... Tena sema maana ya kuzini na mapepo hapo yako wapi wakati hii ni fani Watu wanasomea darasani vema tu kama vile kusomea kutibu pua, macho, moyo, magonjwa ya Wanawake nk?

Hakika tu-press on tukijua...''"Ufahamu ni chembe ya Uhai!" tehe tehe Mabinza bwanaa ako kakibwagizo kako ako sijui ulikatoa wapi? ka aina yakeee eeee? tehe, safiiiiii

Edwin Seleli


2014-06-19 4:42 GMT+03:00 Seleli Edwin <selel...@gmail.com>:

Gladys,

Wow! siku nyingi rafiki yangu, '''nimekukosa''....( mmmh! hata hainogi iyo nadhani hii ndio yenyewe..''Nimeku-miss'' sana hapa Kanisani aisee, ulitwaliwa kwa muda kwenda JUU ili urudipo uje kutujuza mambo mazito?  ha ha ha ha ha Gladys, bless u)

Back to business now... yaani I am telling you, hizi parts zako zifuatazo, zina nguvu mmmmmnooooo

''''kuwa kutokuamini ni dhambi sawa na uchawi ama uongo na uzinzi'''.... yaani UMEONYESHA KUMBE HASWAAAA TATIZO NI KUTOAMINI siyo? great Ufunuo/reasoning indeed hadi nimekumbuka Somo moja niliwahi rusha hapa...''KUTOMWAMINI MUNGU NI DHAMBI MOJA MBAYA SANA KULIKO TUNAVYOWEZA FIKIRIA,yup? unakumbuka? safi sana Gladys.

''''We ukisema 35yrs umezeeka je umri huo ni sawa na dk ngapi ktk kanuni ya Mungu ya miaka 1000=1day?, Wenzako tuna miaka ZAIDI ya hiyo yako lakini tumaini la ndoa liko palepale.'''....dah! we mdada mwebrania kiboko, yaani unakuaga muwazi kweli, maana mabinti sayuni wengi marafiki zangu Makanisani uko, kutaja au hata kuashilia ana miaka mingapi, weeeee ni hatari sana, NEVER WILL THEY DO THAT-tehe and ofcoz it is understandable u know, sasa wewe ni namba nyingine kabisa ya Bwana, umetandika tu haraka, una ujasiri na imani kuu sana, ubarikiwe mnoooo kwa kujitumia wewe kama teaching aid ku-cement hoja yako, hapo nimekukubali Mwalimu na Mwinjilist fire-fire wewe, Amen

Press on coming live hapa SG, tule na tulishane MANA ya JUU

Edwin Seleli


Emmanuel Nshimirimana

unread,
Jun 25, 2014, 8:30:14 PM6/25/14
to strictl...@googlegroups.com
Bwana Yesu asifiwe!!
Asante sana ndugu kwa mada hii!! kwa kweli ni jambo la kutafakari sana, nimechukuwa mda sana na kuchunguza maandiko na ninaomba Roho wa Mungu azidi kutupo ufunuwo.
So, nimesoma misitari hasa Zaburi 127:3 "Tazama wana ni urithi toka kwa Jehovah uzao wa tumbo ni thawabu." thawabu siyo kitu ca kujitafutia ni neema .
Kwa maoni yangu hii ni dhambi,

 Inawezekana mtu huu ana haja sana ya mtoto:
1. Akawa amekosa bwana kabisa
2. Akawa anaogopa majukumu ya mama ktk jamii
kwa vyovyopte katika mamba ya Mungu hakuna njia ya mende!!! huu ni ukosaji wa imana na kuto kuwa na imani ndiyo dhambi kubwa.

Seleli Edwin

unread,
Jun 25, 2014, 8:30:14 PM6/25/14
to strictlygospel
Stephen Mabinza,

Yaani na wewe nimekosa sana-mmh! bora nimekumiss sana Kaka hapa SG live, good to see u meeen.

Sasa kuna vitu umeshusha hapa, ni mawe ya thamani mnoooo aisee, glory to God, see below.....

''''Umhimu wa Mtu kuwa na Watoto ama kutokuwa nao,anapaswa awe nao Mungu, na kujua wakati gani utapata mtoto nikujisumbua!''''......EXCELLENT POINT indeed brother.

'''Ibrahim alipomsikiliza mkewe na kujipatia Mtoto kwa akili ya mkewe, alipomtaka Mungu ampe Solution juu ya kumfukuza mkewe mdogo na mwanaye Ishmael watoke nyumbani kwa Sara kama alivyotaka Sara, Mungu alimjibu Ibrahim kwamba, MSIKILIZE MKEO SARA!'''.....wow! very very excellent observation/Ufunuo indeed man, dah!

''''Eva alipomsikiliza shetani, tunaona aina ya mtoto aliyempata! ...dah! a big question my friend aiseeee!

Ila kali mwenzangu, fafanua  '''''Mpango wa kukusanya mbegu ili "KUZIZINISHA" ni mpango wa kimapepo'''.....Nini maana ya kuzini? huwezi zini na vyombo vya hospitali bwanaaa au? tehe tehe apo Kaka lete nondo za uhakika, sijakupata kabisa.

''''Ukipandikizwa mbegu, kisha mimba ile ikaharibika, na ukarudi tena kupandikizwa, pale Benki watakuwa bado wana mbegu zilezile?''........kwani issue nini hapo? unapopandikizwa-ongezewa damu zikaisha, si unarudi tu bank ya damu, shida nini kurudi bank ya mbegu za kiume? kwani lazima ukute damu ile ile? aaaa bwanaaaa, hapo leta kitu cha uhakika Man.

''''''utakuwa umezinishiwa wanaume wangapi? Mapepo bwana, kazi ipo!''... Tena sema maana ya kuzini na mapepo hapo yako wapi wakati hii ni fani Watu wanasomea darasani vema tu kama vile kusomea kutibu pua, macho, moyo, magonjwa ya Wanawake nk?

Hakika tu-press on tukijua...''"Ufahamu ni chembe ya Uhai!" tehe tehe Mabinza bwanaa ako kakibwagizo kako ako sijui ulikatoa wapi? ka aina yakeee eeee? tehe, safiiiiii

Edwin Seleli
2014-06-19 4:42 GMT+03:00 Seleli Edwin <selel...@gmail.com>:
Gladys,

Wow! siku nyingi rafiki yangu, '''nimekukosa''....( mmmh! hata hainogi iyo nadhani hii ndio yenyewe..''Nimeku-miss'' sana hapa Kanisani aisee, ulitwaliwa kwa muda kwenda JUU ili urudipo uje kutujuza mambo mazito?  ha ha ha ha ha Gladys, bless u)

Back to business now... yaani I am telling you, hizi parts zako zifuatazo, zina nguvu mmmmmnooooo

''''kuwa kutokuamini ni dhambi sawa na uchawi ama uongo na uzinzi'''.... yaani UMEONYESHA KUMBE HASWAAAA TATIZO NI KUTOAMINI siyo? great Ufunuo/reasoning indeed hadi nimekumbuka Somo moja niliwahi rusha hapa...''KUTOMWAMINI MUNGU NI DHAMBI MOJA MBAYA SANA KULIKO TUNAVYOWEZA FIKIRIA,yup? unakumbuka? safi sana Gladys.

''''We ukisema 35yrs umezeeka je umri huo ni sawa na dk ngapi ktk kanuni ya Mungu ya miaka 1000=1day?, Wenzako tuna miaka ZAIDI ya hiyo yako lakini tumaini la ndoa liko palepale.'''....dah! we mdada mwebrania kiboko, yaani unakuaga muwazi kweli, maana mabinti sayuni wengi marafiki zangu Makanisani uko, kutaja au hata kuashilia ana miaka mingapi, weeeee ni hatari sana, NEVER WILL THEY DO THAT-tehe and ofcoz it is understandable u know, sasa wewe ni namba nyingine kabisa ya Bwana, umetandika tu haraka, una ujasiri na imani kuu sana, ubarikiwe mnoooo kwa kujitumia wewe kama teaching aid ku-cement hoja yako, hapo nimekukubali Mwalimu na Mwinjilist fire-fire wewe, Amen

Press on coming live hapa SG, tule na tulishane MANA ya JUU

Edwin Seleli


2014-06-16 17:30 GMT+03:00 'Gladys JB' via Strictly Gospel <strictl...@googlegroups.com>:

Seleli Edwin

unread,
Jun 25, 2014, 8:30:14 PM6/25/14
to strictlygospel
Gladys,

Wow! siku nyingi rafiki yangu, '''nimekukosa''....( mmmh! hata hainogi iyo nadhani hii ndio yenyewe..''Nimeku-miss'' sana hapa Kanisani aisee, ulitwaliwa kwa muda kwenda JUU ili urudipo uje kutujuza mambo mazito?  ha ha ha ha ha Gladys, bless u)

Back to business now... yaani I am telling you, hizi parts zako zifuatazo, zina nguvu mmmmmnooooo

''''kuwa kutokuamini ni dhambi sawa na uchawi ama uongo na uzinzi'''.... yaani UMEONYESHA KUMBE HASWAAAA TATIZO NI KUTOAMINI siyo? great Ufunuo/reasoning indeed hadi nimekumbuka Somo moja niliwahi rusha hapa...''KUTOMWAMINI MUNGU NI DHAMBI MOJA MBAYA SANA KULIKO TUNAVYOWEZA FIKIRIA,yup? unakumbuka? safi sana Gladys.

''''We ukisema 35yrs umezeeka je umri huo ni sawa na dk ngapi ktk kanuni ya Mungu ya miaka 1000=1day?, Wenzako tuna miaka ZAIDI ya hiyo yako lakini tumaini la ndoa liko palepale.'''....dah! we mdada mwebrania kiboko, yaani unakuaga muwazi kweli, maana mabinti sayuni wengi marafiki zangu Makanisani uko, kutaja au hata kuashilia ana miaka mingapi, weeeee ni hatari sana, NEVER WILL THEY DO THAT-tehe and ofcoz it is understandable u know, sasa wewe ni namba nyingine kabisa ya Bwana, umetandika tu haraka, una ujasiri na imani kuu sana, ubarikiwe mnoooo kwa kujitumia wewe kama teaching aid ku-cement hoja yako, hapo nimekukubali Mwalimu na Mwinjilist fire-fire wewe, Amen

Press on coming live hapa SG, tule na tulishane MANA ya JUU

Edwin Seleli


2014-06-16 17:30 GMT+03:00 'Gladys JB' via Strictly Gospel <strictl...@googlegroups.com>:

caroline mushi

unread,
Jun 25, 2014, 8:30:15 PM6/25/14
to strictl...@googlegroups.com
aisee somo zuri kweli hili barikiwa sana Kaka Seleli
yaani na hii michango iliotolewa inatia moyo mno mubarikiwe wandugu

Pia na mie changizo langu ni hili, huyo aliesema "nendeni na mukaongezeke"
na akasema na pawepo mwanga na mwanga ukatokea, ni Muumbaji na hawezi fanana
nishwa na kitu chochote.
akasema hivi (biblia ya kiingereza) Mwanzo 1:11 And God said, "Let the earth bring forth grass, 
the herb yielding seed, and the fruit tree yielding fruit after his kind, 
whose seed is in itself, upon the earth: and it was so."

Na huyu mpaka leo vitu alivyo tamka miaka mamilioni iliopita bado misingi yake ya uumbaji
imesimmama Waebrania 3 waweza fikiria!!

Nakama huyu Muumbaji aliiambia milima kaa hapa, nenda pale na ikatii na mpaka leo
tunaona hiyo milima haijawahii hama tangu tumezaliwa ndo iwe ndoa?
Kunakitu waingereza wanaita "Humanism" maanake tunakuwa tunatafuta suluhisho
pitia fikra za kibinadamu, na kwa kadri siku zinavyosogea dunia ina
ondoka kwenye mising ya kiMungu nakwasababu vitu vilivyo wekwa na Huyu havitokei
kwetu basi ndo kama hivyo: wacha niende benki ya mbegu wanipandikize mbegu
mie nipate mtoto- SULIHISHO la mie kukosa mume; tunakosa baraka za yule aliesema hivi "na mwanga uwepo"
na mwanga ukatokea. aliemuuliza Kaini Mbona unamasikitiko? kama ungefanya inavyo
paswa siungekubalika, angalia maana dhambi inakunyemelea kuwa mwangalifu...
Huyu ndiye aliesema na maji yajitenge, ilibidi maji yafanye speedi nakutii mamlaka
ya huyu Mzee wa siku.

sasa ikija maswala ya kupandikiza mbegu alivyo toa kaka yangu Edwin, ni vitu 
vinavyoendelea miaka hii, nasio mpango ambao Huyu aliesema na maji yajitenge
yeye alivyo weka ni mwanamume aweke mbegu ndani ya mwanamke na izae. kama alivyo
sema na mbegu ikiwekwa ndani ya udongo itazaa matunda.

Kijana akitaka mke asiwe na wasiwasi maana mke wake yuko hata kama anaka simanjiro
atatoka huko nakumfuata mwenzake alioko rufiji, maadam huyu kijana anatembea sawasawa
na neno la Mungu.
Maadam ni mwanafunzi wa Yesu Kristo, na anashika amri zake zilizopo kwenye kitabu chake
basi akisimama kama kuhani maombi ya huyu yanazaa matunda maana anaomba sawa sawa na 
mapenzi ya Mungu.

Kama Sarah alipata mtoto miaka ya uzeeni je msichana wa miaka 48? Ndio maana
Huyu aliesema na maji yajitenge na kuwepo nchi kavu, uumbaji ukapiga salute na kusema
NAAM Mzee tumesikia wacha ifanyike ulivyo agiza, speedi zikawa alivyo taka. na huyu
alitamka tu wala haku chukua vidole nakukimbizana ngoja nichukue hiki nifinyange nakile
halfu nchikavu itajitenga na maji, hapana yeye alisema tuu mambo yakajiseti.
Adi mwenyewe akasema, Dah! naona mambo yameka poa kweli, panapendeza haswa- Jamaa Genius!! 

Sisi, nikuamini tuu bila kutafuta suluhisho za ki-bin-adam yeye alietaka uwepo
na aliyekujua kabla misingi hii ya dunia kukuumba-aliejua mwisho kabla havija anza
ANAONA kuliko tunavyo waza wenyewe, chamsingi tu nikumuangalia yy, kutembea sawasawa
na NENO lake halafu simama kama kuhani mku mbelezake basi, lazima atafanya maana
ndio moyo wake, ndo midundo ya mishipa yake kuwa huyu dada ni lazima apate mume ambe
nilimutengenezea kwa ajili yakutimiza makusudi yangu.

Lakini tukifanya vingineyo tunajipaita matatizo sie wenyewe na mbele yasafari 
ndo ibilisi anaweka mguu nakutuendesha anavyo taka.

Huyu aliesema na mwanga uwepo alafu ukatii na mpaka leo alichotamka bado tunakiona,
ndiye Huyu aliekuumba wewe kaka wewe dada nakusema enedeni mukaijazi nchi. nakusudi lake
litatimia iwapo utatembea anavyo taka yy maana dunia hii niyake ndo nyumba yake
na kunavitu vyote alivyo viweka humu duniani kwa starehe yake. sasa akisema fanya hivi
nautakubalika nilazima ukiomba utaomba mapenzi yake na atatoa speedi.
Huyu ni Mungu wa mageshi - He is a Peculiar BEing! nothing like HIm. 
Him and HIm ONLY- ONLY HIM He can do this thing! i KNOW HE CAN Do THIS
Cause there is nothing to hard for HIM the One who said "Let there be light"
If This God can change Himself and become a HUMANBeing and be called the Son of Man 
(Mwana wa Adam) ndo iwe mume iwe mke!kwaki ni chipkizi kabisa adi raha :), yaani ukisoma tu Mwanzo sura ya kwanza
inatosha kumtetemesha mwanadamu na ajikute anasamasolti miguu juu kichwa chini tokea Machame
nakujikuta Chalinze hivihivi!
Na kijana anaetafuta mke kwa muda mrefu anajikuta anasema Huyu Jamaa aliefanya yote haya,
dah! wachanimuendee niangalie neno lake linasema nini, anatabia ya namna gani,
anataka mie nienende vipi, na sasa nikifanya yote hayo ananikumbushia Kaini alivyoambiwa
kama ukifanya ipasayo si utakubalikaa?

Kijana nilazima apate mke na msichana nilazima apate mume, maana yeye aliesema
sio mzembe anajua anachosema maaana nimakusudi yake yy alieumba hizi mbingu nakusema
mbingu na nchi na ziwe, halafu zikawa,,,dah! Jamaa bhana Bingwa kwelikweli, mie atasijui
nimseme vipi aelewekee maana hata mie sijamjua vizuri nimteme kisawasawa.
maana nazidi fikira zangu. kuna pastor mmoja alivyo kuwa anamuelezea akasema hivi
kwa lugha ya kigeni: This Mighty God is Greater than Greatness, wider than width,
deeper than depth, higher than heights itself" we can not put HIm in a box!
WHAT A BEING! 

Barikiwa sana wandugu, samahani kwa maandishi meengi

Nawapenda, CAroline

Tusekelege Tuse

unread,
Jun 25, 2014, 8:30:14 PM6/25/14
to strictl...@googlegroups.com
UTUKUFU!!
Ndungu zangu tumtaumaini Mungu sana,Kuna makusudi kwako mama au dada kuchelewa kuzaa yamkini utakachokizaa ni kitu muhimu sana katika maisha ya baadaye
Mfano Sara alichelewa kuzaa - akamzaa Isaka
Rebecca alichelewa kuzaa - akamzaa yakobo
Rahel - (recho) alichelewa kuzaa - akamzaa - Yusuph

Jiulize wakati wewe unazaliwa mama alipitia mapito gani?
Angalia hapo juu hao watu walivyokuwa muhimu katika Biblia
Ibrahim,Isaka,na Yakobo na matumbo waliyotoka.

Mwacheni Mungu aitwe Mungu na usiwe na haraka,yamkini tumbo lako linatarajiwa kuleta Rais,au nabii ,au mchungaji.Kazana kuomba na kumbuka wapi ulikoangukia ukatubu.
Maana ukiendelea kusoma katika hao ndiko alikotokea Yesu mwenyewe.

Ndungu zangu kuna watoto kutoka kwa Mungu aliye juu ,Mungu aliye hai
na kuna watoto kutoka kwa Mungu wa dunia hii ,hivyo kuwa makini usije ukapata mtoto ukimuuliza moja ongeza moja anasema saba.

Au akawa mwiba katika Maisha yako.

Ni kweli mungu amewapa maarifa wanadamu lakini vitu vingine tuangalia yaani Mungu wetu ameshindwa hata tupandikize!!
simama imara


--------------------------------------------
On Mon, 6/16/14, 'Stephen Mabinza' via Strictly Gospel <strictl...@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: Réf. : Re: KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME
To: "strictl...@googlegroups.com" <strictl...@googlegroups.com>
Date: Monday, June 16, 2014, 8:23 PM
Animations GRATUITES
pour vos emails
Cliquez
ici !









alphonse...@gmail.com

unread,
Jun 27, 2014, 9:55:27 AM6/27/14
to strictlygospel
Ndugu yangu Seleli,
 
-I repeat once again, nakufurahiya wewe kijana wa Yesu. na nilifahamu huwezi kwepa, lakini makusudi usishau nikakuwekea kale ka neno kadogo. I think you understand. Hata nami nacheka pamoja nawe. Pia nilifahamu wewe si mvivu. Pia nakushukuru kunielewa mnoooo kwa mambo takriban matatu amboyo yanafunga yote: kuhusu kifo kuwa na mtoto ambaye babaye ni benki na mwanaharamu.
 
-Hii unayosema siyo mzaha, pengine yule dada iko. Tunapomuita dada ni kwamba tunamheshimu. Pia bado yeye kukufuru Roho Mtakatifu, ina maana angali  anaweza samehewa. Nilichoona ni mzaha ni kumwosha bila kutuambia ametubu.
 
-Seleli, huyu dada alitenda uasharati na sayansa kwani mbegu yake ya kizazi ilikutana na mbegu ya mwanaume wa benki. Hii hailinganishwe na kusaidiwa hospitalini wakati wa kuzaa. Kabila teule la Israeli lilikuwa na wazalishaji, yes, unafahamu. Kusaidiwa wakati wa kuzaa siyo kuchukua mimba. Pia Mungu hakusema na mwanamke kama atazaa kirahisi, alimwambia atazaa kwa uchungu. Halafu ile uchungu hakuendelea kusema kama itafikia kiwango kipi. Kusaidiwa hospitalini ni mojawapo wa kuthibitisha neno la Mungu kama mwanamke atazaa kwa uchungu. Si hiyo uchungu ndio inamfikisha kule? Wengine wanapelekwa kule pasipo ufahamu, unajua!!!!
 
-Ninaposema njia mbili, ni za kiroho. Ile ya kimwili unayotaja siyo njia. Mwili inafanya ile itokayo ndani ya utu wa ndani. Pia mwili hutariti ufalme wa mbingu wala wa Jehanum.
 
-Ibrahim, kinachompa ushindi ni Imani. Ndio maana akaitwa baba wa imani. Ni katika kujitahidi kuamini kama Mungu hawezisema wongo ndipo alimkamata kijakazi chake kinyume ya mapenzi ya Mungu. Pia Mungu aliendelea pima imani yake hadi kumuomba amtolea mwana wake wa pekee Isaka. Nafikiri wewe kama kijana wa Yesu, unatafuna hilo fumbo la Mungu kumuita Isaka kuwa mwana wa Ibrahim wa pekee licha ya kuwa alifahamu kama kulikua pia Ismaeli. Kwa kipindi kile Ibrahim aliupitia mtihani ambamo aliwai kujuta lile alilolitenda kwa kumzaa Ismaeli, na hiyo ni toba. Sasa huyu dada akitubu atasamehewa lakini alichokifanya ni uasherati pamoja na sayansa, pia ule mtoto ambae umesema anaishi ni mwanaharamu. Tuko katika kipindi cha neema, unafahamu, mtoto huyu hana hatiya, ataokoka kufwatana na jinsi atakavyomkuta Yesu.
 
-Pale pote uliposema hujue kama Mungu atahukumuje, ujibu kama atamfanyaje muasharati.
 
-Hahahahahahahahahah nafurahi  sana kuongea na wewe, pia hongera kwa kazi unayofanya. Utalipwa kabisaa..................
 
 
Ahsante.
 
-------Message original-------
 
Date : 06/26/14 02:30:16
Sujet : Re: Réf. : Re: KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME
 
Ziragora,

What? ati mie kijana napendeza sana, Ndio maana wanipendaga''... wow! ha ha ha real? napendeza eeee? wanipendaga siyo? asante mnoooo and nyie SG mwapendeza sana and mimi wapenda sana nyie wote kabisaaaa ndio maana natia bidii siku zote kuchapa kazi hapa, ije jua au mvua, Jan-Dec, napiga kazi tu kwa kwenda mbele, mwanzo mwisho, nikijua siku ile  tukiwa JUU as per this Rev.20:12 itanilipa tu, amen? read it here  '''Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na VITABU  vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa,(DATABASE izoooo) ambacho ni cha uzima; na hao wafu WAKAHUKUMIWA KTK MAMBO YALIYOANDIKWA KTK VILE VITABU- DATA BASE- SAWA NA MATENDO YAO'''....yup? peace and love brother in Jesus name.

 Sasa twende kazini/hudumani now.....

Hapa sikajakuelewa kwa hii....''''Maana ukitaka leta mzaha unaichonga kitaalam''' ..upi mzaha hapa? LABDA KWA TAARIFA YAKO, KULINGANA NA RAFIKI YANGU ANAYEMJUA HUYU DADA KTK POST NIMELETA, NAVYOONGEA NAWE, HATIMAYE AMESHAJIFUNGUA/ZAA MTOTO -upo hapo best? hehehee we acha tu kuna mambo mazito ktk swala la BAADHI ya akina Dada wanapongoja sana na wasipate Wa-Kaka Sayuni,

Pia mwingine namfahamu, napoongea nawe ana ujaziuzito wa RC Bikira Maria Man-Mdada wa nguvu, wa zaidi ya miaka 20 Kanisani na ktt Imani na Utumishi-naongelea kifaaa haswa cha Bwana, hatimaye akaenda kuolewa- nacho kimechepuka toka NJIA kuu, habari ndio iyo man, kama ulidhani mastory ya town, wakati mie napiga kazi hapa kutafuta hekima/Neno/Shuhuda/ ufahamu/akili Watu waibue na kufunguka kwa kuleta mada laini na chokozi, basi nimekupa live now full CNN BREAKING NEWS iyoooo.

Kuhusu swali la Kifo-umejibu safi mnooooo, nimependa kabisa balance ile ndio maana nilikuuliza swali ili kukufanya uweke balance iyo, yup?


Umeniuliza..."akifa palepale ban...atasemaje mbele za Mungu?" na kunisisitizia ivi....Seleli, jibu, usikwepe.JIBU: Seleli kamwe hakwepagi swali, kama anajua atajibu kwa nguvu na hoja maridadi kabisa na hata kama aidha hajui na alikua hajui, atakiri na akishajua pia ata appreciate tu kiroho safi kabisa wala aachagi hata jiwe juu ya jiwe ktk mijadala na masomo, glory to God na wala si mvivu ktk kuchapa kazi, unajua hilo hata wewe, so relax man, therefore JIBU NI..... hajafa na ameshazaa tena salama kabisa

Umenitaka ivi....'''Sasa wewe jibu: "Je Mungu aliwaagiza watu waongezeke kwa njia ya kisayansa?"JIBU: Hata unampompeleka Mke hospitali kusaidiwa kujifungua salama mikononi mwa Maktari na Manesi hata kupasuliwa/chanwa ili mtoto atolewe ni Kisayansi pia, why dhambi kupandikiza mbegu-kisayansi pepo lakini kuchana Mke na mikasi-iwe kisayansi malaika? imeandikwa wapi zaeni sipitali? wapi? kukwepa kuzaa na kuongezeka Kisayansi-pepo, waacheni Wake zenu wazae home kama zamaniiii wakati wa ujima na hata leo vijiji vingi vya Waafrica ingawa pia huko kuna local sayansi nako-so kama kuna za kipepo or malaika, kazi unayo babuu  kufanya utafiti-tehe tehee!

''Pia "Seleli akiwa yule mdada na anajitetea mbele za Mungu eti sayansa ndio ilimupachika mimba atakubaliwa?"..JIBU! Kweli bado Sijui kwa hakika Mungu ktk moyo wake atamuhukumuje mdada aliyejitunza miaka yote na hatimaye akafanya kama Ibrahimu-kuchukua njia nyingine lakini kwa huyo dada hoja yake sijui ni zaidi ya Ibrahimu maana alisema hataki KUMKOSA MUNGU KAMWE KWA KUZINIWA  NA MWANAUME LIVE ILI KUSHIKA wewe unasemaje? tehe!

'''Hakuna njia zaidi ya mbili: kuwa wa Mungu au kuwa wa Ibilisi. Wewe unafahamu njia nyingine?''''.... JIBU: Nafahamu ziko njia 3 ya Mungu, Shetani na Wanadamu-Kwenda Hospitaki haiko ktk NENO-Lakini twaenda, why? alternative ya kibinadamu kuponywa magonjwa na kuondolewa matatizo mengine, yup?


-''''Hii ni lugha ya kijamii: kuzaa bila tatizo ni kuzaa kawaida yaani mama anapata mtoto akiwa na afya nzuri before and after. Mungu akupe myaka ingine kadhaa hapa chini ya jua utafahamu hii lugha ya kijamii''..JIBU ni swali-umeongea nini hapo sasa? nimetoka off the point man, come again clearer.

.
'''-Mwana haramu si unamfahamu ndugu Seleli? Mtoto anaezaliwa wakati babae hajulikane''....JIBU: Aisee ndio ivyo kumbe? nafaurahi kufahami ilo

Hapa nimecheka mpaka nimekunywa maji na kukohoa ha ha ha ha ha ha ha dah!.... '''Kwani baba yake anaitwa benki ambayo si mtu. Hiyo benki iwe inabandikwa number au la, baba ni benki, nayo si mtu'''.... tehe tehe what?''baba benki''... tehe tehe tehee yaani jamani nimecheka saaaanaaaaaa,mmmmmnoooo kabisa, ati ''Faza Benki'', tehe tehe dah jamani hapana kwakweli nimecheka sana, asante Ziragora kwa kunipa raha man


Hii kwamba...-Ulisahau kuniswali juu ya "Wewe dada, subiri tu, omba Mungu alie hai, atakupa mume mzuriiiii kwa namna usiyowazia.".....niliacha kukuswali kwa kua nilielewa tu very clear hapo

Press on,

Edwin Seleli

2014-06-19 4:58 GMT+03:00 Seleli Edwin <selel...@gmail.com>:
Stephen Mabinza,

Yaani na wewe nimekosa sana-mmh! bora nimekumiss sana Kaka hapa SG live, good to see u meeen.

Sasa kuna vitu umeshusha hapa, ni mawe ya thamani mnoooo aisee, glory to God, see below.....

''''Umhimu wa Mtu kuwa na Watoto ama kutokuwa nao,anapaswa awe nao Mungu, na kujua wakati gani utapata mtoto nikujisumbua!''''......EXCELLENT POINT indeed brother.

'''Ibrahim alipomsikiliza mkewe na kujipatia Mtoto kwa akili ya mkewe, alipomtaka Mungu ampe Solution juu ya kumfukuza mkewe mdogo na mwanaye Ishmael watoke nyumbani kwa Sara kama alivyotaka Sara, Mungu alimjibu Ibrahim kwamba, MSIKILIZE MKEO SARA!'''.....wow! very very excellent observation/Ufunuo indeed man, dah!

''''Eva alipomsikiliza shetani, tunaona aina ya mtoto aliyempata! ...dah! a big question my friend aiseeee!

Ila kali mwenzangu, fafanua  '''''Mpango wa kukusanya mbegu ili "KUZIZINISHA" ni mpango wa kimapepo'''....Nini maana ya kuzini? huwezi zini na vyombo vya hospitali bwanaaa au? tehe tehe apo Kaka lete nondo za uhakika, sijakupata kabisa.
b_floral.jpg
floral.jpg
ape.gif

Seleli Edwin

unread,
Jun 30, 2014, 4:33:44 PM6/30/14
to strictlygospel

Caroline mushi

 

Ubarikiwe wewe Dada yangu aiseee kwa machango, kuna mambo umeshusha, yana nguvu sana ukiyatafakari kwa kina  mfano:

 

‘’Mpaka leo vitu alivyotamka Mungu viwe miaka mamilioni iliopita bado misingi yake ya uumbaji imevisimamisha’’

 

Huyu ndiye aliesema na maji yajitenge, ilibidi maji yafanye speedi nakutii mamlaka

ya huyu Mzee wa siku.

 

"Humanism" -tunatafuta suluhisho

pitia fikra za kibinadamu.

 

 Nimecheka sana hii..’’’ukisoma tu Mwanzo sura ya kwanza

inatosha kumtetemesha mwanadamu na ajikute anasamasolti miguu juu kichwa chini tokea Machame nakujikuta Chalinze hivihivi!’’ dah! Hadi anatandikwa/ka sambasoti all the way from Machame na kuja zimika Chalinze?  Hahaha nimekubali iyo Imani ya kubetua milima ya volcano hakuna mfano wake aisee, mwe! Ah aha aha!

 

Ila Ushauri, ukitumia au kama una maanisha Mungu, usimuite ‘’jamaa’’  au ‘’bingwa’’, hapana usifanye ivyo plz.

 

Otherwise, wonderful contributions kwa hii mada Caroline, yup? Amen.

 

Press on,

Eddy.

Seleli Edwin

unread,
Jun 30, 2014, 4:33:45 PM6/30/14
to strictlygospel

Ziragora,

 

Ubairikiwe Kaka.

 

Umesema..’’Nilichoona ni mzaha ni kumwosha bila kutuambia ametubu’’

Dah! NINA KANA SIJAMUOSHA ila nimeleta kisa mkidadavue pia kuchallenge ktk mianya kwa majibu yako  ili utetee HOJA kwa nguvu ya HOJA pia, sawa eee?.

 

Hii ni kali sana mimi kujua leo hii hahaha,dah! Watu mna mambo umu, mafunuo hamna tena mfano wake kwa hii- ‘’’huyu dada alitenda uasherati na sayansi kwani mbegu yake ya kizazi ilikutana na mbegu ya mwanaume wa benki’’, hiyo ‘’uasherati na Sayansi’’-nondo mpya na kali aisee na yaani kila nikisoma ‘’Mwanaume wa Benki’’ sasa au post yako ile ‘’Baba Benki’, unanimaliza sana rafiki yangu  ha ha ha ha ha ah ha opsuuuuu, dah! nacheka mpaka napaliwa kwa kweli.

 

Good ufafanuzi on this..’’ Kusaidiwa wakati wa kuzaa siyo kuchukua mimba’’

 

Hii kali, ndio najua leo, sijui ni kweli ama la hiii..’’’Kusaidiwa hospitalini ni mojawapo wa kuthibitisha neno la Mungu kama mwanamke atazaa kwa uchungu’’

 

Bless u brother,

 

Press on,

 

Seleli Edwin

unread,
Jun 30, 2014, 4:33:44 PM6/30/14
to strictlygospel

Emmanuel Nshimirimana

 

Wewe Mtu una vitu vitamu-vitamu tu siku zote toka kwa Mungu aisee, nimependa hili andiko na ulivyokamata line kupitia ilo

127:3 "Tazama wana ni urithi toka kwa Jehovah uzao wa tumbo ni thawabu." thawabu siyo kitu ca kujitafutia ni neema .

Kwa maoni yangu hii ni dhambi,

 

Hii nimechekea kweli ha ha ha ‘’’

‘’kwa vyovyopte katika mambo ya Mungu hakuna njia ya mende!!!....  Ha ha njia ya mende? ndio ipi iyo? Ikoje? Ndio nasikia leo tehe teheee, umeniburudisha kweli jamaa yangu wewe Nshimirimana

 

Asante sana kwa bonge la point hili..’’’huu ni ukosaji wa imana na kutokuwa na imani ndiyo dhambi kubwa’’ nimenote iyooooo, Aiiiiiimen and ameneeeee mpaka Burundi hadi Nyazaraki hukoo hahahaa. Bless u my dear ndungu.

 

Press on

Seleli Edwin

unread,
Jun 30, 2014, 4:33:44 PM6/30/14
to strictlygospel

Tusekelege Tuse,

 

Good point kwamba Kuchelewa kunaweza kua na makusudi na pia mifano ya Sarai, Rebeka, Rechel safi kabisa na tena excellent connectivity umefanya kua toka uzao huo wa akina Dada/Mama waliomgoja Bwana, akaja tokea Mtu muhimu sana-YESU, good job Tusekelege, keep it up flowing here LIVE at SG.


Ila hii umenichekesha sana hahahaaa dah! Tuse una mambo yako hadimu kwa kweli kwa hii..’’’kuna watoto kutoka kwa ‘’Mungu’’ wa dunia hii usije ukapata mtoto ‘’ukimuuliza moja ongeza moja anasema saba’’’, tehe tehe tehe heheeh yaani nimecheka kweli, umefikiri nini wewe kuwaza ivyo? Ha ha ah ha.( Nonetheless, plz note, next time tumia hii..’’mungu’’ kwa hilo dude la dunia hii, ok?

Excellent observation hii umeona kua..’’’Ni kweli ‘’mungu’’ amewapa maarifa wanadamu lakini vitu vingine tuangalia nafasi ya Mungu’’….( Nevertheless next time tumia hii ‘’Mungu’’ kumaanisha Yehova Baba yetu

 

Press on,

Eddy



2014-06-26 10:45 GMT+03:00 alphonse...@gmail.com <alphonse...@gmail.com>:

alphonse...@gmail.com

unread,
Jul 1, 2014, 10:54:06 PM7/1/14
to strictlygospel
Seleli,
 
Wewe kijana.... , wewe mwenyewe umegundua unauchonga mzaha kweli!!!!!!!!!!!! Hakuna matataaaaa, ni vizuri kwani tunacheka;
Lakini jamani  mambo tu hayafwatane sawa tulivyoandika. Unajua unapolinganisha uasharati kama ule na mwanamke halali anapoenda hospitalini, unapofananisha kumzaa Isamaël na kuzaa hicho kitoto kisayansa, unasomeka kama unasupport huyu dada aliejibandika mimba akiitumia sayansa. Na kama sivyo print off correction. 
 
"Kusaidiwa hospitalini ni mojawapo wa kuthibitisha neno la Mungu kama mwanamke atazaa kwa uchungu". Tatizo ni lipi?

Ni kweli, leo hii kuna wenye kuenda ku hospitali ili wazae kwa njia ya kupasuliwa tu zaidi katika nchi za wazungu. Lakini kilicholeta mwanamke kutafuta kusaidiwa wakati  wa kuzaa ni ule uchungu Mungu alisema. Mungu hana mzaha kwani anachosema anakitekeleza. Ndio maana inawafikia wanawake kufa katika hiyo uchungu. Sasa hiyo uchungu ndio inababaisha mwanamke hadi afike kwenye hospital.

Nafikiri umedaka, na ubarikiwe.

 
 
 
-------Message original-------
 
Date : 30/06/2014 22:33:46
Sujet : Re: Fw: Réf. : Re: KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME
Animations GRATUITES pour vos emails par IncrediMail ! Cliquez ici !
b_floral.jpg
floral.jpg
fr.gif

Seleli Edwin

unread,
Jul 3, 2014, 9:10:40 PM7/3/14
to strictlygospel
Ziragora,

Kweli sijawa convinced kua alipokwenda hospitali kupandiwa mbegu, alizini/fanya uasherati kwa sababu kwa Kiswahili maana ya uasherati/kuzini ni tofauti kabisa na unachosema au unatafsiri kiroho  kua muasherati ktk Imani na kutegemea mengine si Mungu hadi mwisho? BE SPECIFIC apo man. Hakuna mzaha hapa/hapo, bing substance nikiona/fundishika then will bless the point zako, waga sinaga shida moyoni kukubali na kupenda kazi njema ya Mtu, hata sipotezeagi, sina such bad software, ok? lakini hili kua kwenda uko ni sawa na uasherati-kazini na Mwanaume Bank za Mbegu za Kiume pale hospitali, plz connect hapo ur probably good point my brother. Iyo kwamba naunga mkono au la dada huyu, well uko huru kuwaza icho, ni feelings/mtazamo wako, mimi nimeshare kitu halisi kimetokea ili kwa NENO/UFUNUO/AKILI/UZOEFU  mseme kua wapi ni sawa na wapi sawa BUT kwa strong CLEAR POINTS

Au ukitaka jibu swali hili..Jiweke wewe kama Mchungaji/Kaka Mkubwa pale Kanisani au Kiongozi kisha anakujia dada ambaye ameshafanya icho kitendo au yuko so crazy and desperate kuolewa na kuzaa ana miaka sasa 40 na madaktari walishatoa semina  Kanisani ili kuhimiza Watu kuoa na kuoelwa au kuwafanya wale wanaosita kufanya haraka au wale walioaanza na kutaka kuchelewesha kwa visababu vya hapa na pale,waziweke pembeni wakazane au wamesikia ukweli huo wa kisayansi uko na kule ktk makongamano   au kupitia media kuhusu  madhara ya kuchelewa kuzaa au kuzaa ukubwani kua ni makubwa mno kwa akina Mama, unamsaidieje? unaanzaje? U  FEEL ME now ktk uhalisia tunafanya huduma kwa vijana? aya anza sasa huduma. Karibu

Swala la akina Mama kwenda hospitali ni kwa sababu ya uchungu aliseme Mungu, sijui utaniambia nini kuna shuhuda za Wapendwa walishatoa kuzaa bila uchungu, walitupiga fix nini au?  and unasemaje sasa kwa Watu wa zamani waliozaa bila kwenda hospitali, ni home tu apo wanafyatua tu Wanadamu kwa raha na amani zao, hata hospitali ya Kisasa hawajui? Neno linatimaje? au nikupitia hospitali zile za kiasili? Kama ni ivyo, vipi akina Mama anayezalishwa au jizalia/ au jizalisha mwenyewe home na Mumewe?

Press on come again man with very huge points kwa haya 2 tena

Edwin Seleli

zira...@yahoo.fr

unread,
Jul 6, 2014, 9:43:17 PM7/6/14
to strictlygospel
Brother Seleli,
 
Nakufwata vizuri sana, lakini unachoniuliza niliishakisema. Nilisema kama ni DHAMBI. Ukiniomba kusema kama Mchungaji sitasema tofauti. Nikisema tofauti nitakuwa nashikilia pengine vitabu vya doctrines fulani kuliko bible. Sijue kama hukuelewa kama huyo mtoto atakaezaliwa au aliezaliwa ni mwanaharamu! Where is his father? That's simple, my friend!!!  Huyu mtoto si yatima wala hakuokotwa barabarani! Tunaposema ni mwanaharamu tunaisema na uhakika. Sasa wewe unamweka katika kikundi  gani cha watoto? Iwepo umeelewa ile yatosha kukufahamisha bila shaka kama alipotoka huyu mtoto ni pabaya(hiyo benki). Mwanaharamu hawezi kuwa aliezaliwa kwa njia safi. Ninaweza kukuletea shairi nyingi lakini kwa heshima mimi sione umuhimu wa kumpa mwalimu kama wewe shairi anazofahamu. Pia huwezipata katika biblia neno kama "hospitali" au "benki ya mbegu za kiume"; ndio maana shairi yoyote ningelileta itakuwa haina hayo maneno.
 
Lakini mahala popote unapowazia hospitali nilikuonyesha katika biblia: "wazalishaji", "ule mti wa dawa uliyotumiwa kwa kumponya Hezekia". Hence, tukiongelea swala la uchungu kwa mimba, mimi sikukuambia kuna wanaozaa kirahisi(pasopo uchungu). Nilichokuambia ni kwamba Mungu hakuweka kiwango fulani cha maumivu wakati wa kuzaa. Huko zamani vijijini hata leo huku kwetu kuna wanawake wanaozaa wakitoka shambani kwa kazi ya mlimo. Lakini kuna vile vile wanaoteswa sana na kuwa obliged kusaidiwa na wazalishaji. Wengine wanafariki katika kipindi hicho. Hawo wote walizaa kwa uchungu na wengine hawakuzaa bali hiyo uchungu iliwapeleka kufa.  So, hapa hatuzungmuzie maneno mepesi. Ni maneno ya uchungu ndogo hadi kali iwezayo sababisha kifo. Ndio maana hata katika agano la kale wazalishaji walitajwa. Ndio maana kwa upande wangu, brother, nikaona kabisa ni mzaha kulinganisha kilicho halali na dhambi.
 
Ndugu Seleli, unasema hujawa convinced, niambie ukweli:"huyu mtoto siyo mwanaharamu?" Nakuswali wewe kama mtu anayefahamu lugha vizuri. Kwani Biblia inatuambia mengi juu ya mwanaharamu. Tukirudilia kwenye maandiko tutaona kama mwanaharamu hawezi tokea nafasi nyingine isipokuwa uasharati na uzinzi. Hence, kama si uasherati ni uzinzi. Pengine wewe unaona tu kama benki yaiwezi kutenda dhambi. Hapa nikupashe kama waliotenda dhambi ni yule dada na doctor ambaye alimpadikiza zile mbegu. Nafahamu unasoma Biblia, uasharati au uzinzi  si hiyo tendo kama unavyodhani, ni pia TAMAA, na vingine kama kuabudu sanamu(miungu). Huyu dada alitamani azae bila kuingiliwa na mwanaume, lakini akatamani njia ya sayansa, tamaa ilipokomaa, ikazaa tendo, ndilo dhambi ya kupachikwa mimba na sayansa. Pia nikakwambia kama ni nje ya ndoa. Mtoto anazaliwa nje ya ndoa, jamani tuongeze ni ili aonekane kama ni mwanaharamu na kama ile fact ya kuzaa nje ya ndoa ni uasherati au uzinzi?
 
Brother Seleli, nakushukuru sana kwani hapa ni kujifunza. Kama kuna tatizo, be clear, litatatuliwa. Zingatia kama situmie UFUNUO/AKILI/UZOEFU. Natumia Biblia. Maneno kama uasherati, uzinzi, mwanaharamu, tamaa, wazalishaji, mti kama dawa, kuzaa kwa uchungu iko ndani ya Biblia, nawe unafahamu.
Jambo lingine, tangu agano la kale haadi agano jipya, dada anayezaa bado kuolewa ni muasherati. Haiombe watu kujikatakata ili wamfahamu aliempachika mimba, na hata akiwa ni mnyama au sayanza haitamsafisha. I think now you're convinced!
 
Ahsanti.
 
 
Alphonse Ziragora
 
 
-------Message original-------
 
Date : 04/07/2014 03:10:42
Sujet : Re: Réf. : Re: Fw: Réf. : Re: KUPANDIKIZWA MBEGU ZA KIUME ILI WAPATE WATOTO KWA MABINTI WALIOOKOKA NA KUJITUNZA ILA UMRI MKUBWA NA HAWAPATI WACHUMBA/WAUME
b_floral.jpg
b_floral1.jpg
floral2.jpg
fr3.gif
floral.jpg
fr.gif

LYATUU EMMANUEL

unread,
Jul 14, 2014, 9:04:00 PM7/14/14
to strictl...@googlegroups.com
Seleli,
Nakupongeza kwa juhudi zako za kutufanya tuwe live hapa mjengoni. Kuna watu wanaokuona kuwa hujaokoka unapojaribu kusimama kwenye neutral ground ili tuliangalie wazo(idea) kama lilivyo badala ya kumwangalia mtu na madhaifu yake.
Ninavyoona mimi ni kwamba "Kila lisilotokana na imani ni dhambi" (Warumi). Swali ni kwamba, huyu mtu anayefanya maamuzi ya kupandikizwa mbegu inawezekana anafanya hivi kwa imani kweli? Au ni kujaribu kwenda kibinadamu tu? Unadhani Mungu anamwonaje? Anamwona kwamba ana imani na yeye ni kipenzi chake kama Abraham na Sara au ni mtenda dhambi? Nikikusanya majibu ya maswali hayo, conclusion yake ni kwamba Anachokifanya ni dhaambi kwa sababu hakitokani na Mungu wala hakina baraka zake. Mimi sioni kama ni uasherati au uzinzi ila naona kama ni dhambi kwa vile hakusimama katika imani iliyojengwa kwenye utaratibu wa Mungu. Aliwahi kuniambia mama mmoja kwamba anahitaji azae na mimi mtoto, ila eti kwa vile kukutana kimwili na yeye ni uzinzi basi aliniomba nifanye mpango wa kumpatia kiasi kidogo cha mbegu zangu ili akajiwekee apate mimba. Unadhani ni sawa? Kweli nilikataa kwa sababu nyingi tu lakini kubwa ikiwa ni kwenda kinyume na wito wangu kama mtoto wa Mungu. Kuna madhara mengine kama mtoto kufanana na mimi na kisha mimi kujulikana kuwa sio mwaminifu (au yeye). Hoja yake pia ilikuwa ni dharau kwa mume wake, kwa vile alidai kuwa mimi nina akili kuliko mume wake kwa hiyo akipata mbegu yangu anajua mtoto atakuwa na akili kuliko wale aliozaa na mumewe. Alijaribu kuniambia kuwa ameheshimu nafasi yangu kama mtumishi wa Mungu hivyo tusikutane kimwili, hapo amemaliza. Naungana na wenzangu wanaoliona kuwa jambo hili ni dhambi na msingi wake mkubwa ni kuwa Mwenye haki wangu ataishi kwa imani, naye akisitasita roho yangu haina furaha naye... (Waebrania 10:38-39). Naomba tuweke msingi kwenye Neno la Mungu kuliko fikra na ubunifu au ugunduzi wa binadamu. Bwana awabariki.
b_floral.jpg
b_floral1.jpg
floral2.jpg
fr3.gif
floral.jpg
fr.gif

LYATUU EMMANUEL

unread,
Jul 14, 2014, 9:04:00 PM7/14/14
to strictl...@googlegroups.com
Seleli,
Nakupongeza kwa juhudi zako za kutufanya tuwe live hapa mjengoni. Kuna watu wanaokuona kuwa hujaokoka unapojaribu kusimama kwenye neutral ground ili tuliangalie wazo(idea) kama lilivyo badala ya kumwangalia mtu na madhaifu yake.
Ninavyoona mimi ni kwamba "Kila lisilotokana na imani ni dhambi" (Warumi). Swali ni kwamba, huyu mtu anayefanya maamuzi ya kupandikizwa mbegu inawezekana anafanya hivi kwa imani kweli? Au ni kujaribu kwenda kibinadamu tu? Unadhani Mungu anamwonaje? Anamwona kwamba ana imani na yeye ni kipenzi chake kama Abraham na Sara au ni mtenda dhambi? Nikikusanya majibu ya maswali hayo, conclusion yake ni kwamba Anachokifanya ni dhaambi kwa sababu hakitokani na Mungu wala hakina baraka zake. Mimi sioni kama ni uasherati au uzinzi ila naona kama ni dhambi kwa vile hakusimama katika imani iliyojengwa kwenye utaratibu wa Mungu. Aliwahi kuniambia mama mmoja kwamba anahitaji azae na mimi mtoto, ila eti kwa vile kukutana kimwili na yeye ni uzinzi basi aliniomba nifanye mpango wa kumpatia kiasi kidogo cha mbegu zangu ili akajiwekee apate mimba. Unadhani ni sawa? Kweli nilikataa kwa sababu nyingi tu lakini kubwa ikiwa ni kwenda kinyume na wito wangu kama mtoto wa Mungu. Kuna madhara mengine kama mtoto kufanana na mimi na kisha mimi kujulikana kuwa sio mwaminifu (au yeye). Hoja yake pia ilikuwa ni dharau kwa mume wake, kwa vile alidai kuwa mimi nina akili kuliko mume wake kwa hiyo akipata mbegu yangu anajua mtoto atakuwa na akili kuliko wale aliozaa na mumewe. Alijaribu kuniambia kuwa ameheshimu nafasi yangu kama mtumishi wa Mungu hivyo tusikutane kimwili, hapo amemaliza. Naungana na wenzangu wanaoliona kuwa jambo hili ni dhambi na msingi wake mkubwa ni kuwa Mwenye haki wangu ataishi kwa imani, naye akisitasita roho yangu haina furaha naye... (Waebrania 10:38-39). Naomba tuweke msingi kwenye Neno la Mungu kuliko fikra na ubunifu au ugunduzi wa binadamu. Bwana awabariki.


b_floral.jpg
b_floral1.jpg
floral2.jpg
fr3.gif
floral.jpg
fr.gif

Seleli Edwin

unread,
Sep 14, 2014, 10:37:13 PM9/14/14
to strictlygospel
Lyatuu Emmanuel,

lo! ivi uko humu Duniani DG? asante kwa kunipongeza ivi...''Nakupongeza kwa juhudi zako za kutufanya tuwe live hapa mjengoni'', ni raha sana sijikaushagi mie hata chembe na pia nawahi kumrudia  Mungu utukufu pia.

Nimecheka saa hii...''Kuna watu wanaokuona kuwa hujaokoka unapojaribu kusimama kwenye neutral ground ili tuliangalie wazo(idea) kama lilivyo badala ya kumwangalia mtu na madhaifu yake'',  ha ha ha ha ha ila kweli aisee maana wajua tena BAADHI ya Wapendwa wengine ni kushitukia tu wenzao 24/7, mahisia-hisia negative ivii ila thank God tutafika tu pole pole na nimefurahi kumbe umeona hii skills of doing analysis...''unapojaribu kusimama kwenye neutral ground ili tuliangalie wazo(idea) kama lilivyo '', ili kupata details/realities kisha tuhukumu kwa HAKI/hoja za kuelimisha vema mnoo, good for that Man.

EXCELLENT INDEED ON THIS......'''Kila lisilotokana na imani ni dhambi" (Warumi). Swali ni kwamba, huyu mtu anayefanya maamuzi ya kupandikizwa mbegu inawezekana anafanya hivi kwa imani kweli? Au ni kujaribu kwenda kibinadamu tu? Unadhani Mungu anamwonaje? Anamwona kwamba ana imani na yeye ni kipenzi chake kama Abraham na Sara au ni mtenda dhambi? Nikikusanya majibu ya maswali hayo, conclusion yake ni kwamba Anachokifanya ni dhaambi kwa sababu hakitokani na Mungu wala hakina baraka zake'

Blessings ila hii mambo yenu ya kupotea sana hata kunapokua na nafasi ya kupost hata week/weeks akina Seleli wanapopumzika au kabwa na huduma nyingine kwingi ktk media na hivyo  nafasi  inakua kubwa kwa wengine maana wengine wasione hawana nafasi kwa bidii za akina Edwin za 24/7 almost halafu bado kubaki kimya ma-weeks na nyie mpo na mna grace na vyakula vingi, haitusaidii sana humu ndani, plz badilikeni wote na wa kwanza wao wewe  Emma, ok? don't die with your gift Meen ilihali tuko wengi humu tunataka kula na kunywa ikibidi kila leo, safi sana tu, kwa nini tujazwe kichwani na moyoni mastory ya town, magazeti ya udaku, Siasa na ma-novels ya love na mikasa ya life na movies  kila leo na tamthilia za Isindingo na Acapulucoo badala ya  Neno na mambo ya Mungu na utumishi hata maisha yetu na Imani hii?

Ila na ushuhuda wako wa kuombwa 'mbegu' na yule Maza, nimebloo kabisa dah! Dunia hii ina mambo and hongera kweli kwa kufahamika upstairs kuna uko  wamo sana-tehe ofcoz ni njema iyo kabisa, nani anapenda kufahamika juu kwa kichwa, mbumbumbu? aaaa wapi ila nimeguswa sana/jisikia vibaya dharau ile ya that Wife kwa Mume, lo! mbayaa sana.

Press on,

Edwin Seleli
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages