lakini, ni moja tu iko na Kiswahili, na inaonekana Katiba ya Kiswahili
wanatumia si sahihi.
Ningetaka kujua kama kuna mtu anaweza pata faili ya:
a) picha ya bendera
b) picha ya nembo ya kitaifa
c) picha ya muhuri ya serikali
na leseni CC0. Kama unaweza pata picha bora, tafadhali nisadie hapa:
https://codeberg.org/bkmgit/Katiba-Kenya-2010