![]() |
||||||||||||
|
||||||||||||
![]() |
|
This message was sent to mkiwam...@yahoo.co.uk from:
Got Questions Ministries | 6050 Stetson Hills Blvd., #254 | Colorado Springs, CO 80923
|
|
| Manage Your Subscription | Forward To a Friend |
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
Priests are not allowed to Drink Wine in All circumstances
Introduction
Are Christians priests? When do they work as priests? What is the Temple of God today? These questions steer the debate that disturbing scholars in our contemporary world, about wine or alcohol to be useful as refreshment to Christians. Is it sin or unethical for Christians to drink alcohol? Leviticus 10:8-11.
Then the LORD said to Aaron, "You and your descendants must never drink wine or any other alcoholic drink before going into the Tabernacle. If you do, you will die. This is a permanent law for you, and it must be observed from generation to generation. You must distinguish between what is sacred and what is common, between what is ceremonially unclean and what is clean. And you must teach the Israelites all the decrees that the LORD has given them through Moses." (NLT)
My argument tries to communicate the truth from this text and show the reason behind the command of God to the priests in the Old Testament, based on the wine prohibition which I believe was the cause of their mistake. The paper starts by looking at the position of the sons of Aaron and what makes them to be punished to death, as well as to the position of priesthood in the New Testament. The solution to these critical questions discussed tries to remove some confusion by drawing the insights, which can lighten the meaning of this text to the point of understanding the reason behind the sin of Nadab and Habihu, and the position of Christian believers today in terms of drinking wine and other alcoholic drinks.
Nadab and Habihu Were Priests
The commandment we read in Leviticus 10:8-11, speaks about the action of God against the sons of Noah who put unauthorized fire in their censers at the time of service in the Tent of Meeting, while people of Israel traveling in the desert from Egypt. Before the death of these two sons, the Bible says clear that they were priests under their fathers, who was appointed to be the High Priest, when Israelites were in the desert traveling to Canaan. It is spoken six times in Exodus “so they may serve me as priests” (Ex 28: 1, 4, 41; 29:1; 30:30; 40: 14-15). The Lord is the one who ordered Moses to anoint Aaron and his sons. “Have Aaron your brother brought to you from among the Israelites, along with his sons Nadab and Abihu, h Eleazar and Ithamar, so they may serve me as priests” (Ex 28:1). The Bible sets clear that their priesthood is theirs by a lasting ordinance or will continue for all generation to come (Ex 29:9 and 40:15).
The text begins with the Lord’s commandment to those who minister in His house to avoid wine or other alcoholic drinks before entering in the service. This text is precede by the punishment of the Lord to the sons of Aaron in their first mistake. In the passage we see the phrase “unauthorized fire” mentioned after their death. At that moment, the Lord gives the commandment to all priests that they should avoid wine or other alcoholic drinks.
Drinking Wine Possibly Is the Sin of Nadab and Habihu
The death of Nadab and Habihu is caused by the mistake done by these two sons. The writer stresses on the unauthorized fire in their incense before the Lord. The question is, why they put unauthorized fire while they new what kind of fire needed in the certain action? Why all of them did not distinguish between authorized and unauthorized fire? These questions are so important and can lead us to discover that both were confused or were in a state that they cannot distinguish between the sacred things and what is common.
Another point that can help us to agree that the causal of their mistake was wine and led them into confusion, in which they used unauthorized fire, is the Word of the Lord to Moses. Short moment after the death of Nadab and Habihu, the Lord gives instruction to Moses pointing the position of priesthood that they should not drink wine and any alcoholic before going in the Tabernacle. Most of scholars agree that every law was given to deal with the specific problem. This command of the Lord was given immediate after the death of these sons. It is clear that there is no connection between this command and other event rather than the mistake done by Nadab and Habihu.
The command prohibiting the priests from drinking "wine or other alcoholic drink" (10:9) may advocate that drunkenness was a possible reason in their sin. The actionopposite to the will of God and the instant decision that God makes, was a vivid example of what it destined of a person to be "cut off from his people." 22 times in the large text from Exodus 12:15 through Numbers 19:20, the Lord speaks different reasons in which a person can be cut off from his people. God does not mention anywhere that unauthorized fire could lead a person to death. The event of unauthorized fire is found only in passage that we discuss, followed by the judgment of Nadab and Habihu. This facilitates the commandment of the Lord to the restriction of drinking wine or ather alcoholic drinks before entering in the tabernacle. As it is summarized by Moses in this moral story as summarized by Moses is that those who have the privilege of being nearest to God’s service must bear extraordinary responsibility to demonstrate His holiness and glory.
We can sight this truth from other scriptures which support the argument to show the outcome of drinking wine and fermented drinks. “Wine is a mocker and beer a brawler; whoever is led astray by them is not wise” (Prov 20:1). "… not for kings to drink wine, not for rulers to crave beer, lest they drink and forget what the law decrees, and deprive all the oppressed of their rights, (Pr 31:4-7). This reveals what the science discovered when a person takes alcoholic into his/her brain. Alcohol goes directly and affects the brain by creating an unnatural intellectual brilliance. The research made by National Safety Council and California Department of Alcohol and Drug Programs gavethe result of 10 percent in the body becomes clumsiness, uncoordinated behavior, impairment of mental abilities, judgment and memory, while 40 percent of brain of drinker is usually unconscious. a
The tension comes from punishment of God that led to death of Nadab and Habihu was followed by the command to prohibit priest from drinking wine or alcoholic drinks.The act of the Lord was to deal with the current problem so that it cannot be repeated again. I am convinced to believe that, God was dealing with the cause of problem as has been doing to other commandments. This brings the possibility of drinking wine to be the cause, in which these sons of Aaron failed to distinguish unauthorized fire from authorized one, and take into consideration to what The Lord had said. The prohibition against wine or other alcoholic drink was possibly intended to set their minds clear to fulfill their priestly responsibility of distinctive ability between the holy and the profane, between the unclean and the clean, and able to teach the Israelites the rules of God which brought to them through Moses as well as to make decisions about complicated cases.
The restriction was limited to priesthood position
This text we are discussing, show that the Lord’s command is limited to Aaron and his sons to their position of priesthood. The point to consider is that, they are not allowed to drink wine or alcoholic before going in the Tent of Meeting and this is connected to the lasting ordinance of priesthood. The history of Israel shows the development of the place of worship. In the desert, the place was in the Tent of Meeting, when they settled in Canaan, the Tabernacle continued until the time of Solomon the King, who by the order of God, he built the Temple. From that time, the Temple was used almost all of the Old Testament and was destroyed in 70ADE. Priests were at work under God’s order that they should not drink wine or any alcoholic drink before entering in the Temple. The destruction of the Temple gives new insights in which we should ask ourselves, is there another temple for worshiping God? What is the temple? Is there High Priest and priests to fulfill the task of worship before God? Who are they?
In answering these questions, the principles should be used in which God’s order is to be observed. The tension of God is illustrated in the text we discus, because the work before God needs clear conscience as He says, “You must distinguish between what is sacred and what is common, between what is ceremonially unclean and what is clean. And you must teach the Israelites all the decrees that the LORD has given them through Moses(v. 10-11). "In order to apply this order to our time, understanding the principles is very important. The principle in this text is clear; “priests should not drink wine or alcohol before entering in the Tabernacle” If we still having Priests and the Temple today, the principle in which God restricts the wine, is compulsory.
All Believers Are Priest, kings, and Temple of Holy Spirit
All believers are categorized in two aspects, priests and temple of God. This is the work of Jesus Christ to those who believe in him. We read this in the book of Revelation 1:6 “…and has made us to be a kingdom and priests to serve his God and Father…” As kings, the Bible says in Proverbs 31:4-5 “It is not for kings, O Lemuel not for kings to drink wine, not for rulers to crave beer, lest they drink and forget what the law decrees, and deprive all the oppressed of their rights. As Priests the Bible says, "You and your descendants must never drink wine or any other alcoholic drink before going into the Tabernacle. If you do, you will die. This is a permanent law for you, and it must be observed from generation to generation” (Lev. 10:9; 1Pe 2:5, 9). Believers are also called the Temple of the Holy Spirit. “Do you not know that your body is a temple of the Holy Spirit, who is in you, whom you have received from God? You are not your own (1Cor 6:19). What agreement is there between the temple of God and idols? For we are the temple of the living God.”
The big question rises; in which time and where believers should worship God? We can draw the answer of this question from the statement of Jesus in John 4:21-24. “…a time is coming when you will worship the Father neither on this mountain nor in Jerusalem. Yet a time is coming and has now come when the true worshipers will worship the Father in spirit and truth, for they are the kind of worshipers the Father seeks. God isSpirit and his worshipers must worship in spirit and in truth."
The Priesthood of Believers is Perpetual
The priesthood in our time is in daily service. As long as we are in Christ, the work of offering sacrifices has no specific time but is done twenty four hours. The answer of Jesus to the Samaritan woman sets clear that the place of worship changed from specific place into the hearts of believers. Another point is that the time of worship as changed to perpetual, which means all the time, believers are supposed to offer spiritual sacrifices to God. In this account, there is no time where we can have an ample time to refresh ourselves with wine or other alcoholic drinks. As Priests of the New Testament we are advised to get our refreshment in the Holy Spirit. Here in Africa we have no problem of drinking wine. All born again Christians believe in not taking alcoholic as refreshment. The text of Paul in Ephesus 5:18 as it is supported by the text in Leviticus we discuss, Paul says, “Do not get drunk (be under the influence of) on wine, which leads to debauchery. Instead, be filled with the Spirit.”
The text we discuss matters to African perspective. Here in Africa, we do not take the order of the Lord to priests in a literary and apply it, but we dig in the context of how the action was taken, what was the problem, what forced the Lord to formulate the law, and why for this time. By separating the sin of Nadab and Habihu from the command of the Lord against wine and alcoholic drinks to the priests, we totally loose other supporting scripture in which God’s intent brings the commandment that priests should avoid alcoholic drinks.
Basically, African culture gets support from this text. From the beginning in African history, those who are in the position of leadership in the community, and those who were in the position of serving ancestors, were not allowed to drink wine. It wasshameful to be found in the place where the wine and alcoholic drinks found. This was one of the principles that can remove somebody from his/her position of leadership. Of cause, here in Africa drinking wine is not only an ethical, but is among the big sins as adulteryand fornication. When we read and preach from Leviticus 10:8-11, we get support from people’s hearts, because it is their nature to those chosen people that they should not refresh themselves in wind and other alcoholic drinks.
Conclusion
As we have seen in my argument, God through Jesus Christ has positioned all believers in a special rank. They are in the Kingdom of God, they are priests, they are God’s Temple, and they offer daily spiritual sacrifice. Furthermore, believers should worship God in the spirit and truth. Romans 12:1 offer a clear conclusion that to “…offer your bodies as living sacrifices, holy and pleasing to God, this is your spiritual act of worship. Do not conform any longer to the pattern of this world, but be transformed by the renewing of your mind. Then you will be able to test and approve what God’s will is his good, pleasing and perfect will.” These qualities offer the clear understanding in which my argument lays. First, we are priests and our offering work is a daily task. Second, we are the Temple of Holy Spirit. The critical question will stand still: Those who support wine as refreshment to Believers in Christ, in which angle they draw conclusion that drinking alcoholic is not sin or unethical, especially when it used as refreshment?
Nimepata mwanga na hili fundisho. Ingawa mie sio munywa pombe, ila najua Roho wa Mungu alie ndani yetu husema nasi na utamuona alieokoka kwa kawaida hajisiki hata kuigusa. Wengi sana huwa hawanywi ingawa ktk kikundi hicho hicho wanichukulia kama Desturi kuwa walokole haturuhusiwe kunywa pombe.
Wengine wakienda kushuhudia na wakakutana na watu wanywa pombe lafu wakaokoka wanamwambia mtu huyo, "umeshaokoka na unatakiwa kuacha pombe na pia usivute sigara" sawa, lakini sio lazima umtaarifu maana Roho wa Mungu ambae tiari amekaa ndani yake nikumpa cheo yeye sasa ni mwana wa Mungu atamshuhudia taratibu halafu atakausha ile kiu yake bila hata ya wewe kumshututisha.
Nimeshukuru Kweli kwa wandugu kuchangia hapa.
Kama nimekosea hebu sahihisha tafadhali ili tujifunze tuu.
Barikiwa
-Caroline (CM)
From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.
From : Seleli Edwin
To : strictl...@googlegroups.com;
Sent : 11/19/2013 2:00 PM
Subject : Re: QOTW - Is it a sin for a Christian to drink alcohol?
--
|
Kunywa pompe siyo ndambi,lakini ulevi ni dhambi kabisa. Wakristo wengi wanaacha kunywa pombe ili isiwaingize dhambini.
Pamoja na ile RM hashirikiane na wanaokunywa pombe. Hivi ukitaka upako usikunywe pombe.
Tena kuchapa injili ukianzia kukataza pombe, ni kupungukiwa sana. Lengo la injili ni kuamini kam Yesu ni mwana wa Mungu....
Inapofika jambo la pombe hii inalenga kukua kiroho.
![]() Alphonse Ziragora -------Message original-------
De : cmushi.carol
Date : 11/20/13 00:38:10
Sujet : Re: Re: QOTW - Is it a sin for a Christian to drink alcohol? |
-- |
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370 Blog: www.strictlygospel.wordpress.com Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email: strictlygospe...@googlegroups.com |
"For we have not an High Priest [see also High Priest to King of The World] which cannot be touched with the feeling of our infirmities; but was in all points tempted like as we are, yet without sin." (Hebrews 4:15 KJV)
"And saith unto him, Every man at the beginning doth set forth good wine; and when men have well drunk, then that which is worse: but thou hast kept the good wine until now. This beginning of miracles did Jesus in Cana of Galilee, and manifested forth His glory; and His disciples believed on Him" (John 2:10-11 KJV)
"And He took the cup, and gave thanks, and gave it to them, saying, Drink ye all of it; For this is My blood of the New Testament [see also Covenant and Testament], which is shed for many for the remission of sins. But I say unto you, I will not drink henceforth of this fruit of the vine, until that day when I drink it new with you in My Father's Kingdom" (Matthew 26:27-29 KJV) [see also "Thy Kingdom Come" - When?]"The Son of man is come eating and drinking" (Luke 7:34 KJV)
Some people choose to totally abstain from alcohol, and the Scriptures don't say that they should start."For John the Baptist came neither eating bread nor drinking wine; and ye say, He hath a devil. The Son of man is come eating and drinking; and ye say, Behold a gluttonous man, and a winebibber, a friend of publicans and sinners!" (Luke 7:33-34 KJV)
"And whosoever speaketh a word against the Son of man, it shall be forgiven him: but whosoever speaketh against the Holy Ghost, it shall not be forgiven him, neither in this world, neither in the world to come" (Matthew 12:32 KJV)
"Who hath woe? who hath sorrow? who hath contentions? who hath babbling? who hath wounds without cause? who hath redness of eyes? They that tarry long at the wine" (Proverbs 23:29-30 KJV)"Be not among winebibbers; among riotous eaters of flesh: For the drunkard and the glutton shall come to poverty" (Proverbs 23:20-21 KJV)"And be not drunk with wine, wherein is excess" (Ephesians 5:18 KJV)"Let us walk honestly, as in the day; not in rioting and drunkenness, not in chambering and wantonness, not in strife and envying." (Romans 13:13 KJV)
Du! creti moja and no kulewa!!!!!!!!!!! that person is severely demonised aisee! lo!Magret,
Anyway, what is needed ya kujifunza toka this topic is clear...otherwise ni kufosi concepts into scriptures no matter how sweet and spiritual may be... Ndio na iwe ndio, hapana, hapana..It is PLAINLY AND CLEARLY Written Yesu mwenyewe our role mode change Water into Wine, thas it, deal done, no less or more maana yazidiyo hapo yatoka kwa muovu kama ilivyoandikwa au in this case, yatoka kwa good man-made efforts yet none, rarely or remotely scriptural backed up.Press on
Hata Mungu asingesema Pombe HAIFAI, yenyewe tu tayari sio nzuri "by nature". Kinywaji gani ambacho UKINYWA KINAVURUGA AKILI na kikawa chema? |
| >>strictlygospel+unsub...@googlegroups.com |
>> > > -- > Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili > wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, > kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la > Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 > 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk > Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370 > > Blog: www.strictlygospel.wordpress.com > > Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email: |
> strictlygospel+unsub...@googlegroups.com |
> > -- > Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili > wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, > kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la > Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 > 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk > Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370 > > Blog: www.strictlygospel.wordpress.com > > Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email: |
> strictlygospel+unsub...@googlegroups.com |
> -- Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370 Blog: www.strictlygospel.wordpress.com Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email: |
strictlygospel+unsub...@googlegroups.com |
John Rwezaura,
Kwamba wamisionari wa Ulaya na baadhi ya maeneo ya bara America, wengi wao hawajui hata kuzaliwa mara ya pili ni nini!.....linahitaji ufafanuzi wa uangalifu kweli! A u solidly sure? I HAVE A DIFFERENT EXPERIENCE ABOUT THEM kwa miaka 21 ya Utumishi wangu nao toka Nchi izo toka Nimeokoka kijana mdogo mpaka leo Mkaka mkubwa wa nguvu kuanzia shuleni, Vyoni and Makanisani TZ. Unless tunaongelea aina mbalimbali za Wamissionari na labda tuna maana tofauti ya nini/nani ni Mmssionari!
Napata shida sana na tafiti na tamko zako dhidi ya Wazungu-ambao kimsingi, wapo brothers and sisters strictly Holy Spirit filled and lovers of our Lord Jesus Christ and who mean business. Were your tafiti done among the strictly born again Churches? After all if yes and if found that that they real drink( hopeful not drunk) are they sinning? Will say with maximum finality that they will all be dropped in the hell as you titled your post.. IT IS SIN to drink alcohol?! Are u real very much sure of your statement is as from God or mere man utterances out of sufferings from his own one sided perception? And another delicate thing is this, do you think that you and with your fellow Watafiti would come up leo na VERY SPECIAL AND SPECTACULAR HIDDEN TRUTH/FACT ABOUT THIS SUBJECT WHICH as smart and advanced Wazungu are, failed all these decades past to see through? I am afraid you will have to reverse the data collection duty for the restart of the new research.
In this respect kua..’’Tatizo moja tu ambalo liliwasumbua, karibu maeneo yote Ulaya ni baridi kali sana. Njia pekee ya kupambana na baridi, ni kunywa alcohol kidogo ili kutunza joto mwili, ….I would make you see this way, Nyumbani kwetu Unyamwezini na Uhayani-Rushasha Kiziba kwa Umwami Rutanjuka, kuna joto kulinganisha na baridi ya Ulaya yet kuna local wine za karne, ni part ya chakula…joto or baridi not an issue indeed, tutafute hoja nyingine la sivyo kwetu kwa Mama-kwenye joto, ‘’olubisi’’ wine, isingekua na makao yake katikati ya Wanadamu wale wajomba zangu abalangila na abatwale, wampulilaa waitu Rwezaura?
Unajua tunapokua ktk debate na kujaribu kuleta ukweli peupe badala yake kukuanza kuletwa hisia binafsi badala ya kuleta ‘’cutting across and self-defending points’, ni dalili tosha kua aidha Mtu huyu ameshindwa kabisa kusimamisha hoja yake mbele ya hoja nyingine za nguvu sana au basi tu ni yake yale nayoyaitaga mie mambo ya kipendwa yasikuaga na cemented ground ya sijui hekima, woga-woga, kuogopa-ogopa kua huru na kuongea/share kwa hakika unalojua, siju upole gani ule wa kukimbia na kusema, namwachia Bwana siju au kinywa changu kimefungwa au ku-spiritualize na kusema kinywa kimezuiwa na BWANA kunena nk kumbe ukweli uliopo ni mwingie kabisaa namely ameshindwa kujibu au basi hataki tu kukiri hajui au hataki kukubari kua amejifunza jambo jipya na ku-appreciate/kubariki-sort of pride fulani ivi kukaushia mambo.
Hakuna anayetetea pombe hapa, usitwist mambo John, tuna face the truth ktk Yoh.2:1-11 na kuangalia tukiwa ktk kufundisha hapo, tutasema nini mbele ya Wanafunzi machachari, ivyo tu basiiii , hii mambo yako ya kusema tunatetea pombe na nini sijui, weka pending kwanza , wewe lete hoja against challenges tunazotoa, hakuna haja ya kuwafanya wenzio no kiroho, hili halisadii kwa kua kiroho hakiondolewi na kuface ukweli na kusema Ndio ni Ndio na hapana, hapana. Hatuwezi jenga Watu kiroho au watoto wachanga kwa UWONGO wa kuingiza by-laws zetu ktk main-Laws za Mungu yaani Neno lake kama lilivyo. Mungu kuacha Bible iwe wazi kwa kila Mtu kwa hakika ni smart na humfikii kwa kujali na kua concerned na Watoto wachanga ambao hata ivyo anawazaa Yeye huyo huyu mwenyewe Mungu Baba aliyetoa Neno na kurusu mambo hadharani yaandikwe likiwemo la Arusi ya Kana kwa alichokifanya Mwanae Mwenyewe kabisa.
Kuna Maswali unasema ya Msingi ambayo mimi na Patrick, hatuyasoma wala kuyajibu, mh! kweli? well, nitayapitia !
Press on
John Rwezaura
Naona umebarikiwa kua sinywi na hata kuniuliza kwa nini sinywi! Wakati mwingine, unaweza katazwa kitu kwa uwongo na vitisho tu na ikakuingia kweli kwa ujinga wa kutojua jambo na mpaka ikawa sehemu ya maisha yako lakini kumbe ukweli, icho walichoniambia/fundisha ni uwongo tu kama uwongo mwingine. Nadhani unakumbuka wakati tunaokoka miaka iyo, hata kupita karibu na bar au kunywa supu ya kongoro hapo au kuhamisha creti la bia likae pembeni ukae vema hapo labda mko harusini ya ndugu hawajaokoka/ kushika chupa ya pombe, kukari nywele, kunyoa kipara, kuvaa laizoni, kupiga sopu-sopu saluni za kiume, kwenda beach kulax, kuogelea nk, ilikua almost au ni dhambi na ungeweza kukutana na vikao vikali vya Uongozi wa kanisa kama si wewe mwenyewe kujisikia umeanguka and then kutafuat siku 2 za kufunga kavu, kujitakasa kwa kufanya dhambi kubwa sana izo
Kwa iyo, kwakua sikuwahi kunywa kabla na baada ya kuokoka, haimaanisha moja kwa moja kua nilielewa sana kweli bali pia kazi ya uwongo niliojazwa, vitisho, makemeo, kutiwa hofu,ujinga wa kutofahamu mambo ktk upana wake.
Nadhani pia usisingizie kila kitu Viongozi wa Dini zetu ndio walitutafsiri vibaya walipoona live ktk Neno kua hakuna clear-cut statement kuzuia pombe kunywa-(ya kuzuia Kulewa yapo mengi).Bila hata viongozi wa dini wala kwenda Bible College hata bila kusumbuka na tafiti-maana si yote ktk Neno ni ya Tafiti hata kidogo, nikisoma Kiswahili changu tu cha Tz na kisha Ka-Kiingereza kangu niliko nako kwa kujaaliwa na Baba andiko hili..Yoh.2:1-11, naelewa bila ufunuo wala hekima kubwa na ndogo kua ‘’Water was changed into Wine, simple! Why Utafiti or Ufunuo there? what for? Utafiti au Ufunuo uje ktk Maneno kama ‘’ninyi msiponila na kuninywa mimi’’, ‘’Kabla Ibrahim kuwepo, Mimi nipo’, ‘’Mimi Niko ambaye Niko’’, ‘Nami nawaambia jifanyieni Urafiki kwa Mali ya udhalimu ili’’, ‘’ukipigwa shavu la kulia, geuza na la kushoto, ‘’Amini Amini nawaambia, wapo waliosimam hapa ambao hawataonja mauti mpaka waone Ufalme’’, nk but hili la Wine drinking wedding! mmh! no chance for such dimensions.
Tukubali tu kweli iyo iliyotokea Kana pale maana kuikataa na mtapata tabu kweli na ni hatari kusema with finality ‘kua kunywa pombe ni dhambi wakati MWENYEWE anayejua Yote, mwenye Utakatifu Wote na mwenye seriousness YOTE alitengeneza iyo unayoiita wewe husiye na viwango vyake kua ni dhambi, Are u accusing Jesus, making Him a sinner while the Bible tells of Him as sinless one? How can someone make a sin or make people sin(pombe or drinking it as u claim) and remain holy? Think about it for a second! Ndio madhara ya line yako of thinking and argumentation na sijui wanaokusapati wanaona danger iyo ya kum-degrade Bwana!!!!!!!!!!! A serious play/joke indeed and danger zone hanging around ya kukufuru almost!!!!!!!!
Yes andiko huua bali Roho huuisha "- 2Wakor. 3:6, lakini Kumbuka pia balance hii in the same Bible..’’ Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu Mathayo.22:29- na ‘’Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia-Yoh.5:39..the emphasis… yangu ni kipande hiki ‘na hayo ndiyo yanayonishuhudia’’== yanamshuhudia on what?...kua Yeye ndiye hakika kwa Msg zake and Kazi zote alizowahi tenda including MUUJIZA WAKE KWANZA KABISA DUNIANI WA KUBADILISHA MAJI INTO WINE(POMBE). Can you imagine that? Kama vile mnataka bora sura iyo tungeichana itoweke humu ktk Biblia na wala kusiwepo makao yake milele! Lakini Amini Amini nawaambia, sisi tutatoweka na mbingu na Nchi lakini si Maneno na Matendo yake Bwana… ‘Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe- Luka.21:33
Ni vema na inalipa sana kama tuna huruma kweli na mzigo na kizazi chetu, tufanikiwe kuweka msingi mzuri na wenye ufahamu, tukinusuru si tu na pombe bali hatari zote za dhambi na dhambi zenyewe
Nitamalizia tena maoni/maitikio yangu kwa mengine yako kwa jibu lako
Press on,
Edwin Seleli
John Rwezaura
Naona umebarikiwa kua sinywi na hata kuniuliza kwa nini sinywi! Wakati mwingine, unaweza katazwa kitu kwa uwongo na vitisho tu na ikakuingia kweli kwa ujinga wa kutojua jambo na mpaka ikawa sehemu ya maisha yako lakini kumbe ukweli, icho walichoniambia/fundisha ni uwongo tu kama uwongo mwingine. Nadhani unakumbuka wakati tunaokoka miaka iyo, hata kupita karibu na bar au kunywa supu ya kongoro hapo au kuhamisha creti la bia likae pembeni ukae vema hapo labda mko harusini ya ndugu hawajaokoka/ kushika chupa ya pombe, kukari nywele, kunyoa kipara, kuvaa laizoni, kupiga sopu-sopu saluni za kiume, kwenda beach kulax, kuogelea nk, ilikua almost au ni dhambi na ungeweza kukutana na vikao vikali vya Uongozi wa kanisa kama si wewe mwenyewe kujisikia umeanguka and then kutafuat siku 2 za kufunga kavu, kujitakasa kwa kufanya dhambi kubwa sana izo
Kwa iyo, kwakua sikuwahi kunywa kabla na baada ya kuokoka, haimaanisha moja kwa moja kua nilielewa sana kweli bali pia kazi ya uwongo niliojazwa, vitisho, makemeo, kutiwa hofu,ujinga wa kutofahamu mambo ktk upana wake.
Nadhani pia usisingizie kila kitu Viongozi wa Dini zetu ndio walitutafsiri vibaya walipoona live ktk Neno kua hakuna clear-cut statement kuzuia pombe kunywa-(ya kuzuia Kulewa yapo mengi).Bila hata viongozi wa dini wala kwenda Bible College hata bila kusumbuka na tafiti-maana si yote ktk Neno ni ya Tafiti hata kidogo, nikisoma Kiswahili changu tu cha Tz na kisha Ka-Kiingereza kangu niliko nako kwa kujaaliwa na Baba andiko hili..Yoh.2:1-11, naelewa bila ufunuo wala hekima kubwa na ndogo kua ‘’Water was changed into Wine, simple! Why Utafiti or Ufunuo there? what for? Utafiti au Ufunuo uje ktk Maneno kama ‘’ninyi msiponila na kuninywa mimi’’, ‘’Kabla Ibrahim kuwepo, Mimi nipo’, ‘’Mimi Niko ambaye Niko’’, ‘Nami nawaambia jifanyieni Urafiki kwa Mali ya udhalimu ili’’, ‘’ukipigwa shavu la kulia, geuza na la kushoto, ‘’Amini Amini nawaambia, wapo waliosimam hapa ambao hawataonja mauti mpaka waone Ufalme’’, nk but hili la Wine drinking wedding! mmh! no chance for such dimensions.
Tukubali tu kweli iyo iliyotokea Kana pale maana kuikataa na mtapata tabu kweli na ni hatari kusema with finality ‘kua kunywa pombe ni dhambi wakati MWENYEWE anayejua Yote, mwenye Utakatifu Wote na mwenye seriousness YOTE alitengeneza iyo unayoiita wewe husiye na viwango vyake kua ni dhambi, Are u accusing Jesus, making Him a sinner while the Bible tells of Him as sinless one? How can someone make a sin or make people sin(pombe or drinking it as u claim) and remain holy? Think about it for a second! Ndio madhara ya line yako of thinking and argumentation na sijui wanaokusapati wanaona danger iyo ya kum-degrade Bwana!!!!!!!!!!! A serious play/joke indeed and danger zone hanging around ya kukufuru almost!!!!!!!!
Yes andiko huua bali Roho huuisha "- 2Wakor. 3:6, lakini Kumbuka pia balance hii in the same Bible..’’ Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu Mathayo.22:29- na ‘’Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia-Yoh.5:39..the emphasis… yangu ni kipande hiki ‘na hayo ndiyo yanayonishuhudia’’== yanamshuhudia on what?...kua Yeye ndiye hakika kwa Msg zake and Kazi zote alizowahi tenda including MUUJIZA WAKE KWANZA KABISA DUNIANI WA KUBADILISHA MAJI INTO WINE(POMBE). Can you imagine that? Kama vile mnataka bora sura iyo tungeichana itoweke humu ktk Biblia na wala kusiwepo makao yake milele! Lakini Amini Amini nawaambia, sisi tutatoweka na mbingu na Nchi lakini si Maneno na Matendo yake Bwana… ‘Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe- Luka.21:33
Ni vema na inalipa sana kama tuna huruma kweli na mzigo na kizazi chetu, tufanikiwe kuweka msingi mzuri na wenye ufahamu, tukinusuru si tu na pombe bali hatari zote za dhambi na dhambi zenyewe
Nitamalizia tena maoni/maitikio yangu kwa mengine yako kwa jibu lako
Press on,
Edwin Seleli
John Rwezaura,
Maswali ya msingi unayosema ulimuuliza Patrick. K na akayakacha, na kwamba na mie sitaki kuyasoma au kuyajibu, sidhani kama ni kweli, Mimi niliyasoma ila nikashangaa why umeyauliza!!!!!!! Will tell you why in just a moment, hold on!
Maswali yako ni haya:
1. Je, mnakubaliana na mimi kwamba walio katika Kristo Yesu ni Makuhani pamoja na naye?
2. Je, mnakubaliana nami kwamba tumeitwa tutoe dhabihu za roho, na kazi hii ni ya kila siku?
3. Je, ni nini kingetokea endapo kuhani wa Agano la Kwanza angemfanyia inada Bwana na huku ametumia kileo?
Kwanini nilishanga umeyauliza tena? Ni kwakua nilidhani umekua makini kusoma mchango wa Patrick uliokua na baadhi ya point izi ambazo mimi nili-judge kua zimejibu kila kitu ulichouliza na Zaidi!...kuna uwezekano labda ulisoma haraka ukiwahi kujibu au kusaka material kushare hapa, nimeona vema, nizinukuu hapa tena, kama hazijibu, sema sasa!
· Lord Jesus is our High Priest today under the New Covenant and we are not under the Levitical Aaronic Priesthood of the Old Covenant.
· In the Old Covenant all the High Priests and the Priests came from the family of Aaron of the tribe of Levi, and were not allowed to drink wine or any alcohol. In the New Covenant our High Priest Jesus Christ comes from the tribe of Judah and He not only drank wine but also made wine, a huge no-no for a Priest according to the Law. But in doing so Jesus did not break the Law of Moses, why? Because He was not of the Aaronic Levitical Priesthood order, see what I'm getting at? So for you to quote from Leviticus 10:8-11 and claim that applies to the New Covenant priesthood of all believers you have effectively disqualified Jesus, the very High Priest of the New Covenant Himself. You are on a slippery slope right there brother John, how can you miss the subject, the person to whom those instructions were given. Check out verse 8 Then the Lord said to Aaron, 9 “You and your sons are not to drink wine or other fermented drink whenever you go into the tent of meeting, or you will die. This is a lasting ordinance for the generations to come, 10 so that you can distinguish between the holy and the common, between the unclean and the clean, 11 and so you can teach the Israelites all the decrees the Lord has given them through Moses.” - Leviticus 10:8-11 NIV (Emphasis added)
· Aaron was the High Priest and these instructions were specifically and exclusively for him and his descendants who would be priests of the Old Covenant for generations to come. It didn't apply to the other families of Levi nor did it apply to the other tribes. And so again, I repeat...Jesus the High Priest of the New Covenant is from the tribe of Judah not Levi. He is the Son of David not a descendant of Aaron.
· The verse in Hebrews 7 that I quoted in my previous replies, sheds some light on why Jesus Our High Priest who is also the Messenger of the New Covenant, ratified by His own Blood, acted differently from the Levitical Priesthood of His day, the Scriptures plainly state that:12 For when the priesthood is changed, the law must be changed also. - Hebrews 7:12 NIV….I recommend reading from verse 11 all the way to verse 16
· The Aaronic Priestly order which offered animal sacrifices daily has ceased, as we all know, God isn't accepting any animal sacrifices today so that priestly order has passed. The Priesthood has changed from being limited to the tribe of Levi and exclusively to Aaron's sons to the priesthood of all believers as you have clearly pointed out.
All above is to plate this Patrick strong line of thinking that….’’Now as the Scripture states: A change in the Priesthood necessitates a change in the law hence I submit that, that includes the law governing priestly conduct as well.
Udhani ulisoma hayo kwa jicho la kutaka kuelewa kama ulivyosisitiza wewe na si kubishana tu bali kujifunza? Ingawa mabishano ya hoja or call it mahojiana ya hoja kwa nia safi ya kutaka kweli ijulikane au Watu wapate ufahamu/maarifa ya mambo ya ukweli na sit u mawazo yaki man-made tuuu au ulongo, ni Biblica kabisa-( Mdo.17:1-4, kisha 5-34 au Mdo.18:24-28, nk. Na udhani kwa dhati inpust izo za Patrick kweli hazi-address directly or perfectly indirectly concerns zako ktk maswali yako 3? Let me know plz.
Press on.
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
Mpendwa Iqualiptus,Sina uhakika na malengo ya maswali yako ila kukujibu kwa ufupi tu ni kwamba katika Agano la Kale, Mungu aliagiza sadaka ya kinywaji ambayo ilikuwa ni pombe:5 na divai kwa sadaka ya kinywaji, robo ya hini, utaiandaa pamoja na sadaka ya kuteketezwa, au kwa dhabihu ya kuchinjwa, kwa ajili ya kila mwana-kondoo. - Hesabu 15:5 SUV
7 na kwa sadaka ya kinywaji utasongeza sehemu ya tatu ya hini ya divai, kuwa harufu ya kupendeza kwa Bwana. - Hesabu 15:7 SUV
10 Tena utasongeza nusu ya hini ya divai kwa sadaka ya kinywaji, kwa sadaka iliyosongezwa kwa moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana. - Hesabu 15:10 SUV
Kujibu swali lako la pili inabidi turudi kwenye definition ya Kanisa. Kanisa ni Mwili wa Kristo full stop. Hivyo basi Kanisa la kweli la Kristo ambalo analijenga mwenyewe haliwezi kuanzisha kiwanda cha pombe wala cha soda ila kanisa la mwanadamu, kanisa la kitaasisi na madhehebu yake linaweza kuanzisha vyote tu kama ulivyosema maana lengo ni kupata faida. Sote ni mashahidi wa miradi ya biashara za yale yanayoitwa makanisa leo hii. Kanisa la Kristo lengo lake siyo kujifaidisha kibiashara bali kuueneza ufalme wa Mungu duniani. Kuna tofauti kubwa kati ya fundraising na profit making, one is for a specific purpose the other is a means to make a living.Jibu la swali lako la tatu ni hapana siyo wote wanywao pombe wanafanya hivyo kwa ajili ya afya zao au kujitibu ni wachache sana, wengi wanakunywa pombe kwa kupenda kwao wenyewe.Kwa habari ya hilo suluhisho la unywaji wa pombe, labda nikuulize mpendwa unasimamia andiko lipi kutoa suluhisho hilo? Kama huna andiko la kusimamia bali unayalazimisha Maandiko kama ambavyo umefanya basi suluhisho lako litabakia kuwa ni kitisho kisicho na mashiko kabisa. Isitoshe, miongoni mwetu hapa ukumbini hakuna aliyesema pombe ni njema ila kwenye ile habari ya harusi ya kule Kana pombe aliyotengeneza Bwana Yesu ilisifiwa na mkuu wa meza kuwa ni njema, Kuna vitu ambavyo siyo dhambi lakini pia siyo vyema, yatupasa tujifunze kupambanua baina ya vitu na vitu kwa usahihi.Nimejaribu kujibu maswali yako na kutoa maoni yangu kuhusu suluhisho lako,Tuendelee kujifunza,Nduguyo Patrick.
--
>>> >>strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>>>
>>> >>
>>> >
>>> > --
>>> > Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga
>>> > mwili
>>> > wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia,
>>> > kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la
>>> > Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu
>>> > 0714
>>> > 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
>>> > Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>>> >
>>> > Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>>> >
>>> > Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
>>> > strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>>> >
>>> > --
>>> > Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga
>>> > mwili
>>> > wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia,
>>> > kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la
>>> > Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu
>>> > 0714
>>> > 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
>>> > Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>>> >
>>> > Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>>> >
>>> > Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
>>> > strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>>> >
>>>
>>>
>>> --
>>> Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga
>>> mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru
>>> kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu
>>> Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa
>>> simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
>>> Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>>>
>>> Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>>>
>>> Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
>>> strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>>>
>>>
>>> --
>>> Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga
>>> mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru
>>> kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu
>>> Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa
>>> simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
>>> Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>>>
>>> Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>>>
>>> Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
>>> strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>>
>> --
>> Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili
>> wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia,
>> kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la
>> Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714
>> 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
>> Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>>
>> Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>>
>> Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
>> strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>
> --
> Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili
> wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia,
> kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu.
> Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424.
> Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk
> Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
>
> Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
>
> Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
> strictlygospel+unsub...@googlegroups.com
>
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
Shalom wote ,
Nashindwa kuwaelewa ni kwamba mnatafiti nini, huu msuli mnaotumia kutetea ulevi, mngetumia kuhubili injili iliyohai. Binafsi naona ni upotevu wa mda na nikucheleweshana ktk mambo ya Mungu.
Nikiuliza hapa kwenye forum mmewasaidia wangapi zaidi ya kuwajengea hakika kwamba pombe si mbaya ukitumia kidogo? ????
Wapendwa mnanishangaza sana maana kila anaetetea anamalizia kuwa yeye hatumii, je unaijadili na kutetea ya nini? ?.
Siku moja tulikuwa na kikao na wasiokoka tukijadili jinsi ya kumsaidia classmate wetu asinywe maana anafanana na kichaa kwa sababu ya ulevi. Na yeye akinywa chupa moja amelewa na hawezi kurudi kwake wala kuamka kwenda kazini. Kashindwa kuishi na mke wala hana kazi. Akiajiliwa anafukuzwa kwa sababu ya pombe. Nashangaa watumishi kutoa misuli yao kutetea ulevi, is like kiding. Nijuavyo mimi pombe zenye alcohol zina tofauti na divai au mvinyo kiprocess. Hata kule kwetu kuna pombe za aina nyingi. Hata gongo ni pombe na ni dawa kama hujui licha ya serikali kuiharamisha. Sasa wapakwa mafuta mnakuja na vifingu eti si mbaya kwa glass moja. Duh huku ni kuishiwa kweli kweli.
Pombe Hii imeharibu family nyingi na hata ktk uko wetu na hata babangu imemharibu. Japo at age ya mimi nikiwa 25yrs alikuwa hanywi baadae akaanza kunywa kidogo lakini sasa ni mlevi na tunatafuta hata dawa itakayomsaidia asinywe. Ivi mnajua kwamba kunakitu inaitwa addicted najua ni watu wasomi hapa. Sasa hili unaliweka vipi. NI KUCHELEWESHANA TU HAPA. au kunalijamaa linajaribu kuanza kutumia kilevi.
Nakwambia kabisa hauko salama ukitumia hiyo glass moja. I hate I hate I hate alcoholic drinks! Siwezi kuchekelea ati pata kidogo angalau glasi moja hiyo ni sawa na kwenda kushika sharubu za simba akiwa amelala.
SAMAHANI NMESHINDWA KUTUMIA LUGHA RAHISI, ATAKAYEKWAZIKA ANIOMBEE ILI NIWEZE KUJA SIKU NYINGINE KIURAHISI ZAIDI.
BARIKIWA WOOOOTE NAWAPENDA
ANTHONY MWENDA.
Press on
Someni haya pia
Mtu hawezi kulewa pombe bila kunywa pombe. Vileo
vinavyopatikana kwa kujidunga kwa sindano vimepewa jina
la ‘Madawa ya Kulevya. Sijawahi kusikia kuna pombe ya
kuingiza mwilini kwa njia tofauti na kunywa. Kwa hiyo watu
wanapozungumzia ulevi wa pombe tayari wanakuwa
mwameshazungumzia kunywa.
Ili pombe iwe pombe ni lazima imleweshe anayeinywa.
Kama mtu atakunywa pombe kwa malengo ya kutokulewa
basi na anywe maji tu! Mtu akila chakula pasipo kushiba
atahakikisha anaongeza chakula hadi ajisikie ameshiba.
Vivyo hivyo mtu akinywa pombe na akawa hajalewa
atahakikisha anaongeza hadi ajisike amelewa. Kutosheka
kwa chakula ni kushiba na kutosheka kwa pombe ni kulewa.
Mtu anapokunywa pombe kinachofanyika mwilini ni kile
kileo (alcohol) kuuathiri ufahamu wa mtu. Ufahamu
ukiathiriwa mtu huanza kufikiri tofauti na utaratibu wake wa
kawaida. (Ni kama komputa ikishaingiliwa na virus). Kama
alikuwa na matatizo anayasahau. Kama kuna mahali pana
shimo hupaona ni tambarare. Wengine hupotea hata
nyumbani kwao. Kama mtu anaendesha gari huwa hawezi
tena kutambuwa ukubwa wa kona, au umbali kati ya gari
analoendesha na jingine. Ajali nyingi zinasababishwa na
ulevi kutokana na kunywa pombe. (naamini nawe unajuwa).
Mwingine akinywa pombe hujisikia usingizi kuliko kawaida.
Mwingine kama ni muongeaji sana akinywa pombe huwa
mkimya kabisa na hivyo kuacha kuongea hata kama
alitakiwa aongee kuleta suluhu ya jambo fulani nk. Kwa
ujumla ni kwamba mfumo wa ufahamu wa mtu
huharibiwa….
….Hali yoyote ambayo mtu hujisikia tofauti baada ya
kunywa, hata kama ni pombe kiasi kidogo sana, ndiyo ulevi
wenyewe. Kwa hiyo suala hapa siyo kiasi gani cha pombe,
bali ni ule utofauti wa hisia unaopatikana baada ya kunywa
pombe. Kwa hiyo kulewa ni hali ambayo mtu hujisikia tofauti
na alivyokuwa akijisikia kabla ya kunywa pombe. Kama mtu
atakunywa pombe kisha akajisikia vile vile alivyokuwa kabla
ya kunywa basi mtu huyo hawezi kuendelea kunywa tena.
Lakini kwa sababu akinywa huwa anajisikia tofauti ndiyo
maana mtu huyo huendelea kunywa….
Kwa hiyo hadi hapo tunaweza kuona kuwa kunywa pombe si
kitu chema kwa binaadamu yeyote bila kujali anamwamini
Yesu au la kwa maana madhara ya pombe hayachaguwi. Na
hivyo basi ni kitu ambacho Mkristo anayejivunia katika
kutenda mema kwa ufahamu sahihi huku akihofu kumkosea
Mungu hatakiwi hata kukiwazia!
Kuhusu Walokole wa Kizungu kunywa pombe:
Naomba tutumie watu waliookoka. Kwa ufupi tu ni kwamba
hakuna wokovu wa Kizungu na wa Kiafrika. Mungu
hajaweka vigezo tofauti vya namna ya kuingia mbinguni.
Wazungu watahukumiwa sawa sawa na Waafrika…
SEHEMU INAYOFUATA NITAANZA KUWEKA MISTARI
KUTOKA BIBLIA
KUNUKUU BIBLIA SIYO SABABU PEKE YAKE INAYOFANYA
HOJA YA MTU KUWA SAHIHI. Kuna watu wanaodai
maandiko ili kuthibitisha hoja. Kwa mfano kuna watu
wanaodai kuonyeshwa katika Biblia palipoandikwa
‘USINYWE POMBE’!:
Ni kweli kabisa kwamba dira yetu ni Neno la Mungu. Tena ni
kweli kabisa kwamba tunaliamini na kulifuata. Kwa hiyo
kama watoto wa Mungu ni furaha yetu kulifuata Neno la
Mungu maana tunajuwa kwamba ndilo Taa na Mwangaza
katika safari yetu ya kwenda Mbinguni. Lakini sasa
tunatowa hoja tofauti huku kila mmoja akinukuu maandiko
kutoka kwenye Neno hilo hilo! Hapa tunajifunza nini?…..
Neno hilo hilo likitumika Vyema linaleta Wokovu lakini ni hilo
hilo likitumika Vibaya huleta Mauti. Ibilisi analijuwa hilo
ndiyo maana akamjaribu Yesu kwa kutumia Neno hilo hilo!
(Math 4:1-11). Kwa hiyo kutumia au kutokulitumia Neno si
sababu bali ni kwamba anayelitumia Neno analitumia kwa
nia ya Kuleta Wokovu au Kuleta Mauti.
Ili Neno liweze kumsaidia anayelisoma/kulisiliza ni lazima
lichanganyikane na Imani katika Yesu. (Hebr 4:2). Imani hii
ndiyo humfanya mtu apate tafsiri sahihi kwa msaada wa
Roho Mtakatifu wa Mungu. Neno la Mungu siyo la kila mtu
kutafsiri anavyopenda mwenyewe, bali tafsiri sahihi hutoka
kwa Roho Mtakatifu na tafsiri hiyo huwafaa wote wenye
Imani hii katika Yesu maana wao ni mwili mmoja. ”(2Pet
1:20-21 Knowing this first, that no prophecy of the scripture
is of any private interpretation. For the prophecy came not in
old time by the will of man: but holy men of God spake as
they were moved by the Holy Ghost.)”. Roho Mtakatifu alileta
Neno na ni Roho Mtakatifu ana tafsiri sahihi ya Neno!
Ni kwa kutumia Maandiko Kibwetere aliwakusanya na kisha
kuwachoma moto waumini wake kule Uganda; Ni kwa
kutumia Maandiko wengine wanasali usiku huku wakiwa
wamevua nguo zao; Ni kwa kutumia maandiko Wasabato
Masalia wamekaa siku kadhaa pale Uwanja wa Ndege wa
Dar es salaam wakisubiri kusafirishwa na Mungu; Ni kwa
kutumia maandiko wengine wanafundisha kwamba hakuna
Kuokoka duniani; Ni kwa kutumia maandiko wengine
wamefundishana kwamba hakuna Utatu mtakatifu; Ni kwa
kutumia maandiko Wakuu wa dini zetu (Maaskofu,
Wachungaji nk) wanalumbana, wakati mbingu ya kwenda ni
hiyo hiyo moja nk. Kwa hiyo suala si kutumia andiko bali ni
roho gani inatawala matumizi hayo kwamba ni Roho wa
kweli au roho ya Uongo (1John 4:6). Na tena andiko huuwa
bali Roho wa Mungu huhuisha. (2Cor 3:6).
Roho Mtakatifu hutusaidia kutambuwa mambo yatufaayo
hata kama hayakuandikwa kwenye Biblia (lakini
yasiyopingana na Neno la Mungu) na kutuongoza kuyatenda
na pia hutufunulia maana sahihi ya yaliyoandikwa kwenye
Biblia ili tusijikwae kwayo na kupotea.
Watu wanaotaka kwenda Mbinguni wako tayari kufuata
mema yote Roho Mtakatifu anayowaongoza kwayo bila
kujali yapo kwenye Biblia au la bali Washika dini hawako
tayari kutenda mema hata yale yaliyoandikwa kwenye Biblia
na kinyume chake wametengeneza ya kwao, yanayofuata
mawazo yao! (Mark 7:7)
Kusali Jumapili hakujaandikwa kwenye Biblia lakini Wakristo
wote (isipokuwa Wasabato) husali Jumapili kama ndiyo siku
yao kuu ya Ibada. Tuache kusali Jumapili kwa sababu haiko
kwenye Biblia?
Hebu soma sehemu ifuatayo (nalazimika kuiandika ili
kukamilisha somo langu):
Ubatizo wa Maji mengi uko kwenye Biblia lakini watu
hawataki kuufuata, Kwa nini? Kuokoka duniani kupo kwenye
Biblia lakini watu hawataki kukubali, Kwa nini? Kunena kwa
Lugha mpya kupo kwenye Biblia lakini watu hawakubali,
Kwa nini? Kama wanakataa haya, (na mengine mengi)
pamoja na kuwa yako kwenye Biblia, Watakubalije kwamba
Kunywa pombe (nalo likiwa kwenye Biblia) ni dhambi?
..hebu soma na haya yafuatayo (simhukumu mtu):
Hakuna andiko kwenye Biblia lililoagiza kutengenezwa kwa
sanamu ya Mama Maria lakini mamilioni wamefuata hili,
Kwa nini? Hakuna andiko kwenye Biblia linaloagiza ubatizo
wa kunyunyizia maji kichwani lakini fikiria mamilioni
wanaofanya hivyo, Kwa nini? Hakuna andiko kwenye Biblia
linaloagiza ubatizo wa watoto lakini mamilioni wanabatizwa
wakiwa watoto, Kwa nini? Hakuna andiko kwenye Biblia
linalotuagiza kumuomba Mungu Amlaze Mtu Aliyekufa
Mahali Pema Peponi lakini huu ni wimbo wa Ulimwengu,
Kwa nini?
Kama tunakubali haya (na mengine mengine) ambayo
hayako kwenye Biblia Kwa nini tusikubali kwamba Kunywa
Pombe, hata kama lisingekuwepo kwenye Biblia, ni dhambi?
Wapendwa, kwa sisi tunaotaka kwenda Mbinguni tufunguwe
vitanzi vya dini na kumkimbilia Yesu kabla Neema hii ya
Wokovu haijaisha. Kabla nuru ingalipo na giza la milele
halijaingia. Siku ya wokovu ni leo na saa ya Wokovu ni sasa!
(2Cor 6:2).
Inapatikana hapa hivyo unaweza pitia na kujifunza wangapi wanahitaji kilevi na wangapi hawataki hata kusikia kama Mimi
https://strictlygospel.wordpress.com/2008/08/07/ni-sawa-kwa-mkristo-kunywa-vileo/
Kusali Jumapili hakujaandikwa kwenye Biblia lakini Wakristo wote (isipokuwa Wasabato) husali Jumapili kama ndiyo siku yao kuu ya Ibada. Tuache kusali Jumapili kwa sababu haiko kwenye Biblia?Ubatizo wa Maji mengi uko kwenye Biblia lakini watu hawataki kuufuata, Kwa nini? Kuokoka duniani kupo kwenye
Biblia lakini watu hawataki kukubali, Kwa nini? Kunena kwa Lugha mpya kupo kwenye Biblia lakini watu hawakubali, Kwa nini? Kama wanakataa haya, (na mengine mengi) pamoja na kuwa yako kwenye Biblia, Watakubalije kwamba
Kunywa pombe (nalo likiwa kwenye Biblia) ni dhambi?
MBILI:
Hakuna andiko kwenye Biblia lililoagiza kutengenezwa kwa sanamu ya Mama Maria lakini mamilioni wamefuata hili, Kwa nini? Hakuna andiko kwenye Biblia linaloagiza ubatizo wa kunyunyizia maji kichwani lakini fikiria mamilioni wanaofanya hivyo, Kwa nini? Hakuna andiko kwenye Biblia linaloagiza ubatizo wa watoto lakini mamilioni wanabatizwa wakiwa watoto, Kwa nini? Hakuna andiko kwenye Biblia linalotuagiza kumuomba Mungu Amlaze Mtu Aliyekufa
Mahali Pema Peponi lakini huu ni wimbo wa Ulimwengu. Kama tunakubali haya (na mengine mengine) ambayo hayako kwenye Biblia Kwa nini tusikubali kwamba Kunywa Pombe, hata kama lisingekuwepo kwenye Biblia, ni dhambi?
Mimi nilisema ktk michango yangu kua, yako mambo hata kama hayako ktk Neno moja kwa moja au ni ngumu kupata statement ya A-Z kusema with finality kua hiki ni hiki wala si kile, alimradi KWANZA WATU HAO WAMEOKOKA, tutatumia hekima nyingine kuwaongoza Watu ili wabaki ktk malengo-Wokovu na Utakatifu hata kwa kuweka man-made ambazo si za Mungu yaani haziko ktk Neno yet si dhambi maana hazipingi Neno au zinawasaidia Watu kufanya mambo yao kwa utaratibu na utakatifu, Nikatoa mifano ya Musa kuwaruhusu wawatimue wake zao wakati plan ya Mungu si hiyo na nikasema pia Paul kuamua/sema/toa maelekezo ambayo si ya Kristo but yake kama Mtu yet Kiongozi wa Kiroho aliyoyabuni kuwasaidia Watu-
John Paul mwenye post uliyotushare hapa, amesema, statement nzito(rahisi wengine wenye misisimko kukemea-kemea haraka) kwamba si kwa kunukuu Maandiko itoshe kuhalalisha/kuharamisha jambo bali ni ile NIA-kwa maana nyingine , maandiko tu hayatoshi kuyasema.
Nilisema kama hatutaweza kuwabana watu-kuwakataza moja kwa moja kwa kua wanajua nao maandiko na asili za lugha za Bible, basi hata kama tukiacha maandiko na kuweka man-made-by laws/taratibu ambazo zina nia njema, hiyo ndio iwe approach na nikadhani kua ndio imekua hekima ilitumiwa na Wazee wetu wa Imani kutuzuia si tu kunywa na kulewa bali hata kupita na kukaa-kaa karibu au kunywa supu Bar.
Therefore baadhi ya aliyosema Joh Paul kimantiki , tulishayasema pia hapa.
Press on
Asante kwa hii...nimecheka kweli-tehe na kuipenda reasoning hii...''Sasa hiyo ni kiu ya kiu au kiu ya pombe?Mathew Maduhu, Kaka yangu Mkubwa sana, nakuheshimu toka moyoni, si act, Amen.Shalom,
Nimeshangaa sana kusoma KITU KIPYA KWELI kua iko divai na mvinyo na kua akichotengeneza Yesu ni Divai-no pombe na si Mvinyo-full pombe! Aisee, Is it?Naona huu ni ufahamu mpya toka debate hii fire-fire ianze..kwamba kuna divai na mvinyo!!!!!!! Wakati nashangaa kwa uzuri na wasiwasi kwa big statement iyo, utawezaje kupatanisha kweli hii chini Kaka yangu?
Kwamba neno la asili lililotumika wakati wa Biblia kwa kile alichotengeneza Yesu ni linamaanisha ilikua ni Kileo-divai-pombe au sasa kwa inputs yako-ni mvinyo. Na Kingereza-luga kubwa kuzidi Kiswahili kimepata neno lake hili Wine toka neno hilo la asili wakati wa Biblia ila Kiswahili chetu nacho kimebarikiwa kikaleta neno divai.
Kaka Mkubwa kama Mwl, which is which now?..tuamini neno original la lugha ya Biblia-( Mikeka uliojitahidi kusoma-labda hukusoma yote-itakueleza hilo neno asili lakini hata uki-Google tu Arusi ya Kana-unapata nondo kuhusu hasa kwa lugha ya wakati wana rekodi ktk Bible- wenye LUGHA YAO ILE NA WALIOKUWEPO LIVE SIKU ILE YA ARUSI-wamesema alitengeneza wine toka neno la asili ya lugha ile-You see the challenge Kaka? I mean how today we English or Kiswahili users say no to original Bible language used?
Otherwise, I am blessed to see you here, missed u sana my dear Kaka and this debate on kilaji oyeeeee because my Kaka has kicked out temporarily and actually his bad kunyakuliwa maana imetu deny presence ya snr. bro hapa
Press on.
Inapatikana hapa hivyo unaweza pitia na kujifunza wangapi wanahitaji kilevi na wangapi hawataki hata kusikia kama Mimi
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
Edwin,Ulipata muda ukapitia comments zangu kuhusiana na tofauti kati ya MVINYO na DIVAI. Yesu aligeuza maji yakawa divai sio mvinyo!!!
Kwa habari ya Mvinyo (Kilaji) - Hebu pitia maandiko haya; "Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima." - Mithali 20:1 (SUV - Msisitizo added) - Mstari huu unaonyesha mvinyo hufanya nini na kilaji huleta nini.Pia andiko hili; "Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo; Miongoni mwao walao nyama kwa pupa. Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu". - Mithali 23:20-21. (SUV - Misitizo added) Kama ukisoma btwn words utaona kuwa neno Kwa maana (mst 23) ninaonyesha kuwa matokeo ya kunywa mvinyo ni kulewa na matokeo ya kula nyama kwa pupa ni ulafi. Bado nina-search kupata products za zabibu na zilivyotumika kwenye maandiko mbali mbali ili kuzitofautisha japokuwa ki-english ni WINE kila sehemu.Keep on diggingMathew.
Tatu, kuhusu topic, ningekua mimi John R na wenzako, ILI NISIJIKUTE KTK MATATIZO YA KUPAMBANA NA WANAFUNZI/KONDOO WADADISI KAMA MIE, KUWAKEMEA BURE NA KUWAFIKIRIA KUA UFAHAMU WAO MDOGO KUMBE WANA NEEMA PIA, ningejibu ivi kwa amani na ukweli kabisa na pia kwa HEKIMA ya ufahamu wa namna mambo yanavyoweza kuamuliwa/ endeshwa/wekwa kwa ajili ya kuongoza Watu wa MunguPili, inasababisha Watu tufahamiane kwa ukwelii tukoje na hiyo ni baraka maana tukifahamiana ki-artificial tu- haipendeziKwanza, mijadala ya wazi, uhuru na peupe kama hii, inafaa sana kwakua inazalisha bidii na hamu ya kusoma Neno na vyanzo vingine vya kupata maarifa kuhusu Neno na mambo ya Mungu, pia inasababisha wengi kupata ufahamu wa mambo kwa mara ya kwanza kabisa au ukweli wa upande wa pili ambao hukuwahi kujua au kuwaza kua upo, Na pia debate zikiwa kali ni tamu sana kwa sabubu zinafanya sasa wahusika watoe/watumie yaliyo ya ndani kabisa kuliko kuficha-ficha, ziwe ni mitizamo, hisia, karama, vipaji, huduma, shuhuda na uzoefu wa huduma na kutembea na Mungu na ikifika hapo, tegemea faida nyingi kuliko hasara kwa kua tutapata mengi mnoNisikilizeni nitoe maoni yangu binafsi haya:, ruksa kuyapinga au kuyakubali, yote ni mema tu na baraka bado.John Rwezaura and all SG.Shalom.
- Kiblia ni ngumu sana kua na statement ya moja kwa moja kusema kunywa Wine ni dhambi labda kulewa, why? Maandiko yanaonyesha side 2.
- Kama Mtu anaongea kwa max finality kua Kunywa pombe ni dhambi, anajiingiza ktk mgogoro mkubwa sana Kimandiko na pia ni sawa na pia kumwambia Yesu alitengeneza ''dhambi''-Arusi ya Kana au alimwambia mwanae Timothy anywe ''dhambi''
- Na kung'ang'ania kua nidhambi, wakati anajua kabisa hana na hawezi kupata A-Z statement/Neno ktk Neno, ni wazi, atakua anaingiza man-made by Laws ambazo zaweza kua sawa na kinasaidia Wanadamu kufikia malengo fulani but ni vema Mhusika akakiri kwanza kua hicho ni chake/man-made kama Paul alivyokua jasiri kuandika kua, hili ni MIMI wala sina amri ya Bwana-very honest and open-what a nice mpendwa and leader was he! wow! you see, Hakua na haja ya kung'ang'aniza kila kitu iwe kiroho kikariiii! alisema live, hili nalisema Mimi si Yesu
- Kwa msingi huo, Kwa miaka mingi, si tu andiko la Arusi ya Kana huwezi sikia lina hubiriwa but also hata kufuatilia kujua hasa ni Muujiza/Ishara gani ya kwanza Yesu kufanya duniani, inazimwa kiaina, yaani utadhani Mungu ana shida sana Watu wakijua kweli iyo wakati Yeye alifanya iandikwe
- Katika kuwaongoza Wanadamu, imetokea Viongozi wa Kiroho wakapata key-privilege ka kuweka taratibu zao hata kama kwa kweli, SI ZA MUNGU wala hazimo ktk Neno( lakini nitakushitua leo-tulia kwanza acha kukemea ovyo ovyo) bado Mungu alizirithia tu maana SI KILICHOTOKA KWA MTU-kiongozi HATA KAMA SI CHA MUNGU- NI DHAMBI!... mmenipata lugha iyo nadhani. Nitoe Mfano ..Marko.10:1-12 Yesu anasema Musa aliwaruhusu kuwaandikia taraka na kuwatimua Wake zao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao LAKINI TOKA ZAMANI HAIKUA IVYO-manake anasema, toka zamani MPANGO WA MUNGU- Neno la Mungu ni Mtu anamwacha Baba na Mama na kuunganishwa, nao ni mwili mmoJa, hakuna kutenganishwa na Mwanadamu
- Kwa mantiki iyo, hata kama hatuna finality ya vitu kama kuvuta sigara, kunywa pombe na yanayofanana na hayo kua ni dhambi, bado tulikatazwa na viongozi wetu si tu kunywa bali hata kubeba creti la bia kutumwa sigara na Baba yako mzazi, kuchangia arusi za ndugu zetu ambazo unajua kwa hakika watatumia pesa yako kwa kununua kilaji, kupita-pita karibu au kunywa supu bar, kwa sababu ya si ugumu wa mioyo bali urahisi wa kuingia majaribuni kwa kuzidiwa na hayo ambayo hata kama mwanzo wake si mbaya na hayajasemwa kua ni dhambi ila unapelekea madhara kadhaa, Kwa iyo Watumishi kusema kila kitu ni dhambi, bila sisi kuwahoji wameitoa ktk maandiko, ndio imetufikisha hapa tulipo leo ambapo kwa bidii binafsi tunaona yako mambo yalifanyika wakati wa Yesu-Arusi ya Kana ambayo aidha hatukuambiwa au tulizimwa kwa makaripio na makemeo na macho makali ya kutengwa kanisani sasa yoyote ukifanya mchezo, Kwa hiyo kama vile Musa alivyotumia mamlaka yake kama Baba yao kiroho na kama alivyokua Paul kwa kuwaona wanae na kuwawekea mambo/mashauri/maamuzi/systemz kadhaa za kufanya wawe safi zaidi, kuondoa matatizo,kutuepushia kunasa ndivyo lilivyo kwetu kwa swala la Wine na Watumishi walichoaamua na kutusimamia kwa hilo kwa namna na maana iyo kwa miaka na kumbuka hatukuruhusiwa kuhoji, wakisema, imetoka, ni Watumishi, over and out maana mpakwa mafuta wa Bwana katamka, kwisha!
Press on
Malle Iq,
Nilitilia shaka kama ulisoma mikeka kwanza-ukweli ni kwamba ningepaswa kukuambia moja moja kua HUKUSOMA!!!!!!!!! Why? Kati ya maswali yako 3 uliuliza ivi…’ Je sadaka ya kutoa kwa Bwana yaweza kuwa pombe?’ wakati tayari lilishajibiwa na maandiko na Patrick!!!!!, so why uliuliza tena? you see now! HUKUSOMA ok? Ni vema kukubali na kua mkweli man, inabariki zaidi kuliko kuzungusha na kutetea jambo hukufanya and u know that very well!
Kwamba ktk mikeka yangu, haina majibu! Mmh! kweli? ha ha ha , sidhani, ume-dismiss tu hutaki kusema ukweli kua, tumeyamaliza kabisa! La sadaka ya pombe, nilikujibu kwa swali-ni Biblical way ya kujibu hoja-unakumbuka Yesu kwa sabubu za msingi kuna wakati alikataa kujibu au alijibu kwa swali. Mimi kukujibu kwa kukuambia Je Yesu anaweza toa/fanyia/tengenezea Watu Wine? I meant ufikiri kua kitokacho kwa A-B ni Utoaji, Yesu kuwatengenezea/badilishia maji kua wine ni Utoaji ule, au nini? kwani walienda kununua ilipokwisha? No wonder basi maandiko umepewa na Patrick ya Mungu kabisa kusema watu walete sadaka za wine, hapo je? Sasa unganisha jibu langu la kiswali kwa swali lako plus jibu la Patrick kimaandiko, say the truth, swali lako halijajibiwa? Mmh! si ukubali tu kua its over, unless u prove otherwise.
La pili on Kanisa kua na kiwanda cha pombe, nilijibu honestly kua haliwezi ila nikakupa angalizo pana kua ingawa hatuwezi yet tunafaidi matunda take! Nilitaka ujue na pia ikupe balance unajibuje hiyo hoja? Huku tunasema No kujihusisha moja kwa moja na kiwanda cha bia na uku tunakula ile mbaya matunda ya bia yenyewe sisi kama Wanadamu wa Nchi hii tokana na mapato ya TRA, sasa wewe ilitakiwa ndio uicheze ngoma iyo, unabalansi vipi, unafundishaje icho au unasema nini ukiulizwa icho! Yaani where is rationale of a No and Yes to the same enemy-Pombe Kiwanda? You see?
La tatu on wanao kunywa why, nikajibu pia sincerely, wako wanaokunywa kama tiba eg Timotheo, wapo kama drink ya kawaida au part ya chakula na mila na wapo wanakunywa kama starehe na wanapitiliza mpaka kulewa, mbona ni majibu ya ukweli na mazuri sana hayo au? unakataaje kirahisi tu ivyo au ni ili mradi unakataa tu bila ku-prove wrong my majibu kuliko kusema tu kua in my mikeka, no majibu au nimejitahidi tu ila umebaki na baadhi!!!!!!!mmmh! ha ha ha ha mpendwa bwanaaa!
Hii ni great reasoning na mafuta, good man, I like this and bila kukabana ktk debate hii, ningeipata wapi hii kitumbuA tamu sana hii…’’ Umeona wapi Yesu "akigawa" pombe kwa watu ILA nimewahi kuona mara nyingi Yesu "akitoa pombe"…. Excellent blessed brain kama hii ya ma meen fire-fire Envengelist Anthony ya ..’’ Kunywa pombe ni kama kushika masharubu ya rijamaa’’ ….ha ha ha that was lovey mpakal leo nacheka mpaka basi, jamani, na hii ni great statement/saying I like it… "aisifuye mvua imemnyea" na msemo wangu ni "akisifuye kilevi kimemlevya.. dah! Wapendwa mkifunguka, raha na baraka sana, mkijibanabana na kutegea-tegeana,mnatunyima sana baraka wazee na wadada wa kazi!
Nonetheless, swali lako hapo, kua nionyeshe wapi Yesu aligawa—nitumie Kiingereza iwe polite ili msikeme ‘majamaa’’ na ‘’madude’’ zigzangly..Wine, jibu funga kazi ni John.2:1-11! Unabisha? Lete hoja kukataa iyo uone mziki wake utakavyokugomea. Kama hakugawa-kimantiki nilimaanisha aliwapa/sababisha MAJI-WINE-nadhani ulidaka mantiki si maneno-neno tu au herufi, maji alibadili maji into ‘makombaa’’- Kinyamwezi au-‘uji’ kwa Kiswahili or ‘nyuka ma maberee’- Kijaruo! Which is true now, wine or porridge?
Statement zako za mwisho hizi safi...’’ NI TUSIBABAISHWE NA MAANDIKO YANAYOSIMAMIWA BALI USAHIHI WAKE JUU YA JAMBO HUSIKA KWA NGUVU YA ROHO WA KRISTO.Kama tukienenda kwa Roho hatuwi watumwa wa dhambi bali wa sheria ya huyo Roho wa Kristo.
Ila maswali ni haya naomba majibu/inputs zako kwa upendo kabisa,,be free, usimute!
Unadhani usahihi kwa andiko la Yoh.2:1-12 kwa msisitiozo wako hapo ni upi? Notice: Neno USAHIHI! Ok, tell me/us.
Unadhani kuenenda kwa roho kwa mujibu kwa debate hii na andiko hilo la Yoh.2:1-11 ni kusema uwongo tunapolihubiri, tuchengeshe kweli, kupiga marufuku kulificha, kutishia washirika wasiliulize-ulize, tulifiche-fiche au tusema ukweli tupu ktk hekima ya kuuwakilisha ukweli huo maana Neno si uwongo?
Yes kabisa kama ulivyo-note na ndio maana tunakazana kufanya fafanuzi ili kuyatumia maandiko kihalali/kwa usahihi-2Tim.2:15c na uku Neno likiwa limejaa ktk hekima yote Wakolos.3:16a
Press on,
Edwin Seleli
Edwin SeleliPress onOtherwiese, keep on digging brother and bring what you will have kuhusu Mvinyo Vs. Divai ila i can see utapata bonge la challenge to establish that truth kulingana na kweli nyingi za maandiko na nyingine tayari Patrick amekudokeza- na kama Kiswahili kinaweza kua na maneno muafaka-rich in terminologies kuliko Kiingereza katika kuelezea ya Neno-ilo ni jambo jipya nitapenda kujifunza kwa kweli kwa kiroho safi ingawa kweli hata Kiingereza ukilinganisha na lugha nyingine za zama au zilizofanyiwa kazi decades or may be karne, kinaweza zidiwa anointing pia.Pili: Kupiga marufuku/kemea/amua/panga utaratibu au tunga by laws kwa nia njema tu kuwalinda Watu wetu ili wasifanye/tumia/sogelea mambo/vitu ambavyo kama vilivyo si dhambi au baadhi hata vikutumiwa si dhambi ila vina nguvu ya kumfanya mtu hapitilize au ajisahau mfano nimeshasema kunywa, kupenda-penda supu ktk bar, kukaa karibu na mahall ya sinema na makasino, wasichana na Wavulana kuongozana baada ya mkesha, binti kumtembelea mchumba wake alone na mambo kama hayo ambayo, may not be necessarily sin lakini any time T yanakamilisha gameMoja: Kukubali UKWELI wa kilichotokea Kana na Mungu akataka kiwe reccorded live ivyo ivyo bila kumung'unya mung'unya kuhusu ishara aliyotenda Mwanae kisha kutafuta hekima/busara/akili/ufahamu/technique ya kuiwakilisha iyo kweli kwa hekima tuliyopewa kama viongozi juu ya Watu wetu/wa Mungu ili kweli iyo iyo isiwe abusedTuna options mbili mainly:Mathew Maduhu my Kaka,Nimesoma jibu lako la sasa, na feel tone/waves kabisaaaa, Nina perceive umesoma tena kwa taratibu inputs na kuONA seriously and honestly sisi kama Wahubiri/Waalumu/Wanenaji au generally wagawanya Mkate wa UZIMA, tuna challenge tena si changa but fire ya kui-keep on digging kuhusu Muujiza HUU WA KWANZA KABISA KTK HUDUMA YA BWANA DUNIANI