view of balance of the specified drug in the pharmacy database

43 views
Skip to first unread message

Japhet Kamala

unread,
Dec 28, 2011, 2:13:20 PM12/28/11
to Tarcila Ewald, Eleine Guni, Graham Wilson, psmwgt...@googlegroups.com
Dear Tarcila
Kindly visit the NACP website, and  download CTC pharmacy module database, please download the files that are updated on 28th Dec 011
thanks
Japhet Kamala,
PEPFAR Support Staff
University Computing Centre Ltd
 
       +255 787 123115
           japhet...@yahoo.co.uk

Tukai,Mavere

unread,
Dec 29, 2011, 1:07:03 AM12/29/11
to psmwgt...@googlegroups.com

WAJAMENI…

 

This is sad news

--- MFAMASIA wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu mbaroni.

---------- Forwarded message ----------

MFAMASIA wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani hapa, Kanuti Kimaro ametiwa mbaroni akituhumiwa kutokuwa mwaminifu kwa mwajiri wake na kisha kuuza mgawo wa dawa za binadamu pamoja na vitendanishi vya kisasa (M.R.D.T) ambavyo vinatumika katika upimaji wa ugonjwa wa malaria; vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 30.

Chanzo cha habari kimeifahamisha FikraPevu kwamba Mfamasia huyo alikamatwa Disemba 13 mwaka huu na kwamba hadi sasa anashikiliwa katika kituo kikuu cha Polisi Wilayani Magu.

Inadaiwa kuwa wizi huo utasababisha wakazi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kukoswa dawa kupitia katika zahanati, vituo vya afya pamoja na Hospitali ya wilaya hiyo kwa muda wa miezi minne mfululizo.

Kwa sharti la kutotajwa jina, chanzo chetu kinadai kwamba Kimaro alikamatwa na maafisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani humo.

Inadaiwa kwamba Mfamasia huyo anatuhumiwa kuuza dawa mbalimbali za binadamu pamoja na ‘kit’ 8 zenye jumla ya vipande 800 vya vitendanishi vinavyotolewa na wafadhili kwa ajili ya kurahisisha zoezi la upimaji wa viini vya ugonjwa wa malaria.

“Akiwa peke yake Mfamasia huyo alikiuka taratibu za Wizara kisha akaenda Bohari Kuu ya Dawa (MSD) Jijini Mwanza ambapo alikabidhiwa mgawo wa dawa pamoja na vitendanishi kutoka serikalini. Lakini cha ajabu, Kimaro akaziuza kwa wafanyabiashara binafsi, badala ya kuzifikisha ofisini ili ziweze kuwasaidia wananchi“ kilidai chanzo cha habari.

Inadaiwa kuwa kwa kutumia wadhifa wake, baada ya kuuza dawa Kimaro alirejea Magu na kumtaka mtumishi katika kitengo cha stoo aandike kuwa amepokea dawa pamoja na vitendanishi hivyo.

“Alipofika Magu akamtaka mfanyakazi kitengo cha ‘Stores’ eti aingize dawa hizo kwenye ‘Ledger Book’. Kilichotokea ni kwamba mtumishi huyo aligoma kuingiza taarifa hewa; na huenda taarifa zikawafikia Takukuru” kilisema chanzo cha habari.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Col. Ngudungi alikiri kuwepo kwa suala hilo.

“Ni kweli suala hilo lipo na tayari limeshaanza kujadiliwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya” Ngudungi alithibitisha ofisini kwake, Desemba 27 mwaka huu.

Alisema tayari ofisi yake imeanza kuchuku hatua ikiwemo kumsimamisha kazi kwa sababu amekiuka kanuni namba 37 ya sheria ya mwaka 2007 ya utumishi wa umma.

Alisema mtuhumiwa huyo amesimamishwa kazi tangu Disemba 19 mwaka huu.

“Kusema kweli mfamasia amefanya kitendo cha ajabu; kwamba badala ya kulinda dawa za serikali na mwajiri wake, yeye ndiye anashiriki katika kuhujumu. Mimi ninasema lazima sheria ichukue mkondo wake dhidi ya afisa huyo ambaye kwa kweli ameidhalilisha Wilaya ya Magu” alisema Mkuu wa Wilaya ya Magu, Zainab Kondo.

Alisema ana wasiwasi na utendaji kazi wa Bodi ya Hospitali na kwamba ofisi yake kwa kushirikiana na Takukuru, Jeshi la Polisi na Usalama wa Taifa wanaendelea na uchunguzi zaidi.

Kamanda wa Takukuru Mkoani hapa, Christopher Mariba hakupatikana ofisini kwake wala kwa njia ya simu ili aweze kuzungumzia suala hilo. Ilidaiwa kuwa alikuwa nje ya ofisi kwa ajili ya kazi nyingine. Hata hivyo, simu yake mara kadhaa iliita bila kupokelewa.

Habari hii imeandikwa na Juma Ng’oko, Mwanzahttp://www.fikrapevu.com/jamii/mfamasia-wa-wilaya-ya-magu-mbaroni-kwa-wizi-wa-dawa

-- To post to this group, send email to muXa...@googlegroups.comTo unsubscribe from this group, send email to muXalumni-...@googlegroups.comOn the WEB: http://groups.google.com/group/muXalumni?hl=enBLOG: http://muhimbili.blogspot.com/

 

 

 

_________________________________________________________________

Mavere Tukai

Principal Technical Advisor - Supply Chain Management

Systems for Improved Access to Pharmaceuticals and Services

Management Sciences for Health | 4301 N. Fairfax Dr. Suite 400, Arlington, VA 22203
Tel (Direct): 703.310.3461 | Tel (Main): 703.524.6575 |
Email: mtu...@msh.org | Website: www.msh.org | Skype: Maveretukai1
cid:image003.jpg@01CC0F03.20648980

Ntaganyamba, Athanas

unread,
Dec 29, 2011, 1:52:53 AM12/29/11
to psmwgt...@googlegroups.com

Du!!!

 

Kazi kwelikweli………Commodity management activity… NGUMU sana kui manage!!!!

Ondo Baraka

unread,
Dec 29, 2011, 7:55:55 AM12/29/11
to psmwgt...@googlegroups.com
Sikio la kufa halisikii dawa!
 
 
Ondo Baraka
Regional Logistics Coordinator- Mwanza & Tabora zones
Supply Chain management System ( SCMS)
Partnership for supply Chain Management,Inc.
John Snow, Inc.
P.O.Box 9263
Dar es salaam, Tanzania.
Email: oba...@tz.pfscm.org
Mobile:+ 0755 996734 or 0712 272929
www.scms.pfscm.org

From: psmwgt...@googlegroups.com [psmwgt...@googlegroups.com] On Behalf Of Tukai,Mavere [mtu...@msh.org]
Sent: Thursday, December 29, 2011 9:07 AM

To: psmwgt...@googlegroups.com
Subject: MFAMASIA... MFAMASIA

Japhet Kamala

unread,
Dec 29, 2011, 9:14:52 AM12/29/11
to psmwgt...@googlegroups.com
Too Bad
 
 
Japhet Kamala,
PEPFAR Support Staff
University Computing Centre Ltd
 
       +255 787 123115
           japhet...@yahoo.co.uk

Hubert Assenga

unread,
Dec 29, 2011, 11:36:06 AM12/29/11
to psmwgt...@googlegroups.com
Ni Jambo la kusilitisha.
 
Lakini tukubali tuna mapungufu (baadhi yetu) katika commodity management hasa kitengo cha store management. Record keeping ni shida-amini usiamini kwa kitabu rahisi kama ledger. Tungekuwa tunafundishwa shuleni japo namna ya kufanya  commodity tracking along the supply chain, tungeona how vulnerable we are lakini incocent

From: psmwgt...@googlegroups.com [psmwgt...@googlegroups.com] On Behalf Of Ntaganyamba, Athanas [Athanas.N...@crs.org]
Sent: Thursday, December 29, 2011 9:52 AM
To: psmwgt...@googlegroups.com
Subject: RE: MFAMASIA... MFAMASIA

Emmanuel, Yefta

unread,
Dec 30, 2011, 1:08:20 AM12/30/11
to psmwgt...@googlegroups.com

Ama kweli, hii taarifa kama ni ya kweli inasikitisha sana especially inapofanywa na professionals. Real we have a long way to go on commodity management.

 

 

cid:image001.jpg@01CB193D.CB2C5210AIDSRelief new color logo

 

Yefta Emmanuel |Supply Chain Manager, AIDSRelief Tanzania Program.

Plot No. 144, Migombani Street - Mikocheni, P.O. Box 34701, Dar Es Salaam|Landline: +255 22 2773141/ 2774273

Fax: +255 22 2774059| Mobile: +255 784499278 , +255 767412596

Email: yefta.e...@crs.org |Web: www.crs.org

 

From: psmwgt...@googlegroups.com [mailto:psmwgt...@googlegroups.com] On Behalf Of Ondo Baraka
Sent: Thursday, December 29, 2011 3:56 PM
To: psmwgt...@googlegroups.com
Subject: RE: MFAMASIA... MFAMASIA

 

Sikio la kufa halisikii dawa!

wema kamuzora

unread,
Dec 30, 2011, 1:19:40 AM12/30/11
to psmwgt...@googlegroups.com
Hii kwakweliu ni aibu na anaharibu reputation ya pharmacists wote even those who are clean wataanza kuonekana wezi. He should be punished ili iwe lesson learnt

--- On Fri, 12/30/11, Emmanuel, Yefta <Yefta.E...@crs.org> wrote:

Richard Makala

unread,
Dec 30, 2011, 2:41:19 AM12/30/11
to psmwgt...@googlegroups.com
Inasikitisha. Nani atabadilisha mabaya ya nchi hii?
Pharmacy council please I know there is a mechanism of making these habits a history!
 
Richard M. Makala
Supply Chain Monitoring Advisor-Dar Zone
John Snow, Inc.-Supply Chain Management System (SCMS)
Plot 392 Toure Drive Masaki
P.O.Box 9263
Dar es Salaam, Tanzania
Telephone +255 22 2602891/2/3
Mobile:  +255 754636961
                +255787636961
                +255715636961
Website: www.pfscm.org
 
 

From: psmwgt...@googlegroups.com [psmwgt...@googlegroups.com] On Behalf Of wema kamuzora [wkam...@yahoo.com]
Sent: Friday, December 30, 2011 9:19 AM

Mtebe Majigo

unread,
Jan 2, 2012, 9:13:21 PM1/2/12
to psmwgt...@googlegroups.com
Nimeona.

MM

2011/12/29 Tukai,Mavere <mtu...@msh.org>
image001.jpg

Dr.Godwin Ndamugoba

unread,
Jan 3, 2012, 6:24:44 PM1/3/12
to psmwgt...@googlegroups.com

Hayaaaa

image001.jpg
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages