Ni vema sana kama Waamini ktk Imani ya Kristo na maneno yake ktk Biblia kua na tabia njema ya Kiroho ya kupenda Neno hata kupata nafasi ya kuyachunguza maandiko kama hawa-Mdo.17:11 na kutafakari ili kupata KWELI na kukuza uwezo wetu wa kulijua Neno na kuwahudumia wengine.
Tumefundishwa na kufundisha UKWELI tu kwamba ukisha amini na kujazwa Roho Mt ‘’lazima’’ uwe na ishara ya kunena kwa lugha, Ni sawa kabisa kulingana na yanayojili ktk maandiko kadhaa mfano- Mdo.10:45-47, Mdo.19:1-6 .Tusome Maandiko hayo-nimeongeza na fafanuzi kidogo:
Mdo.10: 44-47 Petro alipokuwa akisema maneno hayo Roho Mtakatifu akawashukia wote waliolisikia lile neno. 45 Na wale waliotahiriwa, walioamini, wakashangaa, watu wote waliokuja pamoja na Petro, kwa sababu MATAIFA nao-waliokua si waamini- wakawa waamini- wamemwagiwa kipawa cha Roho Mtakatifu. 46 Kwa maana waliwasikia WAKISEMA KWA LUGHA, na kumwadhimisha Mungu. Ndipo Petro akajibu, 47 Ni nani awezaye kuzuia maji, hawa wasibatizwe, watu waliopokea Roho Mtakatifu vile vile kama sisi?
Mdo.19:1-6: 2 akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu MLIPOAMINI? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia. 3 Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana. 4 Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu. 5 Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu. 6 Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake juu yao, ROHO MTAKATIFU AKAJA JUU YAO; wakaanza KUNENA KWA LUGHA na kutabiri.
LAKINI…..
Mdo.2:36-41…. 36 Basi nyumba yote ya Israeli na wajue yakini ya kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo. 37 Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu? 38 Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. 39 Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie. 40 Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi. 41 Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
Notice: Hapa Watu wanalipokea Neno-Wanakua Waamini halafu si tu hatuoni wanaombewa kujazwa bali pia hatuoni wakinena kwa lugha ingawa Petro anatamka swala na kupokea Roho Mtakatifu
Mdo.9:17-20 Kuhusu Saul (Paul)…imeandikwa.. 17 Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu. 18 Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa;19 akala chakula, na kupata nguvu. Akawa huko siku kadha wa kadha pamoja na wanafunzi walioko Dameski. 20 Mara akamhubiri Yesu katika masinagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
Notice: Inaonyesha tu Anania anatamka kua Saul atapata kuona na kujazwa Roho Mt lakini haionyeshi kua alinena kwa lugha hapo baada ya kuamini
Sasa, tunafundishaje swala la Kunena kwa Lugha kama Ishara madhubuti ya Mtu akiamini na Kujazwa -Marko.16:17.. “Na hizi ndizo ishara zitakazoandamana na wale wata kaoamini: Kwa kutumia jina langu watafukuza pepo; WATANENA/SEMA KWA LUGHA MPYA, ilihali kuna wenzetu Waliamini na kujazwa lakini kunena kwa Lugha haikusemwa kwa wao?
Ukipewa seminar kufundisha somo hili, utazichanga karata vipi ili ubaki salama mbele za Mungu wewe kama Mwl maana hukumu ni kubwa na pia kundi lisichanganywe na jambo hili tukufu na nyeti sana kwa maisha ya Wana wa Mungu?
Press on,
Edwin Seleli
--
Thobias Mosha,Umesema ni LAZIMA! Kivipi kwa kuzingatia hoja za Mistari hii, why hakuna kunena hapa:
Mdo.2:36-41…. Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. 39 Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie. 41 Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
Mdo.9:17-20 Kuhusu Saul (Paul)…imeandikwa.. 17 Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu. 18 Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa;19 akala chakula, na kupata nguvu. Akawa huko siku kadha wa kadha pamoja na wanafunzi walioko Dameski. 20 Mara akamhubiri Yesu katika masinagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
Unaweza jengea hoja yako msingi kwa kufafanua haya maandiko ili iyo ''ni Lazima'' uliyosema, iwe na mashiko? la sivyo itatupwa nje ikiwa utakutana na Watu wenye kuyachunguza maandiko kama Waberoya aliokutana nao Paul hadi akawakukubali kwa umakini wao
Bless u and welcome back to establish substance of your claim./mandatory statement my brother
Press on,
Edwin Seleli
Mdo.2:36-41…. Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. 39 Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie. 41 Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
Mdo.9:17-20 Kuhusu Saul (Paul)…imeandikwa.. 17 Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu. 18 Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa;19 akala chakula, na kupata nguvu. Akawa huko siku kadha wa kadha pamoja na wanafunzi walioko Dameski. 20 Mara akamhubiri Yesu katika masinagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
Unaweza jengea hoja yako msingi kwa kufafanua haya maandiko ili iyo ''ni Lazima'' uliyosema, iwe na mashiko? la sivyo itatupwa nje ikiwa utakutana na Watu wenye kuyachunguza maandiko kama Waberoya aliokutana nao Paul hadi akawakukubali kwa umakini wao
Bless u and welcome back to establish substance of your claim./mandatory statement my brother
Press on,
Edwin Seleli
|
Hello Nshimirimana! Salut Nshimirimana! "Merci beaucoup!" to you too. Waliyookoka wote hawana karama moja. ........................................................................................................... "1 Wakorintho 12: 4.Basi pana tofauti za karama; bali Roho ni yeye yule. 5 Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule. 6 Kisha pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katika wote. 7 Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. 8 Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na MWINGINE neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule; 9 MWINGINE imani katika Roho yeye yule; na MWINGINE karama za kuponya katika Roho yule mmoja; 10 na MWINGINE matendo ya miujiza; na MWINGINE unabii; na MWINGINE kupambanua roho; MWINGINE aina za lugha; na MWINGINE tafsiri za lugha; 11 lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye. 12 Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo. 13 Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja. 14 Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi. 15 Mguu ukisema, Kwa kuwa mimi si mkono, mimi si wa mwili; je! Si wa mwili kwa sababu hiyo? 16 Na sikio likisema, Kwa kuwa mimi si jicho, mimi si la mwili; je! Si la mwili kwa sababu hiyo? 17 Kama mwili wote ukiwa jicho, ku wapi kusikia? Kama wote ni sikio ku wapi kunusa? 18 Bali Mungu amevitia viungo kila kimoja katika mwili kama alivyotaka. 19 Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?" ........................................................................................................
MWENGINE (l'autre), ina maana for "un" kuna karama fulani na (et) for an other(pour un autre) ingine karama.
Hebu kila anaedhani ameamini Yesu Kristo atazame kama amekosa hata karama moja ndipo ajihukumu.
Dieu te bénisse(Mungu akubariki)...... AMEN.
-------Message original-------
De : Seleli Edwin
Date : 14/05/2014 21:12:25
A : strictlygospel
Sujet : Re: KUNENA KWA LUGHA BAADA YA KUAMINI NA KUJAZWA ROHO MT, NI LAZIMA AU SIYO? |