BOOM

8 views
Skip to first unread message

Lenatus Kalolo

unread,
Aug 21, 2015, 5:17:01 AM8/21/15
to muhaspg12, PG MUHAS, muhaspg2010

Kila mwenye moyo wa Upendo huwa anashukuru,,Dada yetu Martha anatusaidia sana,,
Be blessed as giving is better than receiving,

Dr Kalolo

Deog Rweyemamu

unread,
Aug 21, 2015, 8:24:12 AM8/21/15
to Lenatus Kalolo, muhaspg12, PG MUHAS, muhaspg2010
Hiyo comment sawa Kalolo

ILA mpaka boom lisome kwenye accounts

NMB bado wanazingua

From: Lenatus Kalolo
Sent: ‎21/‎08/‎2015 12:17 PM
To: muhaspg12; PG MUHAS; muhaspg2010
Subject: BOOM

Kila mwenye moyo wa Upendo huwa anashukuru,,Dada yetu Martha anatusaidia sana,,
Be blessed as giving is better than receiving,

Dr Kalolo

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "MUHAS Postgraduate 2012" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to muhaspg12+...@googlegroups.com.
To post to this group, send email to muha...@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/muhaspg12.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Lenatus Kalolo

unread,
Aug 21, 2015, 9:14:26 AM8/21/15
to Deog, PG MUHAS, muhaspg2010, muhaspg12

[21/08/2015 14:44] Dr Amon Selupfu: Mimi ilibidi niende mwenyewe NMB leo asbh maana shida zangu zimezidi,nikauliza pale kukawa hamna cha check wala nini!nikaenda kule kwa bursa ndio wakasema eti zilienda nusu zingine bado,ikabidi nikae nisubirie hapo mpaka nikahakikisha kwenye mlolongo kuna jina langu na check zikaenda bank,nikarudi tena NMB nikahakiki zimefika,ila wakasema mpaka saa 10 ndio zinaweza kuwa kwenye accnt,nikamuomba manager akasema not early tha 2 pm.nimeangalia sasa hivi hado!tuwe wapole bora zimeshafika bank.
[21/08/2015 14:45] Dr Amon Selupfu: Ila majina yalioenda leo NMB ni 27 tu,na wakasema kwa sababu ni wachache watashughulikia wao hapo branch!ingekuwa wengi siku hizi wanapeleka head office NMB.
[21/08/2015 14:46] Dr Amon Selupfu: Nimefoward kama mdau 1 alivyo post taarifa hizi zina ukweli?

Daudi Ntunaguzi

unread,
Aug 27, 2015, 8:24:04 AM8/27/15
to Postgraduate 2012

Hili boom ni kwa ajili ya NMB tu au? Maana sielewi elewi hapa,almost a week sasa watu wa benki nyingine hatujapata pesa. Tunamaliza karatasi za atm kwa kuangalia salio kila tds!
Hatua gani tuchukue?
Naomba mwongozo.

Daudi Ntunaguzi

unread,
Aug 27, 2015, 8:46:01 AM8/27/15
to Postgraduate 2012

Kitambo ya lini kaka? Some from NBC hawajapata. CRDB ndo kabisaa

On Aug 27, 2015 3:44 PM, "amiri saidi kaduri" <drask...@gmail.com> wrote:

NBC, teyare kitambo sasa.

Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages