--
Tafadhali zingatia msingi wetu ni Neno la Mungu, Lengo letu Kuujenga mwili wa Kristo, kushirikiana, amani na upendo. Yeyote yuko huru kuchangia, kufundisha, kukubali kufundishwa sawasawa na Msingi wetu Mkuu Neno la Mungu. Kujiunga na Team ya Injili au Maombi wasiliana nasi kwa simu 0714 915 424. Tuma Email. strictl...@yahoo.co.uk Facebook:https://www.facebook.com/pages/Strictly-Gospel/363180289370
Blog: www.strictlygospel.wordpress.com
Kujiondoa Kwenye Kundi Hili Tuma Email:
strictlygospe...@googlegroups.com
Edwin SeleliPress on,Nshimirimana,Ubarikiwe kwa mchango wako, Je unaweza soma tena mada kisha uje kwa kujibu mengine kwa mpangilio wa swali kwa swali? karibu sana
Thobias Mosha,
Ubarikiwe kwa mchango wako ndugu.
Kuhusu kuchukua muda mrefu au mfupi, ulijibu jibu extremely very good Tanzanite stone sijawahi kusikia wala kuwaza aisee dah! Glory to God, ulisema..’’’ wito wako waweza kuwa hata nusu saa ila mapngo wa utekelezaji ukachukua miaka hata mia moja kumbuka yohana mbatizaji alifanya kazi miezi sita tu lakini ndiye nabii wa mwisho katika orodha ya manabii wa agano la kale’’…oooh my God, this is powerful gold my brother Thobias, ungekua karibu hapa, ningepanda mbegu aisee babangu ee, Ubarikiwe sana, nimependa sana iyo nondo na nimepata kitu hapo
Mengine nisaidie tu ufafafanuzi na haya yafuatayo maana napenda sana kufanya mambo/uandishi kwa mpangilio-keeping the flow smooth and professional:
Ulisema ivi ktk majibu yako kua..’’’ Yesu alifanya kazi kwa ratiba na hakwenda nyuma ya ratiba ushahidi mmojawapo hakuna mahali yesu alikimbia ili kuwahi apointiment eneo lingine’’
Swali: Ulikua unajibu swali gani labda kati ya kichwa cha somo na yale niliyouliza ktk body ya mada?
Pia ulisema.. ‘’shetani huwa anavamia ndani ya mtu ila yesu anabisha hodi waliomfungulia ameingia ndani yao ndio maana alikuja kwa njia ambayo upande wa pili watu waelewe ujio wake kisha kwa ridhaa yao wamruhusu kumpokea kama ulivyofanya wewe’’
Swali: Hapa napo, Ulikua unajibu swali gani labda kati ya kichwa cha somo na yale niliyouliza ktk body ya mada?
Press on,
Magret Mkiwa,
Ubarikiwe kwa mchango wako.
Umesema kwamba..’’’kusudi kubwa ni kuwa na muda wa kutosha kutumikia kilichokuwa kimepotea’’
Maswali: Moja: Ulikua unajibu nini hapo? Je ni kichwa cha somo hiki?..’’’ KWA NINI YESU ACHUKUE MUDA WOTE KUISHI MIAKA 30 HALAFU AFANYE HUDUMA miaka 3 na nusu tu? Kwa hiyo aliishi miaka 30 kama ulivyosema hivi..’’’ kua na muda wa kutosha kutumikia kilichokuwa kimepotea’? Pili: Kwani miaka iyo 30 alikua anatumika?
Press on,
Edwin Seleli
Edwin SeleliPress on,Emmanuel Mdundwa,
Ubarikiwe kwa mchango ndugu,
Niliuliza maswali 2 baada ua kusoma mchango wako wa kwanza na umejibu kua ilibidi Yesu ajishushushe na kuwafundisha taratibu wamuelewe kuliko kama angeshuka na ukuu wake, wangemuelewa kwa amri tu na utiisho bila kuyaweka moyoni LAKINI pia ukajibu swali lingine kua hawakumulewa kwa sababu ya yaliyokua yamejazwa ndani yako na Mababu na pia walishupaza shingo
Maswali:
Moja: Sasa iyo njia ya upole, kujishusha, kuchangamana nao, ilisaidia nini hasa? Unaweza sema kitu hapa kwa swali hili na kubalance/ku-qualify point yako maana wengi tu hawakuamini wala kuokoka?
Mbili: Kwani mbona wapo wengine waliamini na kuachana na yale yaliyojazwa ndani yao na mababu, ilishinikanaje kwa wale weingine wengi sana?
Tatu: Kwa hiyo njia zote zisingefanikiwa kiviile sana iwe ya kuja na utiisho wote au kuja kwa kujishusha, sawa si sawa?
Emmanuel Mdundwa,
Ubarikiwe kwa mchango ndugu,
Niliuliza maswali 2 baada ua kusoma mchango wako wa kwanza na umejibu kua
ilibidi Yesu ajishushushe na kuwafundisha taratibu wamuelewe kuliko kama
angeshuka na ukuu wake, wangemuelewa kwa amri tu na utiisho bila kuyaweka
moyoni LAKINI pia ukajibu swali lingine kua hawakumulewa kwa sababu ya
yaliyokua yamejazwa ndani yako na Mababu na pia walishupaza shingo
Maswali:
Moja: Sasa iyo njia ya upole, kujishusha, kuchangamana nao, ilisaidia nini hasa? Unaweza sema kitu hapa kwa swali hili na kubalance/ku-qualify point yako maana wengi tu hawakuamini wala kuokoka?
Mbili: Kwani mbona wapo wengine waliamini na kuachana na yale yaliyojazwa ndani yao na mababu, ilishinikanaje kwa wale weingine wengi sana?
Tatu: Kwa hiyo njia zote zisingefanikiwa kiviile sana iwe ya kuja na utiisho wote au kuja kwa kujishusha, sawa si sawa?
Emmanuel Nshimirimana
Ubarikiwe kwa mchango wako rafiki.
Wow! Fantastic jinsi umejibu kwa mpangilio great Tanzanite stones answers, kwa kweli umeitendea haki Mada/Somo hili my friend, ni tamu sana majibu yako haya… nimechukua vipande tu ivi…
a. Hakua na haja ya kujifunza maana Yeye mwenyewe alisema..’’’ jifunzeni kwangu. ( Mat.11:29). Yeye ni Mwarimu (Rabi)
b. Kristo alijuwa yote ya watu na ya kiroho Yoh.2:2
c. Hakukuwa haja yoyote ya Yesu kufanya huduma miaka yote30 kuanzia utoto wake maana ilimubidi kufuatisha kanuni za watu iwe laisi kueleweka na kutimizi mupango wake.
d. Kwa hiyo kusingekuwa utafauti wowote wa kumjuwa maana yote ya lazima aliyafanya.
e. Kweli Yesu kazi (mission) ameyimaliza maana ilikuwa ni kuuweka msingi na ndiyo maana alijishughurisha sana kuwafundisha watu wacace ambawo alijuwa watajenga juu ya msingi na kuendeleza kazi aliyo yianza.
f. Wale wote waliyo kufa ktk ile myaka 30 ni sawa sawa na wale wote walio kufa kabla Yesu kuzaliwa.
Jibu la (e) na (f) nimeyapenda sana, ni ya Akili na Ufunuo Mkubwa sana, ubarikwe sana kabisa nasikia raha sana moyoni kwa kweli na akujengwa sana, nimecheka sana jibu la (f)- umetumia logic-reasoning yenye mafuta ya JUU tamu sana ya upako kumaliza swali langu kirahis kabisa na kwa uzuri ha ha ha ha ha , safi sana and glory to God my brother E.Nshimirimana
Press on,
Edwin Seleli