You do not have permission to delete messages in this group
Copy link
Report message
Show original message
Either email addresses are anonymous for this group or you need the view member email addresses permission to view the original message
to quogervemudf
Daktarimwandamizi wa WHO huko Gaza, Ahmed Dahir, amewaambia waandishi habari mjini Geneva kupitia video kwamba hali ya ufikishwaji wa chakula bado ni mbaya na kwa maana hiyo hawezi kuepuka kuzungumzia kitisho cha njaa kwa sasa.