Jambo,
Thank you for your reply.
Unfortunately for most of us slow learners, understanding such documents like nssf, nhif, kra and generally government or private sector documents is difficult >> we the masses don’t have higher education on understanding such complicated documents and my hope was for the “professionals” to explain with clear examples how to calculate paylips using the new changes - nssf, nhif/shif, housing levy, …
Ahsante and good day.
Regards,
Ibrahim Kiptoo Kibowen
Elimu yetu ni hapa mtaa, kusukumana na kupambana ingalawa tuweke hata kama ni soo au ngiri kwa mfuko tueze kulisha jamii na kusomesha watoi. Vile gava inatu angaisha kwa payslip na pia kwa mtaa kutunyanyasa na kutunyanganya mali sio poa jo! Wanasema imeandikwa hapa au pale kama sheria fulani lakini sisi watu wa mtaa hatuielewi. Wasee wa majuu vile korona iliwabwaga wakaingia mtaa - taaban! Wengi hawajui kupeleka nduthi, au manyanga, hawaezi fanya squad na hiyo ndio kazi nyepesi. Mjengo, kuuza mboga na malimali, kuchimba choo na kulima hawawezi - wacha tu waendelee kufanya maajabu kule juu — mtaa inawasubiri siku ile tajiri atawafukuza au gava iseme wamechapa na wanabidi waende nyumbani kuishi maisha ya raia.