--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
Patrick, Mtumishi wa Mungu,
Mungu akubariki kwa msg hii, inatupa angalizo na kujichunguza katika maisha yetu ya kila siku. Hata hivyo ili tupate full msosi, ninaomba uya-expand zaidi mambo haya matatu;
· Moja ni Mambo gani yanayoweza kutufanya wapendwa tukajikuta tumeipungukia Neema ya Mungu,
· Mbili ni nini dalili zinazoonyesha kuwa mpendwa kaipungukia Neema ya Mungu, ili nizionapo niweze (kwa haraka) kumsaidia mpendwa mwenzangu,
· Tatu ni kwa jinsi ipi mtu aliyeipungukia Neema ya Mungu anaweza kurejeshwa katika Neema hiyo.
Sitajali sana hata uwe ni mkeka kiasi gani!!! Naamini na wapendwa wana SG pia hawatajali. Natamani sana na ninausubiri mkeka huo kwa hamu.
Keep on digging
Mathew.
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi
wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
Kamera ya Bwana Yesu,
Asante kwa Fundisho la Mitume. Nimeelewa, nimepata kitu kamili na kubarikiwa kiukweli. Nime-copy na ku-paste. Barikiwa Mtumishi.
Keep on digging,
Mathew.
Patrick,
Barikiwa sana Mtumishi, specifically nimeipenda sana hii “Mti hauzai matunda mema ili uwe mwema, hapana bali mti ukiwa mwema basi utazaa matunda mema” . To me thing is a wonderful quote. JW Msella, Jei Wi wa Bwana Yesu asante kwa additional inputs. Umeniongezea ufahamu kwenye uelewa wangu. Hebu ona hii “Neno la Kigiriki lililotafsiriwa "kutimiliza", kwa mujibu wa kamusi ya Strong (Strong's Hebrew and Greek Dictionary) maana yake mojawapo ni "to fill (up), (be, make) full, complete"; yaani, kufanya kitu fulani ambacho kilikuwa na upungufu fulani kuwa kamili.” Edwin na SG wote hii church taaamu sana wapendwa. Maria (mama wa ma-link) atukuzwe Mungu aliyekupa ufunuo huu.
Mathew.
From: strictl...@googlegroups.com [mailto:strictl...@googlegroups.com]
On Behalf Of Patrick Kamera
Sent: Jumanne, Mei 07, 2013 8:04 AM
To: strictl...@googlegroups.com
Subject: Re: TUSIIPUNGUKIE NEEMA YA MUNGU
Edwin na wana SG wote,
Joel Msella,
I ririzi Mwaaaa to this...Sisi tunapomtolea Mungu, kuomba, kufunga, nk kamwe matendo hayo hayatufanyi tuwe na haki zaidi bali yanatufanya tuweze kuwa kumtumikia Mungu kwa mali zetu na kuwa karibu naye katika ibada na maombi. Ni makosa makubwa kufikiri kuwa tunaweza kufanya matendo ya sheria ili Mungu atuhesabi kuwa ni wenye haki.
Ndio maana mtume Paulo aliwaandikia Wakristo waliokuwa kule Galatia:
Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa?Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili? Mmepatikana na mateso makubwa namna hii bure? Ikiwa ni bure kweli. Basi, yeye awapaye Roho na kufanya miujiza kati yenu, je! Afanya hayo kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? Kama vile Ibrahimu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki. Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu. Na andiko, kwa vile lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu atawahesabia haki Mataifa kwa imani, lilimhubiri Ibrahimu habari njema zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote watabarikiwa. Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Ibrahimu aliyekuwa mwenye imani. (Wagalatia 3:1-9, msisitizo wangu)
Kwa iyo mie mjinga siyo? umenitukana Joel..aaah? hahahah...come on...cheers
ooh meen..i love your inputs, great job Jo, the above para in yellow and red, is a huge thing, indeed foundational faith ingredient
NB: Maswali mengine, yasipojibiwa na wewe au Patrick then, malaika Gabriel, will do..tehe!
Pia NEVER FORGET KILE KIPANDE/SOMO LA MOTIVE BEHIND UTOAJI, AS LONG AS JESUS WILL DELAY, WILL SUFFOCATE YOU BADLY KUKUkUMBUSHA AND i think you know my ''anointing'' ya kukomaa...hahahahaha...Natamani bro wangu ulete ilo somo coz God has blessed you with oil from above not vaseline from Tandale.
Press on,
Edwin Seleli
2013/5/6 jwmsella . <joel....@gmail.com>