Picha za Matukio: Mlipuko wa 15-Dec-2012, Mawela Bar, Sinza

15 views
Skip to first unread message

William Kaijage

unread,
Dec 18, 2012, 3:10:34 AM12/18/12
to muga...@googlegroups.com

IMG_20121215_155843.jpg
Kwa mbali Magnus Renatus Kibonde na mimi Mukulukulu Moto Pamba nikiwa nimevaa jezi za “Pipoozzz” huku Dickson Pascal (Jefta Malaba) aka “Sangara” akiwa na nondo za Bodaboda.
Mganga hajigangi. Picha hizi ni kwa hisani ya Moses Maximilian Hella ambaye hajatokea kwenye hizi picha. Kuna picha nyingine nitakazotuma ambazo atatokea.

IMG_20121215_173608.jpg
Tuvilage Lupembe na Halima Peter Kadinda (kabla hajaja Avia Lupembe na Flora Mtani).

IMG_20121215_183331.jpg
Anayeonekana nusu ni Godwin Lyamba. Wengine ni Bahati Kalewe (Japhet Stephen) akichukua namba ya simu, Tuvilage Lupembe, Halima Peter Kadinde akimpigia simu Flora aje haraka, John Isaack Mgallah aka “Mchina”, Goerge Mtui, Magnus Renatus Kibonde na mimi mwenyewe Suverain.
Picha hii ilipigwa wakati Dickson alikuwa ameshaondoka.

IMG_20121215_183438.jpg
George Mtui, Magnus Tenatus Kibonde, William Kaijage, Godwin Lyamba, Bahati Kalewe (Japhet Stephen) na Tuvilage Lupembe tukiwa tunakula Monde.
Watu wengi waliohamia Mugabe baada ya 1987 hawamfahamu Tuvilage. Alihama wakati tupo darasa la 5. Alikuja kwenye mlipuko na watoto wake wawili.

IMG_20121215_202350.jpg
Japhet Stephen, Magnus Renatus Kibonde, William Kaijage na mkono unaouona ni wa Godwin Lyamba.
Hakuna siku tuliyokula bata kama siku hii. Hapa nikimuita muhudumu aongeze kachumbari. Dickson ulivyoondoka ulikosa mengi sana.

image006.jpg
image008.jpg
image004.jpg
image002.jpg
image010.jpg

Dennis Francis

unread,
Dec 18, 2012, 11:50:20 PM12/18/12
to muga...@googlegroups.com
MOPAO imetulia sana hii, zimuvuzishe kwa sana tu, tupo pamoja. Khaaaaa nilimiss kweli.
Dennis.


From: William Kaijage <kai...@gmail.com>
To: muga...@googlegroups.com
Sent: Tuesday, December 18, 2012 11:10 AM
Subject: Picha za Matukio: Mlipuko wa 15-Dec-2012, Mawela Bar, Sinza

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mugabe89" group.
To post to this group, send email to muga...@googlegroups.com.
To unsubscribe from this group, send email to mugabe89+u...@googlegroups.com.
For more options, visit this group at http://groups.google.com/group/mugabe89?hl=en.


image002.jpg
image004.jpg
image006.jpg
image008.jpg
image010.jpg
Reply all
Reply to author
Forward
0 new messages