ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

2,715 views
Skip to first unread message

SELELI EDWIN

unread,
Mar 19, 2013, 5:48:27 PM3/19/13
to strictlygospel

Hello Wanafunzi Wenzangu wa Bible SG,

Biblia ni tamu sana na tuisomapo, ununurishwa ndani yetu, Karibu kwa hoja chini

Mathayo.17:1-.13  Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani,akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye.Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana.Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope.Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu ye yote habari ya maono hayo, hata Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote,ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao.Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji.


Tutafakari pamoja ili:

Wanafunzi waling’amuaje kwamba waliokua wanaongea na Yesu ni Musa na Eliya? Kwakua hakukuweko na facebook,picha ktk album au kumbukumbu yeyote ya akina Musa/Eliya ili akina Peter  waweze kujua kwa hakika sura ile  ni Musa na ile ni Eliya!


Tunaweza jenga hoja kama watu  tunaojua namna RM/MUNGU afanyavyo kazi kwamba walifunuliwa?, well, excellent but tunajengaje sasa mpaka tukimfundisha mtu hasiwe na kwere kua labda tuna-fix vitu ili ku-force mantiki fulani to back up our sound doctrine? How can we carefully and Godly build/bring about this powerful truth of RM functions in us out of this particular kind of tricky/challenging passage of the scriptures?


Unavyomfahamu kaka Petero, are real convinced kua alitii ili agizo.. Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu ye yote habari ya maono hayo, hata Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu? I mean yes, Jesus gave the instruction kua wasimwambie mtu..until… but the Bible does not say if they obeyed it anyway. Najaribu tu kuona watu wame-experince such marvellous vision/event-Yesu kubadilika, Eliya and Musa kutokea na wakachanganyikiwa kwa furaha hasa kiasi hiki cha Peter kutaka kujenga vibanda vya watatu mpaka akasahau kujenga kibanda chake mwenyewe wala ku-suggest na kujenga vya wapendwa wenzie, you can see jinsi alivyotekewa kwa furaha na mshangao  na kisha the top of all..Mungu Baba kunena wazi wazi wakasikia kwa sauti kwa masikia yao ya nyama na   kuanguka kifudifudi wakiogopa sana-imagine tunavyotamaniga hata kamalaika kaje tu na msg moja mara moja ktk miaka 5 but that day Mungu kabisaa akaongea, wow!, sasa kweli Peter alikaa kimya mpaka Yesu alipofufuka? Mbali na nature yake Peter ya kua free na kusema-sema au kutokua na aibu au kuremba-remba, hata ivyo hata kama angetaka kujibana ili kutii alichoambiwa na Bwana, aliwezaje kupangua pressure/maswali ya wenziwe kwa kua bila shaka walikuwepo wakumuuliza ‘’’aisee e bwana eee, kulikua na ishu gani uko mlimani na Bwana, mbona mlikawia kidogo? Na Kama walimbana kikweliii, Je, Peter akutiririka kweli siri/experience ile lakini out of kuchanganyikiwa kwa raha na furaha yaku-experience mazito aliyoyaona


Lakini kama hakukaa kimya na aka-share habari hi kama baadhi watu Yesu aliwambia wasiwambie watu habari fulani but ndio kwanzaaa walipoulizwa na mafarishayo….wale walitendewa,wajajikuta wanasema tu ingwa waliombiwa wasiseme.Kuvunja agizo kwa mantiki hii ni kua disrespectful gravely against our Lord and savior?


Unadhani ni possible reasons zipi zilimsukuma Bwana kuwaambia/kuwa-instruct wasimwambie mtu maono yale kabla hajafufuka?


Umeshawahi kutafakari mstari huu kihalisia siku ile na kiwewe..’’Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani’’, wanafunzi waliobaki huko walichukulia sawa tu au walipata kunyanzi? Unajua si jambo dogo mko wote na mnajua kua wote mnapendwa but at a certain time, Yesu anasema Seleli, TWENDE FARAGHA na nyie wote SG mnaachwa hapo kwanza! Tulieni uko kwanza, Kusema kweli ningekua pale siku ile na kwakua Yesu alikua so fair mpaka kuruhusu wanafunzi kushare mambo yao deep…eg.Peter kuuliza wameacha vyote vipi Master atarekebishaje ishu zao, so, kwa hakika ningemuuliza Yesu., why? Seriously ingekua inani-pain vibaya na wivu pia kanaumaaa kama vile kumuona yule mwanafunzi aliyependwa sana na Bwana pamoja na ukubwa wake yet alikua kila mara anadeka kifuani kwa Master wakati wengine tunaketi mbaali au kwa vitu or chini, eti yeye anafaidi-faidi tu ukaribu  mzuri ule , ..Who do Peter,James and John think they are anyway? Aren’t we all the apostles-the great 12? Au Yesu aliwaona wao wana nini spesheli wakati wote tumeookoka, tuna RM na tuko naye Bwana kila siku kuchapa injili pale mjini Yerusalem na kwingine!?


Press on learning more from the unfinished spiritual gold mining reserve-the Bible


Edwin Seleli

Michael J. Nzala

unread,
Mar 20, 2013, 2:34:18 AM3/20/13
to strictl...@googlegroups.com
Maswali mazuri na matamu sana kaka. Bado nachungulia dirishani kwanza. Nikiona watu, na mimi nitatokea...

--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 


Patrick Kamera

unread,
Mar 21, 2013, 12:59:14 AM3/21/13
to strictl...@googlegroups.com
Nionavyo mimi kuna njia tatu ambazo wakina Petro, Yakobo na Yohana wangeweza kujua kama wale ndio Musa na Eliya.

1. Mungu mwenyewe aliwapa ufunuo wa kuwatambua Musa na Eliya
2. Bwana Yesu aliwatambulisha kwao kwa majina yao 
3. Walmsikia Bwana Yesu akiwataja kwa majina wakati akiongea nao, hivyo wakaweza kujua wale ni akina nani.

Labda niseme tu kuwa hayo maelezo yangu yote ni speculation tu, maana Biblia haiweki wazi jinsi walivyoweza kuwatambua Musa na Eliya. Cha msingi hapo walimwona Bwana Yesu katika utukufu wa ajabu na kuisikia sauti ya Mungu Baba toka mbinguni.

Tunaweza kujifunza mengi katika tukio lile, nimepata vitu viwili, wengine wanaweza kuona vingine zaidi:

1. Musa na Eliya walitokea pale mlimani na walikuwa wakizungumza na Bwana Yesu, hivyo tupatapo maono na kuwaona na hata kuongea na waliotangulia na maongezi yale yakaendana sambamba na Maandiko, it is biblical,  

2. Musa na Eliya wanawakilisha Torati na Manabii, ndio maana Petro aliposema wajenge vibanda vitatu, kimoja cha Bwana Yesu, kingine cha Musa na kingine cha Eliya, aktaka kuwaweka wote kwenye level moja ikabidi Mungu Baba kwa upendo aingilie kati....ndio maana akasema "Huyu ni mwanangu,,,msikieni yeye" notice hakusema chochote kuhusu Musa na Eliya. Na ndio maana katika Waebrania 1:1 -2 tunasoma:

Kwa habari ya Yohana yule mwanafunzi aliyependwa zaidi ya wote, ukweli ni kwamba hakupendwa zaidi ya yeyote hata chembe. Kilichotokea ni kwamba yeye aliwazidi wenzake kwa kuutambua, kuupokea na kuufurahia upendo wa Kristo. Chunguza maandiko utagundua kuwa haya maneno 'yule mwanafunzi Yesu aliyempenda" yapo katika Injili ya Yohana peke yake na katika Nyaraka za Yohana kuna references zaidi ya 25 za kuhusu upendo wa Mungu kwetu. Yohana alipata ufunuo kuhusu upendo mkamilifu wa Mungu, Bwana Yesu hakumpa favor ya ziada ila yeye alikuwa active kuupokea upendo wake. Ni kama leo hii kuna watakatifu wengine wanachechemea kwenda mbinguni wakati wengine wanakwenda kwa nafasi. Si kwamba Mungu anawapendelea wengine, hapana, sote tuna haki na fursa sawa mbele zake ila wengine hawachangamkii haki zao na fursa walizopewa, kwa kujua ama kwa kutokujua...katika yale machozi tutakayofutwa mbinguni ninaamini kabisa mengi yatakuwa kutokana na kuona jinsi ambavyo tumeishi way below our potential tulipokuwa duniani..





2013/3/20 Michael J. Nzala <michael...@yahoo.com>

Anthony Athanas

unread,
Mar 21, 2013, 1:18:24 PM3/21/13
to strictl...@googlegroups.com

Input yako nzuri Patrick,

Nitarudia kusoma tena nimeipenda sana barikiwa

Mwenda. Anthony

SELELI EDWIN

unread,
Mar 22, 2013, 9:09:47 AM3/22/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick.

very good  job brother in Jesus name

Umesema....Labda niseme tu kuwa hayo maelezo yangu yote ni speculation tu= love you for your sincerity..good quality of christian i wish to have always, amen, maana Biblia haiweki wazi jinsi walivyoweza kuwatambua Musa na Eliya. Cha msingi hapo walimwona Bwana Yesu katika utukufu wa ajabu na kuisikia sauti ya Mungu Baba toka mbinguni- oo yes, we may miss all but not that..excellent balance in Jesus name bro

Tunaweza kujifunza mengi katika tukio lile, nimepata vitu viwili, wengine wanaweza kuona vingine zaidi:

1. Musa na Eliya walitokea pale mlimani na walikuwa wakizungumza na Bwana Yesu, hivyo tupatapo maono na kuwaona na hata kuongea na waliotangulia na maongezi yale yakaendana sambamba na Maandiko, it is biblical, THIS NEEDS MORE TOUCH..SO WE BORN AGAIN CAN HAVE COMMUNICATION WITH THE DEAD? I MEAN KAMA MCHUNGAJI WANGU KAFA KISHA AKAWA ANANITOKEA NDOTONI, MAONONI NAKUONGEA NAMI, MAY BE HATA KUNIAGIZA MAMBO YA KIBLIBLIA, NI KIMUNGU? MAY BE YOU WANTED TO ARTICULATE SOMETHING ELSE?  HOW DO WE BALANCE THIS POSSIBLE TRUTH AS FAR AS JESUS IS CONCERNED KWA KUA NI KWELI ALIONGEA NA WAPENDWA WALIOKUA WAMEKUFA TAYARI? JUST BECAUSE THE DEAD APPEARS TO US AND SPEAK THE BIBLE WORDS, FINE AND THAT IS ALL? AND HOW WILL WE ESCAPE THE DANGER OF DOING IBADA YA AU NA WAFU? you can do something on this little tricky point.

Umesema...aktaka kuwaweka wote kwenye level moja ikabidi Mungu Baba kwa upendo aingilie kati....ndio maana akasema "Huyu ni mwanangu,,,msikieni yeye" notice hakusema chochote kuhusu Musa na Eliya.= Mungu wangu, Jesus Christ,! ooh my God, my God, am blessed abundantly, never had this mafuta before, lo! yaani Mungu kuhakikisha status ya Master is never, ever leveled equally na wapendwa star wa sheria na kinabii, means alot for true Biblical Pentecost faith, amen. Na ndio maana katika Waebrania 1:1 -2 tunasoma:1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana-Andiko nzito sana, Biblia ni tamu kulko maelezo







2013/3/21 Patrick Kamera <pka...@gmail.com>

Patrick Kamera

unread,
Mar 23, 2013, 3:52:37 AM3/23/13
to strictl...@googlegroups.com
Edwin, 

Siyo maana yangu, kusema kuwa communication with the dead is OK ila nimesema kuwa tunaweza kutokewa nao katika maono na yakawa ya Kimungu na Kibiblia kabisa, kama ilivyokuwa kwa wale wanafunzi watatu na Bwana Yesu mwenyewe pale mlimani. Bwana Yesu ndiye mfano wetu, if it was OK for him it sure is for us too, that's my take. 

Hivi unadhani wale wanafunzi Wayahudi walikuwa hawafahamu Torati inakataza kabisa communication na wafu? (Kumbukumbu 18:11, Walawi 19:31 n.k.)  Pengine ndio maana Bwana Yesu aliwaambia wasimwambie mtu mpaka atakapofufuka, akiwa na lengo la kutaka kuwalinda wasije kupigwa mawe na kuuwawa bure na hiyo bila shaka ilikuwa motivation tosha kwa Petro kukaa kimya... Ukweli ni kwamba Yeye Yesu ndiye huo ufufuo na uzima na wote wafao katika yeye wako hai mbele zake, hivyo wapendwa waliotangulia ni kama wamebadili anuani ila ni permanently. 

Unadhani ni kwanini Bwana Yesu akijibu swali la Masadukayo waliotaka kumtega alisema hivi:






 Swali, sasa how would you reconcile the two seemingly opposing scenarios? Was Jesus wrong or was John wrong? Or were they both right...you could be simplistic and claim John had Elijah's "anointing" but that's not what the Scriptures explicitly says and that's why Jesus prefaced his response with this very telling phrase "if you can accept it" He knew some couldn't or wouldn't accept it, why? Who knows? Even the angel Gabriel speaking to Zechariah, John's father said He will come in the spirit and power of Elijah (Luke 1:17







Blessings,

Patrick



2013/3/22 SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>

C K Lwembe

unread,
Mar 23, 2013, 12:38:19 PM3/23/13
to strictl...@googlegroups.com
Ndg Patrick,
Nimebarikiwa sana na uelewa huu ambao ninaamini unalileta tukio zima la hapo mlimani katika maana kamili ya fundisho la msingi kwa kanisa. Neno linasema, mbele ya mashahidi wawili au watatu jambo lithibitishwe, jambo ambalo naona linatimizwa katika tukio hili. Basi kwa kadiri ya hili ulilolisema,
"Musa na Eliya wanawakilisha Torati na Manabii, ndio maana Petro aliposema wajenge vibanda vitatu, kimoja cha Bwana Yesu, kingine cha Musa na kingine cha Eliya, aktaka kuwaweka wote kwenye level moja ikabidi Mungu Baba kwa upendo aingilie kati....ndio maana akasema "Huyu ni mwanangu,,,msikieni yeye" notice hakusema chochote kuhusu Musa na Eliya. "
Kwanza kuhusu kuwatambua, hilo naliona liliwezekana kutokana na wao kufunikwa katika ule utukufu. Maana Maandiko yanasema Roho ajapo atatuweka katika kweli yote, na pia yeye ndiye atupaye ufahamu wa mambo yote ya kiroho na kimwili. 

Bali kuhusu ile kauli ya Petro ya kujenga vibanda vitatu, yaani cha Musa, kikiwakilisha Torati, na cha Eliya kikiwakilisha manabii; na cha Kristo, kikiwakilisha Injili; hivyo vibanda viliwakilisha Sauti anazopaswa kuzitii Petro kwa kadiri ya mfumo wa maisha yake kama kanisa. Lakini Mungu anamsahihisha kwa kumsogeza mahali husika hapo anapowaambia kwamba, wamsikilize Kristo!!!  Kwahiyo ukimkuta mtu anakusisitizia kuisikiliza Torati basi jua kuwa huyo hakuwakilishwa pale mlimani, ndipo yungali katika mawazo aliyokuwa nayo Petro, anajaribu kuzisikiliza sauti zote tatu!!!

Lakini, iwapo nasi tumewakilishwa hapo mlimani, basi Sauti hiyo ya Mungu Baba, inatuhusu pia, maana tu matunda ya hao walioipokea Sauti hiyo. Nasi twaendelea kumsikiliza Kristo kupitia mitume wake maana hao ndio Yeye kama alivyoahidi kuwa ndani yao!

Basi hivi vibanda tunavyoendelea kuvijenga leo hii vinaashiria nini? Ni ishara ya kukwama kwetu katika kuipokea kikamilifu ile Sauti inayotutaka tumsikilize Mwanaye mpendwa, badala yake tumeendelea katika mawazo yetu, "Bwana ni vizuri umenipa huu ufunuo, sasa nitaanzisha dhehebu la Lwembe Biblical Prophets!" Na tunaendelea katika hayo tukijiridhisha kwa mafunuo na vipawa! Bali tunapaswa kurudi katika msingi wa Injili kama tulivyoletewa na mitume, maana hao ndiye Kristo, ule mwili!!

Mbarikiwe,

Ck Lwembe

Sent from my iPhone

SELELI EDWIN

unread,
Mar 24, 2013, 8:16:36 AM3/24/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick,

Nimependa hii balance /angalizo kuhusu kutokewa na the dead-it is too delicate  truth and shocky too...if i teach it at  Ushirombo, i will need triple God's protection man

Mungu anaweza kutufunulia kuwaona- waliolala- kwa njia ya maono, trances au hata ndoto* na ku-interact nao kama apendavyo Yeye na kwa makusudi yake mwenyewe.
Cha msingi ni kupambanua chanzo cha supernatural experiences zetu zote na kuhakikisha hazikinzani na Neno la Mungu.


Na hii fact ni tamu too...Kwa habari ya Yohana, kama nilivyosema hapo awali, hayo maneno "the disciple whom Jesus loved" yapo kwenye Injili ya Yohana peke yake, hutayakuta kwa Mathayo, Marko wala Luka and guess what? Mwandishi wa Injili ya Yohana ni Yohana mwenyewe.

Na hii sweet too bro=Kuvuviwa na Roho Mtakatifu hakumaanishi kuwa mwandishi anapoteza personality yake. Mfano, Luka alikuwa mganga na bila shaka msomi na uandishi wake uli-reflect hilo, aliandika matukio yote katika Injili kimpangilio zaidi.

Nimependa hii kwa kua kuna nyakati tunadhani kwakua tuna RM..  and Mungu anapotutumia..waga tunakua kama robots/boxes!.nothing  in/of us is used eg personality-character/traits pia ,akili/reasonings, mawazo,talents,gifts,other capacities..imefahamika ivyo kwa wapendwa wengi sijui why? na ni vyepesi kusema kua fulani anatumia akili au sijui anatumia elimu ya dunia..wakati vyote tulivyonavyo tena tukishafanywa upya-sisi kama tulivyo...vimewekwa na Bwana na vya tumiwa na Bwana anytime, as long as viko chini ya Bwana na sisi tuko ktk uvuli wake mbona ni baraka sana..ooy yes..Luka alivyoandika..u see something else...TRA Mathayo naye ana muondoko wake wa Kiyahudi/Ki TRA.. Yohana--u said it all--kuzama-zama rohoni ambayo ndio tunapendaga wengi ana mtu akihuduma ivyo, wow! wote tunasema aisee jamaa yuko rohoni sana-sasa sijui wengine akina Luka wako mwilini na Marco..mze wa Summary-straight to the point-Patrict Kamera wa enzi zile...

Press on,

Edwin Seleli

 

2013/3/23 Patrick Kamera <pka...@gmail.com>

SELELI EDWIN

unread,
Mar 23, 2013, 4:04:50 PM3/23/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick,

Safi sana in Jesus name, to be honest, sometime, you find that you need to ask/challenge things for more light to shine for the sake of all....more clarifications and little detailing on the specific can cement the previously said yet good things, i love and blessed with it, amen

Lwembe....your new church! geared from Patrick leveling..mmmh, well Patrick will be your member, as for me--you need to indeed fast and pray to fish seleli in, would suggest you begin with easily fished Nzala-tehe and well, somehow probably hard but a little simple too- Mabinza  and why not try the hard giant fish..the great DC Mallya?

Press on,

Edwin Seleli

2013/3/23 Patrick Kamera <pka...@gmail.com>
Edwin, 

Patrick Kamera

unread,
Mar 24, 2013, 11:59:15 PM3/24/13
to strictl...@googlegroups.com
Ndugu CK Lwembe,

Ubarikiwe sana kwa kuleta ufunuo mpana zaidi wa tukio lile la pale mlimani and it's modern day application kwetu sisi. I't's so good, so deep and more importantly it is the truth, again much blessings to you my brother.

Patrick

2013/3/23 C K Lwembe <cklw...@ymail.com>
--

Patrick Kamera

unread,
Mar 25, 2013, 12:08:42 AM3/25/13
to strictl...@googlegroups.com
Edwin

Much blessings to you as well. Ingekuwa vizuri na wewe badala ya kututega tu na maswali yako na kusubiri kutu-challenge ungekuwa na wewe unatoa majibu yako vilevile, don't hide behind phrases like "kuna kitu nataka mkione". Ningekshauri uanze kwa kutupa majibu ya maswali yako uliyouliza kwenye original post yako, usiisie tu ku-dissect majibu ya wengine.

Kwa habari ya ndugu yetu CK Lwembe, I'm with him on this, ameleta ufunuo mpana zaidi and very applicable to us today. You see, as we each share what the Holy Spirit illuminates to us through a particular scripture, we build each other up, and that's how the body of Christ should be au unasemaje?

Blessings,

Patrick


2013/3/23 SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>

SELELI EDWIN

unread,
Mar 25, 2013, 4:20:23 AM3/25/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick,

Nimekupata but dont take it kua natega! apo tena unakwenda wapi Mr?....challenge ni vema inaibua vingi vizuri if  taken positively si ndio...majibu pia naweza changia tu hamna tabu kama haitakua njema kukuuliza...lakini kuuliza ufungua uwanja wa wengine kuja  na vingine kwa lengo lilelile ulilo-point la body of   Christ kujengwa....kumbe nina hude! hii tena bro kali

Blessings,

Edwin Seleli

2013/3/25 Patrick Kamera <pka...@gmail.com>

mall...@gmail.com

unread,
Mar 25, 2013, 6:31:53 AM3/25/13
to strictl...@googlegroups.com
@ Patrick,

Wapo wanaoshuhudia wanne hapa Duniani wakiwa wanamiliki na kutawala,,

1.Musa
2.Eliya
3.Enock
4. Kanisa- wewe na mimi..

Au ukikataa kama wewe si mwenye uhai sasa , sawa lakini ndivyo ilivyo...

Walijua si kwa nyama na akili zao au mapokeo yaliyoandaliwa, bali kwa nguvu za Mungu, ni neema ya MUNGU... Je wakati ule RM si alikuwa bado hajafika ulimwenguni??? Kwa maana Bwana alikuwa pamoja nao???

Kwa hiyo, walitamani vijengwe vibanda vitatu tu, kimoja cha ELIYA, kimoja MUSA na kimoja cha BWANA...

Lakini BWANA aliwaambia kwamba kipo kibanda cha nne, kizazi cha NNE ndicho kitakachofunuliwa yote,, kizazi cha ufunuo, kibanda ambacho kanisa lote litaingia pamoja na Yesu na Kutawala miaka 1000.

Sasa tupo katika kibanda cha NNE ambacho ni kizazi cha nne....BWANA shamba ameshuka mwenyewe ili awaangamize wote walioharibu shamba lake la MIZABIBU ... Ili awape tena wengine anaowapenda kina Seleli, Nzala, na wote kina equaliptus na ......on and on wampendao...

Mwisho wa mambo mabaya umefika na Mwanzo wa Mambo mazuri tu umeanza!!!


Bezaleli DC..

Mfuasi wa Mapenzi ya MUNGU.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Sat, 23 Mar 2013 23:04:50 +0300
Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

mall...@gmail.com

unread,
Mar 25, 2013, 10:11:36 AM3/25/13
to strictl...@googlegroups.com
@ Patrick, mfuasi wa Yesu unayefanana naye hata kutembea..


""Edwin, Siyo maana yangu, kusema kuwa
communication with the dead is OK ila nimesema kuwa tunaweza kutokewa nao katika maono na yakawa ya Kimungu na Kibiblia kabisa, kama ilivyokuwa kwa wale wanafunzi watatu na Bwana Yesu mwenyewe pale mlimani. Bwana Yesu ndiye mfano wetu,""


Khaaaa, bha haaa hhaa..

Maono ya kimungu au ya kiMUNGU.. Sijakupata maana umeweka m ndogo.. Kama hivyo sawa...

""Waliokwisha kufa hawana ijara tena na kumbukumbu lao limeishia hapo...""

Maono ya Mungu hayawezi kukujia kupitia wafu... Maana hata yule tajiri aliomba wafu warudi kuwaasa ndugu zake akaambiwa "wapo huko kina seleli na Nzala na wengine wanaovaa tai nzuri nzuri""

Maono ya watu na wanadamu ndiyo yaweza kupitia ndoto na nyota na unajimu..

MUNGU wetu si wa mchezo.

Halafu maono ya KIBIBLIA ni kitu gani?? Soma ISAYA 55:11 kwamba Neno lake halirudi patupu, targeted to fish and bring fourth fruits...

Soma Ayubu 22:2 makusudi ya Mungu hayazuiliki na anaweza kutenda lolote..

Kwa hayo machache, wale walioonekana hawakuwa wafu..

Wale ni wenye uhai watatu, ukiongeza na Kanisa wanakuwa wenye uhai wanne...

MUSA alizikwa na MUNGU, no body knows
ENOCK alichukuliwa na MUNGU hai
ELIYA alichukuliwa hai..

Chunguza NENO ujue siri MUNGU ana mission gani na sisi wa kizazi cha nne, katika kututhibitishia sisi wana wake kwamba yeye ni BWANA wa mabwana na MUNGU wa miungu na ni MWENYEZI..

Amen.

BezaLELI DC

Mwana wa Mungu kizazi cha nne.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Patrick Kamera <pka...@gmail.com>
Date: Sun, 24 Mar 2013 23:59:15 -0400
Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

Patrick Kamera

unread,
Mar 25, 2013, 1:46:07 PM3/25/13
to strictl...@googlegroups.com
Mpendwa Mallyadc,

Kwa kweli post zako zote mbili umeniacha mbali kabisa, sijakuelewa unachojaribu kusema lakini naamini kabisa nia yako ni njema pamoja na kwamba nimeshindwa kabisa kung'amua ulichokiandika.

Mungu akubariki,

Patrick



2013/3/25 <mall...@gmail.com>

ck Lwembe

unread,
Mar 26, 2013, 7:32:19 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Baraka za Bwana zitufurikie sote hapa kanisani!
 
Unajua ndg Patrick, jambo la kushare Neno la Uzima, sidhani kama kuna kilicho bora katika maisha zaidi yake, kwani vyote vitapita, bali Neno la Mungu ndilo pekee litasimama; basi kwa kadiri tunavyokusanyana kulizunguka hilo Neno, ni dhahiri kwamba, potentially, tumekwisha kuingia katika Eternity!
 
Ndio maana unaweza kuona kuwa, kutoka kifungu kimoja cha Maandiko, mnaweza mkadumu hapo, ufunuo juu ya ufunuo, juu ya ufunuo..., kikakupeleka huko Mwanzo na kukupitisha hadi Ufunuo, kikiifunga Biblia nzima kuwa hicho kifungu, ni baraka jinsi gani!!!
 
Gbu,
 
Ck Lwembe


From: Patrick Kamera <pka...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Monday, March 25, 2013 6:59 AM
Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

ck Lwembe

unread,
Mar 26, 2013, 7:42:14 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Kama mmewahi kusoma kuhusu Mt. Martin, 315-399 AD. Huyu ni kati ya wale waliong’ang’ana na Kweli ya Injili, waliyakataa mafundisho potofu ya Kirumi. Mungu alisimama naye na miujiza mingi ilifanyika kupitia yeye, akiwa ni chombo kiteule katika wakati wake, licha utesi wa Kirumi.
 
Siku moja akiwa katika chumba chake cha maombi, ghafla chumba kilijaa nuru kali, na alipogeuka kuitazama ni nini, akamuona Kristo anayeng’ara na kumeremeta, katika mavazi meupe, amevaa taji zuri kichwani. Ndipo akamwambia, “Martin, nimekusikia na sasa nimekuja; haya, nisujudie!”
 
Kutoka moyoni mwa Martin, ukafumuka wimbo;
“All hail the power of Jesus’ name!
Let the angels prostrate fall;
Bring forth the royal diadem,
And crown Him Lord of all”!!!
Akamtazama, kisha akamwambia, “Ondoka, Shetani!!!”
Unaona, yeye alikuwa amemjia huku amevaa taji, naye Martin hakumbuki kumvisha! Akatoweka!!! Hebu niambie, akinitokea mimi au Nzala, si mtatukuta tunaramba vumbi kwa kusujudu!
 
Basi, tunapozungumzia interaction na waliolala, kwa maana ya wao kututokea katika trances etc, ni vizuri iwapo tutaliangalia hilo kuona iwapo tunayo Ahadi ya jinsi hiyo? Kama ipo, je, inawakilisha nini? Mimi nadhani jambo hili linahitaji uangalifu kidogo. Maana hata tunaporudi katika lile tukio, ili tulichukue hilo kujenga msingi wetu, bado litapwaya kwa sababu Musa na Eliya walionekana wakizungumza na Yesu, hawakuwatokea mitume, na wala mitume hawakuelewa walikuwa wanazungumzia nini, wao waliwaona kama kwenye zile “sinema bubu”!
 
Au Patrick ulimaanisha “translation”? Ambayo kwayo ungeweza kuchukuliwa hadi uweponi mwa Bwana katika hayo makazi mengi yaliyoko huko, nawe ukapelekwa hadi kwa watu wako, ukawaona huko na ukaongea nao katika furaha ya kukutana, sasa hilo likiwa ni kwa ajili yako tu, kwa kadiri mnavyoelewana na Mungu! Sasa hapa tena unaweza ukajikuta umerudi katika kule “kupendwa sana”, maana kuna wazee wamepiga Injili toka ujana wao, hawajapelekwa huko mpaka wamelala! Si unawaona akina Henoko na Eliya wamenyakuliwa hawakukionja kifo kama mamilioni ya watakatifu wengine, ingawa Eliya atarudi aje auawe, (sijui ndiyo huyu nabii Eliya wa kizazi cha nne, nitamuuliza Bezaleli DC!).
 
Pia nimeipenda hii challenge hapa kuhusu Yohana Mbatizaji, hapo anapoulizwa iwapo yeye ndiye Eliya, naye akakanusha kuwa siye, halafu Kristo anawaambia wanafunzi wake, if you can accept it John was Elijah who was to come” Na sasa hii challenge;
sasa, how would you reconcile the two seemingly opposing scenarios? Was Jesus wrong or was John wrong? Or were they both right...you could be simplistic and claim John had Elijah's "anointing" but that's not what the Scriptures explicitly says...
Naona umepiga bit kabisa kwenye avenue hii ya Elijah’s “anointing”!! Lakini, unajua, there’s something abt being simplistic, haswa kuhusu Biblical issues, complex as they seem! Hebu turudi kwenye hizo two seemingly opposing scenarios, let us live them! Ya kwanza inamuhusu Yohana Mbatizaji na Wafarisayo, na Wasadukayo na Waandishi; yaani hao Hi-tech wa dini na Maandiko. Huduma yake iliitikisa nchi, na viongozi walikosa majibu ya kuwapa watu wao kuhusu huduma hiyo kuwa ni nini, ndipo Wayahudi wakawatuma makuhani na Walawi, unaweza kupiga picha hapo kuwa kundi la maaskofu na kofia zao kuubwa wakiteremka huko mtoni kumkabili Yohana ili warudi na majibu ya kueleweka kwa watu wao! Yatazame maswali yao, si ya watu wa kawaida, bali ni ya watu wenye ujuzi wa Maandiko,
Wewe u nani? Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo. Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.
Unaona, wao wanamtegemea Kristo au nabii yule (Kum 18:15), tena wanamtegemea Eliya kulingana na unabii wa Malaki, 4:5-6, sina uhakika kama hilo lilijumuisha na Mal 3:1, yule mjumbe, maana wanaporudishwa kwa Isaya, walipaswa wawenayo habari hii pia katika tegemeo lao!!. Pia ni lazima tukumbuke kuwa hawa ni watu wa mwilini. Basi jibu la Yohana lilikuwa ni la kiMaandiko kulingana na kundi lililomjia. Aliwarudisha huko kwa nabii Isaya ilikotabiriwa siku yake na Huduma yake, Mungu akiweke msingi, “Akasema, Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, Inyosheni njia ya Bwana! Kama vile alivyonena nabii Isaya” Jibu la Agano la Kale kwa watu wa Agano la Kale! Makundi yao yakamiminika mtoni!
 
Scenerio ya pili inawahusu wanafunzi wake. Hawa ni hao waliovuka kutoka Agano la Kale, na sasa wameingia katika Agano Jipya. Wamepita katika huduma ya Yohana, ambayo sasa imewavushia ng’ambo ya pili, kwa Bwana Arusi! Ni nani anayemficha siri za moyo wake mkewe? Katika nchi yote ya Israeli, ni hilo kundi pekee lililoijua siri hiyo, yaani hata leo hii wanaoijua siri hii ni Kanisa pekee! Basi jibu la Kristo kwa wanafunzi wake, lilikuwa ni la kiroho kulingana na Huduma yake, tena usisahau kuwa anapowapa jibu hilo walikuwa ndio kwanza wametoka katika lile ono pale mlimani!!
 
Kwahiyo kimsingi tunaweza kusema kuwa scenerio hizo mbili zilireflect two different ages, zilizotenganishwa kwa huduma ya Yohana, hapo katika njia panda ya wakati!
 
Labda tuliangalie hili vizuri tena suala hili la kutokewa na waliolala, kwani namuona Seleli anajaribu kumeza, lakini limemkaba koo, macho yamemtoka, anauona mzimu wa Samweli ‘fix’ ukipandishwa na mchawi wa Endor!!!
 
Mbarikiwe!
 
Ck Lwembe


From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Monday, March 25, 2013 11:20 AM
Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 8:19:01 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mwana Wa Mungu Mfuasi Lwembe,

Kweli ELIA Yauja kurejesha yote, kutengeneza yote...

Nchi yetu imepata Neema Kubwa sana kupendelewa na MUNGU wa MAJESHI kizazi hiki cha nne cha UNYAKUO kutupatia Nabii miongoni mwa Kondoo zake, naye ni Nabii ELIYA Adamu wa Pili MUNGU wa Majeshi.

Haswaa, mwenye agizo la Mungu kinywani mwake..la kuivunja misingi mibovu ya mila na desturi za wanadamu na watu, mwenye roho ya Matengenezo, upatanisho, marejesho na Kujenga. Ambaye mwenye wivu wa Bwana .

Amemtengenezea Bwana Kanisa (si dhehebu wala dini) linalomuabudu Mungu katika Roho na Kweli kama alivyopewa Agizo .Ametuletea Majira sahihi ya Nyakati zake MUNGU wa Majeshi.na Amefanya Maagano yanayotenda kazi kilasiku, sasa ameleta Zamu ya Alfajiri ambapo MUNGU mwenyewe huwapukutisha maadui wa Kanisa na wana wa Mungu na kazi zao.

Naye amezaa wana wanaofanana naye katika Huduma .Asiye na Wivu.


""Si unawaona akina Henoko na Eliya wamenyakuliwa hawakukionja kifo kama mamilioni ya watakatifu wengine, ingawa Eliya atarudi aje auawe, (sijui ndiyo huyu nabii Eliya wa kizazi cha nne, nitamuuliza Bezaleli DC!).""

Nabii ELIYA wa kizazi cha nne, pamoja na kanisa lote pamoja na watenda kazi wa MUNGU kizazi cha nne hawatauawa kama DUNIA ilivyozoea, maana NEEMA ya MUNGU ni kubwa kumuangamiza kabisa shetani na JOKA lile la zamani lililowaua manabii wa MUNGU kizazi cha kwanza mpaka cha tatu...(Wakati wa MUSA,ELIYA na YESU).

MUNGu ameshuka mwenyewe na amemuangamiza JOKA lile la zamani na wote wanaotegemea uzuri wa lile joka na wanaotegemea roho za utambuzi kupitia like Joka, wote wamepukutishwa na BWANA.

Kanisa halidharauliwi tena, na lipo katika safu yake..

Ni wakati wa KICHEKO kinachowaangamiza maadui..si wakati wa vilio...JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu, maroho yake na vibaraka wake hayawezi tena kulishambulia kanisa... Na wakati wake mchache umefutwa...

Ukishangaa ,ingia 1 kor 2:6-10

Maana kadiri unapokuwa karibu zaidi na unapozidi kumsogelea MUNGU ndipo ufahamu wako unapozidi katika ufunuo wa MUNGU na maono ya MUNGU.Shetani,IBILISI,Lile JOKA la ZAMANI anazidi kuwa mbali nawe anafutika katika ufahamu wako anakuwa amekufa katika ufahamu wako...


Ubarikiwe ulishike NENO na ulitende NENO...utapata ujira wako.

Bezaleli DC
Siku ya saba. Agano la mwisho wa mambo mabaya, na mwanzo wa Mambo mazuri tu.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: ck Lwembe <cklw...@ymail.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 04:42:14 -0700 (PDT)

ck Lwembe

unread,
Mar 26, 2013, 9:03:40 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Bezaleli DC, Mfuasi wa Mapenzi ya Mungu,
 
Vizazi Vinne katika Mk 12:2-9
Cha Kwanza:
Hata kwa wakati wake akatuma mtumwa kwa wale wakulima, ili apokee kwa wakulima katika matunda ya mizabibu. Wakamtwaa, wakampiga, wakamtoa nje, hana kitu.
 
Cha Pili:
Akatuma tena kwao mtumwa mwingine, na huyo wakamtia jeraha za kichwa, wakamfanyia jeuri.
 
Cha Tatu:
Akamtuma mwingine, huyo wakamwua; na wengine wengi, hawa wakiwapiga na hawa wakiwaua.
 
Cha Nne:
Basi alikuwa na mmoja bado, mwana mpendwa wake; huyu naye akamtuma kwao mwisho, akisema, Watamstahi mwanangu. Lakini wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu. Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.
 
Mwenye Shamba:
Basi atafanyaje yule bwana wa shamba la mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine.
 
Hebu nifafanulie vizuri, unaposema sisi ni kizazi cha nne, ndio hicho hapo juu? Maana kila ninavyoyatazama Maandiko hayo, kwa jicho lako, najiona kama ni mtu anayengojelewa kuchinjwa na kutupwa nje ya shamba!!! Dah! Upako huo sinao!!!
 
Ck Lwembe


From: "mall...@gmail.com" <mall...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Monday, March 25, 2013 1:31 PM

Mary Damian

unread,
Mar 26, 2013, 10:16:25 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mtumishi Mallya, 

Nisaidie kuelewa maneno yoote umeandika, umetaja mstari mmoja wa biblia na huo hauhusiani na uliyoyaandika....

1 Wakorintho 2:6-10.....walakini iko hekima tusemayo kati ya wakamilifu; ila si hekima ya dunia hii, wala ya hao wanaoitawala dunia hii, wanaobatilika; bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetuambao wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulubisha Bwana wa Utukufu................mstari wa 10: Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya Mungu"

Ukiniambia ni siri iliyofichwa ama hekima uliyonayo sawasawa na 1 wakorintho 2:6-10...bila shaka hekima hiyo kwa wepesi utanisaidia kuelewa maana ya sentensi hii? ...JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu, maroho yake na vibaraka wake hayawezi tena kulishambulia kanisa...  naweza kuipata wapi kutoka kwenye Biblia? Ama ni siri, hekima nyingine hazipatikani kwenye biblia (Neno la Mungu)?

Pia naomba tujitahidi tusiharibu mtiririko wa maoni kutokana na heading husika ....nimeamua kuihamisha comment yako hapa. 

Barikiwa

--Mary

Mary Damian

unread,
Mar 26, 2013, 10:54:22 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa, naomba maoni, mafundisho khs kizazi cha nne ama vizazi vinne tuendeleze hapa, Barikiweni 
--Mary


-----Original Message-----
From: ck Lwembe <cklw...@ymail.com>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Tue, Mar 26, 2013 4:40 pm

Mathew Maduhu

unread,
Mar 26, 2013, 10:48:20 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com

Mallya,

Hivi huyu Nabii Eliiya wa Kizazi cha nne ndiye yule anayewaambia wafuasi wake kuwa HAWATAKUFA? Nakumbuka alimponza (alimzuia kwenda Hospitali) Mkwe wangu (alikuwa amefikia/fanya kuwa Mchungaji ktk huduma yake) LAKINI ALIKUFA halafu yake wakaficha tusijue, habari zilipo-leak ilibidi wamzike na Mchungaji aliyeongoza mazishi yale alisema maneno yanayofanana na  maneno yako – DC, alisema hivi “Nabii Eliya amekwisha muua Shetani kama huamini kawaulize waganga wa kienyezi watakuthibitishia”.  Isije na wewe ukawa miongoni mwao wanaoamini hivyo, na ya kwamba hutakufa. LAKINI KUMBUKA HILI kama muda wa Bwana kurudi (kulichukua Kanisa lake) bado kama miaka 100 hivi, futi 6 kwa 2 chini ya ardhi ni yetu sote, yaani mimi, wewe na Nabii Eliya wa kizazi cha nne bila kuwasahau na wapendwa wote wa SG.

 

Wapendwa ni vema tukiwa waangalifu na roho zidanganyazo ambazo Mtume Paulo amezinena wazi wazi  - 1Timetheo 4:1.

 

Mathew.

--

Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 



This email and any attachments may contain confidential information for intended recipient only. If you have received this email in error please notify the sender. Note that any copying, disclosure or distribution of the message is strictly prohibited. Email recipient(s) should check this email and any attachments for viruses. Tanesco will not be liable for any damage caused by virus.

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 10:49:08 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
LWEMBE  my long time friend here,

Ume comment very true about me ivi... i....''Labda tuliangalie hili vizuri tena suala hili la kutokewa na waliolala, kwani namuona Seleli anajaribu kumeza, lakini limemkaba koo, macho yamemtoka, anauona mzimu wa Samweli ‘fix’ ukipandishwa na mchawi wa Endor!!!''

Nakiri/nakushuudia kweli ni kama uko nami hapa room naandaa masomo/challenges/tips za kushare church hapa, nafungua tu kuchungulia  inbox, nakutana na reply yako hii....nasoma nakabwa kama ulivyosema...sijui umefunuliwa au ..lo! umenisuprise am serious my bro!!!!!!!!!..nimeshangaa kweli Lwembe..lo! your full in RM bro.....umeniona hakika...kuo kila napojaribu kumeza hii doctrine ya Walio-hai  watu wa Mungu kutokewa na  waliokufa na kuanza ku-interact nasi... au tuseme Walio-lala-ili my long time friend  Nzala hasinijie na lecture ya Kiswahili fasaha cha Biblia kati ya kulala na kufa-tho all mean  one thing basically in this life- No physical existence of their being here down---so  iyo point ni kitu delicate na kina risks/danger zones nyingi kufundisha..assume una-hudumia watu  Yesu amewang'oa ktk terrible experiences/ backgrounds za mambo ya mizimu kama sie wanyamwezi, pia wamasai,wasukuma, wahehe na kabila nyingine Tz, hata wahaya wajomba zangu, then kusema wafu/waliolala ktk Bwana, Mungu anaweza waruhusu kutuongelesha hata kututokeaga-tokeaga tu...you are not sure always watoto wako wa kiroho hao watakua na matured capacities za kutosha, ziko kweli alert 24/7  kujua huyu ni mzimu tu pepo kabisa hata kama imekuja kwa sura exactly kama ya my mom au mchungaji wangu-maana Ibilisi hujifanya malaika wa nuru na  huyu ni mchungaji, mzee wa Kanisa,aliyelalala ktk Bwana safi kama akina Eliya, Musa na kua wakitokea ni baraka, ni Mungu kaamua so they can go ahead interacting with them!!!!!!!!!...ndiposa nikauliza vipi wote-the mizimu in the form of my pastor, mom na real pastor and mom wakituambia kufanya mambo na yakawa ya Kibiblia tu- BECAUSE THE DEVIL/MIZIMU CAN TELL/SPEAK CORRECTLY/SWEETILY-not necessarily doing THE BIBLE- Mdo.16:16-18, Mathayo.4:3,6,8,9 au hata yakiwa ya maisha safi kama kugawa urith upya..tunatii? if not why ? coz ni Biblical or physically clean instructions! au wawe wanatutokeaga tu bila kuongea?!

...Nadhani so kila niliposoma points zenu on this ishu na kubisect parts ktk majibu/mada kitu ambacho ni normal tu hapa hasa unapoguswa na baadhi ya points kwa uzuri na utamu wake unapotaka ku-appreciate/kumbariki mtu on  his/her specific well done job for His Glory or kujenga/ku-create hoja/ swali....sijawaelewa sana kiviiiiiile...so niliipotezea tu..why nilipotezea? because..inanipelekea kule..ulikokumbushia wewe  ya Samweli mtu wa Mungu..mchawi kuweza kumtoa kaburini na aka-interact na Saul..kama kweli alikua Samweli...yes najua hapa tuna two scenarios...on one side,..Saul-kashamuacha Bwana...anakwenda kwa mwanga...mwanga anafanya vimbwanga na matunguri..anaibuka na mpendwa uncle ''sam''  then wanaongea..VERY BIBLICAL! na on the other side,  Mtakatifu sana Yesu..anaenda kuomba..yuko na  Mungu..Baba anafanya mambo matakatifu-never matunguli, then Musa na Eliya..wanatokea na ku-interact(not reccorded what they shared).......

My take which i can advise or drop in my audience's ears if I am teachings/preaching are as follows:

Ni rare case in the new testament, ndio maana ktk original text nili-note wakati nauiza nikasema ni tricky part of the scripture, only Yesus had such an OPEN experience ivyo tunaweza i term ku ni exceptional kwa Master mwenyewe so NADHANI PIA NDIO MAANA KTK PENTECOST FAITH CHURCH BASED, WE DONT TEACH OR EMPHASIS ON THIS EXPERIENCE-call it revelation,doctrine, idea,insight,  Old testament vs New Testsment two scenarios on Wafu/ Waliolala kutokea/kutokezea/kufanywa na devo or Mungu  au Kalunde mganga wetu  home-those dark days or Mwanamarundi-anamjua Nzala na Mabinza, Maduhu...watutokee/kuamua watokee

Siyo moja ya misingi-critically core value/stones upon which we stand ya Upentekoste and are ready to die for so wether watu wanajua au hawajui deeply iyo ishu not big deal, wont endager their chances in heaven, in fact hata wasipojua kabisaaaaa...they will go UP kama zile core teachings/ truths wamezi-swallow-heavily embeded in them and  wanazi-act accordingly- the big deal pale itakua na ambayo tunaweza emphasis na kufundisha ni kua Mungu anawasiliana na Watu hasa watu wake na njia anazotumia ni kama vile eg Maono  ya Wazi, Sauti .Pia  kingine cha kukomalia kushare/kufundisha ni  ile point/ufunuo wa RM kabisa kabisa,mtamu sana aliosema/UONA moja kwa moja Patrick ktk event iyo kua  Yesu is above manabii na Sheria pale Peter alipotaka kuwa-rank pamoja-kuwaweka vibanda 3. ndipo Mungu akawahi ku-maintain protocol-this is extremely huge deeply spiritual tip which sent me on knees shouting out joy

Press on,

Nimekumis Lwembe...and Nzala yupo? msalimie

Edwin Seleli


2013/3/26 ck Lwembe <cklw...@ymail.com>

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 10:45:35 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
@Mathew, Mwana wa MUNGU...Nabii Hakusema Hayo, ila Mungu akurehemu na utapata ufahamu wa NENO na siyo Maneno.


""LAKINI KUMBUKA HILI kama muda wa Bwana kurudi (kulichukua Kanisa lake) bado kama miaka 100 hivi, futi 6 kwa 2 chini ya ardhi ni yetu sote, yaani mimi, wewe na Nabii Eliya wa kizazi cha nne bila kuwasahau na wapendwa wote wa SG.""

Vilevile hapa Mathew, kwa damu ya Haki na Kweli na HUKUMU, ufute uelewa wako huu na MUNGU akupe vazi jipya katika ufahamu wako ujue kwamba hata ikifika ile sike, it will be BUSINESS as USUAL..UNADANGANYA MCHANA ETI ITAKUWA MIAKA 100, khaaaa , JAMBO HILO hATA BWANA YESU HAJUI....utubu usifanye mzaha....Usiwe MWANA wa JOkA na MAJOKA....

Kuhusu kuwa include wapendwa wote wa SG katika hilo shimo sina ufafanuzi, nachojua BWANA YESU alisema atakapokuwapo na sisi tutakuwa hapo...
Wapo watu watakuwa saa hiyo wanaiba, wanabisha, wanatukana, wanazini, wanaua, wapo vitani,Mtakuwa mnachart humu SG, PIA SIKU ILE IWAKAYA KAMA TANURU wapo watakaokuwa hai na watanyakuliwa..hawataonja hilo futi 6 kwa 2 unayoiogopa... Hiyo ni njia tu....

NI NJIA tu wengine wataelekea kifuani kwa IBRAHIM na wengine wataelekea kwa Tajiri... NO PROBLEM, the PROBLEM ni hapo unapoiweka kama kulidhalilisha kanisa, umeshapata ujira wako.KANISA sasa limebebwa na MUNGU mwenyewe, na hajuti kuwaangamiza wabaya wote ....


TIA AKILI....

Bezaleli DC
Mwenye wivu wa Bwana na wewe umpende Bwana...


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mathew Maduhu <Mathew...@tanesco.co.tz>
Date: Tue, 26 Mar 2013 17:48:20 +0300
Subject: RE: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 9:55:58 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
@ Dada Mary, HILO NI TANGAZO, ndivyo lilivyo . Na Ndivyo Mungu wa Majeshi anatenda kazi zake...

Mwisho wa Mambo mabaya ni sasa na Mwanzo wa Mambo Mazuri ni sasa...

Halina mjadala Mwingine....


Bezaleli DC

Kizazi cha nne .
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 10:16:25 -0400 (EDT)
Subject: Re: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

Strictly Gospel

unread,
Mar 26, 2013, 11:45:18 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
From: mallyadc <mall...@gmail.com>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Tue, Mar 26, 2013 5:46 pm
Subject: Re: Re: Vizazi Vinne katika Mk 12:2-9

Asante sana mwan wa MUNGU Lwembe,
hapa tutaeleweshana tuelewe sote kwamba YESU ALIKUWA ANAPENDA KUFUNDISHA KWA MIFANO..MAANA WAKATI HUO WATU HAWAKUWA NA ROHO MTAKATIFU MAANA BWANA ALIKUWA NAO ILI WAUELEWE UFALME WA MUNGU VIZURI....KWA NINI NAMBA 4...WHY 4????? 
TURUDIE HAPA VIZURI:
 

Mark 12:2-9; Matthew 21:45-46; Matthew 22:1-14; Matthew 22:15-33; Mark 12:28-31; Matthew 22:40; Mark 12:32-33; Matthew 23:1-33 (New International Version)

Mark 12:2-9

New International Version (NIV)
KIZAZI CHA KWANZA HIKI HAPA: MANABII WALIUAWA =MIAKA 2000=SIKU MBILIZA UUMBAJI
At harvest time he sent a servant to the tenants to collect from them some of the fruit of the vineyard. But they seized him, beat him and sent him away empty-handed.
KIZAZI CHA PILI HIKI HAPA:MANABII WENGI SANA WALIPITA WAKAUWAWA=MIAKA 2000=SIKU MBILI ZA UUMBAJI
 Then he sent another servant to them; they struck this man on the head and treated him shamefully.
 He sent still another, and that one they killed. He sent many others; some of them they beat, others they killed.
KIZAZI CHA TATU HIKI HAPA:MITUME WALIUWAWA, YESU ALIUWAWA=MIAKA 2000=SIKU MBILI ZA UUMBAJI
“He had one left to send, a son, whom he loved. He sent him last of all, saying, ‘They will respect my son.’
“But the tenants said to one another, ‘This is the heir. Come, let’s kill him, and the inheritance will be ours.’ So they took him and killed him, and threw him out of the vineyard.
 
KIZAZI CHA NNE HIKI HAPA:KIPINDI CHA KIZAZI CHA NNE CHA UFUNUO NDIYO SASA HIVI=MUNGU AMESHUKA MWENYEWE =MIAKA 1000=SIKU MOJA YA SABA KUSTAREHE NA KUBARIKIWA.KANISA KUINULIWA KUNYAKULIWA...MISINI YA DUNIA KUANGUKA NA KANUNI ZA MUNGU TU KUINULIWA.
“What then will the owner of the vineyard do? He will come and kill those tenants and give the vineyard to others.
 KWA HIYO 2+2+2+1=7 UUMBAJI WA SIKU SABA UMEKAMILIKA.
UTAONA SELELI ULIKOSEA KIDOGO KUZIPANGA HIZI NYAKATI HAPO CHINI... 
 
KANISA LA WAKATI HUU WA KIZAZI CHA NNE LINA KAZI TOFAUTI NA VIZAZI CHA 1-3., WAKATI HUU KANISA HALIDHARAULIWI TENA, NA MUNGU AMETIKISA ANATIKISA TENA MARA MOJA MBINGU NA NCHI NA BAHARI NA MILIMA, ILI KILA KITAMANIWACHO NA WANA KIRUDI KATIKA KANISA. KANISA LINATAWALA NA KUMILIKI NA YOTE YANATOKEA KUPITIA MLANGO ALIOTUACHIA MUNGU MWENYEWE KATIKA 1 KOR 2:6-10.
 
BEZALELI DC
MWANA WA MUNGU MFUASI WA MAPENZI YA MUNGU. 


From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, 26 March 2013, 17:54
Subject: Re: Vizazi Vinne katika Mk 12:2-9

Damian Cosmas Mallya

unread,
Mar 26, 2013, 11:47:26 AM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
DADA MARY, NAENDELEA KUELEZEA HABARI ZA JOKA KUFUNGWA MIAKA 1000.
 
Katika Ufunuo 12:- utaona zilitokea isaha mbili kule mbinguni.
 
1. ISHARA KUU:MWANAMKE (MTAWALA), JUA (MTAWALA), MWEZI,(MTAWALA), TAJI YA NYOTA 12.
2. ISHARA NYINGINE:JOKA KUU,LENYE VICHWA SABA,PEMBE KUMI,VILEMBA SABA,MKIA UNAOKOKOTA THELUTHI YA MALAIKA WAASI
 
JOKA ALIJIFANYA MUNGU.(HEZEKIEL 28)
LIPO TAIFA LIMECHUKUA SURA YA JOKA,NI JOKA JEKUNDU-BENDERA YAO INA NYOTA 5 (TAFUTA NI NCHI GANI)
NI TAIFA LILILOSIMAMA KAMA SHETANI.
 
TABIA ZA JOKA LA ZAMANI:
 
1.MWZ 3:1 NYOKA ALIKUWA MWEREVU
2.UFUNUO 12:9 NYOKA WA ZAMANI AITWAYE IBILISI AUDANGANYAYE ULIMWENGU ALITUPWA DUNIANI
3.ALIKUWA NA SURA TOFAUTI MWZ1;1 GIZA,UKIWA, NA UTUPU-MUNGU ALIFUTA KAO LA JOKA KATIKA SURA ILE KWA KUUMBA NURU.
4.AKAWA SEHEMU YA MTI WA UJUZI WA MEMA NA MABAYA BUSTANINI.AKAJIHUDHURISHA KWENYE VIKAO VYA ADAMU NA MKEWE.
5. DHAMBI YA UASI ILITOKA KWAKE,KUTOTII NENO,,UTAKATIFU ULIKUFA,UTII ULIKUFA, NGUVU YA KUTENDA ILIUWAWA.
6. JOKA ALIJIITA YEYE MUNGU (FREEMASONS WANAJIITA WAO NI MUNGU,WANAMUABUDU SHETANI KAMA MUNGU)
7.MOYO WA SHETANI ALIUWEKA KAMA WA MUNGU, AKAIBA MAFUTA YA HEKIMA YA DANIEL
8.ANA PEPO /MAROHO YA UTAMBUZ ANAYOYATUMIA KUWAFANYA MANABII WA UONGO KUWA NA UTAMBUZI ILI KUIBA NA KUFILISI, MAPEPO YA SIRI,.SHETANI ALIWAPA UWEZO WA KUTUMIA JOKA KUTAMBUA...ANGALIA MA TV UTAONA...
UFUNUO 12:7 MPANGO WA WAOVU HAUPO TENA...
 
MAJOKA YOTE LEO MWISHO: ISAYA 14:13 NAMI NITAINUKA MWENYEWE (MUNGU WA MAJESHI) KUMYONGA HUYO JOKA.
MWZ 3:14-15
 
YUPO MALAIKA HUYU AMEMFUNGA SHETANI NA MINYORORO ..UF 20:1-3 AKAMFUNGA MIAKA 1000 ASIPATE KUDANGANYA MATAIFA TENA...
 
 
USIOGOPE SHETANI NA WACHAWI...MUNGU AFAGILIWI, ANAJITETE MWENYEWE...
 
MAHALI PA JOKA NA MAJOKA PAMEFUTWA NA MUNGU WA ELIYA. AMEPIRTISHA FAGIO LA UHARIBIFU KUWAFAGIA MAJOKA NA JOKA WOTE ISAYA 14:
 
KUMBUKA UKIPEWA LIFT UKIFIKA, UNADAI KADI YA GARI YA NINI???
 
 
 
BEZALELI DC
 


2013/3/26 <mall...@gmail.com>
IMG00127-20120409-1438.jpg

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 12:31:36 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya DC my dear kaka

''Usiwe MWANA wa JOkA na MAJOKA'''Nani? Pastor Mathew? mh! no brother... au amegusa pentegon kwa kushare ile event?....kidogoo   come down..naona umechachemaaa kweli..mi hua nachachamaa ila we mwenzangu..hii imenizidi....futa iyo kitu then muendeeee best..unaonaje?

Leo kumekucha....Man of God Mathew..hii ngoma kali babu wengine kimyaa, hawagusi au waligusa yale na haya on peace/diplomatic grounds kama mie na.......  si unaona Lwembe anakuja kwa steps, da! Mery D umetuweza kweli kutukatia pande ili pembeni, we kiboko dada hahahah.... na Nzala hapo hajaja, wait na Mabinza then Malle EQ nk ila Mwamfupe Kikola wangu uko wapi? ile mafuta plz achilia sasa

Press on mi napita tu.kama mtoa microphone.manake hii kitu Mungu wa Kizazi cha nne  anafanya kazi si mchezo sasa na its good kwa mara ya kwanza Mallya DC umeamua kujibu hoja sasa

2013/3/26 <mall...@gmail.com>

Mary Damian

unread,
Mar 26, 2013, 1:02:35 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Kaka Mallya, asante kwa habari ya joka, Ume-attach picha...vipi joka kafungwa kwenye hiyo nyumba? sijaelewa mahusiano ya picha na maelezo umetoa....

Anyway, inaonesha una-operate kwenye mafunuo mengine, naendelea kujifunza, nasubiri kusikia kwa wengine, nitarejea inapobidi. Kwa sasa no comment.

--Mary

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 12:27:15 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mwana wa Mungu yoyote lazima apate fimbo akienda kushoto au kulia...MaANA Mungu mwenyewe atakurudi...anakupenda...

Pastor Mathew, hakika hawezi kuwa Mwana wa JIVU (JOKA) .Mungu amefuta Neno hilo kwa Damu inayonena Haki tu na kweli, inayohukumu miungu yote..

..ila Nafsi yoyote inayotangulia ufahamu wetu kinyume na Maono ya MUNGU ,ni masalia ya JOKA na MAJOKA...hayambabaishi mwana wa MUNGU tena..

JOKA na majoka yote katika Kazi zako, agano lako la Kichwa na Kanisa (NDOA), Fedha zako, hatma yako, yamekuwa majivu na hautashindwa tena..

Kanisa sasa lina Ufahamu Kuanzia Mbingu ya NNe mpaka ya Saba, ambapo Ibilisi Shetani aliishia Mbingu ya Tatu tu... Na hapo NDIPO PALIPOKUWA NA VITA MBINGUNI..vita havijapiganwa MBINGU ya saba anapokaa MWENyE Shamba...... JOKA Hajawahi kufika mahali anapokaa MUNGU..ameishia kwenye MLIMA wa MUNGU....akatamani kufanana na MUNGU akiwa hapo....

JOKA la Zamani ni kiumbe wa MUNGU kwa hiyo hawezi kitu MBELE YA MY HIGH TOWER,MY REFUGE, MY REDEEMER...

Kanisa lina ufahamu wa VIZAZI vinne ambavyo kizazi cha kwanza mpaka cha tatu hawakuweza kuwa nao ila walitamani sana haya unayoyashangaa sasa...

MUNGU akatuachia mlango mwembamba ambao JOKA KUU na uasi wake hakuwahi kuijua njia hiyo nyembamba na mlango wa KANISA kupenya mpaka mbingu ya NNE mpaka SABA...1 Kor 2:6-10., mstari huu ukiusoma bila RM hutauelewa na ndipo hapo huwezi kuyajua mawazo ya MUNGU wa ELIYA kuwa hayachunguziki...utaziona KAZI ZAKE TU.

SASA JOKA KUu la KALE, ukiwa na utupu na GIZA usiliogope , ni majivu...limeshaangamizwa na MUnGU mwenyewe....HILO NI TANGAZO..


Bezaleli DC

Mfuasi wa Mapenzi ya MUNGU kizazi cha nne
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 19:31:36 +0300

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 1:24:51 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya,

Mwana wa Mungu yoyote lazima apate fimbo akienda kushoto au kulia...MaANA Mungu mwenyewe atakurudi...anakupenda...Pastor Mathew, hakika hawezi kuwa Mwana wa JIVU (JOKA) .Mungu amefuta Neno hilo kwa Damu inayonena Haki tu na kweli, inayohukumu miungu yote..

Asante best Mallya pale ktk rangi ya njano pale..''hawezi kua''.... na pia '''kijani Mungu amefuta'''...very well and balanced ground....Ok Man of God Mathew you are free indeed, if the Son shall set you free therefore you are free indeed- twende kazi..hahaha.. Mathew kama nakuona vile ulivyokanyaga miwaya hii mikali getegete bhabha..ukilonjaaaa...yene yi ngosha eke mchezooo, okobholagwa...ene yako

Jamani yaani natamani wazee wa kazi wote usiku kila mtu awepo hapa tufellowship..leo ni leo Maallya DC anajibu hoja,,nasisitiza kwa kua Mungu wa Kizazi cha nne ghafal huamua kufuta maswali..tumieni neema hii...ha ha aha

Mery kweli sometimeS mara moja moja we need to relax kama ivi....ni raha kweli jamani....siyo tu you know kuzamaaaaa weeeeee 24/7 hahaha.....ila Damian narudia umetuweza kweli na nimependa..kubandua pande ilo na kulifanya subject pekee...kutawakaje this night na kesho... iyo picha umeniwahi kweli nilitaka kuuliza na mie..joka sijui limezikwa umo....then it must  kajoka bwanaa..too small getto....tena mi nilizani joka liko majuu..WHY LIKO SO POOR HUKO HOME GEITA HOUSE? THIS JOKO MUST BE IN USA/CANADA/AUSTRALIA/NEW ZEALAND AND UK NEVER TZ GEITA

Yaani mmenipa raha mie jamani...nacheka kweli Mallya anavyokata nondo leo tho ..mmh!

Press on,

Edwin Seleli

2013/3/26 Mary Damian <maryd...@aol.com>

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 12:46:40 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
"" Ama ni siri, hekima nyingine hazipatikani kwenye biblia (Neno la Mungu)?""

Dada Mary, nashukuru Leo RM atusaidie, maana unajua right now kadiri ufahamu wako unavyoongezeka, ufalme wa GIZA unatetemeka, lakini ni FURAHA kubwa mbinguni kwa mmoja kufaulu kumjua MUNGU...

SIRI za MUNGU wa majeshi huwezi kuziona katika BIBLIA, ila utajulishwa Maono ya MUNGU kwa majira na Nyakati zake MUNGU kupitia NABII anayepewa agizo na MUNGU na yeye atalileta lile NENO kama lilivyo kwako uliyeberikiwa kushirikishwa siri hizo..

.HEKIMA nyingine za ajabu zenye majibu hazipo katika BIBLIA, utaeleweshwa na RM kupitia Roho saba za MUNGU......MAMBO ambayo HAYAWAHI KUSIKIKA SIKIONI, MAMBO AMBAYO HAYAWAHI KUONEKANA KWA MACHO na MAMBO AMBAYO HAYAJAInGIA MOYONI MWA YEYOTE hata JOKA hajui... Hayo ndiyo mambo ambayo yanafanyika na KANisA kizazi cha nne.....

Kumbuka aliwaficha wenye Hekima na wasomi na watawala akawafunulia watoto...(Wewe ambaye ni mpole unayefundishika).


Ubarikiwe MARY mwana wa MUNGU, na juu ya Mwamba huo Umekuwa kanisa lake..


AMEN.

Bezaleli DC.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 13:02:35 -0400 (EDT)

Mary Damian

unread,
Mar 26, 2013, 2:17:18 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Kaka Mallya,

Naona wewe umejazwa hekima kuliko wote...una hekima ya kipekee sana isiyo na maelezo, ambayo haipatikani kwenye NENO la Mungu...isiyoendana na NENO LA MUNGU ambalo ndiyo chanzo cha hekima zote,...Ama tuanze kutafsiri maana ya NENO na kwa nini NENO?..... Hekima zote pamoja na hizo unazotaja za ajabu zenye majibu...siri zote...mafunuo yote, yanachujwa, yanapitishwa, yanalingwanishwa na NENO LA MUNGU...hivyo basi hakuna Roho Mtakatifu anaye operate nje ya NENO la Mungu....labda Roho Mtakavingine.......So, hata leo ashuke malaika mwenye mabawa SG atupe hekima yake kubwa mno, ngumu sana, ya ajabu kuliko maelezo....lazima atueleze kwa mujibu wa Neno la nani, lipi na tulipate wapi...athibitishe!!! Imeandikwa...... 

Kauli mbiu yenu ni Shika NENO tenda NENO...lipi? au ni nabii peke yake ndiye anayeruhusiwa kupewa hilo NENO ili awagawie wengine? 

Kaka Mallya nilikua najibu kwamba ufahamu wangu sitaki uongezeke kuhusu elimu ya majoka..hii elimu ni maneno!

Naomba niishie hapa kwa leo, Nakutakia usiku mwema.

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 2:26:59 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Ha haaaa SELELI, lazima utakuwa mwenye roho ya Bezaleli-yenye ujuzi wa aina nyingi..


"". iyo picha umeniwahi kweli nilitaka kuuliza na mie..joka sijui limezikwa umo....then it must  kajoka bwanaa..too small getto....tena mi nilizani joka liko majuu..WHY LIKO SO POOR HUKO HOME GEITA HOUSE?""

I see nimecheka sana ila umeona unajua angalia hapa....

..HEZEKIEL 28:
16... kwa sababu hiyo nimekutoa kwa NGUVU katika mlima wa MUNGU,kama kitu kilicho najisi nami nimekuangamiza,Ewe kerubi ufunikaye utoke katika hayo mawe ya MOTO.
17.Moyo wako uliinuka kwa sababu ya uzuri wako,umeiharibu Hekima yako kwa sababu ya Mwangaza wako ,nimekutupa chini ,nimekulaza mbele ya wafalme wapate kukutazama.
18....Nami nimekufanya kuwa majivu juu ya Nchi ,machoni pa watu wote wakutazamao
19- wote wakujuao kati ya kabila za watu watakustaajabia,umekuwa kitu cha kutisha ,wala hutakuwapo tena hata milele

SELELI , mwana wa MUNGU hako kajumba ni mfano tu at least fikiria unamkuta HITLER ndiye anakaa humo...what???

SASA, Seleli na wana SG wote, anza kufanya Maomboleza kwa adui zako wote, maana HEKIMA ya SHETANI na MAJOKA na UZURI wa MAJOKA unaangamizwa. Nao wameangamizwa naye...Tunamtoa kwenye BUSTANI ya MUNGU, kama ni kiumbe wa MUNGU hawezi KUMSHInda Mungu...

Kipindi chake cha ukamilifu na kile cha UOVU kimefutwa .Maadui zako wotw wamekuwa najisi.

WALE waliokuwa wanategemea VILEMbA saba, na Pembe KUMI na VICHWA saba vya JOKA wamenyongwa wote na MUNGU wa Majeshi...

Nafsi zao
Utendaji wao
Madhabahu zao
Majira na nyakati zao
Makafara yao
Akili zao
Mamlaka zao
Idara zao
Vitengo vyao
Maficho yao
Uzuri wao
Mahali pao pa siri

Wote wamefutwa na Fagio la UHARIBIFU Isaya 14:13 ...na Mahali pao pamefutwa...

Maadui zako wote hawakushinda wala mahali pao hapataonekana tena ndani ya MAISHA YAKO,KANISA, na TAIFA, na MATAIFA.

SASA KUMEKUWA NA WOKOVU,NGUVU na MAMLAKA YA KRISTO...uf 12:7

Sisi tumeshinda kwa Damu ya Mwana Kondodo na Kwa NENO la USHUHUDA wetu..HAO WANAOMTUMIKIA SHETANI- Ma freemason, waganga na wachawi na walozi na Manabii wa UONGO watakutana na OLE...

MAUDHI yote yanayotokana na JOKA leo mwisho...

-Wote wanaotumia ulimi wa Nyoka,
-Wanaotumia sura ya NYOKa
-Wanaotumia mwendo wa Nyoka
-Wanaotumia alama za nyoka kwenye viatu,Nguo,Mikanda,Mikufu, etc
-Wanaotumia chapa za Nyoka

NIRA za Majoka hayo zimeondolewa na MZIGO wake utatoka mgongoni Mwako...

Ujue kadiri unavyokanyagia kujifunza,utamuona MUNGU.

Yapo Majoka na JOKA katika maisha yako, ya Utasa, tumboni, kiunoni, kifuani, kwenye moyo, wakati MUNGU anayang'oa usiogope... Utasikia tu mtikisiko...au Maumivu kidogo..

.""UKING'OA MMEA NA SHINA LAKE UNAONDOKA NA UDONGO PIA- UJUE MAJOKA YAMENG'OLEWA...""


AMEN

Bezaleli DC
Mwana wa MWENYE shamba mwenye Hasira na YULE Joka.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 20:24:51 +0300

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 3:26:16 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mary Damiani,

Sasa na wewe hutaki kukua dada yangu? hutaki ufalme wa giza utetemeshwe? tulia, nyenyeke ukue!.... umeambiwa  ivi....''anashukuliwa Leo RM kwakua anasaidia maana unajua right now kadiri ufahamu wako unavyoongezeka, ufalme wa GIZA unatetemeka, lakini ni FURAHA kubwa mbinguni kwa mmoja kufaulu kumjua MUNGU...

Umeniambia eti nini hii....Yapo Majoka na JOKA katika maisha yako, ya Utasa, tumboni, kiunoni, kifuani, kwenye moyo, wakati MUNGU anayang'oa usiogope... Utasikia tu mtikisiko...au Maumivu kidogo.. yaani mie nina ma-snakes angle zote izo ktk my life? Mallya mie nina majoka mie? wacha mambo yako wewe! ....kha! yaani mie kabisaa nimekabwa ivyo majoka bro wangu...sasa Yesu kakaa wapi in me?..kwa rohoni tu basi, na hii body-temple ya RM ndio ina harbor majoka yote ivyo? hii sitaisahau..mi nildhani nimem-save man of God Maduhu, kumbe ngoma hiii ime turn back to me..lo! nani kaniambia mie kusimama na mtumishi, ningemwacha akinywee kikombe hiki mwenyewe,,yale yale ya Petro kutaka kumsaidia Bwana kwa kuchana/kata shwaaaaa sikio...next time nitakujia kwa step kama Lwembe au diplomatic/peace looking kama wengine..lo! umeniweza kweli..mie nina majoka kwa parts zote izo ktk body yangu! sina hamu..tehe tehe....


Mallya DC my brother...on serious note now!...you said this... SIRI za MUNGU wa majeshi huwezi kuziona katika BIBLIA.... and this.....HEKIMA nyingine za ajabu zenye majibu hazipo katika BIBLIA, PLZ TELL ME/US HUKUMAANISHA! YOU MEAN SERIOUSLY YAKO MAMBO BIBLE CANNOT JUSTIFY/SCALE THEM?

Sasa katika yooooote unaweza kunibariki lakini mimi ikishafikiaga hapo..... supremacy ya Neno inakua chini bali neno, ufunuo, undestanding, ndoto,maono nk ya mtu yana top over the the top-God's word... YOU GET ME IN....Na kwa kweli..ndio maana ktk swali la tafsri ya ndoto niliandika kwa hekima tu..sikufunguka....but kuna jambo nilitaka kuweka haraka kama angalizo ambalo naona Kisoma na Oguda wamegusa..nadhani Bwana amaenipa ground,see my angalizo huko in details...nilisema/nilimply i know the danger of mafunuo, ndoto na tafsiri nk kwa mtu anayeishi kwa kutegema wengine walete hayo...

Press on but the moment you say Bible iwe second and maufunuoz, ndoto, tafsri na nk second...au yakawa yana-dictate life ya mtu wa Mungu...it is already a mess

Edwin Seleli



2013/3/26 <mall...@gmail.com>

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 3:14:21 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Dada Mary, Kuhani wa Bwana unaye miliki na Kutawala sasa....


"".... Hekima zote pamoja na hizo unazotaja za ajabu zenye majibu...siri zote...mafunuo yote, yanachujwa, yanapitishwa, yanalingwanishwa na NENO LA MUNGU...hivyo basi hakuna Roho Mtakatifu anaye operate nje ya NENO la Mungu...""

Na hii


""Kaka Mallya nilikua najibu kwamba ufahamu wangu sitaki uongezeke kuhusu elimu ya majoka..hii elimu ni maneno!""

Kila NENO limelinganishwa si jinsi unavyotaka WEWE kama MARY, maana NAFSI ya MWILI mapenzi yake ni kinyume na mapenzi ya MUNGU...NAFSI ya ROHO huyafanya mapenzi ya MUNGU,,na kuhusu ufahamu wako uongezeke au usiongezeke huamui wewe, ni huyo aliyetangulia katika ufahamu wako anabisha ili usipate ufahamu usije ukamg'oa humo katika NAFSI yako...Naye ni Mazoea na Kawaida za Doctrines...kufanya kila kitu kadiri ya taratibu ulizozizoea....

Wewe endelea kuangalia MOSHI WA GARI....kwa nini ni wa brown au mweusi na usiwe Mweupe...gari haliendi kushoto wala kulia na halisimami...WALIANGALIA SAFINA IKIJENGWA wakasema HATUTAKI UFAHAMU WETU UONGEZEKE KUHUSU ELIMU YA SAFINA...fine, very well...NO PROBLEM....kaa na ufahamu wa MTUMBWI...

The problem starts pale walipoanza kugonga na kuomba kufunguliwa MLANGO wa SAFINA...hauna password...

Kukosa kwako UFAHAMU wa Majoka Na JOKa kwanza ni Majivu tu uwe na amani...ila Hakuwanyimi usingizi wanaotafuta UFAHAMU huu...Maana hawatagonga gonga .....


Bezaleli DC

Ukipewa lift ,ukifika , unataka card ya Gari ya nini??
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 14:17:18 -0400 (EDT)

Mary Damian

unread,
Mar 26, 2013, 3:53:51 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Hahahaha..haya kaka Seleli, nanyenyekea nikue.... Mnanichekesha nyie ndugu!

--Mary

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 3:35:14 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
""Kauli mbiu yenu ni Shika NENO tenda NENO...lipi? au ni nabii peke yake ndiye anayeruhusiwa kupewa hilo NENO ili awagawie wengine? ""

Khaaaa, nooo Dada Mary you must be serious...

Hii si kauli mbiu kama kwenye siasa au kwenye taasisi...Hii ni amri ya Bwana..Kwamba KULISHIKA Neno Lake na KULITENDA...siyo kusikia Neno na kutolifanyia kazi..KWA HIYO NAFUTA USEMI WAKO KWA MAMLAKA YA DAMU YA YeSU kwamba neno hilo ni Kauli .MBIU..ninalihamishia kituo cha amri ya Bwana kama unampenda utafanya anayofundisha.

.HULIJUI NI NENO LIPI?? Bwana Yesu ametamka Maneno mangapi tunayotakiwa kuyafanya??? Basi kama huna NENO lolote jaribu hata hili:
1. Nimewapa amri kukanyaga Nyoka na Nge. (SIJUI HAPA UTAFANYAJE WAKATI ELIMU YA MAJOKA NA JOKA HUnA, utamuona seleli.) Je umetenda NENO hilo?
2.Nimewapa mamlaka ya kufunga na kufungua,utakachofunga duniani na mbinguni kimefungwa, utakachofungua duniani na Mbinguni kimefungwa.(Funguo unazijua??? DAMU YA Haki na Kweli na HUKUMU, Jina la YESU, Mafuta Matakatifu, (JE UMETENDA NENO)???

Je MARY huna ufahamu wa Kazi zipi Nabii anazifanya au UNADHARAU, angalia usije ukawa tasa au BUBU kwa UBISHI...

Inajulikana toka zamani NABII ndiye anayepewa agizo na MUNGU Direct , naye analileta kwa waliokusudiwa...rejea MUSA, kwa nini MUNGU alimtumia yeye tu??

MUNGU siyo mwanadamu, mpaka akuamini sana ndipo atakupa agizo lake..maana wapo wengi waliotangulia ni WEZI na WANYANG'ANYI...

"" au ni nabii peke yake ndiye anayeruhusiwa kupewa hilo NENO ili awagawie wengine? "" HILI SWALI NI LA KI KERUBI ulifute moyoni mwako kwa damu ya YESU...usimjaribu MUNGU....WHO ARE YOU ANYWAY???


Bezaleli DC

Mwana wa Kizazi cha nne..
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 14:17:18 -0400 (EDT)

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 4:32:47 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya DC,

Hahahahaha...yaani watakaokuja kuanza kuona mambo ya Mungu wa Kizazi cha Nne kuanzia kesho uliyoteremka umu acha kabisa...siju watakua wamechelewa uhondo...bora mie naye late kulala... nimekua first to know...CNN slogan


.....na kuhusu ufahamu wako uongezeke au usiongezeke huamui wewe, ni huyo aliyetangulia katika ufahamu wako anabisha ili usipate ufahamu usije ukamg'oa humo katika NAFSI yako...Naye ni Mazoea na Kawaida za Doctrines...kufanya kila kitu kadiri ya taratibu ulizozizoea..MARY TULIA DADA TULIA..NG'OA ILO RIKAWAIDA UPATE NEW UFUNUO! oohoo, ILA MALLYA KAMA UNAKAONEA MDOG WETU VILE.?.MBONA UNAMTISHA SANA?...MARA UBUBU, UTASA NA SWALI LA KERUBI? NDIO MAANA NAINGILIA KATI KUKINGA KIFUA KAMA KAKA SO NA MIMI NINAFUTA KWA MUNGU WA VIZAZI  KUANZIA CHA KWANZA MPAKA MWISHO NA INA FACT IN THIS CACE NAMFUTA MPAKA MWENYEWE WA KIZAZI CHA NNE...SO WOTE WAMETOWESHWA KAKA

Wewe endelea kuangalia MOSHI WA GARI....kwa nini ni wa brown au mweusi na usiwe Mweupe...gari haliendi kushoto wala kulia na halisimami...ila best Malya magari mapya ya kisaloon ya kiJapani yanakua na mweupe tena kuzidi wa ule wa kumuibua kaka yangu papa Francic kwa power...mbona magari yako ya longi,,moshi mweusi tuuuuuuu?

...WALIANGALIA SAFINA IKIJENGWA wakasema HATUTAKI UFAHAMU WETU UONGEZEKE KUHUSU ELIMU YA SAFINA...fine, very well...NO PROBLEM....kaa na ufahamu wa MTUMBWI... kha! ufahamu wa mtumbwi? ...iyo nimeipenda...wow! ufahamu wa safina vs.  mtumbwi...wow! kwangu iyo ni mada..plz make it or i go for it?

The problem starts pale walipoanza kugonga na kuomba kufunguliwa MLANGO wa SAFINA...hauna password... tehe....aisee..wonderful..umewazaje kua kulikua hakuna Pass word kwa door la Safina...yaa nimependa hiii Mallya,good connectivity with contemporary concepts
.
Ukipewa lift ,ukifika , unataka card ya Gari ya nini??  wewe ni kiboko..hiii nitaibandika nyuma ya bajaji yangu..what a nice heading itakavyokua...Mallya, Mallya, Mallya..u make me so happy leo. stress zote za siku Dar kwisha umenimponya ..Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.....hahahahaha...jasho. kwikwi nabarikiwa kweli na kicheko jamani...Mallya you made ya day..kha!

Love you brother but Bible no 1..ako nitachekaaaa but sikasahau kukakomalia best, Bible kwanza..mafunuo na mandoto yaje baadaye yawe ya mtu, devo ...

Edwin Seleli

2013/3/26 <mall...@gmail.com>

Mary Damian

unread,
Mar 26, 2013, 4:41:46 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
"Je MARY huna ufahamu wa Kazi zipi Nabii anazifanya au UNADHARAU, angalia usije ukawa tasa au BUBU kwa UBISHI...Inajulikana toka zamani NABII ndiye anayepewa agizo na MUNGU Direct , naye analileta kwa waliokusudiwa...rejea MUSA, kwa nini MUNGU alimtumia yeye tu?? MUNGU siyo mwanadamu, mpaka akuamini sana ndipo atakupa agizo lake..maana wapo wengi waliotangulia ni WEZI na WANYANG'ANYI"

Kaka Mallya, najisikia kukukemea kwa jina la Yesu..Kazi za nabii yupi unayemzungumzia? nabii Eliya?....plz stoop!!  

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 3:54:45 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Seleli , Mfuasi wa Bwana Yesu...

Ha haa uuugh...

Siri ni nini?? Sembuse siri za MUNGU wa MAJESHI??? Who are you kwamba MUNGU huyu aziweke peupe uzione wewe Seleli...Hata Kuja kwa Bwana Yesu bado ni siri yake Baba, Bwana Yesu Hajui...Haya kaperuzi peruzi Bible yako kesho uje utuambie Yesu anakuja lini na imeandikwa wapi...

Mbona wewe Seleli Siri zako huziandiki kwenye diary ingawa ina maelezo yote ya safari zako na plan zako na watu unaowadai, wanaokudai, kesi zako.. What About God??

""Mallya DC my brother...on serious note now!...you said this... SIRI za MUNGU wa majeshi huwezi kuziona katika BIBLIA.... and this.....HEKIMA nyingine za ajabu zenye majibu hazipo katika BIBLIA, PLZ TELL ME/US HUKUMAANISHA! YOU MEAN SERIOUSLY YAKO MAMBO BIBLE CANNOT JUSTIFY/SCALE THEM?""

KITABU cha NENO la MUNGU wa Majeshi, ni NENO la MUNGU amelituma na halitarudi tupu, bali litazaa matunda...

Hekima ya MUNGU ni uwezo wa kuyafanya Mambo mengi kwa ujuzi wa aina nyingi...

Roho wa HEKIMA anatoka kwa MUNGU, utamhifadho vipi kitabuni??? Solomoni alipewa HEKIMA na MUNGU na akawa Tajiri sana...na akatawala kwa haki...

Nenda Leo kaperuzi peruzi kesho uje na HEKIMA . Au uanze kumtafuta MUNGU sana umjue ili uje tuione HEKIMA ya MUNGU ndani yako..CHAGUA...

Sasa tujiulize tunachokiona katika Kitabu cha NENO ni nini??? Hivi unaweza ukaijua siri aliyonayo mwana , au mpaka yeye akujulishe???

Bezaleli DC.....

NURU Njema wana SG.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 22:26:16 +0300

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 4:52:42 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya,

Nikuache usiku huu sa 6 kasoro 7 kwa swali moja tu na ukilijibu tu nitajua why all this software operating in you

Swali: Kiongozi wako wa Kiroho awe na tittle ya Papa, Kadinary, Askofu, Nabii,Mtume, Mchungaji, Mwinjilist, Mwalimu, Mkristo akisema JAMBO HALIMO KTK BIBLE and you canNOT pima it in ANY way from the Bible...utalitenda? utalisadiki? NINA HAMU UJIBU ILO...GO AHEAD PLZ


Press on,

Edwin Seleli

2013/3/26 Mary Damian <maryd...@aol.com>
"Je MARY huna ufahamu wa Kazi zipi Nabii anazifanya au UNADHARAU, angalia usije ukawa tasa au BUBU kwa UBISHI...Inajulikana toka zamani NABII ndiye anayepewa agizo na MUNGU Direct , naye analileta kwa waliokusudiwa...rejea MUSA, kwa nini MUNGU alimtumia yeye tu?? MUNGU siyo mwanadamu, mpaka akuamini sana ndipo atakupa agizo lake..maana wapo wengi waliotangulia ni WEZI na WANYANG'ANYI"

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 4:50:40 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
@ Seleli , Mwana wa MUNGU, nalitenda lile neno alilotamka Bwana.. Maana Bwana amelitoa kwa Baba.. Na aliowatuma Bwana , akiwa Nabii, nitalisikia neno lake...

Labda kama unataka kupindisha yawe MANENO, hayo hayatoki katika kitabu cha NENO...

Yapo maneno mawili ambayo yanatoka katika kitabu cha NENO...

1. Lipo neno la MUNGU wa Majeshi...
2.Lipo Neno la Nabii/Mtumishi.

Kwa kuwa unatafuta software bado upo mwilini. Upo Mabwepande...tafuta tafuta na antivirus yake... Au Muulize Bill gate...

Angalia usiwe unakumbwa na JOKA la utambuzi maana software yako ya LENOVO haaiingiliani na Machintosh....

Maana ukisha ijua soft ware .. Utaanza sasa kutest ni aina gani ya port inapokea matangazo...then utaangalia mega bytes per second...WHY?????

Ndiyo maana nakwambia JOKA la Zamani amekwisha nyongwa....HAKIKA halipo katika software zako...


Bezaleli DC...
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 23:52:42 +0300

Patrick Kamera

unread,
Mar 26, 2013, 5:24:19 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa,

Kwa habari za yaliyojiri pale mlimani, ingekuwa vizuri tukakumbushana andiko hili:

30 Na tazama, watu wawili walikuwa wakizungumza naye, nao ni Musa na Eliya;

Hapo tunapewa kuyafahamu maudhui ya maongezi yao.

Kwa habari ya kuwaona au kutokewa na waliotangulia iwe ni ndotoni au katika maono au vinginevyo binafsi halinisumbui kwani mimi pia ni roho na Mungu mwenyewe ametuketisha pamoja na Kristo juu sana kupita falme na mamlaka zote (Waefeso 1:20, Waefeso 2:6). Hivyo basi, Roho Mtakatifu kwa makusudi yake maalum hashindwi kukupa a supernatural encounter as He sees fit. 

Ngoja niwa-challenge "Seleli-style": Kama ni kufanya comparison, kuwaona wanadamu waliolala ni "cha mtoto", level ya chekechea, Bwana Yesu akiwa hapahapa duniani kama mwanadamu 100% alikuwa anamwona Baba mungu mwenyewe live na "ana copy and paste" kile Baba anachofanya, na yeye ndiye mfano wetu, (Yohana 5:19) Tunapenda kukiri kuwa kazi alizofanya na sisi tutazifanya na kubwa kuliko, that's good, ila yeye alizifanya baada ya kumwona Baba, siyo malaika wala nani mwingine bali Baba mwenyewe akizifanya. Leo hii wangapi wanaweza kusema kwa ujasiri kuwa wamemwona Mungu anachofanya na wao wanamuiga? Thubutu..., kama hujatengwa na kuitwa mkengeufu? Wayahudi walikuwa wanayajua sana maandiko sasa imagine jinsi Bwana Yesu alivyowakera na kuwakwaza kwa kusema vile? Na hilo neno "kuona" hamna spin yoyote hapo, ni kukodolea kwa macho ya mwilini au ya rohoni 

Tujifunze toka kwa Bwana Yesu na tumfuate yeye katika yote, nira yake ni laini na mzigo wake ni mwepesi.

Mbarikiwe,  

Patrick.





2013/3/26 SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>

mall...@gmail.com

unread,
Mar 26, 2013, 5:03:57 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
@Seleli.....Mwana wa Mungu...
SHIKA NENO......

Naongezea tu hapa...

Jibu lako lipo katika NEWS zote Duniani leo hii..

Wazungu wamecharuka , wamekuwa WAGALATIA, sijui nani kawaloga??? Au moshi mweusi au mweupe??? Wamekuwa kama vichaaa...

Wanataka same sex marriages!!!

Wametoa katika kitabu gani???

Utaona hapa misingi ya DUNIA ya JOKA linalodanganya sasa limekuwa majivu na MUNGU ana Hasira nalo amelinyonga...sasa tutaona wataishia wapi...maana MUNGU AMEWAACHA waendelee na akili zao..

Kanuni ya MUNGU ya Familia ilianzia pale Bustani ya Eden... Akamuumba ADAM na Mkewe... Kwa Nini hakumuumba Dume wawili??? Wanyama , hivyo hivyo...wadudu...,ndege...

Sasa wewe mwana wa MUNGU Seleli, huwezi kupima unaambiwa sasa SELELI sera ya kanisa hili kuanzia mwezi huu ni kuoana tu madume.... Na anayesema kavaa ki padre au ki mchungaji...LAZIMA UROGWE KWANZA NDIPO UKUBALI....na silogeki mpaka milele yote...na wewe SELELE hutarogeka kwa damu ya YESU....


Na hii inahitaji ufunuo??? Au tuseme JOKA danganyifu hizo ndizo cheche zake....


Bezaleli DC....

NuRu Njema...


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Tue, 26 Mar 2013 23:52:42 +0300

SELELI EDWIN

unread,
Mar 26, 2013, 6:01:49 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya,

Sasa ukianza kutiririka mengine,,utanimix best....naona kama unanizengua...jibu kwanza swali lile....kua Kiongozi wako wa Kiroho kwa title yoyote akisema jambo ambalo no where in the Bible utadaka na kutenda Neno and shika neno slogan? jibu basiiiii ushaaanza mambo yako yale ya Mungu wa Kizaz 4 wa kupotezea au kufuta maswali....ushaona nini nakupeleka pentegon  eeee....lo Mungu wa kizazi cha nne very smart anavyo...kunyofooga, unasave kweli wewe my lovely brother i love...nasubiri...silalali nimeahairisha..naejoy sana fellowship hii ya leo, saa 7 na dk 1 but pana raha sana hapa...

2013/3/27 <mall...@gmail.com>

Deo Mbona

unread,
Mar 26, 2013, 7:48:28 PM3/26/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya,

Ndugu yangu naheshimu sana imani yako na nakupenda vile unavyofanya bidii kuwajibika kwa ajili ya Mungu, lakini haya mafundisho ambayo unayatoa ukiambatanisha na vitisho kwa yeyote ambaye hayamwingii na hayakubali ni kipimo dhahiri kwamba si halisi kutoka kwa Bwana Yesu. Yaani unataka mtu ayashindilie tu kichwani hata kama dhahiri anajua kuwa hayafai! Hivi ndivyo pia mnatishwa huko kanisani?

Bila kujijua ni kwamba unawajibika zaidi kwa mwanadamu na taasisi yake kuliko kwa Mungu. Sitarajii ulielewe wala ulikubali hili kwa urahisi, maana kama waweza kumtishia anayehoji kuhusu mafundisho unayoyaleta ina maana wewe ndiwe umetishwa zaidi huko unakoabudu kiasi kwamba unahamishia vitisho hivyo kwa wengine ambao hawatishwi tena kwa sababu aliye ndani yao ni mkuu kuliko yeye aliye wa dunia hii.

Ngoja nikupe siri:

1 Wakorintho 2:11-12
Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu. Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.


Tunaye Roho wa Mungu ili atufunulie mambo ya Mungu. Ni kweli kabisa kiongozi wa watu Mungu humfunulia ziada kwa maana ya kumfanya kuwa mwalimu ili aweze kufundisha/kuelekeza/kuhudumia kusanyiko la wana wa Mungu. Lakini Roho Mtakatifu yule yule anayemfunulia mtumishi huyo husika ndiye ambaye pia yumo ndani ya hawa wana wa Mungu, ili kuyapa maana na kuyatafsiri haya yanayofundishwa. Hivyo ukiona mambo hayaeleweki mpaka unatoa vitisho kuwa BUBU, du! Hii ni ishara dhahiri kuwa haya mafundisho kuna kwingine yanakotoka.

Hizi ni nyakati za Bwana Yesu Kristo na Roho wake Mtakatifu, Musa na Eliya walishamaliza kazi yao ya utangulizi. Enzi za Musa unazozitaja Roho Mtakatifu alikuwa hajamwagwa bado kwa watu. Yaani nyakati hizi kila aliye tayari ana haki na anampokea.

Ndugu yangu hamisha imani yako toka kwa wanadamu na uilekeze kwa Mungu. Heshimu sana viongozi wako, lakini mwamini sana Mungu na neno lake, sio neno la mtu.

1 Wakorintho 2:4-5
Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu, ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.

Achana kabisa na habari ya kutisha watu.

Waweza kumlazimisha mtu aamini jambo fulani. Lakini kama anaye Roho Mtakatifu, jambo pekee litakaloingia na kukaa ni lile litokalo kwa Mungu. Ambalo silo haliingii hata ulishindilie kwa nyundo, maana ni Roho mwenyewe ndiye anayelitupa nje na kulikataa.

Hakuna baya lolote litakalompata Mary wala yeyote atakayeyakataa mafundisho haya. Madhara eti kwa sababu mtu kampinga 'nabii' fulani hayo yanawapata wale ambao 'wanawakilishwa' na nabii huyo! Du, hadi leo kuwa watu wanawakilishwa kumfikia na kupokea kwa Mungu!

DM

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, March 26, 2013 11:41 PM

Doris Barnabas

unread,
Mar 27, 2013, 1:46:23 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
shalom,
kaka Mallya hebu rudia kufafanua maana mstari uliosoma na hii mada kwangu naona haviendi. naogopa kuendelea zaidi maana sijaelewa kiini chenyewe. naomba rudia kufafanua ili tukupate, na kama ni MENU BORA tuimeze fasta na kama sio ......
doris

--- On Tue, 3/26/13, Mary Damian <maryd...@aol.com> wrote:

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Subject: Re: Vizazi Vinne katika Mk 12:2-9
To: strictl...@googlegroups.com
Date: Tuesday, March 26, 2013, 2:54 PM

Wapendwa, naomba maoni, mafundisho khs kizazi cha nne ama vizazi vinne tuendeleze hapa, Barikiweni 
--Mary


-----Original Message-----
From: ck Lwembe <cklw...@ymail.com>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Tue, Mar 26, 2013 4:40 pm
Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

Bezaleli DC, Mfuasi wa Mapenzi ya Mungu,
 
Vizazi Vinne katika Mk 12:2-9
Cha Kwanza:
Hata kwa wakati wake akatuma mtumwa kwa wale wakulima, ili apokee kwa wakulima katika matunda ya mizabibu. Wakamtwaa, wakampiga, wakamtoa nje, hana kitu.
 
Cha Pili:
Akatuma tena kwao mtumwa mwingine, na huyo wakamtia jeraha za kichwa, wakamfanyia jeuri.
 
Cha Tatu:
Akamtuma mwingine, huyo wakamwua; na wengine wengi, hawa wakiwapiga na hawa wakiwaua.
 
Cha Nne:
Basi alikuwa na mmoja bado, mwana mpendwa wake; huyu naye akamtuma kwao mwisho, akisema, Watamstahi mwanangu. Lakini wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu. Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.
 
Mwenye Shamba:
Basi atafanyaje yule bwana wa shamba la mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine.
 
Hebu nifafanulie vizuri, unaposema sisi ni kizazi cha nne, ndio hicho hapo juu? Maana kila ninavyoyatazama Maandiko hayo, kwa jicho lako, najiona kama ni mtu anayengojelewa kuchinjwa na kutupwa nje ya shamba!!! Dah! Upako huo sinao!!!
 
Ck Lwembe

Patrick Kamera

unread,
Mar 27, 2013, 1:05:17 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Wapendwa,

Tuwe makini, tuwe serious, Hii injili ya "kizazi cha nne" ni injili nyingine kabisa, siyo ile ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. We should not entertain it one bit, there is a host of foul spirits of deception, intimidation, manipulation, idolatry and the like, behind it seeking to enslave the gullible. It is to be absolutely denounce, rejected and cast out.

Ndio maana ni muhimu sana kufahamu Neno La Mungu linasema nini na pia ni muhimu kumsikiliza Roho Mtakatifu. Unaposoma posts za wengine humu ndani Roho Mtakatifu akikupa green light ndani pokea kama ukipata red light ndani mwako, stop and pay close attention and above all, counter check everything with the Scriptures. Test everything, hold on to what is good. The importance of carefully studying the Scriptures cannot be overemphasized. 

Neno la Mungu na likae kwa wingi ndani yetu katika hekima yote...siyo msururu wa mistari katika mpangilio usioeleweka, hiyo mara nyingi ni tactic mojawapo ya kumpoteza msomaji asielewe mwandishi anachojaribu kusema and my dear Mallyadc seems to be excelling in that area, and no that isn't a compliment but rather a concern. Sababu nyingine kubwa ni kwamba mwandishi mwenyewe haelewi vizuri anachokiandika, na hivyo anashindwa ku-simplify wengine nao waelewe. Someone once said "if you cannot explain it simply then you don't understand it well",  boy that rings true, doesn't it?   

Ndugu yangu Mallyadc, you seem to be very sincere, but you are sincerely misguided. Mungu akurehemu uuone ukweli, usishupaze shingo ukaendelea kwenye huo ukengeufu, maana kama umefikia mahali pa kulitweza Neno la Mungu lilioandikwa kwa uvuvio wa Roho wa Mungu mwenyewe, ni dhahiri kwamba hiyo roho uliyonayo siyo ileile iliyolivuvia Neno la Mungu tulilonalo leo yaani Biblia. Hiyo ni roho ya ibilisi shetani ambaye amewahadaa ya kuwa ameshanyongwa na kufungwa minyororo kumbe amewafunga nyie hiyo minyororo na anawanyonga taratibu. It is my prayer that you will be set free from those false teachings and experience the pure joy of being a disciple of Jesus Christ.




 


 

2013/3/26 Deo Mbona <deo_...@yahoo.com>

SELELI EDWIN

unread,
Mar 27, 2013, 5:18:07 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick,

Nimekupata kaka yangu

Nimecheka kweli..eti.. niwa-challenge "Seleli-style"....umenisakizia kisha ukaangusha bonge la challenge big brother....hapo nimekua mpole  na mtoto  mtakatifu sana, sina neno wala kukatiza hapo siwezi-..ha ha hahaha, ila unataka ''seleli style challenge? naweza nakatiza kwa kubalance kidogo ivi.... Yesu alikua anamuona Baba live ambaye hajawahi kufa na hatakufa...ni tofauti na Patrick kumuona Seleli ktk maombo yake wakati Selelli alishatangulia....Patrick  vs Seleli...binadamu kwa binadamu...fresh na danger too ikiwa aliye dead Seleli akiwa anamjia-jia kila mara but Yesu na Dad above safi coz hajawahi dead....

Mh!ila lo! ninafuta kauli ''seleli ze dead, ktk ulimwengu wa roho wajue nilikua natoa mfano tu..ninafuta tena kauli iyo, it was to make Patrick understand.but .''seleli no ze dead and wont happen..heaven is so sweet but going faster-faster no way..you Patrick and others if you wish..go. i will see u not soon but extremely very late there.

Press on,

Edwin Seleli

2013/3/27 Patrick Kamera <pka...@gmail.com>

Patrick Kamera

unread,
Mar 27, 2013, 6:28:50 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Edwin,

Hivi Bwana Yesu alipoishi hapa duniani kwa miaka 33+, je alikuwa mwanadamu kamili 100% ? My reasoning is this, kama hakuwa mwanadamu 100% ila alikuwa anatumia Uungu wake basi it wouldn't have been fair for Him to rebuke His disciples for failing to do what He did using His divinity, mfano kutoa pepo, waliposhindwa wanafunzi wake akawakemea kwa kutokuwa na imani, mawimbi makali baharini, akawakemea kwa kutokua na imani n.k, Just think about it for a minute, it wouldn't have been fair for Him to do that all the while knowing that He is divine and they are not and besides He wouldn't be a very good example for us or for them to follow. In Hebrews 2:17 we read: 

17 For this reason he had to be made like them, fully human in every way, in order that he might become a merciful and faithful high priest in service to God, and that he might make atonement for the sins of the people. - Hebrews 2:17 NIV

Sasa let me extend the same line of reasoning to Jesus seeing the Father and doing what the Father was doing and then letting his disciples (and us by extension) in on the key to His successful ministry - only doing what He sees the Father doing. Granted, there is the possibility that the way He "saw" the Father doing stuff was through the leading of the Holy Spirit as in He would "see" and "sense" within His spirit, that's very possible too but it's likely He had encounters with the Father as He went to pray, He was the Perfect Man, the Last Adam so just as the First Adam saw God and fellowshipped with Him before the fall, the Second Adam did the same. 

I would submit to you that Jesus on earth was 100% human minus the sin nature of Adam for He was the second or last Adam, Perfect Man who had to be filled with the Holy Spirit before He could preach or perform a single miracle. 

What's your take?

Blessings,

Patrick

2013/3/27 SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>

SELELI EDWIN

unread,
Mar 27, 2013, 8:10:26 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick.

Well said again and lovely,

My take ....which i can easily, comfortably with back up from the Bible sell(teach/preach) is .....He did what He did only that which He saw the Father doing and that the way He "saw" the Father doing stuff was through the leading of the Holy Spirit as in He would "see" and "sense" within His spirit= this is relevant and practical to teach/preach it.

On the other hand..that ''it's likely He had encounters with the Father as He went to pray'' in the sense that He had LIVELY EXPERIENCED IT/HIM or in the Spiritual realm...this is very true in overall, for Jesus being the Son and we know relation between them-Father and Son was super, nonetheless, it will give you or the audience hard time to graph... and if in that Church you are going to have a disciple lovable  but eager to learn substantially like Edwin..this Teacher Patrick will either have hard time with him or good if he picks the first...the easiest and simply Biblical backed.

What is your take on my take?

Mathew Maduhu

unread,
Mar 27, 2013, 8:03:09 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com

Mallya,

Imekuwa vizuri umefunguka na kumwaga madude hayo humu ndani, ili wana SG wayajue.

Wapendwa Bibilia inasema “Kama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu.” – MITHALI 26:2 (SUV). Hivyo hatuna sababu ya kumaindi mtu anapotoa vitisho.

 

Mallya, nina jambo jingine ambalo nina wasi wasi lao, ni hilo jina la Bazaleli unalolitumia. Je,ulilopewa na nabii wako wa kizazi cha nne?, Isije ikawa na wewe Bwashee, wamekuingiza kwenye mchezo wa kuwakana wazazi wako waliokuzaa halafu yake umepewa wazazi wengine. Kama ndivyo, inamaanisha kuwa yale mafundisho matamu ya “ALIMPENDA NA KUMJALI SANA MAMA YAKE, WEWE JE” ambayo wana SG tumewagusa kwako itakuwa ni utata. Seleli hapa una kazi ya ziada ya kuvunja lingome hilo. Tena Edwin mshukuru Mungu kwamba nabii wa kizazi cha nne hajayapata mafundisho hayo, maana kama DC anaweza kutoa tuvitisho huto, Je nabii mwenyewe???

 

Kuna kijana wangu mmoja (mtoto wa rafiki yangu na Mchungaji wangu) “aliingizwa” kwa nabii wa kizazi cha nne, baada ya kubatizwa tena alipewa jina jingine – TAKE IT or NOT, alipewa familia nyingine na kuzuiwa asiwe na mawasaliano/mahusiano na wazazi wake wa kumzaa na ndugu wote kwa ujumla. Na ili kutekelza hilo ilibidi abadili namba ya simu ili wazazi na nduguze watakapomtafuta wasimpate, alihama alipokuwa akikaa na kuhamia sehemu nyingine – chezea nabii wa kizazi cha nne, WEE. Mallya na hapo je una lakukana?

 

SG, Chunga usije ukaingia kwenye anga za nabii wa kizazi cha nne. Patrick, Edwin, Pastor Deo na Mary mnasema NENO la Mungu ndiyo SUPREME? Nani atathubutu kubishia neno la nabii wa kizazi cha nne– utakufa!!! Hivyo leo akiibuka na neno kuwa kamkata kichwa shetani (Joka) au akifunuliwa kuwa kuanzia sasa familia yako ni hii – unatakiwa UTII full stop.

 

Kuna mdada mmoja ni family friend, alichoropoka huko (ndiye aliyetulisha habari za kifo cha Mkwe wangu – tukio nililolieleza mwanzo, na mimi kuanza kuyajua madude hayo ilikuwa siku hiyo ya msiba. Maana niliyasikia kwa masikio yangu), mpendwa dada yule  kilichomsaidia ni mafundisho ya msingi ambayo yaliyokuwa yamebakia ndani yake au niseme Neema ya Mungu ilikuwa juu yake. Yaliyomkuta huko nikianza kuyaelezea hapa utakuwa ni mkeka mwingine. SG kama kuna tendo la muujiza mkubwa ninaoutarajia humu kanisani ni kumwona siku moja Damian Cosmas Mallya (sio Bazaleli) ametoka kutoka katika shimo la udanganyifu la nabii Eliya wa kizazi cha nne na kuwa huru tena.

 

Kuweni macho kwa kwenda mbele.

 

Mathew.

Michael J. Nzala

unread,
Mar 27, 2013, 8:15:17 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Mallya
Naona sasa unawachezea wajoli wa Bwana. Shetani kafa!!! Mambo mazuri yanaanza sasa hivi!!!! Ha ha ha haaaa!! Kama si kuchezea akili na time za watu kusoma text yaako blind, unafanya nini? Umekosa mambo mazuri ya kushare? Kumbe nabii wako ni yule wa Star TV!! Ha ha haaa!! Hapo umeliwa tena kekunduuuu!!
Shetani hajafa wala hajafungwa popote sasa hivi!! Acha kutuuzia mbuzi kwenye kikapu. Maana anaonekana. Ukisema Shetani ameshafungwa/kafa, kwani Yesu ameshakuja? Au ndo huo unyakuo wa siri wa Lwembe? Mallya, acha masihara mtumishi.
Nzala

Sent: Tuesday, March 26, 2013 10:03 PM
Subject: Re: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu
@Seleli.....Mwana wa Mungu...
SHIKA NENO......

Naongezea tu hapa...

Jibu lako lipo katika NEWS zote Duniani leo hii..

Wazungu wamecharuka , wamekuwa WAGALATIA, sijui nani kawaloga??? Au moshi mweusi au mweupe??? Wamekuwa kama vichaaa...

Wanataka same sex marriages!!!

Wametoa katika kitabu gani???

Utaona hapa misingi ya DUNIA ya JOKA linalodanganya sasa limekuwa majivu na MUNGU ana Hasira nalo amelinyonga...sasa tutaona wataishia wapi...maana MUNGU AMEWAACHA waendelee na akili zao..

Kanuni ya MUNGU ya Familia ilianzia pale Bustani ya Eden... Akamuumba ADAM na Mkewe... Kwa Nini hakumuumba Dume wawili??? Wanyama , hivyo hivyo...wadudu...,ndege...

Sasa wewe mwana wa MUNGU Seleli, huwezi kupima unaambiwa sasa SELELI sera ya kanisa hili kuanzia mwezi huu ni kuoana tu madume.... Na anayesema kavaa ki padre au ki mchungaji...LAZIMA UROGWE KWANZA NDIPO UKUBALI....na silogeki mpaka milele yote...na wewe SELELE hutarogeka kwa damu ya YESU....


Na hii inahitaji ufunuo??? Au tuseme JOKA danganyifu hizo ndizo cheche zake....


Bezaleli DC....

NuRu Njema...

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
2013/3/26 Mary Damian <maryd...@aol.com>
--Mary


--Mary




2013/3/26 <mall...@gmail.com>
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:

This email and any attachments may contain confidential information for intended recipient only. If you have received this email in error please notify the sender. Note that any copying, disclosure or distribution of the message is strictly prohibited. Email recipient(s) should check this email and any attachments for viruses. Tanesco will not be liable for any damage caused by virus.

--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com

 
 
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 

 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:

--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 

SELELI EDWIN

unread,
Mar 27, 2013, 8:46:19 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Pastor Mathew Maduhu,

Unajua niliposoma reply yako jana kuhusu Wife ..nilishituka sana nikataka kukuliza nikaona nitakutext kwa email yako..will do it later na leo nimeona tena umeongelea incidences...nashawishika kua u know alot about hii faith a ilivyo hatari..kumbe Mary D aliongozwa kwa hakika kutukatia pande hili kwa subject yake pembeni ili devo avuliwe nguo hadharani na kama wako umu wa uko au wengine wa umu ambao hawako uko but wakijiwa na wa uko wa Kizazi cha 4 humans , watakimbia na kukwepa kama ukoma..tumepona sana na tumejua kumbe kwa nje fresh faith but ndani furu kuzimu..plz nitakuuliza ktk personal email nijue zaidi ili nikasaidie wengine. Na iyo ishu ya wife ..ooooh my dear...no words to say my brother

Patrick comments made me see wazi kuna jambo very serious kwenye hii Mallyadc faith...
Tuwe makini, tuwe serious, Hii injili ya "kizazi cha nne" ni injili nyingine kabisa, siyo ile ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. We should not entertain it one bit, there is a host of foul spirits of deception, intimidation, manipulation, idolatry and the like, behind it seeking to enslave the gullible. It is to be absolutely denounce, rejected and cast.Ndugu yangu Mallyadc, you seem to be very sincere, but you are sincerely misguided. Mungu akurehemu uuone ukweli, usishupaze shingo ukaendelea kwenye huo ukengeufu, maana kama umefikia mahali pa kulitweza Neno la Mungu lilioandikwa kwa uvuvio wa Roho wa Mungu mwenyewe, ni dhahiri kwamba hiyo roho uliyonayo siyo ileile iliyolivuvia Neno la Mungu tulilonalo leo yaani Biblia. Hiyo ni roho ya ibilisi shetani ambaye amewahadaa ya kuwa ameshanyongwa na kufungwa minyororo kumbe amewafunga nyie hiyo minyororo na anawanyonga taratibu. It is my prayer that you will be set free from those false teachings and experience the pure joy of being a disciple of Jesus Christ.

Kumbe Mallya mko ivyo...lo! kama alivyokuhurumia Patrick na Maduhu kukuwish you well..kweli may be maskini uko so innocent ila umekamatwa..plz toka bwanaa tunakupenda pengine ndio haswa maana ya Mungu kusababisha ujue hii SG NA SASA OKOKA OR NG'OKA UKO..LOVE YOU BROTHER..PLZ TOKA HUKO


Press on kwa kutoweka uko..nakufuta uko na kukuzamisha uku..plz Past Deo help in prayers aftter you nice life mchango tu

Edwoi Seleli
2013/3/27 Michael J. Nzala <michael...@yahoo.com>

Mathew Maduhu

unread,
Mar 27, 2013, 10:13:43 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com

Edwin,

Sorry wapendwa, sio wife ni in-law (MKWE). Kabla ya kwenda kwa nabii wa kizazi cha nne, alikuwa mtumishi wa Mungu mzuri tu na mzee wa kanisa wa TAG (among the big TAG churches in DSM), tulimpozea ki-aina hiyo ya deception maana aliaminishwa kuwa  HATAKUFA halafu yake akafa, wakaamua kuficha ili ndugu zake wasitambue, hata wazazi wake waliomzaa nao walifichwa, kwa sababu tayari alikuwa ameshapewa another family!!! Tunamshukuru Mungu taarifa zili-leak mapema. Walikuwa wanataka kuzika wao wenyewe kimya kimya. Mhh, ilikuwa issue sio ndogo, mbaya zaidi watu wasiookoka walikuwa wanasema hao ndiyo mambo ya WALOKOLE. Niishie hapa. Wanaotaka detail yao nitawajuza kwenye email zenu yale machache ninayoyafahamu kuhusiana madude yao.

 

Mathew.

Patrick Kamera

unread,
Mar 27, 2013, 10:07:39 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Edwin,

I think we are on the same page so far, the only thing I'd like to stress on is the fact that Jesus did not employ His Divinity while on earth for those 33+ years, He related with the Father as a perfect sinless man filled with the Holy Spirit. What we perceive as an extra special relationship between the Father and the Son was a replay of how Adam and Eve related with God before they fell into sin. Think about it,if Jesus had taken advantage of His Divinity, He would've violated Hebrews 2:17 and hence would've been disqualified from being our Savior. Another thing, do you think the devil would've wasted his tme trying to tempt God, that is if Jesus hadn't emptied himself of His equality with God as Paul so eloquently frames it in Philippians 2?

Back to kuwaona waliotangulia, Jesus did it and so did those three disciples (and they weren't even praying wao walikuwa wanasinzia tu ila Musa na Eliya walipotokea waliwaona). See, this is what happened in a nutshell:

  • Throughout the entire encounter, Jesus was the focal point
  • Musa na Eliya walikuwa wakiongea na Bwana Yesu (not the other way round and there's a layer of revelation right there)
  • Peter spoke to Jesus, He addressed Jesus suggesting they build 3 huts
  • Moses and Elijah had no interaction with any of the three disciples
  • The Father lovingly reminds them of the superiority and preeminence of the Son over the Law and the Prophets
So my understanding is this, kuwaona waliotangulia is OK as long as it is Godt who initiates it, we cannot make it happen and we should not go about praying for such encounters, to do so is to invite familiar spirits and deception. As always, test everything and hold fast to what is good.

Here is an afterthought, think about it: Have you ever wondered what Paul saw when he was caught up to the third heaven and why he was reluctant to share the details or to even give a brief overview kuhusu alichokishuhudia huko?

Blessings!

SELELI EDWIN

unread,
Mar 27, 2013, 12:24:45 PM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Noted brother. Maduhu kumbe ni   .in..LAW....opsuuuuuu! sawa na afadhari si vingine nilivyo rush!

Plz nipe details uliozo nazo kwa email yangu..i real wanna know it and pia nipe jina hasa la Kiongozi wao kiroho wa duniani...maana kuna mmoja nahisi ni yeye..ila jinsi alivyo...siamii Mungu wangu...yaani hii bongo/Africa/Dunia hii..fix kila kona...give  me that name of the big guy plz in my email

Mallya. the great...nitaku email personally...I NEED TO MEET WITH YOU LIVE...YOU ARE ALLOWED TO COME WITH ALL YOUR  KIZAZI CHA FOUR POWERS-I am serious! however, kama Mallya uliookoka na ilo ndio your first church....when we meet, you will be saved again by grace of God and JESUS enablement but if you were saved in other churches and when this Kizazi cha 4 god and prophet magnetized you.. and you freely,wilingly accepted him...you must be very taf to do a U turn..BWANA MUNGU AKUSAIDIE..nimesikitika kweli Mallya..nilivyokua nakuona hapa, nimekuona siku nyingi kua ni lovely brother with zeal ya Mungu na imani na ukimtaka Mungu wa juu wa kutisha na manifestations zake na toka ulipobukia hapa..nilionaga katatizo kadogooo unakumbuka my first reply to your kawaida msg..nikasemaga kua uko extreme... labda kwa sababu ya zeal yako ya kutaka sana Mungu Mkuu kumbe mze si zeal njema tu but donge/agano umemeza kwa dhati na uko kazini..nimehuzunika kusema za kweli..you are such very precious brother to get lost..plz check your inbox email...I REAL NEED TO MEET YOU...FOR PEACE OR TESTING WHICH GOD WILL BE MORE REAL, we can also as TZ...ILA BE SURE NITAKUA NA AGENDA YA JUU

Press on in here with other points and contributions but Kizazi 4 and prophet..tumemkatalia

Edwin Seleli

2013/3/27 Mathew Maduhu <Mathew...@tanesco.co.tz>

SELELI EDWIN

unread,
Mar 27, 2013, 11:48:29 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Patrick,

As you pointed out..on the same page indeed, as  a matter of  fact..your this time inputs.. shift us on the same para..the page is too huge!

The stress..'''Jesus didnot switched on His divine nature is justified for that makes his qualifications of being the Main Priest who can bear with us, be credible for He had to be tempted as we are yet sinned not

I love the leveling you  have carpeted this time ... .Moses and Elijah had no interaction with any of the three disciples...... and if God initiates.and .....we should not go praying for such encounters..All my comments about your first point on the dead vs the living interactions were targeting to build such limits/alerts..am glad you have bought them now and have said them even if not directly but clearly though.

You will agree with me that there some Biblical truths or God's personal experience of an individual which if not carefully shared especially when we have mixed type of the members in the church, may lead to what i had hinted previosly as danger zones for would propel people to  give a try!!!!!!.....no matter how  some God's experiences/truths  can be so real to others..can only fit  few to hear, that was the essence of my squeezing...on this note...no wonder Paul was reluctant to give little abc of his unspeakable encounters...if Peter the great apostle got ''confused'  or at least saw complications in Paul writings/revelations and suggested in a wisdom what to do with his epistles-2Peter 3:15-16, how much more would have been hugely complicated if Paul would shared all what he experienced? guess what..Paul was aware of his greater measures in grace and revelations making him have heavy stuff and would not want to bring hard time among the mixed type of the people he had and was to minister...this included the  apostles..at least some as i pointed out.

iqualiptus malle

unread,
Mar 27, 2013, 11:29:36 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Haleluya!

Hongereni wana SG wote kwa michango yenu mbalimbali ili kufundishana.
Kwakuwa hapa ni "STRICTLY GOSPEL", siyo kanisani kwetu ama kwenye dini yetu, ni vyema tukafundishana waziwazi ili kila mmoja ajifunze  kwa uhalisia "NENO LA MUNGU" dhidi ya "NENO LISILO LA MUNGU".

Hayo mambo ya shetani keshakufa na mengineyo mengi ikiwa ni pamoja na wanadamu hawafi "sijui labda wanatwaliwa" na yafananayo, NI BORA NA VYEMA TUKAJIFUNZA KWA UTHIBITISHO WA MIFANO HAI ILIYOTOKEA. Watu wote wapate kusoma hapa.
Hayo mambo ya "private emails" haliyafaidii kanisa ila mtu binafsi na "mengine yameshaleta shida nyingi sana hapa", inaweza kuonekana ama kusemekana ni umbea ama kuna "dondoo iliyojificha (secret agenda)" nyuma yake.

Please let us be frank and free to write AS LONG AS IT SPEAK THE TRUTH, SEPARATES LIGHT FROM DARKNESS.

REMAIN BLESSED!.

2013/3/27 Mathew Maduhu <Mathew...@tanesco.co.tz>



--
Regards,
Malle Iqualiptus

Mary Damian

unread,
Mar 27, 2013, 7:42:26 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Dada Doris, sidhani kama itakuwa ni MENU BORA, ni heri tuipotezee.

--Mary

mall...@gmail.com

unread,
Mar 27, 2013, 8:50:54 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
@ Nzala, Mwana wa MUNGU,

Labda unadhani yupo segerea?? Uuuuuugh!!


""Shetani hajafa wala hajafungwa popote sasa hivi!! Acha kutuuzia mbuzi kwenye kikapu. Maana anaonekana.""

EBO!! Yupo wapi huyo JOKA umemuona leo kavaaje?? Au unayaona matendo yake??? Au unaona chapa zake???

Basi labda ni mapacha wake kama yupo..

Nzala ... Ha haaa haaa... Ok fine , he has become part of your Life...

Hamna MUDA unaopotea, umetumika vizuri na brain yako imepanuka....

Bezaleli DC
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: "Michael J. Nzala" <michael...@yahoo.com>
Date: Wed, 27 Mar 2013 05:15:17 -0700 (PDT)

Mary Damian

unread,
Mar 27, 2013, 10:35:17 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Ahaa jamani nasi tunataka kuyajua, Kumbe jina la  Bazaleli kabambikizwa? Dah! Mungu asaidie wasimpoteze kaka yetu Mallya wasijekuwa wamemtenganisha na familia yake??..

Huko siko kaka Mallya, unahitaji maombi hakika!! 

--Mary



-----Original Message-----
From: Mathew Maduhu <Mathew...@tanesco.co.tz>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>

Mary Damian

unread,
Mar 27, 2013, 7:37:18 AM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Amen watumishi wa Mungu, Patrick na Pastor Mbona. Asanteni kwa tahadhari ya mafundisho ya namna hii.

Mjadala kuhusu joka na kizazi cha nne, unafungwa. Sitaruhusu maoni yoyote yanayoongelea hayo! 

Mungu awabariki,

--Mary


-----Original Message-----
From: Patrick Kamera <pka...@gmail.com>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>

Mary Damian

unread,
Mar 27, 2013, 12:55:08 PM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
KUMRADHI.....Nimeruhusu maoni haya kimakosa, niliuandaa wakati sijaona shuhuda nyingine, wapendwa tunaweza kuuendeleza mjadala huu kwa lengo la kujua na kujifunza kutoka kwa wenye shuhuda zaidi. Mpaka hapo tutakapoufunga tena,

Samahani kwa usumbufu.

--Mary

mall...@gmail.com

unread,
Mar 27, 2013, 1:02:56 PM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Ha haa haaa,

Jina BEzaleli lisisumbue nafsi zenu wana wa MUNGU... Ndivyo ilivyo ni jina Langu...zuri..

Na hakuna jambo la kutenganishwa na Familia yako.. Familia yako Dada Mary ni ipi??

Baba,Mama, Bibi, watoto ... Au kuna version nyingine???PENGINE au ni ile version ya Bwana Yesu ""ndugu zake na Mama zake ni akina nani""

nimecheka KICHEKO....hope leo ni siku yangu ya KICHEKO...

Najua mnanipenda, pia mimi nawapenda....naona msichoona pia mnaona nisichoona...

Bezaleli DC
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Wed, 27 Mar 2013 10:35:17 -0400 (EDT)

SELELI EDWIN

unread,
Mar 27, 2013, 2:13:44 PM3/27/13
to strictl...@googlegroups.com
Iquamalle,

noted bro and karibu-UNAKUAGA WAPI WEYE?

Nilianza kuona kua kwa ile cautions ya kipindi cha nyuma mada kusitishwa na wito mliotoa...na misisitizo ya Patrick,Maduhu and Deo...ndio nikaanza kuandaa mazingira ya kutaka more deatils nje kule ili hapa pabaki kama ilivyotakiwaga-ie nimekua muumini mzuri wa yale yaliyosisitizwa......now that hii version ya let the light shine and  darkness disapper, you can be sure Edwin loves that and will maximally enjoy it ana anavyopenda kujimwaga..nafurahia kweli neema hii adimu..aya sasa twendeni kazi bro..nitakesha mie lo! Nzala eeeeeeeeee..uko wapi.........lwembe eeeee uko wapi...Mabinzaa eeee mko wapi....njoooooni  wazee wa kazi  kuna ka neeema uku kwa kujimwaga. weeeeee before the gate closes. Pastor Maduhu...dont send in my email...mwaga ugali na mboga hapa.....bring..bring..bring..bringgggggggggggg tunvue devo both visible and invisible cloths

Mallya Dc..upo..? Swali langu la jana...Kiongozi wako wa kiroho akikuambia jambo..against Bible..HUJALIJIBU HILI SWALI......jibu sasa

Press on,

Edwin Seleli

2013/3/27 iqualiptus malle <iqua...@gmail.com>

Magreth Mkiwa

unread,
Mar 28, 2013, 2:50:20 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com

Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?

Ndg Patrick,
Nimebarikiwa sana na uelewa huu ambao ninaamini unalileta tukio zima la hapo mlimani katika maana kamili ya fundisho la msingi kwa kanisa. Neno linasema, mbele ya mashahidi wawili au watatu jambo lithibitishwe, jambo ambalo naona linatimizwa katika tukio hili. Basi kwa kadiri ya hili ulilolisema,
"Musa na Eliya wanawakilisha Torati na Manabii, ndio maana Petro aliposema wajenge vibanda vitatu, kimoja cha Bwana Yesu, kingine cha Musa na kingine cha Eliya, aktaka kuwaweka wote kwenye level moja ikabidi Mungu Baba kwa upendo aingilie kati....ndio maana akasema "Huyu ni mwanangu,,,msikieni yeye" notice hakusema chochote kuhusu Musa na Eliya. "
Kwanza kuhusu kuwatambua, hilo naliona liliwezekana kutokana na wao kufunikwa katika ule utukufu. Maana Maandiko yanasema Roho ajapo atatuweka katika kweli yote, na pia yeye ndiye atupaye ufahamu wa mambo yote ya kiroho na kimwili. 

Bali kuhusu ile kauli ya Petro ya kujenga vibanda vitatu, yaani cha Musa, kikiwakilisha Torati, na cha Eliya kikiwakilisha manabii; na cha Kristo, kikiwakilisha Injili; hivyo vibanda viliwakilisha Sauti anazopaswa kuzitii Petro kwa kadiri ya mfumo wa maisha yake kama kanisa. Lakini Mungu anamsahihisha kwa kumsogeza mahali husika hapo anapowaambia kwamba, wamsikilize Kristo!!!  Kwahiyo ukimkuta mtu anakusisitizia kuisikiliza Torati basi jua kuwa huyo hakuwakilishwa pale mlimani, ndipo yungali katika mawazo aliyokuwa nayo Petro, anajaribu kuzisikiliza sauti zote tatu!!!

Lakini, iwapo nasi tumewakilishwa hapo mlimani, basi Sauti hiyo ya Mungu Baba, inatuhusu pia, maana tu matunda ya hao walioipokea Sauti hiyo. Nasi twaendelea kumsikiliza Kristo kupitia mitume wake maana hao ndio Yeye kama alivyoahidi kuwa ndani yao!

Basi hivi vibanda tunavyoendelea kuvijenga leo hii vinaashiria nini? Ni ishara ya kukwama kwetu katika kuipokea kikamilifu ile Sauti inayotutaka tumsikilize Mwanaye mpendwa, badala yake tumeendelea katika mawazo yetu, "Bwana ni vizuri umenipa huu ufunuo, sasa nitaanzisha dhehebu la Lwembe Biblical Prophets!" Na tunaendelea katika hayo tukijiridhisha kwa mafunuo na vipawa! Bali tunapaswa kurudi katika msingi wa Injili kama tulivyoletewa na mitume, maana hao ndiye Kristo, ule mwili!!

Mbarikiwe,

Ck Lwembe

Sent from my iPhone

On 21 Mar 2013, at 07:59, Patrick Kamera <pka...@gmail.com> wrote:


2. Musa na Eliya wanawakilisha Torati na Manabii, ndio maana Petro aliposema wajenge vibanda vitatu, kimoja cha Bwana Yesu, kingine cha Musa na kingine cha Eliya, aktaka kuwaweka wote kwenye level moja ikabidi Mungu Baba kwa upendo aingilie kati....ndio maana akasema "Huyu ni mwanangu,,,msikieni yeye" notice hakusema chochote kuhusu Musa na Eliya. Na ndio maana katika Waebrania 1:1 -2 tunasoma:
--

Magreth Mkiwa

unread,
Mar 28, 2013, 3:29:08 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com
The event that is commonly referred to as the “transfiguration” has been a source of considerable interest and has generated differences of opinion.  The purpose or reason that this event has been included in the Scriptures, evidently, is not clear-cut.  There are translations that describe Moses and Elijah, being  resurrected to a state of glory.  There are also translations that reserveany glory described in the verses picturing the event, as belonging only to Jesus Christ.
The “men” that Peter, James, and John saw when they witnessed the transfiguration of Jesus was a one of a kind Biblical event.  According to Mark in chapter 9 verse10  and other places, these men saw Moses and Elijah talking with Jesus.  These verses have produced two significant questions.  Was this a “vision” that Peter James and John saw and not flesh and blood men?  And, were Moses and Elijah also seen in a glorified way as the KJV of Luke 9:30-31 would lead one to think?  This paper is written to provide the evidence of a very important reason of why Peter, James and John saw Moses and Elijah as resurrected living “men” and Jesus, and only Jesus, as being glorified.  
Both of these questions have a direct bearing on a very distinct and vital purpose for the whole event.  To help appreciate why a glorified Jesus was seen  talking with Moses and Elijah we have to consider who the people of Judea thought Jesus was.  There was a universal misunderstanding as to who Jesus actually might be.  They were looking for a savior, a liberator, and Jesus was not fulfilling their expectations.  He hadn’t exhibited any intension to take the ruler ship of Israel away from Rome and become the “King of kings”.  In their mind he was not fulfilling the role of the Messiah even though he was well known for doing miracles.  The conclusion of the people was recorded in Luke 9:7-8, and 18-19.  Also in Mark 8:27-28 and in Mat 16:13-14.
 
Luke 9:18  And it came to pass, as he was alone praying, his disciples were with him: and he asked them, saying, Whom say the people that I am?
19  They answering said, John the Baptist; but some say, Elias; and others say, that one of the old prophets is risen again.
 
Luke 9:19 clearly shows that the people were well acquainted with the belief that God could raise people from the dead to a physical life.  Jesus did raise people from the dead to live again.  And, at the time of Jesus resurrection many were resurrected from their graves.
Mat 27: 50  Jesus, when he had cried again with a loud voice, yielded up the ghost.
51  And, behold, the veil of the temple was rent in twain from the top to the bottom; and the earth did quake, and the rocks rent;
52  And the graves were opened; and many bodies of the saints which slept arose,
53  And came out of the graves after his resurrection, and went into the holy city, and appeared unto many.
 
It is interesting to me that after the resurrection of Jesus, it is recorded that followers of Jesus referred to him as a prophet rather than the “messiah”.
 
Luke 24:15  And it came to pass, that, while they communed together and reasoned, Jesus himself drew near, and went with them.
16  But their eyes were holden that they should not know him.
17  And he said unto them, What manner of communications are these that ye have one to another, as ye walk, and are sad?
18  And the one of them, whose name was Cleopas, answering said unto him, Art thou only a stranger in Jerusalem, and hast not known the things which are come to pass there in these days?
19  And he said unto them, What things? And they said unto him, Concerning Jesus of Nazareth, which was a “prophet” mighty in deed and word before God and all the people:
24  And certain of them which were with us went to the sepulchre, and found it even so as the women had said: but him they saw not.
25  Then he said unto them, O fools, and slow of heart to believe all that the prophets have spoken:
26  Ought not Christ to have suffered these things, and to enter into his glory?
 
 
THE TRANSFIGURATION
 
Luke 9:28-36 provides a description of what happened on the day of Christ’s transfiguration.
   
Luke 9: 28  And it came to pass about an eight days after these sayings, he took Peter and John and James, and went up into a mountain to pray.
29  And as he prayed, the fashion of his countenance was altered, and his raiment was white and glistering.
30  And, behold, there talked with him two men, which were Moses and Elias:
31  Who appeared in glory, and spake of his decease which he should accomplish at Jerusalem.
32  But Peter and they that were with him were heavy with sleep: and when they were awake, they saw his glory, and the two men that stood with him.
33  And it came to pass, as they departed from him, Peter said unto Jesus, Master, it is good for us to be here: and let us make three tabernacles; one for thee, and one for Moses, and one for Elias: not knowing what he said.
34  While he thus spake, there came a cloud, and overshadowed them: and they feared as they entered into the cloud.
35  And there came a voice out of the cloud, saying, This is my beloved Son: hear him.
36  And when the voice was past, Jesus was found alone. And they kept it close, and told no man in those days any of those things which they had seen.
 
In verse 30, Jesus is talking with Moses and Elijah who are described as “men”.  It is not in any way described as a vision or apparition.  The book of revelation does describe a series of “visions” that John saw.  I think it’s important to provide the details for the word that is used to describe Moses and Elijah.  The word is the Greek word “aner” and is Strong’s #435.  This word is used 212 times.  In all those times, except for four instances, it is clearly used as a reference to human beings.  One of those four instances is the subject of this paper and the others occur when apparently angel’s speak to both men and women.  We know that the spirit beings of angels have the ability to manifest themselves as “men”.  The statement that we may entertain angels unawares helps to confirm that capability.  We also know that Jesus Christ in his spiritual reality was able to manifest himself as a human being, being able to be physically touched. 
There were times in the Old Testament that the dead were brought to life and there were times that at Jesus command there were those who were brought to life.  Consequently, we are shown that God will bring the dead to life, to physical life, at ANY time to fulfill a purpose.  With this evidence, we can be assured that Moses and Elijah could be brought out of their “sleep” and appear in their physical form during the transfiguration of Jesus.
The next thing to consider is whether Moses and Elijah were seen by Peter, James and John in a glorified form as Jesus was seen by them.  The reason that this is a question is because of the wording given by the KJV and other translation for Luke 9 verse 30and 31.
 
30  And, behold, there talked with him two men, which were Moses and Elias:
31  Who appeared in glory, and spake of his decease which he should accomplish at Jerusalem.
 
The following is the wording from the “literal” Greek text.
 
And behold men two talked with Him who were Moses and Elijah who appearing in glory spoke of the exodus of Him which He was about to finish in Jerusalem
 
Again, one might think that this wording supports the idea that Moses and Elijah were glorified.  But, there are several things to consider that would work against that conclusion.  First, there is no punctuation in the Greek to help with the meaning of a sentence.  If the words, “who were Moses and Elijah”, were bracketed with comas, the meaning could change.  The words in the first part of the sentence would be related to the last part of the sentence.  “And behold men two talked with Him”, ---------------- “who appearing in glory spoke of the exodus of Him which He was about to finish in Jerusalem.  ”.  
 
The “Young’s Literal Translation” provides that sense of understanding.  Verse 29 shows that Jesus had already appeared in glory and verse 31 speaks to that fact.   
 
Luke 9:30  And lo, two men were speaking together with him, who were Moses and Elijah,
31  who having appeared in glory, spake of his outgoing that he was about to fulfil in Jerusalem,
 
Next, the other two places in Matthew and Mark that records this event do not ascribe any glorification to Moses and Elijah.  Finally and most importantly is what is stated in verse 32.  When Peter James and John awoke out of their sleepy-ness they saw only the glory of Jesus (“his” glory – not their glory).  Then it is simply stated that they saw the two men that stood with him. 
 
32  But Peter and they that were with him were heavy with sleep: and when they were awake, they saw his glory, and the two men that stood with him.
 
A firm conclusion can be made that the only person that was seen in a glorified state by Peter James and John was Jesus Christ.  This is an essential premise that supports a crucial reason that God provided this event.  It helped to lay a true foundation for the church to be built upon.
 As mentioned earlier the people were very confused as to the true identity of Jesus.  But, this didn’t seem to be the case for at least one of Christ’s disciples.    
 
Mat 16: 13  When Jesus came into the coasts of Caesarea Philippi, he asked his disciples, saying, Whom do men say that I the Son of man am?
14  And they said, Some say that thou art John the Baptist: some, Elias; and others, Jeremias, or one of the prophets.
15  He saith unto them, But whom say ye that I am?
16  And Simon Peter answered and said, Thou art the Christ, the Son of the living God.
17  And Jesus answered and said unto him, Blessed art thou, Simon Barjona: for flesh and blood hath not revealed it unto thee, but my Father which is in heaven.
 
            Matthew 16:16 tells us that Peter stated that he believed that Jesus was Christ the Messiah.  Even though he answered correctly, we have to ask; how credible, or well founded, was his belief?  Remember that he denied being acquainted with the Messiah three times.  There was an imperative need that the apostles, after they received the “indwelling” of the Holy Spirit, could look back upon a body of evidence that revealed the fact that Jesus was the Messiah.
            Unqualified evidence was given that Jesus was the Messiah through the event that Peter, James and John observed.  They saw a resurrection to life of Moses and Elijah.  Moses and Elijah were brought out of their “sleep”, to their physical bodies, so that Peter, James and John could compare these principle men of God to Jesus Christ. 
              Jesus alone was glorified which set him apart from Moses and Elijah.  The final point that separated Jesus from the most righteous of all that preceded him was the voice that came out of the cloud saying “This is my beloved Son:  hear him”.  Peter, James and John were given this evidence to help them fully understand that Jesus was the Messiah, not only the Savior of Judah but of all of mankind.  They were the principle apostles and vital to the establishment of the Church of God upon the foundation of truth, being accurate witnesses of that truth
      These final verses provide evidence that the “transfiguration” was an important factor in the personal relationship that Peter, James and John had with Jesus when he was on this earth. 
 
John 1:14  And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth.
 
2Pe 1:16  For we have not followed cunningly devised fables, when we made known unto you the  power and coming of our Lord Jesus Christ, but were eyewitnesses of his majesty.
17  For he received from God the Father honour and glory, when there came such a voice to him from the excellent glory, This is my beloved Son, in whom I am well pleased.
18  And this voice which came from heaven we heard, when we were with him in the holy mount.    
 

Magreth Mkiwa

unread,
Mar 28, 2013, 3:06:08 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com

Michael J. Nzala

unread,
Mar 28, 2013, 1:43:48 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com
Aa aaaa!! Wewe jibu hoja!! Dada Mary, kagundua kutokana na michango ya wadau kuwa wewe hilo jina lako, ulipewa na huyo nabii wako!! Sasa tunataka ukanushe kuwa hukupewa au ulijiita wewe mwenyewe? Na kama ulipewa, unaijua maana ya ya jina lako hilo? Ha ha haaaa!! Changamsha akili kaka!! 

From: "mall...@gmail.com" <mall...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, March 27, 2013 6:02 PM
Subject: Re: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

Ha haa haaa,

Jina BEzaleli lisisumbue nafsi zenu wana wa MUNGU... Ndivyo ilivyo ni jina Langu...zuri..

Na hakuna jambo la kutenganishwa na Familia yako.. Familia yako Dada Mary ni ipi??

Baba,Mama, Bibi, watoto ... Au kuna version nyingine???PENGINE au ni ile version ya Bwana Yesu ""ndugu zake na Mama zake ni akina nani""

nimecheka KICHEKO....hope leo ni siku yangu ya KICHEKO...

Najua mnanipenda, pia mimi nawapenda....naona msichoona pia mnaona nisichoona...

Bezaleli DC
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Wed, 27 Mar 2013 10:35:17 -0400 (EDT)
Subject: Re: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

Ahaa jamani nasi tunataka kuyajua, Kumbe jina la  Bazaleli kabambikizwa? Dah! Mungu asaidie wasimpoteze kaka yetu Mallya wasijekuwa wamemtenganisha na familia yake??..

Huko siko kaka Mallya, unahitaji maombi hakika!! 

--Mary



-----Original Message-----
From: Mathew Maduhu <Mathew...@tanesco.co.tz>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Wed, Mar 27, 2013 5:25 pm
Subject: RE: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

Edwin,
Sorry wapendwa, sio wife ni in-law (MKWE). Kabla ya kwenda kwa nabii wa kizazi cha nne, alikuwa mtumishi wa Mungu mzuri tu na mzee wa kanisa wa TAG (among the big TAG churches in DSM), tulimpozea ki-aina hiyo ya deception maana aliaminishwa kuwa  HATAKUFA halafu yake akafa, wakaamua kuficha ili ndugu zake wasitambue, hata wazazi wake waliomzaa nao walifichwa, kwa sababu tayari alikuwa ameshapewa another family!!! Tunamshukuru Mungu taarifa zili-leak mapema. Walikuwa wanataka kuzika wao wenyewe kimya kimya. Mhh, ilikuwa issue sio ndogo, mbaya zaidi watu wasiookoka walikuwa wanasema hao ndiyo mambo ya WALOKOLE. Niishie hapa. Wanaotaka detail yao nitawajuza kwenye email zenu yale machache ninayoyafahamu kuhusiana madude yao.
 
Mathew.
 
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 

Michael J. Nzala

unread,
Mar 28, 2013, 1:37:27 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com
Ha ha ha aaaa!! Si wewe uliyesema kuwa shetani kafa/kafungwa? Mimi nikushauri tu bro. toka kule. Yule jamaa full Mchawi!! Utuulize sisi watu wa kanda hiyo tukwambie habari zake. Nilishangaa sana kusikia mtu makini kama wewe Mallya, umefungwa tu na kijamaa kile!!  Ondoka kule kaka kungali ni mchana. Usiwe mtu wa kufuata miujiza!!
Uasi wa sheria za asili utatugharimu pakubwa sana. Mfano, tunavunja sheria za vyakula, halafu tunaugua, tunapougua, tunamfuata ibilisi kutuponya kwa njia ya miujiza....Yaani ni shetani huyohuyo anazunguka kudrive minds zetu.. tangu mwanzo hadi mwisho. Bila kuwa makini na madanganyo ya siku za mwisho, tutaishia hukohuko. Nawashangaa watu, hivi kama leo madanganyo kwa njia ya ishara na miujiza ni cha mtoto kiasi hiki, itakuwaje pindi ibilisi atakapojidhihirisha kabisa katika matendo ya miujiza akijiita Kristo au mtume/nabii wa Yesu aliyefufuka katika Wafu?
Chonde....

From: "mall...@gmail.com" <mall...@gmail.com>
To: strictl...@googlegroups.com
Sent: Wednesday, March 27, 2013 1:50 PM
Subject: Re: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

@ Nzala, Mwana wa MUNGU,

Labda unadhani yupo segerea?? Uuuuuugh!!

""Shetani hajafa wala hajafungwa popote sasa hivi!! Acha kutuuzia mbuzi kwenye kikapu. Maana anaonekana.""

EBO!! Yupo wapi huyo JOKA umemuona leo kavaaje?? Au unayaona matendo yake??? Au unaona chapa zake???

Basi labda ni mapacha wake kama yupo..

Nzala ... Ha haaa haaa... Ok fine , he has become part of your Life...

Hamna MUDA unaopotea, umetumika vizuri na brain yako imepanuka....

Bezaleli DC
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

Mary Damian

unread,
Mar 28, 2013, 6:45:03 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com
barikiwa kwa michango yako Nzala

MJADALA UMEFUNGWA RASMI!!

--Mary

SELELI EDWIN

unread,
Mar 28, 2013, 8:42:04 AM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com
Magret,

What a surprise! never thought/knew that somewhere in the world, people had this question i raised in here and discussed in such quite details like this..wow! Great Holy Spirit connections in this Church...asante kwa materials izi zote, nimeshiba kwa hakika.

Press on,

Edwin Seleli

2013/3/28 Magreth Mkiwa <mkiwam...@yahoo.co.uk>

C K Lwembe

unread,
Mar 28, 2013, 1:55:15 PM3/28/13
to strictl...@googlegroups.com

Dada Margreth,
Ubarikiwe kwa jitahadi thabiti ya kuleta ufahamu katika mambo haya!

Niko safarini lakini nimeziona link zote, moja nimeisoma halfway, charge ya simu imenitisha lakini nitaendelea baadae, nitakachokiona humo, nita reciprocate kwa a comment on it.

Ninaziona sana jitihada zako, they are great and very sincere, zinasaidia sana kuona wengine wanayachukuliaje, yaani what is their understanding on those complex issues.

Gbu sister!

Ck Lwembe
Sent from my iPhone

Steven Mwikwabe

unread,
Mar 29, 2013, 4:01:01 AM3/29/13
to strictl...@googlegroups.com
Tukio hili lina siri kubwa kwa kanisa,kumbukeni kuwa Manabii
walitamani kuwepo wakati wa Yeu Kristo hapa duniani, na Elijah na Musa
ni miongoni mwa watumishi walioacha historia kubwa duniani,na akina
Petro na wayahudi wote walitambua umuhimu wa hao manabii, sasa ili
Mungu ahamishe wanafunzi wake kwenye mashaka akafunua Utukufu wake na
kuwafunua Manabii waliyo tabiri ukombozi kama wakati wa utimilifu wa
furaha ya Mungu kwa watu wake,naile ni sehemu ya uthihirisho wa
kuhamisha watakatifu kuzimu na kuwatimizia ahadi ya ukombozi,kwetu
sisi ni kutupa uhakika wa kuwepo tena katika ukamilifu wa Mungu.

On 3/19/13, SELELI EDWIN <selel...@gmail.com> wrote:
> Hello Wanafunzi Wenzangu wa Bible SG,
>
> Biblia ni tamu sana na tuisomapo, ununurishwa ndani yetu, Karibu kwa hoja
> chini
>
> *Mathayo.17:1-.13* Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo,
> na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani,akageuka sura
> yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama
> nuru*.Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye.Petro
> akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka,
> nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na
> kimoja cha Eliya.*Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia
> uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni
> Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.Na wale
> wanafunzi waliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana*.*Yesu akaja,
> akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope.Wakainua macho yao, wasione mtu
> ila Yesu peke yake*.*Na walipokuwa wakishuka mlimani, *Yesu aliwaagiza,
> akasema, Msimwambie mtu ye yote habari ya maono hayo, hata Mwana wa Adamu
> atakapofufuka katika wafu.*Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa
> nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?Naye akajibu,
> akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote,ila nawaambia,
> ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote
> waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu naye yuaenda kuteswa kwao.*Ndipo
> wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana
> Mbatizaji.*
>
> *
> *
>
> *Tutafakari pamoja ili:*
>
> *Wanafunzi waling’amuaje kwamba waliokua wanaongea na Yesu ni Musa na
> Eliya? Kwakua hakukuweko na facebook,picha ktk album au kumbukumbu yeyote
> ya akina Musa/Eliya ili akina Peter waweze kujua kwa hakika sura ile ni
> Musa na ile ni Eliya!*
>
> *
> *
>
> *Tunaweza jenga hoja kama watu tunaojua namna RM/MUNGU afanyavyo kazi
> kwamba walifunuliwa?, well, excellent but tunajengaje sasa mpaka
> tukimfundisha mtu hasiwe na kwere kua labda tuna-fix vitu ili ku-force
> mantiki fulani to back up our sound doctrine? How can we carefully and
> Godly build/bring about this powerful truth of RM functions in us out of
> this particular kind of tricky/challenging passage of the scriptures?
> *
>
> *
> *
>
> *Unavyomfahamu kaka Petero, are real convinced kua alitii ili agizo.. Yesu
> aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu ye yote habari ya maono hayo, hata
> Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu? I mean yes, Jesus gave the
> instruction kua wasimwambie mtu..until… but the Bible does not say if they
> obeyed it anyway. Najaribu tu kuona watu wame-experince such marvellous
> vision/event-Yesu kubadilika, Eliya and Musa kutokea na wakachanganyikiwa
> kwa furaha hasa kiasi hiki cha Peter kutaka kujenga vibanda vya watatu
> mpaka akasahau kujenga kibanda chake mwenyewe wala ku-suggest na kujenga
> vya wapendwa wenzie, you can see jinsi alivyotekewa kwa furaha na mshangao
> na
> kisha the top of all..Mungu Baba kunena wazi wazi wakasikia kwa sauti kwa
> masikia yao ya nyama na kuanguka kifudifudi wakiogopa sana-imagine
> tunavyotamaniga hata kamalaika kaje tu na msg moja mara moja ktk miaka 5
> but that day Mungu kabisaa akaongea, wow!, sasa kweli Peter alikaa kimya
> mpaka Yesu alipofufuka? Mbali na nature yake Peter ya kua free na
> kusema-sema au kutokua na aibu au kuremba-remba, hata ivyo hata kama
> angetaka kujibana ili kutii alichoambiwa na Bwana, aliwezaje kupangua
> pressure/maswali ya wenziwe kwa kua bila shaka walikuwepo wakumuuliza
> ‘’’aisee e bwana eee, kulikua na ishu gani uko mlimani na Bwana, mbona
> mlikawia kidogo? Na Kama walimbana kikweliii, Je, Peter akutiririka kweli
> siri/experience ile lakini out of kuchanganyikiwa kwa raha na furaha
> yaku-experience mazito aliyoyaona*
>
> *
> *
>
> *Lakini kama hakukaa kimya na aka-share habari hi kama baadhi watu Yesu
> aliwambia wasiwambie watu habari fulani but ndio kwanzaaa walipoulizwa na
> mafarishayo….wale walitendewa,wajajikuta wanasema tu ingwa waliombiwa
> wasiseme.Kuvunja agizo kwa mantiki hii ni kua disrespectful gravely against
> our Lord and savior?*
>
> *
> *
>
> *Unadhani ni possible reasons zipi zilimsukuma Bwana
> kuwaambia/kuwa-instruct wasimwambie mtu maono yale kabla hajafufuka?
> *
>
>
> **
>
> Umeshawahi kutafakari mstari huu kihalisia siku ile na kiwewe..’’Na baada
> ya siku sita *Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana** nduguye,
> akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani’’, wanafunzi waliobaki huko
> walichukulia sawa tu au walipata kunyanzi? Unajua si jambo dogo mko wote na
> mnajua kua wote mnapendwa but at a certain time, Yesu anasema Seleli,
> TWENDE FARAGHA na nyie wote SG mnaachwa hapo kwanza! Tulieni uko kwanza,
> Kusema kweli ningekua pale siku ile na kwakua Yesu alikua so fair mpaka
> kuruhusu wanafunzi kushare mambo yao deep…eg.Peter kuuliza wameacha vyote
> vipi Master atarekebishaje ishu zao, so, kwa hakika ningemuuliza Yesu.,
> why? Seriously ingekua inani-pain vibaya na wivu pia kanaumaaa kama vile
> kumuona yule mwanafunzi aliyependwa sana na Bwana pamoja na ukubwa wake yet
> alikua kila mara anadeka kifuani kwa Master wakati wengine tunaketi mbaali
> au kwa vitu or chini, eti yeye anafaidi-faidi tu ukaribu mzuri ule , ..Who
> do Peter,James and John think they are anyway? Aren’t we all the
> apostles-the great 12? Au Yesu aliwaona wao wana nini spesheli wakati wote
> tumeookoka, tuna RM na tuko naye Bwana kila siku kuchapa injili pale mjini
> Yerusalem na kwingine!?*
>
>
> *Press on learning more from the unfinished spiritual gold mining
> reserve-the Bible*
>
>
> *Edwin Seleli
> *

C K Lwembe

unread,
Mar 29, 2013, 1:35:37 AM3/29/13
to strictl...@googlegroups.com
Dada Mary, unajisikia "KUKEMEA"! Umenivunja mbavu kuliko hata "District Commander"!!! Hahahahaha....!!!! 

Unashangaa "utterances"?? Chezea "Ngome"!! Amekwenda overboard huyo, mtupieni kamba avutwe, kutoka huko by himself si rahisi kwa sababu amekuwa baptised into that spirit, na he is a craftsman of the order of Bezaleli and a District Commander in the realms! 

Huko wamewahi kukaa na maiti ya mke wa muumini wao wakiiombea ifufuke mpaka akaanza kuoza! 

Hizi ni religious spirits zinazo operate katika Pentecostal Realm, zinatumia vipawa vya uponyaji na umilikaji mali kuwadaka watu, ni 100% CULT. Hawaongozwi na Biblia bali Mafunuo ambayo yanawapeleka mbali zaidi na Neno la Mungu! 

Yaani kimsingi, iwapo nabii huyu ataweza kuandika vitabu, basi ministry hiyo inaweza kudumu kwa muda mrefu kama minstry ya Ellen White, hizi zote ziko sawa, hii ya White ni Evangelical na hii nyingine ni Pentecostal kwa maana ya vipawa, sio confession ya faith.

Katika maintanance ya discipline katika kanisa lao, kuna viongozi ambao wamekufa kwa kukiuka maadili ya hapo, kwahiyo ni vizuri tukielewa level linayo operate kusanyiko hilo!

Basi mnavyomuombea Bezaleli, ni vizuri mkajua kuwa maombi yenu yanapaswa kuwa yale yanayoambatana na kufunga!

Mbarikiwe

Ck Lwembe

Sent from my iPhone

On 26 Mar 2013, at 23:41, Mary Damian <maryd...@aol.com> wrote:

"Je MARY huna ufahamu wa Kazi zipi Nabii anazifanya au UNADHARAU, angalia usije ukawa tasa au BUBU kwa UBISHI...Inajulikana toka zamani NABII ndiye anayepewa agizo na MUNGU Direct , naye analileta kwa waliokusudiwa...rejea MUSA, kwa nini MUNGU alimtumia yeye tu?? MUNGU siyo mwanadamu, mpaka akuamini sana ndipo atakupa agizo lake..maana wapo wengi waliotangulia ni WEZI na WANYANG'ANYI"

Kaka Mallya, najisikia kukukemea kwa jina la Yesu..Kazi za nabii yupi unayemzungumzia? nabii Eliya?....plz stoop!!  


--Mary
-----Original Message-----
From: mallyadc <mall...@gmail.com>
To: strictlygospel <strictl...@googlegroups.com>
Sent: Tue, Mar 26, 2013 11:03 pm
Subject: Re: JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu

""Kauli mbiu yenu ni Shika NENO tenda NENO...lipi? au ni nabii peke yake ndiye anayeruhusiwa kupewa hilo NENO ili awagawie wengine? ""

Khaaaa, nooo Dada Mary you must be serious...

Hii si kauli mbiu kama kwenye siasa au kwenye taasisi...Hii ni amri ya Bwana..Kwamba KULISHIKA Neno Lake na KULITENDA...siyo kusikia Neno na kutolifanyia kazi..KWA HIYO NAFUTA USEMI WAKO KWA MAMLAKA YA DAMU YA YeSU kwamba neno hilo ni Kauli .MBIU..ninalihamishia kituo cha amri ya Bwana kama unampenda utafanya anayofundisha.

.HULIJUI NI NENO LIPI?? Bwana Yesu ametamka Maneno mangapi tunayotakiwa kuyafanya??? Basi kama huna NENO lolote jaribu hata hili:
1. Nimewapa amri kukanyaga Nyoka na Nge. (SIJUI HAPA UTAFANYAJE WAKATI ELIMU YA MAJOKA NA JOKA HUnA, utamuona seleli.) Je umetenda NENO hilo?
2.Nimewapa mamlaka ya kufunga na kufungua,utakachofunga duniani na mbinguni kimefungwa, utakachofungua duniani na Mbinguni kimefungwa.(Funguo unazijua??? DAMU YA Haki na Kweli na HUKUMU, Jina la YESU, Mafuta Matakatifu, (JE UMETENDA NENO)???

Je MARY huna ufahamu wa Kazi zipi Nabii anazifanya au UNADHARAU, angalia usije ukawa tasa au BUBU kwa UBISHI...

Inajulikana toka zamani NABII ndiye anayepewa agizo na MUNGU Direct , naye analileta kwa waliokusudiwa...rejea MUSA, kwa nini MUNGU alimtumia yeye tu??

MUNGU siyo mwanadamu, mpaka akuamini sana ndipo atakupa agizo lake..maana wapo wengi waliotangulia ni WEZI na WANYANG'ANYI...

"" au ni nabii peke yake ndiye anayeruhusiwa kupewa hilo NENO ili awagawie wengine? "" HILI SWALI NI LA KI KERUBI ulifute moyoni mwako kwa damu ya YESU...usimjaribu MUNGU....WHO ARE YOU ANYWAY???


Bezaleli DC

Mwana wa Kizazi cha nne..
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
--Mary


--Mary




2013/3/26 <mall...@gmail.com>
Subject: Re: ILIKUAJE WAKAFAHAMU KUA WALIKUA NI MUSA NA ELIYA?
Mwana Wa Mungu Mfuasi Lwembe,

Kweli ELIA Yauja kurejesha yote, kutengeneza yote...

Nchi yetu imepata Neema Kubwa sana kupendelewa na MUNGU wa MAJESHI kizazi hiki cha nne cha UNYAKUO kutupatia Nabii miongoni mwa Kondoo zake, naye ni
Nabii ELIYA Adamu wa Pili MUNGU wa Majeshi.

Haswaa, mwenye agizo la Mungu kinywani mwake..la kuivunja misingi mibovu ya mila na desturi za wanadamu na watu, mwenye roho ya Matengenezo, upatanisho, marejesho na Kujenga. Ambaye mwenye wivu wa Bwana .

Amemtengenezea Bwana Kanisa (si dhehebu wala dini) linalomuabudu Mungu katika Roho na Kweli kama alivyopewa Agizo .Ametuletea Majira sahihi ya Nyakati zake MUNGU wa Majeshi.na Amefanya Maagano yanayotenda kazi kilasiku, sasa ameleta Zamu ya Alfajiri ambapo MUNGU mwenyewe huwapukutisha maadui wa Kanisa na wana wa Mungu na kazi zao.

Naye amezaa wana wanaofanana naye katika Huduma .Asiye na Wivu.

""Si unawaona akina Henoko na Eliya wamenyakuliwa hawakukionja kifo kama mamilioni ya watakatifu wengine, ingawa Eliya atarudi aje auawe, (sijui ndiyo huyu nabii Eliya wa kizazi cha nne, nitamuuliza Bezaleli DC!).""

Nabii ELIYA wa kizazi cha nne, pamoja na kanisa lote pamoja na watenda kazi wa MUNGU kizazi cha nne hawatauawa kama DUNIA ilivyozoea, maana NEEMA ya MUNGU ni kubwa kumuangamiza kabisa shetani na JOKA lile la zamani lililowaua manabii wa MUNGU kizazi cha kwanza mpaka cha tatu...(Wakati wa MUSA,ELIYA na YESU).

MUNGu ameshuka mwenyewe na amemuangamiza JOKA lile la zamani na wote wanaotegemea uzuri wa lile joka na wanaotegemea roho za utambuzi kupitia like Joka, wote wamepukutishwa na BWANA.

Kanisa halidharauliwi tena, na lipo katika safu yake..

Ni wakati wa KICHEKO kinachowaangamiza maadui..si wakati wa vilio...JOKA ameshafungwa Miaka 1000 na minyororo migumu, maroho yake na vibaraka wake hayawezi tena kulishambulia kanisa... Na wakati wake mchache umefutwa...

Ukishangaa ,ingia 1 kor 2:6-10

Maana kadiri unapokuwa karibu zaidi na unapozidi kumsogelea MUNGU ndipo ufahamu wako unapozidi katika ufunuo wa MUNGU na maono ya MUNGU.Shetani,IBILISI,Lile JOKA la ZAMANI anazidi kuwa mbali nawe anafutika katika ufahamu wako anakuwa amekufa katika ufahamu wako...


Ubarikiwe ulishike NENO na ulitende NENO...utapata ujira wako.

Bezaleli DC
Siku ya saba. Agano la mwisho wa mambo mabaya, na mwanzo wa Mambo mazuri tu.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
 
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
 
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
 
 
This email and any attachments may contain confidential information for intended recipient only. If you have received this email in error please notify the sender. Note that any copying, disclosure or distribution of the message is strictly prohibited. Email recipient(s) should check this email and any attachments for viruses. Tanesco will not be liable for any damage caused by virus.

Mary Damian

unread,
Mar 29, 2013, 7:44:17 AM3/29/13
to strictl...@googlegroups.com
Duh! haya makubwa...so siku zote humu anatema vitu vilivyovuviwa na ile spirit? ni heri tumejua baadhi.... Ningekuwa Dar ningeenda kufanya mahojiano na nabii  Eliya, kumuuliza maswali tunayotakiwa kujua. DC sidhani kama anajua kwa undani maana majamaa yamem-drive.... Natamani akombolewe atoke huko.

Mjadala huu na comments nitahamishia kwenye blog.

--Mary

-----Original Message-----
From: C K Lwembe <cklw...@ymail.com>

Anthony Athanas

unread,
Mar 29, 2013, 1:45:31 PM3/29/13
to strictl...@googlegroups.com

CK LWEMBE,

Umenichekesha sana ndugu duuuh, hapa’’ mtupieni kamba avutwe, kutoka huko by himself si rahisi kwa sababu amekuwa baptised into that spirit, na he is a craftsman of the order of Bezaleli and a District Commander in the realms! ’’

Kweli kazi ipo, mimi sisemi kabisa

Nikipata kibari rohoni nitaandika kitu, inaniuma maana na rafiki zangu wapo huko naam huwa wanajitahidi kunishuhudia nihamie HUKO. Wapendwa watu hawa wananguvu ya ajabu. Ni kweli wanahitaji kamba siyo ya mkonge bali string, ya chuma. Siyo rahisi sana tusije tukadhani tutaomba maombi ya chakula tu nononoooo! Tunakazi ya ziada kama tumeamua kwa dhati. UNADHANI YULE ANAYEJILIPUA KWA KUJITOA MHANGA ANAKUWA AMEVAA SPIRIT GANI???

mall...@gmail.com

unread,
Mar 29, 2013, 9:44:20 AM3/29/13
to strictl...@googlegroups.com
Ha haaa @ Mary,

Nipo fit, na wana wa Mungu wapo fit katika Neno..

Haiyumkini Bado mambo mengi yanakuja..

Jitayarishe kushangaa...

Bali sisi ni KICHEKO katika Bwana.

Bezaleli DC.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Mary Damian <maryd...@aol.com>
Date: Fri, 29 Mar 2013 07:44:17 -0400 (EDT)

mall...@gmail.com

unread,
Mar 29, 2013, 3:17:16 PM3/29/13
to strictl...@googlegroups.com
Ha haaaa haaa,

Nakwambia, Abram baada ya kuitwa Ibrahim, angejilipuaje...

Na Jinsi bwana alivyowabadilisha Majina baadhi ya wanafunzi wake...

Bezaleli DC...
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: "Anthony Athanas " <kiman...@gmail.com>
Date: Fri, 29 Mar 2013 20:45:31 +0300

SELELI EDWIN

unread,
Apr 1, 2013, 7:47:18 AM4/1/13
to strictlygospel
Mallya DC,

Sasa bro wangu acha longolongo..tunamalize hii kitu mtumishi wa mungu kizazi foo...siku ya 4 inaenda ya 5 sasa bado hujaleta maelezo ya kinauliyohaidi ambayo Oguda anasema ukiamua kufloo madude,,majamaa yanakutumia kutiririka mwanzo mwisho vitu adimu ambavyo haviko hapa down mpaka juu---hahahaha Oguda kiboko ya njia...ni kutfua tu mwanzo mwisho mizizi yote,,safi sana Oguda

Come on great DC Mallya,,unauweka kaka mwishowe mungu wa kizazi foo akuamuru ufute maswalli yote duniani au atakwambia uyapotezee yote maswali..hapo tena utakua ume-abuse neema hii tuliyopewa ya kujimwaga na kumwaga both mboga na ugali wa udaga\mhogo peupeee..na/tunakungoja ujibu leo na kesho mpaka usiku, j5 ikifika hujajibu, then mimi  najitolea kuandaan conclusion na kuituma ili kumaliza hii kitu once for all in this lovable church SG na isiinuke tena humu ndani in JESUS name

Press on waiting patiently for your majibu and details ulizo-promise live, lively hapa church.

Edwin Seleli



2013/3/29 <mall...@gmail.com>

mall...@gmail.com

unread,
Apr 1, 2013, 8:39:17 AM4/1/13
to strictl...@googlegroups.com
Asante SELELI, nautayarisha moyo wenu... Na pia najua mnamalizia pasaka ,kwa hiyo uwe na Moyo wa mtoto mdogo...nakuja na maelezo mazuri kwa ajili ya Kulielewa Kanisa....

""Nenda kanawe, uone "" katika Bwawa la Siloam.

Coming soon...


Bezaleli DC
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: SELELI EDWIN <selel...@gmail.com>
Date: Mon, 1 Apr 2013 14:47:18 +0300
To: strictlygospel<strictl...@googlegroups.com>

John

unread,
Apr 1, 2013, 2:39:39 PM4/1/13
to strictl...@googlegroups.com, strictl...@googlegroups.com
Hello brethren SG, you are just rounding outside the box. Concerning the serpent and the story of 1000 years are so minor issues. We cannot understand the person outside of himself but we should start with him then we jump to his teachings. The real problem starts with the title of the prophet himself. He is Elijah, Second Adam, The Lord of Hosts! By responding positively and fixing himself in these titles, we do not need even to listen and accept his teachings. Himself he is out of context and leading his members astray. 
The second problem is the fruits he produces. When you see his members pretending to know each and everything at the same time they do not accept other people's ideas, be aware of that prophet. He is making his members to be his members and not members of the body of Christ. This behavior we call it an intimidation of the mind whereby all members fear only one person as if he is God! The issue is that, he does not tolerate with people of different ideas those seem to bring more understanding from his target.
Finishing for today, I heard one testimony from Sloam! The prophet prayed for protection of his member's farm to be guided by snakes/serpents! This was 2008. 

The one with understand, will understand what the Spirit says.

Be blessed SGs 

Sent from my iPad

SELELI EDWIN

unread,
Apr 1, 2013, 9:25:55 AM4/1/13
to strictlygospel
Mallya DC,

coming soon!.....NO WAY..come SOOOOOOOOOONEST!

Nani akanawe!  ati wapi? hapa home mbona nina mabomba kibao mpaka la simtank kaka?..mbona mna fix na biti sana..kunawa mpaka uko tena..aaaa wangu..namna gani best..make life simple!nawa home. Pasaka ndio safi, jana na leo tuko wengi free..ungeleta hayo madude from majamaa. btn these days......jaribu kabla ya sa 5 usiku leo uwe umedish....kesho ubize waanza

Press on waiting...this time so eagerly

Edwin Seleli

SELELI EDWIN

unread,
Apr 2, 2013, 4:59:41 PM4/2/13
to strictlygospel
Mwikwabe Steven

yee..muraa  amang'ana mashomu, oghambe kintu safi tatoo

Interesting inputs brother, lovely obervations/insigts, ubarikiwe

Press on,

Edwin Seleli


2013/3/29 Steven Mwikwabe <stevenm...@gmail.com>
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages