KUTUMIA MUDA MREFU MNOO AU MFUPI SANA KUPATA MAFANIKIO KTK HUDUMA

20 views
Skip to first unread message

Seleli Edwin

unread,
Aug 18, 2014, 12:14:25 AM8/18/14
to strictlygospel
Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi Enyi nyote,

UKIANZA HUDUMA NA KWA MUDA MFUPI au HATA MFUPI SANA UKAWA NA MAFANIKIO MAKUBWA SANA NA WALA HUKUSOTA SANA HADI UFIKIE MAFANIKIO HAYO HASA YA KIKANISA- mfano Kua na Watu/Wana/Kondoo Wengi, Mali ya Kanisa na Binafsi kubwa/nyingi sana, Umaarufu na Heshima ktk Jamii, uwezo Mkubwa kufanya Mikutano na Seminar Live na ktk Media, WAGA KUNA WALAKANI AU NI MTAZAMO WA ZAMANI NA KUNA WIVU TU WA KAWAIDA WA WANADAMU?

Lakini Je hawa ambao wanaonekana kua hajawafanikiwa kwa maana ya Juu, hawamjui Mungu kweli au ivyo ivyo Walivyo, ni Mafanikio tosha sana kwa Mtazamo wa Ki-Mungu, tehe?

Au hawa hao Wanaoonekana Wamefanikiwa kwa muda mfupi sana, kweli kuna mambo mambo ivi, ukichunguza kwa undani au? tehe tehe!

All in All, ktk Biblia, kuna namna tunaweza draw some fununu Lini na muda gani utumike KABLA ya kufikia Mafanikio ya Ki-Live ktk huduma?

Mmmh! yangu Macho na Masikio kujifunza

Press on,

Edwin Seleli

Jerome Kaera

unread,
Aug 19, 2014, 9:32:45 PM8/19/14
to strictl...@googlegroups.com
AMINA Mtumishi!
hii mada ni mada changamoto kwa sababu zifuatazo:-
KWA MAONI YANGU
1. Kufanikiwa au kutofanikiwa kwa mtu wa Mungu au Mwamini kupo ktk
MAPENZI MAKAMILIFU ya Bwana, nikiwa na maana MUNGU anamakusudi fulani
kwa kila mmoja wetu, Mungu anaweza kumfanikisha mtu fulani ili
kuaminisha wengine au wasiomwamini waweze kumwamini kuwa anaweza yote,
yaani aweza kumtajirisha mtu, Pia wakati mwingine Mungu anaweza
kusotesha mwingine ili wengine waone hata mtu akikosa mafanikio bado
Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote, tukiwa navyo ama tusipokuwa na
kitu.
2.Mungu hatendi au hatatenda lolote lililoandikwa katika BIBLIA eti
kwa sababu kasema au kwa sababu limeandikwa katika Biblia ! MUNGU
ATATENDA KWA SABABU UMEAMINI TU, sio kwa sababu umesoma, umefundishwa
na umelikariri ila UMELIAMINI NENO LAKE!
Hivyo YEYOTE ANAYELIAMINI ATAPOKEA NA LITAFANYA KAZI MAISHANI MWAKE,
usipoliamini NENO la MUNGU utabaki MWANADINI, HUTAPOKEA CHOCHOTE TOKA KWAKE.
> --
> Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili
> wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia,
> kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu.
> Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424.
> Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
> Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>
> Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>
> Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
> strictlygospe...@googlegroups.com
>

Cathy Marco

unread,
Aug 27, 2014, 5:49:56 PM8/27/14
to strictl...@googlegroups.com
mungu humgawia binadamu mafanikio kulingana na alivyo mbele zake haijaishi ni kwa mda MFUPI AU MREFU, that is why mingine kaomba leo nakujibiwa hapohapo mwingne kaomba miaka hadi miaka bila jibu mtazamo wangu,
barikiwa kwa mada  ewe mjumbe wa Mungu.

Seleli Edwin

unread,
Sep 14, 2014, 10:37:13 PM9/14/14
to strictlygospel
Cathy, ubarikiwe kwa kutia bidii kama mdada humu, wengi wako kimya miaka sasa great lady, keep it up!

Umesema....''mungu humgawia binadamu mafanikio kulingana na alivyo mbele zake haijaishi ni kwa mda MFUPI AU MREFU, that is why mingine kaomba leo nakujibiwa hapohapo mwingne kaomba miaka hadi miaka bila jibu

SWALI: Wako wapagani lakini Mungu anawabariki kabisa  na wanafanikiwa asikwambie Mtu, vipi hao? hata NENO limesema Yeye huwapa mvua/jua wema na WAOVU! au wale ulisoma nao why wako walikua full ze lager drinking and uhuni boys/girls lakini walikua wana akili sana hata kudaka namba za juu na marks darasani kuzidi wajaa Roho kadhaa? why akili mingi-mingi-baraka iyo inayompelekea kufanikiwa maana atasonga mbele na kua Katibu wa Wizara au mvumbua mitambo, asipewe mpendwa? see my point? ayaa lete nondo dada

By the way, usiandike hivi..''mungu'', andika ivi..''Mungu''.

Press on,

Edwin Seleli

Seleli Edwin

unread,
Sep 14, 2014, 10:37:13 PM9/14/14
to strictlygospel
Jerome Kaera,

EXCELLENT INDEED FOR THIS my brother....''Mungu anaweza kumfanikisha mtu fulani ili kuaminisha wengine au wasiomwamini waweze kumwamini kuwa anaweza yote,yaani aweza kumtajirisha mtu, Pia wakati mwingine Mungu anaweza

kusotesha mwingine ili wengine waone hata mtu akikosa mafanikio bado
Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote, tukiwa navyo ama tusipokuwa na
kitu''

Il swali on this....''ATATENDA KWA SABABU UMEAMINI TU, sio kwa sababu umesoma, umefundishwa na umelikariri ila UMELIAMINI NENO LAKE!'',......mbona Tunamwamini sana kabisa LAKINI BAADHI hayatendeki-huo ni ukweli tu kabisa, nini icho? kuna mambo hata wewe una/umemwamini sana ila hadi leo bado bila-bila tu na yatakua/yamekua kavu-kavu hadi leo! yup? sema kweli tu!

Sasa ikiwa hiki umesema hiki...''ATATENDA KWA SABABU UMEAMINI TU, why bila-bila on some if not to some many issues? sema/fundisha kitu hapo

Press on,

Edwin Seleli

Jerome Kaera

unread,
Sep 16, 2014, 9:08:32 PM9/16/14
to strictl...@googlegroups.com
Mpendwa Seleli,

Mambo ya Mungu hayawezi kuchunguzika kwa akili zetu. Hakuna
linaloshindikana kwa Mungu wetu. Ukitaka jawabu la UHAKIKA TOKA KWA
MUNGU ni LAZIMA kumuuliza YEYE ajuaye hatima yetu, Hapa tutakuwa
tunashirikishana mitazamo yetu tu. Kushirikishana mitazamo au
experience zetu ni jambo jema pia.

Kwa mtazamo wangu Mungu YEHOVA hachunguziki wala njia zake au
MAKUSUDI yake kwa kila mmoja hayajulikani ila yatajulikana kwa maombi
tu ukiomba. Mungu hakopi {copy} njia za utendanji. ANGEKUWA anarudia
njia zake tungejua au bashiri atakalotenda,
AKISEMA ATAKUBARIKI NI LAZIMA UAMINI HIVYO na endelea kuombea baraka
hizo mpaka zitakapotimia, Sasa atakubariki LINI?? Hapo NI YEYE ANAJUA
SASA TUKIRUDI KWENYE MADA MAFANIKIO MAKUBWA AYAPATAYO MTUMISHI WA
MUNGU MUDA MFUPI BAADA YA KUANZA HUDUMA YAKE. NA WATUMISHI WENGINE
WANAOPATA MAFANIKIO KWA KUSOTA SANA AU BAADA YA MUDA MREFU KUPITA
BAADA YA KUANZA HUDUMA.
Kwa mtazamo wangu mimi naona mtumishi wa Mungu wa jinsi hiyo
[ANAYEBARIKIWA BAADA YA MUDA MFUPI] anaweza kuanguka ktk tanzi baada
ya muda mfupi kwa sababu huenda hajapitia majaribu [shuke za kiimani]
ambazo zingemwezesha kusimama wakati wa majaribu ya kihuduma.
MFANO WA MTU ALIYESOTEA HUDUMA MUDA MREFU NA KUSIMAMA KATIKA IMANI NA
SASA ANAONA MAFANIKIO MAKUBWA NI Prophet TB Joshua japo baadhi
watumishi hawaiamini huduma yake.

BARIKIWA!!!!
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages